ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Jama anajua kumsema mtu kwa ustaa sana makongoro safi
I am so happy to hear your voice mh mkuu wa Mkoa ,nilikuwa na hasira Leo ila zimetoka ,maneno yako kwa Jakaya yamekuwa faraja kwangu
Uko so talented ujumbe umefika🎉
I love this guy... Mcheshi sana huyu mwana 😂
Hongera mazungumzo yako yanakuwa na historiia we Makongoro Kama wanasheria wangekuwa na historiia ya Uhuru wa Zanzibar wesingetetea mkataba wa uwekezaji kutoka Uarabuni
Makongoro kumbe kweli unajua! Umeeleweka vyema! Umetumia fumbo kutumia sms!
Akili nyingi
😃😃 kasema amestaafu lakini hajastaafu
Jamaa yupo vyema🎉
Son like father makongoro hana vijembe vya chini chini
🔥🔥🔥🔥Nyerere namkubali saana huyu mwamba
Ukweli umejitoboa wenzangu , sabalkheri
Ni kweli ajastafu ndio maana anaendelea kutuingiza chaka
Kwel
Kama ubongo wako haupo vizuri unaweza kuona anachekesha lkn ameshammaliza mtu hapo
😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Makongoro mcheshi sana kama kikwete ❤❤❤❤nawapenda sana
Huyu jamaa anaongea vitu sana, lkn kwa wale walioenda shule za Cuba
🤣🤣🤣
WANAACHA KUPAMBANA NA MATATIZO YA NCHI WANAVUNJANA MBAVU
😊
Anajua anachokisema...lakini ndio hivyo tena.
Nikweri kabisa nchi bado inaongozwa na kikwete duuuh
Kivipi
Senti hamsini... 😅😅😅😊
😊😊😊hotuba za makongoro dk 10 pumba 1 anatoa asante
Iko poa hiyo.
Kumbe kustaafu ni shida na nyie mnajua, sasa kile kikokotoo Kwa wale wengine cha nini?
Chawa
Huyu mwamba
Makongoro wewe jinaeako diyo hunyayo was baba watahifa husifimoyo yesu yupo pamoja naqewe kikumbwa nihimani tuu
Makongoro is an embarrassment Kwa family ya baba wa taifa, very sad wanamtumia kama kituko mbele za watu Kwa kweli ni aibu sana.
Sasa aibu ipi apoo mbona yuko sawa tuu
Mbona hapo hajafanya Jambo Baya?
Sasa hapo nini cha ajabu?
Haters wa kikwete mna tabu dunia hii si mchezo!
Kabisa dada angu, hao mafisadi anaowahutubia wanamchora tu
1/Mnajua msipo msifia shughuli hamna2/Asilimia kubwa ya viongozi wetu 😢3/magufuli Amka
Nenda kamuamshe ataamka mbona, mwehu wewe
Ulikosa shule, unasoma kwenye face book na nyimbo za bongo flavor ndio unafikiri kama Kuku.
Wanacheka kwa raha jinsi wanavoitafuna nchi
Acheni njaa za kijingajinga
Huyo diye sheshi rabakwata bangamoyo
Ndoujinga huo yeye mstaafu anazurura no Nini mbona mwinyi hajawahi kuzurura kama hayo mazee
Wivu.chuki.
Una wivu wa kijing a sn kenge WW, ulitaka ajifungie ndani au?.
wewe ni mpumbavuu tu ng'ombee tu etiii anazururaa roho mbayaa ya chukii mmechelewaaa sanaa hatudanganyikii tenaaaa
Imekuumaaaa eehhh
Unaumia ukiwa wapi
Wanafunzi wa Cuba tu ndo tumekuelewa.Japo watu wanaishia kucheka ila umepiga msumari mzito mwanzoni mwanzoni mwa speech yako.
😂😂😂😂
Ndo mana mnaishia kuwa masikini wenzenu wanapiga hela endeleaa kuwa mchekeshaji wa taifa
Kwahio unajidanganya kua akina Nyerere hawana hela? Hao sio maskini wako vizuri sana na sio maskin
Hela wanazo sema hawana ukorofi kama wengine wametulia sana
Makongoro njaa zinakusumbua Sana ndgu yangu
Huyo ndo mmiliki tz kwa .....😭
huyu sio mtoto wa nyerere kwasababu mtu wa kujipendekeza hana msimamo hata sekunde moja anacheka kama mgonjwa wa tibi baba wa taifa huaga acheki hivyo
Kwahiyo watu wasifurahi kwakuwa nyie mna chuki na njaa zenu!
Njaa zako zisikufanye umchukie kila mtu.
Chuki hazifai
Mtu anakuwa na makasiriko kuona manzake anaongea ni jambo gan baya kakosea labda au kumtaja Rais mstaafu
Ukifanya kazi zote zinavyo takiwa kwenye Taifa nchi kustaafu sio jambo simple linakuwa jambo jipya kabisaa na linaitaji mahesabu..
Ww utakuw Mtt wannje yandoa, Nyerere hakuw mjinga kiss hch
Nyerere mwenyewe alikuwa mtoto wa nje ya ndoa kwa sababu alikuwa mtoto wa mke 8 wa Mzee Kambarage Borito Nyerere.
@@hajihassan5433 hhhhhhha, kwaiyo bila bila
Watoto wa mjini tunasema ngoma drooo
Roho yako ina KUTU
Angalia maneno yako
Wewe umekuwa comedian wenzako wameiba matilioni ya watanzania
Kumuelewa mpaka uwe na akili nyingi sana kama za kwakwe!
@@KassimSalumu-fk6ykamini hivyo
Huyu jamaa kinachombeba ni nyerere yuko kama kawaya kamechomoka vile speech zake tata
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
makongro chawa wa ccm vllakilaki vinamzuzua mrevi huyu
Jama anajua kumsema mtu kwa ustaa sana makongoro safi
I am so happy to hear your voice mh mkuu wa Mkoa ,nilikuwa na hasira Leo ila zimetoka ,maneno yako kwa Jakaya yamekuwa faraja kwangu
Uko so talented ujumbe umefika🎉
I love this guy... Mcheshi sana huyu mwana 😂
Hongera mazungumzo yako yanakuwa na historiia we Makongoro Kama wanasheria wangekuwa na historiia ya Uhuru wa Zanzibar wesingetetea mkataba wa uwekezaji kutoka Uarabuni
Makongoro kumbe kweli unajua! Umeeleweka vyema! Umetumia fumbo kutumia sms!
Akili nyingi
😃😃 kasema amestaafu lakini hajastaafu
Jamaa yupo vyema🎉
Son like father makongoro hana vijembe vya chini chini
🔥🔥🔥🔥Nyerere namkubali saana huyu mwamba
Ukweli umejitoboa wenzangu , sabalkheri
Ni kweli ajastafu ndio maana anaendelea kutuingiza chaka
Kwel
Kama ubongo wako haupo vizuri unaweza kuona anachekesha lkn ameshammaliza mtu hapo
😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Makongoro mcheshi sana kama kikwete ❤❤❤❤nawapenda sana
Huyu jamaa anaongea vitu sana, lkn kwa wale walioenda shule za Cuba
🤣🤣🤣
WANAACHA KUPAMBANA NA MATATIZO YA NCHI WANAVUNJANA MBAVU
😊
Anajua anachokisema...lakini ndio hivyo tena.
Nikweri kabisa nchi bado inaongozwa na kikwete duuuh
Kivipi
Senti hamsini... 😅😅😅😊
😊😊😊hotuba za makongoro dk 10 pumba 1 anatoa asante
Kivipi
Iko poa hiyo.
Kumbe kustaafu ni shida na nyie mnajua, sasa kile kikokotoo Kwa wale wengine cha nini?
Chawa
Kivipi
Huyu mwamba
Makongoro wewe jinaeako diyo hunyayo was baba watahifa husifimoyo yesu yupo pamoja naqewe kikumbwa nihimani tuu
Makongoro is an embarrassment Kwa family ya baba wa taifa, very sad wanamtumia kama kituko mbele za watu Kwa kweli ni aibu sana.
Sasa aibu ipi apoo mbona yuko sawa tuu
Mbona hapo hajafanya Jambo Baya?
Sasa hapo nini cha ajabu?
Haters wa kikwete mna tabu dunia hii si mchezo!
Kabisa dada angu, hao mafisadi anaowahutubia wanamchora tu
1/Mnajua msipo msifia shughuli hamna
2/Asilimia kubwa ya viongozi wetu 😢
3/magufuli Amka
Nenda kamuamshe ataamka mbona, mwehu wewe
Ulikosa shule, unasoma kwenye face book na nyimbo za bongo flavor ndio unafikiri kama Kuku.
Kivipi
Wanacheka kwa raha jinsi wanavoitafuna nchi
Acheni njaa za kijingajinga
Huyo diye sheshi rabakwata bangamoyo
Ndoujinga huo yeye mstaafu anazurura no Nini mbona mwinyi hajawahi kuzurura kama hayo mazee
Wivu.chuki.
Una wivu wa kijing a sn kenge WW, ulitaka ajifungie ndani au?.
wewe ni mpumbavuu tu ng'ombee tu etiii anazururaa roho mbayaa ya chukii mmechelewaaa sanaa hatudanganyikii tenaaaa
Imekuumaaaa eehhh
Unaumia ukiwa wapi
Wanafunzi wa Cuba tu ndo tumekuelewa.Japo watu wanaishia kucheka ila umepiga msumari mzito mwanzoni mwanzoni mwa speech yako.
😂😂😂😂
Ndo mana mnaishia kuwa masikini wenzenu wanapiga hela endeleaa kuwa mchekeshaji wa taifa
Kwahio unajidanganya kua akina Nyerere hawana hela? Hao sio maskini wako vizuri sana na sio maskin
Kivipi
Hela wanazo sema hawana ukorofi kama wengine wametulia sana
Makongoro njaa zinakusumbua Sana ndgu yangu
Huyo ndo mmiliki tz kwa .....😭
huyu sio mtoto wa nyerere kwasababu mtu wa kujipendekeza hana msimamo hata sekunde moja anacheka kama mgonjwa wa tibi baba wa taifa huaga acheki hivyo
Kwahiyo watu wasifurahi kwakuwa nyie mna chuki na njaa zenu!
Njaa zako zisikufanye umchukie kila mtu.
Chuki hazifai
Mtu anakuwa na makasiriko kuona manzake anaongea ni jambo gan baya kakosea labda au kumtaja Rais mstaafu
Ukifanya kazi zote zinavyo takiwa kwenye Taifa nchi kustaafu sio jambo simple linakuwa jambo jipya kabisaa na linaitaji mahesabu..
Ww utakuw Mtt wannje yandoa, Nyerere hakuw mjinga kiss hch
Nyerere mwenyewe alikuwa mtoto wa nje ya ndoa kwa sababu alikuwa mtoto wa mke 8 wa Mzee Kambarage Borito Nyerere.
@@hajihassan5433 hhhhhhha, kwaiyo bila bila
Watoto wa mjini tunasema ngoma drooo
Roho yako ina KUTU
Angalia maneno yako
Wewe umekuwa comedian wenzako wameiba matilioni ya watanzania
Kumuelewa mpaka uwe na akili nyingi sana kama za kwakwe!
Kivipi
@@KassimSalumu-fk6ykamini hivyo
Huyu jamaa kinachombeba ni nyerere yuko kama kawaya kamechomoka vile speech zake tata
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
makongro chawa wa ccm vllakilaki vinamzuzua mrevi huyu