Makongoro Nyerere avunja mbavu , Amwambia KIKWETE wewe una NG'AA siogopi kustaafu, sasa hivi bado

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ส.ค. 2023
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

ความคิดเห็น • 88

  • @patrickmlowe9748
    @patrickmlowe9748 9 หลายเดือนก่อน +5

    Jama anajua kumsema mtu kwa ustaa sana makongoro safi

  • @ibrahimdotto5234
    @ibrahimdotto5234 4 หลายเดือนก่อน +1

    I am so happy to hear your voice mh mkuu wa Mkoa ,nilikuwa na hasira Leo ila zimetoka ,maneno yako kwa Jakaya yamekuwa faraja kwangu

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 4 หลายเดือนก่อน +2

    Uko so talented ujumbe umefika🎉

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 10 หลายเดือนก่อน +2

    I love this guy... Mcheshi sana huyu mwana 😂

  • @user-gr7tb7jv2m
    @user-gr7tb7jv2m 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera mazungumzo yako yanakuwa na historiia we Makongoro Kama wanasheria wangekuwa na historiia ya Uhuru wa Zanzibar wesingetetea mkataba wa uwekezaji kutoka Uarabuni

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 10 หลายเดือนก่อน +7

    Makongoro kumbe kweli unajua! Umeeleweka vyema! Umetumia fumbo kutumia sms!

    • @mropeamadeus54
      @mropeamadeus54 10 หลายเดือนก่อน +1

      Akili nyingi

    • @mosesjnr8436
      @mosesjnr8436 10 หลายเดือนก่อน

      😃😃 kasema amestaafu lakini hajastaafu

  • @allydilunga1563
    @allydilunga1563 10 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa yupo vyema🎉

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 4 หลายเดือนก่อน

    Son like father makongoro hana vijembe vya chini chini

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs 10 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥Nyerere namkubali saana huyu mwamba

  • @priscillandekere8846
    @priscillandekere8846 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ukweli umejitoboa wenzangu , sabalkheri

  • @jeffhard5773
    @jeffhard5773 9 หลายเดือนก่อน +7

    Ni kweli ajastafu ndio maana anaendelea kutuingiza chaka

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 9 หลายเดือนก่อน +6

    Kama ubongo wako haupo vizuri unaweza kuona anachekesha lkn ameshammaliza mtu hapo

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 10 หลายเดือนก่อน

    Makongoro mcheshi sana kama kikwete ❤❤❤❤nawapenda sana

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 10 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu jamaa anaongea vitu sana, lkn kwa wale walioenda shule za Cuba

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 9 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 10 หลายเดือนก่อน +3

    WANAACHA KUPAMBANA NA MATATIZO YA NCHI WANAVUNJANA MBAVU

  • @sarahsteven3162
    @sarahsteven3162 4 หลายเดือนก่อน +1

    😊

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 10 หลายเดือนก่อน +1

    Anajua anachokisema...lakini ndio hivyo tena.

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nikweri kabisa nchi bado inaongozwa na kikwete duuuh

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 4 หลายเดือนก่อน

    Senti hamsini... 😅😅😅😊

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 10 หลายเดือนก่อน +1

    😊😊😊hotuba za makongoro dk 10 pumba 1 anatoa asante

  • @yusuphmsigiti873
    @yusuphmsigiti873 10 หลายเดือนก่อน

    Iko poa hiyo.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe kustaafu ni shida na nyie mnajua, sasa kile kikokotoo Kwa wale wengine cha nini?

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale 10 หลายเดือนก่อน

    Chawa

  • @davidmfune1063
    @davidmfune1063 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mwamba

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq 9 หลายเดือนก่อน

    Makongoro wewe jinaeako diyo hunyayo was baba watahifa husifimoyo yesu yupo pamoja naqewe kikumbwa nihimani tuu

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 10 หลายเดือนก่อน +2

    Makongoro is an embarrassment Kwa family ya baba wa taifa, very sad wanamtumia kama kituko mbele za watu Kwa kweli ni aibu sana.

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 10 หลายเดือนก่อน

      Sasa aibu ipi apoo mbona yuko sawa tuu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 10 หลายเดือนก่อน

      Mbona hapo hajafanya Jambo Baya?

    • @bonifacejames34
      @bonifacejames34 10 หลายเดือนก่อน

      Sasa hapo nini cha ajabu?

    • @user-ok4kn8tu4m
      @user-ok4kn8tu4m 10 หลายเดือนก่อน

      Haters wa kikwete mna tabu dunia hii si mchezo!

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 10 หลายเดือนก่อน

      Kabisa dada angu, hao mafisadi anaowahutubia wanamchora tu

  • @andrewkilulu
    @andrewkilulu 10 หลายเดือนก่อน +1

    1/Mnajua msipo msifia shughuli hamna
    2/Asilimia kubwa ya viongozi wetu 😢
    3/magufuli Amka

    • @bakariamour1024
      @bakariamour1024 10 หลายเดือนก่อน

      Nenda kamuamshe ataamka mbona, mwehu wewe

    • @yusufismail3116
      @yusufismail3116 10 หลายเดือนก่อน

      Ulikosa shule, unasoma kwenye face book na nyimbo za bongo flavor ndio unafikiri kama Kuku.

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 10 หลายเดือนก่อน

      Kivipi

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wanacheka kwa raha jinsi wanavoitafuna nchi

    • @user-ok4kn8tu4m
      @user-ok4kn8tu4m 10 หลายเดือนก่อน

      Acheni njaa za kijingajinga

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq 9 หลายเดือนก่อน

    Huyo diye sheshi rabakwata bangamoyo

  • @user-or8ow5vr7m
    @user-or8ow5vr7m 10 หลายเดือนก่อน +5

    Ndoujinga huo yeye mstaafu anazurura no Nini mbona mwinyi hajawahi kuzurura kama hayo mazee

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 10 หลายเดือนก่อน +2

      Wivu.chuki.

    • @babalao910
      @babalao910 10 หลายเดือนก่อน

      Una wivu wa kijing a sn kenge WW, ulitaka ajifungie ndani au?.

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 10 หลายเดือนก่อน

      wewe ni mpumbavuu tu ng'ombee tu etiii anazururaa roho mbayaa ya chukii mmechelewaaa sanaa hatudanganyikii tenaaaa

    • @TheAlman
      @TheAlman 10 หลายเดือนก่อน

      Imekuumaaaa eehhh

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 10 หลายเดือนก่อน

      Unaumia ukiwa wapi

  • @petermkumbo5094
    @petermkumbo5094 10 หลายเดือนก่อน +6

    Wanafunzi wa Cuba tu ndo tumekuelewa.Japo watu wanaishia kucheka ila umepiga msumari mzito mwanzoni mwanzoni mwa speech yako.

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ndo mana mnaishia kuwa masikini wenzenu wanapiga hela endeleaa kuwa mchekeshaji wa taifa

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kwahio unajidanganya kua akina Nyerere hawana hela? Hao sio maskini wako vizuri sana na sio maskin

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 10 หลายเดือนก่อน

      Kivipi

    • @jumakatanje955
      @jumakatanje955 วันที่ผ่านมา

      Hela wanazo sema hawana ukorofi kama wengine wametulia sana

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 4 หลายเดือนก่อน

    Makongoro njaa zinakusumbua Sana ndgu yangu

  • @user-hm9oi1vl4e
    @user-hm9oi1vl4e 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo ndo mmiliki tz kwa .....😭

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 10 หลายเดือนก่อน +3

    huyu sio mtoto wa nyerere kwasababu mtu wa kujipendekeza hana msimamo hata sekunde moja anacheka kama mgonjwa wa tibi baba wa taifa huaga acheki hivyo

    • @user-ok4kn8tu4m
      @user-ok4kn8tu4m 10 หลายเดือนก่อน +2

      Kwahiyo watu wasifurahi kwakuwa nyie mna chuki na njaa zenu!

    • @detlantamarooned1809
      @detlantamarooned1809 10 หลายเดือนก่อน

      Njaa zako zisikufanye umchukie kila mtu.

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 10 หลายเดือนก่อน

      Chuki hazifai

    • @rolencevedasto1009
      @rolencevedasto1009 4 หลายเดือนก่อน

      Mtu anakuwa na makasiriko kuona manzake anaongea ni jambo gan baya kakosea labda au kumtaja Rais mstaafu

  • @thejordanband1516
    @thejordanband1516 10 หลายเดือนก่อน

    Ukifanya kazi zote zinavyo takiwa kwenye Taifa nchi kustaafu sio jambo simple linakuwa jambo jipya kabisaa na linaitaji mahesabu..

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ww utakuw Mtt wannje yandoa, Nyerere hakuw mjinga kiss hch

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 10 หลายเดือนก่อน +1

      Nyerere mwenyewe alikuwa mtoto wa nje ya ndoa kwa sababu alikuwa mtoto wa mke 8 wa Mzee Kambarage Borito Nyerere.

    • @makongoronyerere1564
      @makongoronyerere1564 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@hajihassan5433 hhhhhhha, kwaiyo bila bila

    • @ahz6907
      @ahz6907 10 หลายเดือนก่อน

      Watoto wa mjini tunasema ngoma drooo

    • @yusufismail3116
      @yusufismail3116 10 หลายเดือนก่อน

      Roho yako ina KUTU

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk 10 หลายเดือนก่อน

      Angalia maneno yako

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe umekuwa comedian wenzako wameiba matilioni ya watanzania

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph2234 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa kinachombeba ni nyerere yuko kama kawaya kamechomoka vile speech zake tata

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 4 หลายเดือนก่อน

    makongro chawa wa ccm vllakilaki vinamzuzua mrevi huyu