mzee makamba sijamwelewa hotuba nzima kwanza anapenda undugu kazini hapo kwenye wazur hawafi ameniumiza sana memkumbuka baba kwangu mim alikuwa mzur sana
Yaani speech ya hovyo kweli kweli haijawahi tokea.... Kwani baba yako na mama yako wapo hawajafa? Inamana walikuwa ni watu wabaya?. Wewe una bima na Mungu, inamana hujui kuwa utakufa? . Mwenyezi Mungu akiamua kuwachukua watoto wako wote leo hii usisahau kuieleze nchi kuwa walikua wabaya. Daah Mungu atusaidie tuache uongo.
Huo ndio ujumbe wake kwa wanachama wenzake lakini ukiikariri moja katika sentesi yake kasema neno "NAOMBA -NAOMBA" wanachama wenzangu : hawa ambao sio wanachama yabisi tuangalie mpira madirishani sio uwanjani
Maendeleo kusema katiba yao wameandika wenyewe hivyo wasiogope kuivunja wenyewe kweli jazba imepanda kama wako tayari hata kuivunja katiba ya basi mambo yamekuwa makubwa hebu kwa amani wapenzi wanachama wengine nao uhuru wa kutoa mawazo yao wasiburizwe tu
Sidhan kama Samia atakuwa na ubavu wa kumuadabisha Januar Makamba hata akiboronga vipi, akijitahid sana atamhamishia Wizara nyingine! Kwa vizee hivi, Samia hana sauti! Vinafanya vinavyotaka tu! Mpaka matamshi ya ovyo mbele yake!
Chama kilicholewa madaraka ni kile ambacho viongozi wake ni kama huyu anayesema eti hakuna wakuwauliza kitu na kanuni na Katiba si kitu cha kuwazuia kuzimia wanachotaka. Wenye hekima ndani ya CCM jiulizieni mlifikaje huko?
Eti waazimie sasa hivi hata kama kanuni na Katiba haviruhusu. Sasa bila kuheshimu kanuni na Katiba huo ni uongozi wa aina gani? Viongozi wa aina hii hawajukubushi misingi kwa kusoma kajibu ka Mwalimu Nyerere kautwako TANU na RAIA kalikochapishwa mwaka 1962
mzee makamba sijamwelewa hotuba nzima
kwanza anapenda undugu kazini
hapo kwenye wazur hawafi
ameniumiza sana memkumbuka baba
kwangu mim alikuwa mzur sana
Mungu wetu ni mnyenyekevi hawa wanae Mungu wao Mungu wa Dagon
mama Samia... hajapendezua na speechless ya mzee makamba sema anamheshimu tu...
Mungu wangu Tanzania. Tumekwisha.miaka 60 ya uhuru bado watz hawajaelewa kinachondelea Tz. watz wengi ni km sokwe ktk vichwa vyao.
Hivi kweli waliokufa ni wabaya mbona mzee amefika mbali, tunaomba atueleze alikuwa na maana gani, Mungu hataniwi jamani. NO, NO. NO
Mzee kuwa na hofa ya mungu acha unafiki. Pumzika na vijana wafanye kazi
Yaani speech ya hovyo kweli kweli haijawahi tokea.... Kwani baba yako na mama yako wapo hawajafa? Inamana walikuwa ni watu wabaya?. Wewe una bima na Mungu, inamana hujui kuwa utakufa? . Mwenyezi Mungu akiamua kuwachukua watoto wako wote leo hii usisahau kuieleze nchi kuwa walikua wabaya. Daah Mungu atusaidie tuache uongo.
Mzee makamba hafiki 2024
WAZIRI MKUU mbona simuoni
Huo ndio ujumbe wake kwa wanachama wenzake lakini ukiikariri moja katika sentesi yake kasema neno "NAOMBA -NAOMBA" wanachama wenzangu : hawa ambao sio wanachama yabisi tuangalie mpira madirishani sio uwanjani
Great speech
Mzee kapinda sana!🤣🤣🤣🙌🏾🔥🔥🔥🇹🇿
Vijembe vya makamba vinakiua chama chetu..!!!
Mtu kusema wazuri hawafi ni sawa na kusema wanaokufa ni wabaya, hii ni kweli ndg zangu, mimi ni mwana ccm lakini huyu mzee aah
Maendeleo kusema katiba yao wameandika wenyewe hivyo wasiogope kuivunja wenyewe kweli jazba imepanda kama wako tayari hata kuivunja katiba ya basi mambo yamekuwa makubwa hebu kwa amani wapenzi wanachama wengine nao uhuru wa kutoa mawazo yao wasiburizwe tu
Mzee anatafuta asali mpaka atakuja kumba hata nyuki 😂😂😂😂
Mzee umechemsha pia. Sio Bashiru tu. Watu wazuri hawafi maana yake ni nini?
Unamuona hata Raisi samia mashavu yamemuvimba anacheka tu wamempanga hayo maneno
Mijizi mitupu nawatoto wao mnajidanganya sana!
Huyu mzee amezeeka sana ndo sababu anasema Katiba ivunjwe
Sidhan kama Samia atakuwa na ubavu wa kumuadabisha Januar Makamba hata akiboronga vipi, akijitahid sana atamhamishia Wizara nyingine! Kwa vizee hivi, Samia hana sauti! Vinafanya vinavyotaka tu! Mpaka matamshi ya ovyo mbele yake!
Hekima Hana hekima huyo ni Chawa TU.
Mzee Makamba 😭😭
😭😭😭😭😭🇹🇿, n huzuni kwa kweli
Mganga wa Kienyeji anaitwa Rajabu kachaguliwa wapi mzee??
Watanzania sio wajinga (JPM) Siku itafika.
Mzee katoboa tobo
Wazuri hawafi ndio maana jk yup ndio maana kinana yupo mbaya aliyekufa ni nani ? Nyoosha maneno mzee tumekufahamu !
Wazuri hawafi anauzuri gani kumuzidi yesu
Wenye chama chao wakishusha mistari..
Amekufa membe makamba hajasema kafambaya mwingine sisi tumasema kafa lafiki dawa na nguluwe
Watu wazuri hawafi???? SMH.
Babu
Mzee mnafiki huyu hatari
Mmmmm. Wazee wanakiharibu chama
Mzee anaudikteta.
Wenyechama chao hao
Kweli apa ni shidaaaa
Chama kilicholewa madaraka ni kile ambacho viongozi wake ni kama huyu anayesema eti hakuna wakuwauliza kitu na kanuni na Katiba si kitu cha kuwazuia kuzimia wanachotaka. Wenye hekima ndani ya CCM jiulizieni mlifikaje huko?
Eti waazimie sasa hivi hata kama kanuni na Katiba haviruhusu. Sasa bila kuheshimu kanuni na Katiba huo ni uongozi wa aina gani? Viongozi wa aina hii hawajukubushi misingi kwa kusoma kajibu ka Mwalimu Nyerere kautwako TANU na RAIA kalikochapishwa mwaka 1962
Muongo mkubwa
Huyu mzee retire, no wonder bado tuko maskini, huyu eti alikuwa kiongozi. Typical bongo imbecile.
Huyu mzee anadhani anaongea na wapumbavu
Mzee Makamba
Kwani chama pinzani kiko wap kwanini msifanye juu chini hiki chama kikatoka madarakani jamani tumekichoka hiki chama