HUYU NDIYE DK BASHIRU: MSOMI na MFUASI 'MTATA' wa MWALIMU NYERERE - MATAMSHI YAKE YAZUA MANENO MENGI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2023
  • HUYU NDIYE DK BASHIRU: MSOMI na MFUASI 'MTATA' wa MWALIMU NYERERE - MATAMSHI YAKE YAZUA MANENO MENGI
    Machi 31, 2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya safu ya utawala wake mara tu baada ya kuchukua hatamu kutoka kwa Hayati Dk John Pombe Magufuli aliyetangulia Mbeya haki siku ile ya Machi 17, 2021.
    Siku hiyo Rais Samia alifanya teuzi; alimteua aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Mipango na Fedha akichukua nafasi ya Dk Philip Mpango ambaye siku hiyohiyo aliapishwa kuwa Makamu wa Rais.
    Kisha alimteua aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Bashiru Ally Kakurwa kuwa Mbunge wa Kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
    Kabla ya hapo, uteuzi wa Dk Bashiru kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi uliofanywa na Hayati Magufuli haukutarajiwa na ulizua maneno mengi, lakini wengi waliamini anaweza kuitumikia vyema nafasi hiyo kabla ya kuondolewa na Rais Samia na kubaki kuwa Mbunge wa Kuteuliwa na Rais ambaye ana nafasi kumi za kuteua wabunge kikatiba.
    Kwa nini Dk Bashiru anazungumzwa sasa? Ni kwa sababu katika Mkutano wa 10 wa Bunge linaloendelea jijini Dodoma ametoa hoja iliyoibua mjadala mzito.
    Dk Bashiru amezungumzia mfumko wa bei akisema ‘njaa’ inadhalilisha heshima na uhuru wa nchi na inatweza utu wa binadamu.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 152

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +5

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia ปีที่แล้ว +20

    Wakwanza jmn like zangu kwa mwamba mtata 💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @marrymenas
    @marrymenas ปีที่แล้ว +4

    Nampenda sana Bashiru sana tu! Namuomba Mungu 2025 achukue form huyu ni Rais wang ajaye! Niko radhi anioe hata mke wa pili, yaan namkubali mno!!!

  • @josephatmasawe5924
    @josephatmasawe5924 ปีที่แล้ว +13

    Moja kati ya walimu wangu bora sana.

  • @samhadas788
    @samhadas788 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akulinde

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว +5

    Dr Bashiru keep your head high.Tunakupenda

  • @iddyngaiwa
    @iddyngaiwa ปีที่แล้ว +10

    Bashilu nakuelewa sana

  • @nestor384
    @nestor384 ปีที่แล้ว +8

    Kiongozi mkweli na wa kweli.. Mwl J Nyerere na hayati Dr Magufuli wakiungana na kumuibua jemedari Dr Bashiru Ally.

  • @czmediaconsultant5640
    @czmediaconsultant5640 ปีที่แล้ว +17

    Kwa Tanzania 🇹🇿 ndiye pekee ambaye ana sifa ya kuiokoa Tanzania 🇹🇿, nje ya hapo taifa litakuwa linatania tu,kama nchi tunataka uimara wa nchi yetu basi wale watoto wa vigogo waachane nao,huyu pekee

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +11

    Hiyi Global TV izingatiwe kua miongoni mwa TV bora sana Za online. Maana habari zenu zina tija kwa jami. Ongereni sana.

  • @gervaskasala7321
    @gervaskasala7321 ปีที่แล้ว +7

    Namkubari mwambaa

  • @roviykamage5423
    @roviykamage5423 ปีที่แล้ว +10

    Nampenda sna huyu shujaa sana . Na mtu kweli

    • @emmanuelrupaki4505
      @emmanuelrupaki4505 ปีที่แล้ว

      Bashiru na Pole pole wote hao 2 ni majambazi wa kisiasa na wanafiki wakubwa.
      Watakumbukwa Kwa jinsi walivyotekeleza Sasa za jibabe za nwendazake

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 ปีที่แล้ว +12

    Jamaa maoni yupo vyema Sana Magufuli sijui akitaka amuweke Nani

  • @habibumohamed1543
    @habibumohamed1543 ปีที่แล้ว +6

    Naona ni kiongozi mzurii Sana Bashiru hasa katika kuifanya serikali iwe makini katika kutekeleza wajibu wake kikamilifu
    Anafaa Sana Bashiru nasimama katika kuamini Hilo kuwa Bashiru ni kiongozi sahihi Sana, hakosoi serikali Kwa Nia mbaya au Kwa kuichukia Bali ni katika kuiweka serikali makini

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 ปีที่แล้ว +15

    Bashiru siyo "Mnataka" ni mtu mwenye akili nyingi mkweli anayesimamia ukweli na Imani kwa anayoyasema. Viongozi wa CCM walioko madarakani wanamhofia kwa kuwakemea na kuwaambia ukweli. Madudu mengi sana kwa sasa nchini,wananchi wanaomboleza.

    • @fulgencemark7640
      @fulgencemark7640 ปีที่แล้ว +1

      Kwa nini ukweli huo hskuusema wakati ile wa mateso?

  • @Noricssa
    @Noricssa ปีที่แล้ว +6

    Ninampenda huyu baba jmn uwiiii😭
    Mungu wetu mtu huyu anatufaa saaana wapenda haki

    • @winfredmgindo3268
      @winfredmgindo3268 ปีที่แล้ว +1

      Mungu ambariki sana huyu kijana! Msemakweli ni mpenzi wa Mungu! Kazi ya binge sio kusifu Bali ni kuangalia namna ya kuleta maendeleo

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 ปีที่แล้ว +4

    Bashiru ccm inamuogopa as simple as that 😊😊😊😊

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 ปีที่แล้ว +7

    Huyu jamaa namkubali Sana anamisimamo balaa tangu nyumbani ni no a Sana amenifundisha mengi

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 ปีที่แล้ว +3

    Dr Bashiru ni mwamba huyu hapaaaaa! Oya huyu ni mtu kazi sio poa

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 ปีที่แล้ว +2

    Huyu ni aina ya Kiongozi ambaye ni sura ya Nyerere au Magufuli ila kuna hapendwi kutokana na msimamo wake madhubuti Tunamwombea Mungu iko siku Watanzania tutafanikiwa kumpata huyu Kiongozi Mungu ibariki Tanzania Mungu Ibariki Afrika

  • @jadilimasambo2575
    @jadilimasambo2575 ปีที่แล้ว +4

    Wewe..ndio unasema ukweli wote...ila watakutafuta wenzako

  • @williamchina6355
    @williamchina6355 ปีที่แล้ว +6

    Bashiru Ndio Mzarendo Tunaemuona Kwa Sasa Ukweli Tupo na Hali Ngumu mno

  • @jeremiaholesingooi3940
    @jeremiaholesingooi3940 ปีที่แล้ว +6

    Shida ya CCM mkiambiwa ukweli mnachukui juu viongozi wengi wa CCM wanapamba serikali

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +8

    Huyu jamaa anataka kufanana na Ruto wa Kenya

  • @charlestimoses2211
    @charlestimoses2211 ปีที่แล้ว +3

    yupo sahihi kabisa ni mwiba mwingine

  • @jorammasoro3536
    @jorammasoro3536 ปีที่แล้ว +4

    waiting to learn something.

  • @NenoTV1
    @NenoTV1 ปีที่แล้ว +3

    Barikiwa sana.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 ปีที่แล้ว +5

    Wapili hapa naingoja hiyo

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 ปีที่แล้ว +7

    Mjamaa aliyebaki

  • @emmanuelrutaihwa6545
    @emmanuelrutaihwa6545 ปีที่แล้ว +5

    Mpo vizuri kwa kuhabarisha

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke 3 หลายเดือนก่อน

    Mjamaa Bashiru Ally namkubali sana

  • @benjaminmpandangazi
    @benjaminmpandangazi ปีที่แล้ว

    Mungu Akulinde

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 ปีที่แล้ว

    Dr keep it up

  • @nashonmwagito4873
    @nashonmwagito4873 ปีที่แล้ว +1

    Yupo vizuri

  • @meshackmlaki2066
    @meshackmlaki2066 ปีที่แล้ว +2

    Kikwete Tunakushukuru Kwa mda wako Asante tuache tutafute viongozi wetu

    • @geofreykalo
      @geofreykalo ปีที่แล้ว

      Kikwete kasema haoni mtu wa kuchukua fomu 2025 hivi Yuko sahihi?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 10 หลายเดือนก่อน

      @@geofreykalo Kwa mujibu wa taratibu zao CCM kiongozi anapokuwa madarakani hatakiwi kupingwa mpaka amalize miaka 10 ili kuepusha mgongano! Nadhani ndiko JK aliposimamia

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 ปีที่แล้ว +2

    Bashiru mwamba kwelikweli

  • @muhiyidinishabani
    @muhiyidinishabani 7 หลายเดือนก่อน

    Bashiru yupo vizuri

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 ปีที่แล้ว +4

    Yani nimekuja jikuta namfatilia bashiru hata sielewi Kwa nini

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 ปีที่แล้ว

      Huyu ni chawa Hanalolote mshamba tu,amuache mama afanyekazi ya kulijenga taifa

    • @hanifaomar7438
      @hanifaomar7438 ปีที่แล้ว

      @@salehesalehe2967 kwaiyo mmekutana machawa wawili 🤣🤣

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 ปีที่แล้ว

      @@salehesalehe2967 huyu kiboko cha samia

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 ปีที่แล้ว

    Dr Bashiru
    Uko sawa

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 ปีที่แล้ว +2

    Rais wetu ajaye 2025

  • @babajohn8308
    @babajohn8308 ปีที่แล้ว +2

    Ukute badae anakua Rais sijui watu watajifcha wapi

  • @athumanadam954
    @athumanadam954 7 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli huyu anafaa sna katika ustawi wa nnchi yetu mungu awaongoze walioko kumpa nafac

  • @J4UPro
    @J4UPro ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwamba anamkubali sana.

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 ปีที่แล้ว

    Dr. Bashiru kaa ndani ya ccm ikosoe, wape ukweli juu ya udhaifu wao.

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 ปีที่แล้ว +3

    Raisi ajae 2025

  • @bahatihamissi1161
    @bahatihamissi1161 ปีที่แล้ว

    Tanzania 🇹🇿 tunatakiwa kuwa na kiongozi Kama huyu Bashiru is the best

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 ปีที่แล้ว +1

    Yuko sawa mambo ya kusifia kwenye hakuna kisa wachumia tumbo si sawa acha aseme na chama cha ccm hakitakuwepo kimedharaulika kweli tutakufa na njaa kweli

  • @ley688
    @ley688 ปีที่แล้ว +4

    Ebu ncheke wa tatu hapa

  • @mathiasulaiti5665
    @mathiasulaiti5665 ปีที่แล้ว +1

    real pillar

  • @tadeishirima717
    @tadeishirima717 7 หลายเดือนก่อน

    Dr Bashiru anasifa zote za uongozi Ccm bado hatujamjua wapinzani wamemjua ni mpole na msomi aliyebobea anasifa za kutosha Mungu alimnde

  • @mboneamshana9080
    @mboneamshana9080 7 หลายเดือนก่อน

    Bashiri tunakuombea Mungu akulinde akupe afya njema wewe ni kipenzi cha wanyonge

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 7 หลายเดือนก่อน

    Mbegu alizo zipanda magufuli
    Lazıma zitaota kwani zimepaliliwa
    Na mbolea bora
    Rip Magu

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 11 หลายเดือนก่อน

    Ccm lazima tumrudishe Bashiru Ally ndani ya system za juu

  • @filibertmassao1252
    @filibertmassao1252 ปีที่แล้ว

    Shenzi, channel mavi. Dr ameongea tumemsikia. Huyo anayerudia alichokisema anajua bei za mbs?

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 ปีที่แล้ว

    Yeah wa Pumbafu 😊😊

  • @damianichayo895
    @damianichayo895 ปีที่แล้ว +5

    Acheni unafiki wa kupenda tu bila kuona nani mkweli. Bashiru msimamo wake hautifautiani na JPM kwamba ukiwa CCM na unaharibu atakuacha. Sifa zao ni yeyote mzalendo ama nje ya CCM au ndani ya CCM.

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 ปีที่แล้ว

      Sukuma gang wanateseka sana, wangekuwa na uwezo wangemrudisha mungu wao

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde ni wewe tu uliyebaki kuiletea heshima Tanzania

  • @allankimaro4327
    @allankimaro4327 11 หลายเดือนก่อน

    My best leader of all time after John magufuli....

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 ปีที่แล้ว

    Mzalendo wa kweli
    Bashiru

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 ปีที่แล้ว

    awe sukuma gang au laa! anauelewa ,na si mnafiki,ila wasomwelewa na wasiojielewa wanamtafsiri vibaya.kwani anayesifiwa ni samia tu?

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 ปีที่แล้ว

    CUF?

  • @roviykamage5423
    @roviykamage5423 ปีที่แล้ว +1

    Aje kua mtawala wetu siku za uson anaweza

    • @henricomuhoja3368
      @henricomuhoja3368 ปีที่แล้ว

      Dr.Bashiru ndiye wa pekee uliyebaki Mwenye Msimamo,Tunakupenda Sana Watanzania

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 ปีที่แล้ว

    DR BASHIRU SHUJAA WETU

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 ปีที่แล้ว

    Diiii

  • @manasemeta4668
    @manasemeta4668 ปีที่แล้ว

    VIP gro chetu mp Cruz VII

  • @johnmangaga4949
    @johnmangaga4949 ปีที่แล้ว

    Huyu NDIYE anafaa kbsa' kuwa kiongozi mkuu WA NCH kama tunataka maendeleo!; Siyo hawa wanaopenda kusifu Kila kitu HATA kitu hakistahili kufanya HiVYO!;

  • @edyboychamiliion1360
    @edyboychamiliion1360 ปีที่แล้ว

    Sasa huo wosia vpp??, kwani mwendo ashaumaliza?

  • @janerosesolomon832
    @janerosesolomon832 7 หลายเดือนก่อน

    pambana kaka kakurwa usiache

  • @user-ju5ph3jp6f
    @user-ju5ph3jp6f 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka yangu Bashiru ipo siku Dunia itakuzungumza kuhusu wewe Kila neno lako linanipa kusisimka mwili

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 ปีที่แล้ว +1

    Global ni ya Sukuma gang.

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 ปีที่แล้ว

    Tulia mwalimu Bashiru ujilie vyako kaka maisha yenyewe mafupi

  • @kamugishajacob3014
    @kamugishajacob3014 ปีที่แล้ว

    umemfafanua vizuri miminaongeza kusema bashiru hajawai kujivunjia heshima wala kuvuruga kakuru ni mpambanaji shujaa toka utotoni mwake kila anapoeda ushika nafasi za juu kuanzia shule hata timu za mpira kila timu iliyokuwa na bashiru ilishika nafasi ya kwanza

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 ปีที่แล้ว

    Mwizi tu

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 ปีที่แล้ว

    Huyu mwamba wangempa uprofessor tu.

  • @adamskainga6056
    @adamskainga6056 ปีที่แล้ว

    Hivi bunge ya tz inakaa kichinjio

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 ปีที่แล้ว

    Ajitokeze bila kuogopa.....kugombea urais kupitia chama chochote .. Wajamaa wote tuungane tukomboe nchi toka Kwa ubepari uliopo....

  • @josephgervas5308
    @josephgervas5308 ปีที่แล้ว +1

    Bashiru mwamba anafaa kuwa rais ajae

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 10 หลายเดือนก่อน

      Kabisa, Ila watu wa hivi huwa hawapendwi sana

  • @ezekielchaz454
    @ezekielchaz454 ปีที่แล้ว

    Kusifu na kushukuru kwa haki yenu cyosaw mwamb bashiru

  • @adamzakaria5860
    @adamzakaria5860 ปีที่แล้ว

    aongee tu ukweliii na ukwelii unakatiliwa lkn badae watagundua

  • @thestar_tz
    @thestar_tz ปีที่แล้ว

    Mbona huyu ni Mwl nyerere kabisa???. Nimeingia kwa undani kwenye uwepo wa huyu jamaa. Nimemuona mwl nyerere

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 ปีที่แล้ว

    Nikikumbuka Bashiru kabla ya kuteuliwa alipokuwa anatoa hoja zenye kusisimua na kujenga Ila baada ya kuteuliwa akageuka shetani

  • @reahwillisonmwasenga7805
    @reahwillisonmwasenga7805 หลายเดือนก่อน

    Tumezoea kizuri hakidumu wasiojulikana wasije mdhuru

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 ปีที่แล้ว

    Albashiru is the polition who suppose to be prime minister not position ccm use albashiru as the voice on low classes capacity of high volume on gavment albashiru is not pasornol can be undermine vary lteligence polition vary educated polition not only educated polition but vary lteligence polition this is what ccm they have to know value of albashiru

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 ปีที่แล้ว

    Jembe

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 ปีที่แล้ว

    Mzalendo
    Na mchapakazi
    Shijaaa
    SIMBA
    Ni Bashiru 2025

  • @lameckmmbaga7605
    @lameckmmbaga7605 ปีที่แล้ว

    Tumeona viongozi wasiasa wanafiki Makufuli alopokuwepo huyu ndiye alipokufa hakufaa leo mama anaupinga mwi hi hakuna mzalendo hapa

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn ปีที่แล้ว

    Vema mgekuwa mnaweka na jinsi ya kuwasiliana na watu maarufu kama huyu, email au/na cmu yake. DYAMVUNYE DSM.

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 ปีที่แล้ว

    Watu kama Dr Bashiru Ali wapo tunawapenda shida yenu watanzania hatuna ujasiri was kuwatetea kusimama nao na kuwalinda wanapo hujumiwa na mfumo tunaacha wapambane wenyewe ndio maana na wao husita kuendelea na misimamo yao inawabidi watulie tuli. Majasiri wema kama hawa wangejua umma uko nyuma yao angesimama imara

  • @yassinmuamba2526
    @yassinmuamba2526 ปีที่แล้ว +1

    Mwamba huyo hapo tandandaa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 ปีที่แล้ว

    Albashiru is educate polition
    Sometimes albashiru use his education for benefits ccm but ccm rooling same of members who think albashiru is agast ccm Wich is not but political with no check and balance outcome part goes on Rong darection this is what ccm rooling part they have to understand who is albashiru and valeu his education in politics

  • @amosmichael8986
    @amosmichael8986 ปีที่แล้ว

    Mwamba anajua

  • @mussamsawilah2762
    @mussamsawilah2762 ปีที่แล้ว

    Wasomi kwa hi inchi uwaawapewi nafas za kuongoza

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 10 หลายเดือนก่อน

      Unataka wapewe nafasi gani tena, wakati mawaziri kadhaa na wabunge Wana PHD

  • @franciskasembele5938
    @franciskasembele5938 ปีที่แล้ว +1

    Nikweli kwakweli watu wanaumia sana snaw tu.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 ปีที่แล้ว +3

    Huyu si mfuasi katika sukuma gang?

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 ปีที่แล้ว

    Kiongoziyoyote. CCM ikimufia.mikononimwake huyo atakuwakiongozi wakarune kwakuwa CCM nivyama vichachesana hapaDuniavikongwe ambavyobadoviko madarakani .

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli ajae naamini hivyo nituzi ukipenda nisawa ukikataa

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 ปีที่แล้ว

    Mjinga Wewe, mbona kipindi Cha dictator John pombe magufuli ulikuwa unasifu mpaka ujinga ?.

  • @jeremiamalima9112
    @jeremiamalima9112 ปีที่แล้ว +1

    Uyu ni raisi

  • @ilungasalle
    @ilungasalle ปีที่แล้ว

    Huyu ndiye bashiru aliyenunua wapinzani kigeugeu wa kutosha chawa wa marehemu magufuli hana jina lingine

  • @zachariamalley7076
    @zachariamalley7076 ปีที่แล้ว

    Mbona cku sikia kuwa aliwahi kuwa upinzani? Na mchango wake huko upinzani kuleta mabadiliko nchini? Kiongozi mzuri hutoa mawazo ya kujenga (constructive ideas) c mkosaji na lugha za kuchochea ukaidi au kiburi kwa wananchi. Anajitoaje kuwa sehemu ya serikali kwa kuiambia serikali iwe na ubunifu? Alete mawazo bunifu mezani ifanyiwe kazi.