hili Taifa tunapaswa kuomba sana, angalia watoto wa koo moja wakipeana madaraka. hivi lini atakuja mtoto wa mlala hoi akashika madaraka makubwa kama haya. Wema hawadum ila wenye roho mbaya wanadum ktk kutukandamiza...
Wazuri hawafi..Sawa sisi tulio hai ni wazuri sana kuliko waliokufa. Ila sitaki kuamini kama mzee mwenye busara anaweza tamka hivo. busara zenyewe kama ndo hivo mmmm
Mtu mzima ovyo Yan mtu mzima unasimama mbele ya watu unasema watu wazuri hawafi bila aibu kwaiyo waliotangulia mbele za haki wao ni wabaya sio .yan TZ tuna watu wazima ovyoooooooooooo
Ipo siku tanzania itakuwa kama ukrni na rashia.maji nn xaxa aibu hiyo ni mirad inatakiwa kuzinduliwa na watendaji si rais inaonekana wamafka mwisho wa fikra
Serikali hii ya hovyo sana, kuupiga mwingi ni kuwaibia ela za wananchi Nina maanisha Kodi zetu, alafu Jua wewe na huyo unaemsifia hio 2025 hamtofika MUNGU yupo lazima na nyinyi mfe
Binanadamu usiwe nakiburi cha uzima maisha ya mwnadamu hajawaihi kujiongezea uhai haya siku moja hata Kama utaishi miaka mia sio mwema kuzidi waliotangulia mbele za haki mzee acha kukufuru
Mbona mwanae alikuwa anasaidia gas Kwa wamama wasitumie tena Kuni?? Wamama walishamgilia sana, na kushangilia kule nadhan mtungi ule mdogo utadumu miaka 51 ndipo uishe gas ndani. Nadhan gas ikiisha hao hawatauziwa watajaziwa buuuure, hawatalipa shs 21,000!!!!🤣🤣🤣🤣🤣 waTanzania hasa viongozi, tuna tatizo kubwa, Huwa tunadhani TUTAISHI PASIPO MWISHO. Tunajilimbikizia kujilimbikizia kujilimbikizia kujilimbikizia, lakini kama ni za Halali si dhambi lakini kama ni dhulma ohooooooo! S H.
MZEE WETU MAKAMBA MZEE WA HEKIMA! MBONA MEMBE ALIPO TAKA KUSHINDANA NA MAGUFULI HUKUSEMA MANENO MAKALI KAMA HIVYO ? AU NI KWA KUA ALIMNYIMA MWANAO UWAZIRI?!
Kizee Cha hovyo katuzalia mtoto wa hovyo HAKI ya MUNGU kazi ipo ✍️
hili Taifa tunapaswa kuomba sana, angalia watoto wa koo moja wakipeana madaraka. hivi lini atakuja mtoto wa mlala hoi akashika madaraka makubwa kama haya. Wema hawadum ila wenye roho mbaya wanadum ktk kutukandamiza...
Mwenyezi mungu shurika nao wanaoshurika na taifa letu mungu wetu hujawai kushidwa mungu simama na watoto wako
Bora ata mzee mpili wa yanga
Kuliko huyu Mpelumbe
"Wabaya hufa...wamekufa!" Duuuh! Cry the beloved country!
Komeni kabisaaa
Nchi haiongozwi kwamisamiati inaongozwa kwa akilinamaarifa ukionavyaelea vimeundwa.
Mungu fundi
Ccm tumewachoka sanaa mnalipeleka hili taifa makaburuni kwa tamaa zenu za mali na njaa zenu zizizo Aisha mbwa nyie
Mtu mzuri hafi, maana yake hata akifa ataendelea kukumbukwa kwa mambo yake aliyoyafanya. Mfano J.K. Nyerere
hajamaanisha hivo.. msikilize alivoendelea baada ya hiyo sentensi..
Kweli pengine hii ndio ilikuwa tafsiri yake
Tukisema hatuna viongozi bari tunawapumbavu tu
Kaaaa akika atuna wazee tenaaaa busara yako iko wapi unafundisha watu kufunja katibaa
Magu aliwakimbiza wakuda wote sasa wamerudi tusubili mateso
CCM msitufanye kuwa wajinga. Kwani Samia alikuwa na mpinzani kwenye kiti hi hicho?????
Daah!! R I P magufuri na msiwe mnawaongea watu ambao waliotutangulia mbele za haki aisee
Mzee uve 2 mmeiba sana na wanao na wana ccm wote lait mngekufa wote.lakn ipo siku watanzania watachoka
Kikwete anachekelea mafisadi makubwa
Anavyoongeatu unajuwa huyuhana elim ni polojotu
Wana sisi cmm ivi kweli tena mnampa mwanamke tena nchi hii kweli
Mzee Hovyo Sana Huyu .. kwanini mnampa Nafasi
Ukiwa mnafiki unapo kuwa mzee wala haipendezi mzee makamba alikuwa ana iba Mali ya ccm na kuchukuwa rushuwa
Duu kweli wameua kufuru kwelikweli
Msumeno hukatambelenanyuma sharia umezitunga wewe basi usiende nje ya hizo sheria.
Kwahiyo wazaziwako walikufa nimafala?
🤐
Makamba wewe ni mnafiki
Wazuri hawafi..Sawa sisi tulio hai ni wazuri sana kuliko waliokufa. Ila sitaki kuamini kama mzee mwenye busara anaweza tamka hivo. busara zenyewe kama ndo hivo mmmm
Wewe kazee utakufa Vibaya kachawi kakubwa na wewe. Samia Sina respect. Na wewe tena
Mtu mzima ovyo
Yan mtu mzima unasimama mbele ya watu unasema watu wazuri hawafi bila aibu kwaiyo waliotangulia mbele za haki wao ni wabaya sio .yan TZ tuna watu wazima ovyoooooooooooo
Kwahiyo mliwakalia vikao so what mnataka kumwondoa Bashiru
Katakufa vibaya haka kamzee
😂😂😂😂. Eee MUNGU tusaidie sisi wanyonge.
Wazuri hamuwapendi mnawahamishia nchi Tena makamba sikupendiiiii 20 25 upinzani.
Mzee mpumbavu huyu
Hovyo kabisa
Kababa ndumila kuwili haka
Uyu mzee ajui atendalo
Utamchagua wewe na wanae muunga mkono mtu mzima ovyoo na Samia anamchango gani vijijini,
Huyo mzee akiliimechoka
Anaharisha na kutapika mahela waliyoiba, hawa wazee watupwe gerezani wapumbafu sana
Mzee hovyo saana tuambie kwa nini Rais Wakristo pekee wanakufa we si una mdomo unajua yote kiboko yako slaa
Kwahiyo unatumaanishia kuwa wanaiba Sana et ?
Ipo siku tanzania itakuwa kama ukrni na rashia.maji nn xaxa aibu hiyo ni mirad inatakiwa kuzinduliwa na watendaji si rais inaonekana wamafka mwisho wa fikra
Kizee hiki kinafiki kweli
Kavu kweli hili babu linatetea ugali wa mwanae kavu mwenzie
Wana ccm wenye akili amkeni. Familia moja zinatawala
Kwahiyo Kwa Mzee Makamba wote waliotangulia mbele za Haki ni Wabaya kheri yako mzuri
hichi kizeekimesha poteza kumbukumbu kitaishia pabaya
Mj
Mama samia anahela ..kumbe uzee nao ni ujinga ukiuendekeza ...
Hili taifa linangamia kwakua na viongozi wabovu Kama makamba Wewe Ni njaatu huna mchango wowote
Watu wazuri hawafii!!!!
Eh! Eh! Eh! -
Hapa amepotoka
....ndiyo maana .... .... .... wapo!!!
Ina maana hawata.....k!!!!!!
Kweli ninyi ni mbwa
Serikali hii ya hovyo sana, kuupiga mwingi ni kuwaibia ela za wananchi Nina maanisha Kodi zetu, alafu Jua wewe na huyo unaemsifia hio 2025 hamtofika MUNGU yupo lazima na nyinyi mfe
Baba akiwa hovyo mtoto lazima awe hovyo
kwakupeana kweli uu ni ujinga
Mafisadi wakubwa
Makamba ni muislamu haramu.Kwani mtu mzima hawezi kusema eti mtu mbaya anafa haraka na mtu mzuri hafe.
Binanadamu usiwe nakiburi cha uzima maisha ya mwnadamu hajawaihi kujiongezea uhai haya siku moja hata Kama utaishi miaka mia sio mwema kuzidi waliotangulia mbele za haki mzee acha kukufuru
Mzee Makamba anatakiwa apumzike kwani ushauri wake una utata. Asiwavuruge watanzania.
Kauli ya wazuri hawafi mmmh! Afafanue alichokusudia.
Jaman umeme bado shida R.I.P JPM
Mh!
Wezi watupu
Huyo mzee mwehu ccm pekee hawawezi kutoa ushindi tupo na sisi , hatumpi kura mwizi
Endeleeni kumponda mtu aliye Kaburini ipo siku mtalia Kwa machozi ya WATANZANIA maana mmekwisha kupata Raha yenu ✍️
Wazuri hamfii wanakufa wabaya ! He! Sie masikio yetu kusikia !Mh!!Mungu '''
@@enocksamwel3146 kauli mbaya sana sana.
Pumzika sasa uwombe toba
Hawa umbwa tu
Huyu mzee hafai kimbembele sana hafai kwenye siasa hajui watanzania wanapata taabu sana
CCM wote wezi tu majambazi wazee kama Hawa hawajui kama waliwaongoza miaka ya nyuma million 10 lakini sasa tuko milioni 70 tungamana wewe
Hovyooo hamnakitu mpaka wanajiita familia moja ipo siku isiojulikana
Hii nchi uongoz unaenda kifamilia
Utumbo kabisa
Maneno makubwa hayo CCM oyeee
Mnacheka tu wawakirishi wa wananchi wa Tanzania Magufuri kufa ana maana hakuwa mtu mzuri??????.
Achakumja mtume katika sehemu ya kishetani rudiza toba
Watu wazuri hawafi!!
Ujui usemalo wewe mzee mbwa tu wewe na mwanao data yenu inachemka
Mbona mwanae alikuwa anasaidia gas Kwa wamama wasitumie tena Kuni??
Wamama walishamgilia sana, na kushangilia kule nadhan mtungi ule mdogo utadumu miaka 51 ndipo uishe gas ndani.
Nadhan gas ikiisha hao hawatauziwa watajaziwa buuuure, hawatalipa shs 21,000!!!!🤣🤣🤣🤣🤣
waTanzania hasa viongozi, tuna tatizo kubwa, Huwa tunadhani TUTAISHI PASIPO MWISHO.
Tunajilimbikizia kujilimbikizia kujilimbikizia kujilimbikizia, lakini kama ni za Halali si dhambi lakini kama ni dhulma ohooooooo! S H.
Ni ujinga mtupu
Huyu mzeee, anapoteza uwezo wa kuongea Sasa,anacho kiongea analikua mwenyewe
Kuupga mwingi ni kuiba sana watu si wajinga et
Mh unashauli kuvunja mlichokiandika
Hii chama kumbe bado giza .. maana kuteseka kwa walipa kodi huyu aoni . Wazuri hawafi ..anaondoka huyu hana muda ... mswahidi ujinga
Angalieni ukuleni nao walikua wajinga kama makamba saivi wanajuta
Watu wazuri hawafi sijaelewa.
Mandela yuko hai... Nyerere yuko hai... Martin Luther King yuko hai... Watu wazuri hawafi... Wanadumu... Wanaendelea kuishi milele...
Lizee la hovyo hovyo sana hili na mtoto wako wa hovyo hovyo kabisa
anataka chama chake kivunje katiba
MZEE WETU MAKAMBA MZEE WA HEKIMA!
MBONA MEMBE ALIPO TAKA KUSHINDANA NA MAGUFULI HUKUSEMA MANENO MAKALI KAMA HIVYO ? AU NI KWA KUA ALIMNYIMA MWANAO UWAZIRI?!
Hata sasa mwanae asingepewa uwaziri asingekuwa anaongea kwa bashasha hivyo
Jamani lini tutapata wapinzani angaliene Haya gangster