USTADHI MBOGO AZIDI KUMNYOOSHA USTADHI SHAFII KUHUSU WAISLAMU KUISHI NA MAJINI KAMA DR SULLE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 มิ.ย. 2024
  • BAADA YA USTADHI SHAFII KUMLIPUA USTADHI SULEIMAN KUHUSU KUPOTOSHA KUHUSU KUMFUATA NABII SULEIMAN SULEIMAN AMEIBUKIWA NA MBOGO

ความคิดเห็น • 91

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 14 วันที่ผ่านมา +2

    shafii hakua anajua hii dini ni yamajini ,shafii njoo kwa yesu ju uisililamu ni mastory za kutafutwa tafutwa na hazipo ndio namuona shafii anapingane na uislamu juu anashangaa kuishi namajini na qurani inadhibitisha hilo

  • @farouqsilvester9918
    @farouqsilvester9918 14 วันที่ผ่านมา

    Mashallah safi sana sheikh 🙏🙏🙏🙏

  • @AllyKipende
    @AllyKipende 15 วันที่ผ่านมา +1

    Allah awalaani wote wanaoleta maswala ya ushirikina katika dini yetu ya uislamu

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 14 วันที่ผ่านมา +5

      Wewe ndo utaanza kulaaniwa maana husomi unangoja usomewe siku ukijua ndo utajua kuwa mwislam lazma uwe mshirikina

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 14 วันที่ผ่านมา

      @@rashidgona1808 ndo kitabu cha pekee unakikutaa msikitini na kwa wagangaa wa kienyejii

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 14 วันที่ผ่านมา +1

      Uislamu niukafiri tupu

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 14 วันที่ผ่านมา

      @@user-dt5wp5qo4n UKRISTO NI UKAFIRI

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 15 วันที่ผ่านมา

    Mashehe zetu acheni ushirikina kutaka kuishi maisha ya kifahari apa duniani tutakwenda kujuta mbele ya Allah❤

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 14 วันที่ผ่านมา

      Kama ni ushirikina ulianza Kwa mtume Muhammad Kwa maana ata yeye alikuwa akiwaita majini soma vitabu Acha kukaa msikitini kama gogo

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 14 วันที่ผ่านมา

      @@rashidgona1808 shidaa hawasomii Quran ukiisoma ni ushirikina mtupuu kwanza walioandika Quran wale wanne mmoja alikuwa na mashetani kichwani pili Quran ndo kitabu pekee unakikutaa msikitini na kwa wagangaa wa kienyejii

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u 14 วันที่ผ่านมา

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 15 วันที่ผ่านมา +8

    Yaani ukiwasikiliza mashekhe wakweli km huyu unagundua Uislamu ni story za kubuni buni zisizo na kichwa wala miguu. Eti shetani anachongo kutokana na jiwe alilopigwa na Ismail! 😅😅😅😅😅

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 14 วันที่ผ่านมา +1

      Hilo liko wazi kaka! Baadhi ya masheikh ni kama wanaanza kuishtukia hii dini ndo maana wanaquestion vitu.sheik mbogo yupo sahihi ki upande wa uhalisia wa uislam na sheikh shafii yupo sahihi kuquestion vitu ambavyo havimake sense katika uislamu.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 14 วันที่ผ่านมา +1

      Kutunga tunga ole wako kufa kafiri motoni pale utakapo kufa ndio utajua dini ya kweli uisilamu

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu 14 วันที่ผ่านมา +2

      @@saba-gv3mj Yani dini ya majini ndo iwe ya kweli si Bora hata kuwa mpagani au Freemason? Nafahamu si rahisi mtu kuacha kile unachokiamini kwasababu tayari mafundisho hayo yamekukaa kichwani.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 14 วันที่ผ่านมา

      @@osmundmtavangu wacha nikuelimishe kondoo ulio potea wameumbwa majini na binadamu kuja kumuabudu mungu wapekee hata yesu kaongea na majini kuna majini wazuri na waovu wazuri walio muamini mungu waisilamu na kuna majini wabaya ni wale wakiristo wapagani maayahudi sasa hawa ndio wale wanao shawishi watu wawe freemason wanakunywa damu zawatu na kumuasi mungu sasa jini mkiristo na binadamu mkiristo musipo silimu basi mutapatana na adhabu ya milele kiyama yani hautoki motoni ulisikia lini dini kwa week wabudu siku moja

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u 14 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani ndugu yangu nashutukaa sana nakujua hii ni dini ni mastory tu Haina mwelekeo wanaishi namajini😂😂😂😂

  • @allyway999
    @allyway999 14 วันที่ผ่านมา

    😢😢

  • @moneybag801
    @moneybag801 14 วันที่ผ่านมา

    Ukafili Ume Kujya Kbs

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 11 วันที่ผ่านมา

    Internet imekuja kuufunua uislam

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 14 วันที่ผ่านมา

    Alitumwa yemen muadh R a

  • @salisali3738
    @salisali3738 14 วันที่ผ่านมา

    Hovyoo sana ww mbogo upo kama mwanamke umekalia umbea

  • @user-gj4wr5cu1q
    @user-gj4wr5cu1q 14 วันที่ผ่านมา

    Huyu yupo shaloo sanaa

  • @user-gj4wr5cu1q
    @user-gj4wr5cu1q 14 วันที่ผ่านมา

    Suna ya nabii mussa du!!

  • @mussamtimbinya
    @mussamtimbinya 15 วันที่ผ่านมา

    Kaka bado sana hoja zako hazina msingi sana

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 14 วันที่ผ่านมา +1

    NASHURUKURU MWENYEZI MUNGU KWA INTERNET.....IMESABABISHA UISLAMU KUJULIKANA NJE YA MSIKITI KUWA NI DINI YA USHIRIKINA....WAISLAMU NJOONI KWA YESU KRISTO....WACHANENI NA YESU WA MCHONGO KWA JINA ISSA BIN MARYAM!!

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 15 วันที่ผ่านมา

    Ushaambiwa Hadithi

  • @Pablolookman
    @Pablolookman 14 วันที่ผ่านมา

    Masheikh wa kibongo wengi wanashindwa kuvumilia njaa kimbilie mkalime hakuna masheikh wanaobishana sana kama masheikh wa kibongo

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 14 วันที่ผ่านมา

    We mwandishi naww vipi kwn ameuliza fimbo ya kuhutubu au fimbo ya uganga?

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 15 วันที่ผ่านมา

    Yaani mimi hushangaa jinsi watu wanavyondanganywa..mambo yoote yalioyonemwa ukiyapima vizuri Yana kasoro nyingi mno lakini...potelea mbali!

  • @AllyKipende
    @AllyKipende 15 วันที่ผ่านมา

    Ndugu yangu hayo unayoongea hayahusiani nasi mche mola wako

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 15 วันที่ผ่านมา

    inawezekana nikweli shafii Alisha jifunza hayo baada yakuona anamkosea mwenyezi mungu aliamua aachane namambohayo nakurejea kwa mungu wake siokosa kutubu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 11 วันที่ผ่านมา

      Hajui lolote huyo,ni mbumbumbu kama wewe

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 15 วันที่ผ่านมา +1

    Shetani alipigwa jiwe na Ismaili😂😂😂😂

  • @moneybag801
    @moneybag801 14 วันที่ผ่านมา

    Mwache Ukafili Kwenye Dini yetu Mbwa Nyinyi

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 14 วันที่ผ่านมา +2

    Sijui mwisilam akisikiliza hizi stori za mashekhe alafu abaki kuwa mwisilam

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 14 วันที่ผ่านมา

      Ni kama wamefungwa akili

    • @user-hp6gz6ln4k
      @user-hp6gz6ln4k 14 วันที่ผ่านมา

      Ebu fanyeni mdaalo Na Uyo Shafi Yani muongee live

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 14 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣 Hiyo Aya Aliyotoa QURANI 49:29 Haipo 🤣🤣🤣. QURANI 49 ona Aya 18 tu , Yaani 49:1-18 🤣🤣🤣 Huyo ni MGANGA Wa kienyeji hata Dini QURANI Hajui 🤣🤣🤣

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 14 วันที่ผ่านมา

      Pogo ni QURANI 26:29 inasema hivi QURANI 26:29 Na ( Wakumbushe ) Tulipokuletea Kundi Moja La MAJINI ( Kuja kwako ) Kusikiliza QURANI . Basi walipohudhuria Walisema ( KUAMBIANA ) : " Myamazeni ( Msikilize Maneno ya Mwenyezi MUNGU )." Na Ilipokwisha ( SOMWA ) Walirudi kwa Jamaa zao Wakiwaonya . 30 Wakasema : ' Enyi Watu wetu! Hakika Tumesikia KITABU Kilichoteremshwa Baada ya MUSA , Kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake na Kinachoongoza katika haki na Katika Njia Iliyonyooka , 🙏🙏🙏 🤣🤣🤣 Haya Wapi QURANI Imesema tunaishi na MAJINI MAJUMBANI MWETU ???

    • @user-rc2ye4ri6t
      @user-rc2ye4ri6t 14 วันที่ผ่านมา

      Muislamu haskilizi shekeh anafaa kufuata Qur'an na sunaah za mwenyizimungu

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 14 วันที่ผ่านมา

    Eeeeh ndio maana tunatolewa kafara barabarani ajali simejaa ,chakula cha jini ni damu oohh kumbeee heeeh hawa ndugu zangu wamepotea

  • @saidinsenda954
    @saidinsenda954 15 วันที่ผ่านมา

    Yani uyu jama niatari kweli ata kumswalia mtume anapo tajwa ajui ukimsikiliza vizuri mazungumzo yake ajui 😂 subhanallah 😂

  • @kassimkipande1858
    @kassimkipande1858 14 วันที่ผ่านมา

    Sasa kama viongozi manatahilifia jesisi WAUMINI ayomambo niyakuelekezana Tu sio kuzalilishana mitandaoni

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 15 วันที่ผ่านมา

    Mila ya Ibrahim, kwahiyo Mila ni dini?😢

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 11 วันที่ผ่านมา

    Kuna badhi ya mambo mengi yapo kwenye dini yenu hata nyie wenyewe mnaona aibu ila kwasababu mmekulia kwenye hayo mafundisho mnabaki kujikaza tu ili muonekane na nyie mnamwamini Mungu

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 4 วันที่ผ่านมา

    Acha kuruka swali ni jee mtume kafundisha

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 15 วันที่ผ่านมา

    Huyu mbogo unajua Nini bwana huyu SI mweupe TU

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 15 วันที่ผ่านมา

    Hujajibu swali Wapi aya au hadithi mtume kasema tunaswali na majini? Muogoeni mungu ❤

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 14 วันที่ผ่านมา

      Kama hamswali na majini msikitini wanaenda Fanya nini

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 11 วันที่ผ่านมา

      Majini hayana mtume zaidi ya Muhammad na hawana kitabu zaidi ya koran

  • @salisali3738
    @salisali3738 14 วันที่ผ่านมา

    Mbogo nyamaza huna nalo jua ww unavyo Ongee yaonyesha kabisa umetumwa

  • @allyway999
    @allyway999 14 วันที่ผ่านมา

    Tunawaamini mitumie na manabii wote ila tunamfua Bwna mkubwa tu wa umma wetu mbona very easy

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 11 วันที่ผ่านมา

      Kuoa katoto ka miaka 9 nasisi tunaweza kuiga kwake?

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi1895 15 วันที่ผ่านมา

    Wewe sio Sheik ni muhuni, hujui dini

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 14 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂siku zote mnamwita sheikh Leo sio sheikh ju ya kuongea uongo

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 14 วันที่ผ่านมา

      @@rashidgona1808 Nani Aliwagi kumuita huyu Shekhe ??? Huyu ni Mganga wa Kienyeji

  • @haidarimfinanga9755
    @haidarimfinanga9755 14 วันที่ผ่านมา

    Hivi katika kutangaza dawa zenu, hamuwezi kuacha kuchanganya na imani/dini?
    Kutibu kwa kiarabu sio lazima uwe muislam, kwa hiyo bakini na uganga wenu na viongozi wa dini wabaki kuzungumzia dini.
    Mnasoma vitabu vya kiganga halafu mnavihusisha na imani ya dini.

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 14 วันที่ผ่านมา

      Ww ndio huwelewi mbogo ako sawa maana majini walisikia qurani na wakaiyamini wakasili,jini na ww mkokitu kimoja,ukisoma bibila majini wanakimbia kwa sababu injili ni moto hata ww ukiichezea unabaki na laana,bas ww funga mdomo,ama uhame umkubali yesu na utaokolewa,toka kwa makafiri haraka,yesu anakuja fanya haraka umpokee akija uwe mmoja wenye tutaenda nayesu paradise,

  • @athumanimashingo6306
    @athumanimashingo6306 13 วันที่ผ่านมา

    Uyu sio shekhe, huyu ni nganga wa kienyeji, anatetea ugali wake!

  • @user-um7kj5kf6p
    @user-um7kj5kf6p 13 วันที่ผ่านมา

    Yaani.mnabishana.tu ndani ya uisram ushirikina nikawaida Tena Kuna mafundisho hupewa. Ni kwa Nini usram ndio unaofunua habari za majini na utendaji wake. Ukweli upo uisram umetoka wapi ninani aliye nyuma ya uisram ninani aliye mpitisha muhamadi awe mtume?

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi1895 15 วันที่ผ่านมา

    Hujui dini,nyamaza,shafii hakukataa, majini,aliseme hatuna mashirikiano nayo katika dini,na ishu ya pete iko wazi ni urembo tu, mbona wewe huna kitu pete yako ya bati,mjinga kweli?

  • @allyway999
    @allyway999 14 วันที่ผ่านมา

    Alafu shkhe inaonekana usasoma vizur quran au ujaielewa sawawa kama umeisoma Katika surat hijja 22. Mungu anasema kila umma tumewajaalia ibada zao wanazo zishika na kuzifuata basi msizozani katika hayo.
    Sasa wewe unataka kulaweka yako hapa wakat hui ni umaa mwingine shekhe we namnagani weee

  • @anafimagoto7139
    @anafimagoto7139 14 วันที่ผ่านมา

    Tupeni maandiko au hadidhi kama tumeluusiwa kutumia majini ? Tunataka ushahidi wa kur ani na suna munatuletea porojo tu

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or 12 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi masufi ndiokazi yenu kutetea shirki na bid-aa ndiomaana miji yapwani eatuwengi niwa chawi au washinikina kwasababu ya kusikiliza udajjal wenu wewe waachakuwekandevu utembeena bakora maama yake nini

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n 14 วันที่ผ่านมา

    Ww ni muongo kafiri

  • @EmmanuelMoses-pb1zh
    @EmmanuelMoses-pb1zh 15 วันที่ผ่านมา

    Hahahaha waislamu bhn yan kumbe ibilisi ana chongo

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 14 วันที่ผ่านมา

      Chizi huyo 🤣🤣🤣

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 14 วันที่ผ่านมา

      Mganga Wa Kienyeji huyo Hana ELIMU Ya DINI Ya UISLAMU

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 15 วันที่ผ่านมา

    Eti waislamu wanamfwata Yesu? Mbona wafuasi wa Yesu wanaitwa wakristo... Kwahiyo nyinyi ni wakristo?

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 11 วันที่ผ่านมา

      YESU HAKUTAJA JINA
      LA
      WAFUASI WALA DINI YAO
      Yesu hakutamka neno la Christains (Makiristo) hilo neno limetamkwa mara tatu kwenye Biblia na watu watatu:
      1) Paulo
      2) Mfalme Agrippa
      3) Peter.
      Hata neno CHRISTIANITY haliko kwenye Biblia. Jina la "DINI" haikutajwa. Watu wasio DINI wanaitwa vipi?

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 11 วันที่ผ่านมา

      @@khatibal-zinjibari6956 Quran 5:82 in Kiswahili Kiswahili | al-Ma'idah 82. Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara.
      English: Sahih International
      You will surely find the most intense of the people in animosity toward the believers [to be] the Jews and those who associate others with Allah ; and you will find the nearest of them in affection to the believers those who say, "We are Christians." That is because among them are priests and monks and because they are not arrogant.
      Swali: hivi Quran imetoa hili jina wanaswara (wakristo) ama Christians kwa English wapi? Yaani kitabu chenu hakijielewi?

  • @Anza_tz
    @Anza_tz 15 วันที่ผ่านมา

    Uislamu ni story za kubuni nimegundua Kuna watu hawapendi vitu vinavyofanyika katika hii Imani lakini wanakaza fuvu tuu kujifanya hawaoni kitu hahahaha....

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 14 วันที่ผ่านมา

      Wanaukubali ukristo kisiri siri..haha

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 14 วันที่ผ่านมา

      @@mbalilax162 Mh 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️ ??? huyu ni Mganga wa Kienyeji 🤣🤣🤣

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 15 วันที่ผ่านมา +1

    Uislamu ni uongo kabisa. Huyu eti marehemu Muhammad ndiye kiongozi ndani ya Islam. Alafu eti Ibrahim alikuwa muislamu... Kiongozi wake ni marehemu Muhammad vipi?

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 15 วันที่ผ่านมา

      Uislam aliuanzishaa Muhammad cha ajabu wanasema Adamu na manabii ni waislamu😂 cjui walifufuliwa wakaslimishwaa😂😂

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 15 วันที่ผ่านมา

      Unashangaaje kuwa kiongozi wake ni Marehemu Muhammad,si ni sawa tu na wakristo wanavyomuomba Marehemu Bikra Maria?!

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 15 วันที่ผ่านมา

      Yaani wewe unamfwata marehemu kwa sababu kuna wakristo wanao abudu Maria? Hoja gani hiyo?

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 15 วันที่ผ่านมา

      @@bustedislam3578 : mbona unakatisha, sema Marehemu Maria

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 15 วันที่ผ่านมา

      @@hemedbamja3197 Maria ni marehemu kama vile Muhammad ni marehemu