WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ค. 2024
  • ‪@StraightPathDawah‬ #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..

ความคิดเห็น • 103

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 25 วันที่ผ่านมา +7

    Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY.
    #Armie2Palestine
    #WorkForChange
    #WorkForPeace
    #WorkForKhilafah

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 25 วันที่ผ่านมา +6

    Mashallah mungu awaongozea wakristoo

  • @twaine40
    @twaine40 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 25 วันที่ผ่านมา +2

    Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran

  • @aishaali9583
    @aishaali9583 8 วันที่ผ่านมา

    Subhana Allah sheikh una kazi mungu akupe mwisho mwema

  • @morallyify
    @morallyify 13 วันที่ผ่านมา +1

    Subhanallah

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f 7 วันที่ผ่านมา

    Akkah bariki kazi nzuri sana mungu awajaakie heri

  • @josemu870
    @josemu870 25 วันที่ผ่านมา +2

    Barikiweni sana sana

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mashaallah Allha 💖

  • @MohammediSemndili
    @MohammediSemndili 25 วันที่ผ่านมา +1

    Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep

  • @ashrafnuru6402
    @ashrafnuru6402 14 วันที่ผ่านมา

    Yaaan Bibilia n mtihani

  • @azizashiundu5778
    @azizashiundu5778 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mashallah

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s 25 วันที่ผ่านมา +6

    Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  25 วันที่ผ่านมา +1

      Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?

    • @nassrasalemu1403
      @nassrasalemu1403 15 วันที่ผ่านมา

      Qql0) mm​@@StraightPathDawah

  • @seifissa9705
    @seifissa9705 25 วันที่ผ่านมา

    Yaani hao jamaa mungu awasamehe

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z 24 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.

    • @morallyify
      @morallyify 13 วันที่ผ่านมา

      Haoni haya nawe

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 25 วันที่ผ่านมา +1

    Sawa

  • @morallyify
    @morallyify 13 วันที่ผ่านมา

    😊

  • @Mimein-vn7or
    @Mimein-vn7or 25 วันที่ผ่านมา

    Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.

  • @dominicwafula3997
    @dominicwafula3997 23 วันที่ผ่านมา

    Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊

  • @prettyaysha7892
    @prettyaysha7892 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 24 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo

  • @user-fc6uf6be5u
    @user-fc6uf6be5u 22 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa

  • @peterthuo1404
    @peterthuo1404 20 วันที่ผ่านมา

    Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d 21 วันที่ผ่านมา

    Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊

  • @Adm9464
    @Adm9464 25 วันที่ผ่านมา +2

    Confusion continues. Wakristo hawasikisani.

  • @mohamedmaina2279
    @mohamedmaina2279 25 วันที่ผ่านมา

    Shukuran

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 25 วันที่ผ่านมา

    Tomaso ni chizi! hio ni kali

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 23 วันที่ผ่านมา

      NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 23 วันที่ผ่านมา

    Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu

  • @MullasKhamis
    @MullasKhamis 17 วันที่ผ่านมา

    Dalodi

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 25 วันที่ผ่านมา +1

    Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂

  • @samxx411
    @samxx411 25 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.

  • @Ozihamza
    @Ozihamza 25 วันที่ผ่านมา +2

    Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 23 วันที่ผ่านมา

      Allah.yupo.mlinzi.mkuu.atamlinda.leo.mpakakesho.yaumalikiama.lnshaAllah

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu3905 20 วันที่ผ่านมา

    Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.

    • @AzizaNurdin
      @AzizaNurdin 16 วันที่ผ่านมา

      Vita ni Vita muraa

    • @patrickndichu3905
      @patrickndichu3905 16 วันที่ผ่านมา

      @@AzizaNurdin Vita za kijinga hizo.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 15 วันที่ผ่านมา

      Watu washadanganywa snaa sas ni mda wa kudhihirisha Ukweli tu hamn kulinganisha imani hapa ni.ukweli tu ujulikne sio watu kupelekw kibubusa

    • @patrickndichu3905
      @patrickndichu3905 15 วันที่ผ่านมา

      @@dulividuli5237 Mchina si mkisto na si mwislamu lakini ujuzi wa maendeleo anao....nyinyi bakini hapo kwa dini yetu.

  • @namasakajuniorke3886
    @namasakajuniorke3886 24 วันที่ผ่านมา

    Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza

  • @Inagole4233
    @Inagole4233 22 วันที่ผ่านมา

    Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,

    • @akonkwojryorondo4504
      @akonkwojryorondo4504 17 วันที่ผ่านมา +1

      hata kna mwingine anaitwa...jesus navas😂😂😂

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 22 วันที่ผ่านมา

    Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa

  • @benwambua902
    @benwambua902 22 วันที่ผ่านมา

    Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 25 วันที่ผ่านมา +1

    HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.

    • @abdulJambe
      @abdulJambe 25 วันที่ผ่านมา +3

      Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  25 วันที่ผ่านมา +4

      Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri

    • @softymoha5484
      @softymoha5484 25 วันที่ผ่านมา

      @@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote

    • @samxx411
      @samxx411 25 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.

    • @mahmudmugarura2175
      @mahmudmugarura2175 25 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge