USTADHI MBOGO ATOA SOMO KWA USTADHI SHAFII KUHUSU KUTUMIA MAJINI, AMPAMBA DR SULLE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
  • SULEIMAN MBOGO AWAELIMISHA WATU KUHUSU MAJINI WEMA NA MAJINI WABAYA NA KUAMUA KUMUONYESHA USTADHI SHAFII KWAMBA ANACHOKOSA NI ELIMU

ความคิดเห็น • 39

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 19 วันที่ผ่านมา

    Sheikh mbogo ana maarifa mengi sana mashaallaa

  • @user-ix2iv4wb6m
    @user-ix2iv4wb6m 26 วันที่ผ่านมา

    Asante shehe kwa kukubaliana na ndacha,

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 26 วันที่ผ่านมา

    Biblia inakubali mungu wao kamtuma pepo 2maMbo ya nyakati 18- 20 1wafalme22-21

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 27 วันที่ผ่านมา +2

    Aaafu anatokea mtu anaamkana Yesu Kristo anahamia dini za ajabu ajabu. Asante sana Shekhe.

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @jotafungo4622
      @jotafungo4622 27 วันที่ผ่านมา +1

      Dini zote duniani ni miyeyusho tu

    • @QWARIDAMassay
      @QWARIDAMassay 26 วันที่ผ่านมา

      Poleeeeni sana waislaaaaam

    • @QWARIDAMassay
      @QWARIDAMassay 26 วันที่ผ่านมา

      C kila biblia ni biblia....tunataka original Bible c zilizochakachuliwa

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu 26 วันที่ผ่านมา

      @@QWARIDAMassay Kwani Torati original ya kwenu mliipeleka wapi? Tuanzie hapo kwanza

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd 27 วันที่ผ่านมา +1

    We unamjua njoka vzr? Black mamba anasemeshwa

  • @SaxidyMud-gd4bq
    @SaxidyMud-gd4bq 27 วันที่ผ่านมา

    Mkihitilafiana katika dini rudini kwenye qurani na sunna za mtume
    Hatukuambiwa turudi kwenye vitabu vya wanachuoni
    Shafii anajua sana
    Hoja zinaeleweka
    We unaruka ruka shekhe mbogo
    Hata iyo ya kumjua jini mwema
    Mtume hakusema mkiwajua wema shirikianeni nao
    Acheni kupotosha umma wa kiislamu 💪💪💪

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 25 วันที่ผ่านมา

      Nendeni mkaulize kwa watu wa kitabu

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 27 วันที่ผ่านมา

    Msitumie vitabu za mawahabi kila mkitaka kudhibitisha mambo, kwani masufi hamna vitabu zenu na wanazuoni wenu

  • @muhiddinmlawa6418
    @muhiddinmlawa6418 10 วันที่ผ่านมา

    Samahani Shekhe ni Siku tatu au Mara tatu???

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 26 วันที่ผ่านมา

    Uislamu unachekesha sana...hahahaa, jamani!!!

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani 27 วันที่ผ่านมา

    Umeulizwa unatafautishaje jini na michawi unababaisha babisha tu

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 27 วันที่ผ่านมา

    Hakuna takbira wakati wa kuzika, ni kizushi tu

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani 27 วันที่ผ่านมา

    Kasome acha kubabaisha na unajiupa ushkhe

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 26 วันที่ผ่านมา

    Tunachoitaji ni aya au hadithi ya mtume inayo thibitisha tunasali na majini

  • @athumanimashingo6306
    @athumanimashingo6306 26 วันที่ผ่านมา

    Yani huyu mweupe sana! Elim yake ndogo naskini, eti nae shee!

  • @mwinyidullailovetheprogram7404
    @mwinyidullailovetheprogram7404 27 วันที่ผ่านมา

    Mmh kwani kuna takbira za kwenda kuzikia??? Sijaziskia mmi hebu nipeni elimu juu ya hili jambo

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy 27 วันที่ผ่านมา

    Mbogo ugakosea sana.

  • @abdulkarimfarah2336
    @abdulkarimfarah2336 22 วันที่ผ่านมา

    Mbogo na sule washirikina wakubwa kasomeeni dini kutumia majini ni ushirikina

  • @salisali3738
    @salisali3738 27 วันที่ผ่านมา

    Yaaani mbogo ktk watu vibaraka na waongo ww una ongoza loo

  • @dullahmwamba9352
    @dullahmwamba9352 27 วันที่ผ่านมา

    Kama una video onyesha acha unafki

  • @mwoso
    @mwoso 27 วันที่ผ่านมา

    Sule amefichua siri ambayo waisilamu walikua hawakubali kukiri hapo awali.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 26 วันที่ผ่านมา

    Kama kosa lako liko mtandaoni lazima hata wewe ukosikowe mtandaoni

  • @salisali3738
    @salisali3738 27 วันที่ผ่านมา

    Yaaani huyu mtu una soma kwa tabu sana hiyo tu yaonyesha bado huna elimu

  • @salisali3738
    @salisali3738 27 วันที่ผ่านมา

    Mbogo atupishe hata kusoma kwa lugha ya kiarabu hujuii na ume tafsiri sivyo nenda kujifunza bado sana ww

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd 27 วันที่ผ่านมา

    Hi nja mbaya jamani.huyu ananjaa sana

    • @joshuajohn8533
      @joshuajohn8533 25 วันที่ผ่านมา

      Njaa ya chakula au😅

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 27 วันที่ผ่านมา

    wanatia kiyatu wenyewe!

  • @salisali3738
    @salisali3738 27 วันที่ผ่านมา

    Mbogo punguza sifaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @salisali3738
    @salisali3738 27 วันที่ผ่านมา

    Mbogo acha uongo yatosha tu una ongea kwa nguvu ili uaminishe watu na punguza kuwa kibaraka

  • @Ismailmusa-y6b
    @Ismailmusa-y6b 27 วันที่ผ่านมา +1

    Sheikh unachokisema ni kuidharirisha dini ya Allah,unafanya waislam tutukanwe na wasio kuwa waislam na kuwakatisha tamaa walio taka kuslim kwa kusema sisi ni washirikina

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahiyo unataka aongee uongo Ili akuridhishe? Yeye anaongea ukweli kulingana na kitabu chenu cha dini(Quran).Yeye si wa kwanza kusema haya na wala hatakua mtu wa mwisho. Shida nyie waumini wa kawaida hiyo elimu ya ushirikina mmefichwa. Hata misikitini hamfundishwi hii ni Siri ya Mashekhe tu. We endelea kupiga Taqbiri.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 26 วันที่ผ่านมา

    Ndacha hamuwezi shafii hata ndotoni kama hoja ni mapepo wasafi na wachafu wapo vitabu vyote qurani na biblia

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy 27 วันที่ผ่านมา

    Mbogo iyo ninja,acha nja dini ya Islam siyo kushilikiana na majini.acha nja.