USTADHI KONDOBUNGO ATOA SIRI ZA MASHEIK NA WAISLAMU WENGI KUVAA PETE, DR SULLE NA MBOGO WAPEWA SOMO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • TUMEPATA NAFASI YA AKIZUNGUMZIA PETE NA NGUVU ZAKE KATIKA OFISI YA SHEIK KANDABUNGO NA TUMEPATA SOMO LA KUJIFUNZA TAZAMA HAPA

ความคิดเห็น • 34

  • @abuuahmad3238
    @abuuahmad3238 29 วันที่ผ่านมา +1

    Maa shaa Allah... sheikh Kondo...hii ni ilmu ya ukweli...ilmu nzito...we need more ...I love listening to this...
    Salaam from Texas
    Barakallah fiikum

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 หลายเดือนก่อน +1

    Tusiuhukumu uislamu Kwa kutojua linaloongelewa.

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 หลายเดือนก่อน

    mzee huku sawa sana

  • @user-ft8cb3rq2k
    @user-ft8cb3rq2k หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh Yuko, vizuri Sanaa..

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 หลายเดือนก่อน

    Uislamu ni Raha ona sheikh anavyoichambua Pete na madini yaliyomo kwenye hiyo Pete.😊

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 หลายเดือนก่อน +1

    VIONGOZI WA DINI ACHENI MAMBO YENU BINAFSI FUNDISHENI IMANI YA DINI. MAJINI MAJINI WHAT IS MAJINI BWANA.

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b หลายเดือนก่อน +1

    Hata utajiri mtu anaweza kufanya maalifa ukawa tajiri hii haipingwi kabisa

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 หลายเดือนก่อน

    Hayaa ni maarifa makubwa sana

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 หลายเดือนก่อน +1

    Msikilize sheikh anachokiongea usikurupuke kwenye uchawi. Msikilize Kwa umakini ili umuelewe.

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 หลายเดือนก่อน +1

    Msingi wa uisilamu ni kupenda wenyewe kwa wenyewe na kusaidiana na majini ndugu zao.

    • @mussashaha-iv7gg
      @mussashaha-iv7gg หลายเดือนก่อน

      wewe ni mpumbavu huelewi hujui Mungu kaumba nini

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu หลายเดือนก่อน

      Kwani wewe una utofauti Gani na majini

    • @sulekhan7119
      @sulekhan7119 หลายเดือนก่อน

      Sawa

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 หลายเดือนก่อน

    4NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 หลายเดือนก่อน

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 26 วันที่ผ่านมา

    Je elimu ya falaki ipo kwenye uislam?

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 หลายเดือนก่อน

    Nishawahi kusema narudia tena shetani hana uwezo wa kusema kitu kuwa lakn ana uwezo wa kufanya chochote kupitia vitu mfano pete,cheni,bangili na mengineyo

    • @bilid4128
      @bilid4128 หลายเดือนก่อน

      Hapo kwenye neno "kuwa lakn" umeniacha kidogo tafadhali naomba ufafanuzi kidogo

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 หลายเดือนก่อน

      @@bilid4128 sijaweka mkato ndo maana unasema nimekuacha (kitu kuwa)

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 หลายเดือนก่อน

    Kwahyo wewe mzee kati yahawo walio toa elimu ya falaki na wewe mwenyeelimu ninani yani umejikanyagakanyaga sana

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 หลายเดือนก่อน

      @@ayubutwalbu6594 yeye huyo mwalimu amejitoa katika ushirikina, lakn inabidi ufahamu kuwa hiyo elimu ya farak ni ushirikina amabo sheh yoyote lazima asome

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx หลายเดือนก่อน

    HAPO HAKUNA USOMI WA DINI ZAIDI YA USHIRIKINA UKIONA MAPETE HAYO UJUE NI MSHIRIKI NA, WAEPUKENI HAO.

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 หลายเดือนก่อน +3

    Uislamu ni uchawi mtupu

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx หลายเดือนก่อน

      Acha chuki za kidini

    • @mussashaha-iv7gg
      @mussashaha-iv7gg หลายเดือนก่อน +1

      wewe huelewi uislam ndio dini ya kweli hakika kama unataka kujua nitafute

    • @batashqiraa9936
      @batashqiraa9936 หลายเดือนก่อน +1

      Uislamu sio uchawi, uislamu ni dini ya haki ambayo imeridhiwa na Mwenyezi Mungu, uislamu unakataza kufanya uchawi, uislamu unatambua kuwa uchawi upo lkn uislamu hauruhusu kufata na kufanya uchawi, kwaiyo usiuchafue uislamu kwa chuki zako, pinga kielimu na sio kichuki

    • @othmaniddikilongokilongo7890
      @othmaniddikilongokilongo7890 หลายเดือนก่อน

      Uislaam ni mfumo wa maisha anayoyaridhia Allah hapa duniani wala sio uchawi. Kuuchukia kwako uislaam ni khasara kwako.

    • @abuuahmad3238
      @abuuahmad3238 29 วันที่ผ่านมา

      And Christianity is for brain dead

  • @user13375
    @user13375 หลายเดือนก่อน

    Misir ndo uchaw ulipoupatia😮😮

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 หลายเดือนก่อน

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 หลายเดือนก่อน

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

    • @joezeno8
      @joezeno8 หลายเดือนก่อน

      @@SIMULIZIZONENafikiri ulirusha hii kipindi part 2 mbele badala ya part 1

    • @JumaAthuman-bk6hx
      @JumaAthuman-bk6hx หลายเดือนก่อน

      Acha kughulika na washirikina hawa utapoteza muda wako na kupigwa vijisenti vyako.Hawa ndo matapeli kwa kivuli cha dini,na ndo wanachafua uislamu