USTADHI DANIEL AWAVURUGA DR SULLE NA USTADHI SHAFII KWENYE SUALA LA MAJINI NA UISLAMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 287

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba3484 3 หลายเดือนก่อน +5

    Asante Mwalimu Kuna Watu tunapona sana Be Blessed Bwana Yesu Mzuri sana

    • @SaidIsmail-f1j
      @SaidIsmail-f1j 3 หลายเดือนก่อน

      Haujapona chochote msikilize vizur anachoongea usifuate visherehesho tu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      ​​@@SaidIsmail-f1jkwaani kuna uongo gani aliyosema mwalimu Daniel wakati kasoma vitabu vyenu

    • @louisejeanne8306
      @louisejeanne8306 หลายเดือนก่อน

      @@SaidIsmail-f1jwe njoo kwa Yesu ndugu ndo kuna amani ya kuwakwepa majini, la sivyo wewe na majini subirini jiko la moto wa adhabu 😢

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezi mungu akubariki sana pastor Daniel mwendelee kutubariki na ujumbe

  • @samweljackson5754
    @samweljackson5754 3 หลายเดือนก่อน

    Asante mwalimu Daniel mwankemwa, MUNGU akulinde saaana,barikiw

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mbarikiwe Sana Watumishi Wa Mungu Kwa Elimu Hiyo Mnazidi Kutufumbua Akili"

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ni mkuu,barkiwa daniel,mungu akulinde

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 3 หลายเดือนก่อน +5

    Asante sana mtumishi KAZI Yako ni Njema.

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo9493 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante mtumishi Daniel tumefunguliwa kwa elimu hiyo

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน +6

    daniel tunashukuru sana kwa kuzidi kufumbua ukweli hao ndugu zetu wamjue yesu wakweli mwana wa mungu aliye hai

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 หลายเดือนก่อน +1

      Anaongea pumba tu tangu neno lake la kwanza kafanganya mtaliwa sana Hela nyie na mtapotezwa sana

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta 3 หลายเดือนก่อน

      Duh, na wewe nawe, Mara yesu mwana wa Mungu mara ndie Mungu😂 mbona hamueleweki nyinyi??? mmerogwa?

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      ​@saidimkwinzu9106 Mmezoea kudanganywa ndiyo maana mnachukia ukweli

  • @lawrencechikawe6631
    @lawrencechikawe6631 23 วันที่ผ่านมา

    Worth watching 😊

  • @binseif2216
    @binseif2216 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu kaumba Majini na binadamu ili wamuabudu yeye na hayo ni maneno ya Mungu mwenyewe ndani ya Quran (WALA SIKUWAUMBA MAJINI NA BINADAMU ISPOKUWA WANIABUDU MIMI)

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 3 หลายเดือนก่อน +4

      Shidaaa nikuwa MUNGU wa kwenye Biblia c MUNGU wa kwenye Quran hapo ndipo watu wanashindwaa kutambua na ubishii hauwezi kuishaa kwamaana kila mtu hapo na imani yake.

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 3 หลายเดือนก่อน +3

      Na ndomaana Quran unawezaa kulogeaa kitu chochotee yaan ushirikina lkn Biblia haiwezii na inakatazaa huoni hapo Tofauti? Muhammad alipozaliwa majini na mashetani yalishangilia YESU KRISTO alipozaliwa malaika mbinguni walishangilia huoni Tofauti hapo? Biblia iliandikwa na manabii wakiongozwaa NA ROHO WA MUNGU LKN QURAN WALIOANDIKA WALE AKINA OMARY WALIKUWA WANAPANDISHAA MASHETANI KICHWANI HUONI TOFAUTI HAPO??

    • @binseif2216
      @binseif2216 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@0badiaMwasongwe-rt1wr Naomba andiko yakuwa Mtume Muhammad SAW alipozaliwa mashetani walifurahia usilete maneno yko,na ukumbuke pia Quran ndo mwongozo wa maisha,na hata Mungu ndani ya Quran kuna Aya zinatulinda na mabaya lkn hakuna Aya ya kuroga na ukumbuke huo ulimi wako kesho kwa Muumba utakwenda kujibu

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@0badiaMwasongwe-rt1wrbibilia ina n
      mpaka nyaraka za Enonga

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@binseif2216msikilizeanatoa Aya kwenye vitabu vyenu auusikiliziiii????

  • @mwoso
    @mwoso 3 หลายเดือนก่อน +2

    Umeeleza vizuri Sana .

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ustadhi Daniel ameiva kwa Neno Bwana akutie nguvu

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 หลายเดือนก่อน

      Usimshushe thamani mtumishi wa Mungu,kwa kumuita ustaadh(mwalimu wa Quran,majini) muite Pastor au Muinjilisi,au Mwalimu wa Neno la Mungu

    • @mayangeramadhani8497
      @mayangeramadhani8497 3 หลายเดือนก่อน

      @@Mahershalalhashbazi-kf6xi hana anachojua yy tu anashindwa kutofautisha majini na malaika ww unamuona bonge la mwalimu malaika hajawai kuwa jin

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 หลายเดือนก่อน

      @@mayangeramadhani8497
      Soma ufafanuzi wa Surat Al Fatiha utajuwa anachokisema Mwalimu Daniel

  • @MwasabuniSuleiman
    @MwasabuniSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +2

    Na wakati mnaanguka makanisani uwa mnaangushwa na nini?

  • @SaidIsmail-f1j
    @SaidIsmail-f1j 3 หลายเดือนก่อน +5

    Wakristo njoeni huku ivi huyu ndio padri au mchungaji?? Jaman wakristo somoni dini huyu mchungaji hana elimu ya dunia wa ya akhera hamna analolijua inalilah

  • @joezeno8
    @joezeno8 3 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji uko vizuri bro

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 หลายเดือนก่อน +2

    ndacha mwenyewe hampati uyo mch danieli kwa ubishi...uyo mwisho

  • @otienoopondo6405
    @otienoopondo6405 3 หลายเดือนก่อน

    Tv chanel ya mwakemwa huitwaje?

  • @haidar438
    @haidar438 3 หลายเดือนก่อน

    I like the way you ask him 🙈

  • @realramjen3270
    @realramjen3270 3 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji Daniel Mwankemwa siyo ustadhi

  • @joshuajohn8533
    @joshuajohn8533 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mwaka 570BK alizawali mtu aliyekuja kuleta sumu mbaya sana mwaka 610BK alitokewa na shetani akampa kazi ya kudanganya watu. Mamailioni wanapotea na imani ya uongo😭😭😭😭

    • @mtz5582
      @mtz5582 3 หลายเดือนก่อน +2

      Sidhani kama wengi wanatamba huyo mtu alikuwa possessed na evil spirit na pia suicidal thoughts may be ndo mana followers wa hiyo MTU wote wana suicidal traits na almost as if always possessed with the DRAGON

    • @salumharuna5872
      @salumharuna5872 3 หลายเดือนก่อน

      @@mtz5582 Mafundisho gani yanaonesha ana evil spirit? Jaribuni kuwa fair basi japo kidogo. Hivi dini inayoruhusu ushoga, dhambi ambayo Mungu aliangamiza jamii nzima kwa gharika inatafsiriwa ndio dini ya Mungu? kuweni fair...

  • @qerysir4410
    @qerysir4410 3 หลายเดือนก่อน

    ASANTE SANA KWA SOMO HILI, NIMEELIMIKA PAKUBWA👏👏👏
    OMBI: Wakutanishe DANIEL na NDACHA kwa ajili ya HOJA YA SABATO na UTATU MTAKATIFU🔥🔥🔥🔥

    • @CharlesMisungwi-f8t
      @CharlesMisungwi-f8t 3 หลายเดือนก่อน

      Kumbe ndiyomaana hujibishiatu bilakuwana uthibitisho kwakilewanachokijua.

  • @drmahwa8166
    @drmahwa8166 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wakristo someni majini wanaishi mikunduni mwenu.soma matayo 12:40-45

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana3598 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu pia hakusoma, niambie wapi yesu aliambiwa soma, lakini Muhammad aliambiwa soma kwa jina la Allah

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 3 หลายเดือนก่อน +4

      Luka 4:17-19
      Neno: Bibilia Takatifu
      17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifun gua mahali palipoandikwa: 18-19 “Roho wa Bwana yu juu yangu. Amenichagua kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatan gazia wafungwa kuwa wako huru, kuwaambia vipofu kuwa wanaweza kuona tena; na kuwaweka huru wanaoonewa, na nitangaze mwaka ambao Bwana atawabariki watu wake.”

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Aliambiwa na nani

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 3 หลายเดือนก่อน

      @@selemanimchana3598 Hivi kweli Allah alimtuma malaika wake kwa marehemu Muhammad akamuomba asome japo hajui kusoma wala kuandika? Allah hakujua kwamba marehemu Muhammad hakujua kusoma wala kuandika? Alafu akamufinya...

  • @jumakihiyo
    @jumakihiyo 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu huko kwa Shafi na Sule mbali sana huyu wallah hata mimi maamuma haniwezi wallah thumma wallah

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk 3 หลายเดือนก่อน

    Yes

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona Mungu Wako alishirikiana na Majini?
    1 Wafalme 22:20.,21.,22.,23.
    20. BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi. 21. Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya. 22. BWANA akamwambia, Jinsi gani? Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo kinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka ukafanye hivyo. 23. Basi angalia, BWANA ametia pepo wa uongo kinywani mwa manabii wako hawa wote; naye BWANA amenena mabaya juu yako.

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    HATA PAULO ALICHUKULIWA NA JINI!
    2 Wakorintho 12:7.
    7. Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi, kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili, mjumbe wa Shetani ili anipige, nisije nikajivuna kupita kiasi.
    1 Timotheo 1:20.
    20. Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    UCHAWI UPO ISRAELI!
    Isaya 47:12.
    12. Simama sasa na uganga wako, na wingi wa uchawi wako, uliojitaabisha nao tangu ujana wako; labda utaweza kupata faida, labda utaweza kushinda.
    Matendo ya Mitume 13:6.
    6. Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu;

  • @samxx411
    @samxx411 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ila wakristo mnahitaji kusomeshwa kweli, hawa walimu wenu watawapoteza sana ila kwa baadhi ya wakristo nadhani wanafahamu hivyo...

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน

      Unabishana na ukweli

    • @samxx411
      @samxx411 3 หลายเดือนก่อน

      @@msemakweli243 ukweli upi tatizo wakristo hamsomi vitabu yaani mchungaji akisema sawa

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน

      @@samxx411 anasoma vitabu bado wewe unabisha

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@samxx411sisi ndiyo watu wa kitabu au unabishana na koran yako

    • @samxx411
      @samxx411 3 หลายเดือนก่อน

      @@msemakweli243 wewe huwezi fahamu wanasoma vitabu wanavyotaka wao wanabadili maana, kwa mfano biblia inasema wakujuwe wewe Mungu wa kweli na pekee na yesu uliyemtuma...sasa hapa Mungu wa kweli na pekee wakristo wanabadili mnasema mmoja lkn ana utatu, yesu pia na yeye ni Mungu umeona tatizo lenu

  • @amissiradjabu6561
    @amissiradjabu6561 3 หลายเดือนก่อน +4

    majini sio malaikaa bali ni biumbe tofauti n'a malaika n'a mwanadamu

    • @JohnOuya-w7j
      @JohnOuya-w7j 3 หลายเดือนก่อน

      Majini nimalaika waliowaasi,ndio maana mungu akawatupa hapa duniani ili wakae mbali na mungu mpaka siku ya kihama,toka kwa hio dini yamajini waliosilimu njoo kwa njia iliyo nyooka ambayo ni yesu kristo ndie njia,kweli,na uzima, kariba,

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@JohnOuya-w7jlete abdiko kuwa majini ni malaika walioasi. 😂😂😂

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta 3 หลายเดือนก่อน

      Hawa elimu hawana ndo mana wanapata shida sana juu ya elimu ya viumbe hawa😂😂

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Ufunio 12;7-9​@@Maalim_Samatta

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe nenda kaulize kwenye koran yako ikwambie kuhusu wakristo na wayahudi​@@Maalim_Samatta

  • @samsonkariuki9696
    @samsonkariuki9696 3 หลายเดือนก่อน +2

    Daniel na mwalimu dacha wanafilisi uislamu

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 3 หลายเดือนก่อน +1

    sasa huyu hana andiko majini wote wamelaaniwa wakristo mnatumia kiungo gani kufikiri eti huyu nae mwalimu

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    IBILISI MWENYE-KITI WA KANISA NI JINI ..?
    Ufunuo wa Yohana 2:12.,13.
    12. Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika;
    Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili. 13. Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 หลายเดือนก่อน +1

    Eti Quran ina vyanzo vinne: Taurat,Injili na zaburi, Baada Muhammad kurogwa na Kwenye Mashairi. Huyo ndio Daniel, chuki yake juu ya uislaam yamsukuma kusema lolote la uongo, bila kujali kwamba anayoyasema yana baki na wajukuu zake watayasoma na watauona uwongo wake.

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo mwankemwa unaongopa sakaramentu ya ni ya kiroma hili humshinde shetani lazima utii amri na sheria na imani ya yesu

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo maislam wite wanasupport majini badala mpinge hile

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 3 หลายเดือนก่อน

    Katika viumbe wote walioumbwa na mwenyezi Mungu ni viumbe wawili ndiyo wamemkana mwenyezi mungu na kumzushia uongo anae mpinga uyo hanaesabika ni shetani jiulize uko kundi gani

  • @StanleyMwaipopo
    @StanleyMwaipopo 3 หลายเดือนก่อน +1

    UKWELI UNAUMA MASHEHE WAO NDO WANAYATUMIA KWENYE UGANGA KUPIGA RAMLI

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      @@StanleyMwaipopo pamoja nakuroka watu pakana na muisilamu utasumbuliwa na jini hawa nihatari sana

  • @k4cmmhcn297
    @k4cmmhcn297 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee sioni hoja zako huwezi kusimama na dr sule wala ust shafii vile ni vichwaa vitakuumbuwa mzee

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta 3 หลายเดือนก่อน

      Umeona eeeh😅 yaani hawa ni mabwabwa kweli, eti majini ni malaika walioasi dah😂😂😂

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      ​@Maalim_Samatta Muhammad amewaingiza chaka

  • @haidar438
    @haidar438 3 หลายเดือนก่อน

    Eti Ustadh Daniel 😂😂😂

  • @BabaFuraha
    @BabaFuraha 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee aujue kitu kabisa polesana nakuonea urum

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kosoa kwa hoja

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 3 หลายเดือนก่อน

    Weeeeeee koma nyokooo unajua Qur'an gani shindwe ,,,,mtume wetu hana mahusiano n majini Wala nini hivi viumbe kama mimi na wewe tena ukome ukomae ulimwengu wao tofauti na sisi Wana maisha yao wanaoa wanaolewa juu n viumbe wanatuona hatuwaoni kwa uwezo w Allah

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa matusi haya bila shaka wewe ni mwislam swafi, mtume wako alimsilimisha shetani akawa mwislam lakini wewe maamuma subiri usomewe na mashehe

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku 3 หลายเดือนก่อน

      @@FridayMwassa 🤣🤣🤣😭😭ati alisilimisha nani weee wajua majini na mashetani ni akina nani acheni ukafiri mkiwa waislamu ndo mtajua ni akina nani majini na je tunauhusiano ,,,,

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    MAJINI HUWAINGIA WAKRISTO!
    Mathayo 12:43.,44.,45.
    43. Pepo mchafu, amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika, asipate. 44. Halafu husema, Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka; hata akija, aiona tupu, imefagiwa, na kupambwa. 45. Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.
    HAKUNA AYA HATA MOJA YESU AKISEMA LIVE KUWA DAMU YAKE NI KINGA YA MAJINI AO MASHETANI!
    UNANUKUU UFUNUO AMBAO NI NDOTO SI MAMBO HALISIA!
    WAPI AYA YESU AKISEMA LIVE KUWA DAMU YAKE NI KINGA YENU DHIDI YA MAJINI??.

  • @husseinothman1257
    @husseinothman1257 3 หลายเดือนก่อน

    Inaonesha hajui kuwa malaika hawana sifa ya kumuasi MUNGU, kwa hiyo si kweli kamba majini ni malaika walioasi, malaika ni viumbe wengine na majini ni viumbe wengine. Kama hamjui semeni mfahamishwe.

  • @anwarabdallah7095
    @anwarabdallah7095 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wewe mwenyewe sahii Jini yuwakutumia hauko Sawa kimaelezo kunakifungu Kwa bibilia yesu alibebwa Na shetani hapo VP Buda.

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 3 หลายเดือนก่อน

      Shidaa uelewa hakubebwaa Kama unavyofikili wewe ila alijalibiwa

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน

      Alikuwa anajalibiwa

  • @MwasabuniSuleiman
    @MwasabuniSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mnaombea vipofu wanapona lakini nyinyi mkitaka kusoma bibilia mnavaa miwani

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@Maalim_SamattaKwaani kuna kipofu umemuona hapo,kutumia miwani siyo dhambi kama maandishi hayaonekani vizuri

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 3 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji umemuuliza swali zuri lkn unaona mwankemwa hana analojua ,

  • @deusNjimba
    @deusNjimba 3 หลายเดือนก่อน +1

    WEWE NI KIBOKO. ULIMTOA JASHO. MAZINGE. PALE IGOMA. MWANZA

    • @drmahwa8166
      @drmahwa8166 3 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha huyo ni poyoyo hanaelim ya kiroho anafuata matamanio yake.msikilize vizuri kisha utafakari?

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 หลายเดือนก่อน

    Jini atakuwa aje yena malaika???

  • @mudrikramadhani32
    @mudrikramadhani32 20 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzeee anaelimu ndogo sanaaaa

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jini hajawahi kuwa maraika Wala maraika hajawahi kuwa jini

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      @@Hussein-gx4qu aja kupingana na qurani Muhammad alisimu mapepo au kwa lugha nyingine majini sule anayatumia kukanga watu pamoja nakutoa kafara cku mnaita yakujinja majini husheherekea damu unadhani hatujui

  • @oscarwilliam8341
    @oscarwilliam8341 3 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu unapunguza ukali ukweli nomashetani kwasabab Majin nikizazi Cha ibilisi alie akolewa na malaika wakati alla alipo ombwa na malaika waje kuangalia je kipikilichobaki wakamkuta mtoto mdogo ndio anebaki nae alikua ni ibilisi wakamchukua wakampeleka ndio hao maji vp shetani awe na kizazi chema nimashetani
    Huu ndio wislamu kwetu sis wakristo huu upagani haupo wao ndio wametusimulia

  • @salumharuna5872
    @salumharuna5872 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kama ndio mchungaji wa wakristo wanamuamini basi dah msiba mkubwa. Akili hamna kabisa, eti majini ni malaika walioasi...

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Nikweli majini walikuwa malaika na wapoasi ndipo wakatupwa duniani

    • @salumharuna5872
      @salumharuna5872 3 หลายเดือนก่อน

      @@FridayMwassa Soma vitabu, malaika hawajaumbwa na matamanio, wao wameumbwa kutii amri ya Mungu hawajawahi kuasi tangu kuumbwa kwao. Majini ni viumbe walikuwepo kabla ya binadamu na malaika ni viumbe wengine kabisa hawafanani na viumbe wengine.

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 3 หลายเดือนก่อน

    ELIM NI PANA NA UELEWA UMEFICHWA KATIKA KUULIZA,
    ACTUALLY SIKITIKO LANGU NA HUZUNI YANGU NI KWAMBA WEMGI HAWANA ELIMU, HAWAJUI NA HAWAJUI KAMA HAWAJUI NA HAWAKO TAYARI KUJIFUNZA..
    HUYU NAE ANAJITATHMINI KAMA MWALIMU..!!
    ELIM NI BAHAR BADO UNASAFARI NDEFU SANA..

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna jini ......kuna malaika .....kuna bin Adam .......na kuna shetani we vipi??? Nakuvamiya kiyarabu

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 2 หลายเดือนก่อน

    Siwezi kua na urafiki na majini,

  • @ABDIKASIM-qe4lc
    @ABDIKASIM-qe4lc 3 หลายเดือนก่อน

    Dk sure kayatakamwenyewe

  • @faustinelias3284
    @faustinelias3284 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yeye anasoma kama irivo andikwa naona hajakosea rabda nyie mnaokubariana namajin ndoo mnaona akosea

  • @mikerutto8164
    @mikerutto8164 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna muasi mzuri shetani pamoja na malaika zake majini walitupwa kutoka mbinguni

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 หลายเดือนก่อน

    Sema ukweli uongoze wakiristo wacha kupoteza wenzako. Unajua kabisa uislamu ndio dini lakini unakataa

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 3 หลายเดือนก่อน

    Jini si malaika kwa imani ya kiislamu, ni viumbe viloumbwa na Mwenyezi Mungu kwa moto kama binaadamu walivyoumbwa kwa udongo. Malaika wameumbwa kwa nuru na hawawezi kumuasi Mwenyezi Mungu kamwe. Sasa kwa imani yenu mnaweza kuzungumzia viumbe vyengine tofauti na wanavyovizungumzia waislamu kwa kuwa waislamu hawaamini majini kuwa ni malaika

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwamujibu wa uislam majini wanapotubu wanakuwa waislam lakini kwa wayahudi na wakristo jini hawezi kutubu

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 3 หลายเดือนก่อน

      @@FridayMwassa Shetani ambae Ni ibilisi hawazi kutubu, majini Ni viumbe vinavyoweza kutubu Kwa imani yetu. Huenda tunazungumzia vitu tofauti

  • @HamisiNgomango
    @HamisiNgomango 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mchungaji hajui lolote et malaika ni jini😂😂😂shenzi sana

  • @HajiAmbali-jq9dr
    @HajiAmbali-jq9dr 3 หลายเดือนก่อน

    Huna jipya

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

    Technologia imekuja kuufunu uislam ulivyo

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน

    Ww huwezi kupambana na shafi wala sule mana hata majini hujui jini ni jini na malaika nimalaika tu vitu viwili tafauti

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 3 หลายเดือนก่อน

    vp zile nguo anazovaa papa na maaskofu au mapadri.

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    SHETANI HUWAPEPETA NA KUWAINGIA WAKRISTO YESU MWENYEWE AKIWEPO ACHA UONGO!
    Luka 22:3.,31.
    3.
    Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara. 31.
    Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;

  • @nassorokilindo8609
    @nassorokilindo8609 3 หลายเดือนก่อน

    Marini said mashetani

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    MUHAMMAD ALOKIRI ISA NI MTUME ,ROHO NA NENO LAKE ALLAH LEO WEWE WAMTUHUMU NI MWONGO?
    { يَٰٓأَهۡلَ ٱلۡكِتَٰبِ لَا تَغۡلُواْ فِي دِينِكُمۡ وَلَا تَقُولُواْ عَلَى ٱللَّهِ إِلَّا ٱلۡحَقَّۚ إِنَّمَا ٱلۡمَسِيحُ عِيسَى ٱبۡنُ مَرۡيَمَ رَسُولُ ٱللَّهِ وَكَلِمَتُهُۥٓ أَلۡقَىٰهَآ إِلَىٰ مَرۡيَمَ وَرُوحٞ مِّنۡهُۖ فَـَٔامِنُواْ بِٱللَّهِ وَرُسُلِهِۦۖ وَلَا تَقُولُواْ ثَلَٰثَةٌۚ ٱنتَهُواْ خَيۡرٗا لَّكُمۡۚ إِنَّمَا ٱللَّهُ إِلَٰهٞ وَٰحِدٞۖ سُبۡحَٰنَهُۥٓ أَن يَكُونَ لَهُۥ وَلَدٞۘ لَّهُۥ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِي ٱلۡأَرۡضِۗ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ وَكِيلٗا }
    [Surah An-Nisāʾ: 171]
    Ali Muhsin Al-Barwani:
    Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu amelaaniwa hawezi kuitambua haki jini na malaika ni viumbe viwili tofauti

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Tuulizeni sisi watu wa kitabu tutawasaidia

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu hana akili kabisa hata elimu hana

  • @Ayyub_Semtawa
    @Ayyub_Semtawa 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi huyu mchungaji yeye mwenyewe anasoma kwa kiswahili na bado haelewi anachojaribu kueleza sheikh...ni kwamba anapinga hakuna jini mwema anaemkaa mtu kichwani

  • @AbdullahKigua
    @AbdullahKigua 3 หลายเดือนก่อน

    Ila uyu hamna kitu

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 3 หลายเดือนก่อน

    majini hawajawahi kuwa malaika

  • @bilid4128
    @bilid4128 3 หลายเดือนก่อน

    Eti kumbe walishamalizana 😂😂😂

  • @hamiskidunda9770
    @hamiskidunda9770 3 หลายเดือนก่อน

    Tatzo muandishi anaelimu kuliko mchungaji😂😂😂 na ndio maana wanagona

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 3 หลายเดือนก่อน

    KINACHO WATATIZA NYINYI NIKWAMBA HUWA MNADHANI NAKUAMINI UNAPOISHIA UKOMO WA MTU KUFIKIRI KATIKA JAMBO FULANI HUWA NDO UHALISIA NA MWISHO WAKE THUS WHY MNAHITIMISHA KUPATA MATOKEO KTK JAMBO..
    BASI ENDELEENI KUWEKA MIPAKA KATIKA AKILI ZENU ILI MSIPATE KUJUA KILICHO NJE YA UFAHAMU WENU.

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 หลายเดือนก่อน

    Acha uongo. bibilia haija eleza asili ya majini. wala hakuna andiko ktk bibilia linalo sema kuwa Majini ni malaika walio asi. na andiko ulosoma kutoka ufunuo 12:3-6 ni ndoto.

  • @SaleheKijazy
    @SaleheKijazy 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani ww unae muhoji una kosea ume shindwa kumuuliza maswali ya umuhimu. Alipo sema majini ni malaika waasi kwanini asinge kupa Usha hidi kwenye vitabu kuthibitisha hayo maneno yake.

  • @amransaid4286
    @amransaid4286 2 หลายเดือนก่อน

    Hahahaha huyu jamaa anaongea mambo asio yajua sababu Kwanza hakuna malaika muasi sasa Bora atafute elimu kwanza

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    WAPI AYA YA BIBLIA JINI NI MALAIKA MUASI?

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    KUHUSU NABII MWONGO PAULO AMPINGA YOHANA UNAYENUKUU!
    PAULO AONA MTUME MWONGO NI YULE ATUMIAYE HILA!
    2 Wakorintho 11:13.
    13. Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo.
    NA KATIKA HAO WAONGO MMOJA WAO NI PAULO MWENYEWE!
    2 Wakorintho 12:16.
    16. Lakini na iwe hivyo, mimi sikuwalemea; bali kwa kuwa mwerevu naliwapata kwa hila.

  • @DodomaTanzania-r5z
    @DodomaTanzania-r5z 3 หลายเดือนก่อน

    Wew daniel upo vzur kuliko ndacha wew unaonge mambo ya kweli ila ndacha yeye ni bingwa wa kuwa na elimu ya dini na kukariri vifungo tu lkn elimu ya kweli hana
    Ndacha ni mpinga kristo hatambui uwepo wa yesu

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 หลายเดือนก่อน

      Makafiri ni waislamu

    • @filexbenefits5612
      @filexbenefits5612 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna mtu kama ww hatawahi jua biblia mpaka mbingu na nchi zitoweke atozwe jianali, mpaka husome biblia ndio uijue, heti hakuna sheria ni Elimu io, akili mbovu

    • @samsonkariuki9696
      @samsonkariuki9696 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa hamfwati zamajini kina safi na sule .ati jamaa analinganisha Daniel na dacha .walimu wanatufungua macho na akili wewe waona wanashidana fikilia vyema

    • @samsonkariuki9696
      @samsonkariuki9696 3 หลายเดือนก่อน

      Kina sule na mazing na safi mbogo hawa walimu wakiislamu diyo wakulaumiwa kwakokosesha uma juu pia kuna adiko kwa shetani alislimu nimwislamu sasa mabo ya dacha yanatoka wapi bona mnamwogopa huyu mwalimu mpakwa mafuta .dacha ni mtume wakizazi kipya asante yesu

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa huyu Daniel akona elimu gani Sasa dio wamlinganishe na ndacha

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 Duuh noma ndio maana bibilia ina waita wachungaji ni umbwa walio bubu 😂😂😂😂sasa hapo vp

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini tukio la kusulubiwa na kufa na kufufuka kwa Yesu liwe jambo la kiimani? kwani halikutokea hapa Duniani? kwani halikushuhudiwa na watu? walio lishuhudia-kama wapo-agizo la kuamini litawafaa nini?

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 หลายเดือนก่อน

      Sio jambo la kuamini bali ni ukweli sasa unashindwa kuamini ukweli?

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    Umejaa chuki na hasadi na ndio sababu haupati mwili!😮😮😮

  • @Saidfadhil-o3o
    @Saidfadhil-o3o 3 หลายเดือนก่อน

    Hujuwi nani jini nani malaika

  • @drmahwa8166
    @drmahwa8166 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe hunaelim.jini ni kiumbe malaika nikiumbe na binadamu nikiumbe.shetani ni tabia siyo kiumbe .na malaika hawana sifa ya kuasi

  • @jumakihiyo
    @jumakihiyo 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe mchungaji huna akili timamu,kwanza useme jini ni kiumbe au si kiumbe kama ni kiumbe aliumba kwa lengo gani?kwani binadamu muasi si kiumbe?acheni kupotosha watu

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kama huyu nae ni mtumishi kazi mnayo😅😅😅😅😅hana elimu hata kidogo

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu anae kuhoji uwezo wake ni mdogo sana wa kuelewa.

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani ulisema uwezo wake mdogo wa kumuhoji

  • @Pablolookman
    @Pablolookman 3 หลายเดือนก่อน

    Dunia inapolekea mapastor watajiandikia Quran ya kwao ili kuwapoteza

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Acha uongo,uchafu wa dini yako uslazishe mambo

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 3 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi kayatupe majnin ya sule uliyonunua LMAO! Dogo ameng'ang'anaaa kutafuta upenyo pale Daniel ambapo angesema eeh ndio majini yana faida! Yaani nimecheka sana! Wengine leo hii wanadai eti mapenzi ni mapenzi.. na wamewakubali mashoga kwenye makanisa yao badala ya kuwahimiza kufanya toba!?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  3 หลายเดือนก่อน

      Na wewe Joseph elewa, mimi nauliza ili nikielewa naamini hata wewe utaelewa

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 3 หลายเดือนก่อน

    JE, MUHAMMAD ALIKUA MKRISTO ALI AWE NABII WENU AO MTUME WENU MUONGO?
    DANIELI UMEJAA UONGO KAMA MUNGU WAKO!
    Yeremia 4:10.
    10. Nami nikasema, Aa, Bwana MUNGU! Hakika umewadanganya sana watu hawa na Yerusalemu, ukisema, Mtakuwa na amani lakini upanga umeingia katika nafsi za watu.

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu gani anaeabudiwa namajini?

    • @edinahbonareri2251
      @edinahbonareri2251 3 หลายเดือนก่อน

      yesu ni mwana wa mungu amerithi jina la babake sio Mungu wewe vipi?. kwani mtoto wako hawezi tumia jina lako?. ni follow upate elimu utoke kwa dini ya mohammed na uchawi anawafundisha yenye walikuwa wakiabudu kule makkah.

    • @petromachanga5538
      @petromachanga5538 3 หลายเดือนก่อน

      @@edinahbonareri2251 bibilia haijatumia jina lababa mtume gani alitumia jina lababae?

  • @salisali3738
    @salisali3738 3 หลายเดือนก่อน

    Eti ni malaika waasi jamanii jini kawa malaika ume tupiga hapo😅

  • @samweljackson5754
    @samweljackson5754 3 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu unanishangaza sana hii elimu uliipataje? Unaipataje? nataman sana niwe nawe na mm kichwa kifunguke, duuuu!

  • @samxx411
    @samxx411 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa unasema ukiamini kifo cha yesu majini hawawezi kukuchezea, vipi wale wanaokuja kanisani wamepagawa vipi hawaamini kifo cha yesu??

    • @mtz5582
      @mtz5582 3 หลายเดือนก่อน

      Wana bacground mbali mbali ,wapo huja kanisani ila Bado hawajaacha maovu yao mfano Imani za kishirikina......hivyo

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 3 หลายเดือนก่อน

    Quran iko wazi katika lipi? majini wote ni waovu au kuna majini wema na waovu?

  • @SalumMusafiri
    @SalumMusafiri 3 หลายเดือนก่อน

    Jinga jinga unawaja tu moto utawameza nyinyi bipofu