Mzee anajua kusimulia vzur sana. Na mike alitakiwa awe nayo yeye sabab yeye ndo aliebeba kipindi sasa ilo jama sijui alijui linamkatisha..irudiwe na millad ayo
Shida mwandishi hauna weledi wa kazi yako kiasi cha kutosha. Ukiwasikiliza ni mnarap kama MC's wa kwenye sherehe wakati upo kwenye interview na mtu muhimu sana. Mwajiri jaribu kufanyia kazi comments jitahidi kuwajengea uwezo watumishi wako, kuna mapungufu mengi sana. Kwa nia njema tunataka vijana wenu wawe bora zaidi.
Mwadishi anauliza maswali kwa utashi wake binafsi, aulizi maswali ya msingi au kufuata utaratibu unaotakiwa, anamkosea heshima mzee,kwa kumbandika swal kabla hajamaliza
Mwandishi kiazi sanaa,,,, kwanini hataki kutulia utafikiri anamuhoji mke wake sebuleni mapepe kibao swali juu ya swali ndio nini ht haachi mwenye anamuhoji akajieleza vizur,,, Angekua Millard mbona tungefurahi sana
GLOBAL TV Online, tafadhalini muyazingatie malalamiko ya watoa comments za watazamaji. Malamiko yao yanamuelekea muhoji maswali. Naomba mumrekebishe asiwe na tabia ya chura
weee mtangazaji unaboa sana badala ya kumuacha mzee aongee wee ndio maswali kibao unamkatisha sana mzee,mpaka hata yeye anakushangaa next time jiangalie.
Muandishi una boa ndio tatizo la waandishi vilaza mzee ana madini mengi sana lakini uwezo wako wakuhoji mdogo umeharibu interview idea ni nzuri but poor credibility
Mwandishi ameharibu mahojiano kwa kuuliza maswali ambayo sisi watazamaji anataka tumwone anajua masuala ya ndege.🤣🤣🤣🤣 Huu ni ujinga kabisa. Kama na yeye anataka jamii imwone anaijua aviation industry au ijue kuwa ameshapanda ndege mara nyingi atafute chombo cha habari kimuhoji ili ajibu ili tumwone ameshapanda sana ndege....😒😒😒
Hii story wangehoji SIMULIZI ZONE ingekuwa safi sana
Hii srory angehojiwa na TIK TV ingenoga sana. Jamaa wanajua kuendesha mahojiano sana.....
Ayo mtafute huyu mzee atupe elimu. Anahistoria nzuri sana kwa kizazi Cha sasa
Askofu Methodius Kilaini anaweza kusimulia vizuri mkasa huu...alikuwa mhanga wa tukio
Mzee anajua kusimulia vzur sana. Na mike alitakiwa awe nayo yeye sabab yeye ndo aliebeba kipindi sasa ilo jama sijui alijui linamkatisha..irudiwe na millad ayo
Mashallah, hongera sana Babu
Asante mpiganaji Capt. Galwei.
Safi sana mzee
Shida mwandishi hauna weledi wa kazi yako kiasi cha kutosha. Ukiwasikiliza ni mnarap kama MC's wa kwenye sherehe wakati upo kwenye interview na mtu muhimu sana. Mwajiri jaribu kufanyia kazi comments jitahidi kuwajengea uwezo watumishi wako, kuna mapungufu mengi sana. Kwa nia njema tunataka vijana wenu wawe bora zaidi.
Shukran kama umeliona hilo, yaaan mwandishi kama yupo sebleni na familia yake ni hovyo sana.
Hujui kuhoji
Uyo mzee ana story nyingi sana mwandishi unamkatisha
True
Mtangazaji hana uwezo wakumuhoji mambo mengi mzee wetu huyo Rubani mstaafu
1971 Idd Amini alianzisha vita wapi huu uongo sana😂😂😂
Safi mzee
Rubani mzuri sn
Mtangazi ges unajifanya unajuw nyoooooo
Mwandishi mpuuzi sana hajui hata kuhoji, sijui maswali ya hovyo anayatoa wapi
Big up kubwa sana kwenu global tv hapo bado serikali 2
Kwel mzee yuko wap
Ni mwaka 1982,na ilitekwa ilikuwa mwanza ilikuwa inaelekea London lkn llitua nairobi kujaza mafuta
Mwadishi anauliza maswali kwa utashi wake binafsi, aulizi maswali ya msingi au kufuata utaratibu unaotakiwa, anamkosea heshima mzee,kwa kumbandika swal kabla hajamaliza
Lol,Babu ULIPAMBANA sana kumbe..🤸💪
Mwandishi next time jipange before kumropokea msomi kiasi iki
Jamaa anauliza Maswali mno hadi anamtoa kwenye mazungumzo maalum
Mwandishi kiazi sanaa,,,, kwanini hataki kutulia utafikiri anamuhoji mke wake sebuleni mapepe kibao swali juu ya swali ndio nini ht haachi mwenye anamuhoji akajieleza vizur,,,
Angekua Millard mbona tungefurahi sana
hatare
Mwandishi tulia kidogo, mpe muda ajieleze
Sauti
Kagera war ilikua mwaka gan??? Sijamwelewa pilot apo kasema 1971??
Naomba kupata part tu yake plz 🙏.mnitag ili niipate
Mkasa wa 1988 mmeuacha
Uko vizur
Jifunze kuuliza maswali ya maana siyo ya joking
milad ayo amtafute huyu amuhoji kwa ustadi mzuri huyu mwandishi ni kiaziiii
Mtangazaji unaharaka ya kuuliza kabla hajajibu vizuri swali unamuuliza lingine ! Jitahidi kutulia akijibu
Na tuliotekwa mtuhoji basi mbona tupo!
Wewe ulikuwa abiria enzi hizo🤣🤣🤣
@@deneagrofarms5884 ndiyo nikitoka mwanzo nikafika mpaka Athens na mateso yote tulipata
@@fatmaabdallah7709 🤣🤣🤣🤣
Siyo mwaka 1988 ilikuwa kati ya mwaka 1982 - 1983
Galway mwanafunzi wa baba Mwl Aloisi Ravasco Maisaka
Kaka mtangazaji umezingua hapa, huyu Mzee alikuwa na mengi ya kuongea kudadeek
✈️✈️❤️❤️✈️✈️
Dah Naikumbuka hiyo siku na watekaji nawafahamu maana hao watekaji walikuja mitaani kwetu
🤔
Wewe muandishi una kiherere
GLOBAL TV Online, tafadhalini muyazingatie malalamiko ya watoa comments za watazamaji. Malamiko yao yanamuelekea muhoji maswali. Naomba mumrekebishe asiwe na tabia ya chura
Ebu hii stori irudiwe mwandishi anatuangusha Af Galway ana madini mengi sana irudiwe irudiwe irudiwe
Mtangazaji hampi nafasi yakuelezea vizuri anamkatisha ty na maswali akianza kuelezea tu anampiga swali lingine 😃😃😃😃😃😃😃
MillardAyo mtafute huyu mzee mana hawa jamaa wameharibu interview hii.
Mwandishi ana haraka mno
we mtangazaji mbona kenge ivoooo??... hujui kuhoji kilaza wewe!
weee mtangazaji unaboa sana badala ya kumuacha mzee aongee wee ndio maswali kibao unamkatisha sana mzee,mpaka hata yeye anakushangaa next time jiangalie.
Mwandishi deshii unakosa detail muhimu..infantry unajua ni nini
ninyi global
punguzeni sauti mwanzo wa matangazo yenu
Inchi imetoka mbari
“ Nchi imetoka mbali” 😊
Huyo Rubani nafahamu tulikuwa naye jeshini kikosi cha Anga.
Mwandishi Bogus kabisa, hata hakuna consistent ya interview
mtangazaji hajatulia kabisa, babu hajamaliza kuongea kabandika swali. atulie kaka mtangazaji
Akielezea kitu muache aeleze unaturudisha nyuma mtangazaji
Muandishi una boa ndio tatizo la waandishi vilaza mzee ana madini mengi sana lakini uwezo wako wakuhoji mdogo umeharibu interview idea ni nzuri but poor credibility
Baba lawo'' lari
Babu Janjaaa
Mwandishi ameharibu mahojiano kwa kuuliza maswali ambayo sisi watazamaji anataka tumwone anajua masuala ya ndege.🤣🤣🤣🤣
Huu ni ujinga kabisa.
Kama na yeye anataka jamii imwone anaijua aviation industry au ijue kuwa ameshapanda ndege mara nyingi atafute chombo cha habari kimuhoji ili ajibu ili tumwone ameshapanda sana ndege....😒😒😒
.