TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ค. 2019
  • Imepita miaka 107 lakini dunia imeshindwa kuhusahau usiku wa umauti, Ulikuwa usiku wa kiza kinene kwenye bahari yenye kina kirefu, bahari ya Atlantic, Ilikuwa Aprili 14 mwaka 1912 Usiku ambao meli kubwa zaidi kwenye historia ya Dunia ilizama, Meli ya Titanic
    .
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 1.6K

  • @user-tu2rc8pq2n
    @user-tu2rc8pq2n 3 หลายเดือนก่อน +76

    Kama tumetazama 2024 😁😁😁😁😁tujuane 👋

    • @KipronoDennis-mx2wd
      @KipronoDennis-mx2wd หลายเดือนก่อน

      Hi

    • @kevinmapozi159
      @kevinmapozi159 หลายเดือนก่อน +2

      Tuko hpa Team 2024...❤😢..inua mkono

    • @user-du7br1kp8q
      @user-du7br1kp8q หลายเดือนก่อน

      Hi here we are

    • @kid20-iu5ln
      @kid20-iu5ln หลายเดือนก่อน +1

      Tupo hapa 24.3.2024 nimechelewa eeeh

    • @user-tu2rc8pq2n
      @user-tu2rc8pq2n หลายเดือนก่อน +1

      @@KipronoDennis-mx2wd hi 2

  • @martinmuruo
    @martinmuruo 10 หลายเดือนก่อน +135

    Nani anatizama 2023? Like tafadhali..

  • @eliasleonard9212
    @eliasleonard9212 3 ปีที่แล้ว +148

    Anaetizama 2021 anipe like zangu

  • @wardamogan440
    @wardamogan440 4 ปีที่แล้ว +31

    Km unamini mungu yupo na Kila lenye kutokea ni kwa rehma zake bc Seema inalilahii wa Inna ilaihi ranjiun 😭😭😭 manaaa si jambo dogo mungu tupe mwisho mwema😢😢

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 5 ปีที่แล้ว +270

    Huyu jamaa anajua kusimulia aysee,,hii ajali itabaki kumbukwa saana,kama unamuelewa huyu msimuliaji like basi twende sawa@@@

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 4 ปีที่แล้ว +3

      Sanaaaa hiv na yy ndio kipaji chake mwingine ukisimuliaa huwez mtu hapat radh 😂😂😂😂😂

    • @mgirikimweusi8534
      @mgirikimweusi8534 ปีที่แล้ว +1

      @@faidhamyovela179 chugs
      Das

    • @selestianjoseph6119
      @selestianjoseph6119 หลายเดือนก่อน +1

      anajitahidi sana

  • @ashney847
    @ashney847 5 ปีที่แล้ว +32

    SubhanaAllah ndo mipango yake Allah anakuepusha na jambo lkn bado unalazimisha....
    Mpk watu wanakufa wakati wanaitengeneza manake wanapewa ishara wasifanye jambo lile.Ndo siku zote tukiepushwa na jambo lina kheri ndani yake, mfano mzuri huo hapo....
    Ya rabb tuongoze waja wako. Amiin

  • @dekingsforealdee9147
    @dekingsforealdee9147 10 หลายเดือนก่อน +71

    Imebidi nirudi kusikiliza tena!
    Nipee like ili niendelee kurudi

  • @shabanishabani2453
    @shabanishabani2453 4 ปีที่แล้ว +9

    Dah iko Njema sana story jopo kwa upande mwingine ni taku sktisha. Mungu awa pumzishe kwa aman (Amen)

  • @dulertech6284
    @dulertech6284 2 ปีที่แล้ว +11

    Mungu akupe umri mrefu professor Jamal uendelee kutoa vumbi akili zetu

  • @NajimOne12
    @NajimOne12 5 ปีที่แล้ว +665

    Kama Umemueelewa Mtangazaji Gonga like hapa

  • @jahonetz3580
    @jahonetz3580 4 ปีที่แล้ว +157

    Kama unaamin JAMAA anafaa kuwa mwalimu wa history like apa

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 ปีที่แล้ว +14

    Hii sauti amazing tumeimiss hadi nimetafuata story ya mda kidogo ili nisikilize, we miss you mtiga, mlejesheni jamaa huyu,

  • @set-px8un
    @set-px8un 4 ปีที่แล้ว +80

    Daaah!Nilikuwa cjui story ila nmeipata😍@The story book imetisha👌embu like hapa kama unakubali💪💪

  • @deebrown7908
    @deebrown7908 5 ปีที่แล้ว +85

    Vizuri sana kweli
    Kwa story hiyo
    Kujuwa ilivyo tengenezwa
    Kamanawew humemuelewa weka like ilitwende

  • @zanabphilip8347
    @zanabphilip8347 3 ปีที่แล้ว +16

    Waaaw simulizi nzuri,sauti tamuuuu,,niachieni like akii

  • @marrytandu5033
    @marrytandu5033 4 ปีที่แล้ว +8

    Malaika alijitengenezea CV nzuri Sana daaah .. Nimecheka

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 5 ปีที่แล้ว +80

    Nimekubali! Umeenda deep sana! Kuna vitu ndio nimevisikia hapa kuhusu hii ajali!! Big up! Kazi nzuri!!

  • @zakiamusa88
    @zakiamusa88 5 ปีที่แล้ว +99

    kama umependa utangazaji wake huyu mtangazaji gonga like

  • @florencembithe2244
    @florencembithe2244 3 ปีที่แล้ว +39

    Am here 2021 anyone else..... Continue resting in peace 😢😢

  • @ramadhankijana9442
    @ramadhankijana9442 4 ปีที่แล้ว +54

    Dah mtangazaji umenifuraisha.
    Malaika alijitengeneza CV siku hiyo.
    Twende sawa like hapa

  • @gerrykate
    @gerrykate 5 ปีที่แล้ว +627

    Kama unakubali the story book dondosha like hapa

  • @ramaabuu1958
    @ramaabuu1958 5 ปีที่แล้ว +19

    Stori nzuri sana hongereni wasafi!!!

  • @hellyally4395
    @hellyally4395 4 ปีที่แล้ว +5

    1M mungu akubariki mtiga abdallah uzidi kutuletea more story

  • @faithmwongeli5086
    @faithmwongeli5086 3 ปีที่แล้ว +39

    I really empower this story ...nairudia mara ya kumi😍 thumbs up to the writer

  • @monday1278
    @monday1278 4 ปีที่แล้ว +34

    Hongera sana mtambaji.. unasimulia kwa ufasaha na ufanisi wa hali ya juu kabisa.. Hongera kaka.

  • @jescajosephat3364
    @jescajosephat3364 4 ปีที่แล้ว +79

    Kam umependa sauti ya mtangazaji gonga like hapa

  • @bravoh2542
    @bravoh2542 2 ปีที่แล้ว +20

    Eeeeish🔥🔥🔥
    #Mtigaaaaa💯💯
    Big Love from Kenya❤️

  • @sheilanafulak6081
    @sheilanafulak6081 4 ปีที่แล้ว +6

    Asante Sana kwa mwandishi na msimulizi... At least I have apiece of history this night

  • @tonythadei9608
    @tonythadei9608 5 ปีที่แล้ว +27

    Yani huyu jamaa anae tuadisia anajua kweri tena sana bigap brother

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 5 ปีที่แล้ว +13

    Mtangazaji ukae ukijua unapendwa na kula MTU chakufanya ungeza mautamu baba Ahsante kwa simulizi nzuri japo inackitisha bwana alitoa na bwana ametwa jina lake libarikiwe Amina

  • @mst1studio270
    @mst1studio270 4 ปีที่แล้ว +26

    Ooooooyes Good! I congratulating who documented this story. I give you 100%.

  • @gaudencemaumba7594
    @gaudencemaumba7594 3 ปีที่แล้ว +7

    What a story!!.. jamaa anasimulia hadi raha aseee.... SIMBA KUNA CROWN ATHLETE INATAKIWA ITOLEWE KWA BRO MTIGA!!! BIG UP MWAMBA UNAWEZA SANA.. BOOM 2021

    • @youngweezy3846
      @youngweezy3846 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂CROWN apewe na majizzo

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa418 5 ปีที่แล้ว +656

    km unasikiliza huku unasoma comment gonga like hapa

  • @hamiswawa5872
    @hamiswawa5872 5 ปีที่แล้ว +11

    story tamu sana , umetisha kamanda 💣💣💣

  • @johnstoneemitundo7589
    @johnstoneemitundo7589 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtiga Abdallah na Jamal Mustafa nafurahia kazi yenu kutokea Kenya Mombasa magongo 💯

  • @mahirmustafa4439
    @mahirmustafa4439 2 ปีที่แล้ว +18

    Nimeipenda sana jinsi ilivyoelezewa hii story ya titanic simple and clear as well as understandable. Thank you WASAFI TV for bringing the story book show. May God bless you all.

  • @lucalmodric6685
    @lucalmodric6685 5 ปีที่แล้ว +55

    Asante xana nlikuwa natitaka hii Muwe mnaweka huku wengne 2po nje ya nch tunafuatilia xana

    • @pendosammy5984
      @pendosammy5984 5 ปีที่แล้ว +1

      mm naona wanao watch n watu w nje maana kila mtu nipo nje

    • @ramlazuber6038
      @ramlazuber6038 4 ปีที่แล้ว

      @@pendosammy5984 ukiwa njee ya nchi yako unataman hata upate maneno ya lugha yako. Tupo wengi nje

    • @pendosammy5984
      @pendosammy5984 4 ปีที่แล้ว

      @@ramlazuber6038 sanaa

  • @muthoka6628
    @muthoka6628 2 ปีที่แล้ว +28

    "Even God couldn't sink it," Now people can understand How God is never Mocked

    • @shahanajash8449
      @shahanajash8449 10 หลายเดือนก่อน +1

      You are correct 💯

    • @shahanajash8449
      @shahanajash8449 10 หลายเดือนก่อน +1

      The GOD is never mocked

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 4 ปีที่แล้ว +3

    Unajua mwanzoni nilkua napotezea stori zako ila nakufatilia sana mkuu saiv big up

  • @brayanluswe5194
    @brayanluswe5194 4 ปีที่แล้ว +54

    A talent guy may God add you more years so that we enjoy your stories

    • @nkwabi290
      @nkwabi290 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ni mjing

    • @OlivaMbuz
      @OlivaMbuz 5 หลายเดือนก่อน

      Ehii

  • @elraysugarboymasb9535
    @elraysugarboymasb9535 5 ปีที่แล้ว +103

    ahsante sana ndugu mtangazaji , r.i.p ndugu zetu

  • @richardlugano8709
    @richardlugano8709 5 ปีที่แล้ว +53

    Team kiba hii ni story book sio nyimbo ko mapovu noooo kama umekubalian na mim gonga like

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 ปีที่แล้ว +26

    Msimulizi uko vzuri kama vile ulishuhudia tukio zima.ahsante sana.

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 10 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😂😂 hapo sasa

    • @DBrownstain
      @DBrownstain 10 หลายเดือนก่อน

      Acha tu, yaani nimemuelewa kuliko ata ile muvi yenyewe 😃😃

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 ปีที่แล้ว +19

    Halafu nimesikia mmiliki wa meli hii alipouliulizwa kuhusu usalama wa meli yake alijibu kua hiyo meli hata mungu hawezi kuizamisha 😄😄 angalia kilichotokea sasa

    • @anandepallangyo4177
      @anandepallangyo4177 5 หลายเดือนก่อน

      Isee😢 hivi watu wanamchukuliaje MUNGU😮

  • @maguoshao1300
    @maguoshao1300 5 ปีที่แล้ว +174

    Huyu jamaa wa #wcb anatishaaaaa
    Goodvoice
    Wangap Wana amini Izo video alizotumia zinatokana na muviii ila wakatii asiliaa wenyewe haupo
    Yule aliyeenda kulala ndo aliyeandika kitabu cha maut ya titac lazimaa wafeee Tu lazimaaaaa
    #wcb
    #for life

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 5 ปีที่แล้ว +22

    Wasafi mko juu mtangazaji nimekuelewa

  • @dadawataifa3169
    @dadawataifa3169 4 ปีที่แล้ว +84

    Kama uko in love na sauti ya mtigaabdallah kama mm gonga like twende pamoja

  • @alvisprincetz1120
    @alvisprincetz1120 4 ปีที่แล้ว +6

    Mtangazaji nakwamini sana bro nice voice 🥰🥰

  • @patrickmalyampa9093
    @patrickmalyampa9093 5 ปีที่แล้ว +202

    wasaf mko vzr mb zangu zinaenda kihalali

  • @lucasjoseph7522
    @lucasjoseph7522 5 ปีที่แล้ว +33

    Daaah the story waz so hot.....but alie fnya iwe hot ni msimuliajii..kaka safi snaaaaa...

  • @biffonmoogi6710
    @biffonmoogi6710 2 ปีที่แล้ว +11

    i really like your stories as you come up with them bro

  • @chekatv780
    @chekatv780 3 ปีที่แล้ว +17

    aliyeitazama 2021 tujuane hapa😁😁

  • @fidboeogtheprince4766
    @fidboeogtheprince4766 4 ปีที่แล้ว +14

    Big up abdalla! Uko vizuri kwny usimulizi...
    Kama umemkubali jmaa gonga likee apo Chin!

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 5 ปีที่แล้ว +226

    Safi sanaa we need this kind of Content 👏👌👌..upload kila week the story book its interesting

  • @evancemwaijulu9117
    @evancemwaijulu9117 3 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni wasafi kwa ubunifu wa kuleta THE STORY BOOK

  • @christinajacob9301
    @christinajacob9301 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi amen

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 5 ปีที่แล้ว +395

    Mtangazaji unasimulia vizuli sana had raha.....rest in peace ndugu zetu mliotututoka kwa ile ajali

    • @kudoja_fish_shop9592
      @kudoja_fish_shop9592 5 ปีที่แล้ว +6

      Vincent Auxerbius mkuu acha uongo ulikua na ndugu zako kwenye meli wahaya achen sifa

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 5 ปีที่แล้ว +1

      @@kudoja_fish_shop9592 😄😄😄😄😄 hata Mimi mhaya lakini sikuwa na ndugu huko. Mabepari hao hawana ndugu

    • @gayumummalinda7225
      @gayumummalinda7225 4 ปีที่แล้ว +1

      ni nzuri

    • @manmusictiger379
      @manmusictiger379 4 ปีที่แล้ว +1

      Pole sasa watu

    • @dismasbundi5977
      @dismasbundi5977 4 ปีที่แล้ว

      Dama ija

  • @zuu__95
    @zuu__95 3 ปีที่แล้ว +6

    duh elfu 1912 ata babu wa babu yangu babu yake na alomzaa babu yake hajazaliwa 😢😢😢😢 rest in peace wote.

  • @In_Health_Africa
    @In_Health_Africa 4 ปีที่แล้ว +4

    Mie mkenya and really like this guy he his my swahili morgan freeman

  • @dogoplatinumz3672
    @dogoplatinumz3672 5 ปีที่แล้ว +38

    Viva wfm. Wtv the story book safi sana

  • @raxhidymono9258
    @raxhidymono9258 5 ปีที่แล้ว +22

    Asante mtangazaj mana ndio nimejuwa Leo kama kapten alienda kulala alafu meli inaenda yenyewe si kwa uzembe huu meli ya kifahali walishindwa darubini kuangalia mbele kama salama kapoteza funguo sikunakuwaga nafunguo za akiba mtangazaji apo umeongeza chumvi bwana yani darubini iwe moja tu meli lote ilo umenichekesha mtangazaji kwakweli

  • @sapnaabdallah1084
    @sapnaabdallah1084 3 ปีที่แล้ว +56

    Anaetizama 2020 anipe
    Like 😁😁

  • @sniper93999
    @sniper93999 3 ปีที่แล้ว +3

    Kama unaangalia hii halaf unakumbuka MV SPAIC ya zanzibar na chozi linakutoka gonga like , 😭😭

  • @jairosmnahi1218
    @jairosmnahi1218 5 ปีที่แล้ว +38

    Noma saana mtangazaji uko juu

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 5 ปีที่แล้ว +17

    STORY NZUR SANAA r.i.p

  • @whizzkidmaate9575
    @whizzkidmaate9575 2 ปีที่แล้ว +27

    Thanks wasafi,rip beautiful souls!

  • @andrewchanuo2269
    @andrewchanuo2269 2 ปีที่แล้ว +14

    Historia tatanic inatisha sana kila siku kabla safari tumkabidhi safari muumba wetu atuongoze

  • @abdulmtitu7478
    @abdulmtitu7478 5 ปีที่แล้ว +8

    Dah wasafi hambahatishi,,bonge la sauti

  • @focustz4408
    @focustz4408 5 ปีที่แล้ว +19

    .nimekukubali sana kwa kusimulia uko vizur sana agiza soda apo nalipa

  • @rogerfederer3436
    @rogerfederer3436 3 ปีที่แล้ว +14

    My best story book ever titanic 🤩

    • @zubedasultan9585
      @zubedasultan9585 2 ปีที่แล้ว

      🙏 NAKUOMBA BONYEZA HAPA 👇
      th-cam.com/video/m7FXfhJotT0/w-d-xo.html

  • @jumamngazija-pw9yz
    @jumamngazija-pw9yz 10 หลายเดือนก่อน +1

    Anaye angalia na kusikiliza hii simulizi 2023 gonga like hapa tujuane

  • @nyambelewinfrida9074
    @nyambelewinfrida9074 5 ปีที่แล้ว +43

    Mtiga Abdalah uko vzr wasafi wakikukosa wametukosa wengi.

    • @seciliamlaponi6290
      @seciliamlaponi6290 2 ปีที่แล้ว

      That is Jamal Mustafa it's not Mtiga🙄🙄

  • @majaliwapili2928
    @majaliwapili2928 5 ปีที่แล้ว +23

    Wasafi FM juu sana ama kweli kila binadamu ana nafasi yake katika dunia bila diamond platnumz tusingekuwa na wasafi

  • @janetwambua5277
    @janetwambua5277 2 ปีที่แล้ว +6

    Well narrated,thankyou 👏👏👏

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 ปีที่แล้ว +16

    Jamaa unakipaji sana cha kusimulia sauti nzuri, matamshi fasaha, unajiamini yaani raha ndani ya utamu.

  • @mussaayubuayubu6888
    @mussaayubuayubu6888 5 ปีที่แล้ว +15

    Uko vizuri mtangazaji

  • @naomykibona4706
    @naomykibona4706 5 ปีที่แล้ว +11

    mtangazaji hakika upo vzr.RIP wote kwenye hiyo ajali

    • @sadatinikodemas144
      @sadatinikodemas144 4 ปีที่แล้ว

      Inauzunisha kwa kwel maellfu yawatu wamepotea

  • @bobrochie1595
    @bobrochie1595 3 ปีที่แล้ว +25

    Mtiga unajua kusimulia aisee sauti yako inakubeba saan na vionjo kama na ww umerudia hii stori kuisikiliza piga like apaaa

  • @ceciliakaari782
    @ceciliakaari782 4 ปีที่แล้ว +48

    Likes za mtangazaji in 2019 ziko wapi wenzangu? Usimulizi wake unavutia si haba.

  • @maryamammar1488
    @maryamammar1488 5 ปีที่แล้ว +52

    Mtangazaji napenda sauti yko🤣🤣🤣🤣✨💖😍

    • @saidibambo4339
      @saidibambo4339 5 ปีที่แล้ว +5

      Ichukue iwe ringtone 😂 😂 kwenye cmu yko

    • @maryamammar1488
      @maryamammar1488 5 ปีที่แล้ว

      @@saidibambo4339 🤣🤣🤣🤣Umenishinda tabia😅😅😅😅

    • @aishahindoabdallah3122
      @aishahindoabdallah3122 4 ปีที่แล้ว

      @@saidibambo4339 toba roho yangu 😂😂😂

    • @johnsilima6789
      @johnsilima6789 4 ปีที่แล้ว

      Aisha Hindo Abdallah imekuwaje

  • @estonmartin8269
    @estonmartin8269 5 ปีที่แล้ว +45

    Doooh.....faida za gambe gonga like kama mdau wa gambe....💪

    • @drdioclespr6722
      @drdioclespr6722 5 ปีที่แล้ว

      Eston martin aaaaah, nimekusoma

    • @estonmartin8269
      @estonmartin8269 4 ปีที่แล้ว

      Dioo😅😅

    • @daudijohn609
      @daudijohn609 4 ปีที่แล้ว

      Sema pombe kali za kule ziko na alcohol ya kutosha sio km izi konyagi zenu utapiga unadanja ✌️✌️

  • @carolineondabu4539
    @carolineondabu4539 2 ปีที่แล้ว +7

    Mungu kwanza kwa kila jambo anatupatia akili tunamsau

  • @nunumohamed1105
    @nunumohamed1105 4 ปีที่แล้ว +1

    Ww ni mtangazaji mziri sana poleni sana wenzetu

  • @mikidadichande9155
    @mikidadichande9155 4 ปีที่แล้ว +3

    Mb zangu zinaenda kihalali kabsa big up jamaa

  • @wilbertalfred7388
    @wilbertalfred7388 5 ปีที่แล้ว +205

    We mcmuliaji nipe no yako nkupe ya soda upo vzur sana mzee una bonge la kipaji yaani

  • @funzonechannel1
    @funzonechannel1 2 ปีที่แล้ว +12

    Charles Jugini 🥃🥃 would have never hate alcohol in his entire life

  • @andrewjuma-kl6wp
    @andrewjuma-kl6wp ปีที่แล้ว +6

    Hakuna mwanadamu aliye na akili kuu kuliko Mungu

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 ปีที่แล้ว +5

    Dah msimulizi unaniteka juzi Remmy Ongala leo Titanic! Big up bro

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 5 ปีที่แล้ว +3

    kaka uko vizuri kwenye kusimlia

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester ปีที่แล้ว +1

    Walimdhihaki Mungu kwa kusema haiwez. Kuzama na wakati Mungu ndie mwenye kumiliki Kila kitu na Mungu hadhihakiwi kamwe maana haonekan Wala hachunguziki

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante kaka kweli we ni mtu mwenye akili zaidi

  • @kilistonechami519
    @kilistonechami519 5 ปีที่แล้ว +6

    Uko vzur broooo

  • @sylvesterdonald8614
    @sylvesterdonald8614 5 ปีที่แล้ว +48

    Kaka hauchoshi kukusikiliza... Keep up the good work

  • @jumajuxx4925
    @jumajuxx4925 2 ปีที่แล้ว +10

    Hakika tuta wakumbukeni milele daima hakika ni msiba wa dunia mzima sote umetugusa mbele yenu nyuma yetu bwana ametoa na bwana ametoa jina la bwana lihimidiwe ameni

  • @Daguudickson026
    @Daguudickson026 10 หลายเดือนก่อน +2

    I was among those who survived that shocked world sad adventure

  • @reggie868
    @reggie868 5 ปีที่แล้ว +20

    A Superb narration, not boring at all, fascinating..

  • @priscakihaga3242
    @priscakihaga3242 5 ปีที่แล้ว +5

    mtangazaji upo bomba sana anaekataa agonge like hapa

  • @emmaemzy3443
    @emmaemzy3443 หลายเดือนก่อน

    Let's give a story teller his flowers,amesimulia vizuri sana 👏👏

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 5 ปีที่แล้ว +118

    Itabaki stori waliofariki n wengi sana..mungu ashindwi na kitu.

  • @mg.general7710
    @mg.general7710 5 ปีที่แล้ว +20

    Mtangazaji ukovyema sana