RUBANI MDOGO ALIYEANZISHA MAPENZI NA PICHA, “NIMETUMIA MILIONI 200 KUSOMA”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 78

  • @cosmahansen9660
    @cosmahansen9660 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mwenyezi Mungu Akutangulie Captain Brian, so proud of you Baba.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 หลายเดือนก่อน +11

    Hongera kwa Rubani kupeperusha Air Tanzania. Pongezi pia kwa kuacha Vilevi kwa miaka 4 hata mimi na miaka 4 situmii vilevi. Maisha bila Vilevi ni matamu sana kwanza Pesa inakuwa mingi halafu unapata muda wa kujipangalia maisha

    • @menlandmutashobya8377
      @menlandmutashobya8377 3 หลายเดือนก่อน +3

      Miaka minne baadae ya hapa nataka nirudi nitoe ushuhuda wa kuacha pombe

  • @MtausiMtausi
    @MtausiMtausi 3 หลายเดือนก่อน +9

    Safi sana Brian, keep it up chief

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer 2 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤ daaaaa mbona Handsome boy ivyo

  • @datydon6676
    @datydon6676 3 หลายเดือนก่อน +7

    Paschal
    Kwa hii Interview umefanya vizuri sana, Mtiririko wa Maswali yako umekaa vizuri kabisa.
    Hongera sana Kaka.

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera rubani❤❤❤nimependa interview

  • @NipaelMdachi
    @NipaelMdachi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kwako

  • @mohamedabdallah8321
    @mohamedabdallah8321 3 หลายเดือนก่อน +5

    Jamaa ana point sana

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 3 หลายเดือนก่อน +6

    Our very own Captain Brian, AWB

  • @happyobeid8930
    @happyobeid8930 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana

  • @achibelatotolakijaka4687
    @achibelatotolakijaka4687 3 หลายเดือนก่อน +8

    I love this guy anajieleza vizuri Sana

  • @pceodhc
    @pceodhc 3 หลายเดือนก่อน +2

    Congratulations 👏🏾🎉

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 หลายเดือนก่อน +17

    Ukiwa unasikiliza watu wenye taaluma zao Safi saana hakuna mambo ya kupayuka payuka , shule Ni kitu kizuri Saaana

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli kabisa, "debe tupu ndiyo hupiga kelele", anayejua hana mapepe, sababu mchakato alioupitia mpaka kujua siyo wa kitoto, umemnyoosha na umemnyenyekeza vya kutosha.

    • @AishaSaid-yg1ou
      @AishaSaid-yg1ou 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mash Allah..Allah akujaalie wepesi...❤

    • @BenedictaMagantg
      @BenedictaMagantg 2 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊

  • @mp.MwaithesonScania11
    @mp.MwaithesonScania11 3 หลายเดือนก่อน +4

    Good my brother, nami na ndoto kama hiyohiyo me mdogo wako kabisa

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 3 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera zako

  • @mrmumeir9978
    @mrmumeir9978 3 หลายเดือนก่อน +2

    Rubani Brayan,Nimeangalia vizuri mahojiano yako na mwandishi,kwa kweli kila ulicho kiongelea kina maana sana katika maisha ya mwanadam.Nafaham suala la kichapo wapo wengine wataku copy vibaya lakini usijali. kwa kweli umeongelea kuhusu kumchapa mtoto ili alelewe kosa lake hayo ni malezi ya mila na mila zinaleta maadili na elimu pia katika maisha.( kuna msemo unasema teke la mama halimumizi mwana)Mmungu azidi kukupa wepesi wa maisha na akufungulie yote mazuri yaliyo jifunga.Na Ayafunge yote mabaya juu yako na wengine pia.Story yako imenigusa mimi na familia yangu.Hongera sana

  • @NuruJara
    @NuruJara 3 หลายเดือนก่อน +4

    Your handsome guy 😅😊

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 2 หลายเดือนก่อน +4

    ❤🙏🙏👍

  • @MathiasMusobi-ob9cn
    @MathiasMusobi-ob9cn 3 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana safi mno

  • @minzamuhandagani5002
    @minzamuhandagani5002 หลายเดือนก่อน

    Brian nasubiri biriani yetu huhuhuu@ from magda

  • @achibelatotolakijaka4687
    @achibelatotolakijaka4687 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mabruk much love from 🇰🇪

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana ila mmefanana sana mama

  • @Officialboysafi
    @Officialboysafi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Bravo 👏🏽 captain 👨‍✈️🔥🔥🔥🔥🫡

  • @EligiaMligo
    @EligiaMligo 3 หลายเดือนก่อน +3

    No 1

  • @ramadhanichanafi4725
    @ramadhanichanafi4725 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sema Brain we ndio Pilo unaependa interviews mweeeeeeeee😅😅😅

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hahah huyu kaka 😂😂

  • @EmarionJeryco
    @EmarionJeryco 2 หลายเดือนก่อน

    Broooo ❤

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mapenzi na picha mmh badili wafanya kazi wanapotoka sana

    • @queenmichael5319
      @queenmichael5319 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi mwenyewe amenichanganya ikabidi nianze kuchunguza kivipi

    • @mohannadmohammed6631
      @mohannadmohammed6631 3 หลายเดือนก่อน +1

      Baada ya kusikiliza interview mnakimbilia kucomment tu

  • @alistairelias536
    @alistairelias536 3 หลายเดือนก่อน +4

    Captions za kiboya hizi, kuharibia watu heshima zao 😡

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 3 หลายเดือนก่อน +9

    Nyie hamjamuelewa anasema ameanzq mapenz na picha yan anapenda kupiga picha sio hivyo mnavyofikilia nyie

  • @AmirJuma-p5j
    @AmirJuma-p5j 2 หลายเดือนก่อน

    Mnahoji watu wenye akili safi sana

  • @NewNew-ep5dq
    @NewNew-ep5dq 2 หลายเดือนก่อน

  • @abc-en3em
    @abc-en3em 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee mm financial Account ilinishinda alafu uniambie physics ni basics 😂😂😂

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 หลายเดือนก่อน

      Hahaha, mambo ya Financial statement, income statement, ledger, cost of sales, 😂😂😂😂trial balance

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 3 หลายเดือนก่อน +3

    Milion 200 tuwaachie wenyewe

    • @Emanueli-vz6fd
      @Emanueli-vz6fd 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa kunaajila km kwenu hamna kitu basi utaziskia tu

  • @Sharifa_Fashion_21
    @Sharifa_Fashion_21 2 หลายเดือนก่อน

    Shikamoo kumbe mkubwa Kwangu

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 หลายเดือนก่อน

    Hii fani wanasomaga watoto wa kishua

  • @Drive1day
    @Drive1day 2 หลายเดือนก่อน

    lakini pesa pia, maana si kombi kama hizo ni pesa

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mapenzi na picha!🤔🤦🏿‍♀️

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 3 หลายเดือนก่อน +2

    Watoto wa wakubwa nyie hizo ni pesa za vocccha tu

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli Huyu katokea familia ya kishua

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kanitomba huyu kaka 🤣

    • @dmwaps
      @dmwaps 3 หลายเดือนก่อน

      Wtf😂😂😂

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@dmwaps ndiyo lol you think am joking ? 😅

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 2 หลายเดือนก่อน +1

      unaona sifa mwenyewe

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 2 หลายเดือนก่อน

      @@masalakulwa7601your funny

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 2 หลายเดือนก่อน +2

      @@masalakulwa7601 Wewe ni nini unataka kunitomba wewe?

  • @benjaminiisaya3428
    @benjaminiisaya3428 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ila hata wewe unaweza kuwa Rubani na DV 4 yako coz It’s just masomo tu kama ya kawaida

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi1424 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ninaye dada yangu awesoma urubani lakini KAZI mtihani, umefikia hatua ya kuanza kukodi kuendesha kufanya safari😂

    • @GeradiusGeras
      @GeradiusGeras 2 หลายเดือนก่อน

      Ametimiza masaa yanayotakiwa kupata kazi? Au ndo ana Fly time ya 10 hrs🤷‍♂️

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hicho kichwa cha habari hakiendani na interview hata km kutafuta view siyo sawa

  • @NeemaFaustin-t6e
    @NeemaFaustin-t6e 3 หลายเดือนก่อน +1

    𝐻𝑜𝑛𝑔𝑒𝑟𝑎 𝑘𝑎𝑘𝑎

  • @JohnBenjamin-k6m
    @JohnBenjamin-k6m 3 หลายเดือนก่อน +2

    duu nimekata tamaa

  • @hamadali5062
    @hamadali5062 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanini marubani wenye dini ya kiislamu wanakuwa hawapewi nafasi wakati wameisha maliza masaa Yao ya kurusha ndege ili waweza kurusha ndege kubwa

    • @BenedictaMagantg
      @BenedictaMagantg 2 หลายเดือนก่อน +2

      Una uhakika. Mi ninasafiri sana na ndege na waislam wako wengi tu. Two weeks ago nimetoka ZnZ to Dsm, Rubani na msaidixi wote walikuwa qaislam, fanya reseaech kwanza kabla ya kuandika.

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ayo umeanza kupoteza mwelekeo wako sasa

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 3 หลายเดือนก่อน +8

    Una anza kuleta habar za kijinga tuu bila kujua kua hii chanel yako wanatazama watu wengi wenye heshima zao na tunaojitambua

  • @EligiaMligo
    @EligiaMligo 3 หลายเดือนก่อน +2

    No 1