Uleaji wa Vifaranga wa Kuku wa Kienyeji Kwa Njia ya Kisasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Uleaji wa vifaranga wa kienyeji kwa njia ya kisasa
    Tukuachilia mbali mbinu ya zamani ya uleaji wa vifaranga wa kuku wa kienyeji, wafugaji walikuwa wanashindwa kuendeleza mradi kwa sababu ya vifo vingi vya vifaranga.
    Ili kuhakikisha mradi unakuwa, mfugaji unapaswa kulea vifaranga wa kienyeji kwa njia ya kisasa.
    Vitu muhimu kwenye uleaji wa Vifaranga wa Kienyeji kwa Njia ya Kisasa
    1. Banda la kulelea Vifaranga wa kienyeji
    2. Vifaranga vya chakula na maji ndani ya banda la Vifaranga
    3. Walishe Chakula cha vifaranga chenye virutubisho vyote
    4. Zingatia usafi wa vyombo na banda la Vifaranga
    5. Wape antibiotics na chanjo kwa wakati.
    Kwa muda wote huo unaweza ukatumia Neoxychick formula au otc 20 na vitamin, Amprollium.
    #uleajiwavifarangawakienyeji

ความคิดเห็น • 83

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +2

    *OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA*
    TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo.
    wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1

  • @medardjustinemakonge9900
    @medardjustinemakonge9900 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli naendelea kujifunza vema sana Hongera sana mkufunzi:

  • @lucyhaule3901
    @lucyhaule3901 2 ปีที่แล้ว +2

    IPO vzr

  • @elishamagambo
    @elishamagambo 6 หลายเดือนก่อน +1

    njia gani naweza kumfanyia kuku wangu kutaga mayai mengi na maani vifaranga vingi

  • @abdallahidarous
    @abdallahidarous 3 ปีที่แล้ว +2

    Habari yko mwalimu
    Mie ni mwana changamkia fursa naomba kufahamu hekima ya kukata mbawa vifaranga

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona unawakta mabawa?
    Swali hili limeulizwa na wengi lakini bado hujajibu Mwalimu.

  • @alleyamour3285
    @alleyamour3285 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks sanaa kakaaaa....tumejifunza somo la muhimu sanaaaaa...

  • @godfreymlanda5188
    @godfreymlanda5188 3 ปีที่แล้ว +3

    Lazima nitoboe naanza na kienyeji kwanza baada ya -apo chotara MUNGU aendelee kukupa hekima

  • @johnmgonja-iy8tl
    @johnmgonja-iy8tl 11 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mtaalam,naomba kujiunga na darasa la kujifunza njia mbali mbali za ufugaji wa kuku,napenda sana.

  • @johnmgonja-iy8tl
    @johnmgonja-iy8tl ปีที่แล้ว

    Asante sana mtaalamu Mungu akubariki.

  • @saumumunisi8013
    @saumumunisi8013 2 ปีที่แล้ว

    Nimefurahi nimejifunza kitu. Ubarikiwe sana na mimi nimeanza sasa kufuga kuku wa kienyeji.

  • @piusjuma2730
    @piusjuma2730 ปีที่แล้ว

    I love it good job

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda sana hii🌹😋🌹

  • @alfredmatampash6717
    @alfredmatampash6717 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza mengi asante

  • @tdlkonyagi5098
    @tdlkonyagi5098 2 ปีที่แล้ว

    Asanteni sana

  • @godfreymlanda5188
    @godfreymlanda5188 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana

  • @maryahipolity5321
    @maryahipolity5321 2 ปีที่แล้ว

    Sijaelewa vizuri kuhusu chanjo ya tatu moja.naomba kujua jina lake

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 ปีที่แล้ว +1

    Vifaranga mshawapa chanjo ya tatu moja

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว +1

      Ndio wamebakisha chanjo ya wiki ya 8

  • @betty-yd6sh
    @betty-yd6sh 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Mwalimu!
    Mbona unakata mapawa ya vifaranga?

  • @amourmumbere7254
    @amourmumbere7254 7 หลายเดือนก่อน

    Avante sana mimi niko Congo ni fanye je? Ili ni endeleye ku jifunza na nyinyi?

  • @NchamoNamakanha
    @NchamoNamakanha ปีที่แล้ว

    Nipenda sana nipo nje ya nchi vipi niweze kutuma pesa ili nipate elimu ya ufugaji wa kuku?

  • @ramazanindege8722
    @ramazanindege8722 3 ปีที่แล้ว

    Assante saana, mwalimu.

  • @saleheluvanga9929
    @saleheluvanga9929 10 หลายเดือนก่อน

    Mi naviranga lakini kila siku wanakufa sijui tatizo nini

  • @harithsaid1567
    @harithsaid1567 3 ปีที่แล้ว +1

    Wapi nitapata vifaranga vya kroiller original , nipo kigoma @ chamgamkia fursa

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว +2

      Wasiliana na huyu
      [Name] Anthonia Lymo
      [Mobile] +255 620 440 863
      [Mobile] 0755 117 360

  • @salomegachina2290
    @salomegachina2290 ปีที่แล้ว

    kazi poa

  • @fatmasmarimbo9519
    @fatmasmarimbo9519 3 ปีที่แล้ว

    Masha allah

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Allahu Akbar

    • @mohaisha
      @mohaisha 3 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa boss vifaranga vyangu mmoja kafariki na WA pili naona anaelekea so sababu itakua nini na ni dawa gani naweza kuwapatia

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Wanaonyesha dalili gani kabla ya kufa

  • @user-cd4ng3pr2z
    @user-cd4ng3pr2z 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba mawasiliano yako

  • @peterkiswaga2491
    @peterkiswaga2491 3 ปีที่แล้ว

    Napataje video hizo za ufugaji wa kuku na vifaranga kwa pamoja

  • @daruwendosalim2956
    @daruwendosalim2956 2 ปีที่แล้ว

    Somo zuri kaka

  • @mangogodluck8548
    @mangogodluck8548 2 ปีที่แล้ว

    Nimependa darasa, nataka kkuanza kufuga kukuu wa kienyeji

  • @user-ym9mz1it4q
    @user-ym9mz1it4q ปีที่แล้ว

    Naomba topia namba ya simu

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana kaka zangu

  • @rasheedsaeed5241
    @rasheedsaeed5241 3 ปีที่แล้ว

    Ni vitu vipi vinahitaka katika kuchanganya chakula, nimeshafunga mara mbili lakini sikufanikiwa.nilikuwa nikinunua vyakula.Sijakata tamaa nataka kurudi tena kwenye kuku wa chotara naomba mbinu tafadhali, ahsante.

    • @nuruelimmari5174
      @nuruelimmari5174 3 ปีที่แล้ว

      Naweza pata hiyo chanjo ya tatu moja

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Mbinu ya kwanza kwenye kuku chotara ni kununua chakula cha kampuni hasa kwa vifaranga

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Inapatikana

    • @shukranseleman4284
      @shukranseleman4284 2 ปีที่แล้ว

      Nitumie namb yako nikutmie whasap vitu vya kutengeneza chakula

  • @azardboniphace2205
    @azardboniphace2205 3 ปีที่แล้ว

    Na ukiwalea hao kuku wa kienyeji wanakua Kwa muda Gani kutosha kuliwa...

  • @fulgensenshunju946
    @fulgensenshunju946 6 หลายเดือนก่อน

    Unapatikanaje naomba no yako

  • @laulymo2063
    @laulymo2063 ปีที่แล้ว

    Nilianza na kuku wa 4 sasaivi wamefika 47nafatilia sana vipindi vyako
    Mafunzo yanatupa moyo

  • @mwanajumamakame9964
    @mwanajumamakame9964 3 ปีที่แล้ว

    Vip hawa vifaranga ukiwakata mabawa inasaidia kitu gani.

  • @josephinesafari3092
    @josephinesafari3092 2 ปีที่แล้ว

    Mabawa ya vifaranga yanakatwa kwa ajili ya nini?

  • @emmanueliirungu2339
    @emmanueliirungu2339 2 ปีที่แล้ว

    Unapokaa mabawa sijaelewa unamaana gani?

  • @sephaniamwampashi2132
    @sephaniamwampashi2132 ปีที่แล้ว

    Nimeona mtalamu unakata mabawa ya kuku hiyo inasaidia Nini?

  • @hassanseleman1806
    @hassanseleman1806 3 หลายเดือนก่อน

    Dr Sina namba zako

  • @rehemamulokozi7989
    @rehemamulokozi7989 2 ปีที่แล้ว

    Kuku wangu nawapa vitamini ya Alpha Aminovit na antibiotic ya Oxytetracycline 50% je natakiwa bado niwape na Amprollium na inasaidia nini hii Amprollium?,Asante.

  • @azardboniphace2205
    @azardboniphace2205 3 ปีที่แล้ว

    Pia nahitaji kuku Aina ya kuche, nawapataje mkuu

  • @msafiriduwiya7765
    @msafiriduwiya7765 2 ปีที่แล้ว

    Kwa Nini mnawakata mbawa vifaranga?

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 ปีที่แล้ว

    Mimi Niko Mombasa nataka vifaranga wa mwezi mmoja aina ya sasso

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Kuhusu sasa watafute silverland kwenye mtandao uchukue mawasiliano yao

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 ปีที่แล้ว

    Naweza pata?

  • @athumaniabdallah6811
    @athumaniabdallah6811 3 ปีที่แล้ว

    Kuna hekima gani ya kukata mabawa ya vifaranga

  • @samaduabdu4911
    @samaduabdu4911 ปีที่แล้ว

    Naitwa kamawe nipo bukoba nimeona mnakata mabawa sijajua maanayake

  • @user-ym9mz1it4q
    @user-ym9mz1it4q ปีที่แล้ว

    Namba ya simu

  • @ssaliharuna5714
    @ssaliharuna5714 3 ปีที่แล้ว

    How do I join the WhatsApp group from Kampala

  • @jemedaryiddi1278
    @jemedaryiddi1278 3 ปีที่แล้ว

    Kaka naomba uniambia jina ya hiyo chanjo ya tatu moja natokea kenya

  • @saluma7516
    @saluma7516 3 ปีที่แล้ว

    Asante

    • @johnmakunda8599
      @johnmakunda8599 3 ปีที่แล้ว

      Mbona hujibu maswali hasa lakuta mbawa?

  • @steadyjohn1024
    @steadyjohn1024 3 ปีที่แล้ว

    kutoka Kenya nimeshukuru.

  • @eunicepeter6249
    @eunicepeter6249 3 ปีที่แล้ว

    Kwanini unakataka manyoya ya mabawa,

  • @donpopey
    @donpopey 3 ปีที่แล้ว

    Kaka tatizo la vifaranga kukosa nguvu miguuni shida inakuwa wapi hapoo

  • @halimaruwa199
    @halimaruwa199 3 ปีที่แล้ว

    Naomba majina ya hizo antibiotics

    • @halimaruwa199
      @halimaruwa199 3 ปีที่แล้ว

      Na hiyo chanjo ya tatu moja huku kwetu Kenya sijaskia he naeza ipataje kwenu huko

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Kuhusu chanjo wasiliana na hawa qasambazaji.
      [Name] Farmer Center
      [Mobile] 0627 565 656

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Antibiotiki nimeziandika kwenye description ya hii video

  • @hajimchezo976
    @hajimchezo976 3 ปีที่แล้ว

    Hivi ukiulizwa swali kuhusiana na uleaji wa kuku waweza kujibu au tuwe tunaandika tu maswali yetu

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Uliza, likihitaji majibu marefu huwa naanda video kabisa

    • @hajimchezo976
      @hajimchezo976 3 ปีที่แล้ว

      Mimi nafuga ila nawatoa nje na kuwafungia ndani, lkn bado wapo wengine wanaumwa wamejikunja kama mtu anaehisi barid (wamevaa makoti) na kuna dawa nimetumia ila kwa jina nimeisahau lkn bado wanakufa. Na wana miezi kama mitatu hivi. Sasa nifanyeje?

    • @hajimchezo976
      @hajimchezo976 3 ปีที่แล้ว

      Naomba nipe njia ya kufanya maana ndio hali yangu ni mbaya

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 ปีที่แล้ว

      Huwa unawapa chakula gani na wanajisaidia kinyesi gani?

  • @godfreymlanda5188
    @godfreymlanda5188 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana