JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI (HISTORIA YANGU)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ค. 2020
- Jinsi ya Kuanza Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji;
Ninamapenza Makubwa Sana na Kuku wa kienyeji, ni kwa sababu kuku wa kienyeji walinitoa kwenye shida iliyokuwa imenifika shingini. Hii ndio sababu kubwa ya kutoacha kufuga kuku wa kienyeji.
Leo nitakuelekeza jinsi ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji ili upate mafanikio.
1. Tafuta Elimu ya ufugaji wa kuku wa kienyeji
2. Jenga Banda bora
3. Chagua Mbegu Bora ya Kufuga
4. Walishe chakula chenye virutubisho vyote
5. Wape chanjo kuzuia Magonjwa
PLAYLIST
Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji; bit.ly/2JlD0sl
Njia ya Kupata Vifaranga Wengi wa Kienyeji; bit.ly/2YZjyJg
Ufugaji wa Kuku Chotara; bit.ly/39r7FPD
Ufugaji wa kuku wa Nyama; bit.ly/3dXOfEd
Magonjwa Tishio ya Kuku; bit.ly/39oRfr1
Ujenzi wa Banda Bora; bit.ly/3bxQJs2
Uleaji Bora wa Vifaranga; bit.ly/2JjPH73
SOCIAL MEDIA
TH-cam; bit.ly/2vU8SBg
Facebook; bit.ly/39ogwlb
Instagram; bit.ly/3dA25xF
Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
What's app; 255 (0)752209073
For Business Purposes
Email; changamkiafursa@gmail.com
Amujambo. Aksanti kwa mafundisho hayo mazuri. Ninataka kujuwa hivyo vyombo vyakunywesheya MAJI kwa vifaranga vina patikana kwa bei gani? Na tena nataka kujuwa dollar moja ya US nisawa Shilingi ngapi za Tanzania. Aksanti.
Hongera sana sema umenifurahisha kumsemesha kuku kama binadamu
Hawa viumbe me nawapenda ikifika mda wa kuwauza kila kuku natamani abaki cjui nahisi mnunuzi anaenda kuwaharibu tu
😂😂😂😂 mimi nikianza kuwaangalia kuku wangu wa kienyeji huwa nachelewa hata kwenda kazini
😍😍😍 wanapendeza sana machoni
Historia yako imenihamasisha sana, shida yangu ni kwenye chanjo unakuta kuku katotoa vifaranga kumi kuwapa chanjo ndo changamoto msaada tafadhali
nzuriii
Blavoo kaka umetixha atar
Nawapenda Kienyeji Chickens 👌
Hongera sana kaka
Habari zauzima
🇧🇮🇧🇮🇧🇮nagufata Sana sana
Asante bro
Tuko
This one,...!!
Hongera sana bro,kweli umetoka mbali
Walinitengenezea Njia
Habari kaka,namehamasika Sana na mafunzo yako kaka,Mimi nilianza kufuga kuku kumi na walianza kutaga kuku nane baada ya wiki moja kuku waliliwa na mbwa,sasa nataka kuanzabtena naomba ushauri wako tafadhali,
Hongera sana
Asante sana
Kazi yangu ni kukufungulia njia, upite nilipopita
Ahsante sn
Natamani siku tuonane maana nimejifunza mengi sn kupitia chanel yko napenda kuku tuko pamoja.
🐓🐓🐓
Kuku wa kienyeji wanakupa raha
Mimi nahitaji kujua hivi kuku wa kienyeji anachukua muda gani hadi kufikia hatua inayotakiwa kuliwa ?
Napenda kuku jaman niunge kwenye familia plzz
Inafa kuku jike na jogo wakiwa wanatoka family moja watazaana kweli
Nifanyaje kupata kuku
Vip twaweza kupata canjo za kuku maana huku kwetu Burundi canjo hazipatikani
Naitaji kujua jinsi ya kufanya mkuu
Somo zuri
Unapatikana wapi nataka kujifunza kufuga
Ebena inpndezaaa
Nim ipenda kaziyako naomb nambazenu
Inamaana kuongea nao wanasikia
asante kwaelim je uka nunua kuku wasio na chanjo naunataka kuku wawe salama unafanyaje naomba ushaur
Asante kwa swali zuri
Kwanza watenge ili kuwaangalia kama wanamaambukizi ya magonjwa na uwe unawapa antibiotics na vitamin. Wasipoonyesha ugonjwa baada ya siku 7 wape chanjo
shukurani sana kaka chanjo nzuri ni ipi kak mana kuna yamaji na yatone
Zote ni nzuri tu
Habari nimefurai saaana kupata ujumbe uu naomba numbari yako ya simu tafadhali
Habari
Naomba msaada kuku wangu wa kienyeji wanapata choo kigumu sana.
Wanajikamua sana anaweza kutumia hata dakika 10 mpaka kutoa choo
Umepita muda gani tangu uwape dawa ya minyoo
@@changamkiafursa sijawahi kuwapa
Wape dawa ya minyoo
Hakikisha kila siku wanapata maji safi na salama muda wote
@@changamkiafursa asante nitafanya hivyo
C
nafurahi kuigiya nakuanza kufuka mimi ni mu congo mani namba yangu +243815700646 wsap nipigie tuhoge kuhusu kufuka
What's app 0752209073
Sawa vifaranga videon wazuri San ni mbegu gani?unao wa kuuza?
Hao ni pure kienyeji,
Niauza kuroiler na kienyeji miezi mitatu
Changamkia Fursa boss nahitaji kienyeji miezi mitatu..whatsapp 0684 027507 niambie bei
Uko mkoa gani?
Bro unapatikana wapi naomba namba yako
What's app 0752209073
Thanks mkuu ntakuchek
Pamoja
Asante sana kwa somo...0714 722739 tuwasiliane kaka
Njoo what's app 0752209073
Ok
Mimi nipo Butiama kiabakari Mara Nimeanza kufuga kuku nimenunua watetea. 45. Nimwezi Sasa hawa jataga wanakula tu . Nimewapatia chanjo ya Newcastle. Tu je Ni chanjogani inayo fuata??Nanina Banda la ukubwa was Futi15/30 wakianza kutaga nichangamotogani zitakazo nisumbua Sana?
Ni mwanzo mzuri sana na umeanza na mtaji mkubwa. Hapo wapatie dawa ya minyoo ambayo utakuwa ukiwapa kila mwezi na chanjo ya Newcastle utairudia kila baada ya miezi 3