NJIA RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI UKIANZA NA KUKU WA 5

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ค. 2024
  • Njia rahisi ya Kupata Vifaranga Wengi wa Kienyeji Ukianza na Kuku wa 5
    Ukiwa na Shauku ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji unatakiwa kuwa na uwezo wa Kupata Vifaranga wengi wa kienyeji ndani ya Muda mfupi.
    Pia unajiuliza uanze na Kuku wangapi watakao kuzalishia vifaranga wengi ili upate faida ya kuendesha maisha yako.
    Tuwe pamoja kwenye kipindi cha leo, utajifunza njia rahisi ya kupata vifaranga wengi wa kienyeji ukianza na kuku 5
    TIMESTAMP
    0:00 Utangulizi
    1:40 Ujenzi wa banda la kuku wa kienyeji
    2:20 Chakula bora
    3:20 Vitu Muhimu ndani ya Banda
    3:52 Ukusanyaji wa Mitetea
    4:55 Ulishaji Bora wa Chakula
    5:25 Uhifadhi wa Mayai
    6:30 Uleaji wa Vifaranga wa Kienyeji
    8:35 Ufugaji wa kuku wa kienyeji biashara
    PLAYLIST
    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
    bit.ly/2JlD0sl
    Njia ya Kupata Vifaranga Wengi wa Kienyeji
    bit.ly/2YZjyJg
    Ufugaji wa Kuku Chotara
    bit.ly/39r7FPD
    Magonjwa Tishio ya Kuku
    bit.ly/39oRfr1
    Ujenzi wa Banda Bora
    bit.ly/3bxQJs2
    Uleaji Bora wa Vifaranga
    bit.ly/2JjPH73
    SOCIAL MEDIA
    TH-cam; bit.ly/2vU8SBg
    Facebook; bit.ly/39ogwlb
    Instagram; bit.ly/3dA25xF
    Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
    What's app; 255 (0)752209073
    For Advertisements
    Email; changamkiafursa@gmail.com

ความคิดเห็น • 128

  • @bwanashamba7497
    @bwanashamba7497 4 ปีที่แล้ว +8

    Ndio kaka umeongea Mambo mengi Sana ya msingi watu wakizingatia lazima wafaidike

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว +1

      Kitu cha msingi ni kuweka kumbukumbu vitu vyote vya msingi ili uvifiweke kwenye matendo

  • @margarethmanoni9689
    @margarethmanoni9689 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru sana mwanangu kwa somo zuri nilikuwa sijui kuwa kunakubadilisha jogoo maana jogoo wangu wamezaliwa hapahapa na dada,mama zao wapo hapa ngoja ninunue jogoo wengine

  • @fredricklukosi9224
    @fredricklukosi9224 2 ปีที่แล้ว +2

    Somo zuri sana 🙏🙏🙏

  • @analwabwela9121
    @analwabwela9121 2 ปีที่แล้ว +2

    Saafi sana

  • @omanjalan582
    @omanjalan582 8 หลายเดือนก่อน

    Asante sana brother

  • @bongoplay865
    @bongoplay865 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana

  • @LucyKamwela-dn1hh
    @LucyKamwela-dn1hh 3 หลายเดือนก่อน

    Asante nataman saana

  • @user-rn2ih3vf3w
    @user-rn2ih3vf3w 11 หลายเดือนก่อน

    Asante ndugu Kwa ushauri

  • @tululililomo4706
    @tululililomo4706 4 ปีที่แล้ว +5

    Kweli elimu haina mwisho kumbe kuna umuhimu wa kubadilisha majogoo nilikuwa napuuza sana mkuu hili jambo sasa nabadili mwelekeo ahsante sana

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Nimuhimu sana, itakusaidia kupata vifaranga wasioshambuliwa kirahisi na magonjwa

  • @pasliterwakungwi9385
    @pasliterwakungwi9385 10 หลายเดือนก่อน

    Napenda kufuga kuku Asante

  • @user-jn7pi4fl5m
    @user-jn7pi4fl5m ปีที่แล้ว

    Jamani nawapenda sana

  • @user-io3xx2jw7f
    @user-io3xx2jw7f 7 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri

  • @EMMANUELKIJINZA
    @EMMANUELKIJINZA 18 วันที่ผ่านมา

    Nataman sana elimu hii maana naona ni Moja ya kitu Cha msingi sana😊

  • @KulsumMeghji
    @KulsumMeghji หลายเดือนก่อน

    Vizuri sana 🎉

  • @blackboy5419
    @blackboy5419 ปีที่แล้ว

    Naipenda uduma hii

  • @stephanmiganigan3297
    @stephanmiganigan3297 ปีที่แล้ว

    Napenda sana kufuga kuku

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 2 ปีที่แล้ว

    🇧🇮🇧🇮asanteni Kwa mafunzo yako

  • @hasnaahmed6877
    @hasnaahmed6877 3 ปีที่แล้ว +2

    Kaka somo zur sn hamna watalam wa ufugaj mikowan

  • @alesnjeje173
    @alesnjeje173 4 ปีที่แล้ว

    Somo zuri,

  • @user-xr2ze8wv5w
    @user-xr2ze8wv5w 3 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr kaka

  • @sophymussa5562
    @sophymussa5562 8 หลายเดือนก่อน

    Ahsante

  • @KuluthumuHamada
    @KuluthumuHamada หลายเดือนก่อน

    Ahsant sana broo kwa elim unayo 2patia

  • @gwamakamwailunga3039
    @gwamakamwailunga3039 4 ปีที่แล้ว +2

    Video hii imejibu maswali nilikuwa nawaza kukuuliza,hongera sana natumaini utakuwa mentor wangu siku zijazo.

  • @user-yr4io7io7p
    @user-yr4io7io7p 5 หลายเดือนก่อน

    Natamani sana nijue kutunza vifaranga bila vifo

  • @anjelistfelix1041
    @anjelistfelix1041 6 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahua

  • @saimonchangombe7888
    @saimonchangombe7888 17 วันที่ผ่านมา

    Good

  • @user-qk3xi3sm5l
    @user-qk3xi3sm5l 5 หลายเดือนก่อน

    Napendapenda kufuga ila changamoto ya magonjwa na mtaji wa kununua chakula

  • @maulidmtani2399
    @maulidmtani2399 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali sana Kaká kwa elimu unayoitoa

  • @MashakHassan
    @MashakHassan หลายเดือนก่อน

    Napenda kujua kua chakila cha kuku wa kisasa wakienyej ninaweza kuwap

  • @GloriaMbunda
    @GloriaMbunda 3 หลายเดือนก่อน

    Ni nzur

  • @kishingochangawa5383
    @kishingochangawa5383 ปีที่แล้ว

    muna maelezo mazuri

  • @maimunamohamed3558
    @maimunamohamed3558 6 หลายเดือนก่อน

    Nimependa mafunzo yako kaka ubarikiwe mm ndio naanza na nimejifunza Sana

  • @kaluluthehair4400
    @kaluluthehair4400 13 วันที่ผ่านมา

    Mim nataka kufuga kuku kienyeji

  • @JustinaJwangi-oc6vc
    @JustinaJwangi-oc6vc 10 หลายเดือนก่อน

    Nimefurah San kupat elimu kutok kwen kuhusu ufugaji napenda sana kufuga, swal lang ni je ni kwel ukiwapunguzia manyoa mkian hasa kuku jike wananenepaa

  • @theresiagratta5796
    @theresiagratta5796 ปีที่แล้ว

    asante
    naomba uniweke kwenye group la wafugaji
    asante mno

  • @harunmwazembe9980
    @harunmwazembe9980 4 ปีที่แล้ว +3

    Asanteh sana kwa ushauri mzuri,,,,, me MWANAFUNZI aisee alafu Niko mbali na home lkn nataka nifuge hao kuku,, si naweza kushare na mtu ambaye anampango wa kufuga kuku !!!!

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Hakikisha unaShauku na ufugaji wa kuku

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 4 ปีที่แล้ว +2

    Kwa ushauri bora nawapataje. Naomba mawasiliano

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      What's app 0752209073

    • @mizaseif7685
      @mizaseif7685 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa utaratibu wa kujiunga upoje kwa sasa

  • @queenwolf2576
    @queenwolf2576 2 ปีที่แล้ว +3

    Kuku wangu ametaga yai Ila liko na Ufa hilo linaweza kutotoa kifaranga

  • @unisobura9677
    @unisobura9677 2 ปีที่แล้ว +1

    Ni vyakula vipi vya kuwapa kuku wanotaga

  • @RatifaJuma-cd8rh
    @RatifaJuma-cd8rh 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba msaada mimi nimeanza kufug kuku na sijui jins yakufuga kuku

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwa maarifa na je nitapataje logo na tetra kumcha?

  • @user-pr5sl2qe4r
    @user-pr5sl2qe4r 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi nnapenda sana ufigaji. Na nimepeleka D’salaam incubator , sasa naomba kupata mayai ambayo tujaribu kutotoa watoto

  • @josephmasika3854
    @josephmasika3854 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillahi

  • @estherkimani3512
    @estherkimani3512 4 หลายเดือนก่อน

    Vifaranga wa kuku ya mayai kutoka siku moja inafaa kukaa kwa stima mda mgani

  • @danielelwin1778
    @danielelwin1778 4 ปีที่แล้ว +4

    Naungana na Mushi, somo lijalo tufundishe kuhusu utengenezaji wa chakula cha kuku kwa njia za asili

  • @NathanielPeter-wv3wg
    @NathanielPeter-wv3wg 2 หลายเดือนก่อน

    CHAKULA CHA KUTAGISHA NI KIPI

  • @mariammkono7455
    @mariammkono7455 8 หลายเดือนก่อน

    Naomba unisaidie je kuku wanaweza kulala banda moja na kuku

  • @nadhirmushi4347
    @nadhirmushi4347 4 ปีที่แล้ว +1

    Oya fanya somo lijalo tufundishe utengenezaji wa chakula cha kuku kwanzia start mpaka kuku wanapoanza kutaga bro

  • @IbrahimOmary-mw1dt
    @IbrahimOmary-mw1dt ปีที่แล้ว

    ivi kuku wanawezaj kutaja mayai meng

  • @yohanaissaya4338
    @yohanaissaya4338 ปีที่แล้ว

    Nize na kuku ngapi

  • @nkuutufred2444
    @nkuutufred2444 3 ปีที่แล้ว +3

    Please, can't you give us a teaching in English. So that all Africans can understand this very important information. It is very important

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m 11 หลายเดือนก่อน

    Chakula bora hicho nikipi,

  • @user-jn7pi4fl5m
    @user-jn7pi4fl5m ปีที่แล้ว

    Utajuaje sasa kama wanamafua

  • @Irene-bz6zz
    @Irene-bz6zz ปีที่แล้ว

    Asnte kwa somo, lakini mbona kwangu magonjwa hayakatiki? Inanikatisha tamaa

  • @bokasanyagali3937
    @bokasanyagali3937 2 ปีที่แล้ว

    Ok

    • @washaumfaume8602
      @washaumfaume8602 7 หลายเดือนก่อน

      Nichakula gani chakuwapa kukuwanaotaga msaada

  • @stivinimashurubu9989
    @stivinimashurubu9989 4 ปีที่แล้ว +1

    Chakula ngani tofaut na pumba

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Layers Mash, chakula cha kuku wanaotaga

  • @user-ed8nt9xy4w
    @user-ed8nt9xy4w 14 วันที่ผ่านมา

    aksanti kwa siri za ufugaji wa kuku; sasa na hitaji saana video zenu ni fanye nini

  • @maimunamohamed3558
    @maimunamohamed3558 6 หลายเดือนก่อน

    Ni mda gani inafaa kuwatenganisha vifaranga na mama Yao nikiwa Kenya

  • @ruthamba6293
    @ruthamba6293 3 ปีที่แล้ว +1

    sasa hawa KuKu unawa chakula gani? mpaka wanazaliana kwa haraka...!!

  • @user-nr2vw5vz2n
    @user-nr2vw5vz2n 7 หลายเดือนก่อน

    Nichakula ngani hicho

  • @SilasshijaMangu
    @SilasshijaMangu 4 หลายเดือนก่อน

    Umejtaid xn

  • @user-my7ik4hd4p
    @user-my7ik4hd4p 4 หลายเดือนก่อน

    Nikwamara ya kwanza kuona vidio hii nauliza hiyo majani naona kuku wakila ni majani ipi ambao kuku Wafaa kukula ama mti wowote

  • @calsonmbowe7669
    @calsonmbowe7669 2 ปีที่แล้ว

    unawezaje kupata majogoo ?

  • @Barick2
    @Barick2 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe ulianza kufuga kuku wangapi

  • @AliyHamsin
    @AliyHamsin หลายเดือนก่อน

    Nataka namba zako ili nikuuliza nakulipia fomla

  • @ManyahiAlbanusi-hf2ew
    @ManyahiAlbanusi-hf2ew ปีที่แล้ว

    Naomba niulize mi ninakuku 30 nafugia kwenye Banda mambogani naitaji nizingatie?

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 4 ปีที่แล้ว +3

    Tunasubiria madini

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Saa mbili kamili Asubuhi

    • @hadijamandemla7017
      @hadijamandemla7017 4 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa naulizia je kuku WA 3 au 4 wanauzwa bei gani Naomba jibu lako

  • @saleheluvanga9929
    @saleheluvanga9929 หลายเดือนก่อน

    Chakula icho kinaitwaje kaka?

  • @user-ft6os1tj9b
    @user-ft6os1tj9b 3 หลายเดือนก่อน

    Mnapatikana wapi?

  • @user-nl8rm4mf5i
    @user-nl8rm4mf5i 4 หลายเดือนก่อน

    Habar mm natk group len whatsapp ili kupat elimu

  • @neemapetertungu677
    @neemapetertungu677 2 ปีที่แล้ว +1

    nimeanza na kuku wanne na jogoo mmoja, ila wakitaga, kunakitu kinakula mayai, leo nimechungua nimeona shimo, sasa ni nyoka au panya...wananimalizia mayai nisaidie la kufanya. mabanda niliyo yayo ni kama hayo yenu.nipasafi.

    • @hamisishabani4009
      @hamisishabani4009 5 หลายเดือนก่อน

      Piga lafu floor then weka malanda au majan makavu kuwa makin na mlango au matundu ambayo yanaweza pitisha wadududu

  • @user-hu2uy5mp1j
    @user-hu2uy5mp1j 4 หลายเดือนก่อน

    Kaka jambo nihalbie vyakula vyakuku ili ciselé mukiswaili

  • @joycemlighite9271
    @joycemlighite9271 2 ปีที่แล้ว

    jamani mbona kuku wangu hawatotoi vzr

  • @sikujuwabackari3554
    @sikujuwabackari3554 ปีที่แล้ว

    Lakini naomba kwanza samahani , mtu akiuliza swali asijibiwe inamaanisha nini ? kama alikosea au hakukosea cha muhimu ni kumjibu

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 10 หลายเดือนก่อน

    Mayai napata?

  • @estherkimani3512
    @estherkimani3512 4 หลายเดือนก่อน

    Nauliza jogoo moja inafaa kuwa kuku wa wangap

  • @joycemlighite9271
    @joycemlighite9271 2 ปีที่แล้ว

    chakula cha kuku wanaotaga ni chakula gani

  • @tesmaochango4885
    @tesmaochango4885 2 ปีที่แล้ว

    Kuku wa kienyeji wanakula chick starter kwa muda wa wiki ngapi

  • @christinapaul1859
    @christinapaul1859 2 ปีที่แล้ว

    Nielekez tafadhal nikiyaacha pamoja siku y kulalia nawagawanyiajeee msaada tafadhal

  • @victorsteven4013
    @victorsteven4013 ปีที่แล้ว

    Chakula hicho kinaitwaje

  • @MashakHassan
    @MashakHassan หลายเดือนก่อน

    Napend kufuga

  • @analwabwela9121
    @analwabwela9121 2 ปีที่แล้ว

    Unapatikana wap?

  • @magdalenalaban8895
    @magdalenalaban8895 28 วันที่ผ่านมา

    Jina litatokea nani

  • @user-nl8rm4mf5i
    @user-nl8rm4mf5i 4 หลายเดือนก่อน

    Habar mm natak group lenu ili nipat eliminate zaid

  • @scholasticamswata3548
    @scholasticamswata3548 ปีที่แล้ว

    Chakula gani?

  • @alesnjeje173
    @alesnjeje173 4 ปีที่แล้ว +2

    Naweza kumnyanganya vifaranga kuku alietotoa vya siku moja?

  • @DaudiMwasipaja-cv5lq
    @DaudiMwasipaja-cv5lq 9 หลายเดือนก่อน

    Dawa gani Nagalama Zane?

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 ปีที่แล้ว

    zNIMETAXAMA VIDEO NYINGI HII NDIO NIMEEELEWA

  • @paschalmagubo6337
    @paschalmagubo6337 2 ปีที่แล้ว

    Na jogoo akimpanda jike ambae ni mwanae wa kumzaa inaweza kusababisha udhaifu wa kifaranga?

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 4 ปีที่แล้ว

    Kaka nashukuru sana kwa elimu hii. Ila kaka nataka kufuga mabata mzinga. Una elimu kuhusu ilo?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Hakuna kichoshindika, elimu ninayo ila sina uzoefu 🤔

    • @joviangeofrey7212
      @joviangeofrey7212 4 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa ok sawa

  • @jacksonntandu4771
    @jacksonntandu4771 4 ปีที่แล้ว +1

    Kaka unaacha vifaranga walelewe na mama yao ama

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Ndio, na lazima niwafungie ili kuwalinda na wanyama hatarishi

  • @christinapaul1859
    @christinapaul1859 2 ปีที่แล้ว +4

    Naomba msaad nina kuku 6 wanatag sehem moja,siku wakianz kulalia nitumie njia gani kuwalalishia mayai ya kutotoa na inasemekana mayai yasizid siku kumi na nne?

  • @user-jq6ug1gc8g
    @user-jq6ug1gc8g 5 หลายเดือนก่อน

    Nina majike 18 nitafute majogoo mangapi

  • @doramwakatwila2971
    @doramwakatwila2971 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba niunge no yangu ni 0628156568

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Fata maelekezo ya video ujisajili kwenye group. Darasa litaanza tarehe 10 mwezi wa 7

  • @felixyegon-gb5ri
    @felixyegon-gb5ri 10 หลายเดือนก่อน

    Asante sana brother

  • @saimonchangombe7888
    @saimonchangombe7888 17 วันที่ผ่านมา

    Good

  • @jeremiahwepukhulu3916
    @jeremiahwepukhulu3916 2 ปีที่แล้ว

    Good