NJIA RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI UKIANZA NA KUKU WA 5
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ค. 2024
- Njia rahisi ya Kupata Vifaranga Wengi wa Kienyeji Ukianza na Kuku wa 5
Ukiwa na Shauku ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji unatakiwa kuwa na uwezo wa Kupata Vifaranga wengi wa kienyeji ndani ya Muda mfupi.
Pia unajiuliza uanze na Kuku wangapi watakao kuzalishia vifaranga wengi ili upate faida ya kuendesha maisha yako.
Tuwe pamoja kwenye kipindi cha leo, utajifunza njia rahisi ya kupata vifaranga wengi wa kienyeji ukianza na kuku 5
TIMESTAMP
0:00 Utangulizi
1:40 Ujenzi wa banda la kuku wa kienyeji
2:20 Chakula bora
3:20 Vitu Muhimu ndani ya Banda
3:52 Ukusanyaji wa Mitetea
4:55 Ulishaji Bora wa Chakula
5:25 Uhifadhi wa Mayai
6:30 Uleaji wa Vifaranga wa Kienyeji
8:35 Ufugaji wa kuku wa kienyeji biashara
PLAYLIST
Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
bit.ly/2JlD0sl
Njia ya Kupata Vifaranga Wengi wa Kienyeji
bit.ly/2YZjyJg
Ufugaji wa Kuku Chotara
bit.ly/39r7FPD
Magonjwa Tishio ya Kuku
bit.ly/39oRfr1
Ujenzi wa Banda Bora
bit.ly/3bxQJs2
Uleaji Bora wa Vifaranga
bit.ly/2JjPH73
SOCIAL MEDIA
TH-cam; bit.ly/2vU8SBg
Facebook; bit.ly/39ogwlb
Instagram; bit.ly/3dA25xF
Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
What's app; 255 (0)752209073
For Advertisements
Email; changamkiafursa@gmail.com
Ndio kaka umeongea Mambo mengi Sana ya msingi watu wakizingatia lazima wafaidike
Kitu cha msingi ni kuweka kumbukumbu vitu vyote vya msingi ili uvifiweke kwenye matendo
Nashukuru sana mwanangu kwa somo zuri nilikuwa sijui kuwa kunakubadilisha jogoo maana jogoo wangu wamezaliwa hapahapa na dada,mama zao wapo hapa ngoja ninunue jogoo wengine
Somo zuri sana 🙏🙏🙏
Saafi sana
Asante sana brother
Asante sana
Asante nataman saana
Asante ndugu Kwa ushauri
Kweli elimu haina mwisho kumbe kuna umuhimu wa kubadilisha majogoo nilikuwa napuuza sana mkuu hili jambo sasa nabadili mwelekeo ahsante sana
Nimuhimu sana, itakusaidia kupata vifaranga wasioshambuliwa kirahisi na magonjwa
Napenda kufuga kuku Asante
Jamani nawapenda sana
Uko vizuri
Nataman sana elimu hii maana naona ni Moja ya kitu Cha msingi sana😊
Vizuri sana 🎉
Naipenda uduma hii
Napenda sana kufuga kuku
🇧🇮🇧🇮asanteni Kwa mafunzo yako
Kaka somo zur sn hamna watalam wa ufugaj mikowan
Somo zuri,
Uko vzr kaka
Ahsante
Ahsant sana broo kwa elim unayo 2patia
Video hii imejibu maswali nilikuwa nawaza kukuuliza,hongera sana natumaini utakuwa mentor wangu siku zijazo.
Asante sana kwa Mrejesho wako
Natamani sana nijue kutunza vifaranga bila vifo
Nimefurahua
Good
Napendapenda kufuga ila changamoto ya magonjwa na mtaji wa kununua chakula
Nakukubali sana Kaká kwa elimu unayoitoa
Tuko pamoja
Napenda kujua kua chakila cha kuku wa kisasa wakienyej ninaweza kuwap
Ni nzur
muna maelezo mazuri
Nimependa mafunzo yako kaka ubarikiwe mm ndio naanza na nimejifunza Sana
Mim nataka kufuga kuku kienyeji
Nimefurah San kupat elimu kutok kwen kuhusu ufugaji napenda sana kufuga, swal lang ni je ni kwel ukiwapunguzia manyoa mkian hasa kuku jike wananenepaa
asante
naomba uniweke kwenye group la wafugaji
asante mno
Asanteh sana kwa ushauri mzuri,,,,, me MWANAFUNZI aisee alafu Niko mbali na home lkn nataka nifuge hao kuku,, si naweza kushare na mtu ambaye anampango wa kufuga kuku !!!!
Hakikisha unaShauku na ufugaji wa kuku
Kwa ushauri bora nawapataje. Naomba mawasiliano
What's app 0752209073
@@changamkiafursa utaratibu wa kujiunga upoje kwa sasa
Kuku wangu ametaga yai Ila liko na Ufa hilo linaweza kutotoa kifaranga
Huuu uongo
Ni vyakula vipi vya kuwapa kuku wanotaga
Naomba msaada mimi nimeanza kufug kuku na sijui jins yakufuga kuku
Ahsante kwa maarifa na je nitapataje logo na tetra kumcha?
Mimi nnapenda sana ufigaji. Na nimepeleka D’salaam incubator , sasa naomba kupata mayai ambayo tujaribu kutotoa watoto
Alhamdulillahi
Vifaranga wa kuku ya mayai kutoka siku moja inafaa kukaa kwa stima mda mgani
Naungana na Mushi, somo lijalo tufundishe kuhusu utengenezaji wa chakula cha kuku kwa njia za asili
Tuko pamoja
CHAKULA CHA KUTAGISHA NI KIPI
Naomba unisaidie je kuku wanaweza kulala banda moja na kuku
Oya fanya somo lijalo tufundishe utengenezaji wa chakula cha kuku kwanzia start mpaka kuku wanapoanza kutaga bro
Tuko pamoja
ivi kuku wanawezaj kutaja mayai meng
Nize na kuku ngapi
Please, can't you give us a teaching in English. So that all Africans can understand this very important information. It is very important
He doesn't have to. It's not his language! Just ask for subtitles
Z xko hoopi j
JIPic
Chakula bora hicho nikipi,
Utajuaje sasa kama wanamafua
Asnte kwa somo, lakini mbona kwangu magonjwa hayakatiki? Inanikatisha tamaa
Ok
Nichakula gani chakuwapa kukuwanaotaga msaada
Chakula ngani tofaut na pumba
Layers Mash, chakula cha kuku wanaotaga
aksanti kwa siri za ufugaji wa kuku; sasa na hitaji saana video zenu ni fanye nini
Ni mda gani inafaa kuwatenganisha vifaranga na mama Yao nikiwa Kenya
sasa hawa KuKu unawa chakula gani? mpaka wanazaliana kwa haraka...!!
Nichakula ngani hicho
Umejtaid xn
Nikwamara ya kwanza kuona vidio hii nauliza hiyo majani naona kuku wakila ni majani ipi ambao kuku Wafaa kukula ama mti wowote
unawezaje kupata majogoo ?
Wewe ulianza kufuga kuku wangapi
Nataka namba zako ili nikuuliza nakulipia fomla
Naomba niulize mi ninakuku 30 nafugia kwenye Banda mambogani naitaji nizingatie?
Tunasubiria madini
Saa mbili kamili Asubuhi
@@changamkiafursa naulizia je kuku WA 3 au 4 wanauzwa bei gani Naomba jibu lako
Chakula icho kinaitwaje kaka?
Mnapatikana wapi?
Habar mm natk group len whatsapp ili kupat elimu
nimeanza na kuku wanne na jogoo mmoja, ila wakitaga, kunakitu kinakula mayai, leo nimechungua nimeona shimo, sasa ni nyoka au panya...wananimalizia mayai nisaidie la kufanya. mabanda niliyo yayo ni kama hayo yenu.nipasafi.
Piga lafu floor then weka malanda au majan makavu kuwa makin na mlango au matundu ambayo yanaweza pitisha wadududu
Kaka jambo nihalbie vyakula vyakuku ili ciselé mukiswaili
jamani mbona kuku wangu hawatotoi vzr
Lakini naomba kwanza samahani , mtu akiuliza swali asijibiwe inamaanisha nini ? kama alikosea au hakukosea cha muhimu ni kumjibu
Mayai napata?
Nauliza jogoo moja inafaa kuwa kuku wa wangap
Kuku Kimu dear
chakula cha kuku wanaotaga ni chakula gani
Kuku wa kienyeji wanakula chick starter kwa muda wa wiki ngapi
Nielekez tafadhal nikiyaacha pamoja siku y kulalia nawagawanyiajeee msaada tafadhal
Chakula hicho kinaitwaje
Napend kufuga
Unapatikana wap?
Jina litatokea nani
Habar mm natak group lenu ili nipat eliminate zaid
Chakula gani?
Naweza kumnyanganya vifaranga kuku alietotoa vya siku moja?
Ndio, utawalea kwa njia ya kubuni
Dawa gani Nagalama Zane?
zNIMETAXAMA VIDEO NYINGI HII NDIO NIMEEELEWA
Na jogoo akimpanda jike ambae ni mwanae wa kumzaa inaweza kusababisha udhaifu wa kifaranga?
Ndio
Kaka nashukuru sana kwa elimu hii. Ila kaka nataka kufuga mabata mzinga. Una elimu kuhusu ilo?
Hakuna kichoshindika, elimu ninayo ila sina uzoefu 🤔
@@changamkiafursa ok sawa
Kaka unaacha vifaranga walelewe na mama yao ama
Ndio, na lazima niwafungie ili kuwalinda na wanyama hatarishi
Naomba msaad nina kuku 6 wanatag sehem moja,siku wakianz kulalia nitumie njia gani kuwalalishia mayai ya kutotoa na inasemekana mayai yasizid siku kumi na nne?
Nina majike 18 nitafute majogoo mangapi
Tafuta wawili
Naomba niunge no yangu ni 0628156568
Fata maelekezo ya video ujisajili kwenye group. Darasa litaanza tarehe 10 mwezi wa 7
Asante sana brother
Good
Good