UFUGAJI KUKU UNAOWASHANGAZA WENGI, NI MRAHISI NA UNALIPA MARA DUFU KWA MFUGAJI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2021
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
mitandaoni unapatikanaje
Mimi nahitaji kuchi
Mtangazaji, huulizi alianza vipi
anasema eti ufugaji usio na gharama,eneo la ekari moja unafugia kuku alafu unasema ufugaji usio na gharama kwa ajili ya kukatakata madumu ya maji ambayo hata ukienda kwa mangi anakupa tu bureee,muwe siriazi na mnachofundisha,kama hamjasoma uchumi basi tafuteni wachumi wawasaidia kujua mambo msiyoyajua.
Hii ni ajira kamili
Nimependa hii najaribu kutasimini ni mtaji wa shingapi ili nifikie malengo
Huyu mfugaji anahitaji mabadiliko mengi ili kuimarisha ufugaji wake.
Mwapatikana nchi gani
Ndugu vipi kwa ufugaji nusu huria hawatagi shambani??
Wanataga... Na ndizo hasara za nusuhuria.. Coz mayai yanaweza potea... Ila kwa kienyeji sio hasara ila utakuja ona vifaranga
Naona mazingira mazuri sana ila kuku wachache sana why?!!
For sure
Niko na kuchi Nani atakae
Upo wapi
weka na mawasiliano yako
Esha Mie nakutaka wewe nikulete Mombasa tufuge pamoja kuchi.
Unapatikani
Unapatikana wap
weka mawasiliano