MAAJABU: DUKA LISILO NA MLANGO WA MBAO WALA CHUMA NA HAKUNA ANAEJARIBU KUIBA "USIKU NAZIBA NA PAZIA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2020
  • #Ripotizamillardayo #AyoTV

ความคิดเห็น • 1.2K

  • @fitnesslifestyle.7859
    @fitnesslifestyle.7859 4 ปีที่แล้ว +30

    Jamaa ana imani kubwa sana ndani yake afu ni mkweli, hope wengi wetu tutajifunza kuhusu imani kupitia interview hii. Big up Bro. Millard

  • @jihadabdi7754
    @jihadabdi7754 4 ปีที่แล้ว +3

    Nampenda sana huyu msela Millard ayo big up bro unamaswali yakueleweka

  • @giovannygracious3434
    @giovannygracious3434 4 ปีที่แล้ว +7

    Bwana asipolinda Mji waulindao wafanya kazi bure!! Unaweza ukawa na mageti makubwa na kufuli za alam na bado wez wakavunja na kuiba!! Unaweka turubai unafunga Duka lako unaenda nyumban unalala usingiz mtammmmm kabisaaa Bwana analinda!! Barikiwa mnoooo kaka kikubwa Iman yako na Mungu wako!! Mungu akuinue mnooo katika viwango vya juu.

  • @winnermariah
    @winnermariah 4 ปีที่แล้ว +6

    Huyu Kaka 🙌🙌Imani yake Kali sana na MUNGU anampenda mnoo..ila Aanze Kusali Abarikiwe Zaidi

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah. Allah atakujaalia utaswali pia. Jitahidi uswali sala tano.

  • @thobiasmwambeta6990
    @thobiasmwambeta6990 4 ปีที่แล้ว +73

    Acheni Iman mbaya, Nampa big up jamaa anaiman Kali Sana kumuamin Mungu .

    • @seifchembela4346
      @seifchembela4346 4 ปีที่แล้ว +1

      Kwaiyo wanao weka milango awa Amin mungu

    • @farajakasikile8846
      @farajakasikile8846 4 ปีที่แล้ว +1

      Sio kwamba awaamini ila imani yake pia ni kubwa

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 4 ปีที่แล้ว +2

      @@seifchembela4346 kuna tofauti kati ya imanii na kumwomba Mungu, ukiwa na imanii yaan hata kumwabudi Mungu nikitu simple coz maandiko matakatifu ynasema "" Tukiwa na imanii kama punje ya diliani basi tutauwambia mlima ng'ooka na unang'ooka tuu.so hongera sana kwakee brother

    • @sidratybinkhamis2837
      @sidratybinkhamis2837 4 ปีที่แล้ว

      Kwel

    • @shamilanunu4045
      @shamilanunu4045 4 ปีที่แล้ว

      Ana lolote.....Mzee wa Miba huyu

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 3 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyezi Mungu na mimi nakuomba unizidishie imani kwako yakumpita huyu kaka by your grace🙏🏿... Kaka Nakuombea M/Mungu azidi kukuendeleza kwa kila namna 🙏🏿...

  • @nalyismail9915
    @nalyismail9915 4 ปีที่แล้ว +4

    Jamaa uko vizuri Ana jiamini Sanaa,kubwa kulikoo sio muongo anaongea ukweliii wenginee wanacheka halii ya kuwa hata msikitin ama kanisani hawajawahii fikaa miaka mingi zaidi yakee,imanii tuu kuamini kwa kila jamboo kuwa mungu yupoo na sio kila anae swalii ndio msafii Sana kuliko wenginee mungu tuu ndio anajuaa

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 ปีที่แล้ว +3

    Hamim sasa uswali bila swala unamuuzi Mungu...Allah hapendi mtu asiependa ibada....lengo tuliloumbiwa ni kumuabudu Allah...S.W....

  • @harounali9057
    @harounali9057 4 ปีที่แล้ว +3

    Kijana chapa kazi uko mbali sana kidunia na Allaah aku ongoze zaidi katika twaa yake uapate kumsujudia.

  • @mutheekigwaci4871
    @mutheekigwaci4871 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Ni mtunguyaz budaboss Mungu akubariki njaro zako zakubarika👊👊👊👊🙏💪

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 4 ปีที่แล้ว +49

    Millard uko vizuri utangazaji: nice questions flow. Mtangazaji mwingine apate mtu anajibu kimkato hivi interview Haizidi dakika moja.

  • @adremapanya1759
    @adremapanya1759 4 ปีที่แล้ว +3

    Respect kwako Braza Millard Ayo

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 ปีที่แล้ว +35

    Subhan Allah, interview nzuri sanaa, Mmmh Yuatisha Jamaa.Millard Mfayie Suprise Ya Mlango wa duka.

  • @eriqemarson2362
    @eriqemarson2362 4 ปีที่แล้ว +30

    Kuna kitu kaongea huyu jamaaa...."Hatua ya kesho huijui na kikubwa kumuamini sana Mungu" aseee hili swala ni kubwa sana maana huyu mjuba kaelewa kwamba Mwenyezi Mungu ndie mlizi wetu sana wa kila siku....
    may our almight one God bless this Guy truly! maana kama kweli amekiri kwa ndimi zake kwamba Mungu yupo na ndiye mlinzi wetu sisi wanaadam basi Namuombea sana azidi kumfanikisha.
    Inshallah!!!

  • @arushijuma6056
    @arushijuma6056 4 ปีที่แล้ว +25

    Genius Allah akujaliee uanzwe swalaaa brother

  • @hassanmkungile6021
    @hassanmkungile6021 4 ปีที่แล้ว +9

    Uyu Jamaa anaailkili Sana na wamekutana wote Akil mingi 😂😂😂

  • @maidasaid9449
    @maidasaid9449 4 ปีที่แล้ว +7

    "Sauti y mke wangu uisikie ww...iyo haipo" hata dini inakataz...safi kijana hapa umejali thamani y mke na mwanamke

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 2 ปีที่แล้ว +1

    Majibu mazari barikiwa sana

  • @sospetermathias4253
    @sospetermathias4253 4 ปีที่แล้ว +2

    Noma sana Millard sijawahi kuzichoka habari zako

  • @prudencecharles8980
    @prudencecharles8980 4 ปีที่แล้ว +10

    Hata Mimi naamini sane mungu he can move mountains...i just love his faith mungu na amubariki

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala2802 4 ปีที่แล้ว +43

    🤣🤣🤣🤣🤦🏽‍♂️ mlinzi ninaye Mwenyezi Mungu 🙏 Allah akupe nguvu na iman thabit

    • @brobabuu3973
      @brobabuu3973 3 ปีที่แล้ว +4

      Kwa yeyote anayesoma hii..
      nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!

    • @erickevarist8738
      @erickevarist8738 3 ปีที่แล้ว

      Hata mungu anasema usimruhusu ibilisi nafasi wewe

  • @dumelatembo6802
    @dumelatembo6802 4 ปีที่แล้ว +56

    HII IMANI NI KALI SANA NAAMINI MUNGU YU MWEMA NA anapotajwa na anaye mwamini humbariki mara dufu.

  • @mwanahamisisaidihamisi6239
    @mwanahamisisaidihamisi6239 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah mungu akuzidishie imani

  • @suncheofficial5827
    @suncheofficial5827 4 ปีที่แล้ว +11

    Huyu jamaa toka dk 1 ya interview kamtaja mungu zaidi mara 20 imani kubwa san

  • @mbarakabdallah4631
    @mbarakabdallah4631 4 ปีที่แล้ว +4

    Hyu jamaa anajielewa..ila kwenye ibada ndio mtihani...Allah swt amuongoze ktk hili.

  • @mr.solidwork
    @mr.solidwork ปีที่แล้ว +1

    Kweli mungu ana nguvu sana bro

  • @abasisabuni3883
    @abasisabuni3883 4 ปีที่แล้ว +2

    Ma Shaa Allah
    Best interview
    Kuna kitu cha kujifunza kwa huyu jamaa tuchukue mazuri yake especially vile anaamin katika Mungu naamin atakuja kua Muumin mzuri
    Big Millard Ayo
    Leo umepatikana brother

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 4 ปีที่แล้ว +54

    Wezi lazima wanamjua uyu jamaa ivyo wanaogopa kuingia kwenye 18 zake

  • @estatekisombola9251
    @estatekisombola9251 4 ปีที่แล้ว +10

    Jamaa ana akili nyingi sana love from Australia 🇦🇺🇦🇺

  • @ayubujohn7621
    @ayubujohn7621 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa sana interview yako mungu akubaliki kazi yako

  • @djsumahassan2623
    @djsumahassan2623 4 ปีที่แล้ว +2

    juu ya yote ALLAH ndie muweza wa kila jambo brother uko vizuri ALLAH akupe maisha marefu

  • @allyhussein6363
    @allyhussein6363 4 ปีที่แล้ว +78

    Angekuja kufungua uku mtaan kwetu. Nadhani akil ingemkaa xawa tu. Wangap wanakubal kuwa mtaan kwao amnaga uzembe kama uwo? Like hapa na ku comment

  • @Mjingafaki
    @Mjingafaki 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamaaa kanichekesha sanaa majibu yake

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 4 ปีที่แล้ว +1

    Karibu zanzibar wapo wanao fanya ibada lkni ktk biashara zao hawamuamini Mungu wanafanya ushirikina wapo wanaofnya ibada maisha yao hawamwamini Mungu wenye imani mbovu watakuchukulia vingine ila mlizi wa anaefanya ibada na asiefanya ibada Mungu peke yke

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 ปีที่แล้ว +76

    Hyu jamaa inawezekana hana lolote ila kwakua sio kawaida watu wanaogopa2 alf ana akili nyingi sana

    • @jumandutu2275
      @jumandutu2275 4 ปีที่แล้ว

      Ndo ivoo masikini

    • @dotosalim5090
      @dotosalim5090 4 ปีที่แล้ว

      Umeonaee

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 4 ปีที่แล้ว +1

      yani huyu mjanja sana hana rorote wala chochote ila kawashika nyota wezi

    • @ZaharadaffaZaharadaff
      @ZaharadaffaZaharadaff 4 ปีที่แล้ว

      Nakubaliana na wewe

    • @7limonuh271
      @7limonuh271 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @d.m453
    @d.m453 4 ปีที่แล้ว +23

    Ujasiri wake umewafanya watu kuwa waoga wanahisi kunanguvu ya ziada,wanashindwa kuiba.

    • @lizzydiy4590
      @lizzydiy4590 3 ปีที่แล้ว

      Mmmh sio rahis kua na ujasir huo pengne Kuna kityuu

    • @mustaphyassin9743
      @mustaphyassin9743 3 ปีที่แล้ว +1

      Debora nicheki kwa no 0629908339

    • @d.m453
      @d.m453 3 ปีที่แล้ว

      @@mustaphyassin9743 Kuna nini?

  • @lizburton9833
    @lizburton9833 3 ปีที่แล้ว +4

    Wow! This is God an God is every where , every one believe Tanzania their tough on witch craft but u cant imagine how believe he is

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 4 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa amenifurahisha kweli. Nilikuwa na tafash zangu nimezisahau

  • @hawabilali4837
    @hawabilali4837 4 ปีที่แล้ว +11

    Hakika Mungu anaangalia moyo wa mtu, kumuamini Mungu kupo ndani ya mtu sio watu wanavyokutazama.

  • @saidabdullah7273
    @saidabdullah7273 4 ปีที่แล้ว +56

    Mungu ndio kila kitu jamani... ukimuamini kikweli haswa utashangaa ulinzi wake hakuna mlinzi zaidi ya mungu...maneno yake sahihi kabisaa

    • @baltzrluus3287
      @baltzrluus3287 4 ปีที่แล้ว +4

      nawewe amini halafu usifunge mlango

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 4 ปีที่แล้ว +1

      Sometimes sio uchawi sababu anajiamini na hao walimzunguka hawawezi sababu wameshajiwekea kuwa ni uchawi sio hawawezi kuiba kwa kuogopa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 ปีที่แล้ว

      Angefungua huku kwetu huyo Mungu ndio angemtwika Mwizi mzigo.

    • @gloryjulius1108
      @gloryjulius1108 4 ปีที่แล้ว +1

      Hakika hakuna kinachomshinda Mungu aminini tu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 4 ปีที่แล้ว

      Hakuna imani ya mtu kumuamini Mungu halafu uikate miaka 7 hujasujudu. Kwawaida ya imani ya kumuamini Allah/Mungu inakupeleka kwenye khofu ya kutokutenda aliyoyaamrisha na kukupa mapenzi ya Mola wako. Ssa yy imani yake iwe inampeleka wapi miaka yote hiyo? Na anaimani kubwa ya kuacha duka lisiguswe. Allah anajua yaliyokwenye nafs yake lkn ndugu zangu tofauti ya muisilam na asiekua muisilam ni swala.
      Na alipojiwa Nabii Mussa (A.S) na mwanamke aliyezini na kuua mtoto akamfukuza kwa kukhofia adhabu za Allah zisishuke naye yupo pamoja na yule mama. ALLAH alimtaka amrejeshe yule mama na akamuuliza Nabii Mussa kwani hakuona mtu mwenye makosa zaidi kuliko huyo mama na akaambiwa ni twariqu swalaa ambaye kinaingia kipindi cha swala na yy anaamua kwa makusudi kua haswali.
      Swala ni mkoba wa kutia amali zako bila ya swala ni sawa na kwenda kuokota maembe halafu ukawa huna cha kutilia.
      Kama kweli anamuamini Mungu na anajua Mungu anamlindia mali yake imani ingekwenda kwenye kurejesha shukurani/swala na ingemtengeneza hadi akaingia masjid kujumuika na wanaume wenziwe na pengine adhana ya sala anaisikia na anaipuuza imani gani hio kubwa?
      Allah amuongoze yy na sie, Amiin.

  • @iddyshabani5942
    @iddyshabani5942 4 ปีที่แล้ว +29

    KAMA UMEGUNDUA MILARD AYO ANA WASI WASI /KITETE /MTERO GONGA LIKE

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics ปีที่แล้ว

    Interview za Millard ayo TV ni mzuri sana yaani anajua kuuliza maswali yale ya muhimu ni mzuri sana interview

  • @ml-elisante-kwayayavijanai6570
    @ml-elisante-kwayayavijanai6570 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli Kama anamwamini Mungu itakuwa anaiman kubwa Sana. Big up bro

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania3089 4 ปีที่แล้ว +27

    Uyu jamaa yy amemuamini sana mungu ndiyo mana amejiyamini na wa tnzna awajawahi kuona mayisha ya namna hiyo ndiyo mana wanashindwa kuiba

    • @mcctz3672
      @mcctz3672 4 ปีที่แล้ว

      Mmmh ametisha

    • @titusmayala4658
      @titusmayala4658 4 ปีที่แล้ว

      Hahaha, ana confidence sana na anajibu kwa kujiamini, nachojiuliza haendi kuswali kuna nn hapooo?

  • @jamalmohamed4058
    @jamalmohamed4058 4 ปีที่แล้ว +3

    MASHA ALLAH... AMEMTANGULIZA ALLAH

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 4 ปีที่แล้ว +2

    Ishi uone mengi ya dunia.
    Millard Ayo.

  • @mtukwaomedia
    @mtukwaomedia 4 ปีที่แล้ว +1

    Milad ayo unamaswali mazuri sana

  • @swahibsinjo8439
    @swahibsinjo8439 4 ปีที่แล้ว +5

    Kuna kitu ya pazia huyu jamaa anatudanganya, hata Mungu anataka ujisaidie kwanza ili akusaidie sasa wewe jaribu kuacha milango wazi halafu useme Mungu atakulindia, kama ndo hivyo tusingekuwa tunaenda makazini Mungu anatudondoshea tu biriani gheto!!!

  • @marywillium7471
    @marywillium7471 4 ปีที่แล้ว +5

    Nakupenda Millardayo kwa Kaz Zako..GOD BLESS YOU KTK KAZI ZAKO...♥️♥️♥️😍😍

    • @stellashore3104
      @stellashore3104 4 ปีที่แล้ว

      Mmh,kuswali haswali,labda kama ni mtoaji mzuri wa sadaka na kusaidia wasiojiweza ,Mungu analinda kweli.

  • @mgendimussa7224
    @mgendimussa7224 4 ปีที่แล้ว +2

    Maisha yana siri kubwa sana hata mtu afanye nini jambo la kwanza utasikia namuachia Mungu kwani Mungu ndo kimbilio lao ila matendo yao ni siri kubwa sn

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 4 ปีที่แล้ว +2

    Kama anayosema ni kweli, Ndio imani tunayopaswa kuwa nayo yani mahusiano ya moja kwa moja na Mungu. Kanisa, misikiti na mahekalu yanasaidia tu kutufundisha na kutukumbusha juu ya kumjua Mungu na uwezo wake. Kuna la kujifunza kuhusu Imani hapa kuwa Mungu anaweza kila kitu isipokuwa sisi wenyewe tunamwekea mipaka na kujitia unajisi ndio tunapotetereka.

  • @kijonalusay
    @kijonalusay 4 ปีที่แล้ว +5

    Nimempenda jamaa jinsi anavojibu maswali Allah azidi kumsimamia ila kazingua kua ana zaidi ya miaka 7 hajaswali hakika huu ni mtihani kwake Allah amjalie na imani yake izidi na aanze kusali

  • @allisonmadii7620
    @allisonmadii7620 4 ปีที่แล้ว +16

    Ntwara Njini kwa Nkuu wa Nkoa..hahaha nimekubali.

  • @mbarakabdallah4631
    @mbarakabdallah4631 4 ปีที่แล้ว +1

    Daah milad blog yako inapendwa kichizi..hadi laki zako one m na zidi ...hongera kwanza

  • @asiajuma8330
    @asiajuma8330 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ndio kila kitu kaka uko vizuri alafu ni mtafutaji sana

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 4 ปีที่แล้ว +18

    Kumbuka mwenyezi Mungu aliyetuumba ndiye alietuamrisha tuchukue tahadhari.Uinzi muhimu

  • @khadhoujjojo338
    @khadhoujjojo338 4 ปีที่แล้ว +7

    Astaghfirullah muislamu na huswali na wamuamini mungu..."kumuamini Allah(M. Mungu) ni misingi ya dini zote.

    • @rukiamussa9509
      @rukiamussa9509 4 ปีที่แล้ว +1

      Unaweza usali na matendo yako ya ovyo ndio mana unaambiwa UISLAM UNAANZA IMANI MASHALLAH KAK MUNGU AKUONGEZEE IMANI ZAID SIKU MUJA UTASWALI INSHAALLAH

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 4 ปีที่แล้ว +1

      @@rukiamussa9509, Tofauti ya kafiri/asiemuisilam na muisilam ni swala

    • @mariammuscat4300
      @mariammuscat4300 3 ปีที่แล้ว +1

      Aallah amjaliye aswali

    • @khadhoujjojo338
      @khadhoujjojo338 3 ปีที่แล้ว

      @@mariammuscat4300 Allahumma Ameen

  • @amoskitiku4418
    @amoskitiku4418 4 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣🤣 Iman ya kumuamin Mungu ulianza mwaka gani🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 ปีที่แล้ว

    Jmn millard hilo ni bonge la interview ♥️🙏💪

  • @idreamfoto
    @idreamfoto 4 ปีที่แล้ว +8

    God First!

  • @fedelinamahenge6649
    @fedelinamahenge6649 4 ปีที่แล้ว +3

    tanzania kuna watu wana akili sana huyu ni hatari akili yake sio ya kawaida ila du nabii hakubariki kwao

  • @eliajuma9012
    @eliajuma9012 4 ปีที่แล้ว +2

    Et duka unaacha waz arafu unamwachia mungu ukulindie! Mungu humsaidia yule anaejisadia mwenyew

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 ปีที่แล้ว +1

    Millard umepatikana mpaka anataka kurudia maswali eeeeeh hii kali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Huyo MTU msijaribu kumuibia aisee atakuja kuwatoa mabusha

  • @zabibumunis673
    @zabibumunis673 4 ปีที่แล้ว +12

    Baada ya interview baadae hao Majamaa wanaotizama hapo watakujakujaribu kuiba

  • @kibonaamenye6878
    @kibonaamenye6878 4 ปีที่แล้ว +9

    ebwanae Mungu yupo na anaishi na watu wake, amini Mungu yupo na nguvu zake na miujiza yake inatembea nasi., Amim kunakitu umenifunza

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas9885 4 ปีที่แล้ว +1

    milard kweli unatupasha habari sina cha kukupa ila ...# mungu atakupandisha viwangoooooo

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 ปีที่แล้ว +1

    Karib znz Hamim tunakukaribisha

  • @hajielmi7518
    @hajielmi7518 4 ปีที่แล้ว +12

    Anatafuta mtu amtoe kishipa😂😂😂

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 4 ปีที่แล้ว +9

    Kama umesikia SISWARI twende sawa😂

    • @mwanzomwisho1217
      @mwanzomwisho1217 3 ปีที่แล้ว

      Nimesikia ''SISWALI'' ila sio ''SISWARI''.

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kwa kweli maongezi yako Yana hekma sana ila hapo kwenye ibada ndio katuangusha ila mungu atamfanyia wepesi inshaAllah

  • @violetpaulsen1741
    @violetpaulsen1741 3 ปีที่แล้ว +1

    Tumuamin sana Mungu ndugu zangu

  • @jobaisyrainer711
    @jobaisyrainer711 4 ปีที่แล้ว +13

    km unaamin uyu jamaaa ni mafyaaa wa ndumba gonga like twende sw

  • @sweeteverline4592
    @sweeteverline4592 4 ปีที่แล้ว +3

    Hyo inaitw guswaa unaswee jamaa anaaakili n anasiriii sanaaaa hkun mtu ataiba km hajakuta kanaswa na ulimbooo😂😂😂

  • @paradisefelix1218
    @paradisefelix1218 4 ปีที่แล้ว +1

    Duuh! Noma kwa dunia hii ukodi duka bila mlango ni majanga utaibiwa mpaka utachukia biashara bado nashangaa hilo duka na musika anasema haswari lkn duka linalindwa na Mungu aise kweli Mungu yupo kwa msiojua km Mungu yupo duuuh! Ila kaka ungefunguka tu tujue ulichokifanya mpaka ujiamini hivyo kuacha duka wazi duuu!

  • @mshindinewtvshow705
    @mshindinewtvshow705 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukiona hvyo ukoo mzima unaimani nzito kama hata nyumba ya mamaake haina madilisha😍

  • @breackychangwe7326
    @breackychangwe7326 4 ปีที่แล้ว +7

    Daaaaah Jamaa Akili nyingi sana

  • @amaniamani1129
    @amaniamani1129 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimependa hekima ya majibu yake yupo vizurii Sana'a
    Na katika maisha ujasirii ni dawa toshaaa

  • @mshindinewtvshow705
    @mshindinewtvshow705 4 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana huyu jamaa

  • @pickmaxtv7689
    @pickmaxtv7689 4 ปีที่แล้ว +1

    Kikubwa kumuamini mungu anayosema yanawezekana

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis2461 4 ปีที่แล้ว +13

    Siri yangu siri yangu

    • @lydiamuli3328
      @lydiamuli3328 4 ปีที่แล้ว

      Mpaka kuacha duka bila.mlango ni siri yangu 😁😁

    • @nsesheyemwasote6248
      @nsesheyemwasote6248 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂kwa kweli

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 ปีที่แล้ว +10

    Muhojiwa yupo seriously mpka anatisha kha hahahahah

  • @tawfiqahmadbakari4314
    @tawfiqahmadbakari4314 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa ana maconfidence hatr

  • @paulmtungalyambo2065
    @paulmtungalyambo2065 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakika ndomana ata neno là Mungu lishasema ata wachawi na mashetani Wanamjua Mungu na jina lake likitajwa wanatetemeka

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 4 ปีที่แล้ว +16

    Huyu ndio mtangazaji sasa na alio ulizwa maswali ote wamekutana wana akili awa Muoji na Muulizwa ote wako vizuri

  • @saidabdullah7273
    @saidabdullah7273 4 ปีที่แล้ว +65

    Maskini hakujiombea nafsi yake ameomba maji na shule ili viwafae jamii yote mungu amuongoe yaarab

  • @mwinyicostantino9862
    @mwinyicostantino9862 4 ปีที่แล้ว

    Hahaha! mr milard apa uligonga mwamba broo ulikifata sicho ulichokipata;pole ila unapambana 4sure broo,kip it up

    • @silakweya5981
      @silakweya5981 3 ปีที่แล้ว

      Kakutana na jiwe kavu aseee

  • @fadhilsanga2847
    @fadhilsanga2847 4 ปีที่แล้ว +1

    Millard ayo uko vizuri. Kwa kaZi yako
    Naququbali. ..,...

  • @husnamahadhi7437
    @husnamahadhi7437 4 ปีที่แล้ว +5

    Hakujiombea nafsi yake ameiombea jamii huyu kaka Mungu amsahidie in sha Allah

  • @rachelhozza7047
    @rachelhozza7047 4 ปีที่แล้ว +3

    haaah shikamoo mzee wa mungu

  • @luckymastory7269
    @luckymastory7269 4 ปีที่แล้ว

    Kwa Simulizi Kali Za Mapenzi (Mambo Ya Chumbani/Kutombana) Bofya Link Hii 👇👇👇
    th-cam.com/video/ImYAzPt6zEs/w-d-xo.html
    th-cam.com/video/ImYAzPt6zEs/w-d-xo.html
    USISAHAU KUSUBSCRIBE

  • @abuusalim4233
    @abuusalim4233 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante millad

  • @danielwilfred2609
    @danielwilfred2609 4 ปีที่แล้ว +11

    Mwiz mmja kasha like video baada yakusikia hamn ushrkna apo 😁😁

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 4 ปีที่แล้ว +15

    Minds work apo jamaa anajibu maswali yakunyooka alafu ana akili nyingi

  • @healthchoicewithluciebern8741
    @healthchoicewithluciebern8741 4 ปีที่แล้ว +1

    Anamfanana na Mama Diamond bien Sandra

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 ปีที่แล้ว

    Nitakuja Nalingu nikuone kakangu Inshallah si mchezo salut kwako.

  • @bmpondamussa3624
    @bmpondamussa3624 4 ปีที่แล้ว +12

    Maa sha llah kama unamuamini Allah kweli nikila kitu ila namshauli aswali.

  • @upendohalisi80
    @upendohalisi80 4 ปีที่แล้ว +23

    Millard upo vizuri ktk tasnia hii

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 ปีที่แล้ว +2

    Yaani Unaweza ukaswali sana Na usiingie mbinguni lakini Huyu asiyeswali akaingia mbinguni sababu kaongea Kweli Toka moyoni,Yaani Ni msafi hana makorokoro kabisaaa

  • @hawabilali4837
    @hawabilali4837 4 ปีที่แล้ว +1

    Tungekuwa tunaishi kwa Imani na uaminifu hata Maovu yasingekuwepo Jamaa anatufunza uaminifu.