Big up Milardy habari zako zinakwenda sawa nakichwa cha habari sio kama wale wengine matapeli tu kama timu ayo mupo gonga like yako hapo chap kwa haraka ili twende sawa
kiukweli mippard ayo nimahiri katika habar yaani mtu anaweka kichwa chahabar kingine habari nyengine ila kwako tunapata tunachostahili chakula kizuri toka kwampishi mahir
Hongera sana Millard Ayo kwa kutuletea habari nzuri ambayo inahusu mende maana mimi nilikuwa najua mende ni wadudu wanaoleta magonjwa kumbe ni chakula cha watu hongera sana kwa taarifa nzuri hakika taarifa zako zote ni za ukweli na uhakika.
Daah!! Bro Millard nappreciate sana kazi yako, hujawahi tuangusha hata siku moja aise. Tanzania nzima hakuna reporter kama wewe, kweli wewe umeletwa kwaajili ya watanzania. Tufungulie dunia tuzione fursa sisi ambao hatupati muda wa kutembea maeneo mbalimbali na Mungu atazidi kukubariki brother
Duu! nilijua walewale wanaoandika kichwa cha habari ukianza kuangalia unakuta vilivyomo tofauti na alivyoandika aise kweli we jamaa hubahatishi huyo baba nae yuko vizuri hadi mende kala makubwa
Hesabu za daftari hizo, mende 1 tsh 1000, mende 3000= 3 millions! Anza kufuga uone pasuka kichwa yake! Kila kitu kina ugumu wake jamani hamna kitu rahis kikakupa pesa!
Dorcas Mkambeni Bro wewe fanya wachana na wachawi kama mimi! Wabongo tunapenda sana short cuts, wewe una amini soko la mende ni kubwa? Na bei yake 1000? Si kila mtu angefuga mende? Wacha kuwa fala kaka! Siri ya biashara ni siri! Huyo jamaa mwenyewe njaa tupu anaonekana.
Hongera sana kaka habari za uhakika na zenye tija kwajamii sio habari za kina mondi kila kukicha tunahitaji habari kama hizi zenye Fursa kwa Wa Tanzania big up sana pia nakuomba uniunganishe na mzee huyu pls pls help me Mr milad
Mazingira mazuri sn, hongereni sn kwa utunzaji mzuri wa uoto wa asili. Waandishi wa habari wengine tuonyesheni uoto na mazingira ya asili sio kutuonyesha magorofa eti ndo uzuri wa sehemu. Hii itahamasisha watu kutunza mazingira yao na upandaji wa miti. Hongera kwa ufugaji wa mende mzee
brother nitafute tuanzishe shamba la hiyo mifugo,tuanzishe kiwanda kuunga mkono kauli mbiu ya tz ya viwanda. tukisindika na ku inport na kuexport. I am a serious question
Mungu alitupatia vyakula safi na vyakula najisi shetani amedanganya watu kula kilakitu, nguruwe najisi, sungura najisi, kambare najisi navingine vingi Mambo ya Walawi 11:4-23.
BIG UP MILARD AYO, CHANEL YAKO NAIKUBALI SANA. NYIGINE BHANA KICHWA CHA HABARI NA STOR YENYEWE HAVIENDANI( hawana taaluma) . SASA MILARD NAOMBA NAMBA ZA HUYO BABA NASI TUANZE KUFUGA. NITUMIE TAFADHALI.
Big up Milardy habari zako zinakwenda sawa nakichwa cha habari sio kama wale wengine matapeli tu kama timu ayo mupo gonga like yako hapo chap kwa haraka ili twende sawa
Umeona eeh
Jamaa ajajitahid kwakwer
kiukweli mippard ayo nimahiri katika habar yaani mtu anaweka kichwa chahabar kingine habari nyengine ila kwako tunapata tunachostahili chakula kizuri toka kwampishi mahir
Uyo Jamaa anakla men de
I don't regret subscribing to this channel....only good en relevant news...ila naogopa mende mm😃😃..love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Saidah licious 254 nyc. but Usiwe muoga
It's opportunity to this man.
Hongera sana hizo ndizo habari ambazo nahitaji kuskia sio kina super star flani kilasiku habari zao this is good news
Sana sana
şß
Acha umbeya kuma wewee angalia habr unayoelew syo kutajataja star mavi wewe
Hahahaaa
Huyu milad ayo anahabar nzr san hana upumbavu kwenye kaziyake
Tanzani Oman kabisa habar zake nzur na znaukwel
Hizi ndo story za kusisimuwa na zenye manufaa kwa jamii kujuwa dunia inaendaje kitaaluma. Shukran Millard kwa habari nzuri km hizi.
Qqei8
Hongera sana Millard Ayo kwa kutuletea habari nzuri ambayo inahusu mende maana mimi nilikuwa najua mende ni wadudu wanaoleta magonjwa kumbe ni chakula cha watu hongera sana kwa taarifa nzuri hakika taarifa zako zote ni za ukweli na uhakika.
Daah!! Bro Millard nappreciate sana kazi yako, hujawahi tuangusha hata siku moja aise. Tanzania nzima hakuna reporter kama wewe, kweli wewe umeletwa kwaajili ya watanzania. Tufungulie dunia tuzione fursa sisi ambao hatupati muda wa kutembea maeneo mbalimbali na Mungu atazidi kukubariki brother
Shukrani sana ndugu yangu John
John Ndahani k
Kweli kabisa brother
@@millardayoTZA Honestly, you are the best katika kuleta habari zenye tija 🙏🙏🙏 naomba namba ya huyo jamaa please
Milard tunamshukuru kwa taarifa mbali mbali kama hizi #👌🙏
Hongera kaka una habari nzuri hua sichoki kusikiliza habari zako
Best blogger in TZ...big up Sana kwa kazi nzuri unayoifanya
Harufu ya mende na jinsi alivyo tu sijui atapitaje mdomoni nitatapika mpaka moyo
Ha ha haaaaaa !!!!!!
Hahahaaaaaa
Jona Mnyone hahahahahahaha umenchosha 😂😂😂😂😂
Hahahahahahah
Jona Mnyone shida ulisha aminishwa uwo ukinyia
Aliagiza mende toka Kenya?? Duuhhh
Kwangu nimeua wengi sikujua unanunua😂😂😂
Mbavu zangu.n mende😂😂😂😂😂
Safi sana miladi ayo anakubali kazi zako
Duu! nilijua walewale wanaoandika kichwa cha habari ukianza kuangalia unakuta vilivyomo tofauti na alivyoandika aise kweli we jamaa hubahatishi huyo baba nae yuko vizuri hadi mende kala makubwa
Asante xana millard ayo kwa taarifa nzuri..pa1 mfugaji.
Good nice
Ongera sana milard ayo kwa riport big up
Asanteh Kaka Kwa habari
Interesting
Good jobs message from USA
Hesabu za daftari hizo, mende 1 tsh 1000, mende 3000= 3 millions! Anza kufuga uone pasuka kichwa yake! Kila kitu kina ugumu wake jamani hamna kitu rahis kikakupa pesa!
Dorcas Mkambeni
Bro wewe fanya wachana na wachawi kama mimi! Wabongo tunapenda sana short cuts, wewe una amini soko la mende ni kubwa? Na bei yake 1000? Si kila mtu angefuga mende? Wacha kuwa fala kaka! Siri ya biashara ni siri! Huyo jamaa mwenyewe njaa tupu anaonekana.
Fact.
Aswaa umeongea point
Haha mende Jmn 😁😁😁😁 aje achukue wengne huku jikon kwet ni weng mno
Hao wanakula sana watamfirisi
Haha
hahaaa Ashura
Nawe fuga maendeleo huigwa we vipi?
Hahaha
We ndugu yangu ulikuwa Brazil,utakuwa umekula mkate wa mende
So nice ....!!
Kumbe ndo maana siku hizi sioni mende eeeeeeeee
Hahahha umeone
Nakukubali sana millard ayo👊 lete vitu
Nice ideas
Hahaha so funny na ndio mtu anamake pesa jamaa ametoa fursa watu wafuge mende nayo serikali haiko mbali kutoza ushuru wa mende 😂
🤣🤣🤣🤣🤭🤭
mimi nilizoweya kuwaona mende chooni leo inakuwa chakula,wanadamu itafika muda tutakulana wenyewe kwa wenyewe.
😂😂
jamani mm namuogopa mende yaan akiingia. dani nakimbia,umenifanya nipunguze woga,axante pia ongera.
@@blandinajuma1449 tofauti na hao uliowazoea hao ni special
Dalili za siku za mwisho
Kwani wewe hujawahi kumla MTU
😀😀😀 mi namlaga demu wangu kila siku
Da milarde Ayo hakika unaipenda kazi yako hongera
Jamani porini kote huko connection alipataje jmnnn????hongera zake ..
Connection sio issue
Connection ni ww mwnyw
Thank u
vitu vi4 naviogopa sana maishani mwangu mende..panya..jongoo..na kijusi..mamaaaaaa😭😭nakufaaaa!😣😣
Hahahahah acha woga fursa hiyo
Uwiiiiiiiii ach tu loly yaaaan APA naangalia lakin najixkia vbay chiiii naogp mend htr
Dah aisee noma
Aise, Ahsante sana millard.
Mi naomba namba ya huyo mfugaji nimeona fursa nzuri sana hapo.
Me mwenyew naomb namba jmn mevutiwa Sana na huo mrad aisee
hello milard ayo mimi naitwa musa natokea kenya ningependa uni nganishe na huyo bwana nami nianze kilimo cha mende huku kenya.
YAO GOD BLESS YOU SIR. YOU ARE MY INSPIRATIONAL KAKA
Good job my bro nilikuwa cjuagi
Very interested
Waah mende hmmm hata kumushika tu mm kwangu shida
Mmh!! Dunia imefika mwisho kwa kweli🤔
Kafanye utafiti wa makweme brother Milan Ayo TV. Kweme ni uchumi mkubwa Sana.
Nampenda Millard anatoa vitu vya ukweli na uhakika, niwashaur wanahabari wengine wajifunze kwake
Millard ayo upo vzr kwny hbr zako. .nice hongera
🙆🙆🙆
Jamaa ameshakula mende.
Mungu wanguu hadi nahis kichefuchefuu sanaa mmmmmmh
Mbona kazee hivyo
Hongera sana kwa unavyo tupa habari naomba mawasiliano ya yule mfuga mende wa njombe
Good news
Komaa ding miaka ijayo tutakuskia ushapig maendeleo kuhus biashar ya mende...
Safi sana milard Millard ayo kazi yako ni nzuri Sana'a Mimi wananisumbua kila day nawawekea dawa lakini hawaishi uko WAP millad ayo
mimi nataka niwe nakuuzia mende kila mmoja mia mbili bei ya jumla, vipi upo tayari?
😂😂😂😂😂
Hongera sana kaka habari za uhakika na zenye tija kwajamii sio habari za kina mondi kila kukicha tunahitaji habari kama hizi zenye Fursa kwa Wa Tanzania big up sana pia nakuomba uniunganishe na mzee huyu pls pls help me Mr milad
Doooh jaman mende sawa keet up baba
Hongera sana kwa taarifa za kujenga nimeipenda sana hiyo.
nakuomba kaka Millard Ayo nikutanishe na huyo Baba please nitashukuru sana
Daaah huo nimtaji tosha jmn biashara nzuri hongera sn mzee wetu na mm nitafuga mana mm siwapendi wananitia kimya kabisa
hahaha ukitaka mende wengi nenda kwenye vyoo vya mashimo 😂😂😂utapata wengi balaa na ukauza
Mmmmmh kama mende mmoja ni buku kwa nn anaishi maisha ktk kibanda hichoooo
254 kenya 🇰🇪 nakupenda Millard
Kwa staili hii vijana mkisema hakuna kazi itakua mnasingizia Serikali tu..
Hapo sawa Kumbe ni mende special
Yaan kama panya vile
Nampendaga huyu kaka jamnani uwiiiiiii uwez wakumpat tu Sina. Habari nzuri kwakweli hongera Milad
Namavi pia wanakula maanachoni wengikwelikweli
Boss naomba namba zako za sim
Bigup sana bro Millard pia hata mfugaji wa mende hongera sana!!
Aliyeona mkono w millard ayo unaogopa mende gnga like twende sawa
Good idea Bro
ayo wewe noma nakubal sana big up
Huyo mtu ni nomaaa sanaaaa
This is a good business😕 will do a research on this!!
Kikubwa pesa tu kama ni dili tunasababisha
Milard Ayo is top news in East Africa
Mimi namende ndani njoo uchukue nawachukia sitaki atakuwa ona
Kaka mungu azidi kukubariki habari zako kali sanaaa sanaaa
Wakwanza kabisa basi mende ni boonge la mboga🔥🇰🇪
Wachina nimepiga saluti wanakula hadi mende
@@williamsville3493 cyo mende wachina wanakula hata nyoka
@@المهلهلالحراصي Aisee ndiyo maana akili zao za ajabu sana
MashaAllah wabongo mujitu awape takwa
Bro miladi "namimi nakuhakikishia naanza utafikti na nikimaliza naanza kufuga"
Namm nataka kufuga nitawapataje
Tupe contact zake
Me navooogopa mende jmn 😂😂😂😂😂hapana aiseee ndo angekua babangu ningeama nyumba
Karibu kwetu siko nyingi sana sinatusumbua sana
Mazingira mazuri sn, hongereni sn kwa utunzaji mzuri wa uoto wa asili. Waandishi wa habari wengine tuonyesheni uoto na mazingira ya asili sio kutuonyesha magorofa eti ndo uzuri wa sehemu. Hii itahamasisha watu kutunza mazingira yao na upandaji wa miti. Hongera kwa ufugaji wa mende mzee
Habari Nzuri sana
brother nitafute tuanzishe shamba la hiyo mifugo,tuanzishe kiwanda kuunga mkono kauli mbiu ya tz ya viwanda. tukisindika na ku inport na kuexport. I am a serious question
Yuuuuuk msitutapishe. Huyu mdudu hata aki ingia ndani si lali hadi nimtoe jwa hurufu mbaya aliyo nayo
Hatari
Your the best Millard Ayo
Mungu alitupatia vyakula safi na vyakula najisi shetani amedanganya watu kula kilakitu, nguruwe najisi, sungura najisi, kambare najisi navingine vingi Mambo ya Walawi 11:4-23.
Sungura si najisi Sungura ana kula nyasi
Ongera baba
Mie habari nkama sio ya milard ayo huwa siangalii kabisa .milard kuanzia muonekano mzuri hadi habari ni mwaa
MTU mwenye muonekano mzuri huwa mnaangalia nini haswa
Umetixha xna
Hongera kwa kufuga mende
Nakukubal san na kupenda bure kaka angu #Millard unajali Sana kazi yako hujali umbali au nini big Up san, ila hawa Mende jmn me siwezi kula kbs dah!
Duuuuh ndo mana kwetu sikuizi cwaoni mende kumbe ni pesa eh dah.
Hongera sana mirlad ayo kwa habari mzuri za ujasiliamari
Naomba
BIG UP MILARD AYO, CHANEL YAKO NAIKUBALI SANA. NYIGINE BHANA KICHWA CHA HABARI NA STOR YENYEWE HAVIENDANI( hawana taaluma) . SASA MILARD NAOMBA NAMBA ZA HUYO BABA NASI TUANZE KUFUGA. NITUMIE TAFADHALI.
😆😆😆😆😆😆this is crazy by also creative ,bora kipato kinaingia hapo freshy kaka
Kazi zako nazikubali sana huwa nakufatilia sna mzazi
doh mende na wapiga na viatu kumbe dili
Elimu nzuri sana
Kumbe kenya kun watu wan uza mende toba roho yangu
Ayo mimi npo Arusha naomba unisaidie mawasiliano na huyo mkulima mwenzangu na mm nafuga pia Ila kwa ajili ya mashuleni.
Jamani mende dili
Mila nakupenda hbr zako n zuri