MTANZANIA ANAEFUGA MENDE "MMOJA NAUZA Tsh.1000, SOKO NI KUBWA MPAKA NAPAGAWA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 639

  • @sarahmarshaymarshay2239
    @sarahmarshaymarshay2239 5 ปีที่แล้ว +290

    Big up Milardy habari zako zinakwenda sawa nakichwa cha habari sio kama wale wengine matapeli tu kama timu ayo mupo gonga like yako hapo chap kwa haraka ili twende sawa

    • @hermankoba4970
      @hermankoba4970 5 ปีที่แล้ว +1

      Umeona eeh
      Jamaa ajajitahid kwakwer

    • @gumbojr9172
      @gumbojr9172 5 ปีที่แล้ว +2

      kiukweli mippard ayo nimahiri katika habar yaani mtu anaweka kichwa chahabar kingine habari nyengine ila kwako tunapata tunachostahili chakula kizuri toka kwampishi mahir

    • @pastorymziba1683
      @pastorymziba1683 5 ปีที่แล้ว +1

      Uyo Jamaa anakla men de

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 5 ปีที่แล้ว +48

    I don't regret subscribing to this channel....only good en relevant news...ila naogopa mende mm😃😃..love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @elizabethkisogole34
    @elizabethkisogole34 5 ปีที่แล้ว +83

    Hongera sana hizo ndizo habari ambazo nahitaji kuskia sio kina super star flani kilasiku habari zao this is good news

  • @TanzaniOman
    @TanzaniOman 5 ปีที่แล้ว +66

    Huyu milad ayo anahabar nzr san hana upumbavu kwenye kaziyake

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 5 ปีที่แล้ว +12

    Hizi ndo story za kusisimuwa na zenye manufaa kwa jamii kujuwa dunia inaendaje kitaaluma. Shukran Millard kwa habari nzuri km hizi.

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Millard Ayo kwa kutuletea habari nzuri ambayo inahusu mende maana mimi nilikuwa najua mende ni wadudu wanaoleta magonjwa kumbe ni chakula cha watu hongera sana kwa taarifa nzuri hakika taarifa zako zote ni za ukweli na uhakika.

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 5 ปีที่แล้ว +24

    Daah!! Bro Millard nappreciate sana kazi yako, hujawahi tuangusha hata siku moja aise. Tanzania nzima hakuna reporter kama wewe, kweli wewe umeletwa kwaajili ya watanzania. Tufungulie dunia tuzione fursa sisi ambao hatupati muda wa kutembea maeneo mbalimbali na Mungu atazidi kukubariki brother

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  5 ปีที่แล้ว +2

      Shukrani sana ndugu yangu John

    • @adrophwilliam3225
      @adrophwilliam3225 5 ปีที่แล้ว +1

      John Ndahani k

    • @adrophwilliam3225
      @adrophwilliam3225 5 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa brother

    • @luthermajoji7300
      @luthermajoji7300 5 ปีที่แล้ว

      @@millardayoTZA Honestly, you are the best katika kuleta habari zenye tija 🙏🙏🙏 naomba namba ya huyo jamaa please

  • @faizaboubacar5064
    @faizaboubacar5064 5 ปีที่แล้ว +31

    Milard tunamshukuru kwa taarifa mbali mbali kama hizi #👌🙏

  • @faduladula7414
    @faduladula7414 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kaka una habari nzuri hua sichoki kusikiliza habari zako

  • @nathanjunior7694
    @nathanjunior7694 5 ปีที่แล้ว +10

    Best blogger in TZ...big up Sana kwa kazi nzuri unayoifanya

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 5 ปีที่แล้ว +50

    Harufu ya mende na jinsi alivyo tu sijui atapitaje mdomoni nitatapika mpaka moyo

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 5 ปีที่แล้ว

      Ha ha haaaaaa !!!!!!

    • @asnathassan1224
      @asnathassan1224 5 ปีที่แล้ว

      Hahahaaaaaa

    • @aminashabani6021
      @aminashabani6021 5 ปีที่แล้ว

      Jona Mnyone hahahahahahaha umenchosha 😂😂😂😂😂

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 5 ปีที่แล้ว

      Hahahahahahah

    • @kamandab7976
      @kamandab7976 5 ปีที่แล้ว

      Jona Mnyone shida ulisha aminishwa uwo ukinyia

  • @billalphilip5776
    @billalphilip5776 5 ปีที่แล้ว +8

    Aliagiza mende toka Kenya?? Duuhhh
    Kwangu nimeua wengi sikujua unanunua😂😂😂

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana miladi ayo anakubali kazi zako

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 5 ปีที่แล้ว +12

    Duu! nilijua walewale wanaoandika kichwa cha habari ukianza kuangalia unakuta vilivyomo tofauti na alivyoandika aise kweli we jamaa hubahatishi huyo baba nae yuko vizuri hadi mende kala makubwa

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 5 ปีที่แล้ว

    Asante xana millard ayo kwa taarifa nzuri..pa1 mfugaji.

  • @romanilyimo7822
    @romanilyimo7822 2 ปีที่แล้ว

    Ongera sana milard ayo kwa riport big up

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 5 ปีที่แล้ว

    Asanteh Kaka Kwa habari

  • @lilianemil4195
    @lilianemil4195 5 ปีที่แล้ว

    Interesting

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma4691 5 ปีที่แล้ว +3

    Good jobs message from USA

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 5 ปีที่แล้ว +26

    Hesabu za daftari hizo, mende 1 tsh 1000, mende 3000= 3 millions! Anza kufuga uone pasuka kichwa yake! Kila kitu kina ugumu wake jamani hamna kitu rahis kikakupa pesa!

    • @edlumala9428
      @edlumala9428 5 ปีที่แล้ว

      Dorcas Mkambeni
      Bro wewe fanya wachana na wachawi kama mimi! Wabongo tunapenda sana short cuts, wewe una amini soko la mende ni kubwa? Na bei yake 1000? Si kila mtu angefuga mende? Wacha kuwa fala kaka! Siri ya biashara ni siri! Huyo jamaa mwenyewe njaa tupu anaonekana.

    • @msetyntorah804
      @msetyntorah804 5 ปีที่แล้ว

      Fact.

    • @alexandrinadomaino9868
      @alexandrinadomaino9868 4 ปีที่แล้ว

      Aswaa umeongea point

  • @ashuramahali6643
    @ashuramahali6643 5 ปีที่แล้ว +39

    Haha mende Jmn 😁😁😁😁 aje achukue wengne huku jikon kwet ni weng mno

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 ปีที่แล้ว +21

    We ndugu yangu ulikuwa Brazil,utakuwa umekula mkate wa mende

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 2 ปีที่แล้ว

    So nice ....!!

  • @hellenopundo1715
    @hellenopundo1715 5 ปีที่แล้ว +10

    Kumbe ndo maana siku hizi sioni mende eeeeeeeee

  • @kajorotz.4058
    @kajorotz.4058 2 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana millard ayo👊 lete vitu

  • @stevepaintertz7252
    @stevepaintertz7252 5 ปีที่แล้ว

    Nice ideas

  • @princespider5854
    @princespider5854 5 ปีที่แล้ว +3

    Hahaha so funny na ndio mtu anamake pesa jamaa ametoa fursa watu wafuge mende nayo serikali haiko mbali kutoza ushuru wa mende 😂

    • @keyakeya8911
      @keyakeya8911 5 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤭🤭

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 ปีที่แล้ว +20

    mimi nilizoweya kuwaona mende chooni leo inakuwa chakula,wanadamu itafika muda tutakulana wenyewe kwa wenyewe.

    • @hassanbwire9033
      @hassanbwire9033 5 ปีที่แล้ว

      😂😂

    • @blandinajuma1449
      @blandinajuma1449 5 ปีที่แล้ว +1

      jamani mm namuogopa mende yaan akiingia. dani nakimbia,umenifanya nipunguze woga,axante pia ongera.

    • @adammveyange9638
      @adammveyange9638 5 ปีที่แล้ว +1

      @@blandinajuma1449 tofauti na hao uliowazoea hao ni special

    • @neemawilliam8415
      @neemawilliam8415 5 ปีที่แล้ว

      Dalili za siku za mwisho

    • @iffahbahet1499
      @iffahbahet1499 5 ปีที่แล้ว +1

      Kwani wewe hujawahi kumla MTU
      😀😀😀 mi namlaga demu wangu kila siku

  • @hancemagembe7554
    @hancemagembe7554 3 ปีที่แล้ว

    Da milarde Ayo hakika unaipenda kazi yako hongera

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv 5 ปีที่แล้ว +7

    Jamani porini kote huko connection alipataje jmnnn????hongera zake ..

    • @massoudsalum2038
      @massoudsalum2038 5 ปีที่แล้ว

      Connection sio issue

    • @si-qm1ki
      @si-qm1ki 5 ปีที่แล้ว

      Connection ni ww mwnyw

  • @petermim
    @petermim 5 ปีที่แล้ว

    Thank u

  • @mumybhay6561
    @mumybhay6561 5 ปีที่แล้ว +5

    vitu vi4 naviogopa sana maishani mwangu mende..panya..jongoo..na kijusi..mamaaaaaa😭😭nakufaaaa!😣😣

    • @elizapanga9532
      @elizapanga9532 5 ปีที่แล้ว

      Hahahahah acha woga fursa hiyo

    • @lucykilonzo2749
      @lucykilonzo2749 5 ปีที่แล้ว

      Uwiiiiiiiii ach tu loly yaaaan APA naangalia lakin najixkia vbay chiiii naogp mend htr

  • @officialdstar9288
    @officialdstar9288 5 ปีที่แล้ว +1

    Dah aisee noma

  • @sijalikifunyo912
    @sijalikifunyo912 5 ปีที่แล้ว +7

    Aise, Ahsante sana millard.
    Mi naomba namba ya huyo mfugaji nimeona fursa nzuri sana hapo.

    • @zakhiahassani1011
      @zakhiahassani1011 4 ปีที่แล้ว

      Me mwenyew naomb namba jmn mevutiwa Sana na huo mrad aisee

  • @musaamuj
    @musaamuj 5 ปีที่แล้ว

    hello milard ayo mimi naitwa musa natokea kenya ningependa uni nganishe na huyo bwana nami nianze kilimo cha mende huku kenya.

  • @Pastorlenhardkyamba
    @Pastorlenhardkyamba 5 ปีที่แล้ว +4

    YAO GOD BLESS YOU SIR. YOU ARE MY INSPIRATIONAL KAKA

  • @florachanga6983
    @florachanga6983 5 ปีที่แล้ว +2

    Good job my bro nilikuwa cjuagi

  • @moyesinfotainment25
    @moyesinfotainment25 5 ปีที่แล้ว

    Very interested

  • @chainbre275
    @chainbre275 5 ปีที่แล้ว

    Waah mende hmmm hata kumushika tu mm kwangu shida

  • @ibrahimchoray8530
    @ibrahimchoray8530 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmh!! Dunia imefika mwisho kwa kweli🤔

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว

    Kafanye utafiti wa makweme brother Milan Ayo TV. Kweme ni uchumi mkubwa Sana.

  • @majaliwampika5417
    @majaliwampika5417 5 ปีที่แล้ว +4

    Nampenda Millard anatoa vitu vya ukweli na uhakika, niwashaur wanahabari wengine wajifunze kwake

  • @angelazizi4831
    @angelazizi4831 5 ปีที่แล้ว +1

    Millard ayo upo vzr kwny hbr zako. .nice hongera

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 5 ปีที่แล้ว +1

    🙆🙆🙆
    Jamaa ameshakula mende.

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 3 ปีที่แล้ว

    Mungu wanguu hadi nahis kichefuchefuu sanaa mmmmmmh

  • @judithmushi5869
    @judithmushi5869 5 ปีที่แล้ว +1

    Mbona kazee hivyo

  • @patrobajohn3034
    @patrobajohn3034 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kwa unavyo tupa habari naomba mawasiliano ya yule mfuga mende wa njombe

  • @nickmumba2170
    @nickmumba2170 4 ปีที่แล้ว

    Good news

  • @binthawa2973
    @binthawa2973 5 ปีที่แล้ว +1

    Komaa ding miaka ijayo tutakuskia ushapig maendeleo kuhus biashar ya mende...

  • @jacobgabrel9718
    @jacobgabrel9718 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana milard Millard ayo kazi yako ni nzuri Sana'a Mimi wananisumbua kila day nawawekea dawa lakini hawaishi uko WAP millad ayo

  • @jumamagali5089
    @jumamagali5089 5 ปีที่แล้ว +3

    mimi nataka niwe nakuuzia mende kila mmoja mia mbili bei ya jumla, vipi upo tayari?

  • @abdulybabumgwaobabu7407
    @abdulybabumgwaobabu7407 5 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kaka habari za uhakika na zenye tija kwajamii sio habari za kina mondi kila kukicha tunahitaji habari kama hizi zenye Fursa kwa Wa Tanzania big up sana pia nakuomba uniunganishe na mzee huyu pls pls help me Mr milad

  • @vivianabraham3200
    @vivianabraham3200 5 ปีที่แล้ว +1

    Doooh jaman mende sawa keet up baba

  • @stevenmkuwa8588
    @stevenmkuwa8588 5 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kwa taarifa za kujenga nimeipenda sana hiyo.

  • @zacqtv9855
    @zacqtv9855 5 ปีที่แล้ว +10

    nakuomba kaka Millard Ayo nikutanishe na huyo Baba please nitashukuru sana

  • @saumukaisi3996
    @saumukaisi3996 5 ปีที่แล้ว +2

    Daaah huo nimtaji tosha jmn biashara nzuri hongera sn mzee wetu na mm nitafuga mana mm siwapendi wananitia kimya kabisa

  • @tabuselemani6869
    @tabuselemani6869 5 ปีที่แล้ว +2

    hahaha ukitaka mende wengi nenda kwenye vyoo vya mashimo 😂😂😂utapata wengi balaa na ukauza

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 5 ปีที่แล้ว

    Mmmmmh kama mende mmoja ni buku kwa nn anaishi maisha ktk kibanda hichoooo

  • @bigmamaa2198
    @bigmamaa2198 5 ปีที่แล้ว +1

    254 kenya 🇰🇪 nakupenda Millard

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 5 ปีที่แล้ว +2

    Kwa staili hii vijana mkisema hakuna kazi itakua mnasingizia Serikali tu..

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 5 ปีที่แล้ว +1

    Hapo sawa Kumbe ni mende special
    Yaan kama panya vile

  • @stephanohossea9574
    @stephanohossea9574 5 ปีที่แล้ว

    Nampendaga huyu kaka jamnani uwiiiiiii uwez wakumpat tu Sina. Habari nzuri kwakweli hongera Milad

    • @mussabuhe1832
      @mussabuhe1832 5 ปีที่แล้ว

      Namavi pia wanakula maanachoni wengikwelikweli

  • @reginaldmanga7241
    @reginaldmanga7241 3 ปีที่แล้ว

    Boss naomba namba zako za sim

  • @afamatv4848
    @afamatv4848 5 ปีที่แล้ว

    Bigup sana bro Millard pia hata mfugaji wa mende hongera sana!!

  • @elishasolomon9742
    @elishasolomon9742 2 ปีที่แล้ว

    Aliyeona mkono w millard ayo unaogopa mende gnga like twende sawa

  • @mbingaheaven9899
    @mbingaheaven9899 5 ปีที่แล้ว

    Good idea Bro

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 3 หลายเดือนก่อน

    ayo wewe noma nakubal sana big up

  • @chingawadunia3621
    @chingawadunia3621 3 ปีที่แล้ว

    Huyo mtu ni nomaaa sanaaaa

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 5 ปีที่แล้ว +4

    This is a good business😕 will do a research on this!!

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 5 ปีที่แล้ว +1

      Kikubwa pesa tu kama ni dili tunasababisha

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 5 ปีที่แล้ว

    Milard Ayo is top news in East Africa

  • @mgangajuma7720
    @mgangajuma7720 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi namende ndani njoo uchukue nawachukia sitaki atakuwa ona

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 5 ปีที่แล้ว +1

    Kaka mungu azidi kukubariki habari zako kali sanaaa sanaaa

  • @ybsportstz7629
    @ybsportstz7629 5 ปีที่แล้ว +12

    Wakwanza kabisa basi mende ni boonge la mboga🔥🇰🇪

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 5 ปีที่แล้ว +1

      Wachina nimepiga saluti wanakula hadi mende

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 5 ปีที่แล้ว

      @@williamsville3493 cyo mende wachina wanakula hata nyoka

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 5 ปีที่แล้ว

      @@المهلهلالحراصي Aisee ndiyo maana akili zao za ajabu sana

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 5 ปีที่แล้ว

    MashaAllah wabongo mujitu awape takwa

  • @daudintambala3896
    @daudintambala3896 5 ปีที่แล้ว +19

    Bro miladi "namimi nakuhakikishia naanza utafikti na nikimaliza naanza kufuga"

  • @thebrioz8968
    @thebrioz8968 5 ปีที่แล้ว +1

    Me navooogopa mende jmn 😂😂😂😂😂hapana aiseee ndo angekua babangu ningeama nyumba

  • @lomayanikamete5103
    @lomayanikamete5103 4 ปีที่แล้ว

    Karibu kwetu siko nyingi sana sinatusumbua sana

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 ปีที่แล้ว

    Mazingira mazuri sn, hongereni sn kwa utunzaji mzuri wa uoto wa asili. Waandishi wa habari wengine tuonyesheni uoto na mazingira ya asili sio kutuonyesha magorofa eti ndo uzuri wa sehemu. Hii itahamasisha watu kutunza mazingira yao na upandaji wa miti. Hongera kwa ufugaji wa mende mzee

  • @jumafaki1697
    @jumafaki1697 5 ปีที่แล้ว

    Habari Nzuri sana

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi7273 5 ปีที่แล้ว

    brother nitafute tuanzishe shamba la hiyo mifugo,tuanzishe kiwanda kuunga mkono kauli mbiu ya tz ya viwanda. tukisindika na ku inport na kuexport. I am a serious question

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 ปีที่แล้ว +2

    Yuuuuuk msitutapishe. Huyu mdudu hata aki ingia ndani si lali hadi nimtoe jwa hurufu mbaya aliyo nayo

  • @jemusiobedi1107
    @jemusiobedi1107 5 ปีที่แล้ว

    Hatari

  • @gracepeter3200
    @gracepeter3200 5 ปีที่แล้ว +1

    Your the best Millard Ayo

  • @mashakamkolwi7829
    @mashakamkolwi7829 5 ปีที่แล้ว

    Mungu alitupatia vyakula safi na vyakula najisi shetani amedanganya watu kula kilakitu, nguruwe najisi, sungura najisi, kambare najisi navingine vingi Mambo ya Walawi 11:4-23.

    • @wardaheluwa734
      @wardaheluwa734 2 ปีที่แล้ว

      Sungura si najisi Sungura ana kula nyasi

  • @samueliromau8375
    @samueliromau8375 5 ปีที่แล้ว

    Ongera baba

  • @nadystyle339
    @nadystyle339 5 ปีที่แล้ว +4

    Mie habari nkama sio ya milard ayo huwa siangalii kabisa .milard kuanzia muonekano mzuri hadi habari ni mwaa

    • @issahhussein1922
      @issahhussein1922 5 ปีที่แล้ว

      MTU mwenye muonekano mzuri huwa mnaangalia nini haswa

  • @samwelsisto9310
    @samwelsisto9310 5 ปีที่แล้ว

    Umetixha xna

  • @yuneskinyunyu2688
    @yuneskinyunyu2688 5 ปีที่แล้ว

    Hongera kwa kufuga mende

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 5 ปีที่แล้ว

    Nakukubal san na kupenda bure kaka angu #Millard unajali Sana kazi yako hujali umbali au nini big Up san, ila hawa Mende jmn me siwezi kula kbs dah!

  • @asmahdundo3904
    @asmahdundo3904 5 ปีที่แล้ว

    Duuuuh ndo mana kwetu sikuizi cwaoni mende kumbe ni pesa eh dah.

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 ปีที่แล้ว +7

    Hongera sana mirlad ayo kwa habari mzuri za ujasiliamari

  • @yusilyimo6826
    @yusilyimo6826 5 ปีที่แล้ว

    BIG UP MILARD AYO, CHANEL YAKO NAIKUBALI SANA. NYIGINE BHANA KICHWA CHA HABARI NA STOR YENYEWE HAVIENDANI( hawana taaluma) . SASA MILARD NAOMBA NAMBA ZA HUYO BABA NASI TUANZE KUFUGA. NITUMIE TAFADHALI.

  • @denzlilly4797
    @denzlilly4797 5 ปีที่แล้ว +4

    😆😆😆😆😆😆this is crazy by also creative ,bora kipato kinaingia hapo freshy kaka

  • @drnickysarapion134
    @drnickysarapion134 5 ปีที่แล้ว

    Kazi zako nazikubali sana huwa nakufatilia sna mzazi

  • @ahmednahidkid1330
    @ahmednahidkid1330 5 ปีที่แล้ว +1

    doh mende na wapiga na viatu kumbe dili

  • @agathaagustino2820
    @agathaagustino2820 5 ปีที่แล้ว

    Elimu nzuri sana

  • @jiddahadam578
    @jiddahadam578 4 ปีที่แล้ว

    Kumbe kenya kun watu wan uza mende toba roho yangu

  • @wilsontukai6400
    @wilsontukai6400 2 ปีที่แล้ว

    Ayo mimi npo Arusha naomba unisaidie mawasiliano na huyo mkulima mwenzangu na mm nafuga pia Ila kwa ajili ya mashuleni.

  • @leokamil2075
    @leokamil2075 5 ปีที่แล้ว

    Jamani mende dili

  • @helenjonsob5718
    @helenjonsob5718 5 ปีที่แล้ว

    Mila nakupenda hbr zako n zuri