ASIMULIA ALIVYOKAA JELA MIAKA 9 KISA MAUAJI “NILIMUAZIMA GHETTO RAFIKI YANGU AKAMUUA MPENZI WAKE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Leo nakukutanisha na Tumaini Mabula Kijana mwenye umri wa miaka 32 ambaye kiasili ni Mzaliwa wa Simiyu na alikuja Dar es salaam kutafuta maisha tu, mwaka 2013 alikutana na majanga yaliyomfanya aishie kukaa mahabusu kwa miak tisa na ametoka mwaka huu.
Mwezi February 2013 akiwa anaishi Mwananyamala aliazimwa gheto na Rafiki yake ili apumzike na Mpenzi wake , Tumaini akaondoka kwenda Kariakoo alikokuwa anafanya shughul8 za kujitatutia kipato na kuwaacha wawili hap ndani kwae, aliporudi Jioni alimkuta Mwanamke yule Mpenzi wa Rafiki yake akiwa amefariki, wakati huo Rafiki yake tayari alikuwa ameshatoroka na tangu hapo mzigo wa kesi ya mauaji ukamuangukia Tumaini..
Kwa sasa ametoka Mahabusu na hana msaada wowote, hana pa kulala, hana kazi na hana Ndugu wa kumsaidia, amekuja mbele ya Watanzania kuomba support, Tunae Tumaini kwenye Exclusive interview na anasimulia mkasa wake wote kwa urefu, namba za kumsaidia ni 0688580756 Abilahi Abdallah
Huyu jamaa ukimskiliza vzuri anatufundisha Sana kumshirikisha Mungu Kwenye mambo yako
agreed
Kabisa cm jamni
Ubarikiwe sana,umeongea kitu kizuri sana.
Mungu akutetee sana kijana Mabula .Kuna nyumba Mlandizi haijaisha sawasaw lakini inaweza.kukaliwa na watu uko tayari kukaa huko?Tena bure sababu mateso uliyoyapata yatosha.Mungu akusaidie.
Watafute kina Millard wamuulize yeye hata cm ya kuona ujumbe hana
@@OnlyRuky duh nipe number yak ni mcheki ata fungo la kumi
Angalia dk ya 34 namba zake zimeoneshwa, chukua umpigie mshikaji
@@sikatendeshabani2490 dakika ya 34 angalia namba zake zimeoneshwa
Watu wa tanzania ebu niambieni buku ni shilingi ngapi
Haya waazimisha mageto amkeni uko mtapewa kesi ziwaharibie maisha,,, pole sana bro ni mitihani ya maisha Mungu atakusaidia 🙏🏻
Na hao wanaenda kuomba geto alete girl friend wake wajifunze fuateni mila na desturi na utamaduni turudi kwa mola
😂😂
Kwakweli
Nyie acheni tu hii kitu Kuna siku nilimpelekea moto mtt wa watu akageuza macho akazima nashkuru kummwagia maji akazinduka ila sasa hv hata nikiingia lodge naomba sana lisitokee jambo
@@bongorecaps3558 🤣🤣🤣
Ntakutumia pesa Kaka yangu Mungu akipenda pole sana Na matatizo kumbe polisi wana treat watu vizuri sana sikujua pole sana na matatizo
Mtumie sasa
Umemtumia pesa
Mhh
Millard ayo jitolee umsaidie uyu kijana kwa sababu naamini huez shindwa tafadhali kaka 🙏,,,🇰🇪
Ata wew pia unaweza kumsaidia
@@hisanmwakijungu10
Je wewe hauwezi ?
Daah nimejifunza kitu sana jamaa alikuja ofisini kwangu akiwa na simu ina password akaniambia naomba unifrashie hii sim nimepewa ili niende na mawasiliano kwa millard ayo...akaniadisia kidogo moyo wa imani ukaniingia nikamfrashia bure japo wenzangu waliniambia uyo analolote katoka kuiba iyo...daaah sasa leo namuona hapa moyo umeshtuka sana kumbe ni kweli....nimeelewa maana ya usi ukumu kitabu nje kabla ujakisoma.....#Tumsaidien
Dah
Kweli tusihukumu pia kwa kufuata mikumbo ya wengine
God well pay
Afadhali huku sikiliza ya watu ukamsaidia Mungu akulipe wema wako🙏
Mungu atakubariki
Umeongea yote mazur na tumejifunza kaka lkn kubwa pia hilo la kusaidia wenye kuhitaji 👏👏👏 na Mungu atakubless siku zote na ufanikiwe pakubwa 🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Pole Sana, Leo ndio nimekuona kwenye mahojiano na Upendo TV.
Aseee pole sana mdogo wangu, pole sana, ila MUNGU ndo kila kitu utainuka na utakaa pwa tu tena sana, ucje ukajutia kwa lolote, ni sehemu ya maisha ulipitishwa maan kuna wengine wako uraian lkn ni wagonjw na hawawez hata kucmama,ko ww shukuru uko na afya yote MUNGU anafungua kwa wakat wake kwa kila alie wake.
Na uzuri umri mdogo kabsa
@@focusernest5610 kwl mda bd anao wakupambana
Thanks millard ayo hii content naamini kila mtu amejifunza na tumuombee jamaa atimize ndoto zake Muda bado upo..!!🙏🙏
Mkuu tusidanganyane watu wamejifunza kwa kusikiliza tu hapa ila walipoweka cm pembeni mambo yaliendelea pale pale ukitaka kuamini sisi wa afrika au watu wote ni vichwa vigumu unakuta mtu yupo hospitality amekaa mapokezi anaangalia TV wanaweka yale mambo unakuta uume au uke umealibiwa na magonjwa ya zinaa au anaona jinsi watu walivyoathirika tunashauliwa tutumie condom ila akitoka hapo hospital unazani anakumbuka hilo tena ndugu yangu hapo ndo utajua kumbe shetani yupo kazini
Respect sana Millard wew ndio sababu kuu ya kumsaidia huyu kijana bila ya wew tusingemjua mungu atakulipa kaka .
Anyway hii inaeza mkuta MTU yeyote na wakati usiotarajia. Kikubwa ni kupunguza Imani kwa watu. Naomba mwisho mwema
Duh nimeamini kweli wanaufungwa jela wote sio wenye hatia Allah akupe subra
Hakika dunia ina mengi
Subhana Allah
Mtihani kweli kweli 😭😭 pole sana kaka.. Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi popote penye uzito🤲🏼
Mungu si Asthumani.... Mungu anaishi, ni kuwa na subira tuh na kumtegemea Mungu... Kama ameweza kutoka jela basi na maisha yatamnyookea Kwa uwezo was bawna Alie juu mbinguni, Mungu akufungulie milango ya baraka kaka angu
Duh kupitia ushahidi wa macho tunajifunza utukufu wa Mwenyezimungu hana mfano na kiumbe chochote
Amina
Kwenye Uhuru hapo umenigusa sana. Siku zote huwezi kujua thamani ya Uhuru kama hujawahi kuukosa. Uhuru tulionao una thamani saaaana!! Umepita kwny wakati mgumu sana lkn Mungu alijua unaweza na ndo sababu aliruhusu upite kwny huo wakati mgumu na akakuvusha salama. Usimwache Mungu wako siku zote za maisha yako. Pole sana bro, hii ndo dunia!
shukran Sana BB.,msaada ndungu zangu mwenye nacho mwenye nachumba apangishiwe nafunguliwe mradi.inshaaAllah
Allah akujaalie pole hiyo n mitihani ya mwnyezi mungu uckate tamaaa🤲🙏
Hilo ni funzo usimwamini hadi rafiki ako na watu wapenzi waende kurent mungu akulinde😍😍
Looh, Nimeumia Sana Kiongozi😭 Tupatie Namba Yake Tumsaidie Japo Kidogo
Number kqeka jaman..ila mungu katenda haki
Ipo chini kwenye description ya video...
Mmmmmmh
😭😭😭 anarudi Tena, Yesu anarudi Tena, utukufu haleluya tumbariki tumepona msifu Bwana anarudi Tena 🙏
Pole sana kaka
Nitakusaidia mtaji in shaallah na naomba watz tumchangie apate pesa Ya passport nitamtafuta kazi
Onesha nia yako yakumusaidia uandike contact yako
🙏🙏
Wasiliana na milad ayo
Itakuwa umefanya jambo zuri sana ila tz sasa kwenye paspot wanazinguaga sana na maswali pia eiport ni shida tu
Duuuh.ubalikiwe.san
That can happen to anyone kwenye system ambazo uchunguzi wa ukweli haupewi kipao mbele. Tanzania justice system has to improve! Pole sana Tumaini.
Daah msukuma mwenzangu polee Sanaa,,ndo mapitoo nmejisikiaa vbaya Sanaa!!😥
Adi nimeumia jmn ,msukuma mwenzangu jmn upole nao sio mzuri 😢
Ametupa fundisho sana sisi ambao tupo na Hawa wachumba zetu Alla amtie nguvu na amjaalie mafanikio mema inshaalla
the guy is damn innocent 😥😥
Pole Sana kaka @milard naomba kumuona huyu jamaa,naweza saidia chochote. Dah 9years inamtosha mtu kua Billionaire
Utakua umefanya laa maana Sana kumsaidia maana mungu amesema tuoneyane huruma na pia atatuonea huruma
Pole sana bro hizi ndio story tunazo zitaka maana zinatufunza musilete story za ajabu
Mungu ni mwema mbaya wako alipatikana nawe uko huru ,Mungu atakupa mahitaji yako na amani tele.Watz tupambane tumpe support
Imeisikitisha sana haya maisha haya Pole sana kaka ni sehemu ya kujifunza pia mwenyezi mungu Akupe uvumilivu na afya njema bado utatimiza ndoto zako tu.
👏👏👏Asant sn kk nmejifunza mengi Kuna rafiki yng Huku warabuni Huwa wanapigana mm Huwa naingilia Kati bt Kwa maelezo yk nmekoma juu mm Bado kijana mdogo hawa umri umeenda n Huku si kwetu
Tena ukome kabisa.
Very Sad 😢... MUNGU atakupa Mwanzo mpya 🙏. Na kwa kuwa umeweka namba hapo, tutakujali kwa chochote.
Ni mara ya tatu Leo naangalia na kusikiliza hii na sijawahi comment, sababu hata sijui nacomment nini? Wacha nijitahidi tu😭😭😭😭 nimejifunza kuwafukuza vijana wote wanaolala kwenye ghetto la watoto wangu
Duuuh pole sana kijana,yote ni maisha anza upya madhali we ni mzima mikono uko nayo pambana tu kaka
ila wanaume wana hii tabia ya kuazimana vyumba sababu ya wanawake, wanasahau hatari kama hizi hata waskie vitu kama hivi wanasahau mapema sana
Sasa tunafanyeje ndo kusaidiana uko likikukuta unajumuika nalo tu we ukumbuki ata wewe nilikupeleka kwa msela wangu ushasahau hilo uoni kama tulisaidiwa tukamaliza kiu zetu tulizokua nazo
Dah pole sana bro, sema umezungumzia sim na ili jambo jana tu tulikuwa tunalijadili na washkaj zangu duh kumbe limekualibia maisha kiasi iko,pole sana
Almost a decade 🥲, very sad. The Government should be responsible to pay him compensation for his lost life he spent in jail for the crime he did not commit!
Very sad story,Allah will continue to be with him Always
Siyo Tanzania hiii
He represents the many wrongly convicted. Something has to change!
@@khanifa6453l
For sure wanafaa wamlipe .coz awakufanya ufatilizi mzuri wa haya mauaji
Daa, nimejifunza mengi. Kumbe ndiyo maana wanasemaga upelelezi unaendelea. Wee, sitosogelea penye matukio ya mauwaji ng' o. Pole Sana mdogo wangu . Apumzike salama Binti wa watu.
Mmh mimi ctoacha kushuudia nataka hiyo cctv ya macho na mimi ininase tu napenda kushuhudia matukio mimi
@@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣 utakipata, unachokitafuta. Mi hata 😔
@@shakilamasoud2983 kwakwer acha tu nikipate sipendi kusimuliwa mimi napenda kushuhudia live
@@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣🤣
Naomba namba yake nitamsaidia kwa malipo ya nyumba miezi mitatu
Mimi nikushukulu TU kwakusema utamsaidia miez mitat mungu akubariki sn
Angalia video vizurii kaiandika mbn
Barikiwa sana
Safi sana bro msaidie
I'm really sorry kaka all will be well in sha Allah ameen 🙏
Funzo kwenu mnaoazimana ghetto kwa ajili ya kumpa support shetani
Inategemea. Kaka sasa amekuja msela wako meshibana kinoma huwezi kumkazia mzee sema ndy hivyo kwenye maisha tusiwe wema sana
kabisaa mshahara wa dhambi
Nina Imani wewe pia ushawai saidiwa ghetoo so usiongee vibaya mwambie mwenzako pole Kwa yaliyomkuta tuu
@@esthersiresire sijawahi hata hiyo tabia
@@athumanimtajih acha uongo ulikuwa unipeleki kule kwa rafikiako juu kule
Pole sana Aliloliandika Mungu huwezi kuliepuka kila tukio mungu ana sababu yakepia hua ni mtihani kwako..Mungu kakuvua bado mzima na kijana ...Jitahidi kaza tu kweri yako Mungu kaificha.. pambana mungu atakufungulia
Dah aise imeniuma sana amepitia mtihani kwa ajili ya wema dah pole sana kaka Mungu atakupa nguvu inshallah 🙏 umetufunza kitu kikubwa katika maisha ila pia mngetutajia namba zake za simu ili mtu kama utakuwa na chochote tuweze kumchangia angepata ata chumba na mtaji ili aanze kujipanga
kabisaaa
Tumaini Mabula-:Pole sana kijana..
Imani yako itakusaidia..
safi sana, kumbe bongo kuna fingerprint and Dna detection
O
Morning
pole sana bro mungu ni mwema muda wote amekupa mtihani na amekulinda Allah akujaze kila lenye kheri
Pole sana ndg yangu mungu kakusimamia umetoka na ridhiki mungu atakufungulia tuu inshaallah
Daaah pole sana mwamba.. naamini bado ujachelewa, pambana muda bado unao.. maisha yetu hatujui mbele tunakutana na kipi.. hili ni funzo kubwa sana....alaf namba imefungiwa kupokea simu hii.. Sina uwezo wa aina ile Ila naamin mwamba ni mpambanaji tunaweza fanya Jambo..
th-cam.com/video/B7ymIK1c1mk/w-d-xo.htmlsi=pQIZqHEvoPRza2rx
Mungu atakulipia kaka umepitia magumu Sana pole Sana kaka Mungu akakupe haja yamoyo wako kupitia jaribu ilo
Ila legal system ya Tz hovyo sana. Pole sana na Mungu akupe rehema zake.
Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto
Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto
Wallahi mtihani pole sanaaaa mdogo wangu
Dah mwanangu nimekukubali aise unajua kujielezea kiukweli Mungu akusaidie aise
MUNGU akubariki sana utafanikiwa tu, kila jambo hutokea kwsbb. pole sana kijana mwenzangu
Mtihani pole kijana ndio tujifunze kwani katika hiiii duniya hakuna rafiki hasa ukipata tatizo wote walio wakia wema kwako watakukimbiya
29 :09 MACHO ni zaidi ya camera ukiona ugomvii usisogeee yanarecord 💯
Daaa maisha haya😭😢😢 pole saña ndugu yàngu Mwenye enz Mungu atakusaidia ktk maisha yako
Dunia hii kila kitu ni mpango wa Mungu tuombe sana hatujui mwisho wetu asee
Duuuuuh,eheee
Mungu akufanyie wepesi ndugu yetu 🙏
yaani Tanzaniani nchi yangu ila kuna watu evil sana dah pole sana Kaka .. contact zake laad Millard tunapataje? Mimi Kuna siku kidogo nichomwe kisu chooni yaani sitaki hata kukumbuka.
Pole Sana kakaangu mungu hajawahi mwacha aliye wake
Dah! Pole sana bro, mwenyezi mungu ndiye ajuaye.
Pole kijana wangu hakika Mungu yuko nasi tunataka tukuwezeshe uone furaha tena sio kusafisha mitaro unahitaji kilicho chema zaidi sana.
Daaaa kunawatu wanapitia mhhhh😭😭😭😭😭pole sanaaa "Mungu Atakufanyia njia mpya
Pole sana ndugu ni mapito tu hayo, bado ni kijana na una nguvu anza upya maisha mungu atakujaalia utakaa sawa
Pole sana brother msaidieni jamani kijana huyu atia imani wallahi msaidieni please
Subhana Allah pole sana kakangu japo story ilishapita Allah akuzidishie subra huko ulipo
Alhamdulillah kumbe alipatikana
Da! Mungu amsaidie sana
Pole sana kk Mungu akutie Nguvu
Pole sana tumaini ila hongera kwa kutoka pia karibu uraiani ila tushukuru mungu umetoka bado kijana ,, tumaini mungu yuko nawe namini kwa uwezo wake ipo siku yatabaki story na unaonyesha unaakili mno utafika mbali nakuombea kheri
Mungu anajia zake yaani jinsi alivyopatikana na maisha uliyoishi jela pole sana
Pole sana kijana, nakuombea mafanikio makubwa maishani mwako. Ila Muandishi "Hana uwezo wa kuuliza" hata hajamuuliza kama kijana ana ndugu au Wazazi na kwanini haendi angalau nyumbani kwao akapate baraka za wazee wake.
Kwa maelezo haya , mpelelezi wa hii kesi, hakumuelewa hata kidogo? Tunajua kesi ya mauaji hutumia muda mrefu lkn.....na mashahidi mbona kama walikua wapo? Miaka .. 9 .!!.
Hilo jaribu ni gumu lkn naamini Mungu atakusaidia kijana..wema umekuponzaaa😭
Asingeweza kutoka mpaka huyo muuaji kupatikana kwani mauaji yalitokea nyumbani kwake.
Hii story ya broo imenikumbusha wimbo wa ferooz wema wangu umenipoza
@@1stladyafrica402 kwaiyo asingepatikana angekaa ata miaka 50 na zaidi kuna mda serikali itizame upande wa pili kisaikolojia tu mtu kashaeleza kila kitu pale nikufanya upelelez wao wa kina kisha kumpa ata dhamana ya kuwa nje akishilikiana na mahakama na jeshi la polisi maana yeye asingeweza kukimbia wakat jambo akulifanya yeye kwaiyo angewapa ushilikiano polisi na mahakama vzur sasa mtu akuhusika miaka 9 je tufanye alieusika sasa asingepatikana au angelikuwa nae alishafariki je jamaa angeukumiwa au ndo ile kesi ingegeuzwa kuwa ameuwa bila kukusudia wakat sio yeye kuna jambo kama vile alijakaa sawa hapo kisheria japo cjui sana mambo ya sheria ila hilo litizamwe kwa jicho la nne
@@1stladyafrica402 yaani damu ya Binaadam kuitoa roho haiendi bure.... na HAKI ya mtu asie na hatia ipo japo inachelewaga... pole kwake maskini ALLAH amfanyie wepesi
shida ilikuwa pale kwenye DNA baada ya yeye kumshika bega na pia kururhusu getto kutumika inachukua muda kuonesha no connection
Mungu atakusaidia kaka
Pole sana mdogo wangu Kwa yaliyokukuta
Dar..pole xana mwana na sisi maskini tunaetoka kwenda kutafuta mbali na nyumbani atukumbukwi na ndugu maana wanajua auna cha kuwasaidia kumbe m2 uko ndani dar toa namba ndg yany na karibu katika bwana
Pole msukuma mwenzangu 🙏🏿
Poleee sanaaa.... Urafk wa hivi nimbaya sanaaa poleee utapata na Mungu Baba atkusaidia
tunaomba no ya huyu kijana pls we will support him
Pole sana kaka allah ni mwema kila siku tumejifunza kitu
Pole kaka ,wenye mageto mjifunze hili na maisha ya sasa visasi ni vingi mnoo
Aiseeee pole mno ashukuriwe Mungu mpaka sasa uko hapa🙏
Mambo ya sm kukaguwana n vifo nje nje aki me kuna sk nikagua sm ya mme 😥walai tuligombana nilipigwa sikurudia tena ndo ikawa fundisho cjawahi kagua sm yake mpka tulivyoachana uwiii pole sna kaka kwa changamoto uliopitia weka iman tuu ipo sk utasahau yote
Pole sana kakaangu sio kila wanaoingia jela wanahatia
Tunaomba nambaaa hii story inanikumbusha mbali sana .... Mpangaji wetu alijiuwa ndani alimuweka mama angu kwenye wakati mgumu sanaaa siwezi sahau jamani pole Kaka angu
Angalia kwenye dakika ya 34 hiv zipo hapo namba zake
Dada yangu huyu kaka ni muongo mimi namjua anamke wake alimtesa sana mke wake eti amekaa mahabusu miaka 9 wakati mtoto wake na mkewe ana miaka 2 sasa nimuog🤣🤣🤣leo nimecheka sana
Asiwadangany mvuta begin huyu🤣🤣🤣🤣
@@neemamwita9733 kimeumana 😄 🤣 😂 😆 😄
@neema mwita acha kutafuta sifa za kujifanya unamjua mtu mtu Muongo anajulikana
Pole sana kaka kwa matatizo yaliyokupata
😭😭 AKI SIMU WW UMEKUA NI TATIZO KUBWA DUNIANI POLE BRO ILA HII NI ELIM TOSHA KWENYE HUU ULIMWENGU WA SIMU .!!!
Pole Sana na hongera kwa wapelelezi kwa kunusuru maisha yako kwasababu kazi waliyoifanya nikubwa
True Story ila presenter una feli kwa kutokua serious. Ndugu yangu omba yasikukute.
Pole sana bro I streamed some tears , ila wabongo tujitahidi kufarijiana kwenye matatizo dizaini hii
Pole sana my brother
Pole mdogo wangu imeniuma sana 😭😭😭🤲
Dah pole sana bro Mungu akufanyie wepes Inshaa Allah
Pole sana ndugu yangu haya kweli ni mafunzo kweli ya maisha
Utapata kazi mdogo wangu mungu yupo na wewe utafanikisha tu bado kijana mdogo usikate tamaa
Pole sana1:simu
2:hata huo msaada uliompaga rafiki yako pia si halali
Dah pole jombaa. Kuamini binadamu ni kosa. Ila hii judicial system ya bongo nayo iko slow sana kesi ziwe zinafanyiwa upelelezi na kuisha mapema.
Pole sana sana Mungu atakulipa. Naomba tuwasiliane kama una cm. Hongera sana kwa kumpokea Bwana Yesu huyo kila kitu
Pole sana ndugu hujafa hujaumbika zte ni changamoto za kimaisha tu mungu atakupigania
Pole sana kaka kwa yaliyokukuta