bin seif asante kwa kunipunguzia msongo wa mawazo. ubarikiwe. Nkuomba uweke nyimbo hizi,1 KINYANG,ANYIRO KITAM LAKINI KINAMCHANGA. NA MWENYE KUKICHUKUA HUKITWAA MCHANGANI. 2 WENZIE WANAKUCHEKA AKILI ZAKO NI CHANGA REJEA TENA CHUONI KAANZE TENA ALIFU KWA KIJITI UBAONI. ASANTE BIN SEIF
Hakika ni vigumu kwa vijana wa sasa na wajao kukufikia kwa Tunzi zenye Ukweli,lugha sanifu ya Kiswahili na ujumbe wenye maana na halisia!” Ulale mahali pema peponi
Mashaallah nikiwa Dubai pale na pata song la twaarab Mzee wetu marehem ISSA hatuisahau hii nyimb hapa December 2021naisikiliza
taarab asili, duumisheni hizi taarab, sio kupoteza asili ya taarab kwa kuleta Morden taarab
Masha Allah noma zaidi ya noma huu mziki ni hatari vijana wa Karne ya 20 tupisheni hatotokea mwenye tungo hizi
Hii inafungua 2024 kwa mitundo na miondoko take ya kufurahisha sana.
Dah!! Zanzibar ❤❤❤❤
Mungu mrehemu mja wako katuachia hazina nzuri ya kuenzi uttamaduni wa fasihi itakayorithiwa kutoka kizazi hd vizazi
Mzee mhenga huyu, tungo za kusikitisha na kutisha. Buriani Mzee Issa Matona.
Mm hadi elfu 2023 naisikiliza like zenu
hongera sana mtumzi wa nyimbo hii maneno matamu kama hiyo asali yanikosha moyo wangu niisikilizapo na hainitoshi kusikiliza
The best of the best love from Comoros🇰🇲
Dah nakumbuka kwetu zanzibar 😢
bin seif asante kwa kunipunguzia msongo wa mawazo. ubarikiwe. Nkuomba uweke nyimbo hizi,1 KINYANG,ANYIRO KITAM LAKINI KINAMCHANGA. NA MWENYE KUKICHUKUA HUKITWAA MCHANGANI. 2 WENZIE WANAKUCHEKA AKILI ZAKO NI CHANGA REJEA TENA CHUONI KAANZE TENA ALIFU KWA KIJITI UBAONI. ASANTE BIN SEIF
Mashallah huyu mtu alikuwa fundi tena sanaaa
Mashallah mkwewangu alláh akulaze mahala pema amin
Ni kweli ukifikiri sana ASALI NAYO habari nyingine!!!!!
🤣🤣
There is brain behind these songs, unlike the modern "shit" Taarab.
Juma balo
Maneno ya staarabu kweli...kabarikiwa babu
2024 like zenu
Hakika ni vigumu kwa vijana wa sasa na wajao kukufikia kwa Tunzi zenye Ukweli,lugha sanifu ya Kiswahili na ujumbe wenye maana na halisia!”
Ulale mahali pema peponi
Maussein kijana wa sasa hawana la kutuambia lugha hawana tunzi hawana yamebaki mazogo
Masha Allah
Thanks Bro Bin Seif
One Love all the way from Trinidad & Tobago
Maneno Sauti Lugha yako fasaha na muizik waaw""Ukalale peponi
Hakuna pepo ya waimba mziki tena kafa akiwa amelewa huku akiwa ana kwenda kuimba pia
jaman hizi ndio nyimbo sio bata
😅😅😅😅
Mashaallah Almarhum Issa Matona!
Leo 2024 nasubr like zenu❤
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 raha jameniii👌👌👌👌
🇧🇮
PROUDLY ZANZIBARIAN, KISWAHILI ASILI YAKE
Jaman hakika nazipenda hiz nyimbo hasa nikiwa nimetuli napenda kusikilZa
True taarab watching this in 2019
Ya salaam love kutoka Kenya
تحية من المغرب .
ما شاء الله
Taarabu ilikuwa zamani sio asahivi ovyo
Umeona kk
Imbéciles rofa hujui mziki
Good melody, Inanikumbusha mbali
Kiwengwa mpaka unguja ukuu🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦yeleleeeeee mtainyuki🛶🛶🛶🛶🛶🛶🛶🛶🛶🛶🛶🛶🛶
mashaallah
ARAFA
Love from Egypt
Wewezz i love the song 😍😍😘😘
💚💚💚Zanzibar
Zanzibar is a specific in Africa, I am now in Rwanda but when I tell people I come from Zanzibar they always give me specific status...love Zanzibar
Nyimbo nzuri jameni
Asali tamu kuliko maelezo lakini habari zake ndefu nice
Asali khabar zake nzito kaka. Na ukitaka kuila sharti ujiandae na uwe msafi 😜
Asali halali yake naomba nijulisheni wooooow
Nijulisheni Nisije ipiga teke, kila leo hujiongoa na mistari ya wimbo huu
Mimi Hadi 2021 namsikiliza nyuki like zenu
Hongera sana taarabu haswa
Nikiwa Riyadh hujiskia kama niko nyumbani kwa kujiongoa na na nyuki kila siku,usiipige teke
dahhhh kwa kweli Ni suala gumu
Anatukumbusha mbali Sana wakati huo Mambo hayakua na pupa
Wimbo mzuri sana naupenda,lakini haiendani na video yake.
love
Taarab naipenda sana
Jina la wimbo nyuki
Mashaallah
Mrs Petty una ishi wapi
❤❤❤❤❤❤❤❤
mashallah
hi fatina
uhakika
sio asari muijuayo nyinyi
nice song wish to visit your Zanzibar
can anyone help me with his or her contacts for tour packages
Where are you?
He passed away
He is already pass away am soory
Yah have already passed away
akhery Zzamaan.💜Ukiila kwa kikiri waeza ukasinzia duh! asali
wako wapi Leo hii waimbaji km hawaa??nnachokiomba kwa waimbaji wakileo plzz tupumbazeni kwa wimbo km hizi c zamatusi mupooo
Hatari 😅😂
Wa alopita chuoni haina haja ya kuuliza kwa sababu quran ishaeleza faida ya asali surat Nahl 68 mpaka 69.
Tena ni dawa kwa mwanadamu.
Kaka Asali hilo ni Fumbo😜
Ungelinifahamisha kuila nisingeweza rip isa matonya
huna lolote
Jina la wimbo
Mzuri sana
Marridad
taarabu zaman bwana
💗💗
Hatari
Sijui Kama utamaduni wa kutunga mashairi bado upo znz
Utamaduni uliobakia ni ccm kupiga wenziwe tu uchaguzi ukifika.
@@al-bsaidykhalef6897 umenifurahisha ndugu yangu wapiga weziwao tu CCM.hawana imani
khakeem afro
Kidogo tu
@@al-bsaidykhalef6897 hapo kasema ukweli mtupu
Kina mzee Yusuf wameharibu
Good
hakuna tena
asali siyo asali tena
Kwanini? Kwani hapa kuna fumbo siielewi?
Woow music wa kweli
nzuri sana
Enzi hizo
nice
lugha ya ndani sana aliyoitumia neno kikiri hadi leo baadhi ya watu hawalifahamu hakika tumepoteza hazina kubwa sana leo wapo wapi watunzi?
love it till now
2021 like
☝
Bees.
nyimbo naisikiliza kwa hisia had nataka kuzimia
Hee
2020?
Mashaallah
Wallah rahaa maneno kuntuu
Duu
Si mchezo
🇲🇬🇲🇬🇲🇬🫶🏻👌
888
Hapo umekusudiwa uke wa mwa namke solio asali habari ndio hio
Asingeipiga teke akaitoa thamani maana yake nini?
Usimvamie mwanamke unatakiwa ufanye taratibu wewe
@@zombiebalal842😂 you don’t mean THAT?
mashaallah
Good