Asokasoro Hakuna -Fatma Issa, Culture Music Club

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2015
  • Old Is Gold Taarab Zanzibar.

ความคิดเห็น • 202

  • @SubiraMohamedy-ev9ed
    @SubiraMohamedy-ev9ed 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nmezijua nyimbo za hyu mama toka nikiwa mdogo,,nlikuwa napenda sana taarabu,kuna baba wa kipemba alikuwa anapenda sana kuzisikiliza akiwa dukan kwake,,maashallah bi fatma mpk leo namfuatilia♥️♥️

  • @kijijinikwetutv8
    @kijijinikwetutv8 4 ปีที่แล้ว +12

    Kama una kabala kazi kutoka Zanzibar gonga like yako mpaka 2020

  • @assaddhamir5349
    @assaddhamir5349 3 หลายเดือนก่อน +7

    Who's still watching 2024 😊

  • @issamuhammedi
    @issamuhammedi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nasikiliza 2024 yani hizi nyimbo hazitachuja milele

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 4 ปีที่แล้ว +13

    Hizi ndio nyimbo zenye maneno ya maaana.Old is gold.

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 ปีที่แล้ว +3

    Dada fatma issa kwa ubora wake mashaallah maneno Safi kabisa♥️👏👏👏👏

  • @SalehRashid-ry6td
    @SalehRashid-ry6td 9 หลายเดือนก่อน +5

    Kama unatizama 2023 gonga like hapo twende sawa

  • @fatmaunji1275
    @fatmaunji1275 5 ปีที่แล้ว +12

    Mmmmmh nyimbo inanitoa machozi hiii namkumbuka marehem shemeji yangu akiludi job ananiwekea nisikilize Daaaah mwenyezi mungu ampunguzie adhabu ya kabriii🙏🙏🙏Asokasoro hakuna

    • @khayriyamussa6274
      @khayriyamussa6274 4 ปีที่แล้ว +1

      Allah amlaze pema peponi(Amiin)

    • @abdullakhalfan4668
      @abdullakhalfan4668 ปีที่แล้ว

      AMWONDOSHEE HASA SIO AMPUNGUZIYE YAARABBI.

    • @abdullakhalfan4668
      @abdullakhalfan4668 ปีที่แล้ว

      HIZI NYIMBO UNAONA LADHA HADI LEO KUZISIKILIZA.

    • @sukialkaabi9777
      @sukialkaabi9777 10 หลายเดือนก่อน

      🤲🏼

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu amfutie makosa yake yote na awarehem umma WA Muslim wote aminnn

  • @mushken65
    @mushken65 ปีที่แล้ว +3

    Maneno na mpangilio wa Hali ya juu sana . Taarab asili nzuri sana 🇰🇪

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 11 หลายเดือนก่อน +3

    Dogo msilipe mwanya likaja likatatiza sadaqqqta dada yangu❤

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 ปีที่แล้ว +2

    imependeza sana sana mpangilio na sauti nzuri dada umebarikiwa nayo.Hi Taarab inanipeleka ulimwengu mwingine wa hali ya juu sana. Love nikiwa hapa Kenya

  • @alitonya1123
    @alitonya1123 ปีที่แล้ว +1

    Wallahy hii ni sweet song japo sikua zama izo ila nimetokea kuupenda huu wimbo...Fatma aki u really got a blessed voice.

  • @Gangalamu
    @Gangalamu 7 ปีที่แล้ว +7

    Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo ulivo mzuri tangu Mashairi Musiki na Muimbaji. Malkia wa tarabu na huu wimbo una mambo na waadha wote bora. Amazing to say the least

  • @salumsalum1775
    @salumsalum1775 3 ปีที่แล้ว +3

    Nani mwezangu anasikiliza 12 April 2021 gonga like hapo tuwe pamoja

  • @mwaka308said7
    @mwaka308said7 ปีที่แล้ว +3

    Thank you!for this sweet lovely song of mama Fatma...old is Gold.#

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 ปีที่แล้ว +2

    Dah bi fatma issa ww utaniuaaaaa

  • @Gangalamu
    @Gangalamu 5 ปีที่แล้ว +8

    1 of ur best song ever Fatma Issa. What a lyrics composition and ur Melodius Voice. Wwwwwwooowwwwwww

  • @ahymokash9640
    @ahymokash9640 6 ปีที่แล้ว +5

    Pambeeeeeee kinancho nipa udhia nikule kuniapiza asokasoro hakuna aloumbwa na mwezao kinancho nikera sana nisonalo kupakazaaaaaaa

  • @preetyroshylne1475
    @preetyroshylne1475 6 ปีที่แล้ว +5

    ASokasoroo hakuna aloumbwa na muwezaaa,,hongera bi fatma kaz nzur ,.

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 ปีที่แล้ว +2

    Si choki kusikiliza nyimbo zake huyu dada ina mafunzo kweli , but si kwa majuha mafunzo kwa waliyo n'a akili but ikiwa kichwa empty kakojoe ulale♥️♥️♥️♥️love home Zanzibar 😘😘😘

    • @jabirkombo5483
      @jabirkombo5483 4 หลายเดือนก่อน

      Hhhhhh ushakojowa tyr ww

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 2 หลายเดือนก่อน

      Love to kweli hizi old is gold kweli ukisikiliza Kuna hisia unazipata

  • @mamat5661
    @mamat5661 6 ปีที่แล้ว +5

    Inanikumbusha mbali mnooo, binaadamu hatuyaoni yetu tunayaona ya wezetu

  • @bismassshilla2025
    @bismassshilla2025 6 ปีที่แล้ว +5

    mwenye lile hili hana...ndio shani yake AZA...huhuhuuuu!!! ni raha sana Fatma Issa

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 2 หลายเดือนก่อน

      Acha tu hadi basi yani hadi unakuwa na hisia kali Sana na unyumbani wetu asikwambie mtu kuwa mzanzibar raha we

  • @omarsaid3105
    @omarsaid3105 3 ปีที่แล้ว +1

    Real tyme taarab,essence of social civilisation in East African coastline... sio taarab mseto.

  • @othmanal-nabhany9243
    @othmanal-nabhany9243 4 ปีที่แล้ว +1

    Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza,, ndio anavyotwambia mamaetu Bi Fatma Issa

    • @rashidkassid-mo9ip
      @rashidkassid-mo9ip ปีที่แล้ว

      Ahsante bi Fatma kwa kazi nzuri isiyo chacha Wala kuoza.

  • @azizasaid913
    @azizasaid913 4 ปีที่แล้ว +30

    Kama unatizama Kama Mimi 2019 Weka like yako

    • @azizasalim8777
      @azizasalim8777 4 ปีที่แล้ว

      Habari somo mm nasikiliza nikiwa oman

    • @kassimuyahaya1483
      @kassimuyahaya1483 4 ปีที่แล้ว

      Roho yangu hii nyimbo

    • @jumaaley329
      @jumaaley329 3 ปีที่แล้ว

      @@kassimuyahaya1483 wn

    • @jumaaley329
      @jumaaley329 3 ปีที่แล้ว

      @@azizasalim8777 NM j in love fundi,a

    • @jumaaley329
      @jumaaley329 3 ปีที่แล้ว

      Ma!@@kassimuyahaya1483

  • @alzaah615
    @alzaah615 6 ปีที่แล้ว +5

    hakina ndugu yangu asokasoro hakuna, kinachonipa udhiya ni kule kuniapiza wala sioni vibaya kule kunielekeza heko dada mtanzania maneno ni kibaao

  • @user-eg7vl1tk1h
    @user-eg7vl1tk1h ปีที่แล้ว +2

    Congratulations keep it up💪

  • @alzaah615
    @alzaah615 7 ปีที่แล้ว +1

    hakika ni tamu sana kukusikieni ndugu zetu mungu awabariki na atuzidishie umri mwingi allah yaallah zanzibar is gold ndugu zangu tutaweza kupokonywa yote but talent's ni zetu heko nyumbani

  • @faridbakar8242
    @faridbakar8242 4 ปีที่แล้ว +10

    2020 old is gold

  • @Gangalamu
    @Gangalamu 5 ปีที่แล้ว +9

    Sensational Fatma Issa Aaddaabbb, THIS song has it all, LYRICS singing and composition of highest calibre. Wwwwoooooowwwwwwew

    • @mariamomar9644
      @mariamomar9644 4 ปีที่แล้ว

      dogo mcilipemwanya mukawa mwaedeleza hapo tu

    • @Gangalamu
      @Gangalamu 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@mariamomar9644kabisa mummy

  • @Gangalamu
    @Gangalamu 6 ปีที่แล้ว +3

    Fatma Issa amongst ur best songs

  • @fatumarizione3667
    @fatumarizione3667 7 ปีที่แล้ว +4

    love you mamy big up wala msijedhani yakuwa nitawabeza niongozeni jamani

  • @ayshearsaeed5716
    @ayshearsaeed5716 5 ปีที่แล้ว +4

    Kitu na boksi sichoki kuskiliza huu wimbo naupenda hatarii😂😂sauti dada madaha kama yote

  • @yusuphidrisa2100
    @yusuphidrisa2100 8 ปีที่แล้ว +9

    hongera fatma issa

  • @shafikamasudi2211
    @shafikamasudi2211 2 ปีที่แล้ว +3

    2021 still nasikiliza huu wimbo

  • @saudaissasaudaissa1329
    @saudaissasaudaissa1329 9 ปีที่แล้ว +3

    Ikiwa nimekosea wajibu kuniongoza asantaa fatma issa

  • @ummulkheirally1841
    @ummulkheirally1841 6 ปีที่แล้ว +2

    Mmmmmhhh duuuuuuuuuhhh iko pouw sana aaa

  • @aminamsakatile7219
    @aminamsakatile7219 6 ปีที่แล้ว +3

    mashallah Fatma Issa..ktk ubora walke

  • @mariamakeba
    @mariamakeba 3 ปีที่แล้ว

    4 day in a leo nyimbo tamu🎼🎧🪕
    Kinacho niumiza ni kule kuniapiza 🦚

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kswahili hichooooo❤💃🙋

  • @innemussa1828
    @innemussa1828 5 ปีที่แล้ว +1

    ahsant bint issa maneno mazuri!! Asokasoro hakuna!!!

  • @aminayusud851
    @aminayusud851 9 ปีที่แล้ว +12

    Fatuma isa waaaaaa.naipenda vars kinacho nikira sana nisonalo kupakazaaa

  • @zainabsuleiman5920
    @zainabsuleiman5920 2 ปีที่แล้ว

    Hakuna alie kamilika zaidi yake Allah

  • @khamisomar9419
    @khamisomar9419 6 ปีที่แล้ว +3

    Asante Fatma Issa

  • @abdallahdula6573
    @abdallahdula6573 8 ปีที่แล้ว +8

    Old is gold 100%

  • @fatoumaahmed7670
    @fatoumaahmed7670 4 ปีที่แล้ว +2

    J'adore cette chanson merci 💃💃💃💃💃

  • @perrychicken5876
    @perrychicken5876 6 ปีที่แล้ว +3

    Maanii na muimbaji mzuri Mashallah

  • @zainabsuleiman5920
    @zainabsuleiman5920 2 ปีที่แล้ว

    Jamani mnyonge mjyongeni a la haki yake mpeni kwa upande wangu hatotokea muimbaji mzuri wakike kwa upande wa taarab kama huyu maana huwa anatunga mwenyewe mashairo mwenyewe mziki mwenyewe pia na kuimba huwa anaimba mwenyewe jee ameshawahi kutokea muimbaji akafanya hivyo hatokei huyu mama yuko juu amepewa sauti

  • @user-su2xt6ot9c
    @user-su2xt6ot9c 4 วันที่ผ่านมา

    Can't get enough

  • @dahoudrashid216
    @dahoudrashid216 6 ปีที่แล้ว +3

    Nice music old Zanzibar ftma nice ming ming

  • @dukanmchina6614
    @dukanmchina6614 6 ปีที่แล้ว +2

    awsome hakika aliimba huyu mama

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 3 ปีที่แล้ว

      Maneno yalimchosha ndo akaimba hii nyimbo we sikiliza vzr tu iyo nyimbo utajua km aliwatungia watu fulani😄😄😄😄

  • @maswamaswatech3830
    @maswamaswatech3830 7 ปีที่แล้ว +3

    hongera yako cz binadamu waleo hawajui km hakuna mkamilifu

    • @yaakubjuma8940
      @yaakubjuma8940 6 ปีที่แล้ว

      Kuwa haikuwa watoto ulowazaa mwenyewe......itakua???

    • @yaakubjuma8940
      @yaakubjuma8940 6 ปีที่แล้ว

      Asokasoro hakuna aloumbwa na muezaa.....

    • @yaakubjuma8940
      @yaakubjuma8940 6 ปีที่แล้ว

      Mwenye lile hili hana.....
      Tabia kutolingana sio jambo la kushangaza.....

  • @user-ie9dz9hm9q
    @user-ie9dz9hm9q 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nice muzic old is gold ❤👏👏

  • @nanadahal4740
    @nanadahal4740 ปีที่แล้ว

    MASHAALLAH OLD IS GOLD NAMPENDA SANA FATMA ISSA NYIMBO ZAKE ZOTE

  • @snahlicious
    @snahlicious 5 ปีที่แล้ว +26

    aso kasoro hakuna aloumbwa muweza
    mwenye lile hili hana ndio shani yake adha
    tabia kutolingana si jambo la kushangaza
    kinachonikera sana nisonalo kupakazwa
    kunisema sichukui
    kusengenywa haifai
    ni hekima njema rai
    kunionya sikatai
    la msingi niiteni na wala sitopuuza
    sikatai nambieni wallah ntawasikiza
    mengine msinidhani yakuwa ntawabeza
    nami ntawashukuruni kwa vile mmenifunza

    • @DonKhawwar2
      @DonKhawwar2 3 ปีที่แล้ว

      Mashallah shukran sana

  • @aishamatangamatangamatanga1344
    @aishamatangamatangamatanga1344 ปีที่แล้ว

    Hakika zamani itabaki kua zamani sichoki kusikiliza ❤️❤️😘

  • @abdullakhalfan4668
    @abdullakhalfan4668 10 หลายเดือนก่อน

    Fatma Issa Mwaaahhhhh❤🎉

  • @mayasahkhalfan6828
    @mayasahkhalfan6828 6 ปีที่แล้ว +1

    Kweli aso kasoro hakuna ...... maneno kuntu.

  • @ire.kasidikasidiss8099
    @ire.kasidikasidiss8099 ปีที่แล้ว

    Nice music with lovely view 👍👍

  • @rizikijabu742
    @rizikijabu742 5 ปีที่แล้ว +1

    Lovee mingming waalhh mungu akuweke

  • @aishahassan4168
    @aishahassan4168 3 ปีที่แล้ว

    Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza

  • @fatumamwangome2548
    @fatumamwangome2548 5 ปีที่แล้ว +12

    Masha Allah marehem baba yangu aliipenda sana hii nyimbo imenikumbusha mbali sana machozi yanitoka hasa niliskia dogo msilipe mwanya likaja likachachizaaaaaa

    • @ally1702
      @ally1702 5 ปีที่แล้ว

      Pole sana

    • @ashuashu3843
      @ashuashu3843 4 ปีที่แล้ว

      Pole

    • @zainabsuleiman5920
      @zainabsuleiman5920 2 ปีที่แล้ว +1

      Allah awarehemu wazee wetu waliotutangulia mbele ya haki awasamehe makosa yao Amiin 🤲🤲

    • @msakuzikondo536
      @msakuzikondo536 ปีที่แล้ว +1

      N mimi Marehemu baba yangu aliupenda sana.Mungu akurehemu KK

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 ปีที่แล้ว +1

    Ktk nyimbo uloimba hii ni kiboko yao

  • @firyalharbou4952
    @firyalharbou4952 2 ปีที่แล้ว +1

    J'adore cette chanson je pense fort ma mère une très bonne chanson asante sana

    • @mushken65
      @mushken65 ปีที่แล้ว

      Karibu Sasa toka hapa kenya 🇰🇪

  • @salimathumanmayugo9926
    @salimathumanmayugo9926 3 ปีที่แล้ว +1

    Hamna mjadala kabsaa kama mawaidha, mane I ya hikma na yenye utulivu

  • @halimanabir2380
    @halimanabir2380 5 ปีที่แล้ว +2

    lamsingi niiteni na wala sitopuuzaaa

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 ปีที่แล้ว

    Huu wimbo naupenda mno.naomba mwenye ataweza kunitumia pls

  • @shamsahajri8145
    @shamsahajri8145 2 หลายเดือนก่อน

    Old is Gold Salute to bi Fatma

  • @rahimaally6471
    @rahimaally6471 5 ปีที่แล้ว +1

    Aso kasoro hakuna alouumbwa na mueza

  • @RahmaRamsha
    @RahmaRamsha หลายเดือนก่อน

    2024Bado ipooo moto mashaallah ❤️

  • @qeenlatty5380
    @qeenlatty5380 7 ปีที่แล้ว +3

    siichok hii nyimb jmni dah uliimba hp sauti ssa ndio hoi mm

  • @salimathumanmayugo9926
    @salimathumanmayugo9926 3 ปีที่แล้ว +2

    Maneno ya ukweli na mziki wa kukupa funzo

  • @shuwekhamasoud1887
    @shuwekhamasoud1887 3 ปีที่แล้ว

    Nazikubali nyimbo za huyu mama bado yupo? Ananikumbusha mbaliiii 2021

    • @mohamedsuleiman7215
      @mohamedsuleiman7215 2 ปีที่แล้ว

      hujanishinda mimi yani ndo vile kashazeeka hoi bin taaban lakin ningelikuwepo enzi zake ningemuoa wallah....habibt wangu huyu nampenda rohoni.

  • @ahmadakishingo1935
    @ahmadakishingo1935 4 ปีที่แล้ว +1

    Kinachonikera sana nisonalo kupakazwa

  • @fatmaissa3154
    @fatmaissa3154 4 ปีที่แล้ว +1

    Maneno kuntu,hakuna mkamilifu chini ya jua

  • @khaliphanassoro4851
    @khaliphanassoro4851 4 ปีที่แล้ว +1

    Fatma issa vp bado unaimba

  • @haroubjuma5107
    @haroubjuma5107 4 ปีที่แล้ว +2

    Asokasoro hakuna

  • @ramadhansimba7760
    @ramadhansimba7760 5 ปีที่แล้ว +2

    Fatuma issa ni noma

  • @fatmahussein9642
    @fatmahussein9642 2 ปีที่แล้ว

    Nyimbo naipenda hii asokasoro hakuna mm mweusi lakin shepu ipo hahaha kweli asokasoro hakuna

  • @user-xb2hw4yt1t
    @user-xb2hw4yt1t 4 หลายเดือนก่อน

    Best old is Gold I like it .❤❤❤

  • @aliabeid5122
    @aliabeid5122 4 ปีที่แล้ว +2

    Vibaya msinidhan yakuwa nitawabez

  • @mussakivumbi2930
    @mussakivumbi2930 5 ปีที่แล้ว +2

    Masha allah!!

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 ปีที่แล้ว +2

    Old is Gold 👍

  • @maryvictor3412
    @maryvictor3412 4 ปีที่แล้ว +1

    Vya kale dhahabu

  • @fahashmohd6102
    @fahashmohd6102 7 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah my Fav Fatma Issa

  • @fatumaridhiwani8407
    @fatumaridhiwani8407 5 ปีที่แล้ว +2

    Jamani msijishuku nielekezeni kuniapiza sio issue ni husda tu

  • @snashiralmuaqly598
    @snashiralmuaqly598 2 ปีที่แล้ว

    daaaaah yaani weeeee achaaaaaa tu

  • @nairathamad884
    @nairathamad884 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah pambe maneno kuntu

  • @rizikijabu742
    @rizikijabu742 5 ปีที่แล้ว +1

    Asokasor hakun jmni

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu1200 4 ปีที่แล้ว +1

    Ikiwa nnapotea wajibu wenu kuniongoza

  • @najmaharoub280
    @najmaharoub280 3 ปีที่แล้ว

    Nice yaani naipendaga kuliko

  • @haithamjuma6686
    @haithamjuma6686 7 ปีที่แล้ว +3

    wajina'umeona'eeenh'amina

  • @shumbanamasika1887
    @shumbanamasika1887 6 ปีที่แล้ว +2

    Hongera mamy penda sana

  • @user-su2xt6ot9c
    @user-su2xt6ot9c 4 วันที่ผ่านมา

    Zakale dhahabu kweli

  • @qeenlatty5380
    @qeenlatty5380 7 ปีที่แล้ว +1

    ikiwa nnapotea wajibu kuniongoza...........

  • @khadijaramadhani288
    @khadijaramadhani288 4 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah jomon mic kijamv tanga kwetu

  • @princessmuzdalfat2266
    @princessmuzdalfat2266 5 ปีที่แล้ว +1

    Nice taarab

  • @user-yq1pw1zw9w
    @user-yq1pw1zw9w 2 หลายเดือนก่อน

    Kinachonipa udhia ni vile kuniapiza

  • @princehalawa_official7980
    @princehalawa_official7980 ปีที่แล้ว

    Hizi ndio taarab

  • @a.856
    @a.856 5 ปีที่แล้ว +2

    Asokasoro hakuna...👌