Nmezijua nyimbo za hyu mama toka nikiwa mdogo,,nlikuwa napenda sana taarabu,kuna baba wa kipemba alikuwa anapenda sana kuzisikiliza akiwa dukan kwake,,maashallah bi fatma mpk leo namfuatilia♥️♥️
imependeza sana sana mpangilio na sauti nzuri dada umebarikiwa nayo.Hi Taarab inanipeleka ulimwengu mwingine wa hali ya juu sana. Love nikiwa hapa Kenya
Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo ulivo mzuri tangu Mashairi Musiki na Muimbaji. Malkia wa tarabu na huu wimbo una mambo na waadha wote bora. Amazing to say the least
Si choki kusikiliza nyimbo zake huyu dada ina mafunzo kweli , but si kwa majuha mafunzo kwa waliyo n'a akili but ikiwa kichwa empty kakojoe ulale♥️♥️♥️♥️love home Zanzibar 😘😘😘
hakika ni tamu sana kukusikieni ndugu zetu mungu awabariki na atuzidishie umri mwingi allah yaallah zanzibar is gold ndugu zangu tutaweza kupokonywa yote but talent's ni zetu heko nyumbani
Jamani mnyonge mjyongeni a la haki yake mpeni kwa upande wangu hatotokea muimbaji mzuri wakike kwa upande wa taarab kama huyu maana huwa anatunga mwenyewe mashairo mwenyewe mziki mwenyewe pia na kuimba huwa anaimba mwenyewe jee ameshawahi kutokea muimbaji akafanya hivyo hatokei huyu mama yuko juu amepewa sauti
aso kasoro hakuna aloumbwa muweza mwenye lile hili hana ndio shani yake adha tabia kutolingana si jambo la kushangaza kinachonikera sana nisonalo kupakazwa kunisema sichukui kusengenywa haifai ni hekima njema rai kunionya sikatai la msingi niiteni na wala sitopuuza sikatai nambieni wallah ntawasikiza mengine msinidhani yakuwa ntawabeza nami ntawashukuruni kwa vile mmenifunza
Masha Allah marehem baba yangu aliipenda sana hii nyimbo imenikumbusha mbali sana machozi yanitoka hasa niliskia dogo msilipe mwanya likaja likachachizaaaaaa
Nmezijua nyimbo za hyu mama toka nikiwa mdogo,,nlikuwa napenda sana taarabu,kuna baba wa kipemba alikuwa anapenda sana kuzisikiliza akiwa dukan kwake,,maashallah bi fatma mpk leo namfuatilia♥️♥️
Kama una kabala kazi kutoka Zanzibar gonga like yako mpaka 2020
Who's still watching 2024 😊
Nasikiliza 2024 yani hizi nyimbo hazitachuja milele
Hizi ndio nyimbo zenye maneno ya maaana.Old is gold.
Mungu akubariki mama angu
Dada fatma issa kwa ubora wake mashaallah maneno Safi kabisa♥️👏👏👏👏
Kama unatizama 2023 gonga like hapo twende sawa
Mmmmmh nyimbo inanitoa machozi hiii namkumbuka marehem shemeji yangu akiludi job ananiwekea nisikilize Daaaah mwenyezi mungu ampunguzie adhabu ya kabriii🙏🙏🙏Asokasoro hakuna
Allah amlaze pema peponi(Amiin)
AMWONDOSHEE HASA SIO AMPUNGUZIYE YAARABBI.
HIZI NYIMBO UNAONA LADHA HADI LEO KUZISIKILIZA.
🤲🏼
Mungu amfutie makosa yake yote na awarehem umma WA Muslim wote aminnn
Maneno na mpangilio wa Hali ya juu sana . Taarab asili nzuri sana 🇰🇪
Dogo msilipe mwanya likaja likatatiza sadaqqqta dada yangu❤
imependeza sana sana mpangilio na sauti nzuri dada umebarikiwa nayo.Hi Taarab inanipeleka ulimwengu mwingine wa hali ya juu sana. Love nikiwa hapa Kenya
Wallahy hii ni sweet song japo sikua zama izo ila nimetokea kuupenda huu wimbo...Fatma aki u really got a blessed voice.
Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo ulivo mzuri tangu Mashairi Musiki na Muimbaji. Malkia wa tarabu na huu wimbo una mambo na waadha wote bora. Amazing to say the least
Nani mwezangu anasikiliza 12 April 2021 gonga like hapo tuwe pamoja
Thank you!for this sweet lovely song of mama Fatma...old is Gold.#
Dah bi fatma issa ww utaniuaaaaa
Itazikwa
1 of ur best song ever Fatma Issa. What a lyrics composition and ur Melodius Voice. Wwwwwwooowwwwwww
Pambeeeeeee kinancho nipa udhia nikule kuniapiza asokasoro hakuna aloumbwa na mwezao kinancho nikera sana nisonalo kupakazaaaaaaa
ASokasoroo hakuna aloumbwa na muwezaaa,,hongera bi fatma kaz nzur ,.
Si choki kusikiliza nyimbo zake huyu dada ina mafunzo kweli , but si kwa majuha mafunzo kwa waliyo n'a akili but ikiwa kichwa empty kakojoe ulale♥️♥️♥️♥️love home Zanzibar 😘😘😘
Hhhhhh ushakojowa tyr ww
Love to kweli hizi old is gold kweli ukisikiliza Kuna hisia unazipata
Inanikumbusha mbali mnooo, binaadamu hatuyaoni yetu tunayaona ya wezetu
mwenye lile hili hana...ndio shani yake AZA...huhuhuuuu!!! ni raha sana Fatma Issa
Acha tu hadi basi yani hadi unakuwa na hisia kali Sana na unyumbani wetu asikwambie mtu kuwa mzanzibar raha we
Real tyme taarab,essence of social civilisation in East African coastline... sio taarab mseto.
Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza,, ndio anavyotwambia mamaetu Bi Fatma Issa
Ahsante bi Fatma kwa kazi nzuri isiyo chacha Wala kuoza.
Kama unatizama Kama Mimi 2019 Weka like yako
Habari somo mm nasikiliza nikiwa oman
Roho yangu hii nyimbo
@@kassimuyahaya1483 wn
@@azizasalim8777 NM j in love fundi,a
Ma!@@kassimuyahaya1483
hakina ndugu yangu asokasoro hakuna, kinachonipa udhiya ni kule kuniapiza wala sioni vibaya kule kunielekeza heko dada mtanzania maneno ni kibaao
Congratulations keep it up💪
hakika ni tamu sana kukusikieni ndugu zetu mungu awabariki na atuzidishie umri mwingi allah yaallah zanzibar is gold ndugu zangu tutaweza kupokonywa yote but talent's ni zetu heko nyumbani
2020 old is gold
Sensational Fatma Issa Aaddaabbb, THIS song has it all, LYRICS singing and composition of highest calibre. Wwwwoooooowwwwwwew
dogo mcilipemwanya mukawa mwaedeleza hapo tu
@@mariamomar9644kabisa mummy
Fatma Issa amongst ur best songs
love you mamy big up wala msijedhani yakuwa nitawabeza niongozeni jamani
Kitu na boksi sichoki kuskiliza huu wimbo naupenda hatarii😂😂sauti dada madaha kama yote
hongera fatma issa
2021 still nasikiliza huu wimbo
Ikiwa nimekosea wajibu kuniongoza asantaa fatma issa
haswaaaa😄😄😄
Mmmmmhhh duuuuuuuuuhhh iko pouw sana aaa
mashallah Fatma Issa..ktk ubora walke
4 day in a leo nyimbo tamu🎼🎧🪕
Kinacho niumiza ni kule kuniapiza 🦚
Kswahili hichooooo❤💃🙋
ahsant bint issa maneno mazuri!! Asokasoro hakuna!!!
Fatuma isa waaaaaa.naipenda vars kinacho nikira sana nisonalo kupakazaaa
mashallah maneno kuntu
Amina Yusud e
swadaktaa
swadaktaa
Hakuna alie kamilika zaidi yake Allah
Asante Fatma Issa
Old is gold 100%
J'adore cette chanson merci 💃💃💃💃💃
Maanii na muimbaji mzuri Mashallah
Jamani mnyonge mjyongeni a la haki yake mpeni kwa upande wangu hatotokea muimbaji mzuri wakike kwa upande wa taarab kama huyu maana huwa anatunga mwenyewe mashairo mwenyewe mziki mwenyewe pia na kuimba huwa anaimba mwenyewe jee ameshawahi kutokea muimbaji akafanya hivyo hatokei huyu mama yuko juu amepewa sauti
Can't get enough
Nice music old Zanzibar ftma nice ming ming
awsome hakika aliimba huyu mama
Maneno yalimchosha ndo akaimba hii nyimbo we sikiliza vzr tu iyo nyimbo utajua km aliwatungia watu fulani😄😄😄😄
hongera yako cz binadamu waleo hawajui km hakuna mkamilifu
Kuwa haikuwa watoto ulowazaa mwenyewe......itakua???
Asokasoro hakuna aloumbwa na muezaa.....
Mwenye lile hili hana.....
Tabia kutolingana sio jambo la kushangaza.....
Nice muzic old is gold ❤👏👏
MASHAALLAH OLD IS GOLD NAMPENDA SANA FATMA ISSA NYIMBO ZAKE ZOTE
⁰0000
aso kasoro hakuna aloumbwa muweza
mwenye lile hili hana ndio shani yake adha
tabia kutolingana si jambo la kushangaza
kinachonikera sana nisonalo kupakazwa
kunisema sichukui
kusengenywa haifai
ni hekima njema rai
kunionya sikatai
la msingi niiteni na wala sitopuuza
sikatai nambieni wallah ntawasikiza
mengine msinidhani yakuwa ntawabeza
nami ntawashukuruni kwa vile mmenifunza
Mashallah shukran sana
Hakika zamani itabaki kua zamani sichoki kusikiliza ❤️❤️😘
Fatma Issa Mwaaahhhhh❤🎉
Kweli aso kasoro hakuna ...... maneno kuntu.
Nice music with lovely view 👍👍
Lovee mingming waalhh mungu akuweke
Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza
Masha Allah marehem baba yangu aliipenda sana hii nyimbo imenikumbusha mbali sana machozi yanitoka hasa niliskia dogo msilipe mwanya likaja likachachizaaaaaa
Pole sana
Pole
Allah awarehemu wazee wetu waliotutangulia mbele ya haki awasamehe makosa yao Amiin 🤲🤲
N mimi Marehemu baba yangu aliupenda sana.Mungu akurehemu KK
Ktk nyimbo uloimba hii ni kiboko yao
J'adore cette chanson je pense fort ma mère une très bonne chanson asante sana
Karibu Sasa toka hapa kenya 🇰🇪
Hamna mjadala kabsaa kama mawaidha, mane I ya hikma na yenye utulivu
lamsingi niiteni na wala sitopuuzaaa
Huu wimbo naupenda mno.naomba mwenye ataweza kunitumia pls
Old is Gold Salute to bi Fatma
Aso kasoro hakuna alouumbwa na mueza
2024Bado ipooo moto mashaallah ❤️
siichok hii nyimb jmni dah uliimba hp sauti ssa ndio hoi mm
Maneno ya ukweli na mziki wa kukupa funzo
Nazikubali nyimbo za huyu mama bado yupo? Ananikumbusha mbaliiii 2021
hujanishinda mimi yani ndo vile kashazeeka hoi bin taaban lakin ningelikuwepo enzi zake ningemuoa wallah....habibt wangu huyu nampenda rohoni.
Kinachonikera sana nisonalo kupakazwa
Maneno kuntu,hakuna mkamilifu chini ya jua
Fatma issa vp bado unaimba
Asokasoro hakuna
Fatuma issa ni noma
Nyimbo naipenda hii asokasoro hakuna mm mweusi lakin shepu ipo hahaha kweli asokasoro hakuna
Nakupendaa
Best old is Gold I like it .❤❤❤
Vibaya msinidhan yakuwa nitawabez
Masha allah!!
Old is Gold 👍
Vya kale dhahabu
MashaAllah my Fav Fatma Issa
Jamani msijishuku nielekezeni kuniapiza sio issue ni husda tu
daaaaah yaani weeeee achaaaaaa tu
Mashaallah pambe maneno kuntu
Asokasor hakun jmni
Ikiwa nnapotea wajibu wenu kuniongoza
Nice yaani naipendaga kuliko
wajina'umeona'eeenh'amina
Hongera mamy penda sana
Zakale dhahabu kweli
ikiwa nnapotea wajibu kuniongoza...........
Masha Allah jomon mic kijamv tanga kwetu
Nice taarab
Kinachonipa udhia ni vile kuniapiza
Hizi ndio taarab
Asokasoro hakuna...👌