Viumbe Mnaninieeeee Aaaah nawaasa duniaa niyakupitaa Zuhura Shaaaabani kiukweli ulikuwa unaimba nyimbooo zenyee ujumbee unaoo dumuu Milelee Mfano hiii na ile ya Wema kama wema unaunzwaaa Ubarikiwe sanaaa
Haiwi baya moja lifute mema elfu moja ha hah aaa kaz kwenu sichagui sibagui ataenizika simjui kama bado unasikiliza hili goma kaliii xana 2020 gonga like hapo team sabaha salumu
Ferouz Tell mie kifua nnacho cha mbele na nyuma nyabeba yote na naamini mola yu pamoja nami ninaesubiri hahaaa yenu nayavumilia maneno hayachubui weee maneno kuntuuu apana chezea zamani weee
hizi ni nyimbo ambao zilo kuwa na maadili HUWA hazichuji kabisa nzuli kusikiliza watu ni walikuwa naakili ya kutulia nakifikilia.miziki mzuli hawa wasasa kazi yao kufikilia maungoooo ya wanawake tu hakuna mwanamziki wa sasa atawezakutungamziki kama huuu
Asili haipotei nazikumbuka nazipenda nyimbo zote za East African Melody. Pia nawakumbuka Haji Moh’d, Lamania Shaaban, Zuhra Shaaban, Rukia Ramadhani na wengine nyote mlioshiriki kwenye sanaa hii tamu asanteni sana. 2024.
NIZUSHIENI UONGO PEMBENI NISENGENYENI MDOMO SIFUNGUI MOYONI SINA KINYONGO ATA HUKUMU MANANI ASIYEZIDI WA LAI NALIJUA LENU LENGO AMTHAMINI ITHANI MWACHEKA NAMI KWA TUMBO BAYA LENU NI LOHONI
Zilipendwa hapa kazi kwenda mbele 2019 bado tuna watch tu
2022 tuko wengi
Wewe kiboko
Shairi limetungika mashalla, Nina niasafi sichagui sibagui siku nikafa nitakuepo kweli kujua mwenye alinizika
Kwangu kutenda mema tu naenda zangu.
Taaaamu 2023 nipo watu wa mkwiro, wasini Funzi islands kamata ngoma munje pwani subira salamu sikiaza mama
Naamini mola nguzo ya subira Ina malipo
mashaallah enzi hiyo
Boya HALIZAMI litabaki kuolea
Mjomba kaaga na ametupa uchungu sana nyumbani, baba kaniimbia huu wimbo ndio maana Niko hapa.. Atakaye kuzika humjui.. 🇰🇪🇰🇪...❤️❣️
Aiwi baya lifute mema elfu moja aiwi nikipanda mbegu ya wema mnaivunja, wenzangu amshangai nikiwatusi siumii jamani haaa amnisumbui mnayotaka hayawi jamani👌👌👌👌👌👌
Viumbe Mnaninieeeee Aaaah nawaasa duniaa niyakupitaa Zuhura Shaaaabani kiukweli ulikuwa unaimba nyimbooo zenyee ujumbee unaoo dumuu Milelee Mfano hiii na ile ya Wema kama wema unaunzwaaa Ubarikiwe sanaaa
Still listening this so 2024 tujuane jmn
Jamani wa miaka ya 2000 mpo wapi enzi za abdhallah makame wa sauti ya Zanzibar masaa ya saa nane kwenye mirindimo
Ilikuwa mida ya chuoni ile dah mida inaenda
2024 🎼📷🎶tamu Sana🥰
Nayabeba yote mabaya na mema,2022 bado zavuma, old is gold 💛👌💛
Ujumbe mzuri, na bado tunaendelea kuburudika mpaka leo hii 2021
Laiti nyimbo km hizi zingelitumika kama dua'u mawaidha.
Basi binaadamu tungelistarehe !
Ah lkn whapi!
Ibrahim Suleiman
Haiwi baya moja lifute mema elfu moja ha hah aaa kaz kwenu sichagui sibagui ataenizika simjui kama bado unasikiliza hili goma kaliii xana 2020 gonga like hapo team sabaha salumu
Iko poa sana
Namkumbuka sana mama yangu kipenzi marehemu doto rashidi makangamka mpogoro hapo anavua nguo nguo zake❤
NASTAMILI VISHINDO NA VIHIMILI MIE KIFUA NINACHO CHA MBELE NA NYUMA NAYABEBA YOTE MABAYA NA MEMA
2024 kama mpya zamani hairudi❤
2024 haliwi baya moja lifute mema elfu moja
Jamani zamani raha sana nani anackiliza hii ngoma 2019 😀
Mimi apa😂😂🤣🤣😄😃😉🤗😍😍
🙋
Nipo hapa nasikiliza saa hii tareh 17 /3/2019 🎧🎵🎵🎵
Ferouz Tell mie kifua nnacho cha mbele na nyuma nyabeba yote na naamini mola yu pamoja nami ninaesubiri hahaaa yenu nayavumilia maneno hayachubui weee maneno kuntuuu apana chezea zamani weee
Ferouz Tell namm npo
Nani Anasikiliza mwaka mpya tena tarehe 2 January 2021🎶🎶🎶🎵🎵🎵📢📢
2020 mko wapi picha nnayotendewa haaaa
Old is gold
Wema hakupata nyuki mwenye asali nitapata mimi dhalili
I'm still listening this song in 2023
Kweli mwana dada hii wimbo imenivutia sana. Ni raha sana.
"EWE MOLA WANGU NIZIDISHIE IMAANII"
Nia safi ninayo sababu nimekinahi👌👌👌
Nyimbo za zamani ndio mnzuri sana
Old never get a crack take me back on 2002 on my childhood memories 🤗🤗🤗
Is true @suleiman Mohamed ramadhan
Picha ninayotendewa maovu yalostawi kisa sikijui
Wimbo mzuri sana 2024
Asante Zuhura kitamu hakiishi hamu.
hizi ni nyimbo ambao zilo kuwa na maadili HUWA hazichuji kabisa nzuli kusikiliza watu ni walikuwa naakili ya kutulia nakifikilia.miziki mzuli hawa wasasa kazi yao kufikilia maungoooo ya wanawake tu hakuna mwanamziki wa sasa atawezakutungamziki kama huuu
kazi kwenu napata miye ckosi...ewe mola wng nizidishie imani
Asili haipotei nazikumbuka nazipenda nyimbo zote za East African Melody. Pia nawakumbuka Haji Moh’d, Lamania Shaaban, Zuhra Shaaban, Rukia Ramadhani na wengine nyote mlioshiriki kwenye sanaa hii tamu asanteni sana. 2024.
mkinitusi siumii wenzangu
Hapo sasa sibaghui wala sichagui
Piga kelele kwa wazee wa sasa wasichana wa zaman...!kifua nnacho cha mbele na nyuma maneno kuntu km 2po pamoja like
Aahaa kazi kwenu nategemea Karima....old is gold❤💣🎧🔥
Ok
kweli dunia niya kupita kibri siungwana
Huu Wimbo wankumbusha nkiwa mdogo 😙😙😙😙
aaaa kazi kwenu punguzeni ubnfsi nastahamili vishindo navihimili''''''''''''''''hahaaaaaàa.
... asante sana zuhura shabani nakumbuka mbali sanaaaaaaaaa
Zuhura baby,uko wapi now days.sauti yako isipotelee huko.
Ziripedwa kazi kwedabere na wapenda
Old is gold taking me back Babu wangu mzee Ali Alma's alipenda sana Allah amlaze Pali pema
Hakunaga mfano,, old is gold 2019
NIZUSHIENI UONGO PEMBENI NISENGENYENI MDOMO SIFUNGUI MOYONI SINA KINYONGO ATA HUKUMU MANANI ASIYEZIDI WA LAI NALIJUA LENU LENGO AMTHAMINI ITHANI MWACHEKA NAMI KWA TUMBO BAYA LENU NI LOHONI
Asiyepigiwa Ramli
Zamani kulikuwa kuna taarabu sio has a hizi
Sisemi kitu #
Yakale ni zahabu, kama unaikubali hii nyimbo na bado unasikiliza 2020 gonga like yako hapa ili tuwe pamoja
Tupo pa1 nasikiliza 2020
Fresh Amri mchambuka tupo P 1
wakat Taarab music ilikuwa taarab kweli👌
Nikisha kufa,huzuni kwenu mimi nishapumuzika. Hofu kwenu msiponizika mie shughuli sina.
haha kiswahili mufti pongezi.
Hapo cha-cha
Hahahahaha
Wallah hii nyimbo inanikumbusha mbali Sanaaa sichagui sibagui wallah
Nambari moja .Baraka fm 95:5 with habiba matano kila jumamosi .i miss those days😍
Pauline Matano
Vindonge kumi moto zamani hairudi
nakumbuka Pauline matano chombeza time.
Wallah hii nyimbo haishi utamu duuh!!
Sichagui sibagui atakaye ni zika simjui!!! 💖💯💖
Nyimbo zilizokua na maadili sio hizi za sasa fujo tu...niliipenda na bado naipenda
nia safi siondoi sababu nimekinaiii
Haiwi nikipanda mbegu ya wema mna😂😂😂
kitu hichooo wacha weee ....always old is gold ....mamy zuhura Shaaban I miss u mom its long time bt still sweet song
⁹
Watoto was Zanzibar bwana si haba
sichagui cbagui atakae nizika cmjuii ❤naa amini mola yuko pamoja namii
Nikweli Cjui Nani atanizikaa mm lazma nikuwe mzuri tabia Roho safi cz nikifaa mm najuwa kila mtuu atanikumbuka mm aunty mzur clean heart 👍😊😂😘
Good #haijunzwi tazwil lil walmwengu nimefudhu sinun tabia yangu
Tunaoskiliza 2021 tujuaneeeee
kweli dunia niya kupita
2024 😊😊
2024🔥
Wa pwani wenxangu
Nyimbo nzuli sana
Hiyo instrumental iko sawa sana
Jamani kusema kweli Miziki ya Zamani ilikuwa miziki naipenda Sana hiiii Miziki ya Zamani
Maneno matamu Mashallah baya moja lìsifute mema elfu moja
Asante mamy zuhra shabanii hiyo sauti ya kumtoa nyoka pangonii
maneno kuntu yanaishi miaka mia aaa kazi nategea karima
salma masoud whatsapp +447507409996
Nia safi ziondoei sababu nimekinai
Dah siomchezo iyo
Cbagui c chagui atakaenizika c mjui ,swafi
Haiwi baya moja lifute mema elfu moja
Naamini molanguzo ya subira ina malipo ndy maana ndugu zangu mkitafuta shari kwanguhaipo
,aamnalenu ambalo linawachoma dah kitambo sn lkn aiishi hamu nakupenda sn zuhura shabani
2023
Naamini Mola yuu pamoja nami ninayesubiri!!!swadakta
❤️
Yani hii nyimbo naweza nikailudia atamalakumi kwasiku
mie kifua ninacho cha mbele na nyuma nayabeba yote mabaya na mema
hhhh
cvv
Kabisa
Peace and love usichague ucbague atakae kuzka humjui
abuu dhabi 👌👌👌👌👍👊❤
Swadktaaa
Upo kaka?
Inanikumbusha mwaka wa 2006 tukiwa na ndugu wangu jamu , na marehemu Omari.
2021 taraabu moja Kali hatari
This song's are sweet than the present songs
ppppp0000000p6plp0pp0ppp0ppp0pppppppp000poppppppppppppp0000000p6plp0pp0ppp0ppp0pppppppp000popppppppppppppppppppppp6p5ppppppp5ppppp55pp5popppo7ppppp55opppppppp5p55pp5p555ppp5p5pp5p55p5pp5p5p5pp5pp5556
5
Kama ndio nimefika bongo
Ma best of all time ameen
Ramalito Platinumz
Mungu niwekee mie hili jimbooo tulicheze tarehe hyooo 👌👌👌
2021 twende sawa kama mnasikiliza
ikifikia hapo sisemi kitu
N mmi samuel
Mungu amlaze shem wangu maali pema pepon amin,mama mosi alipenda sana wimbo huu.
Hizi ndio taarabu sio za siku hizi manyanga matupu
2020 I'm here.
We are here together 2020
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
nastamili vishindo na vihimili
iyonikweli,,ukifa uwezijua mwenye kukuzika,,,,,,,,,,,
Hizi ndizo nyimbo bora kabisa hazina matuzi hutokwi jasho ukitaka kucheza ni mwendo wa ku enjoy tu hakuna karaha 2021
izi ndizo nyimbo za kusikiliza sasa
omar kopa
Kabisa
Kuna mistari ilikua inasema changanya Ma sabuni uso kupiga deki bado natafta hio taarab sahii mwaka 9 sjapata kama. Kuna anajua ani reply plz
Utaishia kunawa by Khadija kopa
Nastahimil vishindo navihimil
Hapo ndio mwazo wapenzi.mtaelewa.
Nalijua lenu lengo hamthamini khisani