Mimi nakumbuka wakati huwo nipo shule ya msingi mgulani, hawo waimba taarabu walikuwa wakiimba pake kambi ya jeshi jkt mgulani najisikia uchungu sana upendo wa nyumbani Tanzania siupati kama ninavyotataka lkn nashukuru nipo mpaka leo nasikia vingi kutoka nyumbani ahasante mungu !!
Tanga Raha ❤ 2024 nani abado anasikiliza
mimi tuu mkurya pekee niliyezaliwa zanzibar
2024 anaesikiliza agonge
Kama unasikiliza mwaka 2019 gonga like apa
Taarab ndo mambo yngu
Taarab kweli ni ustaarabu...2023 na bado kuipenda
OMG my dads number one much respect and love from UG+256 TUKO PAMOJA
2020 bado tupo.
Kuna nyimbo zilizopendwa natamani;
1. Haina mjadala hiyoo
2. Hajatulia ~ ni mapepe
Dahh hisia zimeshahama kutoka New York hadi Handeni Tanga....Ta’arab za kusisimua miaka mingi sana
Zanikumbxha xana my dear lovely mommy Allah amuhifadhi ampunguzi adhabu ya kabri 😨😨😅
Its a throwback ting,2023 still listing...Zinanituliza roho hizi ngoma...
L.. .
Tanga raha sana mkuna na mkunwaji muona raha ni nani apo sasa mpaka nasinzia taarabu murua
wat a lovely Taarab Song... long time while was in Kenya... nice one eid.
Daaah Hisia Zanipeleka Nyumbani Tanga ,,,kipindi hiko ni Twaarab AsiLia ya Pwani #MwanaHeLa #LuckyMuzik_Taarab
dulla breezy 😢😢😢
We acha tu. Hata taarabu iwepi waitafuta mpaka waipata🤣. Tanga raha sana asikwambie mtu
listening to this this once,,,it minds me of my lovely mum,,,,, who rarely finished a day without listening to this song,,,so many years down the line
Relies
@@sufianmuhamad3534 H
Ma mother & ma grandma,nawapenda sana...2023🔥🔥
Mimi nakumbuka wakati huwo nipo shule ya msingi mgulani, hawo waimba taarabu walikuwa wakiimba pake kambi ya jeshi jkt mgulani najisikia uchungu sana upendo wa nyumbani Tanzania siupati kama ninavyotataka lkn nashukuru nipo mpaka leo nasikia vingi kutoka nyumbani ahasante mungu !!
Whoooow💥2021 November still listening🔥🙌🏻
Nawaza hapa muandishi aliwaza nini aiseee...em wahenga na makungwii em njooni mnipe maaana
taarab ni ustaarab kama nyimbo hii hakuna wa kiduku humo
how can those generation did it, making songs that are forever hit and liked by all generations.
2020 still hitting ,the best melodies we ever missed, those swts times , be blessed uploader💪🙏
hierdie inligting om 2024❤❤❤ die 🥰🥰👏👏👏
Jiwimbo tamuuu....... Tanga tamuuu.... missing korogwe
Korogwe safi kabisa
Like dis song,wazee wa mwakidila mpoooo
Korogwe
2021 wanaoskiza hii gonga like
Duh Hadi raha❤❤❤
Enzihizo mziki ulikua mziki kweli wa taarab
Bakari Zema nakumbukanipo mombo dukan isramabad shop
Dah jamani Tanga rahaaaaa!
Beautiful Tanga voice with soft lyrics 😘😍
Nikiskia hii nakumbika tu maisha kule nyuma 2011 msimu wa kiangazi...
watanga wenzangu comment km zote
❤️❤️❤️❤️🤍💚
My favorite song
Kinipatacho ni mafumbo yaliyomo katika nyimbo hizi mbali na utamu wao.
nyimbo hizii nikizisikiza umkubuka marehemu babangu
Moddy Makelele yaelekea Alikuwa mpenzi wa Nyimbo Hizi
Same here, good old memories mola ampe kaul dhabit marehem babangu
Nataka watu wa Tanga watunze tamaduni hizi ni muhimu katika mahitahiji
Naaaaaamh!!hapa nasinzia tu taratiiiiibu!!😂😂
Hilo ni fumbo kali sana. Tafakari hayo. Wote huridhika mno
2023 ila naona kama hili ni swali tata ,linamaanisha kweli
Kama 2021 unasikiliza gonga like
Aisee nakumbuka harus yangu.mwaka 95
Daha hapo anaekunwa ndio anaona raha zaidi ila huu wimbo unanitoa roho mimi uwafikie watu wote wa kwakwani Tanga ratco
Mmmmmmmmh...nimetuliaaaa..nafwatilia wim,bo
twayiib..,...ahsanta
2020 bado tupo tunaburudika tu
Mtunzi alitulia na aliumiza kichwa Sanaa!
Anaitwa Nani huyu broo
@@raphaelkazungu2746 bi mwanahela
Yaani hata kila waacha ukaisikize kwanza.
Pongezi sana
naipenda sana...kitambo kweli ALLAH marehemu
Burudika jamani
Nampenda kwa yeyote sitobadili by egyptio
nyimbo hii yanikumbusha mbali kweli taarab asili ndokama hizi sikuhizi hamna lolote
Fahtainah Abdulrahman kweli kabisa
Ukweli mutupuuuu
Siku izi ni fujo tu
This is a very nice song
Mashaallah nzuri sana old ni gold
Naupenda huu wimbo jamani...unanikumbusha enzi nipo msichana...duh...nitalia mimi
mariam kilomo hahaha utalia ili urudi kua msichana ?
Kwn saiv ushakua mzeee jmn akat bado upo onlinee
wewe eddie wewe unatukumbusha mbali sana, jibu hapo labda dada kabby atatupatia
Twila Mtumbi 😂😅😁
D uu wooiiii nyimbo taratiibuuu ukiwa na hobby wako
Inategemea na muwasho wenyewe ni wa aina gani hahahahahhahahah
2023 nilikuwa huku
Anae kunwa anaona Raha zaidi
Nawapongeza Kwa zilipendwa nzuri hongereni sana
Me nimeazisha 10/2/2021....
Mkuna!!?
Na
Mkunwaji !!?
Muona raha ninan?
Pale sote akili zinaruka sote sote sawa tu🤣🤣🤣🤣🤣
Tanga kunani
Mashairi safi kweli ya kale thahabu
Naam nadhani kula mmoja wetu analo jibu ...kumbuka mbali xana T@A kwetu
yan leo ninoma hhhh asanteee
samira samir g hot hippy hop John poi Hogg poi h hop h hi ghpyy tu
Mungu amurehemu
Reminds me of my former wife
Yan nyimbo itulia mpaka raha
Swadakta taarab
Nani yuko apa jan 2021
long lost songs taarabu found let raha
Hatar sanaa
2022 twende woteee
Wakale walisema vya kale dhahabu TANGA raha jamani zaman itamu
daaa adi laaa
Dash I wish I had a time medicine to go back to 80's and 90's.
sorry time has already gone
😀😀😀😀😀
Dah hii kali sana yani kama imetoka leo
Wote wasikia rahaaa
Amakweli yakale ni dhahabu Tanga oyeeeee
Kweli yako mama
touching song
Nakumbuka home tanga 2021
Tanga yetu jamani Mwanahela
Kabisa. Kimji chetu cha kiungwana. Allah atulinde na maradhi Inshallah
Mambo yao akina zuchu haya
Old is gold
Waswahili wenyewe hao hatari sana
Wooote
Asante Eddie za zamani but ni kaa imetoka leo.wote raha tupu.
Randan Omar wallah ni Raha
Randan Omar Wote thaaban raha kwenda mbele.
Randan Omar aa
MWANAHALIMA MWACHILI
Old is gold
reminds me of my girlfriend from Ukunda♥️♥️
Mzigi bila jasho
kunani tanga jaman?
2021 Kama upon acha like Napa
Tam hiyooo
Wote ila mkunwa ndio zidi si utani ni kweli.
duh umeweza
Nimekumbuka kwetu tanga
Freedom is coming tomorrow
Acha nikusaidie kujibu dadangu, mkuna na mkunwaji muona raha ni nani? Mkunwaji aona raha zaidi😀😀
Exactly
Siamini. Mkunwa huona raha zaidi. Ila methali za kitanga ni za undani sana
Albuma iliyo na ngoma CHURA yaitwaje
Tupo watt watanga tarabu zamani bwana wala utoki jasho ukicheza
maashaallah
Ahsante sana
Tanga mojaa,😂😂
Nasikiliza 2024 😂😂😂😂
Hizi ndo taarab sasa!!
Swadkta
Tanga Raha. Ila Vitu Hivi Vimekua Adimu Tanga
wote lakini mkunwa ni sana
2024 am here guys ❤
Mkuna na mkunwaji
2020
Bado tuko sana
Nakumbuka my ex wakati tukiwa pamoja tukila tunda la Adam
Hizi ndio taarabu siyo manyimbo ya sasa niufusuka mtupu