JE, KUGOMBANA WANANDOA KUNAONGEZA RAHA KATIKA TENDO?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
❤❤masha Allah shukran jazeelan
Nawapenda sn jmn wapendwa
Mm kwa Sasa wala clii
@zainabnoor:Mambo ya kale ni mazuri
Nemecheka san leo jaman maan nayakumbuka yanyuma
😂😂😂😂😂
Nawatoto nisababu ya bayao namama mpya wakamfanyia visa baba kaka kinya je huyo mke atakaa
Unakuta mume unambitious lakini yeye hayupo making jewellery nisahihi?
Somo mtoto naona unarudisha ya kale
Hata wanaume wote utafikir umezaliwa na mama mmoja na baba mmoja maana tabia zao moja
So sahihi... Kila mmoja na tabia zke.
Kuna mwanamme aliekua hachoki?
Kweli na wao wanaume tabia zao moja
Yaliyomo yamo
Sheikh Dimoso yupo wapi?akiwepo kipindi kinazidi kunoga