NDOA NI YA WATU WAWILI: KIPINDI HUBBUL HALAL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 39

  • @fatimajuma8900
    @fatimajuma8900 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli huyu Dada hapo ndo kaharibu kuweka mapambo yake wake ingawa Alhamdulillah Hana makeup Allah Subhaana amuongoze yeye na hata siye tunamokoseya In Shaa Allah

  • @KhadijaHamad-hs6ig
    @KhadijaHamad-hs6ig ปีที่แล้ว +1

    Sio kweli dadangu na hao wanaume wanahaki ya kutambua wajibu wao kwa wenzao,wanaume wengi hawana elimu ya ndoa wanataka kuwakandamiza wanawake kwa kutumia kigezo Cha Aya "arrijali kawwamuna ghala nnissai"

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 ปีที่แล้ว +2

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Jazzaka Allahu Khairan

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 ปีที่แล้ว +7

    Mwanamke wakiislamu funika hina yako na udhihirish kwa mume wako sio dunia nzima waone

    • @user-jz6fr7ee8y
      @user-jz6fr7ee8y 9 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli nae abadilike kwà kuficha hayo mapambo yake.

  • @zainabuliza2664
    @zainabuliza2664 ปีที่แล้ว +1

    Lakini kuna wanaume wengine pia hawana mahaba wala pia ukiwafanyia hawayapokei kwa uzuri kazi yao ni kuwafanya wanawake zao kama watumwa 😢 innalillah

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b ปีที่แล้ว

    Mashallah somo nzuri Allah anijlii na mimi kuwa mwema kwa mume na Familia yake duuh, tabia hizo na ziona huku oman

  • @user-mv3yv2dr7l
    @user-mv3yv2dr7l ปีที่แล้ว

    MashaAllah MashaAllah najifunza mengi kupitia hiki kipindi .shukran sana

  • @user-lz3cc1pe6x
    @user-lz3cc1pe6x ปีที่แล้ว +2

    usidhihrishe pambo lako kwa watu wote ni haramu

  • @biubwazahir782
    @biubwazahir782 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @HamadiMageti-ku2hg
    @HamadiMageti-ku2hg ปีที่แล้ว

    Dada hongera Sana wambie wasojielewa

  • @halimanindi8055
    @halimanindi8055 ปีที่แล้ว

    Somo zur lakin dada bado stara kwako ni mtihani,. umeenda kwenye kipindi umejipodoa mwenyew mashaalah lakin haujajistir urembo wako unajionesha tena walegeza hadi jicho, siyo sawa hayo ni mambo ya shemeji hayo

  • @attiyakhalfan8027
    @attiyakhalfan8027 ปีที่แล้ว +1

    Asalaam alaykum-Mimi nasema pande zote mbili zinatakiwa kuelimishwa kukaa na mwezi wake! Sio kulaumiwa mwanamke tuu!

  • @aishakh5046
    @aishakh5046 ปีที่แล้ว +2

    Hio hina ni yamtu moja tu kavyaye sokisi usituoneshe sote

  • @safiaabou-kw2np
    @safiaabou-kw2np ปีที่แล้ว

    Ndoa ni watu 2 haki na wajibu ni watoto pacha na wanaume waambie wajibu wao ili wapate haki zao

  • @HamadiMageti-ku2hg
    @HamadiMageti-ku2hg ปีที่แล้ว

    Sheh Rashid unaongea point icho kipindi kizur Sana

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 ปีที่แล้ว +1

    Yaani majumba mingi haki za ndoa hadi mume aombe kama hakuomba ,itafika mwaka watu wanaingia ndani na kutona ,,yaani mume tu ndie mwenye shida na mkewe lakini mke kawaida hua hana shida na mumewe

  • @user-zy9oz2pz2h
    @user-zy9oz2pz2h 10 หลายเดือนก่อน

    Sio wanawake tu shekhe Rashid na wanaume pia wanawanyima haki wake zao sasa munalizungumziaje na hili

  • @salem9874
    @salem9874 ปีที่แล้ว +1

    Bora uwafahamishe mana now is too much

  • @user-xb1zt1dg1y
    @user-xb1zt1dg1y ปีที่แล้ว

    Kajistiri kwanza kama wampenda mumeo kisha ufungue hiyo darsa ya ndoa nyumbani kwako sio kujianika hapo bila ya stara

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 ปีที่แล้ว

    ما شاء الله تبارك الله

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 ปีที่แล้ว

    Daaaa ndio mle mle. Kwakweli hatari

  • @KhadijaHamad-hs6ig
    @KhadijaHamad-hs6ig ปีที่แล้ว

    Na wanaume jee

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 ปีที่แล้ว

    Rashid asifiae mvua ?

  • @user-xb1zt1dg1y
    @user-xb1zt1dg1y ปีที่แล้ว

    Na nyie wenye nyote mmepinda

  • @awadhimchaki3357
    @awadhimchaki3357 ปีที่แล้ว

    Ficha Hina ficha uso sauti Yako nayo mtihani Dada wewe unayaingia madhambi weye na we mkaka Allah akusamehe

    • @aminanahimana8759
      @aminanahimana8759 ปีที่แล้ว +1

      Kuficha sura sio lazima acheni mambo ya fitna Tumuokopeni Allah

    • @zainabuliza2664
      @zainabuliza2664 ปีที่แล้ว

      Kuna watu wanautia uzito uislamu jamani kwaiyo hata vitanga vyake vya mkono pia ni dhambi kuonekana uso pia
      Astaghafirullah

    • @user-jz6fr7ee8y
      @user-jz6fr7ee8y 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@zainabuliza2664ishu hayo mapiko na mahina yako wazi ni haramu kuonyesha kwà kila asyekuwa harimu wako

    • @user-jz6fr7ee8y
      @user-jz6fr7ee8y 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@zainabuliza2664pia tafuta somo linalohusu ubora wa kufunika sura kwà mwanamke na sauti yake ndio utafahamu. No research no right to speak. hapo kapewa ushauri tu hakulazimishwa kuvaa au kuficha amefikishiwa tu kama yeye anavyowafikishia wenzie.so kuwa mpole dada zaina tusiishi kwà kufata mkumbo. Usipende wanaume waizoee sura yako ikiwa tu umeolewa ni fitna. Ndio maana bb Aisha r.a alikuwa anaweka pazia.

  • @saidisaidi2310
    @saidisaidi2310 ปีที่แล้ว

    Mwalimu una mume ww ? mana makungwi wng hua wameachika niswali tu kama huna mume tujitolee

  • @fatmakhalid2898
    @fatmakhalid2898 ปีที่แล้ว

    Somo nataka kujuwa hili umesema amelaaniwa mwanamke anaemnyima haki ya ndoa mumewe na hana sabab ya msingi jee ikiwa mume nd anafanya hivyo ya n kumnyima mkewe pasi na sabab ya msingi hii imekaaje??

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 9 หลายเดือนก่อน

      Nae Pia Analaniwaa,Uislam Unaongelea Sanah Kuhusu Mwanamke Kwa Sababu Sie Ndio Waalimu Majumbani Kwetu,Xoo Ukianza Mume kama kakupenda kweli Atabadilika Tuh,ila Kama Habadiliki Ni Hasidi na Yeye Pia Siku ya Kiama Ataenda Ulizwa,Ndoa Ni Nusu Ya Dini,na Wanawake Tuh Ndio Tumepewa Yale Mambo Manne Ukiyatekeleza unapata Pepo,(Uswali,Ufunge,Ukihifadhi ,Na Umtwiii Mumeo ila Tuh Katika Mambo ya Haraam Usimtwii,)ila Wanaume Hawakupewa,Soo let's work Towards Jannah

  • @fatemasalem9677
    @fatemasalem9677 ปีที่แล้ว +1

    Tunataka namba za kungwi