Dr. Chris Mauki: Mambo 4 ya kuepuka mara mahusiano yenu yanapo vunjika
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 มี.ค. 2022
- Wengi sana huongeza kiwango cha maumivu pasipo kujua mara mahusiano yanapo vunjika. Kuna vitu hutakiwi kufanya mnapo amua kuachana, na kwa kutokujua utajikuta unazidisha maumivu badala ya kupona. Karibu nikufundishe uelewe #DrChrisMauki#Mahusiano#Kuvinjika
Ahsante kaka kwa somo mpenzi wangu mm tumeachana ila ninacho post yeye ndio wakwaza kuangalia
Bado anakupenda ila ana aibu ya kurudiana na wewe au alishaa wekeza vitu vingi kwako au mema aliyo pata kwako hayapati kwengine
Same here haongei lakini kuview she does immediately baada kupost naomba mawaidha
Bado anakupenda magrarie
Kwel nikiachaba na mtu uwa napendaga nitulie kwanza
Pia nakuwa napendaga Aman tukiachana halafu utakuta mtu. Mwenyew nafsi yake inamsuta kwanini alifanya vile itamshawishi ata kuludi kuliko. Mkiachana mkaendeleza mabifu
Hili somo ni langu mauki. Mungu Akubariki sana kwa kuniokoa katika hili.
Ahsate sana sana. Mungu akupe.maisha marefu maana .si kwa kutusaidia uku. Sijawahi kujuta.
Umenifanya nijiskie vzr kwakwel sikutegemea jinsi nilivyokuwa na maumivu asante sna
Asante kwafunzo nzuri kaka angu
Umeniokoa nilikuwa naandaa kisasi kaniumiza sana but nita move on,asante Dr kwa somo nzuri
Mungu akubariki daktar umeponya moyo wangu nimekuwa kwa depression miaka miwili na miezi sasa,
Amina Sana Asante kwa ushauli mzuri Dr
Asante Sana baba kwa SoMo zuri mwenyez mungu azid kukufungulia milango ya hekima na rehema
Asanti sana Dr kwa ushawuri wako Mungu akubariki .
Asante saana Kwa SoMo mengi nimejifunza DOCTER mauki ubarikiwe sana
Dr mauki Doz ukiyotoa leo imeponya wengi mimi wakwanza asante sanaa
Asante Kwa kuniponya Dr Chris.
Asante Dr.chris ,kwasomo lako. Waipahu mwanga wamahisha.
Maaashallah Asante Sana kwa mafunzo mazuri umenisaidia Sana Dr kwa mmengi
Shukrani sana doctor kwa masomo yako mazuri kwakweli tangu nianze kukufatilia vipindi vyako sijawahi kujutia mungu akupe maisha marefu
Asante kaka ni kweli nipó KWENYE maumivu makali ila nitafuata ulivyosema
Asante nakuelewa sana umenisaidia vitu vingi sana MUNGU akutunze sana
Ahsante Sana bw dr kwa somo lako
Thank you dr chris mafundisho mazuri ndugu yangu
Asante kwa mafundisho mazuri
Nimekuelewa Dkt hongera kwa kazi nzuri.
Thanks broo umenipa moyo san
Daaah mungu akutie nguvu mauki
Asante Kwa mawaidha kaka, imenisaidia sana. Ubarikiwe.
Asante sna Mr,tumekusoma vizuri.
Asante kwa elimu Nzuri
Mungu akubaliki sana nimepata somo zuri mno
Asante sana Kwa ushauri wako
Ubarikiwe Sana kaka angu
Asante sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Waooo nimejifunza kitu thank you my brother
Asante nashukuru maana umenigusa
Uko vizuri sanaaaa Mkuu pia nakufuatilia sanaaa
Mmh kwakweli Mungu akubariki sana baba Kama ulikuwpo Yaan nilikuja sipon Zaid ya kuzid kuongea nashukuru sna
Yakuzid kuumia
Asante kwa funzo
Asante dk chris mauki nimevuka mahali
Asante kwa haya umenifundish pakubwa
Merci bcp
Ahsante kwa somo zuri
Ubarikiwe mno, Mungu akubariki na familia Yako 🙏🙌
ur the man broo. tks
Nashukuru sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Asante sana.
Shukran kwailo kak yangu
Mungu akusimamie
Well well said👏
Nakupenda sana
Dkt ahsante umeniponya roho yangu
Umenijenga san Dr kwa hii mada
Daaah...nashukur
asante sana kaka umenifunza
Yani nisiku tatu hanipigii cm ni goodmorning ananipa asubh na uck saa mbili kuwa kashinda poa nilimuuliiza saaa shida nn anasema kaamua tubaki marafik uwiiiiii cku imekuwa ndefu kwangu nashukur kwa somo doctor🙏🏼🙏🏼ntavuka
Ahsante sana
Ubarikiwe sana yani hilosomo limegusa mausiano yangu
mhh! ni kweli kbs mr mauki
Ila kisasi kina raha yake Sana'a....wenzetu wanasema kisasi ni haki kulipiza
Ahsant Dr nimejifunza ktu hap
Thanks 😊 I’ll
Asantee
Asante 🙏
Asante
Yes endelea kutupa somo hili upo sahihi
Asante sana sana.... umenisaidia sana
Maneno mazuri sana
YeSsDaddy Be blessed
asanteee
So true 👍
Amina
Ee Mungu nipe moyo wa kusamehe niwasamehe walioniumiza
Safi
Ahsante Sana kwa SoMo zuri , nimejifunza mengi na mazuri
Ukweli kabisaa
Asante kwasomo dhuri,kiaziya Leo nitamkiya tu mema,nasitofayiliy post zake🙏
Balikiwa kaka
Nitumie no yako nikutumie chochote,mungu amekuweka maalum kwa ajili ya kumponya roho na nafasi za watu,sikuwa na simu kwa muda mrefu,rafiki yangu aliniita na kuniwekea click zako! Nimepona makovu yote!! Nimejifunza mengi Sana Asante Niko Safi ki fikilia umenitia mbali,
Safi mauki
Nimarayangu yakwanza ila nimeipata faida mungu akubariki
Asante sana nimepata kitu
Kweli kabisaaaah
Asnte doctor
NAOMBENI WANAFAMILIA WA CRIS MAUKI TUKIANZA KUANDIKA JINA LA MUNGU YESU KRISTO tuwe tunaandika kwa herufi kubwa MUNGU wetu sio mdogo atlist tuanze na herufi kubwa nawapenda 🙏🙏🙏
YESU HAJAWAHI WALA HATO WAHI KUWA MUNGU! SITARAJI KUBISHANA ILA UTAUJUA UKWEL SIKU ROHO YAKO IKIWA KTK KOROMEO! TAFTA KUMJUA MWENYEZ MUNGU NASIO YESU!
Ah sema hyo mambo mnne jmn mbwembww nyingi
Don't be consolation 😅😅be in love 😍✋✋
Nime kubali
Umenigusa Sana Yaani Kama unaniongelea ni Mimi vile
Kabisa Wala usimwanze omba mungu tuu kaa Kwa utulivu kabisa utaipata mwingine Bora kuliko wa mwanzo
Amenitenda maovu mengi bila kuniambia ukweli alikua akinidanganya bila Mimi kujua kitu Hadi ameamua kuoa bila Mimi kujua kwakweli amecheza na his zangu Hadi nimeamua kujitenga Ila naumia Sana tu nashkuru Kwa mafundisho.
Poleee my dear, bado hajakutafuta
Pole mamy
Pole dear pole sana
Mim nmepend video zk kwasbb ndio yalionitokea
Dr. Mimi nilikuwa naishi na mume wangu tulibatika kupata mtoto mmoja lakini tulianzana baada ya mda tumerundana
Dr asee me nmeshindwa namna ya kufanya yan naona sijielewi nmeachika ila bdo ananifatilia sanaa na mim bdo nampenda! Ila navyo respond namuona kua bdo ajabadilika Yuko vlevle nashindw namna ya kufanya juu yake!
dooood
Jamani sasa mimi alinidanganya mpaka akajulikana nyumbani leo hii kaniacha na mimba halafu kaniblock kabisa kumbe kaenda kwa mwanamke mwingine alizaa nae wana mtoto mkubwa tu na kamtolea mahali na sijui mi nahitaji faraja zaidi maana moyo wangu bado unakisasi bado Alaaniwe bado alaaniwe mjinga yule
Daaah pole
Mungu akutie nguvu Mamy... Ila jikaze hakua fungu lako mpenz
pole sn so rizki yako iyo huwa tuna ambulia maumivu pale tunapo pata wt ambao hatuja pangiwa kuwa nao
Nimekuelewa xana
Mm nashind mm siamin mshusian nhisi kuw Kila mtu simualmin
Jaman me namchukia mume wangu Sana na najikuta namchukia tu gafla jaman naomba mnisaidie maana tuliachana Tena tunarudiana miez mitat iliyopita
😢
Imenigusa kabisaaaaa
somo hili kwangu limekuja mda muafaka kabisa kwasabb ni sikuchache tu mahusiano yangu yametoka kuvunjika,nakwakweli napitia kipindi nawakati mgumusana kwasasa
Haya mahusiano ww acha tu. Pasua kichwa
Pole Sana hatamie mwezi bado nishida ila mm nashukuru nimeblok kilakitu naanzakumsahaukabisa
Haya mahusiano jmn 🤔🤔🤔tunateseka vibayaaa
@@hanifatanzania7258 tuwepole tu kwasbb mm kwakweli navumilia sana ila nikikumbuka tulivokua sijategemea kabisaa kama hii situation itanitokea wakati huu yan dah nahisi bado nipo ktk kipindi kigumu sanaa mm
@@hanifatanzania7258 Ahsante kwakunipamoyo ila eh!
Lakini alikuwa na wanamke mgeni lakini akusema nilipogundua niliumia sana moyo wangu unauma sana