Dr. Chris Mauki: Mambo 4 ya kuepuka mara mahusiano yenu yanapo vunjika

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มี.ค. 2022
  • Wengi sana huongeza kiwango cha maumivu pasipo kujua mara mahusiano yanapo vunjika. Kuna vitu hutakiwi kufanya mnapo amua kuachana, na kwa kutokujua utajikuta unazidisha maumivu badala ya kupona. Karibu nikufundishe uelewe #DrChrisMauki#Mahusiano#Kuvinjika

ความคิดเห็น • 161

  • @magrethelias6712
    @magrethelias6712 2 ปีที่แล้ว +25

    Ahsante kaka kwa somo mpenzi wangu mm tumeachana ila ninacho post yeye ndio wakwaza kuangalia

    • @jamesobedy3940
      @jamesobedy3940 ปีที่แล้ว +3

      Bado anakupenda ila ana aibu ya kurudiana na wewe au alishaa wekeza vitu vingi kwako au mema aliyo pata kwako hayapati kwengine

    • @stevenyaega87
      @stevenyaega87 ปีที่แล้ว

      Same here haongei lakini kuview she does immediately baada kupost naomba mawaidha

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

      Bado anakupenda magrarie

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

      Kwel nikiachaba na mtu uwa napendaga nitulie kwanza

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

      Pia nakuwa napendaga Aman tukiachana halafu utakuta mtu. Mwenyew nafsi yake inamsuta kwanini alifanya vile itamshawishi ata kuludi kuliko. Mkiachana mkaendeleza mabifu

  • @evelynmasaka2982
    @evelynmasaka2982 2 ปีที่แล้ว +6

    Hili somo ni langu mauki. Mungu Akubariki sana kwa kuniokoa katika hili.

  • @beatricemabula4783
    @beatricemabula4783 2 ปีที่แล้ว +5

    Ahsate sana sana. Mungu akupe.maisha marefu maana .si kwa kutusaidia uku. Sijawahi kujuta.

  • @preciospaulo2774
    @preciospaulo2774 ปีที่แล้ว +3

    Umenifanya nijiskie vzr kwakwel sikutegemea jinsi nilivyokuwa na maumivu asante sna

  • @user-nc6dx6sh7o
    @user-nc6dx6sh7o 13 วันที่ผ่านมา

    Asante kwafunzo nzuri kaka angu

  • @rosejordan5391
    @rosejordan5391 2 ปีที่แล้ว +3

    Umeniokoa nilikuwa naandaa kisasi kaniumiza sana but nita move on,asante Dr kwa somo nzuri

  • @rosenelima8618
    @rosenelima8618 2 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akubariki daktar umeponya moyo wangu nimekuwa kwa depression miaka miwili na miezi sasa,

  • @YasintaMsolwa-vy9lm
    @YasintaMsolwa-vy9lm ปีที่แล้ว +2

    Amina Sana Asante kwa ushauli mzuri Dr

  • @leahloketa9639
    @leahloketa9639 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Sana baba kwa SoMo zuri mwenyez mungu azid kukufungulia milango ya hekima na rehema

  • @ndibwamiahmed8742
    @ndibwamiahmed8742 ปีที่แล้ว +2

    Asanti sana Dr kwa ushawuri wako Mungu akubariki .

  • @user-hp2tp3yw6d
    @user-hp2tp3yw6d 5 หลายเดือนก่อน

    Asante saana Kwa SoMo mengi nimejifunza DOCTER mauki ubarikiwe sana

  • @ibahatimoses6431
    @ibahatimoses6431 2 ปีที่แล้ว +1

    Dr mauki Doz ukiyotoa leo imeponya wengi mimi wakwanza asante sanaa

  • @lulumkongwe9987
    @lulumkongwe9987 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante Kwa kuniponya Dr Chris.

  • @tantinejuma684
    @tantinejuma684 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante Dr.chris ,kwasomo lako. Waipahu mwanga wamahisha.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว +3

    Maaashallah Asante Sana kwa mafunzo mazuri umenisaidia Sana Dr kwa mmengi

  • @Oman-ue5el
    @Oman-ue5el ปีที่แล้ว +1

    Shukrani sana doctor kwa masomo yako mazuri kwakweli tangu nianze kukufatilia vipindi vyako sijawahi kujutia mungu akupe maisha marefu

  • @mirrykirungi3223
    @mirrykirungi3223 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka ni kweli nipó KWENYE maumivu makali ila nitafuata ulivyosema

  • @fredinandbarester4103
    @fredinandbarester4103 11 หลายเดือนก่อน

    Asante nakuelewa sana umenisaidia vitu vingi sana MUNGU akutunze sana

  • @bobaiddi9599
    @bobaiddi9599 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Sana bw dr kwa somo lako

  • @ggio2520
    @ggio2520 2 ปีที่แล้ว +2

    Thank you dr chris mafundisho mazuri ndugu yangu

  • @solomonutuya2385
    @solomonutuya2385 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa mafundisho mazuri

  • @paskomnara9004
    @paskomnara9004 2 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa Dkt hongera kwa kazi nzuri.

  • @user-vg3xw3ji7m
    @user-vg3xw3ji7m 3 หลายเดือนก่อน

    Thanks broo umenipa moyo san

  • @rozinahedwin5811
    @rozinahedwin5811 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaah mungu akutie nguvu mauki

  • @vivianjepchoge2551
    @vivianjepchoge2551 2 ปีที่แล้ว

    Asante Kwa mawaidha kaka, imenisaidia sana. Ubarikiwe.

  • @mtebebroscar729
    @mtebebroscar729 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sna Mr,tumekusoma vizuri.

  • @lovenesssospeter-vy9vw
    @lovenesssospeter-vy9vw ปีที่แล้ว

    Asante kwa elimu Nzuri

  • @tegemwangaba5946
    @tegemwangaba5946 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki sana nimepata somo zuri mno

  • @lilianamukoya7156
    @lilianamukoya7156 ปีที่แล้ว

    Asante sana Kwa ushauri wako

  • @lydiaedwin6911
    @lydiaedwin6911 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Sana kaka angu

  • @clovicemusobozi3891
    @clovicemusobozi3891 หลายเดือนก่อน

    Asante sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @user-fd3ku8uq2s
    @user-fd3ku8uq2s 5 หลายเดือนก่อน

    Waooo nimejifunza kitu thank you my brother

  • @azizamichael2861
    @azizamichael2861 2 ปีที่แล้ว

    Asante nashukuru maana umenigusa

  • @jeremiahmtui6822
    @jeremiahmtui6822 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri sanaaaa Mkuu pia nakufuatilia sanaaa

  • @juliethjohn413
    @juliethjohn413 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmh kwakweli Mungu akubariki sana baba Kama ulikuwpo Yaan nilikuja sipon Zaid ya kuzid kuongea nashukuru sna

  • @mariamuomari8624
    @mariamuomari8624 ปีที่แล้ว

    Asante kwa funzo

  • @vailethmrosso4360
    @vailethmrosso4360 ปีที่แล้ว

    Asante dk chris mauki nimevuka mahali

  • @stelinahlina4780
    @stelinahlina4780 ปีที่แล้ว

    Asante kwa haya umenifundish pakubwa

  • @samkaskakongesaja-boy7837
    @samkaskakongesaja-boy7837 2 ปีที่แล้ว

    Merci bcp

  • @twilumbageorge5426
    @twilumbageorge5426 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa somo zuri

  • @lucymartin5146
    @lucymartin5146 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe mno, Mungu akubariki na familia Yako 🙏🙌

  • @user-hz3jx7wu4p
    @user-hz3jx7wu4p 10 หลายเดือนก่อน

    ur the man broo. tks

  • @AishaRamadhani-sg4ep
    @AishaRamadhani-sg4ep ปีที่แล้ว

    Nashukuru sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @elizabethdzitu780
    @elizabethdzitu780 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana.

  • @user-ov4ug8fl1f
    @user-ov4ug8fl1f 9 หลายเดือนก่อน

    Shukran kwailo kak yangu

  • @meggarcute116
    @meggarcute116 ปีที่แล้ว

    Mungu akusimamie

  • @asinahamadi4208
    @asinahamadi4208 ปีที่แล้ว

    Well well said👏

  • @salamasalama7140
    @salamasalama7140 2 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana

  • @sabinacoltini8173
    @sabinacoltini8173 2 ปีที่แล้ว

    Dkt ahsante umeniponya roho yangu

  • @kizazijeur7518
    @kizazijeur7518 ปีที่แล้ว

    Umenijenga san Dr kwa hii mada

  • @faustamumbee9160
    @faustamumbee9160 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaah...nashukur

  • @LucyMasingija
    @LucyMasingija 6 หลายเดือนก่อน

    asante sana kaka umenifunza

  • @shedy_marie
    @shedy_marie ปีที่แล้ว +1

    Yani nisiku tatu hanipigii cm ni goodmorning ananipa asubh na uck saa mbili kuwa kashinda poa nilimuuliiza saaa shida nn anasema kaamua tubaki marafik uwiiiiii cku imekuwa ndefu kwangu nashukur kwa somo doctor🙏🏼🙏🏼ntavuka

  • @beathagurthi4432
    @beathagurthi4432 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana

  • @user-oh1qs3rx5i
    @user-oh1qs3rx5i 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana yani hilosomo limegusa mausiano yangu

  • @jannethygibson686
    @jannethygibson686 2 ปีที่แล้ว

    mhh! ni kweli kbs mr mauki

  • @adielindosi7124
    @adielindosi7124 2 ปีที่แล้ว +4

    Ila kisasi kina raha yake Sana'a....wenzetu wanasema kisasi ni haki kulipiza

  • @JacklineRashid-rl3bf
    @JacklineRashid-rl3bf 11 หลายเดือนก่อน

    Ahsant Dr nimejifunza ktu hap

  • @meggarcute116
    @meggarcute116 ปีที่แล้ว

    Thanks 😊 I’ll

  • @janekissanga4939
    @janekissanga4939 2 ปีที่แล้ว

    Asantee

  • @RehemaRehema-on9su
    @RehemaRehema-on9su 10 หลายเดือนก่อน

    Asante 🙏

  • @zerishtz1110
    @zerishtz1110 2 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @SimonJosephMdafu-qf4or
    @SimonJosephMdafu-qf4or หลายเดือนก่อน

    Yes endelea kutupa somo hili upo sahihi

  • @glorianyambua1348
    @glorianyambua1348 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana sana.... umenisaidia sana

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 2 ปีที่แล้ว +1

    Maneno mazuri sana

  • @emarrgeorge8536
    @emarrgeorge8536 2 ปีที่แล้ว +1

    YeSsDaddy Be blessed

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 2 ปีที่แล้ว

    asanteee

  • @Medical101
    @Medical101 4 หลายเดือนก่อน

    So true 👍

  • @evadindi7243
    @evadindi7243 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @user-xp8yi6vh4i
    @user-xp8yi6vh4i 11 หลายเดือนก่อน

    Ee Mungu nipe moyo wa kusamehe niwasamehe walioniumiza

  • @adielindosi7124
    @adielindosi7124 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @victoriamerura9382
    @victoriamerura9382 ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana kwa SoMo zuri , nimejifunza mengi na mazuri

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 2 ปีที่แล้ว

    Ukweli kabisaa

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwasomo dhuri,kiaziya Leo nitamkiya tu mema,nasitofayiliy post zake🙏

  • @happyhaule5865
    @happyhaule5865 ปีที่แล้ว

    Balikiwa kaka

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 ปีที่แล้ว +1

    Nitumie no yako nikutumie chochote,mungu amekuweka maalum kwa ajili ya kumponya roho na nafasi za watu,sikuwa na simu kwa muda mrefu,rafiki yangu aliniita na kuniwekea click zako! Nimepona makovu yote!! Nimejifunza mengi Sana Asante Niko Safi ki fikilia umenitia mbali,

  • @fidelismasaka2735
    @fidelismasaka2735 4 หลายเดือนก่อน

    Safi mauki

  • @zainathyMtulia-gk2od
    @zainathyMtulia-gk2od 11 หลายเดือนก่อน

    Nimarayangu yakwanza ila nimeipata faida mungu akubariki

  • @ichimary1195
    @ichimary1195 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana nimepata kitu

  • @allyjumaally8353
    @allyjumaally8353 10 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisaaaah

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 2 ปีที่แล้ว

    Asnte doctor

  • @maureenrobert3689
    @maureenrobert3689 2 ปีที่แล้ว

    NAOMBENI WANAFAMILIA WA CRIS MAUKI TUKIANZA KUANDIKA JINA LA MUNGU YESU KRISTO tuwe tunaandika kwa herufi kubwa MUNGU wetu sio mdogo atlist tuanze na herufi kubwa nawapenda 🙏🙏🙏

    • @ramadhanirama6636
      @ramadhanirama6636 2 ปีที่แล้ว +1

      YESU HAJAWAHI WALA HATO WAHI KUWA MUNGU! SITARAJI KUBISHANA ILA UTAUJUA UKWEL SIKU ROHO YAKO IKIWA KTK KOROMEO! TAFTA KUMJUA MWENYEZ MUNGU NASIO YESU!

  • @user-fd5nk7fr2p
    @user-fd5nk7fr2p 3 หลายเดือนก่อน

    Ah sema hyo mambo mnne jmn mbwembww nyingi

  • @rebekabigawa1439
    @rebekabigawa1439 ปีที่แล้ว

    Don't be consolation 😅😅be in love 😍✋✋

  • @ulayaraymund6255
    @ulayaraymund6255 ปีที่แล้ว

    Nime kubali

  • @kennedykaira9696
    @kennedykaira9696 2 ปีที่แล้ว +1

    Umenigusa Sana Yaani Kama unaniongelea ni Mimi vile

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 หลายเดือนก่อน

    Kabisa Wala usimwanze omba mungu tuu kaa Kwa utulivu kabisa utaipata mwingine Bora kuliko wa mwanzo

  • @mwanaishamwapopho6126
    @mwanaishamwapopho6126 ปีที่แล้ว +1

    Amenitenda maovu mengi bila kuniambia ukweli alikua akinidanganya bila Mimi kujua kitu Hadi ameamua kuoa bila Mimi kujua kwakweli amecheza na his zangu Hadi nimeamua kujitenga Ila naumia Sana tu nashkuru Kwa mafundisho.

  • @NasraMbarouk
    @NasraMbarouk 2 หลายเดือนก่อน

    Mim nmepend video zk kwasbb ndio yalionitokea

  • @HildaEdward
    @HildaEdward 4 หลายเดือนก่อน

    Dr. Mimi nilikuwa naishi na mume wangu tulibatika kupata mtoto mmoja lakini tulianzana baada ya mda tumerundana

  • @moseserasto2264
    @moseserasto2264 ปีที่แล้ว

    Dr asee me nmeshindwa namna ya kufanya yan naona sijielewi nmeachika ila bdo ananifatilia sanaa na mim bdo nampenda! Ila navyo respond namuona kua bdo ajabadilika Yuko vlevle nashindw namna ya kufanya juu yake!

  • @mkombozithobiasi3997
    @mkombozithobiasi3997 ปีที่แล้ว

    dooood

  • @crii1049
    @crii1049 ปีที่แล้ว +2

    Jamani sasa mimi alinidanganya mpaka akajulikana nyumbani leo hii kaniacha na mimba halafu kaniblock kabisa kumbe kaenda kwa mwanamke mwingine alizaa nae wana mtoto mkubwa tu na kamtolea mahali na sijui mi nahitaji faraja zaidi maana moyo wangu bado unakisasi bado Alaaniwe bado alaaniwe mjinga yule

    • @subirambogoro9843
      @subirambogoro9843 ปีที่แล้ว

      Daaah pole

    • @farajameshack4402
      @farajameshack4402 ปีที่แล้ว

      Mungu akutie nguvu Mamy... Ila jikaze hakua fungu lako mpenz

    • @zaitunjuma870
      @zaitunjuma870 ปีที่แล้ว

      pole sn so rizki yako iyo huwa tuna ambulia maumivu pale tunapo pata wt ambao hatuja pangiwa kuwa nao

  • @user-sy6wn7tw2p
    @user-sy6wn7tw2p 9 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa xana

  • @BaldwinaMatikila
    @BaldwinaMatikila 5 หลายเดือนก่อน

    Mm nashind mm siamin mshusian nhisi kuw Kila mtu simualmin

  • @muniramassawe-hs1hg
    @muniramassawe-hs1hg ปีที่แล้ว

    Jaman me namchukia mume wangu Sana na najikuta namchukia tu gafla jaman naomba mnisaidie maana tuliachana Tena tunarudiana miez mitat iliyopita

  • @SharifaMzava
    @SharifaMzava 7 วันที่ผ่านมา

    😢

  • @joycemakiya8672
    @joycemakiya8672 2 ปีที่แล้ว

    Imenigusa kabisaaaaa

  • @seifthani8468
    @seifthani8468 2 ปีที่แล้ว +4

    somo hili kwangu limekuja mda muafaka kabisa kwasabb ni sikuchache tu mahusiano yangu yametoka kuvunjika,nakwakweli napitia kipindi nawakati mgumusana kwasasa

    • @ggohf7004
      @ggohf7004 2 ปีที่แล้ว +1

      Haya mahusiano ww acha tu. Pasua kichwa

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว

      Pole Sana hatamie mwezi bado nishida ila mm nashukuru nimeblok kilakitu naanzakumsahaukabisa

    • @happyelibariki6013
      @happyelibariki6013 2 ปีที่แล้ว

      Haya mahusiano jmn 🤔🤔🤔tunateseka vibayaaa

    • @seifthani8468
      @seifthani8468 2 ปีที่แล้ว

      @@hanifatanzania7258 tuwepole tu kwasbb mm kwakweli navumilia sana ila nikikumbuka tulivokua sijategemea kabisaa kama hii situation itanitokea wakati huu yan dah nahisi bado nipo ktk kipindi kigumu sanaa mm

    • @seifthani8468
      @seifthani8468 2 ปีที่แล้ว

      @@hanifatanzania7258 Ahsante kwakunipamoyo ila eh!

  • @HildaEdward
    @HildaEdward 4 หลายเดือนก่อน

    Lakini alikuwa na wanamke mgeni lakini akusema nilipogundua niliumia sana moyo wangu unauma sana