Pengine tayari upo katika hatua ya hizi Athari lakini pengine bado ujagundua, hivyo kupitia video hii utaweza kujua ni Athari zipi hizo ili uwe macho. Nakuomba usisahau ku Subscribe, Asante.
Mungu wangu lile lijamaa sitaki nilikumbuke tena na kama lilijifanya kucare kwa kuniescort nyumbani na usafiri wake ili achukue kitu kwenye maisha yangu Ameshindwa, na akome kabisa ata ikitokea akiniona asinisogelee kabisa kenge maji yule.Sikuwa na shida na msaada wake, kwani nilimwambia siwezi kutembea kwa miguu hadi ajikute kila akiniona napita barabarani anajileta na gari yake na kujikuta mwema sana kumbe shetani tu kama mashetani wengine. Amekutana na upako umemuaibisha, panya kwenye bonet ya gari anawezaje kukaa kama sio uwongo kiwe nini.
Kaka mm ipo ivyo uchuamba angu kaondoka mwaka sasa hana habari na mm sasa mm namwambia aje atoe vitu vyake ajibu bora ukiongelea mada nyingine ana jibu sasa mm nimfanyeje mivitu yake mle ndani
Kak mimi nibint wa miaka29 nimekaa na huyu mwanaume miaka10 ninawatoti wannee jamani ananiaga anaenda kazini usiku anaenda kulala na mwanamke mwingine kak nimeumia sana yani mpaka nashindwa chakufanya kaka angu
I really learn something important in my life,thanks bruh 😎
@@alimatambwe3402 Karibu sn😊
Big up 💯 nimekukubali sanaa!!!
@@pilikipengele963 asante sn
Duuuh Asante sana kaka maana hii umeileta kwa niaba yangu nimeacha kuwa king'ang'anizi tena 😂
Sijutiii kukufahamu kaka mungu akubariki sana katika kazi zako uzidi kutufumbua macho
Amen mpendwa nawe ubarikiwe sn🙏
Nimekupend buree broo
@@linnahcasmir5275 Nimekupenda pia😊🤝
Asante nimejua my value
I like it..
Da shukran brother
@@KikuletwaPump karibu sana
You are correct brother God bless you
amina mpendwa
Kaka maisha haya ya kung'ang'ania nimechoka na umenipa mwanga wa matumaini
@@OffclLidya pole sn😰. Ila Nafurahi umenielewa😀👏
Nashkr sana ndugu Kwa elimu ya mahusiano,hata mm umenisaidia.
Karibu saana 🤝
Nilikuwa natafuta ufumbuzi wa nini nifanye Asante sana bro wewe niwa maana sana umenifanya nijitambue.Wakola mno❤
@@kithajungu1389 wow good😊. Chalz👏
Asante saaana kaka nimepona🥰
Karibu saana, na usiache ku subscribe🥰
Sijutiii kukufahamu kaka mungu akubariki sana katika kazi zako uzidi kutufumbua macho
Amen mpendwa nawe ubarikiwe saana
Wueeh asante kaka
Karibu sn
Noted with thanks
@@elizabethnjau6970 karibu saana
Hongera sana
asante mpendwa
Kweli kabisa kaka nimimi kabisa yamenikuta
Pole sn
Kaka maisha haya ya kung'ang'ania nimechoka na umenipa mwanga wa matumaini
MUNGU akubariki sana, umeongea vitu vizito sana kuliko mtu yeyote aliewai kuongea,HATARI,
Asante sn mpendwa🙏
Mungu wangu lile lijamaa sitaki nilikumbuke tena na kama lilijifanya kucare kwa kuniescort nyumbani na usafiri wake ili achukue kitu kwenye maisha yangu Ameshindwa, na akome kabisa ata ikitokea akiniona asinisogelee kabisa kenge maji yule.Sikuwa na shida na msaada wake, kwani nilimwambia siwezi kutembea kwa miguu hadi ajikute kila akiniona napita barabarani anajileta na gari yake na kujikuta mwema sana kumbe shetani tu kama mashetani wengine. Amekutana na upako umemuaibisha, panya kwenye bonet ya gari anawezaje kukaa kama sio uwongo kiwe nini.
Mafunzo mazuri broo
Shukrani🙏
Thanks broo
Karibu sn
Hii video umeitengeneza kwa ajili yangu kabsaa kkangu ahsante sana 😢😢
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
Dah jmn king'ang'aniz ni mm jmn kwa mumewang nafanya kila jema lkn wapiii😢😭😭😭😭😭
Kaka mungu akubariki xna
Amina 🙏
Yani unaniongea mimi nimemfumania na bado nimenuniwa juu ila mwanaume asiekupenda hapana sina hamu
@@beatricemagaga4958 pole sn
Najiona Mimi TU hapo
@@EmeraldZanzibar-i8l eeh
Hatariiii
Na nusu
Weka waz kaka yote uliyosema yapo 😂
MUNGU azidi kukuongezea maarifa ya kushauri watu kaka,,,ila hujatoa namba zako zasimu
@@SarahMusa-j3w asante sn mpendwa 😊🙏. 0659152333
nimejifunza jambo ambalo nahisi kama nilikuwa sijitambui.... ubarikiwe kaka
Amina mpendwa
Now I know my value
❤
Blessed 🙏
Aiseee umenifungua akili sanaaa kaka mbeki
Woow vizuri sn👏.
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
Mimi muoga sana kuachwa kwahiyo huwa nakuaga hatua mbili mbele ili nisije kulia km mbwa
@@BiyuwaSimba kivipi
Baada ya kusikia ushaur wako mzur sasa naona akili yang inakaa sawa
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
Kweli kabisa acha nijipende mwenyewe 😅
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
Umetisha mwanangu GOMBEA UBUNGE KURA YANGU UNAYO
@@RenaldaZeramula 🤣🤣🙌.. asante sn
Mm ajanambi ila ana nijimb majimb mabany
@@BeatriceChua-nf6ff pole
Yani kaka paka umenifanya nilie,ongera sana
Asante sana mpendwa 🙏
Hii video imeniongezea ujasiri na kujiamini zaidi
@@CatherineKalua-bk8vg good👏👏😀
Kuna bint kavishwa pete ya uchumba January kansani lakin anahuzuni mda wote kwamba moyo wake haukupenda kijana bali shinikizo AFANYAJE
Ilishawahi kuzungumza nq huyo kijana muoaji kuhusu hisia zake?
Kaka kuanzia leo ninabadilika naanza kujipenda na kujithamini
Dah ahsante sana kaka
@@ConsolataFaustina karibu sana mpendwa
Kaka maisha haya ya kung'ang'ania nimechoka na umenipa mwanga wa matumaini
Kaka maisha haya ya kung'ang'ania nimechoka na umenipa mwanga wa matumaini
Kaka maisha haya ya kung'ang'ania nimechoka na umenipa mwanga wa matumaini
Kaka maisha haya ya kung'ang'ania nimechoka na umenipa mwanga wa matumaini
Thank u alot❤❤
Kaka Asante
@@MelinaJohn-j9y karibu saana
Yaani we Kaka ni kiboko ndo zangu izo uwa siofu kumpoteza mtu asiyenithamini
😀
jamani huyu ni mm kabisa
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
Kama unasema mmi kwa kweli nilikuwa muda mulefu kinganganizi ila kwa sasa nimekuelewa
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
Kaka mm ipo ivyo uchuamba angu kaondoka mwaka sasa hana habari na mm sasa mm namwambia aje atoe vitu vyake ajibu bora ukiongelea mada nyingine ana jibu sasa mm nimfanyeje mivitu yake mle ndani
@@MelinaJohn-j9y hayo ni maswala binafsi mpendwa ila kama mmeachana nadhani hakuna kinachotakiwa kuendelea so kama anafanya hivyo myb mnajuana zaidi
Mm cjaambiwa ckutaki lkn naisoma lebooo
NAOMBA UNIAMBIE JE HII VIDEO IMEKUSAIDIA KITU?
Yani umenigusa mimi natamani nitoke kwenye hichi kifungu sjui naanzia wapi😢
@@BeatriceMagaga oh pole sn mpendwa, nicheki whatsapp
100%
@@lovedavie9621 yah
imeni Saidia Dana Jamani maana nilokuwa kwenye kiza kinene Jamani
Broo nakukubali sana umeongea kitu cha mihimu sana, ambacho kitawasaidia weng, mojawapo Mimi hapa kwa namna fulan nimejifunza mengi kwenye mahusihano
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
Njo yenye napitia kaka yangu ,kwenye ujumba nimefukuzwa adi kwenye chumba,nifanyeje kaka yangu nisaidie
Pole sn
Huyu ni mimi kabisa
eh
Duh! kaka unajuaje kama ndo hali yangu niliyonayo sasa.asante sirudii tena kunyenyekea mwanaume
@@ElfridaMatozi pole sn
Kak mimi nibint wa miaka29 nimekaa na huyu mwanaume miaka10 ninawatoti wannee jamani ananiaga anaenda kazini usiku anaenda kulala na mwanamke mwingine kak nimeumia sana yani mpaka nashindwa chakufanya kaka angu
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
Ivi kaka ulijifuzia wapi haya mafunzo balikiwa sana My friend
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
xnte kaka kwa sasa npo ktk huo mtihani nashkuru kwa ushauri wko mzuri mngu akubariki xna mana ninaumwa mpaka ofice nmefunga nna mwezi wa nne sasa
Karibu sana
Kaka Mm nina mpenzi ila yupo bize sana ila yy ananambia ananipenda ila ni ubize tu jeee apo vp
Kuna somo nimezungumza mambo 5 yakuzingatia kabla haujaingia katika mahusiano liko hapa kwenye video zangu litafute litakusaidia sana.
Kaka namba Yako naipataje
O659152333
Wanaumme hawauzwi jamani wanazaliwa na mama baadae wanapita wakizurura tu tuombe mungu tuwapate waliowema tu
Amen🙏
Thank you brother nimekuelewa Sana zaidi ya sana kweli wanajizimaga data
Karibu sn sn
Thanks broo he is my first boy lakin daah
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
Umeongea kitu kizuri na kimenifungua akili yangu sana ongera sana
Asante sn
Duhhh!!! Ni bora kaka utwambie ukweli tu
@@BabaIbra-s8h eti eh
MUNGU akupe maisha marefu
@@OffclLidya amina mpendwa 🥰🙏
Asante 🎉🎉
@@FrolaJoram-eg1ng 😊🙏
😂😂😂😂umejua kunifrahisha
@@Vestina-q5r 😀Asante
Kujichekesha bila kutekenywa
Aaah nmecheka sana 😂
😀
Kaka ahsant sana nakusikiliza piaaa naumia coz nmekumbatia hayo matatizo
Basi achilia.. usiendelee kukumbatia mchongoma na ukabaki kuulamu unakuumiza kumbe umeamua kujiumiza mwenyewe.
Kaka unafundisha naumeniosho kwasababu
Thanks
😢😢😢😢 waaa mimi hata sielewi kabisa nataka ushauri
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
Umenisaidia kaka nilikua njia panda saa hii niko katika njia moja nyororo ubarikiwe sana❤❤
Amina🙏 and nafurahi sn kusikia hivyo👏
Asante kaka umenifungua akili jaman
@@EsterMsiba good😀👏
Pokea maua yako ubarikiwe
@@issambarak8931 amina amina mpendwa😊🙏
Huyo nimimi kabisa 😢 nifanyeje mimi
Karibu whatsapp
Docta unatucheka dah nilikua nimeumia ila basi acha aende tu wanaume wapo wengi
Asante sana kaka nilikuwa ivyo but now all its over.
Pole sn mpendwa Mungu akuongoze sasa
Huyu Kaka anajua mpaka anajua tena
@@rehemasilasi2985 asante sana😊🙏
🤣🤣🤣 I like it so much
Good😀
Kaka unaniongelea mimi kabisa 😢😢
Oh pole sana
Natamani niongee na ww kaka
Nicheki WhatsApp 0659152333
Asante
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
Shukran broo ....mafunzo mazr walai 🎉🎉🎉
Asante mpendwa karibu 🙏
Kweli kabisa sisi tunatamani sana asante
@@SarahWangoi-nj9vp karibu sn
Sanatu unani Jenga Sana Kaka ntakutumia tu na hela ya bando🙏🙏🙏
Asante sn mpendwa wangu
Cjui kwnn nimechelewa kukufaham
Ujachelewa mpendwa😀
Ndyooo unatisha sana umeukonga moyo wangu❤
Asante sn
Asant ndug umenitoa kwenye kiza Kunene sana asant san
Karibu sn
Dah asante bro.umeniamsha akili
Karibu sn mpendwa
Hapa nimesha juw ukweli wote asante kaka
Karibu sn mpendwa😀
yamenikuta jana khaaaa wanaume shkamoo,nakupenda sana kaka angu una mafunzo mazur sana ubarikiwe sana
Ilikuaje tena
Marahaba
Wallahi hayoyote yapoo tabibu tunayaona
Kabisa
Ww jamaa umefunguka hatari
Asante sn ndugu yangu
Asnte broo umenifungua mahli wallAh
Asante kaka umenitoa kwenye kiza asante
Karibu sna