MBUNGE WA CHADEMA AMLILIA RAIS SAMIA HADHARANI, AWACHONGEA VIONGOZI, "HATUTAKI MACHAFUKO"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 84

  • @LoningoMollel-y3k
    @LoningoMollel-y3k หลายเดือนก่อน +3

    Bigger up sna mbunge wetu kwa kazi na Hoja,nzuri ya kujenga

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 หลายเดือนก่อน +6

    Mheshimiwa mbunge unaakili sana .Hongera sana

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada anaakili nyingi, wananchi walipata mali🎉🎉

  • @masoudsalum
    @masoudsalum หลายเดือนก่อน +3

    Hongera Aida vry bright

  • @meiruzibwe9145
    @meiruzibwe9145 16 วันที่ผ่านมา

    Safi sanaaaaa Mh Mbunge kutoka chama kubwa CHADEMA.
    Chama chenye watu wenye akili inayowaza sawasawa.

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera aida

  • @vincentmpupua5839
    @vincentmpupua5839 หลายเดือนก่อน +3

    Aida mitano tena

  • @matesosamwel6685
    @matesosamwel6685 หลายเดือนก่อน +1

    Very bright!!!

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u หลายเดือนก่อน +3

    Mwenyezi mungu yupo nasi

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi หลายเดือนก่อน +2

    Samia ni mwizi wa ccm utaenda zanzibar kwa ujumla ccm wezi

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d หลายเดือนก่อน +2

    Ametumia hekima sana uyu mbunge, amesema tu samia oyeee na ajasema raisi oyeee. Amelazimishwa kusema ccm oye hakuingia kwenye mtego. Nimempongeza kuhusu swala la utekaji amefikisha ujumbe

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba หลายเดือนก่อน +2

    Uraisi ni nafasi isio kuwa na chama aida kaongea vizuri,,izo ndio siasa,,,ccm wamuone alie tokana na ccm na chadema wamuone alie tokana na chadema,,

  • @damasngottea1730
    @damasngottea1730 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo kuanza kwa kumsifia tu Mama ndo umenikwaza kwingine exllent

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 หลายเดือนก่อน +1

    Well said madam

  • @kennethmanangwa8189
    @kennethmanangwa8189 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mbunge. Ukiona raisi katikisa kichwa basi ujue amekukubali. Endelea kukipigania chama chako.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 หลายเดือนก่อน +2

    Kunasehemu wanapata wabunge jamani siyo wagonga meza

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman หลายเดือนก่อน +2

    Madam aida kenan namuamini hata nikiwa usingizini ujue

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 หลายเดือนก่อน +2

    2025 aida atasimama hapo kwa ticket ya ccm😂😂anaongea kabisa kama mwana kijani

  • @salmamsuya1043
    @salmamsuya1043 28 วันที่ผ่านมา

    Yuko vizuri

  • @JohnMhogo-hd3fs
    @JohnMhogo-hd3fs หลายเดือนก่อน +2

    Sf umeongea pointi zakutosha

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 หลายเดือนก่อน

    Saf sana mbunge wetu 5 tena mbunge wetu

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 หลายเดือนก่อน +1

    Aida anajua wanachofanya safi Aida

  • @LoningoMollel-y3k
    @LoningoMollel-y3k หลายเดือนก่อน +1

    Hallo mambo vip?

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 19 วันที่ผ่านมา

    Usije kushangaa Mbowe na Lissu watamkasirikia huyo mbunge.

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 หลายเดือนก่อน +1

    Wamekata sauti safi sana Mbunge

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea vema , ila kwenye kupandisha bei ya chakula sio sawa, u ungeshauri pembejeo ziwe bei chini zaidi

  • @rogersiddy
    @rogersiddy หลายเดือนก่อน +2

    Hapo ndo unapokosea sasa unamfosi mtu aseme ccm oyeee ndo Chama chake?acha aseme kile alichonacho moyoni sio kumfosi aseme unachotaka wewe

    • @Noelkitoi
      @Noelkitoi หลายเดือนก่อน

      Uko sawa

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si หลายเดือนก่อน

    Haida upewe hata uenyekiti❤❤

  • @Frolian-j9o
    @Frolian-j9o หลายเดือนก่อน +1

    Kiukwer mweshimiwa mbunge ameongea Kwa ujasir na upendo wa nchi Yake na mama samia kasikia vizur oja zake piga kazi mweshimiwa mbunge wananchi wako wanakutegemea

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 หลายเดือนก่อน +2

    Umerudia neno mheshimiwa rais mno

  • @jochachallengetv7061
    @jochachallengetv7061 หลายเดือนก่อน +1

    Aida kiboko sana

  • @imakitori399
    @imakitori399 27 วันที่ผ่านมา

    Mbona kwa samia hawakat saut

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 หลายเดือนก่อน

    Umeonja tunda tayari kwishinee. Mungu atutetee sie hatuna mtetezi duniani

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b หลายเดือนก่อน +1

    Samia offered the state house to Harmonize and Mwijaku to abuse Diamond Platnumz with Uchawi...Aibu Tanzania😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-oq6dx8mf9x
    @user-oq6dx8mf9x 28 วันที่ผ่านมา

    P1

  • @MazibaOnesimo-my8gu
    @MazibaOnesimo-my8gu หลายเดือนก่อน +1

    mubunge anayejitambua kweli;

  • @LusunguLupenza-lf7fk
    @LusunguLupenza-lf7fk หลายเดือนก่อน +1

    Huu ndio uzalendo

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu anajua anachokifanya asifananishwe na Msigwa. Msifikiri kutukana ndiyo upinzani.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 หลายเดือนก่อน +1

    UKO VIZURI SANA MBUNGE KENANI

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 หลายเดือนก่อน

      Kenani for president 2030.

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh หลายเดือนก่อน

    Unga juhudi na wewe ni walewale kwedaaa

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi หลายเดือนก่อน

    Mama ni mbwa uyo

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango หลายเดือนก่อน

    Mhe: AIDAH Mbunge jimbo la Nkasi mama amekuheshimisha sana kubali kumwaga manyanga Rudi CCM! Kubali yaishe! Mimi Binafsi nakukubali sana na mlinitunza na kunilea na wazazi wako nikiwa naishi kwenye nyumba yenu hapo Namanyere! Ugali wa Ulezi na panyapori msosi saaaafiiii sana!

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 หลายเดือนก่อน

      Akili fupi

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 หลายเดือนก่อน

      kwani akiwa chadema hafanyi kazi?

  • @theonalyalfred8087
    @theonalyalfred8087 หลายเดือนก่อน

    Tunashida miaka mitano

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 หลายเดือนก่อน

    Mambo ya kupotezeana muda tu, hakuna jipya

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba หลายเดือนก่อน

    Mmmh

  • @BeatusNgereza
    @BeatusNgereza หลายเดือนก่อน

    Hao walisha onja tunda

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 หลายเดือนก่อน

    Saiz ziara za nje zimepungua

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 หลายเดือนก่อน

      Watanzania mambumbumbu kama ww wataishia kugeuza maneno hivo hivo tu mpaka wanazeeka.

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho หลายเดือนก่อน

    Mama yetu hongera sana,, nakupenda Kama Rais wangu,,ila angalia sisi walimu tusio na ajira ,,tuko hoi mtaani,,mwaka huu hatuelew unalenga nini had mda huu hakuna lolote

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki หลายเดือนก่อน

    Watanzania mnajiteka wenyew Ili mpew hela na serekali yenu achen ujinga sana

    • @modestapeter2997
      @modestapeter2997 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo wanajiteka navkujipiga risasi?

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe sawa na msigwa tu

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 หลายเดือนก่อน

    Watu wanajuwa kusoma alama za nyakati

  • @Sangaadam
    @Sangaadam หลายเดือนก่อน

    Kwa nn mnakatakata -Shame on u!!

  • @MwitaTv
    @MwitaTv หลายเดือนก่อน

    Mimi natamani hata huyu mwanamke tumfukuze kwenye chama chetu cha Chadema, Mzinguaji tu

    • @emmanuelsulle911
      @emmanuelsulle911 หลายเดือนก่อน

      Unakosea sana Jamani Aida kenani yuko vizuri Mno Mbunge makini wa Chadema.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 หลายเดือนก่อน

      ​@@emmanuelsulle911HAKUNA KABISA kwani unamtofautisha vipi na mwana CCM?

  • @AndrewJulius-hg4bd
    @AndrewJulius-hg4bd หลายเดือนก่อน

    Aida tuko salama kweli na watu wanatekwa

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 หลายเดือนก่อน

    Muda wakutafta kura

  • @SaidHamis-yz1vt
    @SaidHamis-yz1vt หลายเดือนก่อน +2

    Mama Samia waganga WA kienyeja tunaomba wapigwe marufuku ndio chazo Cha mauaji kwanini wapewe leseni?

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 หลายเดือนก่อน +2

    CHUNGA SANA !! HUYO MBUNGE AIDAN KICHWA KIPO SANA SAWA NA MOYO UNAODUNDA USIKU NA MCHANA !!! HATA MIMI NA UZEE WANGU NAMKUBALI KAIVA , KATAKATA ,KABOREKA NA ANASISIMUA !! ATAKUELEWA ,ATAKUELEWESHA NA ANAWEZA KUKUAIBISHA UTAKAPOKAA VISIVYO !

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 หลายเดือนก่อน +3

    Akuna mupizan Tanzania 😂😂😂😂

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 หลายเดือนก่อน

    Uyu hayupo Chadema amekaa bungeni bila mgongo wa Chama chake😅😅

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

      Umefeli

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 หลายเดือนก่อน

      Nini kaongea kibaya hapo? Labda nijifunze toka kwako

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 หลายเดือนก่อน

      Samia yupo CCM kama rais,je uyo ni mbunge kwa Chama kipi?

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x หลายเดือนก่อน +3

    Kazi ya mpinzani nikuikosoa serikali kuonesha nikwann haifai kua madarakani
    Ukiona mpinzani anaisifia serikali huyo siompinzan huyo analake jambo

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 หลายเดือนก่อน

      Jiulize yupo bungeni kwa mgongo wa Chama kipi wakati Chadema hawapo😂😂😂 na je nikweli hawapo wengine

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

      Hata Rish Sunak juzi Tu kamsifia mpinzani wake bungeni, siasa sio vita

    • @evampuya-mp9vf
      @evampuya-mp9vf หลายเดือนก่อน

      Mbunge Aidan nakupongeza saana uko vzr mtetezi wa wanyonge

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @pueblo148
      @pueblo148 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni kilaza.kuna chama na rais hata kama ukiwa chama pinzani unakutana na rais Kuna utaratibu wa kuongea na rais mbele ya hadhara.huwezi mdhalilisha. Ni kosa la kiuongozi.sasa anapomkosoa hadharani mbele yake Inamaanisha unamdharau na kumuaibisha.mambo ya vyama baadae pale alikuwa anaongea na rais wa nchi sio mwenyekiti wa Cha Cha mapinduzi Kwa sababu ziara ni ya rais sio ziara ya ccm.iwapo ingekuwa ziara ya chama wamgeitwa Wana cm tu na uniform Zao wakavaa.umemuona Samia amevaa gwanda?

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 หลายเดือนก่อน

    HAKUNA UPINZANI Hii Nchi, Hakuna HAKUNA HAKUNA, ni kusifia Ujinga Ujinga tu. Aida sio huyo ninayemjua.

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 หลายเดือนก่อน

      Mapunguani tu ndiyo wenye mawazo ya kupinga hata Yale mazuri.

    • @sylvanuskavindi2756
      @sylvanuskavindi2756 19 วันที่ผ่านมา

      Ulitaka atukane matusi ufurahie maana kichwa yako ndo inaamini ndo upinzani

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 หลายเดือนก่อน

    Aibu chandama