HASHIMU RUNGWE 'Mzee wa Ubwabwa' aingilia Uteuzi wa RAIS SAMIA, "hatukulaumu wewe huwajui hao CCM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • HASHIMU RUNGWE 'Mzee wa Ubwabwa' aingilia Uteuzi wa RAIS SAMIA, "hatukulaumu wewe huwajui hao CCM
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

ความคิดเห็น • 16

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo หลายเดือนก่อน +1

    asante sana mzee wetu hashimu bora na wewe umewaona hawa wezi wakitanzania.

  • @gerevasliyunga9831
    @gerevasliyunga9831 หลายเดือนก่อน +1

    Hekima nyingi sana kwa Mzee Rungwe

  • @StephanoMbwambo
    @StephanoMbwambo หลายเดือนก่อน

    na wanafanya hivyo ili kutukomoa sisi wananchi wa hali za chini. lakini mungu atawaona na kuwatembelea wakati wowote wasioujua wao. waendelee tu kutukomoa sisi wananchi kiasi hicho.

  • @issamangapi5486
    @issamangapi5486 หลายเดือนก่อน

    Akili kubwa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa Sababu alifanya uchawa. Ukifanya uchawa tu umeisha pata kuteuliwa tayari. Na hizo pesa wanakopa wakikopa wanakuja kugawana ili waweze kuteuluwa na wakubwa wanahonga ili wawezeshe kupata kuiba kura mwaka kesho.

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai หลายเดือนก่อน

    Iko wazi baba

  • @hemedmselem4889
    @hemedmselem4889 หลายเดือนก่อน +2

    Sijamuelewa kabisa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +2

    Watawala wa CCM ni laana tu siku moja watakuja kujuta kweli. CCM siyo kuwa wamechoka bali wanajuwa wanatawala wajinga. Kwahiyo wanatufanyia sisi wajinga. Na vijana qetu wamekubalikywa wachawa wa CCM na CCM watawakomesha kama hawajifahamu unadhani nani atawahurumia wakati huyo anayekuhumiza unamusifia?

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri หลายเดือนก่อน +1

    Wananchi wanabanwa na kodi kwa sababu mipango inayotumia bajeti siyo shirikishi na haiibuliwi na wafaidika wa mipango hiyo.Mipango inaibuliwa na serkali na bajeti ni ya serkali.Wananchi bajeti yao na mipango yao inatofautiana na ya serkali.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndiyo kauli mbiu aliyo aliyesema Mama kila mtu ale urefu wa kamba yake na kuwajaza watu mapesa mifukoni Mungu atatoa jibu tu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +1

    Mama yao amewambia wale kwa urefu wa kamba yao. Na sijui kwa ninyi waacha kugoma kabla hata hawajapunguza. Sasa hivi hali ni mbaya zaidi kuliko Ukoloni

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 หลายเดือนก่อน

      Hebu niambie ukoloni maisha yalikuwa tight sana!!!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa Ubwabwa kazi unayo

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti หลายเดือนก่อน

    😆😆ki ukweli huyu mzee napendaga sana kusikiliza interview zake, eti wewe vipiii..😅

  • @knight6757
    @knight6757 หลายเดือนก่อน +1

    " KILA MTU ALE NA UREFU WA KAMBA YAKE "