UBAYA UBWELA! KIGOGO 2014 AFICHUA MAZITO YA NAPE ALIMDHARAU RAIS HII NDIO SABABU NI ZAIDI YA NDUGAI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • UBAYA UBWELA! KIGOGO 2014 AFICHUA MAZITO YA NAPE ALIMDHARAU RAIS HII NDIO SABABU NI ZAIDI YA NDUGAI
    #napennauye #ndugai #raissamia #uteuzi

ความคิดเห็น • 209

  • @drbalagomwatvonline4937
    @drbalagomwatvonline4937 2 หลายเดือนก่อน +9

    Mama yetu mrejeshe Jerry Slaa kwenye wizara ya ardhi huko Kuna ufisadi na unyanyasaji wa watu wa hali ya chini, watu wamezulumiwa ardhi sana ila Jerry Slaa ameweza kutatua na kutetea watu waliokuwa wamezulumiwa ardhi zao.

    • @mutabebwa-bm6pm
      @mutabebwa-bm6pm 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli amefanya kaz nzuri mno i ambayo haikuwahi kufanywa na waziri yeyote aliyepewa nafasi hiyo.

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wakati wa Mungu ni wakati sahihi👍🏼🙏hizi ndizo mbinu zinazotumika kuanzia 1995 mpaka leo hii,na Mungu alimchagua Nape ili aweze fikisha ujumbe kwa watanzania kwa ujumla wetu,Mungu ni jibu👍🏼👏🙏

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 2 หลายเดือนก่อน +19

    Hayo maneno siyo ya uongo. ni kweli ila sema amewasema shetani wenzake

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 หลายเดือนก่อน +26

    Hayo maneno ya Nape alikuwa anasema ukweli lakini unaona amesema vibaya kwani huwa hawaibi? Leo tunaambiwa na ukweli kuwa CCM huwa wanaiba mnamkemea nini? Jamani CCM waache kuiba kabisa hakuropoka bali alisema ukweli. Kusem ukweli ni kosa? Ila ninyi mnata asiseme?

    • @sabrinaali9750
      @sabrinaali9750 2 หลายเดือนก่อน

      Hajatumbuliwa kawekwa kwenye masuala ya uchaguzi bila Nape uchaguzi ni mgumu inabidi aachishwe kazi zote ashuhulike na uchaguzi tu.

  • @mohamedkazema6381
    @mohamedkazema6381 2 หลายเดือนก่อน +16

    Problem is to speak the truth publicly, not all the truth should be spoken in that way.---- that's the payment of the cost. 😅

    • @knight6757
      @knight6757 2 หลายเดือนก่อน +1

      🤔🍺

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 2 หลายเดือนก่อน +5

      Always CCM doesn't need the truth to be spoken publicly 😢

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli alikuwa amelewa

    • @Lubango-gj3ud
      @Lubango-gj3ud 2 หลายเดือนก่อน

      Ndugai said the truth ,
      Luhaga mpina said the truth ,
      Also Nape said the truth too. Wakapoteza nafasi zao.that is Ccm​@rizikiminga3010

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@adelinelyaruu3036hakuwa amelewa ila laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna, wanapokabidhiwa madaraka wanatoa viapo kwa kutumia vitabu vya Dini alafu baada ya hapo wanaanza dhuluma kwa Watanzania. Bado wakina Msukuma walioenda Dubai kuuza bandari zetu.

  • @SeifYusuf-jf7bn
    @SeifYusuf-jf7bn 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ukishiba Sana Mwishowe Utavimbiwa Tu..

  • @ndugaijacob359
    @ndugaijacob359 2 หลายเดือนก่อน +26

    Pia mheshimiwa huyu alikuwa anatukana lakini SIRIKALI ilimfumbia macho,tunashukuri Dr Rais Samia S Hassan ameliona hili. VIONGOZI tupewapo uongozi tujiheshimu .TUJISAHIHISHE

    • @YussufPandu-es7ou
      @YussufPandu-es7ou 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani nape AMESEMA uongo? Jibu amesema kweli,,kwani Uchaguzi 2020 yalitokezea nini? Si ndo hayo ALOSEMA nape? Kwa hiyo nape nI WAKUPONGEZWA Asante nape,,,ccm kama kawaida wembe ni ule ule ushindi,,,CCM HAWAAMINIKI KWENYE SANDUKU LA KURA

    • @sabrinaali9750
      @sabrinaali9750 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@YussufPandu-es7ou hajatumbuliwa kapelekwa kwenye masuala ya uchaguzi na kaahiduwa donge nono wakishinda

    • @FungamezaShabani
      @FungamezaShabani 2 หลายเดือนก่อน

      Ukioga sana hatima yake utaichubua ngozi yako

  • @NassoroKulondwa
    @NassoroKulondwa 2 หลายเดือนก่อน +3

    Napenda tutoe maoni ya kujenga nchi siyo uchama hakuna mtu aliye juu ya sheria nampongeza rais kwa alichokifanya

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 2 หลายเดือนก่อน +4

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @HanchoJunior
    @HanchoJunior 2 หลายเดือนก่อน +17

    Laan inawaandama na bado tutajua meng

  • @AlhadjtwahaMbululo
    @AlhadjtwahaMbululo 2 หลายเดือนก่อน +12

    JPM alishawaona mapema, Kisha akawapiga chini, Rais hakuwa na sababu ya kuwarudisha Tena Hawa watuhumiwa, sababu nchi hii Ina vijana wengi wasomi,

  • @MatildaFrank-bp5oq
    @MatildaFrank-bp5oq 2 หลายเดือนก่อน +2

    Saa umefika yaliyo sirini yoote ,Mungu mwenyewe atayaweka wazi Kwa maana haki uinua taifa.

  • @ToivoJase
    @ToivoJase 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bado na huyu mtu mfupi wa hapa dar,CHALAMILA

  • @AAbubakariSharif
    @AAbubakariSharif 2 หลายเดือนก่อน +7

    Awa wezi tu wanamaliza Kodi za watanzania na wanawadharau

  • @fannyboy_tz2062
    @fannyboy_tz2062 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania kuandamana kwa comment tu live aaaah😂😂

  • @RIZIKIPEJILA
    @RIZIKIPEJILA 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila nape anasema ukweli tupu hayo ndio yanayotumika siku zote

  • @vallemaparadise7620
    @vallemaparadise7620 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema ,Raisi wetu mpendwa asante Kwa kuleta Amani ya kweli Tz naamini uchaguzi ujao 2025 utakuwa wa uwazi na wa haki, Mungu akutie nguvu na ujasiri mama ameni

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 2 หลายเดือนก่อน +8

    Kilichomponza ni kusema ukweli ccm ni kweli wanaiba kura wanajua kabisa bila kuiba hawawezi kushinda wanajua hawakubariki na watz vijana waliyo wengi hawaikubali ccm Mungu ameamua kuwafichua mbinu ovu wamayowafanyia watz

  • @JoelNgwengweta-m6k
    @JoelNgwengweta-m6k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tunapongeza kazi zako kwa ufafanuzi uliochambuliwa vema. Endelea

  • @SubyMwaisumo
    @SubyMwaisumo 2 หลายเดือนก่อน +7

    God is in control

  • @KomboHussein-r3q
    @KomboHussein-r3q 2 หลายเดือนก่อน

    Mama hanajitahidi sana sana tatizo wasariti wanamuangusha

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndugai aliongea ukweli...na Nape pia kaongea ukweli!
    Nchi hiii msema kweli huwa "haishi"

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nchi hii ukiwa mkweli unaonekana umekiuka maadili na itikadi ya chama na hiyo ndo siri za kiwizi ndani ya ccm

  • @Wambula..deogratias
    @Wambula..deogratias 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hawa mmewarea sana ivo taifa lime frai sana

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 2 หลายเดือนก่อน +4

    Na bado damu ya muzee itawaandama

  • @AzizaMengwa-wg5ik
    @AzizaMengwa-wg5ik 2 หลายเดือนก่อน

    Pole yake

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi naona tusubili tarehe 8,, 8,, 24 pale kwa mkapa stadium au yanga bingwa

  • @ayoubsanga315
    @ayoubsanga315 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nape Hana kosa kwa sababu aliingea ukweli , walioichukia kauli ya Nape ndo hatary zaidi

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 2 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu Nape ndiyo mwasisi wa goli la mkono. Kwahiyo sikumshangaa kumsikia akiendelea kubuni mbinu zinazofanana na hiyo ya wizi wa kura. Sasa kama hayo yanafanyika si ni siri ya wanaofanya? Kulikuwa na sababu gani kutangazia umma wa wananchi jinsi kura zinavyoibiwa. Hii ni kukidhalilisha Chama chake na kumdhalikisha Raisi. Raisi amefanya jambo jema sana kumtumbua. Sisi Wananchi tunampongeza.

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hata akitumbuliwa lakini amesema ukweli wote!! Kwakuwa wanatumia vitabu vya Dini wanapoapishwa laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna na wataropoka sana.

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huo ni mwendelezo wa haramu kwenye chaguzi za nchi yetu. Siyo kosa lake ni mbinu zao. Ni kama ametoa Siri ya ushindi

  • @haroldgabriel8767
    @haroldgabriel8767 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna halali, nusu halali na haramu. CCM oyeee. Ila, ipo siku

  • @abdulsalaamkahttan1037
    @abdulsalaamkahttan1037 2 หลายเดือนก่อน +7

    Nape hua anasemaga kweli, nakumbuka kipindi cha Lisu kupigwa risasa, aliwahi kusema, hatayeye aliwahi kufuatiliwa, na hilohilo gari. kwa hiyo! sisi watanzania, tuchukue hili, kwamba, serikali hii,haitaki mtu atakae sema ukweli?

    • @RobertMushi-yh7re
      @RobertMushi-yh7re 2 หลายเดือนก่อน

      Mmesahau wakati wa Magu alisema alilala msituni akichakachua kura?😮 Kauli ya kuwa yeye ni mmakonde hamuogopi mtu yeyote nn mana yake?

    • @JosephKangungu
      @JosephKangungu 2 หลายเดือนก่อน

      Mhhhhh kwa kipi?sijaona jipya kwa lisu Wala nape,January wote ni hasara tupu.

    • @SalumManondo
      @SalumManondo 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@RobertMushi-yh7reand nape.alijitowaga.sadaka.anasemaga.kweli.na.ccm.haitaki.msema.kweli

  • @RIZIKIPEJILA
    @RIZIKIPEJILA 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa maneno hayo hakuna umuhimu wananchii kupiga kula

  • @IbraMyota
    @IbraMyota 2 หลายเดือนก่อน +2

    Samola Michael once said "mkiona Wareno wananisifia mjue nimewasaliti". We need another GADDAFI

  • @leonardfungo
    @leonardfungo 2 หลายเดือนก่อน

    Mama Amuondoe pia mwigulu ambaye alisema wananchi ambao hawatakubaliana na tozo katika mitandao ya simu wakaishi Burundi hiyo lugha haikuwa nzuri kwa wananchi nae aondolewe.

  • @SayoreSautie
    @SayoreSautie 2 หลายเดือนก่อน

    Vizuri San kwa kutumbuliwa .

  • @mohamedmasoud8956
    @mohamedmasoud8956 2 หลายเดือนก่อน +4

    Anapelekwa kwenye fani yake ya kuiba kura tayari uchaguzi subirini tuone

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu anawaumbua wanajiroposha wenyewe ha ha ha haaaa🙆🙆🙆🙆

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 22 วันที่ผ่านมา

    HUYU NI KIGOGO FAKE

  • @rajakakamaginga3848
    @rajakakamaginga3848 2 หลายเดือนก่อน

    Ukweli unauma😂

  • @MTAVASSYTv
    @MTAVASSYTv 2 หลายเดือนก่อน

    Yani watu wanamsubiri huyo Nape tu, mzinguaji ametukana watu sana anasema watu wahame nchi???? Eti kwa kuongelea tu jambo ambalo wanayo haki ya kuongelea (Tozo) sisi hii nchi ni yetu tunamsubiri 2025 Domo lake linaongea tu

  • @FilbertRobert
    @FilbertRobert 2 หลายเดือนก่อน

    Uko sahihi kuwatoa hawa mama

  • @amuckytz
    @amuckytz 2 หลายเดือนก่อน +2

    KWELI NDIO WANAVYOFANYA NANI AJUI KAMA WANAIBA KURA

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kigogo si amekamatwa yuko
    Mahabusu huko tanga? Sasa anawezaje kutoa habari mitandaoni? Au mmemkamata mtu aside na hata?

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 2 หลายเดือนก่อน

      Hahaahhaa kigogo hajulikani bd

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 2 หลายเดือนก่อน +4

    Majivuno ni shina la dhambi kiongozi

  • @goodluckmogela6291
    @goodluckmogela6291 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungo tusaidie
    Yaliyowapata kenya
    Yasitupate
    🙏

  • @MohamediIdi
    @MohamediIdi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ni wazi kabisa nape nijeuri sanaaaaàà. Aliwahi kunukuliwa akijigamba yeye ndio walipigania uhuru wa nchi hii Kwa kulala porini. Hawa ndo wanachafua ccm.

  • @BenithoMkissy
    @BenithoMkissy 2 หลายเดือนก่อน

    Brother nape hayuko sawa kabisa na mh. Katimiza majukumu yake vyema na imempasa mtu huyu kutendewa hivyo kwani haheshim mamlaka zake za juu

  • @africamoja2924
    @africamoja2924 2 หลายเดือนก่อน +2

    Umeanza kuelezea vizur lkn Hapo kwa Ndugai umechemka, ndugai hakudhihaki juhudi ama mamlaka bro, alichofanya ni kutumia uhuru wake wa kikatiba yaan FREEDOM of speech hivyo acha kupotosha jamii na hakuna mfanano wa alichokiongea Ndugai na Nape.
    Ndugai alizungumzia mstakabali wa taifa kwa ujumla wakt Nape kazungumzia suala la kichama... Get it brow!!!!

    • @DianaElias-d1v
      @DianaElias-d1v 2 หลายเดือนก่อน

      Hata mm nimejiuliza sana,kwann wanafananisha na alichokisema ndugai??

    • @MageAwe-hl5zb
      @MageAwe-hl5zb 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli mungu aitwe Mungu cheo ni koti lakuazima

  • @RaymondZindah-ow7wr
    @RaymondZindah-ow7wr 2 หลายเดือนก่อน

    Nape yupo sawa kwa alicho kifanya, ccm wakati wao umefika.

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo 2 หลายเดือนก่อน

    Yanajifanyia ya hovyo kama nchi ya niaje sasa malipo ni hapahapa

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 2 หลายเดือนก่อน

    Maneno yanaumba😮

  • @FungamezaShabani
    @FungamezaShabani 2 หลายเดือนก่อน

    Nape ni mnafiki Sasa anatembelea kwenye ubaya wake na malipo ndo hayo

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mama kafanya vizuri sana, tumefeli kidogo kumtoa Jerry Siraha upande wa ardhi, mapapa wamefurahi sana na watatunyanyasa sana.

  • @MichaelMagige
    @MichaelMagige 2 หลายเดือนก่อน

    Bado Mwigulu!

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bado mwigulu na wengine Mungu atusaidie mama

  • @alexmachare6495
    @alexmachare6495 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli HUYU nape ni bure kabisa.

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ametulipia watu hawa walimdhihaki sana Jembe letu .Mungu ametulipia Ongera sana Rais weu kipenzi umetufuta machozi mazuri hayataki HARAKAAaaa

  • @EdwardMashauri-q1q
    @EdwardMashauri-q1q 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hili kweli bumunda

  • @OraionSabibi
    @OraionSabibi 2 หลายเดือนก่อน

    Msaema kweli mpenzi wa mungu kwa Nini atumbuliwe?

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 2 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉kwa mama

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndiyo wanatuzarau wananchi wa nchi hii, mwigulu nchemba,bashe makamba,mbawala,na nape, ndiyo wanaleta ufisadi wa nchi hii

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna Cha myunani Wala myahudi mbele ya SSh Rais fyeka hayo micho Ngoma yatakuzuia usifikie maono yako watanzania tuko nyuma yako

  • @abelnyoni5808
    @abelnyoni5808 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo ndizo tabia za chaguzi zetu. Alichokifanya Nape na kuonekana amekosea ni kutoa siri za wizi wa kura. Amekosea kutoa siri za uchawi. Aliyosema ni kweli tupu na watanzania tunaufahamu utamaduni huo katika chaguzi zetu.

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 2 หลายเดือนก่อน

      Hakuna mamlaka iliyowahi kudumu Duniani. Na hata hii tuliyonayo ipo siku tu kitaeleweka.

  • @YaeliJoseph
    @YaeliJoseph 2 หลายเดือนก่อน

    Safiiii Sana Mama... Kaxi nzuri sanaa

  • @augustinemainde
    @augustinemainde 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ubaya ubwela!😢😢😢😢

  • @Henrysemgutu
    @Henrysemgutu 2 หลายเดือนก่อน

    Mapendo mama ana maana kubwa Mana anataka tusome kama libia wape veeeeo

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 2 หลายเดือนก่อน

    Kawaida yao kuiba kwaiyo tusha wazoya. Bali wajue mungu yupo na nasi

  • @yussufrajab9346
    @yussufrajab9346 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mm maono yng hawa mabwana wadogo wawili, wanaulevi tu wamadaraka!!!
    Haina haja ya kuongea sana, kisaikolojia ni ulevi wa madaraka na tamaa..

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli Kuna waziri naona ni kosa kubwà silaa alivyofanya kazi kwa maarifa bidii tuljua Sasa tumepata mtu muhimu sijui amehamishwa kwa Nini inauma sana

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 2 หลายเดือนก่อน

      Yuko bize na nchi jimboni kwake Aaaaah....!

  • @JaphetMulungu
    @JaphetMulungu 2 หลายเดือนก่อน

    Big up nape kwani uliamua kuwa mkeri japo bado ww huko huko kwenye uchafu na ww ni mchafu 2

  • @mwitanyantora4542
    @mwitanyantora4542 2 หลายเดือนก่อน

    Mama hogera kwa hatua hiyo lakini bado wapi wengine

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 2 หลายเดือนก่อน

    Kosa la lake ni kusema ukweli.

  • @jamalMuhammed-w1v
    @jamalMuhammed-w1v 2 หลายเดือนก่อน

    Nape hana adabu na muhuni yy na wenzake bado wapo hawajajitokeza

  • @Masoya-r8h
    @Masoya-r8h 2 หลายเดือนก่อน

    CCM huwa hawashindi

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 2 หลายเดือนก่อน

    Mara nyingi mwanadamu akiwa amezaliwa amekuta raha, akulia kwenye raha, kasoma akiwa kwenye raha, yani anaogelea tu kwenye raha hajakutana na ugumu wa aina yoyote katika maisha, mtu wa namna hiyo akipata madaraka ni vigumu sana kuvaa uhalisia wa watu anaowaongoza, analewa bila kunywa kilevi chochote.

  • @SelemaniIkombe-y8q
    @SelemaniIkombe-y8q 2 หลายเดือนก่อน +2

    Machozi ya marehemu Bado hayajakauka

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa, walimnenea marehemu mambo mengi sana ya ovyo juu yake wakijua kabisa hawezi kujitetea. Wengine wakasema eti "wazuri hawafi"🤔. Leo kiko wapi sasa - malipo ni hapa hapa duniani.

    • @bolelambunda6554
      @bolelambunda6554 2 หลายเดือนก่อน

      MAGU RIP wao Kwa wao kinawaramba na Bado Rolinga utabiri unaanza kutimia

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda je mama mungu Yuko pamoja

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo ni geresha toto Nape na makamba watapewa kazi ya kuiba kura ina maana Samia haujui kuwa ukwel ccm wanaibaga kura

  • @MoshiBuhoyelo
    @MoshiBuhoyelo 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani laisi anaubaya Gani minaona yupo sawa Ili apange safu yake harafu Hawa wabovu mama enderea kuwapangua

  • @wilbroadjovin5631
    @wilbroadjovin5631 2 หลายเดือนก่อน

    Ndugu ni kutoa kuweka na kupangiwa upya
    Hawawezi kutupwa kama marofa

  • @IddyDaruweshi-jv1fu
    @IddyDaruweshi-jv1fu 2 หลายเดือนก่อน

    SASA ALIPOSEMA HIVYO ALIKUSUDIA AU LILIMTOKA DAAA MITIHANI MENGINE YA AJABU SANA

  • @levissamweli9005
    @levissamweli9005 2 หลายเดือนก่อน

    Ni sahihi kutumbuliwa kwa jamaa iwapo kuna nia ya kweli ktk kuiponya demokrasia, bila kutengeneza jinsi ya kupoza kelele kwa muda fulan i tu!!!

  • @SamwelMdamanyi
    @SamwelMdamanyi 2 หลายเดือนก่อน

    Walipokua kwenye nyadhifa hawakujua kama wanaweza kutenguliwa iweni wapole mkiwa madarakani

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora 2 หลายเดือนก่อน

    Makufuri, alikuwa anaona mbali sana

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 2 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo ww kigogo unatakaje...tuamini 4r na tusiamini alichokisema Nape?? Ameamua kuweka wazi yanayojulikana kwahiyo usitudanganye na 4r..hii ina maana hata ccm ikishinda kiti chochote tunaamini ni kwa michezo kama hiyo..usisahau na kauli ya goli la mkono kwahiyo ameendelea kukoleza moto.

  • @daltonmunguatosha1197
    @daltonmunguatosha1197 2 หลายเดือนก่อน

    Afukuzwe ubunge alime korosho ajue mtiti wake

  • @RichardAmosi-hz3nm
    @RichardAmosi-hz3nm 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo ya nape bangi zimemzid

  • @edwardwatson7552
    @edwardwatson7552 2 หลายเดือนก่อน

    Hawajaanza Leo kuiba kula mbona ukiongea ukweli selekali inakualest

  • @robertandrew6062
    @robertandrew6062 2 หลายเดือนก่อน

    Waliotamka mambo mengi ya hovyo ni wengi na wakawaudhi wa Tanzania kwa kiasi kikubwa sana mbona hawakufukuzwa wala hawakuchukuliwa hatua za kinidhamu

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 หลายเดือนก่อน

    Wakiteuliwa tutajuwa Tanzania ni ya watu binafsi na siyo ya watanzania wote. Hawa Magufuli aliwatema, mama alipoingia akarudisha mafisadi wote. Wengi walijitajirisha kutumia Mali za chama. Na wakiiba hawakamatwi. Hawa wako juu yasheria

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 2 หลายเดือนก่อน

    Nape yupo sawa anajuwa anacho sema

  • @GeofreySenka
    @GeofreySenka 2 หลายเดือนก่อน

    Magufuri hizi nyoka alisha ziona muda mrefu zina majigambo viburi kujisikia

  • @PAMBEMASAKA-vv2tp
    @PAMBEMASAKA-vv2tp 2 หลายเดือนก่อน

    Kigogo

  • @IdrissaAmir
    @IdrissaAmir 2 หลายเดือนก่อน +1

    Seasa za tanzania ubabaishaji tu kiongozi anafanya madudu bado anapewa cheo 10:42 10:42

  • @MukamaMagafu
    @MukamaMagafu 2 หลายเดือนก่อน

    Ni nani kwente hicho chama ni mtalatifu nachapokei rushwa? Ni nani?

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mama hongera kwa kuondoa mikeka yote ulianikia maono yako kwa ajili ya watanzania hayo mikeka yanvuja Bora tamdika maturbai yatakusaida

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 2 หลายเดือนก่อน

    Hawafai 😢waende zao

  • @SideAlly
    @SideAlly 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania ni yetu wote akini msingi wetu

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 2 หลายเดือนก่อน +2

    Naje 2025 itakuaje wizi wa kura tuachane nao jamani .tupige kura halali tutakuwa na maendeleo .ccm tusiwe waoga tupige kura halali tutakachopata ndio chetu.Nahakika tutashinda bils wizi