Mama yetu mrejeshe Jerry Slaa kwenye wizara ya ardhi huko Kuna ufisadi na unyanyasaji wa watu wa hali ya chini, watu wamezulumiwa ardhi sana ila Jerry Slaa ameweza kutatua na kutetea watu waliokuwa wamezulumiwa ardhi zao.
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi👍🏼🙏hizi ndizo mbinu zinazotumika kuanzia 1995 mpaka leo hii,na Mungu alimchagua Nape ili aweze fikisha ujumbe kwa watanzania kwa ujumla wetu,Mungu ni jibu👍🏼👏🙏
Hayo maneno ya Nape alikuwa anasema ukweli lakini unaona amesema vibaya kwani huwa hawaibi? Leo tunaambiwa na ukweli kuwa CCM huwa wanaiba mnamkemea nini? Jamani CCM waache kuiba kabisa hakuropoka bali alisema ukweli. Kusem ukweli ni kosa? Ila ninyi mnata asiseme?
@@adelinelyaruu3036hakuwa amelewa ila laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna, wanapokabidhiwa madaraka wanatoa viapo kwa kutumia vitabu vya Dini alafu baada ya hapo wanaanza dhuluma kwa Watanzania. Bado wakina Msukuma walioenda Dubai kuuza bandari zetu.
Pia mheshimiwa huyu alikuwa anatukana lakini SIRIKALI ilimfumbia macho,tunashukuri Dr Rais Samia S Hassan ameliona hili. VIONGOZI tupewapo uongozi tujiheshimu .TUJISAHIHISHE
Kwani nape AMESEMA uongo? Jibu amesema kweli,,kwani Uchaguzi 2020 yalitokezea nini? Si ndo hayo ALOSEMA nape? Kwa hiyo nape nI WAKUPONGEZWA Asante nape,,,ccm kama kawaida wembe ni ule ule ushindi,,,CCM HAWAAMINIKI KWENYE SANDUKU LA KURA
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mungu ni mwema ,Raisi wetu mpendwa asante Kwa kuleta Amani ya kweli Tz naamini uchaguzi ujao 2025 utakuwa wa uwazi na wa haki, Mungu akutie nguvu na ujasiri mama ameni
Kilichomponza ni kusema ukweli ccm ni kweli wanaiba kura wanajua kabisa bila kuiba hawawezi kushinda wanajua hawakubariki na watz vijana waliyo wengi hawaikubali ccm Mungu ameamua kuwafichua mbinu ovu wamayowafanyia watz
Huyu Nape ndiyo mwasisi wa goli la mkono. Kwahiyo sikumshangaa kumsikia akiendelea kubuni mbinu zinazofanana na hiyo ya wizi wa kura. Sasa kama hayo yanafanyika si ni siri ya wanaofanya? Kulikuwa na sababu gani kutangazia umma wa wananchi jinsi kura zinavyoibiwa. Hii ni kukidhalilisha Chama chake na kumdhalikisha Raisi. Raisi amefanya jambo jema sana kumtumbua. Sisi Wananchi tunampongeza.
Hata akitumbuliwa lakini amesema ukweli wote!! Kwakuwa wanatumia vitabu vya Dini wanapoapishwa laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna na wataropoka sana.
Nape hua anasemaga kweli, nakumbuka kipindi cha Lisu kupigwa risasa, aliwahi kusema, hatayeye aliwahi kufuatiliwa, na hilohilo gari. kwa hiyo! sisi watanzania, tuchukue hili, kwamba, serikali hii,haitaki mtu atakae sema ukweli?
Mama Amuondoe pia mwigulu ambaye alisema wananchi ambao hawatakubaliana na tozo katika mitandao ya simu wakaishi Burundi hiyo lugha haikuwa nzuri kwa wananchi nae aondolewe.
Yani watu wanamsubiri huyo Nape tu, mzinguaji ametukana watu sana anasema watu wahame nchi???? Eti kwa kuongelea tu jambo ambalo wanayo haki ya kuongelea (Tozo) sisi hii nchi ni yetu tunamsubiri 2025 Domo lake linaongea tu
Ni wazi kabisa nape nijeuri sanaaaaàà. Aliwahi kunukuliwa akijigamba yeye ndio walipigania uhuru wa nchi hii Kwa kulala porini. Hawa ndo wanachafua ccm.
Umeanza kuelezea vizur lkn Hapo kwa Ndugai umechemka, ndugai hakudhihaki juhudi ama mamlaka bro, alichofanya ni kutumia uhuru wake wa kikatiba yaan FREEDOM of speech hivyo acha kupotosha jamii na hakuna mfanano wa alichokiongea Ndugai na Nape. Ndugai alizungumzia mstakabali wa taifa kwa ujumla wakt Nape kazungumzia suala la kichama... Get it brow!!!!
Hizo ndizo tabia za chaguzi zetu. Alichokifanya Nape na kuonekana amekosea ni kutoa siri za wizi wa kura. Amekosea kutoa siri za uchawi. Aliyosema ni kweli tupu na watanzania tunaufahamu utamaduni huo katika chaguzi zetu.
Kwa kweli Kuna waziri naona ni kosa kubwà silaa alivyofanya kazi kwa maarifa bidii tuljua Sasa tumepata mtu muhimu sijui amehamishwa kwa Nini inauma sana
Mara nyingi mwanadamu akiwa amezaliwa amekuta raha, akulia kwenye raha, kasoma akiwa kwenye raha, yani anaogelea tu kwenye raha hajakutana na ugumu wa aina yoyote katika maisha, mtu wa namna hiyo akipata madaraka ni vigumu sana kuvaa uhalisia wa watu anaowaongoza, analewa bila kunywa kilevi chochote.
Kweli kabisa, walimnenea marehemu mambo mengi sana ya ovyo juu yake wakijua kabisa hawezi kujitetea. Wengine wakasema eti "wazuri hawafi"🤔. Leo kiko wapi sasa - malipo ni hapa hapa duniani.
Kwahiyo ww kigogo unatakaje...tuamini 4r na tusiamini alichokisema Nape?? Ameamua kuweka wazi yanayojulikana kwahiyo usitudanganye na 4r..hii ina maana hata ccm ikishinda kiti chochote tunaamini ni kwa michezo kama hiyo..usisahau na kauli ya goli la mkono kwahiyo ameendelea kukoleza moto.
Wakiteuliwa tutajuwa Tanzania ni ya watu binafsi na siyo ya watanzania wote. Hawa Magufuli aliwatema, mama alipoingia akarudisha mafisadi wote. Wengi walijitajirisha kutumia Mali za chama. Na wakiiba hawakamatwi. Hawa wako juu yasheria
Naje 2025 itakuaje wizi wa kura tuachane nao jamani .tupige kura halali tutakuwa na maendeleo .ccm tusiwe waoga tupige kura halali tutakachopata ndio chetu.Nahakika tutashinda bils wizi
Mama yetu mrejeshe Jerry Slaa kwenye wizara ya ardhi huko Kuna ufisadi na unyanyasaji wa watu wa hali ya chini, watu wamezulumiwa ardhi sana ila Jerry Slaa ameweza kutatua na kutetea watu waliokuwa wamezulumiwa ardhi zao.
Ni kweli amefanya kaz nzuri mno i ambayo haikuwahi kufanywa na waziri yeyote aliyepewa nafasi hiyo.
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi👍🏼🙏hizi ndizo mbinu zinazotumika kuanzia 1995 mpaka leo hii,na Mungu alimchagua Nape ili aweze fikisha ujumbe kwa watanzania kwa ujumla wetu,Mungu ni jibu👍🏼👏🙏
Hayo maneno siyo ya uongo. ni kweli ila sema amewasema shetani wenzake
Hayo maneno ya Nape alikuwa anasema ukweli lakini unaona amesema vibaya kwani huwa hawaibi? Leo tunaambiwa na ukweli kuwa CCM huwa wanaiba mnamkemea nini? Jamani CCM waache kuiba kabisa hakuropoka bali alisema ukweli. Kusem ukweli ni kosa? Ila ninyi mnata asiseme?
Hajatumbuliwa kawekwa kwenye masuala ya uchaguzi bila Nape uchaguzi ni mgumu inabidi aachishwe kazi zote ashuhulike na uchaguzi tu.
Problem is to speak the truth publicly, not all the truth should be spoken in that way.---- that's the payment of the cost. 😅
🤔🍺
Always CCM doesn't need the truth to be spoken publicly 😢
Kweli alikuwa amelewa
Ndugai said the truth ,
Luhaga mpina said the truth ,
Also Nape said the truth too. Wakapoteza nafasi zao.that is Ccm@rizikiminga3010
@@adelinelyaruu3036hakuwa amelewa ila laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna, wanapokabidhiwa madaraka wanatoa viapo kwa kutumia vitabu vya Dini alafu baada ya hapo wanaanza dhuluma kwa Watanzania. Bado wakina Msukuma walioenda Dubai kuuza bandari zetu.
Ukishiba Sana Mwishowe Utavimbiwa Tu..
Pia mheshimiwa huyu alikuwa anatukana lakini SIRIKALI ilimfumbia macho,tunashukuri Dr Rais Samia S Hassan ameliona hili. VIONGOZI tupewapo uongozi tujiheshimu .TUJISAHIHISHE
Kwani nape AMESEMA uongo? Jibu amesema kweli,,kwani Uchaguzi 2020 yalitokezea nini? Si ndo hayo ALOSEMA nape? Kwa hiyo nape nI WAKUPONGEZWA Asante nape,,,ccm kama kawaida wembe ni ule ule ushindi,,,CCM HAWAAMINIKI KWENYE SANDUKU LA KURA
@@YussufPandu-es7ou hajatumbuliwa kapelekwa kwenye masuala ya uchaguzi na kaahiduwa donge nono wakishinda
Ukioga sana hatima yake utaichubua ngozi yako
Napenda tutoe maoni ya kujenga nchi siyo uchama hakuna mtu aliye juu ya sheria nampongeza rais kwa alichokifanya
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Laan inawaandama na bado tutajua meng
JPM alishawaona mapema, Kisha akawapiga chini, Rais hakuwa na sababu ya kuwarudisha Tena Hawa watuhumiwa, sababu nchi hii Ina vijana wengi wasomi,
Saa umefika yaliyo sirini yoote ,Mungu mwenyewe atayaweka wazi Kwa maana haki uinua taifa.
Bado na huyu mtu mfupi wa hapa dar,CHALAMILA
Awa wezi tu wanamaliza Kodi za watanzania na wanawadharau
Watanzania kuandamana kwa comment tu live aaaah😂😂
Ila nape anasema ukweli tupu hayo ndio yanayotumika siku zote
Mungu ni mwema ,Raisi wetu mpendwa asante Kwa kuleta Amani ya kweli Tz naamini uchaguzi ujao 2025 utakuwa wa uwazi na wa haki, Mungu akutie nguvu na ujasiri mama ameni
Kilichomponza ni kusema ukweli ccm ni kweli wanaiba kura wanajua kabisa bila kuiba hawawezi kushinda wanajua hawakubariki na watz vijana waliyo wengi hawaikubali ccm Mungu ameamua kuwafichua mbinu ovu wamayowafanyia watz
Tunapongeza kazi zako kwa ufafanuzi uliochambuliwa vema. Endelea
God is in control
Mama hanajitahidi sana sana tatizo wasariti wanamuangusha
Ndugai aliongea ukweli...na Nape pia kaongea ukweli!
Nchi hiii msema kweli huwa "haishi"
Nchi hii ukiwa mkweli unaonekana umekiuka maadili na itikadi ya chama na hiyo ndo siri za kiwizi ndani ya ccm
Hawa mmewarea sana ivo taifa lime frai sana
Na bado damu ya muzee itawaandama
Pole yake
Mimi naona tusubili tarehe 8,, 8,, 24 pale kwa mkapa stadium au yanga bingwa
Uranipgia
Nape Hana kosa kwa sababu aliingea ukweli , walioichukia kauli ya Nape ndo hatary zaidi
Huyu Nape ndiyo mwasisi wa goli la mkono. Kwahiyo sikumshangaa kumsikia akiendelea kubuni mbinu zinazofanana na hiyo ya wizi wa kura. Sasa kama hayo yanafanyika si ni siri ya wanaofanya? Kulikuwa na sababu gani kutangazia umma wa wananchi jinsi kura zinavyoibiwa. Hii ni kukidhalilisha Chama chake na kumdhalikisha Raisi. Raisi amefanya jambo jema sana kumtumbua. Sisi Wananchi tunampongeza.
Hata akitumbuliwa lakini amesema ukweli wote!! Kwakuwa wanatumia vitabu vya Dini wanapoapishwa laana ya Mwenyezi Mungu inaanza kuwatafuna na wataropoka sana.
Huo ni mwendelezo wa haramu kwenye chaguzi za nchi yetu. Siyo kosa lake ni mbinu zao. Ni kama ametoa Siri ya ushindi
Kuna halali, nusu halali na haramu. CCM oyeee. Ila, ipo siku
Nape hua anasemaga kweli, nakumbuka kipindi cha Lisu kupigwa risasa, aliwahi kusema, hatayeye aliwahi kufuatiliwa, na hilohilo gari. kwa hiyo! sisi watanzania, tuchukue hili, kwamba, serikali hii,haitaki mtu atakae sema ukweli?
Mmesahau wakati wa Magu alisema alilala msituni akichakachua kura?😮 Kauli ya kuwa yeye ni mmakonde hamuogopi mtu yeyote nn mana yake?
Mhhhhh kwa kipi?sijaona jipya kwa lisu Wala nape,January wote ni hasara tupu.
@@RobertMushi-yh7reand nape.alijitowaga.sadaka.anasemaga.kweli.na.ccm.haitaki.msema.kweli
Kwa maneno hayo hakuna umuhimu wananchii kupiga kula
Samola Michael once said "mkiona Wareno wananisifia mjue nimewasaliti". We need another GADDAFI
Mama Amuondoe pia mwigulu ambaye alisema wananchi ambao hawatakubaliana na tozo katika mitandao ya simu wakaishi Burundi hiyo lugha haikuwa nzuri kwa wananchi nae aondolewe.
Vizuri San kwa kutumbuliwa .
Anapelekwa kwenye fani yake ya kuiba kura tayari uchaguzi subirini tuone
Mungu anawaumbua wanajiroposha wenyewe ha ha ha haaaa🙆🙆🙆🙆
HUYU NI KIGOGO FAKE
Ukweli unauma😂
Yani watu wanamsubiri huyo Nape tu, mzinguaji ametukana watu sana anasema watu wahame nchi???? Eti kwa kuongelea tu jambo ambalo wanayo haki ya kuongelea (Tozo) sisi hii nchi ni yetu tunamsubiri 2025 Domo lake linaongea tu
Uko sahihi kuwatoa hawa mama
KWELI NDIO WANAVYOFANYA NANI AJUI KAMA WANAIBA KURA
Kigogo si amekamatwa yuko
Mahabusu huko tanga? Sasa anawezaje kutoa habari mitandaoni? Au mmemkamata mtu aside na hata?
Hahaahhaa kigogo hajulikani bd
Majivuno ni shina la dhambi kiongozi
Mungo tusaidie
Yaliyowapata kenya
Yasitupate
🙏
Ni wazi kabisa nape nijeuri sanaaaaàà. Aliwahi kunukuliwa akijigamba yeye ndio walipigania uhuru wa nchi hii Kwa kulala porini. Hawa ndo wanachafua ccm.
Brother nape hayuko sawa kabisa na mh. Katimiza majukumu yake vyema na imempasa mtu huyu kutendewa hivyo kwani haheshim mamlaka zake za juu
Umeanza kuelezea vizur lkn Hapo kwa Ndugai umechemka, ndugai hakudhihaki juhudi ama mamlaka bro, alichofanya ni kutumia uhuru wake wa kikatiba yaan FREEDOM of speech hivyo acha kupotosha jamii na hakuna mfanano wa alichokiongea Ndugai na Nape.
Ndugai alizungumzia mstakabali wa taifa kwa ujumla wakt Nape kazungumzia suala la kichama... Get it brow!!!!
Hata mm nimejiuliza sana,kwann wanafananisha na alichokisema ndugai??
Kwa kweli mungu aitwe Mungu cheo ni koti lakuazima
Nape yupo sawa kwa alicho kifanya, ccm wakati wao umefika.
Yanajifanyia ya hovyo kama nchi ya niaje sasa malipo ni hapahapa
Maneno yanaumba😮
Nape ni mnafiki Sasa anatembelea kwenye ubaya wake na malipo ndo hayo
Mama kafanya vizuri sana, tumefeli kidogo kumtoa Jerry Siraha upande wa ardhi, mapapa wamefurahi sana na watatunyanyasa sana.
Bado Mwigulu!
Bado mwigulu na wengine Mungu atusaidie mama
Kweli HUYU nape ni bure kabisa.
Mungu ametulipia watu hawa walimdhihaki sana Jembe letu .Mungu ametulipia Ongera sana Rais weu kipenzi umetufuta machozi mazuri hayataki HARAKAAaaa
Hili kweli bumunda
Msaema kweli mpenzi wa mungu kwa Nini atumbuliwe?
🎉🎉🎉kwa mama
Hawa ndiyo wanatuzarau wananchi wa nchi hii, mwigulu nchemba,bashe makamba,mbawala,na nape, ndiyo wanaleta ufisadi wa nchi hii
Hakuna Cha myunani Wala myahudi mbele ya SSh Rais fyeka hayo micho Ngoma yatakuzuia usifikie maono yako watanzania tuko nyuma yako
Hizo ndizo tabia za chaguzi zetu. Alichokifanya Nape na kuonekana amekosea ni kutoa siri za wizi wa kura. Amekosea kutoa siri za uchawi. Aliyosema ni kweli tupu na watanzania tunaufahamu utamaduni huo katika chaguzi zetu.
Hakuna mamlaka iliyowahi kudumu Duniani. Na hata hii tuliyonayo ipo siku tu kitaeleweka.
Safiiii Sana Mama... Kaxi nzuri sanaa
Ubaya ubwela!😢😢😢😢
Mapendo mama ana maana kubwa Mana anataka tusome kama libia wape veeeeo
Kawaida yao kuiba kwaiyo tusha wazoya. Bali wajue mungu yupo na nasi
Mm maono yng hawa mabwana wadogo wawili, wanaulevi tu wamadaraka!!!
Haina haja ya kuongea sana, kisaikolojia ni ulevi wa madaraka na tamaa..
Kwa kweli Kuna waziri naona ni kosa kubwà silaa alivyofanya kazi kwa maarifa bidii tuljua Sasa tumepata mtu muhimu sijui amehamishwa kwa Nini inauma sana
Yuko bize na nchi jimboni kwake Aaaaah....!
Big up nape kwani uliamua kuwa mkeri japo bado ww huko huko kwenye uchafu na ww ni mchafu 2
Mama hogera kwa hatua hiyo lakini bado wapi wengine
Bada wapo
Kosa la lake ni kusema ukweli.
Nape hana adabu na muhuni yy na wenzake bado wapo hawajajitokeza
CCM huwa hawashindi
Mara nyingi mwanadamu akiwa amezaliwa amekuta raha, akulia kwenye raha, kasoma akiwa kwenye raha, yani anaogelea tu kwenye raha hajakutana na ugumu wa aina yoyote katika maisha, mtu wa namna hiyo akipata madaraka ni vigumu sana kuvaa uhalisia wa watu anaowaongoza, analewa bila kunywa kilevi chochote.
Machozi ya marehemu Bado hayajakauka
Kweli kabisa, walimnenea marehemu mambo mengi sana ya ovyo juu yake wakijua kabisa hawezi kujitetea. Wengine wakasema eti "wazuri hawafi"🤔. Leo kiko wapi sasa - malipo ni hapa hapa duniani.
MAGU RIP wao Kwa wao kinawaramba na Bado Rolinga utabiri unaanza kutimia
Makonda je mama mungu Yuko pamoja
Hapo ni geresha toto Nape na makamba watapewa kazi ya kuiba kura ina maana Samia haujui kuwa ukwel ccm wanaibaga kura
Kwani laisi anaubaya Gani minaona yupo sawa Ili apange safu yake harafu Hawa wabovu mama enderea kuwapangua
Ndugu ni kutoa kuweka na kupangiwa upya
Hawawezi kutupwa kama marofa
SASA ALIPOSEMA HIVYO ALIKUSUDIA AU LILIMTOKA DAAA MITIHANI MENGINE YA AJABU SANA
Ni sahihi kutumbuliwa kwa jamaa iwapo kuna nia ya kweli ktk kuiponya demokrasia, bila kutengeneza jinsi ya kupoza kelele kwa muda fulan i tu!!!
Walipokua kwenye nyadhifa hawakujua kama wanaweza kutenguliwa iweni wapole mkiwa madarakani
Makufuri, alikuwa anaona mbali sana
Mama hakujua??
Kwahiyo ww kigogo unatakaje...tuamini 4r na tusiamini alichokisema Nape?? Ameamua kuweka wazi yanayojulikana kwahiyo usitudanganye na 4r..hii ina maana hata ccm ikishinda kiti chochote tunaamini ni kwa michezo kama hiyo..usisahau na kauli ya goli la mkono kwahiyo ameendelea kukoleza moto.
Afukuzwe ubunge alime korosho ajue mtiti wake
Tatizo ya nape bangi zimemzid
Hawajaanza Leo kuiba kula mbona ukiongea ukweli selekali inakualest
Waliotamka mambo mengi ya hovyo ni wengi na wakawaudhi wa Tanzania kwa kiasi kikubwa sana mbona hawakufukuzwa wala hawakuchukuliwa hatua za kinidhamu
Wakiteuliwa tutajuwa Tanzania ni ya watu binafsi na siyo ya watanzania wote. Hawa Magufuli aliwatema, mama alipoingia akarudisha mafisadi wote. Wengi walijitajirisha kutumia Mali za chama. Na wakiiba hawakamatwi. Hawa wako juu yasheria
Nape yupo sawa anajuwa anacho sema
Magufuri hizi nyoka alisha ziona muda mrefu zina majigambo viburi kujisikia
Kigogo
Seasa za tanzania ubabaishaji tu kiongozi anafanya madudu bado anapewa cheo 10:42 10:42
Ni nani kwente hicho chama ni mtalatifu nachapokei rushwa? Ni nani?
Mama hongera kwa kuondoa mikeka yote ulianikia maono yako kwa ajili ya watanzania hayo mikeka yanvuja Bora tamdika maturbai yatakusaida
Hawafai 😢waende zao
Tanzania ni yetu wote akini msingi wetu
Naje 2025 itakuaje wizi wa kura tuachane nao jamani .tupige kura halali tutakuwa na maendeleo .ccm tusiwe waoga tupige kura halali tutakachopata ndio chetu.Nahakika tutashinda bils wizi