Asante Nguri wa uandishi habari.. Uandishi na uchambuzi wako unazaa waandishi watoto wadadadisi kama uanasheria wa Tundu Lisu na Mwabhukusi unavyozaa wanasheria makini kuliko wanasheria mizoga wa serikali.....
Hiyo ndiyo dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.Huwezi kusema ngoja nikatende dhambi halafu nitatubu na ukategemea kupata msamaha kwa Mungu.Labda Mungu wa Jimbo la Mtama analoliongoza yeye,siyo Mungu wa Israel.
Inakera ---- Inaudhi ---- inachukiza sana ---- halafu eti hawa machawa wanashangilia maneno ya hovyo kama hayo -- Hicho alichokisema kilipaswa kupingwa pale pale kwa kiwango cha kumng'oa kwenye nafasi yake --- ccm yamevimbiwa na kulewa kwa kiwango cha hata kumdhihaki Mungu,kwamba,eti anaweza kusapoti ujinga wao --- sikilizeni ccm " Siku zenu zinahesabika "
Kauli ya nape na inapotoka kwa mtu aliyeshika nafasi ya juu inatuthihirishia kile Wapinzani walichokuwa wanasema kuwa sisiem hawawezi kushinda bila msaada wa vyombo vya dola sasa iko hadharani kuwa sisiem ni wezi wa kura
Ngurumo umekumbusha tusiende kwa taratibu tulizozoea, tuende kwa ukakamavu na ukali ambao wao watabaki wakishangaa na liwe funzo kwao na wakubali kuwa wananchi wamewachoka.
Mungu ndiyo mpangaji wa yote na ukitaka kulijua hilo nitakupa mifano iliyokwisha tokea hapa kwetu mfano mmoja ni marehemu magufuli alipanga kumuua tundu lisu matokeo yake ilikuaje lisu mpaka leo anaishi na magufuli tulishamzika
Kwani wewe ulikuwa huwajui ccm,hii amani unayo iona inaletwa na vyama vya upinzani kwa ustaarabu na uvumilivu wao juu ya uonevu wanaovumilia .sio rahisi kuwa mvumilivu kwa muda mrefu katika kunyang'anywa haki yako,ndio maana nchi nyingine uchaguzi husababisha machafuko na kupelekea nchi kutotawalika kwa muda fulani na amani kutoweka hilo sio jambo jema .mukiwa hamujawa tayari ccm kuhusu uchaguzi bora usifanyike mukahatarisha amani ya nchi.wananchi wakichoka ujinga munaoufanya wa kulazimisha kushinda hata kama hamujashinda .
Ingekuwa mimi ni mama samia ningemtumbua uwaziri muda huo huo .Hii kauli ni ya uchochezi na ingekuwa ni nchi kama Kenya wangeandamana na kuchoma hata bunge ila kwa Tanzania hali ni tofauti.watanzania wamelala usingizi wa pono na sijui wataamka lini maskini ya Mungu.
Mama Dr.Samia hawezi kumtumbu Nape.Yeye pia alitoa kauli inayofanana na hii ya Nape wakati akiwa Makamu wa Rais.Hawa ni Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao.Katibu Mwenezi Amos Makala anajua vyema kuwa huo ndiyo mchezo wa CCM miaka yote kwenye kila chaguzi hata zile chaguzi za ndani ya chama chake mwenyewe.Kauli aliyoitoa ni kutokana na aibu ambayo Nape amewatia.Nape amewavua nguo hadharani. Wako uchi wa mnyama.Na hawatamfanya lolote Wanakemea TU kuficha aibu yao.Alicho kisema Nape ndiyo utamaduni wa CCM wa miaka yote.Wananchi jiandaeni kukabiliana na kulinda kura zenu.Ahadi wanazotoa kuwa uchaguzi utakuwa HURU NA HAKI ni danganya toto TU.Msibweteke.CCM ni kama maji.Hayasahau asili yake.Utayachemsha maji na baada ya muda yatarudi kwenye ubaridi wake. Ni kweli wamejipanga kubaki kwenye madaraka kwa kutumia mbinu alizofichua Nape.Hakuna jipya linalotegemewa zaidi ya hapo.Jipangeni TU Mwenyezi Mungu Yuko upande wetu.Hawatashinda.
Nimechefukwa sana na hiyo kauli ya huyo nape najiuliza hizo foleni tunapangwa kupiga kula kuwapigia wanaoomba kwa mungu awasaidie kufanya uhalamia na dhulma
Hakuna mtu nampeda kama nape nauye!,huyu brother nimsema ukweli!,na akiendelea pepo ni yake!,wapumbavu ni sisi watanzania,twaletewa kura nje ya box twardhika!,peleka ujinga huo Kenya uone moto!,kwa kweli nape apewe mauwa yake!
Kuna jambo limejificha nyuma ya kauli ya Nape. Kwa mtazamo wangu huenda hawa ndiyo wale Brothers aliosema mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha. Sasa kaamua kuja mchana kweupe kuharibu. CCM ikubali tu imeshakufa inasubiri mazishi 😅
Haya maneno si ya Nape peke yake ndivyo walivyozoea CCM. Tuyahifadhi maneno haya na baadae tuwaulize tukianzia na jimbo la kibaka huyu mpumbavu na mdomo wake unaonuka uchochozi ambao hatuna tija Kwa maendeleo ya taifa hili.
Ndugu zangu Salaam, maoni yangu ni kwamba, ikiwa kila mtu atakachokisema ni kweli, Je maneno ya Mchungaji Msigwa na wenzake kama yeye kumbe nayo ni kweli?
@@AnsbertNgurumo inawezekana hivyo? Mm naamini katika kujikwaa kwa viongozi hao, maana hatuna uwezo wa kujua nani katumwa au hakutumwa hiyo kazi maalumu
Ccm hawa heshimu maamuzi ya wananchi na ndo maana wadharau wananchi nguvu wanazo tumia kuwaamulia wananchi umefika mwisho maana hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho na mungu yupo upande wa haki
Kuna wakati Mungu,huwaumbua wachawi mchana.
Asante Nguri wa uandishi habari..
Uandishi na uchambuzi wako unazaa waandishi watoto wadadadisi kama uanasheria wa Tundu Lisu na Mwabhukusi unavyozaa wanasheria makini kuliko wanasheria mizoga wa serikali.....
Nape anatoa siri ya kweli
Kiburi na dharau ya hali ya juu hii.
Anamtaja Mungu kwenye udhalimu. Mungu hadhihakiwi
CCM Mungu anawazalilisha alicho sema nape nikweli
Kweli mungu hamfichi mnafiki ukweli umejulikana
Alienda kuomba msamaha kwa jpm baadaye jpm alivyokufa akakengeuka tena akaanza kumunanga
Hiyo ndiyo dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.Huwezi kusema ngoja nikatende dhambi halafu nitatubu na ukategemea kupata msamaha kwa Mungu.Labda Mungu wa Jimbo la Mtama analoliongoza yeye,siyo Mungu wa Israel.
Zaburi 109:7
Mungu hadhihakiwi
Kumbe Mungu ni Israel na si wa nchi zote
Inakera ---- Inaudhi ---- inachukiza sana ---- halafu eti hawa machawa wanashangilia maneno ya hovyo kama hayo -- Hicho alichokisema kilipaswa kupingwa pale pale kwa kiwango cha kumng'oa kwenye nafasi yake --- ccm yamevimbiwa na kulewa kwa kiwango cha hata kumdhihaki Mungu,kwamba,eti anaweza kusapoti ujinga wao --- sikilizeni ccm " Siku zenu zinahesabika "
Nape bado amekalia hicho kiti cha uwaziri,?Nitashangaa sana!
Anatangaza sera ya chama, ni katibu mwenezi w chama, laiti Magufuli John angefufuka huyu angeljicha kwenye shamba la karanga..
@@simonnaivasha6393Hata magu naye mfumo wake huo huo kama wa Nape, tena angekua hai uchaguzi huu usingekuwepo, angeendela tu kua raisi
Kwani wewe unakaa dunia gani?
Kauli ya nape na inapotoka kwa mtu aliyeshika nafasi ya juu inatuthihirishia kile Wapinzani walichokuwa wanasema kuwa sisiem hawawezi kushinda bila msaada wa vyombo vya dola sasa iko hadharani kuwa sisiem ni wezi wa kura
Ebana huyu mwanahabari mbona hatari wa data!Kaka Mungu akulinde,fungua macho ya watu.!
Elimu elimu elimu
JARIBU KUCHANGANYA NA KUKOROGA MAFUTA NA MAJI MKOROGO UKITULIA NI LA,IMA MAFUTA YAWE JUU TU ! HUO NDIO UKWELI HAUFICHIKI.
Duh sasa ndo tunahubiri democracy kila siku, huyu anapaswa kufutwa iyo nafasi aliyo kuwa nayo ila wakati yupo chama tawala utaona Hakuna kitu
Na wiz wa waz ulifanyika 2020 jmn dah,yaan upinzani ubunge kiti kimoja😢😢😢aya mwenzao yupo mbele ys haki anajibu bdo wao hii dunia tunapita
Hawa. Ni vibaka lakini kuna kamsemo kanasema ngoma ikilia sana inakaribia. Kupasuka hawa. Walikulia kwenye zambi hivyo nisehemu.ya maisha yao
Mmmmmhhhh ni dhihaka kubwa sana yaaaaaaani Hadi jina la MUNGU kalitumia
Huyu MUNGU kweli ni mvumulivu na wa rehema nyingi sana , angekuwa kama mimi hapa, Nape angejistukia yupo chini.
Mungu ni mwema, watanzania tuwe watulivu, hawa madhalili wataropoka yoote, maana M'Mungu amepanga kuwadalilisha2025
Nape amesema ukweli mtupu bila kufanya hivyo ccm Chali hivyo watanganyika amkeni mjitambue ktk hili
Ngurumo umekumbusha tusiende kwa taratibu tulizozoea, tuende kwa ukakamavu na ukali ambao wao watabaki wakishangaa na liwe funzo kwao na wakubali kuwa wananchi wamewachoka.
Sasa hapa ndio maana nchi za wenzetu vita na mapigano baada ya matokeo ya uchaguzi huwa hayaaishi
Vyama vya upinzani pamoja na watanzania wote wapenda haki tunapaswa kumshukulu Nape kwa sababu Mungu amemtumia bila yeye mwenyewe kujua,ametusanua,
Yaan laana ya jpm inawaendesha sana
😂😂
Na Kama alilewa Basi analoaema ni kweli maake hakuna msema kweli Kama mlevi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂
Mungu ni dhalimu kama wanavyofikiri?
Kwa maelezo ya Nape CCM inapaswa kufikishwa mahakamani dhidi ya uwepo wao madarakani
Ukweli Utawapeni Uhuru!! Na Utumwa Hutokana na Mguso Halisi!!;
Mungu ndiyo mpangaji wa yote na ukitaka kulijua hilo nitakupa mifano iliyokwisha tokea hapa kwetu mfano mmoja ni marehemu magufuli alipanga kumuua tundu lisu matokeo yake ilikuaje lisu mpaka leo anaishi na magufuli tulishamzika
UMEONGEA UKWELI MR NGURUMO
Mungu muaibishe shetani huyo.
Hawo mungu Ana waumbuw CCM siwatu wema kwetu
Kwani wewe ulikuwa huwajui ccm,hii amani unayo iona inaletwa na vyama vya upinzani kwa ustaarabu na uvumilivu wao juu ya uonevu wanaovumilia .sio rahisi kuwa mvumilivu kwa muda mrefu katika kunyang'anywa haki yako,ndio maana nchi nyingine uchaguzi husababisha machafuko na kupelekea nchi kutotawalika kwa muda fulani na amani kutoweka hilo sio jambo jema .mukiwa hamujawa tayari ccm kuhusu uchaguzi bora usifanyike mukahatarisha amani ya nchi.wananchi wakichoka ujinga munaoufanya wa kulazimisha kushinda hata kama hamujashinda .
Huyo anaitwa mzee wa goli la mkono😅😅😅
Usidharau kauli ya mlevi.
Siku zote usithubutu kumwambia mlevi siri yako kuna siku akiwa amelewa chakari ujuwe ataisema hiyo siri hadharani.
Saluti sana kaka,,,,,unaongea na kuthibitisha kwa ushahidi wa papo hapo,,,,unatisha sana babilai
Hatari sana ktk mbingu
KWA KAULI HII HAZITA IBIWA KURA BALI WAGOMBEA WENU WATAIBIWA NA WAPIGA KURA SUBUTU
Ingekuwa mimi ni mama samia ningemtumbua uwaziri muda huo huo .Hii kauli ni ya uchochezi na ingekuwa ni nchi kama Kenya wangeandamana na kuchoma hata bunge ila kwa Tanzania hali ni tofauti.watanzania wamelala usingizi wa pono na sijui wataamka lini maskini ya Mungu.
Kweli kabisa ndugu unachosema, watanzania hawataamka leo wala kesho.
Siyo tahisi kuamka kwa sababu ....... huo unashangilia na watu@@daudimaembe3360
Mama Dr.Samia hawezi kumtumbu Nape.Yeye pia alitoa kauli inayofanana na hii ya Nape wakati akiwa Makamu wa Rais.Hawa ni Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao.Katibu Mwenezi Amos Makala anajua vyema kuwa huo ndiyo mchezo wa CCM miaka yote kwenye kila chaguzi hata zile chaguzi za ndani ya chama chake mwenyewe.Kauli aliyoitoa ni kutokana na aibu ambayo Nape amewatia.Nape amewavua nguo hadharani. Wako uchi wa mnyama.Na hawatamfanya lolote Wanakemea TU kuficha aibu yao.Alicho kisema Nape ndiyo utamaduni wa CCM wa miaka yote.Wananchi jiandaeni kukabiliana na kulinda kura zenu.Ahadi wanazotoa kuwa uchaguzi utakuwa HURU NA HAKI ni danganya toto TU.Msibweteke.CCM ni kama maji.Hayasahau asili yake.Utayachemsha maji na baada ya muda yatarudi kwenye ubaridi wake.
Ni kweli wamejipanga kubaki kwenye madaraka kwa kutumia mbinu alizofichua Nape.Hakuna jipya linalotegemewa zaidi ya hapo.Jipangeni TU Mwenyezi Mungu Yuko upande wetu.Hawatashinda.
Never say never
Hata kama ametengeliwa uwaziri lakini amesema ukweli nao utamuweka huru.
Thanks God,
Ndio maana hawataki tume huru.
😢😢
Umesomeka
Mungu anaumbua watu ambao wabishi kuwasikia wananchi
Tz tunaongozwa na Watawala Wezi, Majambazi na Vibaka Wote CCM
🐸
Ni ngumu,mwenzio ana majeshi unashindana naye vipi,hapa waliotushinikiza kuanzisha mfumo wa vyama vingi wasipoingilia kati tutaendelea hivi hivi.
KATIBA MPYA
Hakuna atakayeshinda unabii chama pinzani kinatawala naamini amen
Nape kaongea ukweli. hata kama akikemea hiyo kisayansi ni danganya toto tu, ukweli wote nape kauweka wazi.
Ni rahisi kushindana na mbowe kwenye uchaguzi wa chadema?
Daaaaaah"kwel mungu yupooooo"
Hawa watu kwanini wanatulazimisha kukasirika? Iko siku Yao , wameshiba wamevimbiwa ,
It is unprecedented 😮😮😮
Kweli kabisaa
Ndo maana Magufuli alimtupiliaga mbali huko
Hta hyo magufur alikuwa mwiz tu Wala hakushinda😢😢😢Aya akajibu huko mbele
Ogopa Mungu na Wakati.
Au alikua ameolewa kweli nini😂😂😂
Nimechefukwa sana na hiyo kauli ya huyo nape najiuliza hizo foleni tunapangwa kupiga kula kuwapigia wanaoomba kwa mungu awasaidie kufanya uhalamia na dhulma
Hata hamu kwenda kupiga kura haipo tena ila kwa miaka hii yote nao wangepumzika
Ccm ni kama mbuu ukiwapulizia rungu spray hawafi ,kesho wanakuja kukutafuna tena bora kuachana nao
Yaani Mtu Mzima Anaongea Upuuzi ,
Hivi Nape Anatuchukuliaje Sisi Watanganyika?!?!"
Nape amesema ukweli, hayo ndio yanayofanyoka.
Lijamaa lilikua limelewa kweli😂😂😂
Anzisha Chama chako uje lete bunduki upo kwenye viwanda ushinde Hakuna mpinzami Tanzania
Sio hayo tu, nape aliwahi kumuibia kura Angela Kizigha kura zake na kumpatia mkwe wake Mama Mkami.
😂😂😂😂
Hakuna mtu nampeda kama nape nauye!,huyu brother nimsema ukweli!,na akiendelea pepo ni yake!,wapumbavu ni sisi watanzania,twaletewa kura nje ya box twardhika!,peleka ujinga huo Kenya uone moto!,kwa kweli nape apewe mauwa yake!
Suluhisho la MSINGI ni katiba mpya tu
Nani sasa wa kutoa katiba mpya suluhisho ni kupinga udhalimu na uzandiki huu kwa ukakamavu bila woga
Sasa apa chadema mjipange sawa sawa maaana apo wamesha wasanua kuwa watawaibia kula
Taifa linaongozwa na walevi viwanda vya, pombe ni vingi,, kuliko viwanda vya sukar
Hakuna mungu mpumbavu namna hiyo!
huyu nae ni kiongozi kweli hapo ujue tz hamna vyama vingi
Safi nape huo ndiyo ukweli nafuu kusema kuliko watu watafute majibu WEWE siyo mnafiki
Thank you
Eeeeeeeee thank you jesus
Kwa kutunza kumbukumbu za siasa za nchi yetu,nakupongeza.uko sahihi.
Sikilizeni kwa umakini kauli za Nape, Bashiru na Samia ktk clip hii.
Nape siyo adui namtazama Kama shujaaa wa kweli kusema ukweli kwamba enough is enough ,
Duuuu!! Bado tunasafari ndefu sana
Let's just keep faith. One day it will happen
Siyo wapinzani bali ni Watanzania bila shaka semeni ukweli hali Hili NCHI IPO PABAYA
Kuna jambo limejificha nyuma ya kauli ya Nape. Kwa mtazamo wangu huenda hawa ndiyo wale Brothers aliosema mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha. Sasa kaamua kuja mchana kweupe kuharibu. CCM ikubali tu imeshakufa inasubiri mazishi 😅
Haya maneno si ya Nape peke yake ndivyo walivyozoea CCM. Tuyahifadhi maneno haya na baadae tuwaulize tukianzia na jimbo la kibaka huyu mpumbavu na mdomo wake unaonuka uchochozi ambao hatuna tija Kwa maendeleo ya taifa hili.
Sijui aliongea nini ,bao la mkono lilitaka kuleta machafuko .Samia Mtumbue Nape ataingiza nchi pabaya sana
Hana uwezo wa kumtumbua kinyume chake akitumbua yeye atatumbuliwa!
samia mwenyewe aliwahi sema ata ukipiga kura kwengine ccm itaunda dola
Ukweli umeanza kujulikana😂😂😂😂
Kumbe HATA mama...
Hivi nikuulize we mtanzania hivi kwako serikali ya ccm haijawahi kufanya jambo zuri unalojua?
Nape achia uwaziri aibu Hulu nje die tunaelimu kuliko wewe toka katika nafasi b hiyo unatutia aibu
Ndo alivyo tangazwa Mtama -Lindi, kwa Kutumia Nguvu za Jeshi la Vyombo vya ulinzi na Usalama
Mh wanasiasa wakemewe kuhusu kauli zao.ulevi wa madaraka.
kweli ccm imekwisha nape umelogwa useme ukweli
Ingekuwa kenya kingenuka ila Tanzania maoga acha yafungwe magoli yamkono
Nape ametoa siri ndiyo maana ametumbuliwa
Anayeona kuwa nape kasema uongo aseme. Kwani ukweli huchukiwa?
Hawa mbwa tuwaondoe madarakan..tumewachoka miaka zaid 50.wanachojua ni kuiba tu ..hii nchi yetu sote
Huyu alikuwa amelewa ila Mungu aliamuwa kuutumia ulevi kuusema ukweli.
Alikuwa na akili timamu kabisa.
Jinga kbs
mmmh Mwenywkiyi wao aliwahi kusema kila Mtu ale kwa urefu wa kamba yake ila wasivimbiwe🤣😂
Nape huwa hajifikiliyi anapotowa matamshi hawa ndiyo wanaomharibiya mama Samia. Lema naye mwehu tu
Hao wote wawili uliowataja mm huwa siwaelewi akili zao
Tulia dawa ikuingie
Leo hupongezi au nawewe ni mwenye Hila?
Wapinzani bila Katimba mpya hapati serikali munajisuvuwa tu sibara wala visiwani
Mzee upo vizuli
Huo mbona utamaduni wa kawaida wa Ccm,wanasema kuiba kura/uchaguzi sio dhambi.
Ndugu zangu Salaam, maoni yangu ni kwamba, ikiwa kila mtu atakachokisema ni kweli, Je maneno ya Mchungaji Msigwa na wenzake kama yeye kumbe nayo ni kweli?
@@amourmbarouk1568 Msigwa na wenzake wana kazi maalumu. Wasikilizwe kwa .muktadha huo.
@@AnsbertNgurumo inawezekana hivyo? Mm naamini katika kujikwaa kwa viongozi hao, maana hatuna uwezo wa kujua nani katumwa au hakutumwa hiyo kazi maalumu
@@amourmbarouk1568 Kama umemsoma Msigwa kwa miaka 2 mfululizo, utaelewa ninachosema. Maneno na matendo hutambulisha dhamira ya ndani ya mtu.
Nape his masters voice
SK MEDIA nikupongeze kwa kutunza kumbukumbu. Mm ninaamini hakuna mamlaka inayodumu Duniani, ipo siku tu.
Acha ujinga Hakuna Mungu anayesaidia uhalifu, labda mwenyekiti wenu maana ni Mungu kwa chama cheng.
Ndo nini sasa hiyo Umeongea
Inatakiwa uchaguzi wa 2020 Urudiwe ,Ccm hamna kitu mnafanya
Ccm hawa heshimu maamuzi ya wananchi na ndo maana wadharau wananchi nguvu wanazo tumia kuwaamulia wananchi umefika mwisho maana hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho na mungu yupo upande wa haki
Hatakama amelewa , alikuwa ameongea kweli ya mambo yanayofanyika