WAKILI KIBATALA ATOA TAMKO KALI SAKATA LA WAKILI MWABUKUSI, "NI AIBU KWA NCHI, TUNAONEKANA WAJINGA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 43

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 14 วันที่ผ่านมา +11

    Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 14 วันที่ผ่านมา +5

    Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 14 วันที่ผ่านมา +11

    Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o 14 วันที่ผ่านมา +7

    Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 14 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana wakili msomi.❤❤❤

  • @user-fx3xj3on5j
    @user-fx3xj3on5j 14 วันที่ผ่านมา +3

    Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 14 วันที่ผ่านมา +7

    Mabukusi oyeeeeee

  • @user-fx3xj3on5j
    @user-fx3xj3on5j 14 วันที่ผ่านมา +4

    Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i 12 วันที่ผ่านมา +1

    Msikubali kuwa mandondocha na idara za chama like kama chama cha cwt wafanyakazi and allies

  • @mlangotv8465
    @mlangotv8465 14 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d 14 วันที่ผ่านมา +3

    Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 14 วันที่ผ่านมา +3

    Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri

  • @user-cz4pu9py5s
    @user-cz4pu9py5s 14 วันที่ผ่านมา +2

    Super kibatala.myonge mnyongeni kwa haki sio kwa kumwonea

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kibatala❤❤❤❤❤❤

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 14 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana kibatala umeongea point

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 14 วันที่ผ่านมา +3

    Akili kubwa sana

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mhe Wakili Kibatala Kwa.sisi watu chini tulio wengi Nyie ndiyo jicho letu kwenye kutafsiri ya Haki kwa kuwa ni Wataalamu kisheria na ndiyo mhimili wa haki kisheria kwa Umma Kinachotokea kumwengua Mhe Wakili Mwabukusi kinaweka doa na mnatuacha njia panda

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 14 วันที่ผ่านมา +1

    As a very important institution, Your reputation and integrity is at stake. All eyes are on you now. Tumieni busara zetu zote kupunguza au kuondoa tofauti zenu. Ninyi ni nuru na taa ktk taifa. Twawaombea heri

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kibatala hongera kwa kulitambua hili

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 13 วันที่ผ่านมา

    Safi sana

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 14 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana this our country 😢 😞

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 14 วันที่ผ่านมา

    Hongera wakili msomi, taasisi nyigi nchi hii zimelezwa kwa ruzuku ya serikali ,hata mawkili hawajapona pengine wakili
    Mwambukusi na Fattuma Karume.

  • @midventmax
    @midventmax 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kunywa soda kwa mangi baba nitalipa

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 14 วันที่ผ่านมา +1

    Safi

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 14 วันที่ผ่านมา +1

    Hvi kwa hali hyo kweli kama una haki na huna pesa unaweza kusinda kesho mahakamani

  • @froma3732
    @froma3732 6 วันที่ผ่านมา

    Anasema wao ndio Muhimu halafu hao hao ndio wanapindisha Sheria kwa Masilahi yao Fatuma Karume Alifungiwa na kufanyiwa kila na kuvamiwa Mulikuwa Kimya BORE KABISA

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 13 วันที่ผ่านมา +1

    ✌️👍👊.

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 13 วันที่ผ่านมา

    Safi sana umeongea kisomi

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n 3 วันที่ผ่านมา

    Piter kibatala, piter madereka, mwabukusi, nani mkali kwenye kesi akisimamia kesi huchomoki ??

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 14 วันที่ผ่านมา +1

    Tunawaachia nyinyi ,tulippembeni sio mawakili tunsmuona Mwambukusi.

  • @JumaYusuph-o4h
    @JumaYusuph-o4h 12 วันที่ผ่านมา

    Kama Kibadala kasema mi nani nipinge

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 14 วันที่ผ่านมา +3

    Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.

    • @user-ii7yw9ng5d
      @user-ii7yw9ng5d 14 วันที่ผ่านมา +3

      Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn 14 วันที่ผ่านมา

      Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.

  • @samsonsimon3138
    @samsonsimon3138 14 วันที่ผ่านมา

    Hii sio taarifa kamili ni ujinga tu

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 14 วันที่ผ่านมา

    Ipo siku msiomkubali mwabukusi ipo siku mtakuja kumuona akiwa mkubwa kwenye hili Taifa, Hata kama mtadanganywa lakini usipompigia wewe Watanzania wasiofaidi keki ya Taifa hili tutajiunga nae. Na ipo siku Mwabukusi tutamfanya kuwa mkubwa ndani ya Taifa hili.

  • @WigesaNyerere
    @WigesaNyerere 14 วันที่ผ่านมา

    Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 13 วันที่ผ่านมา

    YAANI TLS IMEHARIBIWA SANA NA WATALA WA SERIKALI HII. TLS SASA HAINA RAIS

  • @bibletv9818
    @bibletv9818 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 14 วันที่ผ่านมา +3

    Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk 12 วันที่ผ่านมา

    Safi sana