MWIJAKU KWA UNYONGE AOMBA MSAMAHA MASOUD KIPANYA/NILIYO YAONGEA NI UWONGO NAOMBA ANISAMEHE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 มิ.ย. 2024
- MWIJAKU KWA UNYONGE AMWOMBA MSAMAHA MASOUD KIPANYA/NILIYO YAONGEA NI UWONGO NAOMBA ANISAMEHE #MWIJAKU #MWIJAKUMASOUDKIPANYA #MASOUDKIPANYA #MWIJAKUMSAMAHA #MSAMAHAMASOUDKIPANYA #carrymastorytv
- บันเทิง
Safi Saan KP otherwise sheria ichukuwe.. mkondo wake nilishangaa saana why amekuchafua vile for no reason. Tena usimchekee hata kidogo wala usiruhusu akusogelee hata kwa bahati mbaya na kukuzoee km alivyo zoweya wengineee...Ahahhahahah umejua kunifurahisha kaka Kp big up👊👊👊👊 ikiwezekekana mburuze kotini huu msamaha wake wakinafiiii ili sikunyingine asirudie kwa wengine
Unaropoka sana mzee Mwijaku
Hana adabu huyu mjinga. Kaka Massoud usimchekee amezoea kuchafua watu.
Anashoboka now,,, huyu wamkazie atazoea chizi huyoo🤣🤣🤣
Brother Kp, tafadhari sana ebu kula kichwa hii ng'ombe. Pls usisamehee hii kitu😂😂😂. Kula kichwa... angekula B baba Levo tungemwombia msamaha lkn huyu no! Pita nae plz.
Saf sana mr mwijaku kuomba msamaha ni busara mtu wa maana kabisa ww ❤
Huyo kaomba msamaha wakinguvu sio ridhaa yake, hapo kwakuwa katishwa mambo yakisheria walimtaka aombe radhi sio dhamira yake
Kiarabu kingiiii, ulizani unamwambia dotto kumbuka Kp is very educated na anainfluence watu kama mm,...mzee umeyatimba
😂😂😂😂kumbe umeona!!!!! Wacha alikute
Kuonywa alishaonywa sana lkn sio wa kujifunza sasa ashughulikiwe inavyostahili kiukweli Masoud akanyagie apoapo mafuta mengi
Utakumbana Na mahakama!!!! Hutaamini
Hapo nkupongeze umejiongeza vzr,Mungu akusaidie ktk maisha
Na mahakama
huyu punga anafanya masihara na dini ya kiislamu katika mambo yake ya upuuzi upuuzi hada adabu kabisa huyu bwege
Hujaomba msamaha zaidi unajigamba
Kuomba msamaha wala sio jambo baya lkn natamani sana Mwijaku utiwe adabu japo kidogo ili unyooke😂😂 Naongea hivi kwasababu wewe umekuwa mtu usiyetumia hekima na busara...Mara nyingi unaongelea mambo kwa mihemko...Chuki na Roho mbaya bila kuzingatia utu na binaaadamu...Sasa umekutana na wataalamu wanaojua kurekebisha watu wa aina yenu..Ulidhani Masoud Kipanya ni Diamond Platinum?😂😂😂. Pambana Mzee
Huyu sio wakusamehewa kabisaaa.
KP tafadhaliniko chini yamiguu yako hii nguruwe iburuze kwapilato hicho anafanya hapo wala hakuombi rwadhi , bali akudhihaki tu, mfundishe adabu huyu kjenge kazoea watu sana mshamba wa Kazulamimba huyu
Jela tu wewe, usilete dini hapa,
Wakati ukiwasrma watu vibaya
Uliona sifa sasa leo umekutana na mwamba ,
Asisamehewe bwege wakuja huyo B zetu tano uzitoe kama auna jela mjinga wee
Acha kutumia maneno ya Mungu kulinda uropokaji wako ....
Co we unataka amuombe shetani sioo
Ngoma ikilia Sana?,,,,,,,
Punguza mdomo mwijaku..unaongea kama umemeza betri
Kwan hii inshu ilikuaje wakuu??
Punguza sifa kidogo mzee
Sheikh Masud Msamehe mdogo wako amekosa
No huyu amezidi! Umesahau akimtukana bi kopa
Pungunza mdomo we muha wa kigoma
nataka kucheka kabda cjasikiliza mpkak mwisho
KP kuka kichwa huyu ili asisahau hadi anaingia kaburini
kipanga endelea na kesi hili dubwana likaozee jela kelele zipungue mtaani
😂😂😂
unaleta masiala we fala. umeambiwa utoe maelezo ya kina unaishia kulamba lamba lifsi. ngoja mara hii utapanda kizimbani
Mnafiki mkubwa wewe, hayo yote ya kwamba ni kaka yako sijui ni legend hukuyajua mwanzo. Unajifanya kiarabu kingi sasa hivi. Acha usekwe mahakamani ili upunguze mihemko
Kwakweli huyu Mwijaku linakera sana! Linaleta ujuaji wa kiha
Kudadadeki safari hii umekutana na KP mtoto wamjini kakutia roba kwenye kona hufurukuti nakujamba juu kenge wewe
Itakuwa ilijinga Alina hata mwana cheria Ili yani kaingizwa Chaka aombe msamaha Ili azidi kuwa nakosa zaidi
bado ujasema mbuzi wewe
Huyu hajapmba msamaha!! Anajigamba anajua quran na kiarabu!! Anajifanya mjanja tuu!!! Amesema ujinga.. sijaona msamaha hapo
Ufungwe tu unamdomo sana