MWIJAKU KWA UNYONGE AOMBA MSAMAHA MASOUD KIPANYA/NILIYO YAONGEA NI UWONGO NAOMBA ANISAMEHE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 มิ.ย. 2024
  • MWIJAKU KWA UNYONGE AMWOMBA MSAMAHA MASOUD KIPANYA/NILIYO YAONGEA NI UWONGO NAOMBA ANISAMEHE #MWIJAKU #MWIJAKUMASOUDKIPANYA #MASOUDKIPANYA #MWIJAKUMSAMAHA #MSAMAHAMASOUDKIPANYA #carrymastorytv
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 42

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 27 วันที่ผ่านมา +5

    Safi Saan KP otherwise sheria ichukuwe.. mkondo wake nilishangaa saana why amekuchafua vile for no reason. Tena usimchekee hata kidogo wala usiruhusu akusogelee hata kwa bahati mbaya na kukuzoee km alivyo zoweya wengineee...Ahahhahahah umejua kunifurahisha kaka Kp big up👊👊👊👊 ikiwezekekana mburuze kotini huu msamaha wake wakinafiiii ili sikunyingine asirudie kwa wengine

  • @Swahili_land001
    @Swahili_land001 26 วันที่ผ่านมา +3

    Unaropoka sana mzee Mwijaku

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 17 วันที่ผ่านมา +1

    Hana adabu huyu mjinga. Kaka Massoud usimchekee amezoea kuchafua watu.

  • @alfakassim603
    @alfakassim603 24 วันที่ผ่านมา +1

    Anashoboka now,,, huyu wamkazie atazoea chizi huyoo🤣🤣🤣

  • @evancpeter8149
    @evancpeter8149 24 วันที่ผ่านมา +1

    Brother Kp, tafadhari sana ebu kula kichwa hii ng'ombe. Pls usisamehee hii kitu😂😂😂. Kula kichwa... angekula B baba Levo tungemwombia msamaha lkn huyu no! Pita nae plz.

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 27 วันที่ผ่านมา +1

    Saf sana mr mwijaku kuomba msamaha ni busara mtu wa maana kabisa ww ❤

    • @martinmendrad3531
      @martinmendrad3531 25 วันที่ผ่านมา

      Huyo kaomba msamaha wakinguvu sio ridhaa yake, hapo kwakuwa katishwa mambo yakisheria walimtaka aombe radhi sio dhamira yake

  • @Mgema001
    @Mgema001 26 วันที่ผ่านมา +4

    Kiarabu kingiiii, ulizani unamwambia dotto kumbuka Kp is very educated na anainfluence watu kama mm,...mzee umeyatimba

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 26 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂kumbe umeona!!!!! Wacha alikute

    • @dominickmahela1581
      @dominickmahela1581 26 วันที่ผ่านมา

      Kuonywa alishaonywa sana lkn sio wa kujifunza sasa ashughulikiwe inavyostahili kiukweli Masoud akanyagie apoapo mafuta mengi

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 26 วันที่ผ่านมา +2

    Utakumbana Na mahakama!!!! Hutaamini

  • @danieledward2294
    @danieledward2294 27 วันที่ผ่านมา

    Hapo nkupongeze umejiongeza vzr,Mungu akusaidie ktk maisha

  • @hamynas
    @hamynas 26 วันที่ผ่านมา +2

    huyu punga anafanya masihara na dini ya kiislamu katika mambo yake ya upuuzi upuuzi hada adabu kabisa huyu bwege

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hujaomba msamaha zaidi unajigamba

  • @boraimanijumamahenge7554
    @boraimanijumamahenge7554 23 วันที่ผ่านมา

    Kuomba msamaha wala sio jambo baya lkn natamani sana Mwijaku utiwe adabu japo kidogo ili unyooke😂😂 Naongea hivi kwasababu wewe umekuwa mtu usiyetumia hekima na busara...Mara nyingi unaongelea mambo kwa mihemko...Chuki na Roho mbaya bila kuzingatia utu na binaaadamu...Sasa umekutana na wataalamu wanaojua kurekebisha watu wa aina yenu..Ulidhani Masoud Kipanya ni Diamond Platinum?😂😂😂. Pambana Mzee

  • @khalifamilulu9109
    @khalifamilulu9109 22 วันที่ผ่านมา

    Huyu sio wakusamehewa kabisaaa.

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 17 วันที่ผ่านมา

    KP tafadhaliniko chini yamiguu yako hii nguruwe iburuze kwapilato hicho anafanya hapo wala hakuombi rwadhi , bali akudhihaki tu, mfundishe adabu huyu kjenge kazoea watu sana mshamba wa Kazulamimba huyu

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 26 วันที่ผ่านมา +1

    Jela tu wewe, usilete dini hapa,
    Wakati ukiwasrma watu vibaya
    Uliona sifa sasa leo umekutana na mwamba ,

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 24 วันที่ผ่านมา

    Asisamehewe bwege wakuja huyo B zetu tano uzitoe kama auna jela mjinga wee

  • @severinemabirika2249
    @severinemabirika2249 25 วันที่ผ่านมา

    Acha kutumia maneno ya Mungu kulinda uropokaji wako ....

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 25 วันที่ผ่านมา

      Co we unataka amuombe shetani sioo

  • @mswadickbushumbiro6923
    @mswadickbushumbiro6923 26 วันที่ผ่านมา

    Ngoma ikilia Sana?,,,,,,,

  • @floridakagemulo3183
    @floridakagemulo3183 19 วันที่ผ่านมา

    Punguza mdomo mwijaku..unaongea kama umemeza betri

  • @ibrahimpatrick5871
    @ibrahimpatrick5871 24 วันที่ผ่านมา

    Kwan hii inshu ilikuaje wakuu??

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 24 วันที่ผ่านมา

    Punguza sifa kidogo mzee

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 26 วันที่ผ่านมา +1

    Sheikh Masud Msamehe mdogo wako amekosa

  • @user-rj5cz8og6f
    @user-rj5cz8og6f 23 วันที่ผ่านมา

    Pungunza mdomo we muha wa kigoma

  • @issajambi2417
    @issajambi2417 27 วันที่ผ่านมา

    nataka kucheka kabda cjasikiliza mpkak mwisho

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 25 วันที่ผ่านมา

    KP kuka kichwa huyu ili asisahau hadi anaingia kaburini

  • @hamynas
    @hamynas 25 วันที่ผ่านมา

    kipanga endelea na kesi hili dubwana likaozee jela kelele zipungue mtaani

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 24 วันที่ผ่านมา

    unaleta masiala we fala. umeambiwa utoe maelezo ya kina unaishia kulamba lamba lifsi. ngoja mara hii utapanda kizimbani

  • @RebecaMackenzi
    @RebecaMackenzi 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mnafiki mkubwa wewe, hayo yote ya kwamba ni kaka yako sijui ni legend hukuyajua mwanzo. Unajifanya kiarabu kingi sasa hivi. Acha usekwe mahakamani ili upunguze mihemko

    • @willenmtafungwa1920
      @willenmtafungwa1920 23 วันที่ผ่านมา

      Kwakweli huyu Mwijaku linakera sana! Linaleta ujuaji wa kiha

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 17 วันที่ผ่านมา

    Kudadadeki safari hii umekutana na KP mtoto wamjini kakutia roba kwenye kona hufurukuti nakujamba juu kenge wewe

  • @chancedallas9077
    @chancedallas9077 26 วันที่ผ่านมา

    Itakuwa ilijinga Alina hata mwana cheria Ili yani kaingizwa Chaka aombe msamaha Ili azidi kuwa nakosa zaidi

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 24 วันที่ผ่านมา

    bado ujasema mbuzi wewe

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 26 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu hajapmba msamaha!! Anajigamba anajua quran na kiarabu!! Anajifanya mjanja tuu!!! Amesema ujinga.. sijaona msamaha hapo

  • @MonicaMarealle
    @MonicaMarealle 25 วันที่ผ่านมา

    Ufungwe tu unamdomo sana