Sisi ambao hatutegemei siasa ,tunapenda amani ili tupate muda wa kwenda kubangaiza ili watoto wetu wale ,na hawa Wakipewa ubunge wananyamaza kimya na gari watatumia kama viongozi wengine ,mbona hatujaona wabunge wa chadema au cuf wakigoma KUCHUKUA mishahara mikubwa au posho za bungeni ???
Hakika tuna wapi ambao hata ukiwapeleka chekechea bado watatoka kapa CCM imechokwa bado wanawategemea watu ambao hawajielewi na elimu kwao ni sifuri lkn itafika muda watajielewa tu Akija lala njaa cku mbili mwenye atafuata chadema wako wapi
Chadema itashinda kwa kishindo
Ww mabadiliko ni lazima kwan we we ufunga mkataba na ccm acha kufeli maisha ni siasa et majukum
Sisi ambao hatutegemei siasa ,tunapenda amani ili tupate muda wa kwenda kubangaiza ili watoto wetu wale ,na hawa Wakipewa ubunge wananyamaza kimya na gari watatumia kama viongozi wengine ,mbona hatujaona wabunge wa chadema au cuf wakigoma KUCHUKUA mishahara mikubwa au posho za bungeni ???
Watu ni WWE unayeweka bando na kusikiliza syo mpakauendeko
Tanguliza ndugu na wanao mbele kwenye vurugu
Sera zingine sizielewagi vizuri
Viti Vya Chadema Vinarudi Tena. Bungeni.😱
Dah jombaa amani kwanza we lete sera tupime habari ya mspanga tena?hapo ndipo mnapo feli mmmmm chadema yangu
Kushinda lazima tushende tunaima na chadema 😂
Mpunbaf ni ww ambaye hujui maana ya siasa
Hakika tuna wapi ambao hata ukiwapeleka chekechea bado watatoka kapa CCM imechokwa bado wanawategemea watu ambao hawajielewi na elimu kwao ni sifuri lkn itafika muda watajielewa tu Akija lala njaa cku mbili mwenye atafuata chadema wako wapi
Haki anzeni ndani ya chadema kwanza mwekeni mwenyekiti mpya wa chama aachie mboweee kwanza
😂😂😂Kenya waliasa ivyo tia biti
Kwani wewe unachoogopa nini ?
Ushindi wa haki si vinginevyo
Chadema inaongea ukweli
Mbona unaongea mwenyewe watu hamna au unahutubia wapita Njia
Tayari hata wewe ushasikiliza unatisha chawa mkubwa wewe
Pikipiki zinawauma na wewe towa pikipiki .Fedha zako ulichangia wapi . kusema nirahisi sana .CCM hamtaiweza hata mngepayuka kama vichaa
Hawataiweza kwenye nini? Mbona hauko wazi… kwani ccm si watu? Acha atoe hoj zake atamaliza tu na ujumbe unawafikia aliowalenga. Hongera rafiki.
Subili uone kweny uchaguz utakubali
@@clemencemkondya8561 hakika nimiongoni mwawalio laaniwa na wew ni mmoja wao.Ama kweli Africa is a black continent
@@BIGCHENDREADLOCKS CCM imefka mwisho mwanza nzima hatuitaki
Clement Mkondya unalipwa kiasi gani kua Chawa?
WW MPUMBAFU HAYO MANENO PELEKA KWA FAMILIA YAKO
Wew usiye mpumbavu mbona kama unadaliliza uk
Uchawa na uoga ndio umaskini wako
Chawa
@@JosephMagige-lf9nshuyu jamaa ni wa UK,,namshangaa sana,badala ya kuunga na watu wakwao,,yeye sijui anaungana na watu wapi hao,mtu kwao acha ushamba