#live

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • #live VURUGU ZA CHADEMA MUDA HUU WAMEFUNGA BARABARA KAMA KENYA

ความคิดเห็น • 31

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh 22 วันที่ผ่านมา +2

    Chadema itashinda kwa kishindo

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh 22 วันที่ผ่านมา

    Ww mabadiliko ni lazima kwan we we ufunga mkataba na ccm acha kufeli maisha ni siasa et majukum

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 22 วันที่ผ่านมา +1

    Sisi ambao hatutegemei siasa ,tunapenda amani ili tupate muda wa kwenda kubangaiza ili watoto wetu wale ,na hawa Wakipewa ubunge wananyamaza kimya na gari watatumia kama viongozi wengine ,mbona hatujaona wabunge wa chadema au cuf wakigoma KUCHUKUA mishahara mikubwa au posho za bungeni ???

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh 22 วันที่ผ่านมา +1

    Watu ni WWE unayeweka bando na kusikiliza syo mpakauendeko

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa 21 วันที่ผ่านมา

    Tanguliza ndugu na wanao mbele kwenye vurugu

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 22 วันที่ผ่านมา

    Sera zingine sizielewagi vizuri

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa 20 วันที่ผ่านมา

    Viti Vya Chadema Vinarudi Tena. Bungeni.😱

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 22 วันที่ผ่านมา

    Dah jombaa amani kwanza we lete sera tupime habari ya mspanga tena?hapo ndipo mnapo feli mmmmm chadema yangu

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l 22 วันที่ผ่านมา

    Kushinda lazima tushende tunaima na chadema 😂

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mpunbaf ni ww ambaye hujui maana ya siasa

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 21 วันที่ผ่านมา

    Hakika tuna wapi ambao hata ukiwapeleka chekechea bado watatoka kapa CCM imechokwa bado wanawategemea watu ambao hawajielewi na elimu kwao ni sifuri lkn itafika muda watajielewa tu Akija lala njaa cku mbili mwenye atafuata chadema wako wapi

  • @theophilyedward2448
    @theophilyedward2448 21 วันที่ผ่านมา

    Haki anzeni ndani ya chadema kwanza mwekeni mwenyekiti mpya wa chama aachie mboweee kwanza

  • @linetnekesa
    @linetnekesa 22 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂Kenya waliasa ivyo tia biti

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 22 วันที่ผ่านมา

    Ushindi wa haki si vinginevyo

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao 22 วันที่ผ่านมา

    Chadema inaongea ukweli

  • @nyanjachannel5517
    @nyanjachannel5517 22 วันที่ผ่านมา

    Mbona unaongea mwenyewe watu hamna au unahutubia wapita Njia

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 22 วันที่ผ่านมา +1

      Tayari hata wewe ushasikiliza unatisha chawa mkubwa wewe

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 22 วันที่ผ่านมา +2

    Pikipiki zinawauma na wewe towa pikipiki .Fedha zako ulichangia wapi . kusema nirahisi sana .CCM hamtaiweza hata mngepayuka kama vichaa

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 22 วันที่ผ่านมา

      Hawataiweza kwenye nini? Mbona hauko wazi… kwani ccm si watu? Acha atoe hoj zake atamaliza tu na ujumbe unawafikia aliowalenga. Hongera rafiki.

    • @BIGCHENDREADLOCKS
      @BIGCHENDREADLOCKS 22 วันที่ผ่านมา

      Subili uone kweny uchaguz utakubali

    • @JosephMagige-lf9ns
      @JosephMagige-lf9ns 22 วันที่ผ่านมา

      @@clemencemkondya8561 hakika nimiongoni mwawalio laaniwa na wew ni mmoja wao.Ama kweli Africa is a black continent

    • @dizzosukariyaoSukariyao
      @dizzosukariyaoSukariyao 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@BIGCHENDREADLOCKS CCM imefka mwisho mwanza nzima hatuitaki

    • @binsherbal6089
      @binsherbal6089 22 วันที่ผ่านมา

      Clement Mkondya unalipwa kiasi gani kua Chawa?

  • @cosmaskulwa3297
    @cosmaskulwa3297 22 วันที่ผ่านมา +2

    WW MPUMBAFU HAYO MANENO PELEKA KWA FAMILIA YAKO

    • @JosephMagige-lf9ns
      @JosephMagige-lf9ns 22 วันที่ผ่านมา

      Wew usiye mpumbavu mbona kama unadaliliza uk

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 22 วันที่ผ่านมา

      Uchawa na uoga ndio umaskini wako

    • @evelynmwaimu-vd9jo
      @evelynmwaimu-vd9jo 22 วันที่ผ่านมา

      Chawa

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@JosephMagige-lf9nshuyu jamaa ni wa UK,,namshangaa sana,badala ya kuunga na watu wakwao,,yeye sijui anaungana na watu wapi hao,mtu kwao acha ushamba