Mnapochanganya siasa zenu na maandiko matakatifu ndipo mnapopoteza mwelekekeo wa uadilifu na kupotea kisiasa. Hamueleweki wabunge wetu, mnahubiri dini Au mnajinadi kisiasa....?
Ningekukubali zaidi kama ungetoa amri mbele ya press anaepiga honi akamatwe mara moja maana hayo mazingira hayamruhusu kufanya hivo alikua akivunja sheria mbele ya dora ilionekana kabisa alikua anakukera
Arusha kuna wizi wa pikipiki uliokithiri watu wanakufa mara kwa mara na hilo pia tusaidiwe vijana wanajeruhiwa na kuuwawa tunaomba vikosi vitumwe kuwabaini hao maharamia wanaotafuta pikpik kwa nguvu
Hongera Sana Makamanda Kwa Kutumia Masaa 48 Tu Kumkamata Mwizi Pamoja Na Mali Alizokua Ameiba.. LAKINI PIA, KIPINDI KILE LISSU AMEPIGWA RISASI KWANINI HAMKUTUMIA MASAA 48 KUWAKAMATA WALE WASIOJULIKANA.. KAMA MLIVOFANYA LEO KUKAMATA HAWA VIBAKA?!
Ma RPC wengne nashauri acheni kupenda kamera,,,,kama mmefanya kazi hakuna haja ya kutangaza kila kitu,,,,mengine yaishie huko axee!!! Arusha, Dodoma, na mwanza !!em jirudi ,,,hata IGP alishawambia
Kenya wanafanya biashara sisi tunazidi kulala tukisthuka Bei imeshuka au Haina soko dhaaa watanzania......... Cha ajabu kwenye dawa za binadam inahusika Sasa sijui uwa mnanunua wapia...... Kama amjui inapolimwa au mnafata jamaika
Asante munqu malipo ni hapa hapa.leo.umepatikana ss.ccm.imekuqeuka.mzee.baba nashkuru sna laana iwe.juuu yako
Asante sana jeshi letu ra polisi kwa kazi nzuri mwenyez MUNGU awazidishie nguvu
i admire and respect these tanzanian police commander j shanna he so open to the public and addresses the public openly no hiding of any evidence
Hongera sana Askari wetu, wanataka kuifanya Arusha yetu pahala PACHAFU, tupaweke Arusha sawa
Hongera sana Kamanda na vikosi vyako,hii ndiyo kazi njema kwa mujibu wa katiba yetu,
Safi sana makamanda kwa kazi yenu nzuli na kupambana na waovu
😂😂😂😂. Karibuni kenya. Mirungi uku ni mmea wa kawaida
Kaz nzuri sanas
Anayemiliki hiyo pisto apunguze uzembe kdgo unaibiwaje kifaa cha ulinzi mkuu tena cha kutembea nacho
Hizo pesa semeni vizuri.
Chalii wa chugar
Full time and
Must funny Comedy 😃😃😃😃😃
Kamateni MAJAMBAZI-big up sana, mirungi, gongo, waachie wanaojua UTAMU na faida zake
Duu namwona Daruwesh" Abass Ramadhani Mkindi.Home sweet Home
Kamanda Sirro turudishie Rpc wetu mwanza tafadhali
Uko vizuri kamanda, chapa kazi Baba.
Swaum hadi huku hongera
Haaaa haaa haaa nimecheka sana ilitaka awe wapi tena ndugu
pongezi sana kwa kazi nzuri
Hongera sana kamanda wetu hukusisi mwanza tumekumic sana
Wowww dahhhh safi sana jeshi la polisi, sukuma ndani fasta bila maelezo afu waishie magereza miaka 15
Gongo Ya Arusha Usiombe🙌🙌
Simba spot clab
Simba
Hongereni sana wakuu wetu
vry gd kamanda Tupo pamoja nawe
pongezi kwa jeshi la police.
Wafungwetu hao wezi tumechoka
Big up my police force
Mm napenda mirungi sana
kwenye mirungi apo dah,🤣🤣 kenya iyo nikama kunywa maji tu
Asante jeshilapolisi
Hogera sana kamanda
Ila MUNGU amesikitika kilio cha wengi mjusi alizuru watu sana kwa kivulu cha ccm
Makamanda wetu wako makini sana
Kenya mirungi ruksa tz marufuku!!! Jumuiya ya Africa mashariki oyeee
Hongereni sana jeshi la police.
Nawasalimia wrote wanaotazama ukombozi TV mwanza from kenya
Kamanda nakukubali sanaaaaaaaa
Hongera kwa kaz mkuu
Uko pouwa kamanda
AkA
Upo vizuri sana Lakini Gongo usi imwage Dawa ya cv19
namukubali sana huyu kamanda
Tunakukumbuka mwanza.
Dude
Mnapochanganya siasa zenu na maandiko matakatifu ndipo mnapopoteza mwelekekeo wa uadilifu na kupotea kisiasa. Hamueleweki wabunge wetu, mnahubiri dini Au mnajinadi kisiasa....?
simlikatazwa kuonyesha watuhumiwa bado hamkomi, siro ona yanajirudia
Rest in Eternal Peace,
Nimekukubali Afande
kwa biti za bongo fleva na jinsi ya kuzitengeneza subscribe kwenye channel yangu
Huyu Kamanda ananifurahisha sana kikosi kabambe na gongo ya arusha usiombe 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂
wamechomwa hao na watu wala sio kikosi chako kamanda
😄
Huyu RPC sijui kwanini alihamishwa Mwanza?. Kamanda alitufaa sana
Kamanda pesa kwel hamjakamata acheni ixo
shukran
Yani huyo dereva kule angeendelea kupiga honi. Wangemfata mjinga
hahahah., kuna wakati walimcheki nikasema kaisha., hahahah
hivi walimsamehe kweli
😂😂😂😂
Barakoa ziko wapi?
RIP
dah hyu kamanda noma
Kamanda tunakukubali mwanza tunasalute
Kamanda mti ni dawa yako si nyinyi no wavuta Bhangi.
hapo sawa sio mnakimbizana na boda boda mtaani Alf uhalifu unaendelea
Gongo si imeruhusiwa jamani afu gongo ni Tarent MTU kupika watafutie kiwanda muwaajili wapike gongo
Bongo movie sabrina
nawakubali sana jeshi lapolisi mnatisha
Gongo LA arusha usiombe...hahaaa
Kazi nzuri lakini huyo anayo we milioni 6 nymbani hajui benki ilipo ni uongo tu
Naiyomba serikali wasamehewe vijana hao kupunguziwa vivungo
Eee alieiba bastora na kuzipoteza Laki sita nyumba ndogo mboni hatuonyeshwi? Noma noma Hahaaaahaaaaa🤣🤣🤣
Pole wajina
Ww lala salamaa mzeee
Afande tembelea sana eneo la matejo , ngarenaro na ungalimited. Yani ni ku kamata tu mlevi wa gongo atakupeleka hadi alipo nunulia
Wanashikaje vitu vya r kwaiyo leo sichani???
I don't understand the laungage wat is going on there plz help!!
Zepipo hia go steal a.bastola and.6.million polisi kechi zemu anoza kuku gongo the.best in arusha kali sana.my friendi understand now.aaa nawewe bwana jifunze.kiswahili
Huyu RPC ana sifa sana japo ana chapa kazi
Kiki
Ningekukubali zaidi kama ungetoa amri mbele ya press anaepiga honi akamatwe mara moja maana hayo mazingira hayamruhusu kufanya hivo alikua akivunja sheria mbele ya dora ilionekana kabisa alikua anakukera
Mmmmh kwel pambana nao hao wauza mirungi
Hiyo milioni 6 mmmh cjui ngoja ninyamaze tu
Namuona mzee abbas daruwesh kwa mbaali😁😁
Darweesh anafanya nini hapo ?
Darweesh anafanya nini hapo ?
Sasa pesa mbn hajakamata
Kwa uimara huu wa Jeshi letu la polisi hata wasiojulikana lazima wajulikane.
Duh!,kweli kabisa jeshi la polisi lenyewe lina uwezo mkubwa wa kufanya kazi zake pale inapokua halijaingiliwa na AMRI ya kutoka JUU.
Saf sana
Sirro turudishie rpc wetu mwanzaaaa
Kweli
Aje afanye nn mwanza tena kashatoka huko sasa yupo arusha japo na mm cyo mtu wa arusha piga kazi kamanda
Bungen tunataka tupitishe Bang e
Awadhi wazungu wote sio waweke zaji kwa hiyo Acha ushamba wa kuabudu wazungu na fkra za kiko loni kupenda kutawa liwa na wazungu
kabisaaaa
Kwani mkoloni hasa ni.nani???? Kwani nikiwa na wanyamwezi 7 shambani kwangu wanalima, hivyo na mimi ni mkoloni ???
Shukurani zikuende shemeji yangu
Ila mzee Baba sialisema hii kitu cha valuer cpoa kuzalishwa au ckuwa nimemuelewa vizuri ba Jescha
Kazinzuli afande
Milion 6 mmepiga afande haiwezekani
wameuzwa hao jamani daaah
sasa mkishaikamata hiyo mirungi mbona hamtuambii mnaipeleka wapi? Mbona hatujawahi kushuhudia mkiichoma hadharani
Safiiii
Jamani pongez kwa polisi
Mukuu tuonyeshe jumanne mjusi tumjue cyo hao mirungi mbona kawaida ilo la bunduki ndio hatari
Hizo pesa zifatiliwe kuanzia mwanzo mpaka mtumiaji wamwisho kupitia hicho kikosi zitapatikana
huyu siyo kamanda wa arusha bali ni kamishna mkuu wa operesheni nchini tanzania. anazunguka nchi nzima bila kipingamizi
Hela ndioo ..
Hahaha gongo ya arusha usiombe
Arusha kuna wizi wa pikipiki uliokithiri watu wanakufa mara kwa mara na hilo pia tusaidiwe vijana wanajeruhiwa na kuuwawa tunaomba vikosi vitumwe kuwabaini hao maharamia wanaotafuta pikpik kwa nguvu
Tanzania wizi ni cash crop
Mju ni kada tena green guard
Kumbe unamjua
Hongera Sana Makamanda Kwa Kutumia Masaa 48 Tu Kumkamata Mwizi Pamoja Na Mali Alizokua Ameiba..
LAKINI PIA, KIPINDI KILE LISSU AMEPIGWA RISASI KWANINI HAMKUTUMIA MASAA 48 KUWAKAMATA WALE WASIOJULIKANA.. KAMA MLIVOFANYA LEO KUKAMATA HAWA VIBAKA?!
Barry Ryoba Lisu sialipigwa na wenzie ili apatie kiki?
Kangaroo
Maisha magumu babaaa kumebana mzeee toto yote yataka Kula ugali hamna ajira hamna
Ma RPC wengne nashauri acheni kupenda kamera,,,,kama mmefanya kazi hakuna haja ya kutangaza kila kitu,,,,mengine yaishie huko axee!!! Arusha, Dodoma, na mwanza !!em jirudi ,,,hata IGP alishawambia
Mbona siku hizi watanzania tunaitana kwa makabila? Is there any relevance kusema jamaa ni mpare?
Mkitaka kutokomeza usaji wa miraa waulizeni hao vijana mahali wametoa na wanampelekea nn sababu hiyo miraa siyo yao ni oda wamepewa waisafishe.
Kenya wanafanya biashara sisi tunazidi kulala tukisthuka Bei imeshuka au Haina soko dhaaa watanzania......... Cha ajabu kwenye dawa za binadam inahusika Sasa sijui uwa mnanunua wapia...... Kama amjui inapolimwa au mnafata jamaika
Hio nyo kali