Polisi Dodoma ilivyombananisha mkulima wa bangi “Nilienda kwa mganga”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Kamanda wa Polisi Dodoma Gilles Muroto alifunga safari hadi katika msitu wa Wotta uliopo kijiji cha Mwanawotta Wilaya ya Mpwapwa mkoani humo na kuendesha Operation ya kufyeka na kuchoma mashamba ya bangi ambapo pia katika tukio hilo Askari walifanikiwa kumkamata mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Julius Luagala mwenye umri wa miaka 51 kwa tuhuma za kujihusisha na kilimo cha zao hilo.

ความคิดเห็น • 293

  • @EDGAR-i3z
    @EDGAR-i3z ปีที่แล้ว +3

    huyo mzee dish sidhan kama liko sawa

  • @vyakula_na_tiba4997
    @vyakula_na_tiba4997 6 ปีที่แล้ว +4

    kama huwa mnatumia hicho kiungo cha mboga gonga like

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 6 ปีที่แล้ว +54

    Sasa mnachoma bangi mpo hapo c mnavuta na nyinyi😂😂😂😂😂😂

    • @karimmwinakarimmwina7560
      @karimmwinakarimmwina7560 6 ปีที่แล้ว +1

      vizuri afande KO mesh a wamezidi

    • @zainabboo3205
      @zainabboo3205 6 ปีที่แล้ว +1

      Habily BoyTz ha ha ha watatangulia wenyewe kituoni kujishitaki

    • @destiny4life439
      @destiny4life439 6 ปีที่แล้ว +1

      +Zainab Boo sawa na ww lima upate tabu

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 6 ปีที่แล้ว +1

      Habily BoyTz kweli kabisa😯😂😂😂😂😂😂

    • @deadcrush
      @deadcrush 6 ปีที่แล้ว +1

      Hapana! Ni mpaka ivutwe jinsi inavyotakiwa.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinge na akuweke kamanda kazi mzr sana piga kazi baba 🙏

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 6 ปีที่แล้ว +2

    KAMANDA WA DODOMA KWA KAZI NI NZURI SANA.👏

  • @mzikiwetulyricsofficiall5003
    @mzikiwetulyricsofficiall5003 5 ปีที่แล้ว

    RPC murotto hkk unambana mtu ile ile hkk maswali yk nimeyapenda kazi nzuri kamanda nakubari na na mm naunga mkono juu ya hilo

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 ปีที่แล้ว +1

    Daah inawezekana Uyu ndie aliyekuwa anamuuzia Wema Sepetu na Rayc maana sio mchezo hizo ni nomaaa

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana kamanda 🙏

  • @saidishehoza150
    @saidishehoza150 6 ปีที่แล้ว +1

    kazi nzuri.

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 ปีที่แล้ว +37

    mbona huyu mzee hkuna haja ya kumfunga pingu,Tufanye research tujue why watu walime bangi badala ya mazao mengine?

  • @sciencearusha5951
    @sciencearusha5951 6 ปีที่แล้ว +29

    RPC Murotto maswali yako huwa yananikosha sana

    • @fredymagida7382
      @fredymagida7382 6 ปีที่แล้ว +3

      Science Arusha Kamanda hata Me namkubali

    • @myself4128
      @myself4128 6 ปีที่แล้ว +1

      Science Arusha HANA KAZI....ANAACHA MASUALA YA KIUSALAMA ANAKIMBILIA KESI ZA BANGE??? KWANI JESHI LA POLISI HALINA MSEMAJI??MZEE MSAKA KIKI TU HUYU HANA JIPYA NA SURA YAKE KAMA BUNDUKI

  • @jumaomary4815
    @jumaomary4815 4 ปีที่แล้ว +1

    Daah! Inauma xn

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 6 ปีที่แล้ว +1

    Bangi is medicine

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 6 ปีที่แล้ว

    Mzee mroto nakukubari sana sana

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha13 6 ปีที่แล้ว

    hongera

  • @farajibugi9924
    @farajibugi9924 6 ปีที่แล้ว

    Aah huyu kamanda bhana ana sifa sana kwenye mambo yasiyo na maana

  • @HalikiRasuli-ko9rv
    @HalikiRasuli-ko9rv 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mahouse gelo

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 4 ปีที่แล้ว +1

    Kalima kubwa asee, uo utajiri wake

  • @masudiitembele5414
    @masudiitembele5414 6 ปีที่แล้ว +13

    daaah nani hapo mzee sasa halafu nyinyi mnawakamata hao watoto wakati mapapa mnawaacha wanao uza madawa ya unga

  • @joshuapaschal5541
    @joshuapaschal5541 5 ปีที่แล้ว

    Sample amepatikana dah

  • @jumashabani7068
    @jumashabani7068 6 ปีที่แล้ว +13

    Bangi tamu sanaaaa ,Mimi naipenda mno

    • @charlesmushi5350
      @charlesmushi5350 6 ปีที่แล้ว

      Juma Shabani acha utaahira wewe sifa za kijinga

    • @josephmtenga582
      @josephmtenga582 6 ปีที่แล้ว

      😂 😂 Njooni mumkamate uyu ukuuuuuu

    • @petromwinyi4955
      @petromwinyi4955 6 ปีที่แล้ว

      Juma Shabani yaani napata kaharufu kwa mbaaalii duuuu utamu Wa bangi banaaaa

    • @EricMligo
      @EricMligo 5 หลายเดือนก่อน

      😢njoo uchukue cha arusha

  • @kennycathles
    @kennycathles 6 ปีที่แล้ว +1

    Bangi ni Dawa.

  • @ramadhaniathumanimlenge6641
    @ramadhaniathumanimlenge6641 6 ปีที่แล้ว +9

    Muacheni tu maana hana msaada

  • @danielpaschal554
    @danielpaschal554 6 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali

  • @hamisimarandu5627
    @hamisimarandu5627 6 ปีที่แล้ว

    Kamanda huyu no safi sana

  • @posterfarjarman967
    @posterfarjarman967 3 ปีที่แล้ว

    siasa,,,

  • @_.andy1andy685
    @_.andy1andy685 5 ปีที่แล้ว

    Medication

  • @hashimuchikayuma
    @hashimuchikayuma 8 หลายเดือนก่อน

    wa mtwara ongera sana jeshi la polic

  • @abelbiswaro8018
    @abelbiswaro8018 6 ปีที่แล้ว

    Polen mungu awape kaz za kufany zipo nying

  • @khadijayasir8532
    @khadijayasir8532 4 ปีที่แล้ว

    Ligalise it....... In love with weed from kenya

  • @galakxytzofficial5004
    @galakxytzofficial5004 6 ปีที่แล้ว

    😁😁😁umze ana nifurahisha sana

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 6 ปีที่แล้ว

    Hapo mm ndoo nachoka wangekuwa vijana mnasema vijana umri mdogo kama huu ndoo mnajishilikisha na kulima bangi wawe na mri mkubwana umri mkubwa ndoo unajishikisha na kula bangi sasa walime wa umri gani

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 6 ปีที่แล้ว

    Wata pata tabu sana na rudia tena wata pata tabu sana iseeeee hahaaaaaa nakukubari sana mzee Mroto

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 4 ปีที่แล้ว

      baba wwatu mumuache kuna vitu vingi sana vipo kwenye jamii mbona hamuvikemei

  • @abdulrazakshaali4994
    @abdulrazakshaali4994 3 ปีที่แล้ว +1

    bangi mimea t kam mimea nyengine mbn wasanii wakubwa hwakmatw n wnvuta bangi kam afande sele

  • @WaziriOmari-f3h
    @WaziriOmari-f3h หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee anamuhojigi muhalifu huku kamshika bega kumfariji mtuhumiwa anaona ataachiwa huru kumbe anaenda jela 😂😂😊

  • @kenedynashon9717
    @kenedynashon9717 6 ปีที่แล้ว

    Huyu kamanda ana maswali ya mitego balaa😁😁😁😁

  • @angelusilljujalijuja9852
    @angelusilljujalijuja9852 6 ปีที่แล้ว

    RPC upo vizuri

  • @aureliebeatrice5952
    @aureliebeatrice5952 6 ปีที่แล้ว

    Jmn siyo poa ivyo ...we kamanda ☹️☹️

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 6 ปีที่แล้ว +5

    watanzania nawambien ukwel hua naumia napowaona wez kama kina tibaijuka,change,nawengine wakitamba mtaani lkn masikini wakifanywa ivo,mungu tuokoe.

  • @goodnessexcellence707
    @goodnessexcellence707 6 ปีที่แล้ว +1

    Ongera Sana kamanda kwalazi unazozipiga lkn angalia wasikuue maana unaokiereere sana

  • @sylvestermatinde7527
    @sylvestermatinde7527 5 ปีที่แล้ว +3

    Kwenye kushika bangi namba moja VP wezi na mafisadi walioiba taifa na mnawajua

    • @EricMligo
      @EricMligo 5 หลายเดือนก่อน

      Polisi ni Kama nyumbu

  • @AminosALLY-ub5gw
    @AminosALLY-ub5gw 7 หลายเดือนก่อน

    KAZI. IPO

  • @KimwelyShebughe
    @KimwelyShebughe หลายเดือนก่อน

    Huyo gea 8

  • @raygunmaterial1344
    @raygunmaterial1344 6 ปีที่แล้ว +1

    Dah, shaza zinapigwa moto hadi roho inaniuma

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 6 ปีที่แล้ว

    Kwelii kamanda wanakua wamelegea

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 4 ปีที่แล้ว

    Ingekuwa dhahabu ingekuwa ya police ila kwakuwa nibangi basi niyako mzee wey weka tu mkono juuh

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 6 ปีที่แล้ว

    Hyu kamanda namkubali san 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtapata tabu sanaaa kipigo chake kitakua nikipigo cha mbwa koko

  • @jobkofficial1591
    @jobkofficial1591 2 ปีที่แล้ว

    Wanaharibu hela hawa!

  • @rashidhussein6152
    @rashidhussein6152 4 ปีที่แล้ว

    Kilimi cha kawaida mnazuiaa watuu kuuza njee...na bado mauxo ya ndan makodi kibaaoo sa mtu afanyeje sasa..

  • @landlord440illuminate8
    @landlord440illuminate8 6 ปีที่แล้ว +11

    Hiyo ni dawa ya degedege. Mkakamate wauwaji na watekaji. Konyagi ina madhara kuliko bangi.

  • @alhabibunjuu715
    @alhabibunjuu715 6 ปีที่แล้ว +33

    Wangapi mnafurahishwa na kamanda muruto kwa mikato yake,, ya kuuliza maswali

  • @romanngendo
    @romanngendo 6 ปีที่แล้ว

    This commander should come to kenya n we see if he got the guts😂😂

  • @yahayaalex6605
    @yahayaalex6605 6 ปีที่แล้ว +1

    Ajira hakuna jamani akiiba nizambi napia bangi ndo inamfanya endeshe maisha yake chaku ishauli selikali kama wamekata bangi napia hawataki aendelee na kulima bangi inabidi wampe mtaji ili aweze kuendesha familia yake maana kwa umli alio fikia hawezi kufanya biashala nyingine zaidi ya bangi mazao hayana faida napia hakuna bei lasmi ya mazao

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 5 ปีที่แล้ว +1

    Ila apo kunamaafande wanavuta mkuu

  • @WaziriOmari-f3h
    @WaziriOmari-f3h หลายเดือนก่อน

    Hii ni Dodoma sehem gani inatoa kijani kibichi hivi na Dodoma ni jangwa

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana8787 5 ปีที่แล้ว +1

    Bangi ni mbaya kwakwel

  • @Kavrm-c8n
    @Kavrm-c8n 6 ปีที่แล้ว

    Huyu babu ni muigizaji kweli kweli yaani kanikumbusha majuto marehemu

  • @josephcharlemagne3577
    @josephcharlemagne3577 6 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen jesus

  • @yasinamos3365
    @yasinamos3365 5 หลายเดือนก่อน

    Mngekuwa mnawakamata nawanao kula hela za umma zingependeza

  • @thadeymligo2109
    @thadeymligo2109 6 ปีที่แล้ว

    unafeli kamanda bangi tam mnoo mwachie tu. jaman a MWe. we kamanda misifs

  • @sojaruben1757
    @sojaruben1757 4 ปีที่แล้ว

    jamani bangi sio mbaya mbn gamaika wanatumia mfano bob male ilikuwa anavuta bangi na kacha history kubwa duniani tufanye uchunguz kubain bangi pengine ni tiba

  • @abbysauko3725
    @abbysauko3725 6 ปีที่แล้ว

    Watapata tabu sana..
    Nasema watapata tabu sana😀

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 4 ปีที่แล้ว

    Bangi hiyalalishwe n ipande beai uwone km watu watatumia
    Nambn sijawahi muon mtu aliye haribik kwakuvuta bangi

  • @haikam4272
    @haikam4272 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu dingi namkubali sana, Tanzania maafisa wote wawe na moyo wa kulipenda Taifa kama alivio basi, kwa kila MTZ atapata amani.

  • @iddiaman6418
    @iddiaman6418 6 ปีที่แล้ว

    Mh anailima kabisa bila woga hatar sana

  • @EdwardMajor08
    @EdwardMajor08 6 ปีที่แล้ว

    Ila mheshimiwa Raisi ameshakataa Polisi wake kwenda kukata bangi

  • @abdullahimoxamed6248
    @abdullahimoxamed6248 3 ปีที่แล้ว

    Bangi ni dawa isipokuwa wengi hufanya mambo ndio wasifiwe , lkn mbn Askari wachome mali ya mtu na baadaye utawaona wakinunua hizo bangi

  • @frankanold9803
    @frankanold9803 6 ปีที่แล้ว

    Katazeni sigara,ruhusuni bangi,Bangi Haina madhara yoyote,tafuteni daktari yeyote awaambie,bangi haina madhara

  • @EricMligo
    @EricMligo 5 หลายเดือนก่อน

    Afande mbona na ww kama una vuta bangi nikiona sura yako

  • @pendobaharia7227
    @pendobaharia7227 3 ปีที่แล้ว

    Kwetu mpwapwa kwa bangi hatujambo 😁😁

  • @isackmakasy9603
    @isackmakasy9603 6 ปีที่แล้ว

    Huyo Atapata tabu saaana,😂😂😂😂

  • @ShabaniRamadhani-e5r
    @ShabaniRamadhani-e5r 6 หลายเดือนก่อน

    Mwachen

  • @hanskidd2290
    @hanskidd2290 6 ปีที่แล้ว

    Apo dodoma sehem gn mbn kun kjan kbch sana duh

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 6 ปีที่แล้ว

    mzee acha kuuliza maswali mengi huyo ni mzee mwenzio

  • @willyjulius7740
    @willyjulius7740 6 ปีที่แล้ว +1

    Ifanywe zao la biashara

  • @josephmpemba8951
    @josephmpemba8951 6 ปีที่แล้ว

    Hiii mbna dodoma tu

  • @vyakula_na_tiba4997
    @vyakula_na_tiba4997 6 ปีที่แล้ว

    subscribe kwenye youtube channel yetu kupata kipindi kipya kinachokujia karibuni kinachohusu mapenzi na namna ya kumnasa mpenzi anayekusaliti

  • @emmanuelkayogolo9397
    @emmanuelkayogolo9397 6 ปีที่แล้ว +1

    Dodoma mtapata tabu saana maana huu moto wa RPC wenu sopoaaa!!!

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv 6 ปีที่แล้ว +1

    Bangi dawa ya wtoto mulize bangine mboga

  • @ausimbwana26
    @ausimbwana26 6 ปีที่แล้ว

    Hawa jamaa si walikatazwa kuchoma na kung'oa bangi wakiwa na sare za jeshi.

  • @alicedusabe3988
    @alicedusabe3988 6 ปีที่แล้ว +1

    Muacheni tu kwani sibola akarime bangi bila kuiba

  • @cynobaby50
    @cynobaby50 6 ปีที่แล้ว

    Bangi haina tatizo bhanaaa 😂😂😂😂

  • @muhammadrajab1799
    @muhammadrajab1799 6 ปีที่แล้ว

    Mbona nyinyi polisi mnazivut hizo bangi kulikon

  • @MkendaMchungaji
    @MkendaMchungaji ปีที่แล้ว

    Hapanakabisa kamanda katakabis hatari hio

  • @kikameme5054
    @kikameme5054 6 ปีที่แล้ว +2

    izi ndizo mambo za kudanganyana eti kacha bani kumbe kawa muzaji

  • @nasraKauzeni
    @nasraKauzeni 8 หลายเดือนก่อน

    Sio vzur kumzalilisha huyu baba masikin mbona matajir wanaouza madawa ya kulevya hamuwasubui na wengine ni wafanyakaz serikalin au Kwa sababu Sheria inabagua inatekelezwa Kwa masikin tu, kama angekuwa kigogo asingedharirishwa

  • @joramsonedward6681
    @joramsonedward6681 5 ปีที่แล้ว

    Bangi haina mazara yoyotee

  • @babawa2633
    @babawa2633 6 ปีที่แล้ว

    Mh raisi aliagiza askar wake wasifyeke bangi.kamanda kamata kijiji chote vitu vngne haviitaji huruma afande mtoro

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 6 ปีที่แล้ว +2

    yaani imestawi mpka natamani,il hapo kapata hasara kweli

  • @lamalama5239
    @lamalama5239 5 ปีที่แล้ว

    Muroto go Back to school na ufanye reseach,Bangi ni Dawa! Wazungu wanawadanganya wakati huku ulaya ndio Bangi wanatengeneza dawa,nakuja kuwauzia, Hao washamba kama Muroto! Nenda Uganda wanalima Bangi kwa ajili da dawa!

  • @raphaelmhando7412
    @raphaelmhando7412 6 ปีที่แล้ว

    Mwenye nchi kakataza askari kufyeka badala yake kijiji ndio kifyeke

  • @sifaelmugitu8018
    @sifaelmugitu8018 6 ปีที่แล้ว

    Hivi hii tabia kwa polisi kufyeka na kuchoma bangi si ilishakatazwa na rais! Au hii video niya siku nyingi mimi ndo nimeiona leo

  • @briehjojo1515
    @briehjojo1515 6 ปีที่แล้ว

    😂😂😂jaman mtapata tabuuuu

  • @SHELYnaitakiasimbaushndipointB
    @SHELYnaitakiasimbaushndipointB 3 ปีที่แล้ว

    Na pombe nayo wangekuwa wanafanya kama wanavyofanya kwenye bange nchi ingesonga mbere maana pombe baya kuliko bangi

  • @mumybhay6561
    @mumybhay6561 5 ปีที่แล้ว

    chomeniiiiii mkesha choma na nyny wenyewe mtakua tyr mshavuta maana huo mzigo c mdg ..jiangalieni apo 😃😃😃😃

  • @milimomashini9432
    @milimomashini9432 6 ปีที่แล้ว

    Kwan mmesahau maaagizo ya JPM ya kuacha kukata bangi wakate wenyew..

  • @adinanjanuzaj6142
    @adinanjanuzaj6142 6 ปีที่แล้ว

    huu ni uonevu madawa ya kulevya una yaacha. nyinyi ndo eaingizaiji bangi ndo munajitia mupo makini

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 6 ปีที่แล้ว

    Hivi Rais alisema askari wasikate bangi au nilisikia vibaya...amedharau amri ya mkuu wa nchi

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 6 ปีที่แล้ว +1

    juzi raisi kasema asikari msikate bangi alielima na wanakijiji wa sehemu hiyo ndo wazikate