Polisi Dodoma ilivyombananisha mkulima wa bangi “Nilienda kwa mganga”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 มี.ค. 2018
  • Kamanda wa Polisi Dodoma Gilles Muroto alifunga safari hadi katika msitu wa Wotta uliopo kijiji cha Mwanawotta Wilaya ya Mpwapwa mkoani humo na kuendesha Operation ya kufyeka na kuchoma mashamba ya bangi ambapo pia katika tukio hilo Askari walifanikiwa kumkamata mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Julius Luagala mwenye umri wa miaka 51 kwa tuhuma za kujihusisha na kilimo cha zao hilo.

ความคิดเห็น • 281

  • @vyakula_na_tiba4997
    @vyakula_na_tiba4997 6 ปีที่แล้ว +2

    kama huwa mnatumia hicho kiungo cha mboga gonga like

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 6 ปีที่แล้ว +51

    Sasa mnachoma bangi mpo hapo c mnavuta na nyinyi😂😂😂😂😂😂

    • @karimmwinakarimmwina7560
      @karimmwinakarimmwina7560 6 ปีที่แล้ว +1

      vizuri afande KO mesh a wamezidi

    • @zainabboo3205
      @zainabboo3205 6 ปีที่แล้ว +1

      Habily BoyTz ha ha ha watatangulia wenyewe kituoni kujishitaki

    • @destiny4life439
      @destiny4life439 6 ปีที่แล้ว +1

      +Zainab Boo sawa na ww lima upate tabu

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 6 ปีที่แล้ว +1

      Habily BoyTz kweli kabisa😯😂😂😂😂😂😂

    • @deadcrush
      @deadcrush 5 ปีที่แล้ว +1

      Hapana! Ni mpaka ivutwe jinsi inavyotakiwa.

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 ปีที่แล้ว +36

    mbona huyu mzee hkuna haja ya kumfunga pingu,Tufanye research tujue why watu walime bangi badala ya mazao mengine?

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 6 ปีที่แล้ว +2

    KAMANDA WA DODOMA KWA KAZI NI NZURI SANA.👏

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 ปีที่แล้ว +1

    Daah inawezekana Uyu ndie aliyekuwa anamuuzia Wema Sepetu na Rayc maana sio mchezo hizo ni nomaaa

  • @user-je2kk6vi7y
    @user-je2kk6vi7y 9 หลายเดือนก่อน +2

    huyo mzee dish sidhan kama liko sawa

  • @sciencearusha5951
    @sciencearusha5951 6 ปีที่แล้ว +29

    RPC Murotto maswali yako huwa yananikosha sana

    • @fredymagida7382
      @fredymagida7382 6 ปีที่แล้ว +3

      Science Arusha Kamanda hata Me namkubali

    • @myself4128
      @myself4128 6 ปีที่แล้ว +1

      Science Arusha HANA KAZI....ANAACHA MASUALA YA KIUSALAMA ANAKIMBILIA KESI ZA BANGE??? KWANI JESHI LA POLISI HALINA MSEMAJI??MZEE MSAKA KIKI TU HUYU HANA JIPYA NA SURA YAKE KAMA BUNDUKI

  • @saidishehoza150
    @saidishehoza150 6 ปีที่แล้ว +1

    kazi nzuri.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana kamanda 🙏

  • @masudiitembele5414
    @masudiitembele5414 6 ปีที่แล้ว +13

    daaah nani hapo mzee sasa halafu nyinyi mnawakamata hao watoto wakati mapapa mnawaacha wanao uza madawa ya unga

  • @mzikiwetulyricsofficiall5003
    @mzikiwetulyricsofficiall5003 4 ปีที่แล้ว

    RPC murotto hkk unambana mtu ile ile hkk maswali yk nimeyapenda kazi nzuri kamanda nakubari na na mm naunga mkono juu ya hilo

  • @jumashabani7068
    @jumashabani7068 6 ปีที่แล้ว +11

    Bangi tamu sanaaaa ,Mimi naipenda mno

    • @charlesmushi5350
      @charlesmushi5350 6 ปีที่แล้ว

      Juma Shabani acha utaahira wewe sifa za kijinga

    • @josephmtenga582
      @josephmtenga582 6 ปีที่แล้ว

      😂 😂 Njooni mumkamate uyu ukuuuuuu

    • @petromwinyi4955
      @petromwinyi4955 6 ปีที่แล้ว

      Juma Shabani yaani napata kaharufu kwa mbaaalii duuuu utamu Wa bangi banaaaa

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha13 6 ปีที่แล้ว

    hongera

  • @sylvestermatinde7527
    @sylvestermatinde7527 5 ปีที่แล้ว +2

    Kwenye kushika bangi namba moja VP wezi na mafisadi walioiba taifa na mnawajua

  • @jumaomary4815
    @jumaomary4815 4 ปีที่แล้ว +1

    Daah! Inauma xn

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 6 ปีที่แล้ว +5

    watanzania nawambien ukwel hua naumia napowaona wez kama kina tibaijuka,change,nawengine wakitamba mtaani lkn masikini wakifanywa ivo,mungu tuokoe.

  • @ramadhaniathumanimlenge6641
    @ramadhaniathumanimlenge6641 6 ปีที่แล้ว +9

    Muacheni tu maana hana msaada

  • @khadijayasir8532
    @khadijayasir8532 3 ปีที่แล้ว

    Ligalise it....... In love with weed from kenya

  • @danielpaschal554
    @danielpaschal554 6 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali

  • @hashimuchikayuma
    @hashimuchikayuma หลายเดือนก่อน

    wa mtwara ongera sana jeshi la polic

  • @_.andy1andy685
    @_.andy1andy685 4 ปีที่แล้ว

    Medication

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 6 ปีที่แล้ว

    Mzee mroto nakukubari sana sana

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 3 ปีที่แล้ว

    Kalima kubwa asee, uo utajiri wake

  • @posterfarjarman967
    @posterfarjarman967 2 ปีที่แล้ว

    siasa,,,

  • @user-ei2dj6ih5o
    @user-ei2dj6ih5o หลายเดือนก่อน

    Sio vzur kumzalilisha huyu baba masikin mbona matajir wanaouza madawa ya kulevya hamuwasubui na wengine ni wafanyakaz serikalin au Kwa sababu Sheria inabagua inatekelezwa Kwa masikin tu, kama angekuwa kigogo asingedharirishwa

  • @haikam4272
    @haikam4272 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu dingi namkubali sana, Tanzania maafisa wote wawe na moyo wa kulipenda Taifa kama alivio basi, kwa kila MTZ atapata amani.

  • @abdullahimoxamed6248
    @abdullahimoxamed6248 2 ปีที่แล้ว

    Bangi ni dawa isipokuwa wengi hufanya mambo ndio wasifiwe , lkn mbn Askari wachome mali ya mtu na baadaye utawaona wakinunua hizo bangi

  • @landlord440illuminate8
    @landlord440illuminate8 6 ปีที่แล้ว +11

    Hiyo ni dawa ya degedege. Mkakamate wauwaji na watekaji. Konyagi ina madhara kuliko bangi.

  • @lamalama5239
    @lamalama5239 4 ปีที่แล้ว

    Muroto go Back to school na ufanye reseach,Bangi ni Dawa! Wazungu wanawadanganya wakati huku ulaya ndio Bangi wanatengeneza dawa,nakuja kuwauzia, Hao washamba kama Muroto! Nenda Uganda wanalima Bangi kwa ajili da dawa!

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 5 ปีที่แล้ว

    Bangi is medicine

  • @rashidhussein6152
    @rashidhussein6152 3 ปีที่แล้ว

    Kilimi cha kawaida mnazuiaa watuu kuuza njee...na bado mauxo ya ndan makodi kibaaoo sa mtu afanyeje sasa..

  • @goodnessexcellence707
    @goodnessexcellence707 6 ปีที่แล้ว +1

    Ongera Sana kamanda kwalazi unazozipiga lkn angalia wasikuue maana unaokiereere sana

  • @yahayaalex6605
    @yahayaalex6605 6 ปีที่แล้ว +1

    Ajira hakuna jamani akiiba nizambi napia bangi ndo inamfanya endeshe maisha yake chaku ishauli selikali kama wamekata bangi napia hawataki aendelee na kulima bangi inabidi wampe mtaji ili aweze kuendesha familia yake maana kwa umli alio fikia hawezi kufanya biashala nyingine zaidi ya bangi mazao hayana faida napia hakuna bei lasmi ya mazao

  • @abdulrazakshaali4994
    @abdulrazakshaali4994 2 ปีที่แล้ว +1

    bangi mimea t kam mimea nyengine mbn wasanii wakubwa hwakmatw n wnvuta bangi kam afande sele

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 ปีที่แล้ว

    Ingekuwa dhahabu ingekuwa ya police ila kwakuwa nibangi basi niyako mzee wey weka tu mkono juuh

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 5 ปีที่แล้ว

    Hapo mm ndoo nachoka wangekuwa vijana mnasema vijana umri mdogo kama huu ndoo mnajishilikisha na kulima bangi wawe na mri mkubwana umri mkubwa ndoo unajishikisha na kula bangi sasa walime wa umri gani

  • @AminosALLY-ub5gw
    @AminosALLY-ub5gw 2 วันที่ผ่านมา

    KAZI. IPO

  • @babawa2633
    @babawa2633 5 ปีที่แล้ว

    Mh raisi aliagiza askar wake wasifyeke bangi.kamanda kamata kijiji chote vitu vngne haviitaji huruma afande mtoro

  • @abelbiswaro8018
    @abelbiswaro8018 6 ปีที่แล้ว

    Polen mungu awape kaz za kufany zipo nying

  • @farajibugi9924
    @farajibugi9924 6 ปีที่แล้ว

    Aah huyu kamanda bhana ana sifa sana kwenye mambo yasiyo na maana

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 3 ปีที่แล้ว

    Bangi hiyalalishwe n ipande beai uwone km watu watatumia
    Nambn sijawahi muon mtu aliye haribik kwakuvuta bangi

  • @raygunmaterial1344
    @raygunmaterial1344 6 ปีที่แล้ว +1

    Dah, shaza zinapigwa moto hadi roho inaniuma

  • @mariamumar1557
    @mariamumar1557 6 ปีที่แล้ว

    Daah

  • @josephcharlemagne3577
    @josephcharlemagne3577 6 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen jesus

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 6 ปีที่แล้ว

    Wata pata tabu sana na rudia tena wata pata tabu sana iseeeee hahaaaaaa nakukubari sana mzee Mroto

  • @joshuapaschal5541
    @joshuapaschal5541 4 ปีที่แล้ว

    Sample amepatikana dah

  • @HalikiRasuli-ko9rv
    @HalikiRasuli-ko9rv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mahouse gelo

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 3 ปีที่แล้ว

      baba wwatu mumuache kuna vitu vingi sana vipo kwenye jamii mbona hamuvikemei

  • @SHELYnaitakiasimbaushndipointB
    @SHELYnaitakiasimbaushndipointB 2 ปีที่แล้ว

    Na pombe nayo wangekuwa wanafanya kama wanavyofanya kwenye bange nchi ingesonga mbere maana pombe baya kuliko bangi

  • @sojaruben1757
    @sojaruben1757 3 ปีที่แล้ว

    jamani bangi sio mbaya mbn gamaika wanatumia mfano bob male ilikuwa anavuta bangi na kacha history kubwa duniani tufanye uchunguz kubain bangi pengine ni tiba

  • @romanngendo
    @romanngendo 6 ปีที่แล้ว

    This commander should come to kenya n we see if he got the guts😂😂

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana8787 4 ปีที่แล้ว +1

    Bangi ni mbaya kwakwel

  • @joramsonedward6681
    @joramsonedward6681 5 ปีที่แล้ว

    Bangi haina mazara yoyotee

  • @kenedynashon9717
    @kenedynashon9717 5 ปีที่แล้ว

    Huyu kamanda ana maswali ya mitego balaa😁😁😁😁

  • @kikameme5054
    @kikameme5054 6 ปีที่แล้ว +2

    izi ndizo mambo za kudanganyana eti kacha bani kumbe kawa muzaji

  • @user-je1id1tx1u
    @user-je1id1tx1u 3 ปีที่แล้ว

    Alikuwa anatesti mitambo na ardhi kama itakubali aje bungeni apendekeze kuwa eneo hilo linafaa manaa mliisha jadili kilimo hicho kwa hiyo naye alikuwa anafanya research

  • @galakxytzofficial5004
    @galakxytzofficial5004 6 ปีที่แล้ว

    😁😁😁umze ana nifurahisha sana

  • @emmanuelkayogolo9397
    @emmanuelkayogolo9397 6 ปีที่แล้ว +1

    Dodoma mtapata tabu saana maana huu moto wa RPC wenu sopoaaa!!!

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 6 ปีที่แล้ว

    Kwelii kamanda wanakua wamelegea

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 6 ปีที่แล้ว +6

    mnafanya kazi nzuri,lkn kwann msiwakamate mafisadi nawezi Wa escro ambao kila MTU anajua waliiba nchi nzima na nchi ishudie wakifungwa na sio kuishia mahabusu nn manake.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 ปีที่แล้ว

      Kwel kabisa wakamate na mafisadi

  • @thadeymligo2109
    @thadeymligo2109 5 ปีที่แล้ว

    unafeli kamanda bangi tam mnoo mwachie tu. jaman a MWe. we kamanda misifs

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 6 ปีที่แล้ว +1

    juzi raisi kasema asikari msikate bangi alielima na wanakijiji wa sehemu hiyo ndo wazikate

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 6 ปีที่แล้ว

    Hyu kamanda namkubali san 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtapata tabu sanaaa kipigo chake kitakua nikipigo cha mbwa koko

  • @lightnesshassan5814
    @lightnesshassan5814 ปีที่แล้ว

    Kamanda muroto ninoma ukiingia kwenye kumi na nanezake umeenda ndugu yangu

  • @ausimbwana26
    @ausimbwana26 6 ปีที่แล้ว

    Hawa jamaa si walikatazwa kuchoma na kung'oa bangi wakiwa na sare za jeshi.

  • @alicedusabe3988
    @alicedusabe3988 6 ปีที่แล้ว +1

    Muacheni tu kwani sibola akarime bangi bila kuiba

  • @jobkofficial1591
    @jobkofficial1591 ปีที่แล้ว

    Wanaharibu hela hawa!

  • @aureliebeatrice5952
    @aureliebeatrice5952 6 ปีที่แล้ว

    Jmn siyo poa ivyo ...we kamanda ☹️☹️

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 6 ปีที่แล้ว +2

    yaani imestawi mpka natamani,il hapo kapata hasara kweli

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 5 ปีที่แล้ว

    mzee acha kuuliza maswali mengi huyo ni mzee mwenzio

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv 6 ปีที่แล้ว +1

    Bangi dawa ya wtoto mulize bangine mboga

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 6 ปีที่แล้ว

    RPC anaweza fukuzwa kazi baada ya kuupuza agizo LA rais
    Rais alisema hajaajil polis kwa ajil ya kufyeka bangi
    Ukikuta shamba LA bangi kama wa husika au kijiji kizima wafyeke mpaka mwenye shamba apatikane
    Kamanda katumia polis kufyeka bang kuchoma
    Polis wametuta bangi Leo kupitia moshi

  • @vyakula_na_tiba4997
    @vyakula_na_tiba4997 6 ปีที่แล้ว

    subscribe kwenye youtube channel yetu kupata kipindi kipya kinachokujia karibuni kinachohusu mapenzi na namna ya kumnasa mpenzi anayekusaliti

  • @hamisimarandu5627
    @hamisimarandu5627 5 ปีที่แล้ว

    Kamanda huyu no safi sana

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews6913 6 ปีที่แล้ว

    Mbona pombe ina madhara kibao, uchizi, magonjwa ya ini, familia kuvunjika, watoto kukosa walezi, lakini bado mnairuhusu na watu wanapiga hela. Bangi iruhusiwe tu na wakulima na wauzaji walipe kodi.

  • @pendobaharia7227
    @pendobaharia7227 3 ปีที่แล้ว

    Kwetu mpwapwa kwa bangi hatujambo 😁😁

  • @kennycathles
    @kennycathles 5 ปีที่แล้ว +1

    Bangi ni Dawa.

  • @charlesgithiri0017
    @charlesgithiri0017 3 ปีที่แล้ว

    Sasa mnachoma weezenu watengeza pesa Duniani Haina haja kuwataja ,Pia ya kutumia ,?uliza Agrey mwanri Alie kua mkuu was mkoa waTabora
    .

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 6 ปีที่แล้ว

    Hivi Rais alisema askari wasikate bangi au nilisikia vibaya...amedharau amri ya mkuu wa nchi

  • @alengeswedi6962
    @alengeswedi6962 5 ปีที่แล้ว

    Huyu babu ni muigizaji kweli kweli yaani kanikumbusha majuto marehemu

  • @willyjulius7740
    @willyjulius7740 6 ปีที่แล้ว +1

    Ifanywe zao la biashara

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hk 19 วันที่ผ่านมา

    Moshi nao vipi apo sikuvuta pia au mm ndio sielew

  • @angelusilljujalijuja9852
    @angelusilljujalijuja9852 6 ปีที่แล้ว

    RPC upo vizuri

  • @inclyrics4384
    @inclyrics4384 6 ปีที่แล้ว

    hahahahahahh mganga alikufaa... kama ni uongo huu intaneshnoo

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 5 ปีที่แล้ว +1

    Ila apo kunamaafande wanavuta mkuu

  • @goldendesertmrgolden5976
    @goldendesertmrgolden5976 6 ปีที่แล้ว

    Afande mbwa koko raisi magu alishasema hataki kiona asikali wake wanafieka bangi sasa ww unaludi hukohuko kwenye makosa
    Harafu bangi ni dawa Mwenyezimugu hakuteremsha vitu kwa makosa mungu ni mkamilifu kwa kilakitu kuliko binadamu Tanzania etabaki kuwa inchi masikini duniani

  • @isayajohnson2150
    @isayajohnson2150 6 ปีที่แล้ว

    Hahahaa, afandee bana maswali yake tu me hoii

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 6 ปีที่แล้ว +4

    Mi nina swali nisaidieni wadau.hivi hapo wanapochoma bangi hyo yote huo moshi wakiuvuta hauwazulu? Au mpaka bangi iwe kavu? Mana naona hapo huyo afande anaechoma anajifanya anawasha kiberiti mara mbili huku moshi unamfunika usoni wala hakwepeshi😂😂😂.huo moshi si haujawadhuru hao walichoma na majirani kweli?

  • @tipeddie5322
    @tipeddie5322 6 ปีที่แล้ว +1

    Tunaluka mikojo uku tukikanyaga mavi.....wenzetu wanauza mirungi Kenya na inawasaidia ,bongo misigara ndo mnaiona inaumuhimu kwa serikali. Zuieni michezo ya kubet ndo inaaribu vijana kipindi iki.bangi ni dawa ya magonjwa kibao

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 3 หลายเดือนก่อน

    unatetea liba nawakat wewe umeisoma dini tukufu mbona Kaz ziponyingitu wewe matangazo yalibayanini mcheallah achana naliba achana namatangazo yamuzik

  • @pattymsetty5262
    @pattymsetty5262 6 ปีที่แล้ว +1

    ganja haina madhara hayo ya kipumbavu hizo nizama za kale ndo mana inaota kama mmea asilia ,ni upuuzi kubania watu ridhiki et dawa za kulevya ....naimani hakuna watu wanatumia sana kama askari ,na watu wenye wadhifa ..

  • @emmanuelbenedicto589
    @emmanuelbenedicto589 6 ปีที่แล้ว

    hii ni ya lini mnakiuka maagizo ya mkuu was Kaya askari wasikatishwe bangi wakusanyeni watu was maeneo hayo wakafyeke ili wamlaumu aliyelima agizo LA mkuu wa kaya ni amri.

  • @EdwardMajor08
    @EdwardMajor08 6 ปีที่แล้ว

    Ila mheshimiwa Raisi ameshakataa Polisi wake kwenda kukata bangi

  • @milimomashini9432
    @milimomashini9432 6 ปีที่แล้ว

    Kwan mmesahau maaagizo ya JPM ya kuacha kukata bangi wakate wenyew..

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 6 ปีที่แล้ว

    #kwa nn tusilime tukasafilisha ktk nchi ambazo wanatumia bangi?

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 6 ปีที่แล้ว +14

    huyu Mzee anapenda camera

    • @ayubudaniel8222
      @ayubudaniel8222 6 ปีที่แล้ว

      kweli kwahuyu mzee kamera kwake kiki tosha

    • @saidkaoneka2648
      @saidkaoneka2648 6 ปีที่แล้ว

      Jeremiah Sengasu 😂😂😂umeonae

    • @omarymbalala6224
      @omarymbalala6224 6 ปีที่แล้ว

      hadi anakera

    • @linussebastian6856
      @linussebastian6856 6 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂nimeshuka kwenye comment niseme hivyo nikakuta mshasema😂😂😂😂 au anatafuta msemo mwingine

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 6 ปีที่แล้ว

      Jeremiah Sengasu Mzee Tupi anapendwa Kramer’s au huoni anaopiga kaz? Au unaweza kupigwa kaz kama yake?

  • @fantsonmpango7742
    @fantsonmpango7742 6 ปีที่แล้ว

    Rais alisema polis wasifyeke bangi. Alisema kamata kijiji kizima wafyeke

  • @amaniabraham9313
    @amaniabraham9313 6 ปีที่แล้ว

    Bangi tamu jamani

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 6 ปีที่แล้ว

    hahahahahahaha hao polis naona wanazid kuchangamka kila znavozid kuungua, alf huyo mzee keshakua maarufu... mchangamfu sana

  • @iddiaman6418
    @iddiaman6418 6 ปีที่แล้ว

    Mh anailima kabisa bila woga hatar sana