KAULI TATA ZA VIJANA WA ARUSHA MAARUFU KAMA WADUDU "MKIA JUU MWENDO WA NGIRI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ค. 2023
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Nawakubali sana hawa jamaa, Huwa Wana love Fulani hivi ambayo huwezi pata mahali popote
Ni kweli kabisa wanaupendo wa ajabu sana tz hakuna vijana wapo na upendo Kama chuga poleni sana
Arusha is the one of most gang*s city in the world.....👊
Yaani hawa bora ukutane na mwizi kuliko hawa watu..hizo sura na mapengo
au sio
Arusha Kuna jini gan
I love my chuga🥰
jamaa anausokota hapohapo 🤣🤣🤣🤣
waacheni vijana huo ndio wakati wao ipo siku watatulia
Mwendo wa ngiri mkia fyadede .mungu apend ukigisa kwanyuma. Ila jomba wambele alitaka aguswe kwa nyuma❤😅😅
😅😅😅 tanzaniaa mkoa pekee wenye utalii yote ni arushaa
Upuuzi tu
unyama sana hapo R
😂😂😂hahahaha awa majomba ni shidaa na mbn kawasha shadaa mbele ya serikali
Asee mmetish
Mkia juu mwendo wa ngiri
Yaani hawa wadudu hawa 😅sijui hizi misamiati wanazipatiaga wapi😂
Tatizo shule walituficha hii ni misamiati ya baba lababa baba wa dunia asee
@@Abdalakangile1😂😂
Cannabis sativa
Mama vanesa nikwere sana
Chuga haipo tanzania...
Jamaa ananyonga mbele ya cmer
Na wala hawazi wala nn😂😂😂😂
Hawa wadudu wananyonga hadharani daaah!Ni Tz hii hi kweli!
kiashiria wote
Kwanza sura zao moja kwa moja ni vibaka hata huulizi hiki.kizazi tabu ipo jamani hivi arusha bangi na gongo mnazotumia zinatoka kenya au? Maana sielewi
Tulia Wewe Uko Ulipo,Machalii wengi wa Ololoo sio wote wanakula kijiti au Gongo, na bangi wanakula sehemu nyingi ya hii nchi Arusha Hii ni culture
Ninyi wadudu kama mnazika Kwa mikono basi chimbeni shimo Kwa mikono msisubiri wengine wachimbe halafu ninyi mje kujifanya mnazika Kwa mikono
😂 Supper jombaa
Bangi mbaya sana serikari bado inakazi kubwa sana sasa watu kama hawa niwatanzania kweri nguvu kazi inayotegemewa na serkari hasara ipo
Wanahitaji msaada.
Canabis sativa nimbaya sana!
Ni muda wenu watu wa arusha kuwasheni hasa maana huo muda nao utapita utumieni vizuri
Ni kweli lakini hilo ndio life lao
We chalii iyo kofia inatakiwa na.Jeshi irudishe kabla siku Saba hazijaiiiiii. Hazijaisha
Wang’a laana😂😂😂
Kitu ya Chuga
3:25 3:27
😂😂😂😂
Hivyo viatu Jaman 😂😂😂
hawa jamaa wapewe nchi yao
Hapo amna wanachoongea cha maana ata kimoja awondio wazazi wakizazi kijacho mh sijui watoto watakuaje hapo
Kweli Kweli wauni
Niuhakika kubwa hapingwagi
Hii imeenda jombaa
Wenyew Hawa, niwatu au,,🥱🥱🥱🥱
hiyo kiswahili sasa ni shida
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 GUSA KWA BAKTA NI KAMZOZO
Awajamaa nihasara2pu Bora misomisondo wanajitambua
Bangi mbichi
Taifa linapotea
Sure
Ha ha ha ha Chugaaaaaaa Duuuu
He
Cha orcocola😅
Hahaaj
Hahaha😁😁🤔
hizo zote nibange tu hakuna cha lafuz hapo
Hiyo lugha ndo inatmik sabab ya lugha za kikabila zilizo huku. Jamaa mwisho kasema Engai ashee.
Kwahyo hiyo Ngai =Mungu kimasai. .. hao ni watu wa kawaida. Wahuni wapo ila sio hao.
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Awa wajinga wanaona kama wako kwenye nchi yao peke yao😊
Iko wazi 🤣
😂😂