KAULI TATA ZA VIJANA WA ARUSHA MAARUFU KAMA WADUDU "MKIA JUU MWENDO WA NGIRI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ค. 2023
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

ความคิดเห็น • 66

  • @SelemaniMadeha-dn4ih
    @SelemaniMadeha-dn4ih ปีที่แล้ว +23

    Nawakubali sana hawa jamaa, Huwa Wana love Fulani hivi ambayo huwezi pata mahali popote

    • @cecygeorge4443
      @cecygeorge4443 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa wanaupendo wa ajabu sana tz hakuna vijana wapo na upendo Kama chuga poleni sana

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 ปีที่แล้ว +15

    Arusha is the one of most gang*s city in the world.....👊

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 10 หลายเดือนก่อน +6

    Yaani hawa bora ukutane na mwizi kuliko hawa watu..hizo sura na mapengo

  • @KyiuraNasibu-xi8qg
    @KyiuraNasibu-xi8qg 10 หลายเดือนก่อน +2

    Arusha Kuna jini gan

  • @elizabethmwacha9138
    @elizabethmwacha9138 10 หลายเดือนก่อน +2

    I love my chuga🥰

  • @dgochuibra588
    @dgochuibra588 11 หลายเดือนก่อน +7

    jamaa anausokota hapohapo 🤣🤣🤣🤣

  • @oscarcharles9624
    @oscarcharles9624 10 หลายเดือนก่อน +2

    waacheni vijana huo ndio wakati wao ipo siku watatulia

  • @emmanulvictory507
    @emmanulvictory507 ปีที่แล้ว +3

    Mwendo wa ngiri mkia fyadede .mungu apend ukigisa kwanyuma. Ila jomba wambele alitaka aguswe kwa nyuma❤😅😅

  • @user-ou7jp8ug7z
    @user-ou7jp8ug7z 11 หลายเดือนก่อน +2

    😅😅😅 tanzaniaa mkoa pekee wenye utalii yote ni arushaa

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 11 หลายเดือนก่อน +2

    Upuuzi tu

  • @tekala8778
    @tekala8778 11 หลายเดือนก่อน

    unyama sana hapo R

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂hahahaha awa majomba ni shidaa na mbn kawasha shadaa mbele ya serikali

  • @MnadhifuChaman
    @MnadhifuChaman 10 หลายเดือนก่อน

    Asee mmetish

  • @zacchaeinvestment-of5tu
    @zacchaeinvestment-of5tu ปีที่แล้ว +2

    Mkia juu mwendo wa ngiri

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 ปีที่แล้ว +9

    Yaani hawa wadudu hawa 😅sijui hizi misamiati wanazipatiaga wapi😂

    • @Abdalakangile1
      @Abdalakangile1 ปีที่แล้ว

      Tatizo shule walituficha hii ni misamiati ya baba lababa baba wa dunia asee

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@Abdalakangile1😂😂

    • @richardjoseph2921
      @richardjoseph2921 11 หลายเดือนก่อน

      Cannabis sativa

  • @user-ou7jp8ug7z
    @user-ou7jp8ug7z 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mama vanesa nikwere sana

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 10 หลายเดือนก่อน

    Chuga haipo tanzania...

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe ปีที่แล้ว +3

    Jamaa ananyonga mbele ya cmer

  • @user-us4qg2yg4n
    @user-us4qg2yg4n 10 หลายเดือนก่อน

    Hawa wadudu wananyonga hadharani daaah!Ni Tz hii hi kweli!

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 11 หลายเดือนก่อน

    kiashiria wote

  • @alvineCimanga-id5ki
    @alvineCimanga-id5ki 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanza sura zao moja kwa moja ni vibaka hata huulizi hiki.kizazi tabu ipo jamani hivi arusha bangi na gongo mnazotumia zinatoka kenya au? Maana sielewi

    • @omyhaby1912
      @omyhaby1912 3 หลายเดือนก่อน

      Tulia Wewe Uko Ulipo,Machalii wengi wa Ololoo sio wote wanakula kijiti au Gongo, na bangi wanakula sehemu nyingi ya hii nchi Arusha Hii ni culture

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 10 หลายเดือนก่อน

    Ninyi wadudu kama mnazika Kwa mikono basi chimbeni shimo Kwa mikono msisubiri wengine wachimbe halafu ninyi mje kujifanya mnazika Kwa mikono

  • @othumaniabdalahabubakary871
    @othumaniabdalahabubakary871 6 หลายเดือนก่อน

    😂 Supper jombaa

  • @alvineCimanga-id5ki
    @alvineCimanga-id5ki 8 หลายเดือนก่อน

    Bangi mbaya sana serikari bado inakazi kubwa sana sasa watu kama hawa niwatanzania kweri nguvu kazi inayotegemewa na serkari hasara ipo

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 10 หลายเดือนก่อน

    Wanahitaji msaada.

  • @patrickkasonso3513
    @patrickkasonso3513 ปีที่แล้ว

    Canabis sativa nimbaya sana!

  • @BrysonMayunga-lc6mq
    @BrysonMayunga-lc6mq 11 หลายเดือนก่อน +4

    Ni muda wenu watu wa arusha kuwasheni hasa maana huo muda nao utapita utumieni vizuri

    • @erickdioniz8277
      @erickdioniz8277 10 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli lakini hilo ndio life lao

  • @henrychacha5592
    @henrychacha5592 10 หลายเดือนก่อน

    We chalii iyo kofia inatakiwa na.Jeshi irudishe kabla siku Saba hazijaiiiiii. Hazijaisha

  • @icramnajim626
    @icramnajim626 ปีที่แล้ว

    Wang’a laana😂😂😂

  • @christopherwalalaze
    @christopherwalalaze 2 หลายเดือนก่อน

    Kitu ya Chuga

  • @user-ho5xw8vp5u
    @user-ho5xw8vp5u 7 หลายเดือนก่อน

    3:25 3:27

  • @EnthusiasticRacingCar-ph3zi
    @EnthusiasticRacingCar-ph3zi 6 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂

  • @yusuphsenkondo8030
    @yusuphsenkondo8030 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hivyo viatu Jaman 😂😂😂

  • @user-hf7dz1zh5v
    @user-hf7dz1zh5v 10 หลายเดือนก่อน +1

    hawa jamaa wapewe nchi yao

  • @jamesfilipo365
    @jamesfilipo365 10 หลายเดือนก่อน

    Hapo amna wanachoongea cha maana ata kimoja awondio wazazi wakizazi kijacho mh sijui watoto watakuaje hapo

  • @spiceisland5108
    @spiceisland5108 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli Kweli wauni

  • @AbdallahSuleiman-bb6wi
    @AbdallahSuleiman-bb6wi 2 หลายเดือนก่อน

    Niuhakika kubwa hapingwagi

  • @hawiaally-nc2ct
    @hawiaally-nc2ct 11 หลายเดือนก่อน

    Hii imeenda jombaa

  • @samoramartin
    @samoramartin 10 หลายเดือนก่อน

    Wenyew Hawa, niwatu au,,🥱🥱🥱🥱

  • @JumaKilowoko-ie1kz
    @JumaKilowoko-ie1kz 10 หลายเดือนก่อน

    hiyo kiswahili sasa ni shida

  • @tekala8778
    @tekala8778 11 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 GUSA KWA BAKTA NI KAMZOZO

  • @rashidharuni9874
    @rashidharuni9874 2 หลายเดือนก่อน

    Awajamaa nihasara2pu Bora misomisondo wanajitambua

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 ปีที่แล้ว

    Bangi mbichi

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 11 หลายเดือนก่อน +1

    Taifa linapotea

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 10 หลายเดือนก่อน

    Ha ha ha ha Chugaaaaaaa Duuuu

  • @kilasnkana8645
    @kilasnkana8645 9 หลายเดือนก่อน

    He

  • @amossmreta1380
    @amossmreta1380 11 หลายเดือนก่อน

    Cha orcocola😅

  • @zuberimsabaha8474
    @zuberimsabaha8474 ปีที่แล้ว

    Hahaaj

  • @NzolingoTanack-my3nf
    @NzolingoTanack-my3nf 9 หลายเดือนก่อน

    Hahaha😁😁🤔

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 10 หลายเดือนก่อน

    hizo zote nibange tu hakuna cha lafuz hapo

    • @erickphilip1706
      @erickphilip1706 10 หลายเดือนก่อน

      Hiyo lugha ndo inatmik sabab ya lugha za kikabila zilizo huku. Jamaa mwisho kasema Engai ashee.
      Kwahyo hiyo Ngai =Mungu kimasai. .. hao ni watu wa kawaida. Wahuni wapo ila sio hao.

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 ปีที่แล้ว

    😂😂😂

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂

  • @DenisMawala
    @DenisMawala 11 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣

  • @ImamuIdarusi
    @ImamuIdarusi 11 หลายเดือนก่อน +3

    Awa wajinga wanaona kama wako kwenye nchi yao peke yao😊

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 ปีที่แล้ว

    Iko wazi 🤣

  • @hanslameck3968
    @hanslameck3968 11 หลายเดือนก่อน

    😂😂