WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ALIYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHULIWA MKOPO BENKI BILA KUJUA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 มิ.ย. 2024
  • WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ALIYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHULIWA MKOPO BENKI BILA KUJUA...
    Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameingilia kati sakata la kiwanja no. 141/40 kilichopo Ananasifu Kinondoni jijini Dar Es Salaam kilichoachwa na marehemu Abrahamu Isac Mdamo baada baada ya kutokea sintofahamu ya kiwanja hicho kudaiwa mkopo na benki ya NMB kiasi cha shilingi milioni 200 uliochukukiwa na Bwana Michael Mwanda ambaye alikuwa mtu wa karibu na marehemu inadaiwa alifoji nyaraka na kuchukulia mkopo katika benki hiyo na baadae msimamizi wa mirathi Bi. Zainabu Bungire kuitwa benki kwa ajili ya kutakiwa kurejesha mkopo huo.
    Aidha Waziri Silaa baada ya kuona taarifa hiyo kupitia vyimbo vya habari alipitia nyaraka na kumuita ofsini kwake jijini Dar Es Salaam msimamizi wa mirathi ya kiwanja hicho ambaye ni Bi. Zainabu Bungire (Mke wa marehemu Abrahamu Isac) na kumtaka amuachie ili aliwasilishe kwa jeshi la polisi walifatilie kwakuwa kuna baadhi ya nyaraka ikiwemo cheti cha kifo kutofautina na nyaraka za murathi hivyo kuhitaji uchunguzi wa jeshi la polisi.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 53

  • @sebastianmwakulya8146
    @sebastianmwakulya8146 5 วันที่ผ่านมา +5

    Dah mhesimiwa mungu akubarki kwa kazi kubwa

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    MwenyeziMungu mzidishie kila la heri mheshimiwa Waziri wa Ardhi Jerry Slaa.

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 5 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani nimefurahi sana kuona umejaaliwa kufika kwa dr jerry silaa huyu bwana atakusaidia ninaimani alhmdulillahi pole mama

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 5 วันที่ผ่านมา +3

    Mashaa الله imefika hapa, inshaa الله mambo yatakua sawa.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 4 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani vyeti kama vyeti vingi vinatumika feki wako watu wengi wanajua namna ya kutengenenza izo vitu hapo dar ila kama mungu akihitaji upate haki yako utapata ila itachelewa.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 วันที่ผ่านมา

      Ipo hivi huwezi danganya serikali, unaweza kuwa na karatasi hata ya kutengenezea pesa na mashine, serikali inakuja kukukamata kwenye namba tu za pesa hazitakuwa sawa, hivyo hata fake unaweza tengeneza vyeti kama og, ila kumbukumbu ndio changamoto.

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 วันที่ผ่านมา

    Hongera waziri🎉

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 2 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mama huo ni mchepuko wake inavyoonekana maelezo yake huyo mwamba katumia oppotunity

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 5 วันที่ผ่านมา

    Pore sanaa kaka jerry slaaa tunaona utendaji wako uliyotukuka mungu akulinde

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu atambariki Dr slaaa

  • @shariffsagaf2305
    @shariffsagaf2305 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde mheshimiwa kwa kazi unayofanya na umakini wa kusikiliza.

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 3 วันที่ผ่านมา

    Jerry mungu akutunze baba🙏🙏

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 5 วันที่ผ่านมา

    Ni kijana mdogo lakini Mungu amemua Mhe Jery hakika wewe ni Daudi Mungu akubariki sanaa

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 5 วันที่ผ่านมา

    Nmefurah sana kuona uyu mtoto Dotto kukutana na waziri Silaaa

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota 5 วันที่ผ่านมา +1

    Dr slaaa kura yangu ya huku ujinga nakupa tena mapemaaa

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu akupe faraja wazili kutetea wanyonge

  • @ibrahimdaudi5823
    @ibrahimdaudi5823 5 วันที่ผ่านมา +5

    mama unaleta uswahili kwenye mali unampa mtu hati.kirahisi tu

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r 5 วันที่ผ่านมา

      Hao ndio wanawake,ndiomaana Mh alimwambia kimtego ukaribu huo wa aina gani,kwani ni babu yao na akina hawa yani Dotto,mana ni ujinga,kwani wizarani hupajui mpaka umkabidhi mtu hati kiholela

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 5 วันที่ผ่านมา

      Wanawake ni dhaifu

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 5 วันที่ผ่านมา +2

      Sema bwana jambo likiamua kukutokea linakutokea tu haijalushi ww ni nani af baada ya hapo ndo akili inakujia kwann nilifanya hivi

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 วันที่ผ่านมา

    Hy ni bonge la tapeli khaaa amejua akajua tena slaa mungu akubariki sn

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op 5 วันที่ผ่านมา

    Mngu akulinde mh waziri na mh mama yangu mh raisi

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 5 วันที่ผ่านมา +5

    Huyo Mama inaonekana alikuwa mtu wake huyo chalii

    • @YusuphMwangobola
      @YusuphMwangobola 5 วันที่ผ่านมา

      @@unjuusalvatory5331 Mimi mwenyewe nimesha tia shaka.

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 5 วันที่ผ่านมา

      Inavyoonekana

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 4 วันที่ผ่านมา

      Sawa Lakini Ndio Alete Ujanja Ujanja.

    • @marrypius576
      @marrypius576 วันที่ผ่านมา

      Wew ndo uliwakutanisha kweny mambo yamaan usilete usenge hapa

    • @unjuusalvatory5331
      @unjuusalvatory5331 วันที่ผ่านมา

      @@marrypius576 kumalamamako unaleta shobo

  • @user-we7jq1rj9u
    @user-we7jq1rj9u 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 5 วันที่ผ่านมา

    Inshaallah namm najiandaa kukamilisha makaratasi yangu najuwa haki yangu nita ipata

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Inaonekana kweli amefoji Kwanini barua nyingi za kuomba hati zilikataliwa hapo ndo harakati za kufoji zilikuwa zinaendelea

  • @khalifakyabitara4761
    @khalifakyabitara4761 2 วันที่ผ่านมา

    Dr silaa unashati moja tuu au zipo nyingi lkn rangi na dizain moja?

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 5 วันที่ผ่านมา +1

    swali cheti cha ndoa amekitoa wapi?

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 5 วันที่ผ่านมา

    Safi sana mkuu

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mama atakua alipewa mgao kidogo kwenye mkopo😂😂😂

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 5 วันที่ผ่านมา

    HATARI SANA HAWA MATAPELI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU KUPITIA KWA MH. SILAA AKUSAIDIE WEWE NA WATOTO WAKO.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 วันที่ผ่านมา

    Vp kuhus yule mama wa manzese cjui vile anaelala nje ?😢

  • @lwakainaza
    @lwakainaza 4 วันที่ผ่านมา

    Slaa ni waziri mwenye roho ya utu, msikivu na mwenye busara.

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 5 วันที่ผ่านมา

    Dr Slaaa kweli wakili msomi, anasikiliza kwa makini.

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 5 วันที่ผ่านมา

    Uaminifu kuwaamini watu zetu wakarbu una tuumiza sana😢😢😢😢

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 4 วันที่ผ่านมา

    Tangu Zamani Baadhi Yawatu Walikuwa Wakiamini Nawalikuwa Siwaaminifu Kwa Siwaadilifu. Kwa Nyakati Zetu Ndio Kabisa. Wamaaminifu Wamebaki Wachache.

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 5 วันที่ผ่านมา +1

    mbona kama kuna kizungu mkuti hapa

  • @JuniorNyamatwi
    @JuniorNyamatwi วันที่ผ่านมา

    Huyu mama anapewa ulinzi Gani ili kutunza ushahidi?

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 2 วันที่ผ่านมา

    Huyo mwizi achkuliwe hatua kali, wako wengi hawa matapali, wanawsonyanyasa wenye mali

  • @khadijamasele9005
    @khadijamasele9005 วันที่ผ่านมา

    Dunia imeisha watu hawana utu

  • @selemankindamba9485
    @selemankindamba9485 4 วันที่ผ่านมา

    Kwaharaka minaona kama uyo mama na tapeli walikuwa wapenz

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mhhh

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 5 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅jerry ameisha juu bdo anaendelea kumjaza kwnye mfumo.

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 4 วันที่ผ่านมา

    Huyo bibi nae unawezaje kumuamin mtu ukampa hati ya nyumban, Kuna uongo hapo

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 5 วันที่ผ่านมา

    Mimi namkubali.jeri.silaha na makonda makufuli.ndogo.

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d 5 วันที่ผ่านมา

    Hakuna mwanamke mpumbavu kama huyu duniani, unatoa vipi hati kwa sababu eti umeishi vizuri na watu? Jinga kabisa hili mama, kuna vitu watanzania sisi kaaaa hivi unashindwa kubadilisha hati mwenyewe unampa mtu? Kweli