MSAKO USIKU WA MANANE, SABAYA AVAMIA GODOWN HEWA AKUTA MAGENDO, PESA, MAFUTA NA POMBE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameongoza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Kilimanjaro pamoja na Maafisa kutoka Halmashauri kufanya operesheni maalum iliyopelekea kunaswa kwa shehena (Godown) lililokuwa likitumika kuhifadhi vileo feki na bidhaa zingine zikiwemo shehena za mbolea na saruji bila kuwa na vibali halali.
Msako huo uliofanyika kwa kushtukiza usiku wa manane umemnasa Alex Elibariki Swai na Mkewe wanaofanya biashara hizo bila kulipa kodi, huku stika maalum za TRA zikigundulika baadhi kutokuwa halali na zile halali kuwa katika bidhaa tofauti na zilizoidhinishwa awali na Mamlaka.
Wafanyabiashara hao ambao pia walikutwa na lita nyingi za Diesel kinyume na sheria pamoja na fedha kiasi kikubwa ndani wamekabidhiwa kwa vyombo vya dola huku DC Sabaya akiagiza kulindwa kwa eneo lote hilo hadi Mamlaka husika zitakapomaliza shughuli zake na kubainisha taarifa zote za muhimu kwa ajili ya hatua zaidi.
Asante na hongera DC Sabaya. Una uchungu na Tanzania. Chunguza TRA kikamilifu kuna ukakasi hapo!
Na umechukiwa nakutumbuliwa kwakufanya kazi yako mungu akonde usikate tamaa baba
Kumekucha Ss Huu mwaka Mzee Baba Kweli Amesha sema Hapa kazi Tu
Eeh (mwenyez Mungu) naomba unisaidie niwe mvumilivu na kushukuru kwa ninachokipata..... kama ipo ipo tu 🙏🙏🙏
utakufa maskini
Duuu umetisha kiongozi..Hongera sana
Ndo maisha lakin hakuna anaependa kufanya uhalifu bali ni tamaa na kutaka maisha mazuri kwa haraka, ooh God help my life
Pole kifaru kwa matatizo ajali kazi mungu akutangulie akupe wepesi WA kumaliza hilo tatizo salama kikubwa uzima mengine badaye Matatizo yaki isha pambana urudishe treni kwenye reli safari iendelee kilalaheri 🙏
Jamani yoote haya ni ya nini si bora mlipe kodi tu sasa hii si kifo unakufa kabisa kufilisiwa na kifungo kwa maana hiyo wako wengi
Unapo kuwa boss Jaribu kuheshimu Wafanyakazi wako sio kuwaonea na kuwatimuwa hivyo hivyo...Matokeo yake ndio haya sasa ya kuchomeshwa
Hahahaha! Ndo kajifunza
Umenipestia
Asee mzee baba umeongea Point sana
Subhanallah
@@jomsonkasindo4549 kwaiyo wamemchoma watu wake wa kazi ati?
like father like son.much appreciation to you
Dah! Nimesikitishwa Sana na hiki ninacho kiona, hapa kazi tu
DC Genius sana,,haulali kwaajili ya Taifa lako..Safi sana..inafaa kuwa Commissioner wa Tra kabisa..uko makini kupitiliza
Katka wakuu wa wilay Tz sabaya ni number mojaaaaaa na anapaswa akawe rc
@@johannesjoseph7051 kawa RC WA jela
Wako wapi wale wanopenda kutetea kila kitu cha kipumbavu,hongera DC Sabaya ila ukweli huo mchezo hata TRA wanahusika,wachunguze utanambia
Ameni
Hongera sana mkuu wa wilaya.
Mola akupe nguvu ili utekeleze majukumu yako! 🙏
Mwisho wake miaka 30
Jambazi uyo sio muheshimiwa
Na nyie TRA ni bora rais awatumbue wengi wao wanawafungia wafanya biashara wa halali na wanafanya biashara n matapeli.
Kwasasa tabia hiyo haipo ndugu
Yn serikali inavumikia mengi wallah jmaan anatk pesa za mtelemko
Ndio mana wanamchukia.. wengi. Selekali imemtelekeza pamoja na kufanya kaz kwa nguvu zote. Aise.. sabaya mungu aingilie kati.
Watu wapo kazini nakubari sana DC
Hadi tufikie hatua ya kujua umuhimu wa kulipa kodi itakua ngumu sana. Wenzetu ulaya ukikwepa hata mia umefungwa!
Kweli kabisa
Kabisa
Siku zote ulifanya biashara ya haramu mungu atakuumbua tu aiseeee hii ni noma
Namkubali sana huyu mkuu wa wilaya
Jambo la kawaida sana mzee ni hustling kinyamwez sema nn utajar wakuhuza vitu vya hall upo kwa Allah ila ukitak kuwa Tajir ish kinyume na Serikali
Nakubali Mann yko mkuu
Yapo maduka mengi ya namna hii ambao huficha uhalisia wa biashara wanazozifanya, ili walipe kodi kidogo. Nyuma ya pazia wanauza jumla na rejareja.
Hongera sana DC wa Hai Mh.Sabbaya kwa kazi nzuri.
Mungu atamsimamia, Kodi zimekua nyingi ckuhz, hlo contena mpk uje ulitoe bandarini hujui hata utauza sh ngapi huo mzigo.
Unatetea uhalifu hapo kwake limefikaje
Mungu akusimamie Sabaya, Siku zote
Usitamani maisha ya watu Yana njia ngumu sana
Mipombe hii ndio maana vijana wengi wanaweuka wakinywa
Jamani haya hamyaoni kwann mnamfanyia ukatili sabaya mungu anawaona mama samia weww Mungu anakuona
TRA WANAHUSIKA APO NAO WABANANISHWE PUMBAVU AO
vyuma vimekaza kumbe wao ndo wanavibanisha
Safi sana ,nakukubali sana mheshimiwa ,yan nimependa kazi yako jamn wewe ni muaminifu na unafanya kazi nzuri sana .......napenda sana unavofanya kaz yan unajua unafanya nn ....
Hao ndio wanaovikaza vyuma duuh🤣🤣🤣
Sabaya nakukubali baba umenisaidia kiwanja changu kilizulumuwa umenisaidia sana nimekipata sasa
Dah
Mmhh..! Naipenda KLM YANGU HAI YANGU --BOMANG'OMBE YANGU
from Dar-es-salaam tz
Moshi woyooooooo
MUNGU ATAZIDI KUKUTETEA SABAYA. MAFISADI SASA WANASHEREHEKEA. SABAYA UTASHINDA HII VITA NA KUTOKA UKIWA MZIMA. Ulichapa KAZI sana.
Wakikuy mshafika Tz maina😂😂
Tumbua hao t r a ni wasumbufu Sana wanaacha wasiyo waaminifu wanasumbua WA halali
Hahahaaaaaa wakamatwa na takukuru aisee raha sana hii sabayaaaaaaaaaaaa nadhani asahivi unayakumbuka maneno ya lema malipo nihapa duniani
Vizuri kazi nzuri sana
Sabaya uko vizur we piga kaz mzee tunakukubal sana
Chapa kazi sabaya big up
Ukuu wa wilaya sio level yako tena
Yabidi upandishwe daraja
Tunamwomba dar sabaya
@@martinhinda5233 dar si yupo kunenge
Sukuma ndani
Daaah!! Kunawatu bado sana aisee,,,,,Yani MTU anajitoa Ufahamu wkutolipa kodi
Mbona majizi ni wengi tuu au mnaangaliwa biashara tuu hata wengine ni wezi WA Kura au hamwoni wizi wa hapa tz ni wengi mno yaani wizi uko WA Aina nyingi mno kuna viongonzi WA serikali wanameuza Hadi twiga wakapandishwa ndege wakaenda nje kuna wizi serikalini wamehamisha udongo ukafungwa km biscuit ukapelekwa nje tumeona mengi Sana sijui hata raisi analijua Hilo wizi wa madini tumepigwa mbaya ndivyo vitu muhimu vya kufatiliwa Sana madawa ya kulevya yapo biashara kubwa ya viongonzi au watoto WA wakubwa mbona ni ck nyingi mnawaacha tuu
Kwajili mumekambwa na sheriya ya raisi na nyinyi mkabe wanyonge ila mwaka zote mlikuwa mnakula nawao leo mugeuke hakuna mnachafanya hata kama mwaweka hazarani nikwajili ya raisi ila kimoyo mnatamani mfanye kuzuluma hata raisi kakosa ngapi hakumu ni mungu
Msitufanye wajinga zama zamagu zitaisha hi ni AFRICA unajua manake ?????
Tena safi sana
Wabongo sijui wanavichwa gani? Hivi kilasiku serikari inaongea receipt receipt lakini bado kunawafanya biashara ambao hawaelewi. Nikama wale wamadini nihivyo hivyo pia
asanteeee sabayaa
Nyie mnafikiri kulipa kodi kikamilifu rahic jaribuni na nyinyi muone
Ni kama kutoa zaka na sadaka ila angelipa hata kidogo serikal isingemfuatilia sema hata mia hajalipa
@@martinhinda5233 😁😁😁kutoa zaka ni ngumu eeee
Kodi siku zote ni chini ya 7% ya thamani yote kwa ujumla, tamaa ya kutaka kupata chote mwenyewe tu ndio inawafelisha lakini ukikamatwa unatoa mpaka ambayo hukustahili kutoa
@@HASASON huna unachokijua ktk biashara ndo mana unaongea tu
@@HASASON huna unachokijua ktk biashara ndo mana unaongea tu
Aiseee nakula hongera sana bado kuna madudu mengi yatapatikana tu kama itaendelea you operesheni
Hapa Sabaya nimekubali kazi yako
Ndoo maripo analipwa kwa kwer saw mungu yupo
aiseee hapa kazi tuu
Am the one
wapi hapo
Hayo ni baadhi ya matokeo ya vibali vya shilingi 20000 kwa kila anayetaka kuuza chochote na popote .baadhi ya wafanya biashara wamefunga maduka wanagawa mali kwa vijana wengi kutoka kwenye magodown yao.vijana hurudisha pesa baada ya kuuza. Matokeo ushuru hukwepwa na TRA ni vigumu kutambua pia nani yuko wapi kwani barabara zote nyumba zote zimekuwa ni za wáfanya biashara wadogo wadogo.
Enzi za nyuma kabla ya magu,unashangaa ushahidi umepotea na mtuhumiwa yupo town anakula maisha
Mmasai mmoja kawa kiongozi
Safi sana Sabaya, kama tusingechekeana na kuzalisha wafanya biashara wezi na wasomi wezi toka enzi ya Mwinyi Tanzania 🇹🇿 ingekuwa mbali sana kimaendeleo.
Mungu akuongezee nguvu na weledi wa kuitambua haki ya wananchi wako
Mh sabaya hongera sanaaaaa
Nakumbusha tuu hii kesi bado ipo mahakamanii
Awamu hii iko macho sana jitahdinibkutafuya hela kiuhalali tu
Bwana kiukweli Sabaya unafanya kazi vizuri sana.
Kuna mtu kachomoa bettry hapa hadi jamaa kanaswa
Itakuwa kamfukuza mfanyakaze wake ndio maana kachomwa, wahindi wajanja sana bora wapate mia 500 kwa siku ila wasipoteze haki yao
Kbs
Huwezi kuwa mwongo forever. Umesahau ile mithali ya shule ya msingi: Siku za mwizi?
Sabaya lazima wakuchukiee pole sana kamanda Ila utarud kwa kasii
Daaaaaah Yan Mpaka Sasa Hivi Siamini Tuhuma Alizopewa Huyu Jamaa ... 🥺🥺🥺.. He Is So Smart And Real ...Imekuwaje Tena ??
Hawa wame sahau kuwa sirakali hii ya magufuli hakuna mchezo, mwisho una kamatwa una filisika unakuwa maskini, kwa nini bin adam tunakuwa na tamaa kiasi hikicho, alafu una kaa una laumu ,pole sana, lazima utakuwa chizi kwa kujitakia
Kweli kabisa
Nimerudi Hapa baada ya Kifungo cha Sabaya miaka 30....
Sabaya ni mkuu wa mkoa wangu kuanzia leo.asante sabaya.nimependa kesho tukutane saa tatu ofisini.mbona watakoma
Yaan dah
Nawewe upo mkoaa WA gerezani au
Jaman mm nimfanya biashara kiukweli nimemuonea huruma sana huyu jamaa atafilisiwa
Sana bro bora wangechukua nusu ya mali zake
Zako Tia maji
Huyo mfanya biashara kajitakia
Kama angelipa kodi na kufuata utaratibu angekua tajiri sanaaaaaa tu.Lakini anayo akili ya kimasikini ndio umasikini unamtawala.
Wauza madini wengi ndio wanaakili za namna hiyo.
Anayo madini thamani Milioni 20 na serikalini inataka kodi ya asilimia saba tu milioni 1 na laki nne jamaa anaona atoroshe ili asilipe 7%
Serikalini inamtia ndani na mali yote imepotea.
Ndio Huyo jamaa.Nashukuru wamemkamata maana mapombe yanauwa watu wengi.
Duuuh saiz kwel tumekwama ila kwel hakuna anaepnda
Sasa huyu mtu mbona ni mzalendo kwann mnamtesa sabaya.
Safiii mbona mtaipata mpk miaka 5 iishe mtakiona cha moto
Inapaswa serikali iangalie hili Jambo hiyo ni kazi ya jeshi la police lakini Hadi DC anafanya uchunguzi na kubaini hayo huwa jeshi la police linafanya nn?
Mkuu wa wilaya ndo mkuu wa majeshi kwa wilaya yake
Police wakienda wanapewa gongo wanarud
Polisi hawafanyi kazi za kipolisi, wanafanya kazi za kisiasa zaidi,kumbuka matamshi ya Ocd Hai wakati wa kampeni.
Shida ya police rushwa imewatawala mno kumbuka Ile dhahabu ilikuaje Hadi wakafukuzwa na kuwekwa ndani
Leo ndo anafungwa kweli
My royal model keep it up
hahahhaha bado role model wako?
Mkuu wa wilayaaa uyoooo angekua mkuu wa mkoaaaa ingekuaje🤣🤣🤣🤣🤣
Shkamoo Tanzania🙄
Mungu ni mwema tuu,, hata sasa ametenda,, wapo wanao waza kulisaidia taifa na wengine wanawaza kurihujum taifa,.
Taifa letu. ni wimbo ambao unazungumzia namna ambavyo inapaswa tuliombee taifa letu irituelekee kule liliko tabiriwa na Mungu
Jamaa Wilaya sio size yake kabisa!
Jamaa apewe mkoa au.....??
@@winniekayanda8255 tena mitano: Dar, Mbeya, Mwanza, Arusha na Kilimanjaro
Dah msema kweli hapendwi jaman
Acheni nioshe vyombo vya Warabu tu
🤣🤣🤣🤣
Hahahaha hahahaha
Kweli kipenzi tukaze tu but
Tukaze but mama
🤣🤣🤣
Dc Sabaya anachapa kazi!
Huu utaratibu wa kuwasearch watu bila warranty umekaaje kisheria .
Serikali ndio inatoa warrant na hii ndio serikali yenyewe
Atajua mbele ya safar kama yy hakutumia sheria juu ya biashara yake
Duh
Eti mtu Kama huyu apendwe... Asichukiwe... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Hakuna kitu hapo?
hawa ndiowanangamiza taifa
IKIWEZEKANA SABAYA AWW HATA WAZIRI MKUU.MUNGU AKULINDE MWESH SABAYA.
Kama naww unamhurumia huyu mfanyabiashara gonga like hapa
Haoo walioachwa kulinda hapoo sijui kama hawajanywa hivyo vitu hapoo ni nomaaaa
Watu wale wapi mbona mali zenu amzionyeshi mnaona za wengine acheni kunyanyasa watu nchi mmeiyalibu wenyewe kumbuka mishahara yenu inategea hao hao wafanya bihashara.
Mishahara ya wafanyakazi wote lazima ikatwe kodi, ninyi msipolipa kodi mnawadhulumu wafanyakazi sababu mnafaidi miundombinu iliojengwa kwa jasho lao wakati lenu mnalitafuna wenyewe, acha mkomeshwe kabisa
Tanzania Atukua Na Matajili Bali Waliokuako Enzi Izo Wakwepa Kodi
Hii awamu sio ya Kikwete jamani!!
Badirikeni, bila hivyo mtaumia sanaaa.
Awamu hii niyauzulumaji kweli sio kama ya kikwete
@@bableeyzabdalla531 na bado
@@ellyisidoli2192 Yataisha tu
sijaon kosa lake3 ilaaa uteuzii wakee ndio changamoto
Mmmmmh
Hii hazina hii kichwa, basi tu majungu mengi
Mungu ndio anayejua ukweli au uwongo kuhusu kesi za mtu huyu!!!
Ni kugawana majukumu tu wengine wizi wa kura wengine wizi wa kodi baba mwizi mtoto mwizi,ukianza kupekua mambo haya utakuta hata taasisi za serekali nazo baadhi ni madudu tu
Kweli aseee watu ni wezi mnoo..ila acha tumuunge JPM
Mungu humlipa kila mmoja kwa ujira wake sasa sabaya onja na wewe
Kwa kweli Sabaya Mungu akubariki na kukufanya kuwa shujaa wa watu
Kuuza bithaa feki ni halali
Kwa alie sikia like zangu