Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, amesimama Bungeni leo Januari 29, kuchangia hoja katika muswada wa mabadiliko madogo ya sheria ya vyama vya siasa uliowasilishwa Bungeni hapo Na Waziri Jenista Mhagama.
#ZittoKabwe
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....
Zitto Kabwe ni kiongozi anaeongea kwa kutumia vifungu vya sheria,I appreciate to him.
Namkubali sana mh zitto apewe maisha marefu mtetezi mzuri sana wasisi wanyonge
zito kabwe you are a precious asset 4 Tanzania and a Tanzania's parliament ' s pride.they'r luck to have a person of yo calibre,very brilliant,intelligent and driving points home when speaking
Isn't all Tanzania can see that brother...
Rhio Phiri jn
Asante Mh.Zito......ww ni zaidi ya Vibajaji vyao Elfu nyingi
Awa jamaa wanaelewesha sanaa watu na wanaeleweka sana kama walimu vile
Mungu akulinde Mwami Zitto Kabwe... Hoja zako zitaishi milele....
Gonga like kama ume mwelewa zitto kabwe
tindo tanzania Ndiyo mzee
Zitto Zuberi Kabwe, akili kubwa ❤🇹🇿
Mh. Job Ndugai kuna kipindi huongozwa na roho wa Mungu kama hivi!
Zito kabwe!!! Heshima kwako mkuu!
Nakuombea kwa Mungu siku moja uongoze taifa hili kama raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania (AMEEN)
Ndo mbunge pekee wa upinzani ninayo mkubali zaidi anajua vitu vingi na anajua kufuatilia na anakwenda na nyakati huwez kusikia kashuka big up sana bro
zito kabwe stoway kukusahau katika elim yako katika bunge la Tanzania mungu akulinde kiongonzi
Mungu akubariki kwa mchango mzuri mh mbunge
Safi sana kabwe zito zuber
Umeona mbelen
Mungu akuongoze zaid
Zitto ni Mzito sana kwa Hoja na mpangilio wa namna ya kuweka mambo sawa. Anaushawishi mkubwa sana
Mtu makini sana nchini hapa!! Youthful wisdom genius man 👨 💜💜💜
Naomba Mungu usk na mchn awasimamishi viongozi wenye hofu ya Mungu na hekima Tz na dunia yote, Mungu awabariki wote wenye kutumia hekima
na busara daima ameni
Keep preaching my MP may b one day they will understand.
wabunge was chama cha kijani wawe making sana,hii in vita inaandaliwa na vita haichagui chama,ohoooooo!
ASANTE ZITTO WATANZANIA TUKO NAWEWE NA VYAMA VYOTE VINAVYO WAKILISHA MASLAHI YA WA TANZANIA WANYONGE!! BIG UP ZITTO!! BIG UP UKAWA!!
Ako na respect sana.... Kasikia tu "taarifa "..akakaa chini,,,,He's so wise... Big up Zitto.
Zinto wewe kweli mugu akujalie maishaalefu
Mungu akulinde zito Uko vizuri
Ameen
Kweli Mungu akubariki sana Tanzania yetu hii tunaelekea wapi
Dah kakaangu zito umeongea vitu konki sana ila sasa anaye sikiliza anajikuta mungu mtu hana haja eti duh
Big up ZZK Watanzania tunakuelewa mungu akupe umri mrefu sana amiyn
Ahsante MH ZITTO, Mimi nadhani ni vyema ccm wakajua kuwa njama nyingi wanazozifanya ili kudumaza siasa ya Tanzania tumeshazibaini. Pasipo kuwa Na jicho LA tatu Tanzania itadumbukia kwenye dimbwi baya.
zitto nimemkubari sana yani kama ayupo bungeni linapooza sana mungu akuweke sana
hawa ndio viongozi wenye akili wanaosimamiya ukweli zito kabwe yuko vizuri sana mungu akubarik kaka duuuuu
Uzuri kwasasa wabongo huwa hawasahau😃
Ipo siku ikiwatokea puani tutawakumbusha maneno yako
Daaaaa!!!!!zito ni shidaaa!!!!nakuelewa sana!!!!
Yupo vizuri zito kabwe hongera sana hatutajuta kukuchagua
Pole kwa kujua ukweli na kumweleza MTU ambaye hayuko tayari kukuelewa na kutekeleza mapendekezo yako mazuri. If you failed to fight join it.
zito kabwe we ni wa sayari nyingine hakika
Mawazo yangu yanaweza kuwa tofauti kidogo. Tanzania ni nchi inayoendelea, mazungumzo ya zitto ni makubwa na yanahusu demokrasia iliyokomaa sana. Ushauri wangu ni kwamba wabunge wajadili miundombinu na maendeleo ya wananchi na huduma muhimu kwa wananchi
full of logic, I always appreciate you brother, live longer
Hawa wabunge kwa kweli wapo wa aina mbili wabunge wanaowakilisha wananchi na wanaowakilisha matumbo yao
Mh Ndugai kweli nasema kutoka moyoni sasa hivi umekomaa kuwa Spika wa bunge... Nimependa sana
Safi sana ndg yangu Zito. Unaona mbele.
Sijawahi juta kumfuatilia Zitto
Mmh
Good brother, MTU mmoja hawezi akawa ni final say
Pole zito ,kweli wewe unaona mbali Mungu akulinde
Baba uko vizuri ulitabiri y'a kwel
nchi inakutegemea sana mh.mbowe.pambana kwa masilahi ya taifa letu.
mimi simwelewi zito
Zitto ni Pasua kichwa sana ndani ya bunge
tatiz xio km hawaon au hawaxikii wanaon xn na wanjua wanach fany kwakuw wao wanadola ndo man kil kt kwao ubabe xix wanyonge tunamxhtakia mungu kila m 1 mungu atampa Lana
ya milele
Daaaa sasa level yako kaka ni ulaisss na sio ubuge wakupe nchiiiii
Mimi nnapenda sana Zito kwakweli big up Mh
Zitto ana GB100
Nampenda sana huyu jamaa ,yuko vizuri sana kwenye kutengeneza hoja za msingi
mungu aku
barik zitto kabwe tuko pamoja
Ndiyo maana mm upenda Sana upinzani kwa kutuelewasha mambo Kwa ufasaha
Big up bro! Bright brain!!
Ni kweli kabisa
Yani ccm na mtt mdogo hamna tofauti wao wanaangalia apoapo. Kisa nini wao wanajua eti watatawara nchi hi mpaka mwisho wa dunia ndomana wanatengeneza sharia zakuzibiti vyama vya upinzani kwanjia yoyote ile
Zitto hapa uliona mbali sana
Kiukweli ndugai amekuelewa ila basi tu nahapo alipo hayo maneno yamemuingia ilatu hana jinsi mheshimiwa wetu ndugai tuna miomba Mungu akupe nguvu Mpya ya huruma ya mawazo ya watanzania wenzako
naomba uwaelekeze hao wabunge Wa CCM maana wamezoea kukaririshwa maneno
NILICHO GUNDUA UPINZANI KUNA WATU WENYE AKILI SANA
Ndo mbunge anaeleta maana halisi ya nn kazi ya bunge anaongea kwa hoja at ukimsikiliza huwezi kujuta kwann ulimpa kura yako Mungu.akuhifadh san mh zitto Kabwe.
Ismaili Musa kuna siku mbuge wenu ikisimama kuchangia mkakosa kumsifia wenu sifa was ccm pumba.
Zitto unaongea vitu vya muhim kwa taifa ni letu sote.
wasio muelewa zitto ni vilaza vya upande wa pili maana ni mijitu ya kupelekwapelekwa tuu
Fact
Amin
This man should b the president of ,Tz
Whaaaat?????
Can't be the President of the United Republic of Tanzania
Akili mingi sana 🔥🔥🔥🔥💯
Zitto ni sawa na wabunge 100 ccm
Kama wabunge wenu waongo waongo wa ukawa sawa sawa ila huyo zito ni ccm kama utamsikiliza
Ni sawa na wabunge woote wa ccm + mwanasheria mkuu
Point Yani Tanzania inaelekea pabaya sana eh mungu tusaidie sisi
zitto umeongea vzur sana.. nakukubali mno mbunge wangu
THIS GUY IS WISE
Waswas wangu ni 2020,wabunge wengi kama hao.huenda watafanyiwa mizengwe wasirudi hapo.ili tubaki na wale wanaoshtuka usingizini na kupiga makofi!!
Hongera mr Zitto Zuberi kwa kuwafundisha
MANYWA DAMU YA KIJANI YAMENYWEA NYWIIII!! SHUBAMITI!!! BIG UP ZITTO!!!!
Yes, Economist I real appreciate this... There is Correlation btn those variables
Zito bashe tundulisu hawanimashine watz nawakubalisana
Kinacho endelea sasa hivi 2021 ndo kilitabiriwa na zito wapinzani wanaonekana kama waasi 😂😂 Tz bhana
Watu wenye uelewa mdogo hawawez kukuelewa sasaiz ila ipo siku watafanya reference kwa hizi hoja unazozitoa mh zito,mm najua uelewa wako uko juu sana
Inaumiza sana,basi tu!
Muda utaongea tu,na yatawarudi haya mtakapokuwa hampo madarakani
kati ya wana siasa wanao ona mbali na zito kabwe ni mojawapo, kweli mswada huu ukipita hakuna haja ya kuwa na vyama vya siasa! ila wataya kumbuka haya ya Zito kabwe!
Mungu akuweke aiseee huwa una ni spear sana kaka yanguu
Inaumaa sanaa mungu awe pamoja nao
Leo zito amechangia kwa usikivu mkubwa mno na spika Leo amemsikiliza kwa umakin tena sana naona zito ameaza kueleweka sema ubishi tuuu
Wapinzani wako makini siku zote
Huyo jamaa anaitaji kutuvuruga tu.
Anaitaji Taifa libaki nyuma kila Leo?
Boya tuu
Nc umetumwa na mungu utete wanyonge
Duh. Asante Mbunge wang
talented man
Salute bro ukisema ukweli watakuita kibaraka wa mabeberu bt never gve up
Zitto mwana wa ruyaga.
Asante sana Zitto
Ipo sku utaichukua hii nchi,kwani mungu ndo anajua kila uwezo wa mtu
Mungu akujarie zitto miaka mingi Sana ututete sisi.
2020 . you are genious bro
nawaerewa sana kazi juu ya kazi amna maneno kama mido simba
Nimekuelewa sana kijana
Nimekuelewaa kamandaaa
Wangekuwepo hata watano tuu nchi ingesogea
Kinga nibora kuliko TIBA. Nyepesi vipi!!
Safi sana Mungu akuzidishie
Uyu jamaa very thinker
Hakika kama tungepata wabunge 40 kama ww tungesonga mbele
Zito wambie wananchi wako wa kgm tunakosa ajila kwa kukosa vitambulisho vya taifa watatupa lini
Sawa kabisa makasuku kazi yao kuunga mkono tu lengo ni kuua vyama upinzani
kweli kabisaaaaaaa
Hakika
Hakika
Unaakili xana dg zito,good historian
Zito hujawahi kutuangusha hasta siku moja
Natamani sana uwe political mentor wangu !!
You are very smart brother
Akawaambia wanafunzi wake, Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye yaja kwa sababu yake! Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa. Jilindeni;
LK. 17:1-3 SUV
2019-2020 itakua ngumu kweli watanzania wenzangu, tujifunge mikanda Mungu yupo pamoja nasi hajatuacha....🙏🙏
i
Zito zuber kabwe nitafuatilia mijadala yako mpaka mwisho
Furaha Nowa uko vizuri sana
Furaha Nowa
Tuacheni siasa hata kwenye ukweli
HAPA katema point
Furaha Nowa zito baba lao
Huyu jamaa yani ata ukimsikiliza unainjoi Jinsi gani anaongea Pont yani hii ni hazina ya nchi mtake msitake
Chiz tu
Watanzania hamtaki kuwasikiliza Wabunge wa upinzani lakini Tanzania inazama. Shillingi inazidi kuporomoka kwanu uchumi ndani ya CCM ni hakuna kitu. Tunaongozwa na makanjanja. Fedha zinatumika tu bila mpangilio.
kweli kabisa
@@africatanzaniatours sijui chizi ni nani hapa
Zitto ubarikiwe
ndugai mungu anakuona logo mbaya
Zitto yupo vizuri tatizo lake huwa anajiongeza kupita kiasi. 😂😂😂😂😂😂
Anajiongeza etiiiii brooooo hahahahaahahaaaa
Zitto akili kama tembo yaan unatsha braza!big up
Leo nimekuelewa ,zito uko mzito kwa leo
Mungu aendeleee kukutunza Zito niko mbioni tu ACT
Nakuelewa vizur Zitto