Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
  • Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
    Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, amesimama Bungeni leo Januari 29, kuchangia hoja katika muswada wa mabadiliko madogo ya sheria ya vyama vya siasa uliowasilishwa Bungeni hapo Na Waziri Jenista Mhagama.
    #ZittoKabwe
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
    GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....

ความคิดเห็น • 561

  • @amanimusenyi8217
    @amanimusenyi8217 4 ปีที่แล้ว +6

    Zitto Kabwe ni kiongozi anaeongea kwa kutumia vifungu vya sheria,I appreciate to him.

  • @josepharon1338
    @josepharon1338 5 ปีที่แล้ว +10

    Namkubali sana mh zitto apewe maisha marefu mtetezi mzuri sana wasisi wanyonge

  • @rhiophiri9645
    @rhiophiri9645 5 ปีที่แล้ว +24

    zito kabwe you are a precious asset 4 Tanzania and a Tanzania's parliament ' s pride.they'r luck to have a person of yo calibre,very brilliant,intelligent and driving points home when speaking

  • @NyumbaniHabariMedia
    @NyumbaniHabariMedia 5 ปีที่แล้ว +33

    Asante Mh.Zito......ww ni zaidi ya Vibajaji vyao Elfu nyingi

    • @gablielturuka9576
      @gablielturuka9576 4 ปีที่แล้ว

      Awa jamaa wanaelewesha sanaa watu na wanaeleweka sana kama walimu vile

  • @mfaumeseif5872
    @mfaumeseif5872 5 ปีที่แล้ว +13

    Mungu akulinde Mwami Zitto Kabwe... Hoja zako zitaishi milele....

  • @tindotanzania
    @tindotanzania 5 ปีที่แล้ว +128

    Gonga like kama ume mwelewa zitto kabwe

  • @neemaemmanuel4942
    @neemaemmanuel4942 4 ปีที่แล้ว +12

    Zitto Zuberi Kabwe, akili kubwa ❤🇹🇿

  • @peterkatete5645
    @peterkatete5645 5 ปีที่แล้ว

    Mh. Job Ndugai kuna kipindi huongozwa na roho wa Mungu kama hivi!

  • @ayubusanga3796
    @ayubusanga3796 5 ปีที่แล้ว +16

    Zito kabwe!!! Heshima kwako mkuu!

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 5 ปีที่แล้ว

    Nakuombea kwa Mungu siku moja uongoze taifa hili kama raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania (AMEEN)

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume 5 ปีที่แล้ว +7

    Ndo mbunge pekee wa upinzani ninayo mkubali zaidi anajua vitu vingi na anajua kufuatilia na anakwenda na nyakati huwez kusikia kashuka big up sana bro

  • @juliasmollel5176
    @juliasmollel5176 4 ปีที่แล้ว

    zito kabwe stoway kukusahau katika elim yako katika bunge la Tanzania mungu akulinde kiongonzi

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro6742 5 ปีที่แล้ว +32

    Mungu akubariki kwa mchango mzuri mh mbunge

  • @dorcasmruma1238
    @dorcasmruma1238 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kabwe zito zuber
    Umeona mbelen
    Mungu akuongoze zaid

  • @macmax7767
    @macmax7767 5 ปีที่แล้ว +1

    Zitto ni Mzito sana kwa Hoja na mpangilio wa namna ya kuweka mambo sawa. Anaushawishi mkubwa sana

  • @jesusfirst8464
    @jesusfirst8464 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtu makini sana nchini hapa!! Youthful wisdom genius man 👨 💜💜💜

  • @jackyjosemworia1063
    @jackyjosemworia1063 5 ปีที่แล้ว

    Naomba Mungu usk na mchn awasimamishi viongozi wenye hofu ya Mungu na hekima Tz na dunia yote, Mungu awabariki wote wenye kutumia hekima
    na busara daima ameni

  • @isdorykiwale
    @isdorykiwale 5 ปีที่แล้ว +3

    Keep preaching my MP may b one day they will understand.

  • @tedlema8105
    @tedlema8105 5 ปีที่แล้ว

    wabunge was chama cha kijani wawe making sana,hii in vita inaandaliwa na vita haichagui chama,ohoooooo!

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 5 ปีที่แล้ว

    ASANTE ZITTO WATANZANIA TUKO NAWEWE NA VYAMA VYOTE VINAVYO WAKILISHA MASLAHI YA WA TANZANIA WANYONGE!! BIG UP ZITTO!! BIG UP UKAWA!!

  • @dr.djshigongo4927
    @dr.djshigongo4927 5 ปีที่แล้ว +1

    Ako na respect sana.... Kasikia tu "taarifa "..akakaa chini,,,,He's so wise... Big up Zitto.

  • @josephmtepa9552
    @josephmtepa9552 4 ปีที่แล้ว

    Zinto wewe kweli mugu akujalie maishaalefu

  • @ramahhouzzer2342
    @ramahhouzzer2342 5 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akulinde zito Uko vizuri

    • @AP-uk3mq
      @AP-uk3mq 4 ปีที่แล้ว

      Ameen

  • @juliaslaizer341
    @juliaslaizer341 5 ปีที่แล้ว +16

    Kweli Mungu akubariki sana Tanzania yetu hii tunaelekea wapi

  • @francmnzava7513
    @francmnzava7513 5 ปีที่แล้ว

    Dah kakaangu zito umeongea vitu konki sana ila sasa anaye sikiliza anajikuta mungu mtu hana haja eti duh

  • @abdillahichicha8366
    @abdillahichicha8366 5 ปีที่แล้ว

    Big up ZZK Watanzania tunakuelewa mungu akupe umri mrefu sana amiyn

  • @joshuayengu3624
    @joshuayengu3624 5 ปีที่แล้ว

    Ahsante MH ZITTO, Mimi nadhani ni vyema ccm wakajua kuwa njama nyingi wanazozifanya ili kudumaza siasa ya Tanzania tumeshazibaini. Pasipo kuwa Na jicho LA tatu Tanzania itadumbukia kwenye dimbwi baya.

  • @salummatumla5652
    @salummatumla5652 5 ปีที่แล้ว

    zitto nimemkubari sana yani kama ayupo bungeni linapooza sana mungu akuweke sana

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 3 ปีที่แล้ว

    hawa ndio viongozi wenye akili wanaosimamiya ukweli zito kabwe yuko vizuri sana mungu akubarik kaka duuuuu

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 5 ปีที่แล้ว +23

    Uzuri kwasasa wabongo huwa hawasahau😃
    Ipo siku ikiwatokea puani tutawakumbusha maneno yako

    • @jumannerama8756
      @jumannerama8756 5 ปีที่แล้ว

      Daaaaa!!!!!zito ni shidaaa!!!!nakuelewa sana!!!!

  • @kizurikinaua2242
    @kizurikinaua2242 5 ปีที่แล้ว +1

    Yupo vizuri zito kabwe hongera sana hatutajuta kukuchagua

  • @cosmassquintine1320
    @cosmassquintine1320 5 ปีที่แล้ว +13

    Pole kwa kujua ukweli na kumweleza MTU ambaye hayuko tayari kukuelewa na kutekeleza mapendekezo yako mazuri. If you failed to fight join it.

  • @alfredmbasa2415
    @alfredmbasa2415 5 ปีที่แล้ว +4

    zito kabwe we ni wa sayari nyingine hakika

  • @mwaramiissa3553
    @mwaramiissa3553 3 ปีที่แล้ว

    Mawazo yangu yanaweza kuwa tofauti kidogo. Tanzania ni nchi inayoendelea, mazungumzo ya zitto ni makubwa na yanahusu demokrasia iliyokomaa sana. Ushauri wangu ni kwamba wabunge wajadili miundombinu na maendeleo ya wananchi na huduma muhimu kwa wananchi

  • @IbrahimIbrahim-kq3iq
    @IbrahimIbrahim-kq3iq 5 ปีที่แล้ว +9

    full of logic, I always appreciate you brother, live longer

  • @moslihimhamad5541
    @moslihimhamad5541 5 ปีที่แล้ว

    Hawa wabunge kwa kweli wapo wa aina mbili wabunge wanaowakilisha wananchi na wanaowakilisha matumbo yao

  • @oscarobed7900
    @oscarobed7900 5 ปีที่แล้ว

    Mh Ndugai kweli nasema kutoka moyoni sasa hivi umekomaa kuwa Spika wa bunge... Nimependa sana

  • @georgekigufa9554
    @georgekigufa9554 5 ปีที่แล้ว +8

    Safi sana ndg yangu Zito. Unaona mbele.

  • @mudhakirudauda7933
    @mudhakirudauda7933 5 ปีที่แล้ว +73

    Sijawahi juta kumfuatilia Zitto

  • @sadickd_knuckle5456
    @sadickd_knuckle5456 5 ปีที่แล้ว +6

    Good brother, MTU mmoja hawezi akawa ni final say

  • @loishiyemollel8071
    @loishiyemollel8071 5 ปีที่แล้ว

    Pole zito ,kweli wewe unaona mbali Mungu akulinde

  • @eliasalamunyaki7684
    @eliasalamunyaki7684 4 ปีที่แล้ว

    Baba uko vizuri ulitabiri y'a kwel

  • @kashindembugano3467
    @kashindembugano3467 5 ปีที่แล้ว

    nchi inakutegemea sana mh.mbowe.pambana kwa masilahi ya taifa letu.

  • @naishimbilinyi3373
    @naishimbilinyi3373 5 ปีที่แล้ว

    Zitto ni Pasua kichwa sana ndani ya bunge

  • @alawibanda82
    @alawibanda82 5 ปีที่แล้ว

    tatiz xio km hawaon au hawaxikii wanaon xn na wanjua wanach fany kwakuw wao wanadola ndo man kil kt kwao ubabe xix wanyonge tunamxhtakia mungu kila m 1 mungu atampa Lana
    ya milele

  • @adinaniadam7314
    @adinaniadam7314 4 ปีที่แล้ว

    Daaaa sasa level yako kaka ni ulaisss na sio ubuge wakupe nchiiiii

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034 4 ปีที่แล้ว

    Mimi nnapenda sana Zito kwakweli big up Mh

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 5 ปีที่แล้ว +2

    Zitto ana GB100

  • @mfukunyuzi8335
    @mfukunyuzi8335 5 ปีที่แล้ว

    Nampenda sana huyu jamaa ,yuko vizuri sana kwenye kutengeneza hoja za msingi

  • @asajilejohnmwakapinga1065
    @asajilejohnmwakapinga1065 5 ปีที่แล้ว +1

    mungu aku
    barik zitto kabwe tuko pamoja

  • @jimjam4162
    @jimjam4162 5 ปีที่แล้ว +47

    Ndiyo maana mm upenda Sana upinzani kwa kutuelewasha mambo Kwa ufasaha

  • @erymwazembe7369
    @erymwazembe7369 5 ปีที่แล้ว +26

    Yani ccm na mtt mdogo hamna tofauti wao wanaangalia apoapo. Kisa nini wao wanajua eti watatawara nchi hi mpaka mwisho wa dunia ndomana wanatengeneza sharia zakuzibiti vyama vya upinzani kwanjia yoyote ile

  • @V24hrs
    @V24hrs 2 ปีที่แล้ว

    Zitto hapa uliona mbali sana

  • @bernadinangasi7664
    @bernadinangasi7664 5 ปีที่แล้ว +10

    Kiukweli ndugai amekuelewa ila basi tu nahapo alipo hayo maneno yamemuingia ilatu hana jinsi mheshimiwa wetu ndugai tuna miomba Mungu akupe nguvu Mpya ya huruma ya mawazo ya watanzania wenzako

    • @bonifacesanga8691
      @bonifacesanga8691 5 ปีที่แล้ว

      naomba uwaelekeze hao wabunge Wa CCM maana wamezoea kukaririshwa maneno

    • @rommy7kihuriko452
      @rommy7kihuriko452 5 ปีที่แล้ว

      NILICHO GUNDUA UPINZANI KUNA WATU WENYE AKILI SANA

  • @ismailimusa6640
    @ismailimusa6640 5 ปีที่แล้ว +164

    Ndo mbunge anaeleta maana halisi ya nn kazi ya bunge anaongea kwa hoja at ukimsikiliza huwezi kujuta kwann ulimpa kura yako Mungu.akuhifadh san mh zitto Kabwe.

    • @japhetmwamlenga7078
      @japhetmwamlenga7078 5 ปีที่แล้ว +1

      Ismaili Musa kuna siku mbuge wenu ikisimama kuchangia mkakosa kumsifia wenu sifa was ccm pumba.

    • @kulwakicheko5102
      @kulwakicheko5102 5 ปีที่แล้ว +2

      Zitto unaongea vitu vya muhim kwa taifa ni letu sote.

    • @paulmnama9405
      @paulmnama9405 5 ปีที่แล้ว +2

      wasio muelewa zitto ni vilaza vya upande wa pili maana ni mijitu ya kupelekwapelekwa tuu

    • @mudhakirudauda7933
      @mudhakirudauda7933 5 ปีที่แล้ว +2

      Fact

    • @AcklandackyMichael
      @AcklandackyMichael 5 ปีที่แล้ว +1

      Amin

  • @aflahali7487
    @aflahali7487 5 ปีที่แล้ว +17

    This man should b the president of ,Tz

    • @sebmalunde5945
      @sebmalunde5945 5 ปีที่แล้ว

      Whaaaat?????

    • @elijahmange960
      @elijahmange960 4 ปีที่แล้ว

      Can't be the President of the United Republic of Tanzania

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 5 ปีที่แล้ว +3

    Akili mingi sana 🔥🔥🔥🔥💯

  • @kulwakicheko5102
    @kulwakicheko5102 5 ปีที่แล้ว +19

    Zitto ni sawa na wabunge 100 ccm

    • @KVPONLINETV
      @KVPONLINETV 5 ปีที่แล้ว

      Kama wabunge wenu waongo waongo wa ukawa sawa sawa ila huyo zito ni ccm kama utamsikiliza

    • @gabrielmpanda9709
      @gabrielmpanda9709 5 ปีที่แล้ว

      Ni sawa na wabunge woote wa ccm + mwanasheria mkuu

  • @shomytventertainmenttanzan7842
    @shomytventertainmenttanzan7842 5 ปีที่แล้ว +2

    Point Yani Tanzania inaelekea pabaya sana eh mungu tusaidie sisi

  • @gloryjoo6475
    @gloryjoo6475 5 ปีที่แล้ว +1

    zitto umeongea vzur sana.. nakukubali mno mbunge wangu

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 ปีที่แล้ว

    THIS GUY IS WISE

  • @hemedwow8802
    @hemedwow8802 5 ปีที่แล้ว +8

    Waswas wangu ni 2020,wabunge wengi kama hao.huenda watafanyiwa mizengwe wasirudi hapo.ili tubaki na wale wanaoshtuka usingizini na kupiga makofi!!

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 5 ปีที่แล้ว

    MANYWA DAMU YA KIJANI YAMENYWEA NYWIIII!! SHUBAMITI!!! BIG UP ZITTO!!!!

  • @dismasalex5064
    @dismasalex5064 5 ปีที่แล้ว

    Yes, Economist I real appreciate this... There is Correlation btn those variables

  • @ramadhanmanko4614
    @ramadhanmanko4614 5 ปีที่แล้ว +2

    Zito bashe tundulisu hawanimashine watz nawakubalisana

  • @regiuskitosi7101
    @regiuskitosi7101 3 ปีที่แล้ว

    Kinacho endelea sasa hivi 2021 ndo kilitabiriwa na zito wapinzani wanaonekana kama waasi 😂😂 Tz bhana

  • @eng.johndzmmolamu1816
    @eng.johndzmmolamu1816 5 ปีที่แล้ว

    Watu wenye uelewa mdogo hawawez kukuelewa sasaiz ila ipo siku watafanya reference kwa hizi hoja unazozitoa mh zito,mm najua uelewa wako uko juu sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 ปีที่แล้ว

    Inaumiza sana,basi tu!
    Muda utaongea tu,na yatawarudi haya mtakapokuwa hampo madarakani

  • @johnramadhan4714
    @johnramadhan4714 5 ปีที่แล้ว

    kati ya wana siasa wanao ona mbali na zito kabwe ni mojawapo, kweli mswada huu ukipita hakuna haja ya kuwa na vyama vya siasa! ila wataya kumbuka haya ya Zito kabwe!

  • @janembise1022
    @janembise1022 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akuweke aiseee huwa una ni spear sana kaka yanguu

  • @jordankivuyo9477
    @jordankivuyo9477 3 ปีที่แล้ว

    Inaumaa sanaa mungu awe pamoja nao

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 5 ปีที่แล้ว +46

    Leo zito amechangia kwa usikivu mkubwa mno na spika Leo amemsikiliza kwa umakin tena sana naona zito ameaza kueleweka sema ubishi tuuu

    • @agnesipetro3663
      @agnesipetro3663 5 ปีที่แล้ว

      Wapinzani wako makini siku zote

    • @faustinelubago7498
      @faustinelubago7498 4 ปีที่แล้ว

      Huyo jamaa anaitaji kutuvuruga tu.
      Anaitaji Taifa libaki nyuma kila Leo?
      Boya tuu

  • @bekamabenga1363
    @bekamabenga1363 5 ปีที่แล้ว

    Nc umetumwa na mungu utete wanyonge

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910 5 ปีที่แล้ว

    Duh. Asante Mbunge wang

  • @sefaniandabila8604
    @sefaniandabila8604 5 ปีที่แล้ว +7

    talented man

  • @newjaybilali3150
    @newjaybilali3150 5 ปีที่แล้ว

    Salute bro ukisema ukweli watakuita kibaraka wa mabeberu bt never gve up

  • @bernardbenedicto1373
    @bernardbenedicto1373 4 ปีที่แล้ว +1

    Zitto mwana wa ruyaga.

  • @idawakisambivi7747
    @idawakisambivi7747 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana Zitto

  • @barakajambery563
    @barakajambery563 5 ปีที่แล้ว

    Ipo sku utaichukua hii nchi,kwani mungu ndo anajua kila uwezo wa mtu

  • @shehemnazi127
    @shehemnazi127 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akujarie zitto miaka mingi Sana ututete sisi.

  • @idrisamngagi284
    @idrisamngagi284 4 ปีที่แล้ว +2

    2020 . you are genious bro

  • @katapaj2336
    @katapaj2336 4 ปีที่แล้ว

    nawaerewa sana kazi juu ya kazi amna maneno kama mido simba

  • @wilbertmmole4412
    @wilbertmmole4412 5 ปีที่แล้ว +16

    Nimekuelewa sana kijana

  • @josephatnyambi62
    @josephatnyambi62 5 ปีที่แล้ว +8

    Wangekuwepo hata watano tuu nchi ingesogea

  • @helmanikomba576
    @helmanikomba576 5 ปีที่แล้ว +13

    Kinga nibora kuliko TIBA. Nyepesi vipi!!

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana Mungu akuzidishie

  • @hamisbulabo389
    @hamisbulabo389 4 ปีที่แล้ว +1

    Uyu jamaa very thinker

  • @furahanowa3420
    @furahanowa3420 5 ปีที่แล้ว +75

    Hakika kama tungepata wabunge 40 kama ww tungesonga mbele

    • @husseinnyomi6120
      @husseinnyomi6120 5 ปีที่แล้ว

      Zito wambie wananchi wako wa kgm tunakosa ajila kwa kukosa vitambulisho vya taifa watatupa lini

    • @salehmadawa7035
      @salehmadawa7035 5 ปีที่แล้ว +1

      Sawa kabisa makasuku kazi yao kuunga mkono tu lengo ni kuua vyama upinzani

    • @paulmnama9405
      @paulmnama9405 5 ปีที่แล้ว

      kweli kabisaaaaaaa

    • @mudhakirudauda7933
      @mudhakirudauda7933 5 ปีที่แล้ว

      Hakika

    • @dismasalex5064
      @dismasalex5064 5 ปีที่แล้ว

      Hakika

  • @habakukihabakkuk7568
    @habakukihabakkuk7568 5 ปีที่แล้ว

    Unaakili xana dg zito,good historian

  • @josefumnama3780
    @josefumnama3780 4 ปีที่แล้ว

    Zito hujawahi kutuangusha hasta siku moja

  • @tonywilliams8819
    @tonywilliams8819 5 ปีที่แล้ว

    Natamani sana uwe political mentor wangu !!
    You are very smart brother

  • @sinclairmosha809
    @sinclairmosha809 5 ปีที่แล้ว +3

    Akawaambia wanafunzi wake, Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye yaja kwa sababu yake! Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa. Jilindeni;
    LK. 17:1‭-‬3 SUV
    2019-2020 itakua ngumu kweli watanzania wenzangu, tujifunge mikanda Mungu yupo pamoja nasi hajatuacha....🙏🙏

  • @furahanowa3420
    @furahanowa3420 5 ปีที่แล้ว +121

    Zito zuber kabwe nitafuatilia mijadala yako mpaka mwisho

  • @mwidausaid5701
    @mwidausaid5701 5 ปีที่แล้ว +72

    Huyu jamaa yani ata ukimsikiliza unainjoi Jinsi gani anaongea Pont yani hii ni hazina ya nchi mtake msitake

    • @africatanzaniatours
      @africatanzaniatours 5 ปีที่แล้ว

      Chiz tu

    • @rinovatkazimili7362
      @rinovatkazimili7362 5 ปีที่แล้ว +2

      Watanzania hamtaki kuwasikiliza Wabunge wa upinzani lakini Tanzania inazama. Shillingi inazidi kuporomoka kwanu uchumi ndani ya CCM ni hakuna kitu. Tunaongozwa na makanjanja. Fedha zinatumika tu bila mpangilio.

    • @paulmnama9405
      @paulmnama9405 5 ปีที่แล้ว

      kweli kabisa

    • @AP-uk3mq
      @AP-uk3mq 4 ปีที่แล้ว

      @@africatanzaniatours sijui chizi ni nani hapa

  • @jamesabdizo7581
    @jamesabdizo7581 4 ปีที่แล้ว

    Zitto ubarikiwe

  • @vumiliasaimon1891
    @vumiliasaimon1891 5 ปีที่แล้ว

    ndugai mungu anakuona logo mbaya

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 5 ปีที่แล้ว +13

    Zitto yupo vizuri tatizo lake huwa anajiongeza kupita kiasi. 😂😂😂😂😂😂

    • @masaulihassan2463
      @masaulihassan2463 5 ปีที่แล้ว

      Anajiongeza etiiiii brooooo hahahahaahahaaaa

  • @williamludovick5143
    @williamludovick5143 4 ปีที่แล้ว

    Zitto akili kama tembo yaan unatsha braza!big up

  • @lennygeorge9165
    @lennygeorge9165 5 ปีที่แล้ว +8

    Leo nimekuelewa ,zito uko mzito kwa leo

    • @lucystanley2641
      @lucystanley2641 4 ปีที่แล้ว

      Mungu aendeleee kukutunza Zito niko mbioni tu ACT

  • @adilinanduguze2464
    @adilinanduguze2464 5 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa vizur Zitto