MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
    Mbunge wa Iringa mjini (CHADEMA), Peter Msigwa amewatupia lawama Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano kwa kushughulikia kero na kutatua migogoro badala ya kushughuikia sera.
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co....
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 293

  • @alikhalfan9551
    @alikhalfan9551 4 ปีที่แล้ว +24

    Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni

  • @simonkanyungu7760
    @simonkanyungu7760 3 ปีที่แล้ว +1

    The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 4 ปีที่แล้ว +1

    Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.

  • @mohamedmohamedimnyilila6631
    @mohamedmohamedimnyilila6631 4 ปีที่แล้ว +3

    Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa

  • @stevehiraly9127
    @stevehiraly9127 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashine hio..
    Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga7999 4 ปีที่แล้ว +4

    Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli

  • @alexmbembela4571
    @alexmbembela4571 4 ปีที่แล้ว +2

    Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa

  • @jiajoel2346
    @jiajoel2346 4 ปีที่แล้ว +4

    Msigwa keep it up...nakubali hoja zako

  • @godfreynkama6098
    @godfreynkama6098 4 ปีที่แล้ว +7

    Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 4 ปีที่แล้ว +4

    Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda

    • @mussajacob8346
      @mussajacob8346 4 ปีที่แล้ว

      Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu

    • @kijangapeter5135
      @kijangapeter5135 4 ปีที่แล้ว

      Hili maza jinga kabisaa

  • @chinamichael3340
    @chinamichael3340 4 ปีที่แล้ว +18

    Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 4 ปีที่แล้ว +3

    Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.

  • @sehemunzuri
    @sehemunzuri 4 ปีที่แล้ว +9

    Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana

  • @abtwalibuhussein4877
    @abtwalibuhussein4877 4 ปีที่แล้ว +12

    Mchungaji Uko vizuri sana.

  • @daniellyimo636
    @daniellyimo636 4 ปีที่แล้ว +1

    Point 😄😄😄

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 4 ปีที่แล้ว +2

    Uko Sahihi Hon.Msigwa

  • @jacobmgumiro156
    @jacobmgumiro156 4 ปีที่แล้ว +25

    Naombeni muniambie msigwa naweza kumnunua ahamie lushoto ?manas wakwetu sijawah kumsikia hataaaasiku moja

  • @pastor_mashimo
    @pastor_mashimo 4 ปีที่แล้ว +23

    Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point

  • @leonardgalila3032
    @leonardgalila3032 4 ปีที่แล้ว +8

    Leo speaker nimekuelewa

  • @willyngailo4549
    @willyngailo4549 4 ปีที่แล้ว +6

    Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana

  • @dlmedial9417
    @dlmedial9417 4 ปีที่แล้ว +15

    Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala

  • @angelmaganga9482
    @angelmaganga9482 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia

  • @wilsonmcs3369
    @wilsonmcs3369 4 ปีที่แล้ว +3

    WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏

  • @fettamidu2503
    @fettamidu2503 4 ปีที่แล้ว +3

    Msingwa kichwa saaaana big up

  • @janelukololo9919
    @janelukololo9919 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 4 ปีที่แล้ว +1

    Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌

  • @zicomgravity4897
    @zicomgravity4897 4 ปีที่แล้ว +6

    This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏

  • @freckkihundo4349
    @freckkihundo4349 4 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja sana mh msigwa

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 4 ปีที่แล้ว +32

    ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka

  • @seljasele
    @seljasele 4 ปีที่แล้ว +8

    Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.

    • @daniellyimo636
      @daniellyimo636 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄

  • @salasaidi1888
    @salasaidi1888 4 ปีที่แล้ว +4

    Uko sawa

  • @fadhilalemba7857
    @fadhilalemba7857 4 ปีที่แล้ว +1

    very true

  • @nassorseluma2920
    @nassorseluma2920 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mchungaji

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 4 ปีที่แล้ว +6

    Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan

  • @suleykilindi5117
    @suleykilindi5117 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG

  • @adamally8791
    @adamally8791 4 ปีที่แล้ว +1

    God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu

    • @robben8736
      @robben8736 4 ปีที่แล้ว

      unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 4 ปีที่แล้ว

    Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.

  • @mkonojr2779
    @mkonojr2779 4 ปีที่แล้ว +1

    Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba

  • @fredylucas2484
    @fredylucas2484 4 ปีที่แล้ว +3

    Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 4 ปีที่แล้ว +18

    kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 ปีที่แล้ว +1

    Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว +10

    Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 4 ปีที่แล้ว +1

    Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True

  • @veilamariki3000
    @veilamariki3000 4 ปีที่แล้ว +2

    Point Msigwa

  • @silasnnko4384
    @silasnnko4384 4 ปีที่แล้ว +13

    Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 4 ปีที่แล้ว +10

    Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.

  • @evethaasey1791
    @evethaasey1791 4 ปีที่แล้ว +2

    OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good

  • @philipomofuga3511
    @philipomofuga3511 4 ปีที่แล้ว

    Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.

  • @israelpwele5535
    @israelpwele5535 4 ปีที่แล้ว +1

    Pasua kichwaa, mchungajiiiii

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 4 ปีที่แล้ว +11

    Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa

  • @daytonmsuku8419
    @daytonmsuku8419 5 หลายเดือนก่อน

    Fact

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 ปีที่แล้ว +19

    Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga7999 4 ปีที่แล้ว

    Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako

  • @bilalimziray448
    @bilalimziray448 4 ปีที่แล้ว +3

    Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁

  • @leonardawamu2275
    @leonardawamu2275 4 ปีที่แล้ว +1

    safi sana MCHUNGAJI

  • @evelynmon9423
    @evelynmon9423 4 ปีที่แล้ว +3

    Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao

  • @yassinudd4422
    @yassinudd4422 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake

  • @smarty1064
    @smarty1064 4 ปีที่แล้ว +5

    Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 4 ปีที่แล้ว

    Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 ปีที่แล้ว +1

    true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.

  • @mussajacob8346
    @mussajacob8346 4 ปีที่แล้ว +6

    Jamani izi taarifa zanini kwanini musikae kimya mumwache mtu atoe yamoyoni ayo mataarifa yanamshusha moli mchangiaji

  • @mohamedisarafi5308
    @mohamedisarafi5308 4 ปีที่แล้ว +1

    Msigwa🙌🙌🙌🙌

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 3 ปีที่แล้ว

    Yes

  • @mrsramadhani2400
    @mrsramadhani2400 4 ปีที่แล้ว +14

    Nimekuelewa.boc.kubwa
    Lakn.maccm
    Cjui2.wakoje
    Chukuen.mawazohayo
    Myafanyiekaz

    • @sasumaadsaihmayombya8145
      @sasumaadsaihmayombya8145 4 ปีที่แล้ว

      Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?

  • @feisalissa3009
    @feisalissa3009 4 ปีที่แล้ว +3

    Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯

  • @Directorhernrypro
    @Directorhernrypro 4 ปีที่แล้ว +1

    Point 👍🏼

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 4 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana Msigwa mpe kubwa fala huyo hamisi sijui kingangwala

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 2 ปีที่แล้ว

    intelligent

  • @petroerinest2744
    @petroerinest2744 4 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana pastor

  • @sekuludevid5239
    @sekuludevid5239 4 ปีที่แล้ว +5

    Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 3 ปีที่แล้ว

    Hamjui kutangaza utalii mnapenda kupoke pesa Tu ,mnategemea tour operators ,halafu mnawafunguza wawekezaji na kuwaongezea kodi

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 3 ปีที่แล้ว

    Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 4 ปีที่แล้ว +7

    Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see

  • @robertthomas7769
    @robertthomas7769 4 ปีที่แล้ว +5

    Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 4 ปีที่แล้ว +8

    Wabunge wa ccm wote viazi mnakalia miongozo baada ya kusikiliza ushauli mnaopewa na wapinzani wenye Akili kubwa kama ya msigwa

  • @galussskale8701
    @galussskale8701 3 ปีที่แล้ว

    Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 4 ปีที่แล้ว +4

    Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁
    TAARIFA imekua Nyingi,
    I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!

  • @adiliharold1172
    @adiliharold1172 4 ปีที่แล้ว

    Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 4 ปีที่แล้ว +3

    Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya

  • @leonardsimon2148
    @leonardsimon2148 4 ปีที่แล้ว +4

    Kweli wadau wa utalii tunafanya juhudi kubwa sana sisi travellers agent kuutanfazia ulimwengu kile tulichonacho kuliko hiyo board ya utalii

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 4 ปีที่แล้ว +6

    Sema baba

  • @kavishevicky1816
    @kavishevicky1816 4 ปีที่แล้ว +1

    Hajafungua tablet ila amemuelewa mchungaji ....ni hatareeeee...anichukue hata Mimi jmn lukuvi Iam available jmn

  • @salehehassan3665
    @salehehassan3665 4 ปีที่แล้ว +1

    Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi

  • @yusuphmkapa5302
    @yusuphmkapa5302 4 ปีที่แล้ว +8

    Kamwene veya

    • @merypeter7467
      @merypeter7467 4 ปีที่แล้ว

      Yusuph waambie baba tupone

  • @mwabayachacha3557
    @mwabayachacha3557 4 ปีที่แล้ว +3

    spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana

  • @omaryhango6696
    @omaryhango6696 4 ปีที่แล้ว

    Point

  • @kasolekasole4981
    @kasolekasole4981 4 ปีที่แล้ว

    Factor

  • @ulomistephen7679
    @ulomistephen7679 4 ปีที่แล้ว +4

    Akili.kubwa

  • @festoasanga5572
    @festoasanga5572 2 ปีที่แล้ว

    Daaaa chadema nimafutena wana jua sjui tutawapateje tena

  • @ibrahimrajab1702
    @ibrahimrajab1702 4 ปีที่แล้ว +5

    Huna lolote sisi tunajisikia raha Rais wetu anaposuluhisha migogoro pahala Popote, kwaiyo wewe msigwa unawivi tu waache mawazili wapige kazi kwa vitendo

  • @mtatiromgeka7270
    @mtatiromgeka7270 4 ปีที่แล้ว

    Kuna vitu serikari inaweza kuvipuza lkn ni vitu mhimu sana kwa masirahi ya nchi yetu..

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu2903 4 ปีที่แล้ว +5

    Mmmh nimemuona POYOYO aliitwa na SUGU

  • @chrismndolwa718
    @chrismndolwa718 4 ปีที่แล้ว

    Eti hawajulikani hata Malawi dah very funny Msigwa ha ha

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 4 ปีที่แล้ว +3

    Ukiona Taarifa zinazidi ujue ccm imezidiwa

    • @paulebby1552
      @paulebby1552 4 ปีที่แล้ว

      🙆🙆🙆

    • @Directorhernrypro
      @Directorhernrypro 4 ปีที่แล้ว

      🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️👍🏼

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter3840 4 ปีที่แล้ว

    Hapo msigwa umefeli lete point nn kifanyike usibwabwaje bwabwaje tu

  • @yohanaandrew1462
    @yohanaandrew1462 4 ปีที่แล้ว +3

    Kuche mwagito kangale, utalii hoyeeee

    • @bravoromeo4428
      @bravoromeo4428 4 ปีที่แล้ว +1

      Haaaaaaaa bela alonzile asinzile

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 ปีที่แล้ว +6

    Kweli km china mchukue jack chain mpe free muhudumie kubaliana nae arudi china akutangazie uone wachina watakavyo ingia hapa

  • @masanjangololo6204
    @masanjangololo6204 4 ปีที่แล้ว

    KWELI UNAPENDA SANA MITANDAO

  • @shabaniguma8696
    @shabaniguma8696 4 ปีที่แล้ว +5

    Kanuni ya ishirini na nane ni mpuzi wabunge wengine hata sijui wamefika mjengoni yani kumzuia msigwa asionge

  • @adventureguidertanzania2331
    @adventureguidertanzania2331 4 ปีที่แล้ว +4

    Msigwa Ni Moto jamani