Kauli kali za SPIKA mwanzo mwisho "Mama hatabiriki" || Pambana na kitu kingine sio Ndugai
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ม.ค. 2022
- Job Ndugai amejiuzulu nafasi yake ya Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kubaki kuwa Mbunge wa Jimbo la Kongwa. Katika kipindi chake cha Uspika tunakuletea kauli mbalimbali alizowahi kuzitoa ndani na nje ya Bunge hadi alipofikia kumwomba radhi Rais Samia Suluhu Hassan na baadaye kujiuzulu nafasi yake ya Uspika.
Appreciate this Man....hata kuiongoza familia kunahitaji msimamo na jeuri....huyu ndo kiongozi tumtakaye....2025 niko upande wako mzee wangu........
Msimamo unaomba radhi?
Si Kila msimamo ni hekima. Misimamo mingine ni ujinga na upumbavu mtupu. Huyu ndivyo alivyokuwa na nduguye mwendazake!!
Ndugai haya ni maisha tu anaeyaweza.ni mungu tu nilijua utamaliza vibaya na bado hiyo ni trela
Bila msimamo wa namna hiyo, huwezi kusimamia bunge. Bungeni kuna kanuni, ASA kama mbunge hafat kanuni unataka afanyeje. Alifanya vizur sana, kasoro yake ni kumsalit magufuli bandari ya bagamoyo bas. Alaf ninyi mliotengeneza hii, mnapenda kuponda sana wengine wakt ninyi wenyewe ni makaburi yaliojaa kila aina ya uchafu. Jiangalien na ninyi matendo yenu, yeye ametubu na mungu amemsamehe
Usimtetee Msaliti!
Huo si misimamo,unazuia mishahara ya watu unasema.huo msimamo?
tumshukuru mungu kamaliza kazi bila kumjeruhi mbunge ata mmoja... ameena..
Mungu ni mungu na ni mwenye wifu hawezi kukubali miungu watu ndani ya dunia akiwaacha watambe basi itakua kakosea kumtoa mwanae wa pekee kuchukua ufalme duniani na mbinguni nenda wewe mungu mtu wa ----
TAARIFA IMEEGEMEA UPANDE.MMOJA.
SAWA SISI NI WA TAMZANIA MWISHO WA SIKU.AMANI UPENDO NA UMOJA WA KITAIFA UTAWALE
Na watanzania walivyokuwa na uelewa mdogo wanaacha kujadili deni kubwa sana na mfumuko wa bei wanahangaika na ndugai
Mnaanza kumtetea baada ya kujiuzulu, acheni unafki
I just love vichapo vyako. Kwa upole na taratibuuu na kiboko kinakupata...
Ata asingejiuzulu angeezuliwa tu kama mzee six ..aliambiwa safari hii tunataka spika m-mama
Wewe ndugai utakula jeuri yako na hao wanaoshangiria nyote ni dhaifu na mazuzu kweli yaani wewe babu jeuri kweli sijui hilo juso lako na upara wako utauweka wapi ulifikiria utakaa hapo milele m.mungu anakuhukumu na kiburi chako kitakurudia
Sentensi ya mwisho ni tamu sana!
Nakubali msimamo wako. Achana na wajinga wasio kuelewa
Damu ya wengi itawarudia wenyewe twende sasa
naweza kukupiga marufuku kuongea huku ndani hakuna cha swali wala nyongeza na hunishtaki popote😂😂😂
Kaoigwa stop yeye
Jamaa Kweli Alitenda Apendavyo
Ilove tanzania ilove my nation
Nimemkubali Sana jeneral ulimwengu
Ama kweli kabla hujafa hujaumbika binaadam tumekuwa waungu tunalaani ovyo ovyo
Urudi kumuomba radhi professor Asad kweli bunge dhaifu
Yaani alijiona kama Bunge kama la babaake vile na kusahau kuwa cheo ni dhamana😏
Hivi bila kuwa na msimamo utaendeshaje kundi ulilonalo acheni kumsema ndugai kauli za watu fulani zilikuwa za ajabu ndugai ni jembe mkatae mkubali aliwaweza sana wenye vimidomo sijaona ubaya wake
Kiburi cha uzima kimemponza, ndio ajue kuwa Dunia ni ya Mungu sio ya wanadamu. Aliwaona wenzake hawana thamani isipokuwa yeye sasa kafika wapi?
Sana tu hakuna kitu kibaya km ukijiona Mungu mtu Kiburi chake kimemrudia mwenyewe!
Ndugai Lisilowezekana kwa binaadamu kwa Mwenyezimungu litawezekana.leo umeuona mkono wa Mungu usioshindwa na mamlaka yoyote.Unayoyapitia sasa ni matokeo ya kiongozi au kutumia mamlaka uliyonayo pasipo hofu ya Mungu.Spika sio Mungu Spika ni mtumishi wa watu.anapaswa kuwaheshimu ili kulipa heshima mamlaka anayoiongoza.
Na mazuri yake wekeni. Tanzania ifike mahali tuwaheshimu watu kwa mema yao na si kwa kutafuta mabaya tu. Hastahili dhihaka hizi alifanya kwa nafasi yake pia jamani.
Huu ndio uhuru wa habari tunaouliliaga?!Muacheni mzee wa watu jamani.
weka wewe kama unayajua
Yaweke ww hayo mazuri acha kupangia watu cha kuposti
@@davegervas4707 fedheha ikupate
@@madetetv6576 ww ndio unataka kunipangia cha kupost ndio maana ume reply kwangu. Kumbe hata hujielewi!!Ss unatokwa poovu. Huna hata cha kusema bendera tu wewe .
@@davegervas4707 bendera fuata upepo tu wewe
We will miss you!!!
Hongera sana Ndugai Unavuna ulichopanda yote mabaya uliyowafanyia wenzio yanakurudia. ✔️
✔️✔️
Kuna mda utafika mtamuona ndugae kuwa alikuwa sahihi nyie endeleeni kupiga midmo
kwenda uko Ndugai huna kauli nzuri kwa watu wazima wenzako sasa utapiga makofi mezani km wenzako dadadekiii zako muliona Samia mwanamke wa mchezo mchezo Mama Samia kenda labour hawaogopi nyote na magenge yenu
Kweli Mungu wee ni Mungu....kuheshimu mamlaka ni muhimu kwa woteee..
Wanna kama Hawa ndo walikiwa wa kuijenga Tanzania unyama unyama🔥
Uongozi hautaki nguvu na majigambo.... Wacha watu wakukubali kwa ubora wa uongozi wako...
Huyu na bashite akili zao sawa
Huyu hayuko sawa na wala hastahili hata kuongoza shuĺle ya chekechea kwanza anazarau sana na kibri sana ila mungu mkubwa kuliko chochote kile,mwisho kaangukia puwa
Hakuna kitu hapo ccm mmewaibia kura wananchi hamjachaguliwa zaidi ubepari tu,hicho ndio kinachowatafuna
Pambana na kitu Ingine sio Ndugai. Mmmmmmmmh ulitumia nafasi yako vibaya. Yalitunzwa Sasa wanakuonyeshea, yamekugeuka.
Tena yeye yamemgeuka kwelikweli bila ya yeye kutarajia
Daaah, dunia hii
Mzuka wa lisu utakumaliza tubu toa ufafanuzi stahiki zake ulimfuta ubunge
Huu mhimili umejiuzulu lakini una jambo kubwa sana unalificha Ndugai tuambie Watanzania tujue kinachoendelea
Nampenda
Mungu wangu amenipa kitu ninacho mikononi mwangu
Amekupa kitu gani?
Kazi kweli kweli wewe Ni mkweli ndiyo maana
Ndugui ww ni dhaifu xnaa, alaf kama una matatizo ya sasa unamwandikia mwenyekiti wa ccm ndio aliyekuchagua?mgogooooo
KILA BINADAM ANAMAKOSA YAKE ss ndugai kukosea ni ajabu???ipo siku tutamkumbuka maana wabongo hukumbuka shuka pakiwa pamekucha😥
Kweli Ana mazuri mengi tu lkn wanaona mabaya tu,hakuna atakayekuwa mkamilifu duniani!
Serikali aitakikuambiwa ukweli...tutafika safari ya baba wa taifa
Viongozi muwe mnachunga sana ndimi zenu ona sasa ulijifanya Mungu mtu kikowapi sasa ukiziona kauli ulizokuwa unalopo sijui unajionaje na unajisikiaje
Inabid tujue tunakosea wap
Mema yake yakowapi Yarrabi huyo ni mwanadamu kupatia na kukosea ni sehemu ya maisha yake hakika Mungu nipe jicho la tatu linijaze ufahamu binaadamu siyo watu nimeshindwa Sina hamu. Jobu Yustin Ndugai kila la kheri huko uliko.
Wema wake ni ubabe na kukandamiza demokrasia
Nimeipenda hio ya mirembe apelekwe nayeye mirembe
Tuliwahi kua na spika moja mbovu sana😂😂😂😂😂😂
Kweliiii upo vizuri
Huwa nikisikiliza dua ya kuliombea Bunge, na baadae kidogo tu nikiangalia jinsi mijadala inavyoendeshwa. Nabaki nikisema moyoni ACHA MUNGU AITWE MUNGU tu.
Aliongeza bunge kwa manufaa ya taifa lakini kujiudhuru kwake si kwa manufaa ya taifa ila alifurahisha nafsi yake, sababu tumepoteza bandari.
Muwe na akiba ya maneno tu.jakaya alitukanwa weeee hakumjibu mtu.dugai nae pia ameshatukamwa Sana.lakini yote yatapita
Nikweli kabisa usidharau usiye mjua
Au kwa sababu ni omba omba,haya kati ya majizi na Ombamba unachagua nini?.Mimi ni Mgogo acheni dharau za Makabira.
Dah yan kuna watu vyeo viliwalevya🤣🤣 leo chaliii..cheo dhamana ndugu zangu
Jidanganyee TU........
Hamkuchaguliwa na wananchi mnaimba kura kwakutumi vyombo vya dola mungu atatoa hukumu ya haki
Hajakosea ni kweli ni dhaifu
Yaani huyu pwagu huyu hata atubu VP hawezi enda peponi kirahisi rahisi,natamani nimtie chupa ya Mirinda huyu,mxhiuuuu..
🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani uchaguzi uwe wa amani kwani mungu apendi fujo
RIP Ndugai, utangulie mapumzikoni huko
Mmm kwani Uspika ndo Maisha tu??
Kwani ivyo ndio kashakufa km hajakufa maneno yanaeeza kumuua akapata maradhi ata mapesa yake akakosa kuyatumia na kuinjoi nayo!
Jaman msinichekeshe
Hivi haya anayasikia kweli
Shida ni nchi kuegemea chama kimoja jamani
G z ya tz itakuja maana wako wengi mtaan bila ajira
Nimegundua huyu ndugai ni mnafiki"hajampenda samia"mbona kipindi cha magufuli ameikubali mikopo?
Da ndugai uko vzur sana 🪴 2025
La proff Assad ndo lilinichukiza kama mtanzania
Naona mnamponda utafikir mnajua Sana kuliko aliokuwa anakaa nao, vi clip vya mkato ndo mnakoment ujinga
mimi nakuunga mkono kwa kila jambo
Mtu wa maana sana job ndugai
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojl
Haya Sasa kinyozi umejinyoa! Ulikuwa unajiona nusu mungu kwa kauli zako za vijembe! Na hiyo Covid ulivyochanjwa mbona bado uliendelea kuugua tu. Nimependa ulivyotoka kwenye hiyo nafasi maana inahitaji mtu mzalendo zaidi na powerful brains!
We ulisema nchi itauzwa wakakutoa, shimo ulilochimba umefukiwa mwenyewe.ukowapi?.
Kujiamini ni vizuri
Iyo ya profesa Asad...
Kwann watu hua mnaonaga mabaya tu? mazuri hayapo au
That is good
Pole ndugai matamanio yagoma kuliongoza taifa
Kwan ndugai hajawahi Fanya jema mbona watu wanamsema sana🤔
Mbona wewe hujaweka hayo mema maana yake si na wewe hujaona mema?
Wala huna bays ni vitu vya kawaida kabisaa walianza na magu wakaja na wengine list inaendelea wakimaliza tu tunakinukisha
Kweli ndege mjanja hunasa kwa tundu bovu😂😂😂 laana ya kumsingizia Yesu na muke yake😆😆😆
Kweli bunge la Ndugai ni dhaifu😅
Dugai ipo siku wanakuona huelewek ipo siku watakwelew me nakukubal sana ndo mana ulijiuzur mapem ulijua
Uko sawa dugai
Hata kama hutaki nchi iuzwe kuna namna ya ku present hoja yako.
Hakuna aliyechaguliwa hata mmoja .Hawa ndiyo aina ya maspika tulionao Tanzania yaani wakanyaga katiba
Ndugai mimi ninakuelewa sana tazo watanzania tumezoa kuombwa ombwa tu atakama tunakosea au tunapokiuka maadili
Uliamua kubeba yote ,maana Kuna ulio wabebea ndo maana ukaomba msamaa ukiwa umeyabeba yote
Badala ya kukaa na kumuomba muumba wetu awajaalie viongozi wetu waoo gone nchi kwa huruma na upendo
Nice
mtazodowana wenyewe kwawenyewe
Kwakwer! Kujikweza kwa namna hii sijawai hona
Yes
😃😃😃😃
💞💞🔥🔥🔥🔥
Kawachagua nani wakati mmekwiba kura
MILEMBE INAKUHUSU.BUNGE DESERVE BETTER SPIKA
Kweli nyinyi nizaifu Sanaa
😂 😂 😂 Kapatikana vibaya sana.
Mmmmmmh
Malipo ni hapa hapa dunian, nakushangaa sana kulopokalopoka kwko umesaau ww kpnd ch magu aliekua analopoka bungen c ulikua unamfukuza
Sawasawa