Nilihukumiwa Kunyongwa Mpaka Kufa Sasa Nipo Huru, Nimepata Mume - Rose FULL INVERVIEW 🔥 🔥
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Ni story ya Rose Yona Malle aliyepitia mtihani mgumu uliopelekea kufungwa kifungo cha kunyongwa hadi kufa lakini baada ya miaka 6 kuachiwa huru.
Ilikuwaje akahukumiwa ? chanzo cha kesi yake na imekuwaje kuachiwa huru ?
Leo atakuwa live kwenye #LeoTena pamoja na mumewe ambaye walikutana gerezani kuanzia saa nne kamili asubuhi.
Cc. @dahuuofficial @geahhabib @mwijaku @josemarah
Isaya 54:14. Utathibitika katika haki utakuwa mbali na kuonewa.
Tuombee familia zetu, yeyote anaweza ingia gerezani
Kabisa
Hakika
She is very good story teller
wow. Jamani hongereni sana kwa intavyuu ya hawa mashujaa, Mungu alikuwa na kusudi kuwapitisha katika maisha waliyoyapitia ili 'awatumie kama watumishi wake' ili kuwasaidia wengine wenye shida. Mungu akubariki sana Rose na mwenzi wako.
Amina
Ifike muda selikari aanze kuwalipa wanao wafunga kwa maonevu ili wapepelezi wao wafanye kazi kwa uhakika. Wenye pesa wanatoa rushwa hata wakiua bado wanaachiwa huru.
Kweli maisha ya mwanadamu yanamisukosuko mingi saana ila Mungu mwema anatusaidiaaaa
Duuuu
Maisha kweli ni mlima
Yaani kuna watu wamekaa jela miaka na wakatoka na wamenipita mita 100 kwenye mafanikio
Mungu nisaidie mimi❤❤❤❤
Ukweli anaujua mwenyezi Mungu hatuwezi kujua ss wanadamu na hatunawezi kukuhukumu
Ndio maana sijawahi kuafikiana na adhabu ya kifo. Kuna uonevu mwingi kwenye mfumo wa uendeshaji wa kesi na mahakama hivyo, unapomhukumu mtu kunyongwa na baadaye unagundua hakuhusika na kosa na ameshauwawa!
Kaka yangu amefungwa miaka 30 sahvi amekaa miaka 15 kwa kesi ya kubaka lakini kila ukienda kumwona anasema usinihukumu kama nilitaka usije ukatenda dhambi bure Mungu wangu anajua sikufanya alienileta hapa pia analijua hilo inauma
Ni kweli wengi waliopo Gerezani hawana hatia
Pole sana inasikitisha sana na kuonesha udhaifu mkubwa katika vyombo vya kutenda haki
Pole Sana dada.Mungu wetu ni mwenye rehema na huruma.
Amina
Wapelelezi Mungu anawaona
This is insparing story. Mungu ni Mungu
Dada pole sana mungu akupe afya njema
MUNGU wa mbinguni awajalie kustawi zaidi, ktk maisha yenu pamoja na huduma kwa jamii
Amina
Polen sana n hongeren.Mungu ni mwema
Jamani Qeeen... Hongera sana sana umekua sasa nakumbuka ulivyokuwaga na imani
Zile sadaka zako hazijakuacha.
Mungu aendelee kukupigania😍😍
Pole sana 16:32
❤️❤️
Pole saaaana kwa wakati mgumu ulioupata
Very touching story
😢😢😢Mungu atusaidie kesho yetu hatuijui😢😢😢
Unaweza kunikumbuka;?Teddy John. Nilikutambua km Queen nawe daima uliniita mama. Sintamsahau Kaka vedasto mwanasheria wa gereza is a game. Mungu amlinde daima.?Alicia kwangu baba Kaka pamoja Askari magereza wote Tanzania.
Pole sana nakutakia mema kutoka kwa mmungu
Pole sana kwa uliyopitia.Ila pia tumshukuru Mungu umetoka salama na Haki imetendeka😭🙏🙏🙏
Dada Mungu ni mwema endelea kumtumikia mungu
Amina
Kila penye changamoto Kuna utatuzii
Mashaaalah,hivo vitoto viwili ongezea viwe 15
Inshaalla kadri Mungu atakavyotujaalia
Hakika mungu nawawote ukuu wake nimkubwa
Anaweza akaomba fidia ila inabidi afungue kesi nyingine ya madai.
Ambayo itachukua miaka mingapi mpaka iishe 😂😂 kibongo bongo
Kweli na alipwe
Anastahili kulipwa
Mmh! Nani Yuko salama salama Kwa tukio hili...mana kama upelelezi wetu ungekua wa kiwango Cha juu....huenda huyu dada asingemaliza miezi sita jela...hii ni hatari mno kwan kesho utamwita boda akupeleke job wakati anarudi anavamiwa anauwawa wanakufuata ww kazini unapewa murder case
Ni kweli
Hakika Muumba wetu yuko juu ya Yote, Vyote na Wote. Ana Maamuzi juu ya Maamuzi ya Wenye Mamlaka hpa duniani. Anamjibu mwenye haki sawa na uhitaji wake kwa Utukufu wake Mwenyewe. Hongera sana dada. Usimwache Muumba.
Pole sana😭😭
Mungu ni mwema alikutetea hukuwa na hatia
Eewee yesu mwema tuhurumie wahurumie wafugwa wotee waliofugwa bila kutenda kosa weka mkono wko ukawaokoe aisee pole sanaa kweli maisha ji safari ndefuu😢
Pole Sana mdogo wangu
Daniel alihukumiwa kunyongwa hadi kufa Mungu akatuma malaika wakafunga makanwa ya Simba na Daniel akawa huru.
Namkubali sana mamy sijui nisemeje
Ungepata director wazuri wa movie ungetengeneza sinema mzuri au mchi kama marekani ugetengeneza movie madam
Yeah huko hata fidia angelipwa tena ndefu
Tanzania swahili 🎉
Daah pole sana
Yaani hao majaji wa ajabu saana waliomuhukumu huyo dada maana huyo dereva wa boda kabla hajafa alitoa maelezo amevamiwa na wanaume wawili na kwanini asiseme huyo dada ambae alikuwa mtejawake wanampotezeamtu dira ya maisha yake gerezani inasikitisha saana
Hats mimi nimeshangaa. HUYU alifungwa kwa chuki tu ila case ilikuwa ni aandike maelezo tu basi sio kufungwa
Wapelelezi wa kitanzania wanahitaji kuwa sereous!
Watu wengi mno wanakamatwa na kuhukumiwa bila hatia haswa haswa wanaume...ila ya uyu dada nina mashaka alihusika au alijua kilichoendelea....ni huruma ya waziri ndio ilimtoa ila ndio afikishwe mahakamani wakuhukumu kunyongwa lazima ushahidi wa kutosha uwepo....hata kama ni waungo na kesi ya murder ni nzito sana....dada anasiri nzito...aulizwe mashataka yake yalikua vipi,na mlalamishi alitoa ushahidi upi....vipi kuhusu muendesha toya alisema nini kabla afariki?.....
Umenikumbusha walivyoo muua mdogo wangu lakin hata miezi mitatu haikuisha wakaachiwa huru alafu wanaonewa wasio na hatia
Unaona eeeeh! Ndo nasema serikali waanze kuwalipa fidia waliowahukumu Kwa hila, ili iwe fundisho na wawe makini wanapofanya uchunguzi wawe sahihi na upelelezi wao
Pole sana Philly! Kuuwawa inauma sn,ila Mungu atayaauwa hayo mashetwani.
Dada anasiri kubwa
Mwijaku hoyeeeeee
Matukio hayo yaponbnakamanulitenda hayo mungu atakulipa hapa duniani liko jicho lilokuna
Rose Hhaymalley Onna pole
Asante
Daah inauma inaumiza 😢😢😢😢😢😢
Mbona humu mnapenda kuhukumu, hamjawahi kutwa na mikosi? Acheni comments za kum accuse huyu dada. Dunia duara.
Mbona hakuna comment inayo mm wa-accuse huyu dada??
Aca ukuma wewe mwenye umbwa koko weee
Kunazo chache nimezifahamu @@upendoeliya9329
Pole sana mwanangu unani towa machizi🇰🇪
Pole mitiahani tumeumbiwa sisi binadam
Mapito ya dunia. Na hili ni DOA KUBWA Maishani
Husna b nakumbuka enzi za coconut fm
aisee maisha pole dada
Mhh huy dada mbona simwelewi
Hueleweki ww sio uyo dada
Noma na nusu
Mwijaku mbon unamkazia macho sana
😂😂😂😂😂
Aisee😮
Maisha Yana fumbo sana
Wengi wamefungwa kwa kuonewa. Usipokuwa na hela ya kuhonga tu unafungwa, hakimu Anaangalia pesa tu, kama Huna hasomi hata kesi anakufunga tu.
Pole sana
Duuu kwanza wamemfhalikisha wamempotezea muda wamemkosesha haki za msingi kama elimu yake ya chuo hajasima wameharibu future yake angetakiwa kulipwa
Sio kwa Tz hii ndoto yako
Tena hapo ana upwiru hapo
Mwijaku hanavyo mshanga uyo mdda kamtorea macho
😂😂😂Kumbe na ww umemwona sio Ana mkodorea macho mpk bc
😂😂😂😂😂Wewe mcheshi
Huyu dada anasiri kubwa kifuani mwake anyway tumwachie Mungu
Umewaza kama Mimi,au pengine sijui ? Tumwachie Mungu
She's traumatised wewe nawe.... siri gani, she's ain't healed yet...
Polisi tz ovyo sana, uchunguzi hakuna
Jamani polee saana nikîja Moshi ntawatafuta
Mimi niliwachangia kwenye Harusi yao
Asante sana
@@hyacintagugu7 safii sana ubarikiwe
Tatizo la nyumban wanaweza waka kuweka kwenye matatizo usoyajua,
mtoto gani miaka 18 miaka kumi na tano ni tayari wa kuolewa mila za kizungu hizo
Ngoja nikae kimya.
Kila alie hukumiwa co mhallifu je itajulikana VP?
Kazuri sana
Sio kifungo cha kunyongwa, ni hukumu ya kunyongwa
Kunyongwa hadi kufa
True
Kwa Tanzania kuhukumiwa kunyongwa ni jina tu jua hiyo ni maisha tu.Maana wa mwisho kunyonga ni Hayati Mwinyi
😢😢jamani waue wengine a
😂😂😂😂😂😂 polesana dada
Haoneshi kujali kwamba bodaboda wake "aliuliwa"... natamani angeulizwa
Sasa ndio umeandika nini
Huyu dada alikua na mahusiano na huyo boda sponsor akaamua kuwakomesha wote mmoja aende jela mngine mochwar..over
@@adammveyange9638Acha kuwaza nyege muda wote mbwa wewe
Mbona anababaika babaika au alihusika ? Mana ckuhizi wnawke ndo wezi wa boda
Pole sana binti.
Jmn umeniliza jmn
Usikute huyu nae muuaji alihusika kwa namna Moja au nyngne wacheni kumtetea serikal inaakil timamu hawawez TU kumkamata mtu na kimhukumu kwan mahakaman ilikuaje?
Mhhhh mtoa hukumu tenaa....temea mate chini usihukumu
Mahakama hiyo haikumkuta na hatia... serikali ipi unayosemea
@@josephlorri431 ilikuaje Hadi akahukumiwa mwanzo kabla ya rufaa? Hawakupitia mahaman?
Mshenzi kweli huyu
umepta kipindi kigumu sana
Mtu akishakufa haki yake inapotea
Jamani huyo ni muongo hatari mm naijua vizr sana kesi yake alikamatiwa maeneo ya newland Moshi narudia ni muongo huyo jamani
Mmmmh
Story yake inatatanisha
Huyu alikuwa mtuhumiwa wakidhani labda alifanya njama. Ila kwa umri huo umri miaka 18 ni mtoto😢😢😢.. POLE SANAA
Wanapochunguza hawaangalii labda Kwa sababu gani mtuhumiwa afanye hivyo? Muda pia, na Kwa nini wasiwatafute waliofanya tukio wawabane ili waseme ukweli wanamuonea mdada WA watu. Kama angekuwa na pesa akahonga asingehukumiwa kunyongwa
Miaka 18 ndo unapoanza utu uzima
Pole sana dada kwa mkasa huo maana unavyo sema umri wako ulikuwa ww ulikuwa nimdogo dana.
Duh.hongereni sana kwa kutoka gerezani na kwa kunzisha n.g.o yenu
Mungu awabariki sana
21:05 hii ndio ttzo la mahakama za nchi zetu za kiafrika, pesa tu, hazijali dhulma anayofanyiwa mtuhumiwa, dhulma hizi mpk lini? tukisifu sheria za nchi za wenzetu utaambiwa MTUMWA,
Mwijaku bana kakaa kitapeli tapeli
😂
Jamn
Mimi mwenyewe naona kama kweli
Kama halikuwa hajafariki wenda bodaboda aliwaeleza ukweli
Mmh
Kwan uyo boda kabla hajafa hakuwaona wauaji? Huenda alimtaja uyo dada mana wanawake hamuelewek sometime ni mashetani
Mbona kama anaonekana kwa mbaliiii alifanya kweli
Lete vigezo
Ila akina rose 😢
Sasa amchome kisu boda boda ili amfanye nini? Unless kama kuna bwanaa wa Rose alimshuku boda boda kutoka nae ndo wakamdhuru sema kuwajua hao vijana waliotumwa kumdhuru inakuwa ni ngumu sana.
So sąd tulikuta mdogo wetu amechomwa kisu hata pa kuanzia hatukupata tumemuachia Mwenyezi Mungu.
@@nin6324 si kwa maana alishilk ivyo unavyofikir wewe alishiriki kwa namna ya kimisheni town unamtoa mtu eneo Moja kwenda eneo lingine unawachia wakola wamalize na wew kwenye mchongo humo
Aliechomwa kisu kabla hajafariki alisema amechomwa na wanaume wawili sasa yeye anahusikaje ? Na hao watuhumiwa walikamatwa na ndo yeye akatoka
Maisha ya binadamu ni mzunguruko wenye mabadiriko kila kukicha. Na haya amesema Mola wetu kwenye QUR'AN SURAT TIN AYA YA 3.
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
In hell, Lawyers and Thieves are in one side.
It's Bongo 😂 what do you think 😢
Kwa njia moja au nyengine huyu binti anahusika
Maana na ww siulikuwepo.acha kuhukumu ww mwenyewe una laana zako kibao
@@irenemacha5661😂😂
Una uhakika gani
Ila ache mkorogo hyo dada
Ni rangi yake asili, tembelea manyara ujionee
Wailaki kama warangi
Ni hiii Tanzania yetu kunakabila linaitwa Muilaki 😂
Wambulu hao
WA Iraqi! Nina jirani yangu
Ni wazuri wengi wanafanana kama WA Ethiopia, pua mchongo, nywere ndefu na wengi Wana rangi
@@adkajisi4536sio kweli, ulishasikia wakiongea? Hawaongei kimbulu! Na sio wengi hivyo kama wambulu japo Wana features sawa
Ndio wairaq
Komwe km langu😂
Jaman😂
Na ameoa binti mzuri
Huyu dada ni cheter ..boda alikula mzigo sponsor akaamua kuua.
Kwa nini amuue sponsor? Ili apate nn
Mungi akusamehe hujui unaongea nini
Huyu jamaa nakumbuka alivyoachiwa na Magufuli alivyoonana nae
Ndiyo ni kweli
Dah pole sana kiukweli mungu atubariki wanawake tulee watoto wetu jamani 😢
Pole sana
Nimegundua kwa hapa Tanzania unaweza kuenda jela siku na saa yeyote. Uwe umetenda kosa au hujatenda kosa. Nafikiri tujipange kwa yote, huwezijua siku wala saa jela itakuhusu
Kweli kabisa! Watu wengi wamefungwa bila hatia na wauaji wako mitaani
Very true
Ni kweli sana 😂😂😂