Ukiachana na mapozi huyu dada yupo smart sana tu. Mawazo yake mazuri hata English nzuri kwakweli. Vingine ni excitement au kutojua tu namna ya kujiwasilisha but she’s good
Sasa? !!! Umejuaje kama hao walioolewa na wanaume wengine hawako happy? Wewe unaona kumpata huyo wako ndio umefika? Wazungu hawatabiriki kwahiyo usiwaponde wenzako ,just pray for your marriage my dear . Tumezeekea ulaya tumeona mengi zaidi yako wewe mkuja .
Hii interview hata sielewi 🤣🤣 haijaingia akilini coz mdada hajatulia 😂😂weka kinywaji pembeni then continue with interview, much love sheeeenaaaa💕💕💕💕💕tukijua kiingereza tutakuja 🤣🤣🤣🤣🤣
Sema dada shena tunashukuru sana kwa kutuletea watu tofautitofauti na wanatuelimisha pia,Mungu akubariki kama ni mapungufu kila mmoja anayo vingine vinafurahisha tunacheka kidogo ila humohumo tunapata elim
Huyu anasema ukweli kabsaa hilo la vibabu kwa kweli baada ya kufika huku na kibabu chako wanasumbuka wanaanza macho juu bora dada katoa siri za huko ndani.
Huyu dada nimempenda sana kwa sababu anaongea ukweli mtupu kuhusu maisha ya huku ulaya .alafu kunywa wine ni kitu cha kawaida kwa sababu kwenye interview watu wengine huwa wanakunywa maji ,soft drinks au wine
Jamani dada uyu amenimaliza iyo nyonyo daa mimi sijaelewa kitu apo nijicho elewa apo ni mdada uyo mzungu amependa nyonyo na lips...hongera dada ata kama mimi ni mzungu nisingeruka
Ni kweli ,wadada wengi wenye wazungu Wanasemaga ooo ni MUNGU kumbe wanafanyanjia mbalimbali kuwapata ,maana MUNGU ni mwenye finally uwezo wa kuunganisha ila juhudi binafsi nayo inahitajika hasa pale unapolenga tofauti ,So great dear girl
Nadhani alichomaanisha unaweza kimbilia kuzaa na Kumbe hujawa tayari kua mama So ukafanya makosa yatayokupelekea kukosa mtoto lakini ukiwa na elimu na kazi ni ngumu mtu kukunyang’anya elimu yako au kazi yako (Ndio nilivyomuelewa)
One thing in this life is to be well educated and/ or well-behaved Especially for women. The lady who is conducting the interview has class but the guest????? You go figure.
😂🎉saf kila.mmoja ana experience yake dunian keep it up dada enjoy life is too short to judge Tanzania bado fursa tele Ibaonekana ulaya kuna ugumu fulan hakuna ndugu maxingira tofaut. Hakuna ile african culture ya kuchangamana Hiyo expo ni asilimia 90% ugumuugumu Nashaur tusitafuta njia rahis ya maisha
Mmmh kwa kweli wadada mna kazi. Fanyeni kazi mjiajili hayo Mambo ya kusafili kule na huku Mala kulala beach kisa kutafuta wazungu yanawapotezea utu wenu. Ndo mana mnafanyiwa vitu vya uzalilishaji kwenu
Ahsante nazidi kujifunza na kupata idea mpya kila Leo .ahsante da zena mm nilikuwa na hizo akili mgando kuwa nikipata mzungu nimepata kila kituu😅😅😅😅😢😢😢
Hi beautiful, I know of woman who has been given cars, houses n me seeing one of them n my husband is not a mlionea ,n not babu , married 33 years n happy Just like ny other marriages ups n down , n I not wrokd all my 33 together , I think each one has a different case , depending on who meet yes it not easy to live here but it is possible ❤Just saying 😊😊😊😊
Kasema kweli yuko mkweli sana jaman wine ulaya kam maji watu wanavyokunywa wazungu kawaida sio kam analinga na mtundu mtundu Dada wa watu always yuko ivyo 😂🥰
Wanaotaka mzungu unasema wakipata mzungu wakuite mbwa kwani wewe ni MUNGU. Alafu kuja ulaya siyo lazima upate mzungu kwa sababu tuko waafrica wengi sana huku ulaya ambao tulikuja bila kupata wazungu
Ukiachana na mapozi huyu dada yupo smart sana tu. Mawazo yake mazuri hata English nzuri kwakweli. Vingine ni excitement au kutojua tu namna ya kujiwasilisha but she’s good
Umesema kweli dépression is really na ndio maana watuwanaingia kwenye alcoholic basi na kupokonywa watoto ❤❤❤❤❤❤❤
yaani huyu msishana kasema ukweli kabisa. Nampa hongera zake. Mwalimu tosha ❤
Du! Sema ameniboa sana yani kanifanya nisiangalie kabisa maana kanipotezea hadi mudi yani mapozi mengi bwana
we tuliya hvyo hvyo
Yaani kiswahili chenyewe anaremba kukitamkaa hvyo kizungu hvyooo jameniiii.
Asante sana, unacho ongea ni ukweli mtupu, ULAYA ni kazi kwenda mbele.
We acha tu yani huku kila siku ni kazi tu
Leo darasa limepata mwalimu haswaa nimempenda Editha.❤
😂😂
Kwakweli hana papara
Leo raha shena umetuletea mcharuko sijui ata ni comment nini mana hataki stress na glass yake ya champagne 🍾 ❤❤
Tutulie tupate darasa, Leo tunakoma😂😂😂
Ukimwamsha alie lala da
😅😅😅😅 si uongo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakika 😂
Sasa? !!! Umejuaje kama hao walioolewa na wanaume wengine hawako happy? Wewe unaona kumpata huyo wako ndio umefika? Wazungu hawatabiriki kwahiyo usiwaponde wenzako ,just pray for your marriage my dear . Tumezeekea ulaya tumeona mengi zaidi yako wewe mkuja .
We acha tu. Mi niko huku ulaya kwa miaka mingi sana lakini bado nataka niolewe na muafrica mwenzangu
Kweli
Mwaka huu hauishi bila kupata mzungu! Amen
Mimi pia mwaka huu hauishi bila kupata muafrica mwenzangu. Amen
Hii interview hata sielewi 🤣🤣 haijaingia akilini coz mdada hajatulia 😂😂weka kinywaji pembeni then continue with interview, much love sheeeenaaaa💕💕💕💕💕tukijua kiingereza tutakuja 🤣🤣🤣🤣🤣
Duh mm ningekua ni shena anayehoji uyu dada ningecheka sanaaaaa ayo mashauzi dah 😂😂😂😂
😅jamani
😂😂😂😂😂😂
Halafu hajuw sasa kujishauwa mpaka anachekesha😂😂😂
Hahaha, msinichekeshe, yaan mwandishi wa habari Lazima awe mvumilivu
Kungwi tunayeee hatunaaaa🎉🎉🎉
Sema dada shena tunashukuru sana kwa kutuletea watu tofautitofauti na wanatuelimisha pia,Mungu akubariki kama ni mapungufu kila mmoja anayo vingine vinafurahisha tunacheka kidogo ila humohumo tunapata elim
Maneno mazuri kabisa 🙏🥰
😂😂😂 nahisi amelewa 😂😂😂but she very funny ❤
Huyu anasema ukweli kabsaa hilo la vibabu kwa kweli baada ya kufika huku na kibabu chako wanasumbuka wanaanza macho juu bora dada katoa siri za huko ndani.
@@aminanamoyo83kwakweli nimempenda alivyoanza tu Shena ndio unywaji gani uwo nilijua apo kazi ipo 😅
She really And smart 😊
Huyu dada nimempenda sana kwa sababu anaongea ukweli mtupu kuhusu maisha ya huku ulaya .alafu kunywa wine ni kitu cha kawaida kwa sababu kwenye interview watu wengine huwa wanakunywa maji ,soft drinks au wine
enhee sehemu za kwenda ni paje,before,zingine zipi wenzangu mmezisikia?Safi sana nimempenda huyu mschana muwazi mno,asante kwa hii interview
Daaaah kuishi kwingi kuona mengi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 khaaaa
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Thank you so much for your channel,,we learn a lot of thngs..May God Bless you sister Sheina❤
You are so welcome 🙏
Editha nimecheka mpaka. Kuna ukweli sana ktk maneno yako mengi. Ubarikiwe
Asanteni. Asante Rdithar
Shena anajikaza kucheka😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaah sorry but no way ni sichekeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂Shenaa Shikamoo kwa utulivu
Utulivu vo mimi nimecheka ila yupo smart nimempenda
Kuna ubaya gani kujipatia wine 🍷 👌 😋?
Huyo mdada yupo vizuri sana she's great Editer
😂😂kungwi leo hatariii
Mwacheni anywe leo ijumaa , weekend imeanza 😀😀
😅😅
Jamani dada uyu amenimaliza iyo nyonyo daa mimi sijaelewa kitu apo nijicho elewa apo ni mdada uyo mzungu amependa nyonyo na lips...hongera dada ata kama mimi ni mzungu nisingeruka
Ziwa kweli analo
😂😂😂😂😂😂😂leo tumepatikana
Ila ana nondo pia
I like the way your honest 😊Edith
Leo ni Leo 😂😂😂😂huyu Dada kiboko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
WaTanzania sasa tunazidi kuongezeka Switzerland,Karibu sana Mdogo wangu,uko Mkoa gani Switzerland?
Nimeipenda hiyo dada Asante sana kwa kutuelimisha
Shena upo na utulivu na usikivu hongera kwa kazi nzuri
Kazi yake
Huyu edita mcharuko ana mambo ya kindengereko ndio unywaji gani sasa 😂😂😂
😂😂 huku ni kufurahi tuuu.
Interview Iko vereee
😂😂😂😂
Da mzingu kapenda nyonyo mashallah ila ungenyoosha tu kwa kishwahili
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Umependeza sanaaa na urembo wako umezidi unajua mrembo wangu asante sana Shena nimefurahi sana sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Anachekesha 😅 na kuelimisha vile vile
One ❤ from Ireland🇮🇪
Nipe iG yako
Nimependa sana Asante dada
Amen Editha
Very smart kichwani hata kama awe na mashauzi
Ahsante dada kwa kutuletea watu wanatupa Elimu nzur
dadaangu shena we ni mtulivu sana kwenye mahujiano aisee daàaah nakupa mawa yako 🎉
🎉🎉😂
Mungu anisamehe, lakini mwanamume ambae sio msafi ni changamoto unaanzaje kutoa harufu jameni .! Khaa inakera
Yaaani asante Shena
Haya Mapozi ni yakishamba sana.Any way Hongera Shena kwa Uvumilivu wako
Shena❤❤❤Kazi nzuri unatufundisha na kuelimisha, unatoa uchangamfu wa akili. Kumbe watu tuko tofauti kimawazo😂😂😂😂
Nimempenda kwa kweli
Huyu dada kafunguka ukweli,,,kitu ambacho wengi walituficha,,katusanua huyu😅😅😂😂😂😂
So sweet to hear ,😂😂😂😂😂jamani mbona umesimama kama sanamu,
Ni kweli ,wadada wengi wenye wazungu Wanasemaga ooo ni MUNGU kumbe wanafanyanjia mbalimbali kuwapata ,maana MUNGU ni mwenye finally uwezo wa kuunganisha ila juhudi binafsi nayo inahitajika hasa pale unapolenga tofauti ,So great dear girl
😂balaa km vile matajiri wanavyosema walianz kuuza karanga
Kwanini unyanganywe mtoto ?? Huwezi nyanganywa mtoto hata siku moja kama huna kosa Switzerland 🇨🇭, nipo hapa Switzerland 🇨🇭
Nadhani alichomaanisha unaweza kimbilia kuzaa na Kumbe hujawa tayari kua mama
So ukafanya makosa yatayokupelekea kukosa mtoto lakini ukiwa na elimu na kazi ni ngumu mtu kukunyang’anya elimu yako au kazi yako (Ndio nilivyomuelewa)
Shena Leo ulipatikana 😂😂😂😂mastaili ya kupangusa madirisha…ni vizuri ila nimeona aibu.
Genau👍🏾
Inawezekana ndugu, ninajua kuna watu walinyanganywa, hapa Ujerumani, na mmoja alimpa mtoto wake kumuadapti ni wa kiafrika lakini alimchukua pia
Kumbe sio mimi mwenyewe 😂😅 maneno mengine jamani kuyatamka public kirahisihisi ngumu wengine hatuweziii
Ushauri wa mapenzi hapo aaaah atuache kidogo pia sio kila mwanaume wa kizungu anapenda hayo mambo yanini sijui anayoyasema. Editha Ahsante tunashkuru
😂😂😂😂😂😂 juwa kupatwa kwa mwezi uwiiiiiiiii🙌😉
Da shena eti unywaji gani huwo😂😂 uwe unawambia,na nimependa umemwambia😂😂😂🎉🎉 hongera kwa ujasiri safiii
Nimecheka mpaka basi hapo kwenye mamabo ya chumbani,mdada kafunguka vilivyo nimejifunza kitu
Ha leo kazi ipo
One thing in this life is to be well educated and/ or well-behaved Especially for women.
The lady who is conducting the interview has class but the guest????? You go figure.
Funny 😄 and smart 😘
Kweli
😂🎉saf kila.mmoja ana experience yake dunian keep it up dada enjoy
life is too short to judge
Tanzania bado fursa tele
Ibaonekana ulaya kuna ugumu fulan hakuna ndugu maxingira tofaut.
Hakuna ile african culture ya kuchangamana
Hiyo expo ni asilimia 90% ugumuugumu
Nashaur tusitafuta njia rahis ya maisha
Huyu dada anajishauwa😂😂😂😂
😂😂
BEST REAL INTERVEIW KUHUSU KUOLEWA NA WAZUNGU....ASANTE SANA SHENA NA DADA ETU
Yaani leo somo zuri pongezi Shena❤❤❤❤
Wowww Editha wangu wewe mbona ulisha kuja kwetu wowwww❤❤❤❤
Shena endelea na kazi hii ya kuelimisha jamii
Ila pamoja na yote ,nimekusikilizq umeongea mambo ya msingi
Uyo dada ana akili sana, nmempenda sana.
Kwakwel leo tumefundwa vizur sana na tumefundika,nimependa kwakweli❤😊yupo really sana huyu dada
Mmmh kwa kweli wadada mna kazi. Fanyeni kazi mjiajili hayo Mambo ya kusafili kule na huku Mala kulala beach kisa kutafuta wazungu yanawapotezea utu wenu. Ndo mana mnafanyiwa vitu vya uzalilishaji kwenu
Tupe somo dada , nimekuelewa, 😂😂😂😂😂
Naomba niwe na subra kama ya dada shena😂😂😂
😂😂
Hii ya Shena ni pro max kwa kweli😂😂😂mimi sitoboi
😂😂😂usinishirikishe kwenye haka kadhambi kadogo jmn😂😂😂
Da shena kwa uvumilivu na subira ni kiboko uwiiii dunia hiii kupata mtu wa kusikiliza hiv uwiiiiii da shena pokea maua yako
🤣🤣🤣🤣 kwakweli
Huyu dada nahisi kalewa . Hii kiboko
Aisee Leo nimemsikia mdada mmmh wine imemchangamsha😂
Hatari aiseee 😂😂
Ahsante nazidi kujifunza na kupata idea mpya kila Leo .ahsante da zena mm nilikuwa na hizo akili mgando kuwa nikipata mzungu nimepata kila kituu😅😅😅😅😢😢😢
Dada mambo mengi sana uko kwenye interview tulia bhac hata hivo dada shena una moyo kwa vituko hivi umejikaza sana m😅😅😅😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaaani me nisingeweza
😂😂
Hongera dada unangozi nzuri Sana
Dada anaongea kama ebitoke au mnaonaje
Tunashukuru sana
Hi beautiful, I know of woman who has been given cars, houses n me seeing one of them n my husband is not a mlionea ,n not babu , married 33 years n happy Just like ny other marriages ups n down , n I not wrokd all my 33 together , I think each one has a different case , depending on who meet yes it not easy to live here but it is possible ❤Just saying 😊😊😊😊
Ntapataaaaa ntapataaa, Editha kasemaaa nani apinge sasaa ayeeehh
😂
Wapeee wapeee, kazi kurusha roho za wadada kwenye mitandao. Kujionyesha onyesha kwenye mitandao. Waachaa weee vibabuu tena.. kiutamuuu !!!!!!😂😂🙄🙈😎
Kasema kweli yuko mkweli sana jaman wine ulaya kam maji watu wanavyokunywa wazungu kawaida sio kam analinga na mtundu mtundu Dada wa watu always yuko ivyo 😂🥰
Sijapenda mengi ila Kuna niliyojifunza
Ila shena kwa utulivu ulio nao mbinguni utaenda kabisa
😁😁💃🏾🥰
Yeye mwenyewe hajali wala nn
Umeona ee? Naupenda sana utulivu wa Shena. Hana bipolar 😅😅😂😂😂
Mzungu hatapatikana kwa uwezo wa mungu Acha nitunze huu ujumbe
Yeah Anajua Ku interview Vizuri
Mm mwenyewe nimechekaa na mbona kafanya hivo kwa nn?
Pandisha madiriasha😅,tuma kisamvu izo style gan😂😂🏃🏃
Sema sema wape somo
Miaka 2 tu kukaa ulaya unabanapua
😂😂😂
Jaman iv nimagonjwa gani hauwez kusafir ukiwa nayo?
Hiv na maradhi ya ini hepatitis zote
Hata u t i jitibu kabisa ndo upate safar😂
Huyu ndugu yetu muhaya huyu, haya sawa lkn tumekuelewa 😂
Nikweli kazi ndiyo cha maana
Kweli kabisa mimi nilisema kuwa nilikuja ulaya kufanya kazi na ni kazi moja kwa moja
Switzerland 🇨🇭 kituko in this life style, heee tujifunze kutulia and well behave wanawake wenzangu/Wadada
Kajinga aka akajitambui
Woowwww❤❤❤❤
Ninapenda sana utulivu wa shena na uvumilivu ako nao❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nini hiki jamani. Hawa ndio mwisho wamsumbua shena interview ifutwe kah!
Huyu dada amejua kunichekesha 😂jamani hiyo glass imeingia yote mdomoni bila shida yoyote
Yaaan naalivyo sasa😂😂
😂😂
Huyu Dada kwa kweli ana mashauzi na kujifanya amefika sana.
Aheshimu jukwaa hili asiongee akiwa anakunywa pombe.
Mim Sion mashauzi naona kulewa😅
Mbona kama unaumia
@@DoreenMwanga-dg7xp 🥲😏😃
ya leo kali 😂😂😂😂🤣🤣🤣 et chuma mchicha pangusa madirisa 😂😂😂😂😂😂😂 leo kwl shena umeiyona njunjulai wallah 😂😂😂🤣🤣🤣🤣
😂😂
Wanaotaka mzungu unasema wakipata mzungu wakuite mbwa kwani wewe ni MUNGU. Alafu kuja ulaya siyo lazima upate mzungu kwa sababu tuko waafrica wengi sana huku ulaya ambao tulikuja bila kupata wazungu
🙏 kwakweli wasitutishe
😂😂😂😂😂 sijui hata nacheka nn
She is real and amazing 😁🥰
❤❤
Maziwa imejipig sindano
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndimu na majiyamoto?