MATAJIRI WANAONGOZA KWA STRESS | UKIFIKA ULAYA ACHA USLAY QUEEN | NIMEMUWEKA MUME WANGU KWENYE CHUPA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 416

  • @oiiii3898
    @oiiii3898 6 หลายเดือนก่อน +12

    Ukiachana na mapozi huyu dada yupo smart sana tu. Mawazo yake mazuri hata English nzuri kwakweli. Vingine ni excitement au kutojua tu namna ya kujiwasilisha but she’s good

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 6 หลายเดือนก่อน +5

    Umesema kweli dépression is really na ndio maana watuwanaingia kwenye alcoholic basi na kupokonywa watoto ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 6 หลายเดือนก่อน +9

    yaani huyu msishana kasema ukweli kabisa. Nampa hongera zake. Mwalimu tosha ❤

  • @DaudiJamesKafulila
    @DaudiJamesKafulila 6 หลายเดือนก่อน +16

    Du! Sema ameniboa sana yani kanifanya nisiangalie kabisa maana kanipotezea hadi mudi yani mapozi mengi bwana

    • @mmasipeter4157
      @mmasipeter4157 6 หลายเดือนก่อน

      we tuliya hvyo hvyo

    • @julianayesayamwailolo8240
      @julianayesayamwailolo8240 3 หลายเดือนก่อน

      Yaani kiswahili chenyewe anaremba kukitamkaa hvyo kizungu hvyooo jameniiii.

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 6 หลายเดือนก่อน +14

    Asante sana, unacho ongea ni ukweli mtupu, ULAYA ni kazi kwenda mbele.

    • @evakabete2944
      @evakabete2944 6 หลายเดือนก่อน

      We acha tu yani huku kila siku ni kazi tu

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 6 หลายเดือนก่อน +9

    Leo darasa limepata mwalimu haswaa nimempenda Editha.❤

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 6 หลายเดือนก่อน +15

    Leo raha shena umetuletea mcharuko sijui ata ni comment nini mana hataki stress na glass yake ya champagne 🍾 ❤❤

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 6 หลายเดือนก่อน +1

      Tutulie tupate darasa, Leo tunakoma😂😂😂

    • @angelalyimo2862
      @angelalyimo2862 6 หลายเดือนก่อน

      Ukimwamsha alie lala da

    • @lovely10emoji49
      @lovely10emoji49 5 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅 si uongo

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @kassiannyamba805
      @kassiannyamba805 2 หลายเดือนก่อน

      Hakika 😂

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 6 หลายเดือนก่อน +12

    Sasa? !!! Umejuaje kama hao walioolewa na wanaume wengine hawako happy? Wewe unaona kumpata huyo wako ndio umefika? Wazungu hawatabiriki kwahiyo usiwaponde wenzako ,just pray for your marriage my dear . Tumezeekea ulaya tumeona mengi zaidi yako wewe mkuja .

    • @evakabete2944
      @evakabete2944 6 หลายเดือนก่อน +2

      We acha tu. Mi niko huku ulaya kwa miaka mingi sana lakini bado nataka niolewe na muafrica mwenzangu

    • @angelalyimo2862
      @angelalyimo2862 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli

  • @subbyluckson6231
    @subbyluckson6231 6 หลายเดือนก่อน +24

    Mwaka huu hauishi bila kupata mzungu! Amen

    • @evakabete2944
      @evakabete2944 6 หลายเดือนก่อน +4

      Mimi pia mwaka huu hauishi bila kupata muafrica mwenzangu. Amen

  • @ReginaMussa
    @ReginaMussa 6 หลายเดือนก่อน +7

    Hii interview hata sielewi 🤣🤣 haijaingia akilini coz mdada hajatulia 😂😂weka kinywaji pembeni then continue with interview, much love sheeeenaaaa💕💕💕💕💕tukijua kiingereza tutakuja 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MadinaAbduKyabazinga
    @MadinaAbduKyabazinga 6 หลายเดือนก่อน +15

    Duh mm ningekua ni shena anayehoji uyu dada ningecheka sanaaaaa ayo mashauzi dah 😂😂😂😂

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 6 หลายเดือนก่อน

      😅jamani

    • @EstherPhinias
      @EstherPhinias 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 6 หลายเดือนก่อน

      Halafu hajuw sasa kujishauwa mpaka anachekesha😂😂😂

    • @helinahenry2363
      @helinahenry2363 6 หลายเดือนก่อน

      Hahaha, msinichekeshe, yaan mwandishi wa habari Lazima awe mvumilivu

    • @helinahenry2363
      @helinahenry2363 6 หลายเดือนก่อน

      Kungwi tunayeee hatunaaaa🎉🎉🎉

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 6 หลายเดือนก่อน +18

    Sema dada shena tunashukuru sana kwa kutuletea watu tofautitofauti na wanatuelimisha pia,Mungu akubariki kama ni mapungufu kila mmoja anayo vingine vinafurahisha tunacheka kidogo ila humohumo tunapata elim

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  6 หลายเดือนก่อน +7

      Maneno mazuri kabisa 🙏🥰

    • @aminanamoyo83
      @aminanamoyo83 6 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂 nahisi amelewa 😂😂😂but she very funny ❤

    • @ashaidei5680
      @ashaidei5680 6 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu anasema ukweli kabsaa hilo la vibabu kwa kweli baada ya kufika huku na kibabu chako wanasumbuka wanaanza macho juu bora dada katoa siri za huko ndani.

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@aminanamoyo83kwakweli nimempenda alivyoanza tu Shena ndio unywaji gani uwo nilijua apo kazi ipo 😅

  • @jooepaullas791
    @jooepaullas791 6 หลายเดือนก่อน +13

    She really And smart 😊

  • @evakabete2944
    @evakabete2944 6 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu dada nimempenda sana kwa sababu anaongea ukweli mtupu kuhusu maisha ya huku ulaya .alafu kunywa wine ni kitu cha kawaida kwa sababu kwenye interview watu wengine huwa wanakunywa maji ,soft drinks au wine

  • @hora8707
    @hora8707 6 หลายเดือนก่อน +6

    enhee sehemu za kwenda ni paje,before,zingine zipi wenzangu mmezisikia?Safi sana nimempenda huyu mschana muwazi mno,asante kwa hii interview

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 6 หลายเดือนก่อน +12

    Daaaah kuishi kwingi kuona mengi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 khaaaa

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @doriceprosper6588
    @doriceprosper6588 6 หลายเดือนก่อน +7

    Thank you so much for your channel,,we learn a lot of thngs..May God Bless you sister Sheina❤

  • @lydiamnango9388
    @lydiamnango9388 6 หลายเดือนก่อน +8

    Editha nimecheka mpaka. Kuna ukweli sana ktk maneno yako mengi. Ubarikiwe

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 6 หลายเดือนก่อน

    Asanteni. Asante Rdithar

  • @immaculatakadyanji5927
    @immaculatakadyanji5927 6 หลายเดือนก่อน +8

    Shena anajikaza kucheka😂😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 6 หลายเดือนก่อน +18

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaah sorry but no way ni sichekeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂Shenaa Shikamoo kwa utulivu

    • @Fettyelriyam
      @Fettyelriyam 5 หลายเดือนก่อน

      Utulivu vo mimi nimecheka ila yupo smart nimempenda

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 6 หลายเดือนก่อน +9

    Kuna ubaya gani kujipatia wine 🍷 👌 😋?

  • @godfreymuniku4057
    @godfreymuniku4057 6 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo mdada yupo vizuri sana she's great Editer

  • @MunguMwema-m4l
    @MunguMwema-m4l 6 หลายเดือนก่อน +14

    😂😂kungwi leo hatariii

  • @vero57
    @vero57 6 หลายเดือนก่อน +16

    Mwacheni anywe leo ijumaa , weekend imeanza 😀😀

  • @machozukumuda6596
    @machozukumuda6596 6 หลายเดือนก่อน +4

    Jamani dada uyu amenimaliza iyo nyonyo daa mimi sijaelewa kitu apo nijicho elewa apo ni mdada uyo mzungu amependa nyonyo na lips...hongera dada ata kama mimi ni mzungu nisingeruka

  • @Louessentials
    @Louessentials 6 หลายเดือนก่อน +9

    😂😂😂😂😂😂😂leo tumepatikana
    Ila ana nondo pia

  • @evaeve8388
    @evaeve8388 6 หลายเดือนก่อน +4

    I like the way your honest 😊Edith

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 4 หลายเดือนก่อน +3

    Leo ni Leo 😂😂😂😂huyu Dada kiboko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nafuwswedi2465
    @nafuwswedi2465 6 หลายเดือนก่อน +3

    WaTanzania sasa tunazidi kuongezeka Switzerland,Karibu sana Mdogo wangu,uko Mkoa gani Switzerland?

  • @MARYSHANGWA
    @MARYSHANGWA 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeipenda hiyo dada Asante sana kwa kutuelimisha

  • @suzanmaro686
    @suzanmaro686 6 หลายเดือนก่อน +4

    Shena upo na utulivu na usikivu hongera kwa kazi nzuri

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 6 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu edita mcharuko ana mambo ya kindengereko ndio unywaji gani sasa 😂😂😂

    • @helinahenry2363
      @helinahenry2363 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂 huku ni kufurahi tuuu.
      Interview Iko vereee

    • @marykisoka4233
      @marykisoka4233 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 6 หลายเดือนก่อน +3

    Da mzingu kapenda nyonyo mashallah ila ungenyoosha tu kwa kishwahili

    • @Peace-x6s
      @Peace-x6s 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 หลายเดือนก่อน

    Umependeza sanaaa na urembo wako umezidi unajua mrembo wangu asante sana Shena nimefurahi sana sana ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @KirabreezyKira
    @KirabreezyKira 6 หลายเดือนก่อน +7

    Anachekesha 😅 na kuelimisha vile vile
    One ❤ from Ireland🇮🇪

  • @SophiaJoseph-k9m
    @SophiaJoseph-k9m 5 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana Asante dada

  • @eunicenangole5740
    @eunicenangole5740 6 หลายเดือนก่อน +2

    Amen Editha

  • @mummymaduhu5307
    @mummymaduhu5307 4 หลายเดือนก่อน +1

    Very smart kichwani hata kama awe na mashauzi

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 6 หลายเดือนก่อน

    Ahsante dada kwa kutuletea watu wanatupa Elimu nzur

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 6 หลายเดือนก่อน +4

    dadaangu shena we ni mtulivu sana kwenye mahujiano aisee daàaah nakupa mawa yako 🎉

  • @thrillthings
    @thrillthings 6 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu anisamehe, lakini mwanamume ambae sio msafi ni changamoto unaanzaje kutoa harufu jameni .! Khaa inakera

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 หลายเดือนก่อน

    Yaaani asante Shena

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 2 หลายเดือนก่อน

    Haya Mapozi ni yakishamba sana.Any way Hongera Shena kwa Uvumilivu wako

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shena❤❤❤Kazi nzuri unatufundisha na kuelimisha, unatoa uchangamfu wa akili. Kumbe watu tuko tofauti kimawazo😂😂😂😂

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nimempenda kwa kweli

  • @veelilyn7635
    @veelilyn7635 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada kafunguka ukweli,,,kitu ambacho wengi walituficha,,katusanua huyu😅😅😂😂😂😂

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 6 หลายเดือนก่อน +2

    So sweet to hear ,😂😂😂😂😂jamani mbona umesimama kama sanamu,

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli ,wadada wengi wenye wazungu Wanasemaga ooo ni MUNGU kumbe wanafanyanjia mbalimbali kuwapata ,maana MUNGU ni mwenye finally uwezo wa kuunganisha ila juhudi binafsi nayo inahitajika hasa pale unapolenga tofauti ,So great dear girl

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน

      😂balaa km vile matajiri wanavyosema walianz kuuza karanga

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 6 หลายเดือนก่อน +20

    Kwanini unyanganywe mtoto ?? Huwezi nyanganywa mtoto hata siku moja kama huna kosa Switzerland 🇨🇭, nipo hapa Switzerland 🇨🇭

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  6 หลายเดือนก่อน +13

      Nadhani alichomaanisha unaweza kimbilia kuzaa na Kumbe hujawa tayari kua mama
      So ukafanya makosa yatayokupelekea kukosa mtoto lakini ukiwa na elimu na kazi ni ngumu mtu kukunyang’anya elimu yako au kazi yako (Ndio nilivyomuelewa)

    • @ashaidei5680
      @ashaidei5680 6 หลายเดือนก่อน +3

      Shena Leo ulipatikana 😂😂😂😂mastaili ya kupangusa madirisha…ni vizuri ila nimeona aibu.

    • @nafuwswedi2465
      @nafuwswedi2465 6 หลายเดือนก่อน

      Genau👍🏾

    • @vivianmahoo8611
      @vivianmahoo8611 6 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana ndugu, ninajua kuna watu walinyanganywa, hapa Ujerumani, na mmoja alimpa mtoto wake kumuadapti ni wa kiafrika lakini alimchukua pia

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbe sio mimi mwenyewe 😂😅 maneno mengine jamani kuyatamka public kirahisihisi ngumu wengine hatuweziii

  • @oiiii3898
    @oiiii3898 6 หลายเดือนก่อน

    Ushauri wa mapenzi hapo aaaah atuache kidogo pia sio kila mwanaume wa kizungu anapenda hayo mambo yanini sijui anayoyasema. Editha Ahsante tunashkuru

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 6 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂😂 juwa kupatwa kwa mwezi uwiiiiiiiii🙌😉

  • @LalenurBora
    @LalenurBora 6 หลายเดือนก่อน

    Da shena eti unywaji gani huwo😂😂 uwe unawambia,na nimependa umemwambia😂😂😂🎉🎉 hongera kwa ujasiri safiii

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 6 หลายเดือนก่อน +7

    Nimecheka mpaka basi hapo kwenye mamabo ya chumbani,mdada kafunguka vilivyo nimejifunza kitu

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 6 หลายเดือนก่อน +4

    One thing in this life is to be well educated and/ or well-behaved Especially for women.
    The lady who is conducting the interview has class but the guest????? You go figure.

  • @KirabreezyKira
    @KirabreezyKira 6 หลายเดือนก่อน +5

    Funny 😄 and smart 😘

    • @jasminemussa
      @jasminemussa 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli

    • @elipidhugotesha1909
      @elipidhugotesha1909 6 หลายเดือนก่อน

      😂🎉saf kila.mmoja ana experience yake dunian keep it up dada enjoy
      life is too short to judge
      Tanzania bado fursa tele
      Ibaonekana ulaya kuna ugumu fulan hakuna ndugu maxingira tofaut.
      Hakuna ile african culture ya kuchangamana
      Hiyo expo ni asilimia 90% ugumuugumu
      Nashaur tusitafuta njia rahis ya maisha

  • @pendo8082
    @pendo8082 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada anajishauwa😂😂😂😂

  • @JaquelineNaftal
    @JaquelineNaftal 6 หลายเดือนก่อน

    BEST REAL INTERVEIW KUHUSU KUOLEWA NA WAZUNGU....ASANTE SANA SHENA NA DADA ETU

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani leo somo zuri pongezi Shena❤❤❤❤

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 หลายเดือนก่อน

    Wowww Editha wangu wewe mbona ulisha kuja kwetu wowwww❤❤❤❤

  • @allthingsafrican
    @allthingsafrican 6 หลายเดือนก่อน +8

    Shena endelea na kazi hii ya kuelimisha jamii

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ila pamoja na yote ,nimekusikilizq umeongea mambo ya msingi

  • @NeemRamadhani-j8h
    @NeemRamadhani-j8h 6 หลายเดือนก่อน +4

    Uyo dada ana akili sana, nmempenda sana.

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 6 หลายเดือนก่อน +6

    Kwakwel leo tumefundwa vizur sana na tumefundika,nimependa kwakweli❤😊yupo really sana huyu dada

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 6 หลายเดือนก่อน

    Mmmh kwa kweli wadada mna kazi. Fanyeni kazi mjiajili hayo Mambo ya kusafili kule na huku Mala kulala beach kisa kutafuta wazungu yanawapotezea utu wenu. Ndo mana mnafanyiwa vitu vya uzalilishaji kwenu

  • @GetrudaMamiro
    @GetrudaMamiro 6 หลายเดือนก่อน +4

    Tupe somo dada , nimekuelewa, 😂😂😂😂😂

  • @Asmaah-eb3ti
    @Asmaah-eb3ti 6 หลายเดือนก่อน +11

    Naomba niwe na subra kama ya dada shena😂😂😂

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hii ya Shena ni pro max kwa kweli😂😂😂mimi sitoboi

    • @helinahenry2363
      @helinahenry2363 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂usinishirikishe kwenye haka kadhambi kadogo jmn😂😂😂

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 6 หลายเดือนก่อน +1

      Da shena kwa uvumilivu na subira ni kiboko uwiiii dunia hiii kupata mtu wa kusikiliza hiv uwiiiiii da shena pokea maua yako

    • @queenkameta9891
      @queenkameta9891 6 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣 kwakweli

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 6 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu dada nahisi kalewa . Hii kiboko

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 6 หลายเดือนก่อน +6

    Aisee Leo nimemsikia mdada mmmh wine imemchangamsha😂

  • @richardrichope3528
    @richardrichope3528 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari aiseee 😂😂

  • @Aidaanatory
    @Aidaanatory 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante nazidi kujifunza na kupata idea mpya kila Leo .ahsante da zena mm nilikuwa na hizo akili mgando kuwa nikipata mzungu nimepata kila kituu😅😅😅😅😢😢😢

  • @pablomnyama
    @pablomnyama 6 หลายเดือนก่อน +14

    Dada mambo mengi sana uko kwenye interview tulia bhac hata hivo dada shena una moyo kwa vituko hivi umejikaza sana m😅😅😅😂😂😂😂😂😂

  • @GetrudaMamiro
    @GetrudaMamiro 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera dada unangozi nzuri Sana

  • @mummymaduhu5307
    @mummymaduhu5307 4 หลายเดือนก่อน +2

    Dada anaongea kama ebitoke au mnaonaje

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 หลายเดือนก่อน

    Tunashukuru sana

  • @sellysang7504
    @sellysang7504 6 หลายเดือนก่อน

    Hi beautiful, I know of woman who has been given cars, houses n me seeing one of them n my husband is not a mlionea ,n not babu , married 33 years n happy Just like ny other marriages ups n down , n I not wrokd all my 33 together , I think each one has a different case , depending on who meet yes it not easy to live here but it is possible ❤Just saying 😊😊😊😊

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ntapataaaaa ntapataaa, Editha kasemaaa nani apinge sasaa ayeeehh

  • @GetrudaMamiro
    @GetrudaMamiro 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wapeee wapeee, kazi kurusha roho za wadada kwenye mitandao. Kujionyesha onyesha kwenye mitandao. Waachaa weee vibabuu tena.. kiutamuuu !!!!!!😂😂🙄🙈😎

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kasema kweli yuko mkweli sana jaman wine ulaya kam maji watu wanavyokunywa wazungu kawaida sio kam analinga na mtundu mtundu Dada wa watu always yuko ivyo 😂🥰

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sijapenda mengi ila Kuna niliyojifunza

  • @RoseMafuru
    @RoseMafuru 6 หลายเดือนก่อน +19

    Ila shena kwa utulivu ulio nao mbinguni utaenda kabisa

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  6 หลายเดือนก่อน +1

      😁😁💃🏾🥰

    • @MwantumT
      @MwantumT 6 หลายเดือนก่อน +1

      Yeye mwenyewe hajali wala nn

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 6 หลายเดือนก่อน +2

      Umeona ee? Naupenda sana utulivu wa Shena. Hana bipolar 😅😅😂😂😂

    • @AinekishaNyakato
      @AinekishaNyakato 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mzungu hatapatikana kwa uwezo wa mungu Acha nitunze huu ujumbe

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 6 หลายเดือนก่อน

      Yeah Anajua Ku interview Vizuri

  • @UpendoJacob
    @UpendoJacob 6 หลายเดือนก่อน

    Mm mwenyewe nimechekaa na mbona kafanya hivo kwa nn?

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 6 หลายเดือนก่อน

    Pandisha madiriasha😅,tuma kisamvu izo style gan😂😂🏃🏃

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 หลายเดือนก่อน

    Sema sema wape somo

  • @GeophreyKatende
    @GeophreyKatende 6 หลายเดือนก่อน +2

    Miaka 2 tu kukaa ulaya unabanapua

  • @latifasadick
    @latifasadick 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman iv nimagonjwa gani hauwez kusafir ukiwa nayo?

    • @shamzone388
      @shamzone388 6 หลายเดือนก่อน

      Hiv na maradhi ya ini hepatitis zote

    • @irenemichael
      @irenemichael หลายเดือนก่อน

      Hata u t i jitibu kabisa ndo upate safar😂

  • @priscao3818
    @priscao3818 14 วันที่ผ่านมา

    Huyu ndugu yetu muhaya huyu, haya sawa lkn tumekuelewa 😂

  • @GetrudaMamiro
    @GetrudaMamiro 6 หลายเดือนก่อน +4

    Nikweli kazi ndiyo cha maana

    • @evakabete2944
      @evakabete2944 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa mimi nilisema kuwa nilikuja ulaya kufanya kazi na ni kazi moja kwa moja

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 6 หลายเดือนก่อน +8

    Switzerland 🇨🇭 kituko in this life style, heee tujifunze kutulia and well behave wanawake wenzangu/Wadada

    • @atislady3400
      @atislady3400 6 หลายเดือนก่อน +3

      Kajinga aka akajitambui

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 หลายเดือนก่อน

    Woowwww❤❤❤❤

  • @iantussa9064
    @iantussa9064 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ninapenda sana utulivu wa shena na uvumilivu ako nao❤

  • @chumchum1526
    @chumchum1526 22 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nini hiki jamani. Hawa ndio mwisho wamsumbua shena interview ifutwe kah!

  • @mariammajiba
    @mariammajiba 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada amejua kunichekesha 😂jamani hiyo glass imeingia yote mdomoni bila shida yoyote

  • @sylviatemu369
    @sylviatemu369 6 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu Dada kwa kweli ana mashauzi na kujifanya amefika sana.
    Aheshimu jukwaa hili asiongee akiwa anakunywa pombe.

    • @rosemery3017
      @rosemery3017 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mim Sion mashauzi naona kulewa😅

    • @DoreenMwanga-dg7xp
      @DoreenMwanga-dg7xp 6 หลายเดือนก่อน

      Mbona kama unaumia

    • @rosemery3017
      @rosemery3017 6 หลายเดือนก่อน

      @@DoreenMwanga-dg7xp 🥲😏😃

  • @ruuh_august
    @ruuh_august 5 หลายเดือนก่อน

    ya leo kali 😂😂😂😂🤣🤣🤣 et chuma mchicha pangusa madirisa 😂😂😂😂😂😂😂 leo kwl shena umeiyona njunjulai wallah 😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @evakabete2944
    @evakabete2944 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wanaotaka mzungu unasema wakipata mzungu wakuite mbwa kwani wewe ni MUNGU. Alafu kuja ulaya siyo lazima upate mzungu kwa sababu tuko waafrica wengi sana huku ulaya ambao tulikuja bila kupata wazungu

  • @anniafredrick8925
    @anniafredrick8925 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂 sijui hata nacheka nn

  • @laetitiamathe5779
    @laetitiamathe5779 6 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤

  • @ghanimajongo7817
    @ghanimajongo7817 6 หลายเดือนก่อน +2

    Maziwa imejipig sindano

    • @peaceisrael8158
      @peaceisrael8158 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salhakyande3905
    @salhakyande3905 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndimu na majiyamoto?