AFISA ELIMU AZIMIA GHAFLA KISA KATUMBULIWA NA RC MWANRI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @jaybinmwinyi5918
    @jaybinmwinyi5918 2 ปีที่แล้ว +9

    Hongera sana mwanrri kwa kazi bora unayoichapa big up, , , , moto wa kuotea mbali..💥💥

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 ปีที่แล้ว +2

    Nilikuwa nampenda mwanri

  • @balakakalagho1388
    @balakakalagho1388 2 ปีที่แล้ว +6

    Eti amekunywa dilisha😀

  • @aloycendalu6867
    @aloycendalu6867 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana unanibaliki muno kamaumeokokavile

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy ปีที่แล้ว +1

    Hio safi ujinga na uzembe hta Kama unacheo

  • @jacksonjacksonjacksonjacks9879
    @jacksonjacksonjacksonjacks9879 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee una tumia nguvu nyingi sana kuongea daha pole sana mzee wetu 2022

  • @HaulSidney
    @HaulSidney ปีที่แล้ว +1

    Awamu ya sita wakuu wa mikoa wakula bata tu, hakuna kazi wanayofanya,zaidi ya kucheza pull table,

  • @mathayocharles5449
    @mathayocharles5449 2 ปีที่แล้ว +3

    Mzee huyu namkubali mpaka naumwa

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 ปีที่แล้ว +6

    🤣🤣🤣I loooove this guy,kweli simba huzaa simba magu hoyeeeeee

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 ปีที่แล้ว +1

    Mtu alikunywa drisha 😂

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 5 ปีที่แล้ว +4

    Huyu Mzee ni Moto wa Tipa

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 2 ปีที่แล้ว

    Nyieee😂😂😂😂mtakomaaa mbonaa

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 3 ปีที่แล้ว +12

    Magufuli alikufa kwa sababu Kikwete hakupenda Uongozi wa ukweli na yeye atakufa tu Msoga muuaji na genge lake. Magufuli alikuwa anaweka watu wa kuongoza wachapa kazi siyo km huyo bibi Tozo anavyo tuburuza Watanzania anaweka washenzi wezi vibaka waliokuwa wamefukuzwa na Magufuli

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu apewe form ya urais 2025. Hata akisimama peke yake anachukua

  • @sebaskibiki4836
    @sebaskibiki4836 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu kazima! Suo mchezo

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee mwanri😂😂👍

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 ปีที่แล้ว

    Usiniangarie Kwa huruma sio mchezi majembe ya magu haikuwa kitoto kazkz

  • @shukuruezekiel1988
    @shukuruezekiel1988 2 ปีที่แล้ว +4

    Duu kweli mwanile angekuwa raisi sijui tungekuwaje viboko vingeahusu wasio penda kazi

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 ปีที่แล้ว

    Huyu mwar namuita BLACK MAMBA

  • @majaliwarobert7709
    @majaliwarobert7709 2 ปีที่แล้ว

    Naomba es

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 2 ปีที่แล้ว

    Amekunywa dilisha 🤣🤣🤣🤣injinia anatia huruma

  • @ancomagu3155
    @ancomagu3155 5 ปีที่แล้ว +2

    Huyu ndie RC MWANRI eti

  • @paulmuchu9095
    @paulmuchu9095 3 ปีที่แล้ว +1

    Soma hiyo

  • @oscarmachume8886
    @oscarmachume8886 2 ปีที่แล้ว

    Dah kweli mzee

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg ปีที่แล้ว

    Eti amekunywa dirisha haha

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 3 ปีที่แล้ว

    Hivi kuna mtu anaitwa bibi tozo🤣🤣🤣🤣

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 2 ปีที่แล้ว

      @Mtanzania Halisi ndio walewale mn unamvaa Kila anaeuliza swali hovyoo👌👌👌👌

  • @nestgrammyz5475
    @nestgrammyz5475 5 ปีที่แล้ว +2

    Eti Amekunywa hili 😂 😂

    • @robertj.4484
      @robertj.4484 2 ปีที่แล้ว

      Amekuywa dirisha... 😂😂😂😂

  • @amriharuna4236
    @amriharuna4236 5 ปีที่แล้ว +3

    Usiniangalie kwa jicho la Huruma

  • @robertj.4484
    @robertj.4484 2 ปีที่แล้ว

    Songombingo na kitimutimu make, Mzee anachachafya vumbi kabisa huyu, daaah!!

  • @ericktweve5477
    @ericktweve5477 5 ปีที่แล้ว +2

    Fyekelea mbalii

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 2 ปีที่แล้ว +1

    NANI AMEKUNYWA DILISHA🤪😀

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 5 ปีที่แล้ว

    Sweka ndani

  • @adijajuma4978
    @adijajuma4978 5 ปีที่แล้ว +3

    Sukumaa ndani hao

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 2 ปีที่แล้ว +1

    RIP Magufuli

  • @ramadhanjuma1184
    @ramadhanjuma1184 3 ปีที่แล้ว

    Daniel mgogo

  • @vitusgeraldo2282
    @vitusgeraldo2282 5 ปีที่แล้ว

    Fyekelea mbalii hao

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 ปีที่แล้ว

    Kioja😁😁

  • @mubarakahamis2259
    @mubarakahamis2259 5 ปีที่แล้ว

    Nomasan

  • @josephatjohn2390
    @josephatjohn2390 5 ปีที่แล้ว +2

    Utakuja kuua Babuu

    • @omaryshafii50
      @omaryshafii50 5 ปีที่แล้ว

      Alafu yule mama hana utaalam wowote

  • @amranisongoro3497
    @amranisongoro3497 2 ปีที่แล้ว

    Amekunywa hili

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 5 ปีที่แล้ว

    Nishidaa

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 5 ปีที่แล้ว

    Safi kabisa walizoea

  • @hamadyussuf5307
    @hamadyussuf5307 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee unawazalilisha wenzio

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 ปีที่แล้ว

    Safi uzembe umezidi Tanzania wakomeshe wote wajue nafasi zao

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 5 ปีที่แล้ว

    Hahahaha kazimia hahahahhaaaa

  • @flova7022
    @flova7022 2 ปีที่แล้ว +1

    Utaratibu WA kumsimamisha mtumishi haupo hivo...mwanasiasa hata mandatory power ya kumsimamisha mtumishi.. na ni udhakilishaji ambao ni kosa kisheria kufanya huo upuuzi

    • @josephatmassae7316
      @josephatmassae7316 2 ปีที่แล้ว +2

      Ulitaka ufwate utaratibu wa nini wakati umeharibu kazi kwa uzembe wako!!
      Labda kwa tamaa zako binafsi sasa unataka awabembeleze!!
      Ndo maana akasema wasimame kazi uchunguzi ufanyike wakikutwa hawana hatia watarudi kwenye shughuli zao!!

    • @martinezthomas030
      @martinezthomas030 2 ปีที่แล้ว +3

      Wee nae mjinga kweli hujui kitu

    • @flova7022
      @flova7022 2 ปีที่แล้ว

      @@martinezthomas030 wewe ndio mjinga na hujuii... Pengine hujui sheriaa za utumishi na mipaka ya wanasiasa nenda ofisi ya utumishi kajifunze. Shida za watu msio jua sheria za utumishi omba ufundishwe ndugu yangu.usikae kusema mjinga...kumsimamisha mtumishi hadharani hiyo haipo kwenye ofisi zetu za utumishi na ni kosa la udhalilishaji..nukuu speech ya mama. Ummy avokuaa tamisemi utajuaa nachosema hususan juu ya Madiwani...pia unapaswa kujuaa mipaka na kazi ya Kila kiongozi ndio utaelewa hili

    • @hindisaidi5097
      @hindisaidi5097 2 ปีที่แล้ว

      Jifunze kuelewa maudhui kwanza...hapa hajafukuzwa mtu kazi , wanachunguzwa tu.bado waajiriwa lakini kasoro ziliopo "dhaahiri" ni kubwa!

    • @flova7022
      @flova7022 2 ปีที่แล้ว

      @@hindisaidi5097 weww ndio hujanielewa sijaandika kufukunzwa hapo.. nimesema Hana mandat ya kumsimamisha hadharani hivyo ni kosa kisheria. Kuna taratibu zake usitumie mihemko kujibu

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣