EXCLUSIVE: MJUE ALBERT CHALAMILA TOKA ENZI ANASOMA,Akiwa MWALIMU MPAKA kuwa MKUU wa MKOA WA DAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #efm #millardayo #exclusive #santzmedia #dullysantz #ccm
    FUATILIA HISTORIA INAYOSISIMUA KUHUSU MAPITO MAGUMU YA MHS; ALBET CHALAMILA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM KWASASA

ความคิดเห็น • 45

  • @user-hj5hh4zg4e
    @user-hj5hh4zg4e 28 วันที่ผ่านมา +5

    Namjua vizur tumetoka Kijiji kimoja nimtu makin sana alitwambia wahehe tufanye Kaz tusiwasingizie wenzetu wabena wachawi Yuko saf sana

  • @Piscesblair
    @Piscesblair 20 วันที่ผ่านมา +4

    Mheshimiwa Chalamila msaidie mama katika uchumi wa bahari. Bado Serikali yetu hatupati mapato ya kutosha kutoka katika eneo hilo. Bado wavuvi wetu wanatumia zana za mwaka 47 katika uvuvi matokeo yake hatupati samaki wa kutosha na hivyo kusababisha bei kuwa kubwa sana kwa wananchi. Tunaomba kupitia Halmashauri zetu uweke makakati madhubuti katika hilo eneo. Tunataka kuona bei ya samaki ikipungua na migahawa ya kuuza "sea foods" kama ilivyo Zanzibar ikiwezeshwa kupatikana. Fukwe zitumike kuinua uchumi huu. (Coco Beach na zinginezo kule Kigamboni).

  • @-vu2cs
    @-vu2cs หลายเดือนก่อน +4

    Nilitaraji utamwelezea kiundani lakn hujafanya Ivo... Wakati mwingine twambie Hadi shule walizosoma , pia vujiji walivyokilia lakini kazi tunaenjoy keep on doing Broo.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      Ahsante. Kwa maoni yako Rafiki 🙏

    • @-vu2cs
      @-vu2cs หลายเดือนก่อน

      @@Santzmedia 🙏🙏

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 11 วันที่ผ่านมา +2

    Wasifu huu umeutoa wapi mbona sioni kipindi akiwa mhadhiri chuo kikuu cha kikatoliki Mwenge. Ambako wengi wetu nami nikiwepo tulipigwa kipindi chenye shibe sana katika masuala ya Lugha.

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 27 วันที่ผ่านมา +2

    Hujui historia yake, naomba nyamaza mimi nimesoma nae darasa moja.

  • @mclico7699
    @mclico7699 วันที่ผ่านมา +1

    Umeeleaza history bila kua na details unazingua chalamila ameimba nyimbonza kihehe wewe humjui chalamila kama huna details tafuta details tafadhali

  • @izackkitomo6825
    @izackkitomo6825 หลายเดือนก่อน +4

    Usitoe historia ya mtu bila kuonyesha details indeed..... Unasema kasoma shule ya msing,sekondar,chuo,kazaliwa Kijiji Cha iringa.... IRINGA inakijiji kimoja brother?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +3

      Ahsante kwa maoni yako!!!?

    • @deogratiasmashimbi2281
      @deogratiasmashimbi2281 13 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa hakuna historia hapo.

  • @wallacerugangila2723
    @wallacerugangila2723 12 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi za kiafrika zinaweka viwango vya chini sana kwa watu walifanikiwa kimaisha ndio maana hata watoto wetu hawana role mode sahihi za kufuata

  • @user-hy8ux9ii5p
    @user-hy8ux9ii5p หลายเดือนก่อน +1

    Chalamila ni kiongozi wa kuzaliwa kuongoza watu sio mlala njaa ana stahili kuwa kiongozi

  • @mohamedrashidi8197
    @mohamedrashidi8197 หลายเดือนก่อน +2

    Umemjua juzi 2021 ndipo unakuja kutudanganya yani tarehe za matukio zmeanza kuonekana 2021,huko nyuma unasema alikua mwalimu tuambie ni mwaka gan had mwaka gan na ktk shule zipi?chalamila ni mtunzi na mwimbaji hata you tube yupo mbona hujaonesha kwenye historia?umekurupuka jipange

  • @user-mo5mi6bt6v
    @user-mo5mi6bt6v 20 วันที่ผ่านมา

    Stori za kupikapika tu hujui kazaliwa mwaka gani, shule gani ya msingi, secondary ipi,Advance wap, chuo gan,course gan,mbaya zaidi hujui tofauti ya matumizi ya R na L

  • @damasiasimba-lk5os
    @damasiasimba-lk5os หลายเดือนก่อน +1

    Msimuliaji ni mvivu wa kutafuta historia ya mtu, amesoma while gani

  • @emmanuelmahenge-z7u
    @emmanuelmahenge-z7u หลายเดือนก่อน +2

    Fatilia history yake vizuri ndo useme unaferi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      Ok. Ahsante kwa maoni yako

  • @deogratiasmashimbi2281
    @deogratiasmashimbi2281 13 วันที่ผ่านมา +1

    Historia gani haitaji miaka ya matukio muhimu??

  • @josephatkajange8714
    @josephatkajange8714 หลายเดือนก่อน +3

    Nimjue wa nini?

  • @JapharyMawanza-mj1fv
    @JapharyMawanza-mj1fv หลายเดือนก่อน +1

    Suruhu

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 หลายเดือนก่อน +2

    Mhehe tu.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน

      🤩🤩🤩

  • @mussakasela1937
    @mussakasela1937 หลายเดือนก่อน +3

    Kazaliwa mwaka gani?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      😥

  • @user-pj3eb2bo4o
    @user-pj3eb2bo4o หลายเดือนก่อน +4

    Baba huyu angekuwa komed angefaa sana tena timu yao ingekuwa timu Hananja na chalamila wangeuza sana

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @ashamdemeka
      @ashamdemeka 24 วันที่ผ่านมา

      Ni mwanamuziki Ata Ivo Sema now haimbi😂

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 หลายเดือนก่อน +2

    Tujue habari zake kwa manufaa gani?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      Amekukosea nini Kwan?

    • @epimackjohn461
      @epimackjohn461 หลายเดือนก่อน

      Hajanikosea lakini kuna faida gani watu kujua habari zake ?

  • @mackchacha4114
    @mackchacha4114 หลายเดือนก่อน +1

    Maelezo hayajajitosheleza

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv หลายเดือนก่อน +1

    Hizo taarfa zako sio sahihi huyu chalamila ambaye namjua mmi mbna huyu jamaa akili zake zina mutosha ye mwenyewe

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +2

      😆😆😂 Embu Tuambie Zinamtoshaje!!?

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 หลายเดือนก่อน +1

    KUFAULU MTANGAZAJI BHANA NA SIO KUFAURU

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน

      🙏🙏💔

  • @SurprisedCricket-gh4hj
    @SurprisedCricket-gh4hj หลายเดือนก่อน +1

    Huu ni uongo wa wazi kateuliwa kua mkuu wa mkoa wa mbeya 2018 iweje mpk 2021 atumikie miezi mi4 tu akiwa mbeya? Usikurupuke kijana

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      Kama utakuwa Makini na hiyo simulizi Ulikuwa Huna haja ya kutukana!!! Mzee

    • @ndyamukamasylidion
      @ndyamukamasylidion 3 วันที่ผ่านมา

      Nimekuelewa huyu mtoa biography ni muongo sana itakuwaje 2018 hadi 2021 awe na miezi minne?

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 16 วันที่ผ่านมา

    Ana lolote mchumia tumbo kama viongoz wangine 😂😂😂

  • @sharifunyengedi6322
    @sharifunyengedi6322 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢 the worst history in my history of history telling....haujafanyia research umechukua tu videos na fikra zako ukatusimulia tu. Jipange unaharibu future yako ....una sauti mzuri ila hauna material kichwani ...

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 หลายเดือนก่อน +1

    wewe ni hujafanyia reaserch habari yako ndo maana fupi ka mavi ya mwishoni

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน

      Fupi kivipi rafiki

    • @piusgadau6328
      @piusgadau6328 หลายเดือนก่อน

      @@Santzmedia huoni ilivyo..uchambuzi haujajitoshereza