BIBI WA MIAKA 85 HIVI NDIVYO ALIVYO FURAHIA HARUSI YAKE JANA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
From Somalia 🇸🇴 love you all muslims
Wallahi nimefurahi hadi nimelia kwa furaha... Alhamdulillah Alhamdulillah Elfu Alhamdulillah 😭😭😭😭
Maa shaa Allah Allah awazidishie imani iyo iyo awazidishie waliotoa na tuliokuwa hatujatoa Allah atupe tusaidie na wezetu AMIN
Allah awajengee nyumba katika JANNAH Alfatah na wafadhili wake aamin
Amii
Jazzakumllah kheir,Allah amjalie rehma Kwa mwenye kumstiri nyanya wetu.amjalie Pepo siku ya hesabu.Ameen
Maskini wee jmni tuwastiri.wazeewetu
Wow.mashallah m mungu hamtupi mjawake allah amjaalie afya maishamarefu
Amiin
Ammin yarani Sina la kusema ila alhamdulillh
Nimefurahi mpaka nimelia 😭mashallah mashallah al fatah 🤲
Nmefurahi sana kuwasaidia wazee wetu hasa wa kike,mungu atawajengea nyumba ktk viwanja vya peponi
Tupo pamoja
Subhana Allah Allah Akbar masha Allah kwa kweli mara ya kwanza ramadhani alipohojiwa nililia mpaka nilienda kwikwi ya Rabbi wazidishie rizki na kheri kwa kila mwenye kutoa duniani na akhera nasi utuwezeshe kuwafariji wengine hongea Alfatah tv Allah awalipe kheir Insha Allah kwa kila jema mnalo fanya na awazidishie imani Ammin
Mashallah, Allah akulipeni makazi mema zaidi hapa duniani na kesho akhera.
MashaAllah
AL FATAH TV inafanya kazi bora sana, Allah awalipe kila'lakheri Ameen,
Ameen
Allah awajez wote alotoa msaada huo na wape moyo wa kutoa juu ya njia ya Allah
Alfatah kila la kheri allah awalinde na mahasidi awajaalie kila la kheri kwa imani mlokuwa nayo
Mashaallah, Allah ambarik, akamuekee na makaazi mema huko aendako! Na waliomchangia Allah awazidishie kheir!
mashallah tabarakallah Kama mlivyomjengea nyumba Allah awajengee nyumba peponi ya daraja ya juu muwe jirani na mtume Muhammad swalallahu aly wasalam amiin
Allahumma Amiin
Allahumma amiiin🤲🏻
Allahu Akbar..Allah awafanyie wepesi wote walio shiriki kwa njia moja na nyengine
Subira, mama yangu, hii ni punje moja tu ya suke ya mahindi, Mungu akipenda☝☝🤲🏼🤲🏼☝☝
Hongereni timu nzima ya Alfatah tv online🙏🙏 M/mungu atawalipa inshallah 🙏
ALLAH AWABARIKIE WOTE WALIOMSAIDIA KUPATA MAHALI PAKUISHI MASHALLAH
Manshaallah tabarak Allah 💞❤💞. Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala Ya Hayy Ya Qayyum awape maisha marefu wale ambao wamefanya muchango wakujengea bibi nyumba Inshaalllah 🤲🏻 tunamuomba piya Ya Razaq awaruku ote riziki ya halal Inshaalllah 🤲🏻💞❤💞
Ameen
Alhamdulilah alhamdulilah Allah atawajengea nyumba nzuri peponi
awajaalie walimsaidia mamaetu huyu awalipe ujira mwema aminamin
Maa shaa Allah. Mm nilikua na wazo moja tu. Kwa kua niwazee na wanaishi peke yao hawana watoto mnaonaje mkawa mnachangisha michango zikajengwa nyumba kubwa halafu wakaekwa kwa pamoja na wakasaidiwa kwa kinachopatikana? Na wale wenye watoto ndio wangekua wanajengewa peke yao peke yao km hivyo.
جزاكم الله خيرا ويبارك عليكم علی جهودكم طيبه ــ 💐"💞المؤسسة الفتاح💐"💞
Mngu ampe furaha Leo na kesho amfunguliye kila lenye uzito amin. Mdhamin letu nikukuombea mngu.✌✌
Mbona mulikua kimya sana allah awape afya njema na muzidi kutuletea watu wenye matatizo kuwasaidia
Mwenyezi mungu awazidishie waliomjengea nyumba inshallah 🙏
Mashaallah machozi yamenitoka allah atawalipa kheri na walotoa allah atawazidishia kipato zaid wasaidiwe na wwngine mkono kwa mkono hadi peponi
Amina amina amina
Jazaka Allahu khair Allah awajaalie jannat firdaus Aamiin
Maashallah tabaaraka Rahman. Allah awalipe khr zake jumuiya ya alfatah kwa kuwa sabab ya kuwapa faraja wazee, mayatima na wote wasiojiweza. Kwa kwel aya ndio maisha tunayostahiki kuyaiga. Hongr zaid ziwafkie wale wote waliotoa mchango wao Allah awalipe jannah 🤲
Maa Shaa Allah, Badikiweni Sana Kwa Utu Mlio Nao.
Mungu awabariki kwa kumsitiri mama yetu.
Masha allah Allah azid kuwafanyia wepec ktk shughuli zenu. Pia allah awalipe mema duniani na akheraa biidhin allah in sha allah.
Mashaallah tabaraka rahman Allah atakujaza kheyr Kwa huyo alotoa msaada ...Alfatah mambo yenu mazuri saana .
Mashaallah Allah Awazidishie kila la kheri alfatah
ماشاءالله تبارك الله الف مبروك... ألف مبروك وجزاكم الله خير الجزاء في الدنيا والآخرة يارب العالمين
Mashaallah Allah amlipe pepo kwa walio mfadhili
Jazak Allahu Khairaan Kathiraan kwa wafadhili wote.
Allah awajaalie kila la Kheyr fil Dduniyyah wal Akhiyra, Aamiin.
Mungu aiongezee penye imetoka 😭😭😭😭😭
Mashaallh mashaallh allh walipe kher nimeona nimelia kwa furaha 😭
Maaasha Allah
Mwenyezimungu awaongezee neema wote wanaojitolea kwa kusaidia wasiojiweza.
Mungu awalinde na awaongoze kwa kila mjambo mlifanyalo nyumban kwenu na mahofisin mwenu🙏🙏🙏😭
Ama ni kweli baada ya uzito ni wepesi alhamdulillah nimefurahi sanaaa mpka ninalia kwa furaha
Mashallah
Mwenyezimungu awalipe kheri inshaallah...awaapushie na shari na kila aina ya husda mmefanya jambo kubwa sana
Mashaallah mashaallah mungu awalipe Al fatah❤❤
Mashallah Allah awazidishie Inshallah muwe na Imani hiyo hiyo msibadilike,mzidi kuwasaidia wazee we give
Mwenyeezi Mungu awazidishie wote wzliomsaidia huyu bibi
Awape mwisho mwema.
Aameen.
Alhamdulilah Allah awakunjulie kheri na pepo zenye darja ya juuu wale wote wanaohusika kuwafariji nakuwafanyia makubwa maskini au wagonjwa na kheri nyengine na kila alie husika kwa nanma 1 au nyengine inshaallah
Ma shaa Allah
May Allah bless you More Inshallah ❤❤💓💓
Mashaallah mashaallah alihamdulilah namshukur Allah kwa kumsaidia Bibi
Allah awazidishie lenye kheri na nyinyi na muwe na imani hiyohiyo ya kusaidia wanyonge inshaallah aamin
Masha Allah Masha Allah ❤️ Allah awazdishie Riziki
Mashallah
Mashaallah Allah awazidishie Imani wafadhili wote na wahudumu wakusaidia wasojiweza Allah awazidishie umri wenye afya njema
Mashalhaa Allha awabarik watoaji Aibarik na Al fatah.awazidishie kheri
Mashallah bibi ongera sana Allah ampe afya na umri ameen
Mashallah tabarakallah
Mashallah waislamu na wasiokuwa waislamu tutoweni tulivyo navyo kuwasaidia wenzetu
Mama pole sana kwa maisha hayo pitia hiyo faida ya mapinduzi ya mwaka 1964 mapinduzi daima
Alhamdhulillah...mashaa Allah 😂😂😂😢😢😢💜💜💜🛍💐💐💜💜💜💜💜
Mashallah mashallah jazakallah khairah.yaarab wape njia ktk swiratwi yako na ss utue ILI tuwasaidie wanao hitaj
Aaallahmdulilah
Mashaallah Allah awalipe mema🙏
Mashaallah jazaakumuallah kheir
Lailahaillallah machozi yamwnitoka jaman jaman Mola akupe furaha Bib ang yamaisha kutokuzaa aihoja hukutarajia bib lkn Allah kakufariji😢😢😢😢😢nilidhania bib kaolewa 😚😚😚😍
Allah awape na majumba peponi in shaa Allah
mashallah hujafa usikate tamaa mungu awabariki kwa msaada wenu Amiin.
Mashaallah Allah awalipe kheri waliojitolea na amjaalie furaha leo na kesho yaumulqiama amin hongera bibi.
Allah azidii kukulipen gheri na Baraka katikaa kazii zenu
MashaAllah Mungu awape baraka wote mloifikisha furaha yahuyo bibi
Mashaallah Allah awajaalie kher al fatah
Mashaallah Allah awazidishie kheri
Allah awabariki
Allah awajalie walomsaidia hyu bibi awafanyie wepec
jaman mungu azid kuwap walio Msaidi 🙏🙏
Mwenyez mungu awape kila la kheir kwa hakika inatoa machoz. yarabbi wape kila la kheir wote wenye kutao kwa hali na mali wafanyie wepes kwa kila mazito kwao.
Mtume SAW amesema mwenyekumstiri muislaam Allah SW nayy atamsyiri sikiyakiama Allah amzidishie uwezo yule aliemstr bibihuyo na sisi atupe uwezo ilituwasaidie waislaama wenzetu
Allah awalipe kheir Al fatah tv
Sijui nifurahaa hadi nimelia😭😭
Merci Seigneur Jésus Christ
Maashallah Alhamndulillah 🙏🙏🙏🙏
Mashaalah,Allah awalipe pepo ya juu fridaus
Maa shaa Allah JazzakaAllah khery kwa walio changia
MashaAllah MashaAllah 🙏🙏😭😊
Mungu akuongozeeni Al fatah tv hakika mwaiandaa kesho.
Ingawa mm nmetapeliwa leo na mdada mmoja anaitwa Rahma anasema anatoka Al fatah tv ni secretary wenu. Kanitapel elfu thelethini yaan ni story
Tafadhar naomba viongoz wa Al Fatah tv musasiliane namie kwa namba
0753 090 301.
MA SHA ALLAH furaha isio Isha AL HAMDULILLAH
Mashallah tabaraka Allah Allah amustiri leo mpaka kesho.
karibu mtamazaji, niko katika kijiji ,,,, mtazamaji, nikikuletea habari mtazamaji, habari adhimu mtazamaji, mtazamaji! mtazamaji mtazamaji mtazamaji!!!! Come on! Jipange na uwe na preparation nzuri kabla ya kuanza kurikodi taarifa hizi za habari! Mk wengi namna hii na haipendezi kabisa!
Masha Allah mungu awape uzima.na nguvu.alfatah
Takbir Allahu akbar wallah
Masha Allah
Be blessed
Masha Allah Allah awape maitaji yenu fil dunia wali akher
viongozi wetu wajifunze uongozi wa OMAR Bin Khatwab waende nje ya miji wakague hali za wanao waongoza kuna watu wana hali ngumu sana tena sana
Alhamdulliha mashaallah
Mwenyezi Mungu awabariki
Maashallah tabarakallah
Mashallah Alhamdulillah
Kakaang hakika Allah ni mkubwa Allah akulipe JANNA kwa juhudi in Aziz if any a
Kakaangu hakika Allah ni mkubwa Allah akulipe JANNA kwa juhudi unazozifanya
Shukran shukran
THE BIGGEST BOSS NASRI WORLD
ALHAMDULILLAH RABBIL ALAMINA
Mashallah hakika mwenyez mungu awalipe kilicho chema