Manshaallah tabarakallah ❤❤❤nilikuwa na subiri kwa ham kubwa❤❤❤❤❤❤🎉 alhamdulila mm ni mrundi ila nafurahi sana dada snura allah akupe mwisho mwema amina shehe kishki yani wewe sina lakisema allah akupe mema duniyani na ahkera🎉🎉🎉🎉
Bismillah Snura kama wangelijua raha na Amani ya moyo uliyokuwa nayo wangekimbilia hiyo njia. Wasikuone huruma ila wajione huruma wao wanaokubeza. Hiyo radhaaa mm naijua mungu akuongoze da mkubwa Snura....
Alhamdullilah sheikh wetu.nurudin kishk Allah karim atufanyie wepes amini niko Dubai nawaskiza vizuri lnshaallah twataka wote wanamziki waelekee kwa Allah amin mimi rekha akashi mohamed
Shehe mie duah yangu ninamuomba Allah asinifishe Bali niwe nimefikia kwenye nyumba tukufu ya maka ninamuomba shehe wangu unipeleke hija ndo matamanio yangu InahaAllah nakuomba mudogo wangu
Mashallah,hongera sana shekh kishk kwa kuwapa mualiko snura na mume wake,kwani hilo ni jambo zuri..ila ombi langu kwako shekh kishk katika zile safari unazowasafirishaga wanafunzi kwenda makkah naomba umsafirishe na snura na ndugu yangu 1 kama itawezekana.
Masha allaah shaikh nurdin nakuombea kwa allaah akupe umri mrefu wenye manufaa kwa umma mzima na afya njema yenye kudumu nami natamani na kumuombea dua mwanangu awe kama wewe biidhnillah
Sheikh wangu KAULI yako ni nzito sana, ningeomba WATU wajue hilo. Mwanamke Mchamungu anamuongoza MUME na WATOTO katika kila jambo la Kheir. Allah amekuchaguwa wewe Utuzindiwe na kujuwa jambo hilo, Mashaallah
Alhamdulilah Allah karudisha ukhai wa dada yetu ,na mshikuru Allah Azidi kumpammaarifa shekhe kishiki na mumewe sunura Allah ampe kher .SHEKHE KISHIKI NA MUME WADADA YETU MYENGEZENI DADA YETU AWE MLINGANIYAJI WA DADS ZETU .AKHISANTE
MAASHAALLAH BARAK ALLAH FII-KUM SHEIKH WETU NURDIN KISHKIY KWA KAZI NZURI.NA DADA HONGERA SANA KWA MAAMZI MEMA NA HAKIKA ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAYE TUMSHUKUR ALLAH KWA REHMA ZAKE JUU YETU ALHAMNDULLILAH RABIL AALAMIYN 🤲❤❤❤
Mashallah, hongera sana sn sheikh kishky Allah akulipe kher kw nasaha zako hakika ni nasaha kw ummah wote w kiislaam, n Allah azidi kumhifadh dada snura n azidi kutuongoza kw sote ktk kher kubwa y dini yetu..Alhamdulillah kw neema y uislaam..mkono kw mkono hadi peponi amiin
Mashallah, Mashallah mwenyezimungu azidi kukupa kher kwa kila unalohitaji Kaka yang kwa kuweza kumtoa dada snura alikotoka,,,, na dada snura mungu azid Kumpa nguvu asirudi alivyokua aipe mgongo dunia na aikumbuke akhera indhallah
Mashaallah ❤❤❤. Mungu Atuongoze nasisi wengine Yarabbi tuwe waja wema mbele Yako, daah moyo unaniuma kwandan nataman sana niwe hivyo mimi nuru , naiman nitakuwa mja mwema mungu ataniongoza najitahid sana sanaaa niwe hivyo tu sihitaji lingine.
MashaAllah Mwenyezi Mungu azidi kutuongosha Ummatih Muhammad S.A.W pbuh...Wallah snura ameniliza kwa Furaha iliyoje Kweli Allak Kareem akukinge zaidi na maovu In sha Allah Taallah 🤲🤲🤲
Mashallah allah awafanyie wepes da snura na mumewe katika kila kher na awajalie mwisho mwema 😢 Naomba yaallah watilie uzito wao na sisi katika kila shari
Mabrook Mabrook alf alf Mabrook. Allah Azidi kukuongoza wewe na sisi pia. Akuhifadhi na akukudhibiti na atuhifadhi na sisi na atudhibiti katika Dini yake. Allah atupe ujasiri tuzishinde roho za wapotovu Amin amin amin . Allah atupe taufiq na ikhlas katika Taqwa.
Allah atamuongoza ,af uzuri yeye Mke yupo chini ya mumewe na wote wamekubalu Kuwa kitu kimoja,Lkn Mzee Yusuf yeye aliacha Lkn mkewe Ikawa Bado aimbaa,,ndio maana akaridishwa uko
Allah akubariki Sheikh Kishki kwa juhudi yako katika kuendeleza uislam na mawaidha yako na kumpa nguvu Snura asirudi nyuma.Allah atamfanyia wepesi Snura na atajaalia rizq ya halali.❤
Allahumma Amen Allah awape Nuru hadi mwisho nasi pia tufwate mtume wetu (s.a.w.) Hadi mwisho inshallah Allah humwongoa anae take yeye tuombeane jameni.😢❤❤❤🎉
Namuomba Allah alie juu alietukuka akubali toba yko dada snura na toba yngu mimi mkosefu dada snura mola wetu anahuruma sana mola wetu nimkubwa kuliko madhambi yetu nawapenda san
Allah akudumishe dada yetu na ww uwe mfano wa wengine kukuiga kurudi kweny kheri.... Mola wetu ni mwenye huruma kwa waja wake namuomba Allah awaamshe na wengine waliolala na kujisahau
Dada yangu nakuonea wivu mashallah wivu kwa kuwa umechaguwa njia njema. Niombee duwa na mie niwe kwenye hio njia inshallah. Mungu akulinde na akukinge na kurudi katika ile mitihani. Haswa kuna hizi iftar za fujo zinakujaga mwenzi mtukufu wasani wanafanya ufuska muda wa iftar wanawake na wanaume wanachanganyana fujo hadi wanaimba nyimbo zao. Haswa ile team ya yule anae dai kuwa yeye ni tajiri n 1 mtarajiwa.
Kuwa katika njia iliyonyooka au ktk sheria si kwa ujanja wetu wala nguvu ni rehema za Mungu na kudumu ktk njia ya Allah ni rehma pia sasa sote tumuombe Mungu atuongoze na kutupa mwisho uliomwema
ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA WAISLAM WOOTE DUNIAN INSHAALLAH ❤❤❤❤
Amiin
Allahumma Aamiin yaa Allah
Amiin
Aminii
Amiin
Snura wewe ni shujaa mbele ya mungu allah akupe mwisho mwema
ALLAHUMA AMIIIN KWA SOTE
Amiin
Amin halaf kapendeza sanaaaa
Amin kwa sote
Allahumma aaamin
Watakao kubeza watakuja kujua siku watapowekwa ndani ya mwanandani,maneno mazito sana, ALLAH atujalie mwisho mwema
Allahhumma Amiin
Hakika
Allahuma Amiin
Amin 👏👏
Ameen yaarab
Mashallah sheikh Kishki hakika umefanya jambo jema sana,Mashallah dada Snura na mume wako,Allah akuongozeni katika kheri hadi mwisho wa maisha yenu❤❤❤
Wallah Allah anamuogoa amtakaye sunura kapata mume tena mume wa kumpeleka pepon🥰
Hussna Mtitiko shoga umeshafika huku 😅😅😅
@@MariamJuma-pe4sy 😂😂😂wewe na mm mbona tumefumaniana
@@HusnaMtitiko-yt4ru 😆 😂 😆
Mashallah kweli Allah anamuongoa amtakae Allah azidi kumpa wepes na sisi pia atupe husnulhaatima
Wanawake wanapelekwa maclabu na Waume zao yy kapata mume wakumpeleka peponi ma sha Allah kiufup Allah atuongoze njia ya kher na atupe mwisho mwema
Amina insha allah
Amiiin mamy❤
Mashallah dada yetu Snurah Mwz Mungu atupe sote mwisho mwema 😢 in shallah
Manshaallah tabarakallah ❤❤❤nilikuwa na subiri kwa ham kubwa❤❤❤❤❤❤🎉 alhamdulila mm ni mrundi ila nafurahi sana dada snura allah akupe mwisho mwema amina shehe kishki yani wewe sina lakisema allah akupe mema duniyani na ahkera🎉🎉🎉🎉
.,... .
Allah Humma Aameen Yaarb Alaameen Na Ummat Mohammed
Ukhty Nura "Allah" Andika kwa herufi kubwa Shukran
Jaribu kuzingatia jina la Allah subhana wataala unapo andika weka makini sana kipenzi
@@zahraabdul9652 Hakika jina la ALLAH. liandikwe kwa herufi kubwa na IN SHA ALLAH tunapoandika nyoyo zetu zijae ikhlas zaidi
Shk ni kweli maneno yako ni sahihi sura mungu amempenda sana ndomana amemuweka sehemu sahihi
Yaaa Allah na mimi nijalie mume atakae niongoza mimi na familia yangu na kwenye misingi ya dini yako na hawe mwenye khofu yako
Karibu sana
Amiin
Ameen
Mi nataka nkuoe
Upo serious na unachokisema?
Mashallah tabaraka llah Alhamdoulillahi Allah ampe ujasiri Snura asirudi nyuma Allahumma amiin ya Rabb
Ammiin thuma Ammeen🙏🙏
Amiin
Amiin
Ameen
Amiiiiina
MashaAllah MMungu atuongoze atupe Imani na atukumbushe kila tunapokosea mkamilifu ni yeye atupe mwisho mwema Yarrab🤲
Mashallah Alhamdulillah nimefurahi kuona mmefika kwa shekhe wetu Allah atuongoze sote kwa pamoja
Allahuma amiina 🤲🏽
Amiin Amiin Amiin
Allahumma Ameen
Mashallah tabarakallah mungu awaongoze na atuongoze na sisi pia Insha Allah ❤❤❤❤
Amiin
Amiin ya Rabb
Aminn
Amiin
ALLAHUMA AMEEN Y'ALLAH
Bismillah Snura kama wangelijua raha na Amani ya moyo uliyokuwa nayo wangekimbilia hiyo njia. Wasikuone huruma ila wajione huruma wao wanaokubeza. Hiyo radhaaa mm naijua mungu akuongoze da mkubwa Snura....
Nitamaniya iyo nafasi na mimi😢Allah anijaliye iyo Rehma kabla ya umauti kunikumba Allahuma amiin 🤲❤
@@chadiamilkwakati ni sasa kesho ni fumbo
Allah atuongoze na vizazi vytu jamii islam
Allah atujalie husnul hatma yaarab
Ameen
Amiin
Amiin!
Allahumma amiin
Allahuma Amiin
Alhamdullilah sheikh wetu.nurudin kishk Allah karim atufanyie wepes amini niko Dubai nawaskiza vizuri lnshaallah twataka wote wanamziki waelekee kwa Allah amin mimi rekha akashi mohamed
Amiin
MASHAA ALLAH tabaarak ALLAH
ALLAH amuongoa amtakae ALLAH azidi kutuongoa tukae ktk njia sahihi kwa sote THUMMA AMIN 🤲🏼
Shehe mie duah yangu ninamuomba Allah asinifishe Bali niwe nimefikia kwenye nyumba tukufu ya maka ninamuomba shehe wangu unipeleke hija ndo matamanio yangu InahaAllah nakuomba mudogo wangu
Allahu akufikishe katika nyumba yake tukufu
Kwanilivyosikia kwamba usimuombe mtu akupeleke hijjah 🕋🕌
Muache akufukirie mwenyew 🙌
@@MwajumaHassan-d5lkuskia ama kusomaa?
In shaa Allah Mola atakufanyia njia nyepesi ufike ukiwa upo mzima na afya njema kwa Rehma zake Mola
Amiin
Shekhe Muombe Allah akupeleke hijjah usimuombe mtu Muombe Allah pekee, Halafu yeye Allah ndio atajua akupeleke vipi .
Mashaallah from Pemba tunkuombea dua karibu nyumban waislam wote wankupenda n wasiokuw waislam weny akil zao pia wanakupenda🎉🎉
Mashallah,hongera sana shekh kishk kwa kuwapa mualiko snura na mume wake,kwani hilo ni jambo zuri..ila ombi langu kwako shekh kishk katika zile safari unazowasafirishaga wanafunzi kwenda makkah naomba umsafirishe na snura na ndugu yangu 1 kama itawezekana.
Mash Allah nawaombea kheri na baraka Snura na mumewe namuomba Allah atuongoze wote tupate mwisho mwema Allahuma Amiin.
Masha Allah snura mwenyezi mungu akujaalie sana uwe na moyo huo huo usije ukageuka baadae kama mzee Yusuf Allah akuongoze🙏
Aamiin Yaa Rabb na huyo mzee Yusuf Allah subhana wa taala amuongoze Yaa Rabb
Sio sehemu ya kumtolea mtu. Mfano. Hio ni Imani ya shetan.
Snura
@@AROSFILMSiman ipi ya shetani??
Tumuombee pia Mzee Yusuf ajitaid kurud Kwa Mungu tuijenge Leo akhera yetu atujui kesho yetu
Namomba allaah taabaraka wataalaah. Awahifadhi Sunura na mumwe, amwihifadhi shk nurden kishiki. Namomba allaah awape khisibati duniani na kesho Akhera . Aamiin allahmma Aamiin yaraby
Masha allaah shaikh nurdin nakuombea kwa allaah akupe umri mrefu wenye manufaa kwa umma mzima na afya njema yenye kudumu nami natamani na kumuombea dua mwanangu awe kama wewe biidhnillah
Manshallah tabarakallah Allah awazidishie imani ndugu wetu snura Allah ukupe pepo ya firdaus
Tumuombe Allah awaongoze na wengine wasani ambao ni waislam warudi kwa allah❤❤❤
Mashallah
Na kwetu sote pia amiin amiin ya Rabialamin
ALLAHUMA AAMEEN YAARB ALAAMEEN 🤲
Amiin
Na wasio waislam pia
Masha Allah tabaraq Allah mungu akuongoze mm na mume wangu na kizazi changu
Mke akifahamu dini mshukuru mungu sana
Sheikh wangu KAULI yako ni nzito sana, ningeomba WATU wajue hilo. Mwanamke Mchamungu anamuongoza MUME na WATOTO katika kila jambo la Kheir. Allah amekuchaguwa wewe Utuzindiwe na kujuwa jambo hilo, Mashaallah
Alhamdulilah Allah karudisha ukhai wa dada yetu ,na mshikuru Allah Azidi kumpammaarifa shekhe kishiki na mumewe sunura Allah ampe kher .SHEKHE KISHIKI NA MUME WADADA YETU MYENGEZENI DADA YETU AWE MLINGANIYAJI WA DADS ZETU .AKHISANTE
Yani shekh mungu amuweke anaupendo wajabu na muomba mungu amuhifanzi
Ma sha Allah Tabaarakallah Allah aturuzuku Mwisho mwema Kwa huruma wake na atukutanishe na wema na sisi tuwe wema kwao
Mashallah tabarakallah Allah azid kuwaongoza na sote pia Allah akujalie mwisho mwema
MAASHAALLAH BARAK ALLAH FII-KUM SHEIKH WETU NURDIN KISHKIY KWA KAZI NZURI.NA DADA HONGERA SANA KWA MAAMZI MEMA NA HAKIKA ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAYE TUMSHUKUR ALLAH KWA REHMA ZAKE JUU YETU ALHAMNDULLILAH RABIL AALAMIYN 🤲❤❤❤
ماشاء الله
أللهم يامقلب القلوب ثبت قلوبنا على دينك وعلى طاعتك 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲❤❤❤❤❤❤❤❤
Maa shaa Allah tabaraka Allah 🥰
Allah azidi kuwaongoza na awaruzuku kila lililo hitajio la mioyo yao la kheri
THUMMA AMIN 🤲🏼 kwa sote mamy
@@faizanassor6336 Allahumma amiin mummy
Maa Shaa Allah. Allah atupe khusnul khaatima wote
Naona nakosa maneno ila machozi tu. Allah Awaongoze wao na sisi pia. Sheikh Allah Akulipe duniani na akhera.
Amiin
Allahu Akbar
Mashallah...Snura u r the strongest Mama Allah atuongoze
Sote insha'Allah
Mashaallah Allah amzidishie amuhifadhi kwa sote amin ya rabb
Mashaallah Dada SNURA,MUNGU awapi maisha marefu na mwisho mwema
Takbiiir
ALLAAHU AKBAR
ALLAAHU AKBAR
ALLAAHU AKBAR
ALLAAHU AKBAR KABIYRAA
WALHAMDULILAAHI KATHIYRAA
WASUBHAANA LLAAHI BUKRATAN WA ASWIYLAA
Maa shaa Allah maa shaa Allah, Allah atujaalie mwsho mwema na atuongoze katka njia ilio ya heri
Mashallah, hongera sana sn sheikh kishky Allah akulipe kher kw nasaha zako hakika ni nasaha kw ummah wote w kiislaam, n Allah azidi kumhifadh dada snura n azidi kutuongoza kw sote ktk kher kubwa y dini yetu..Alhamdulillah kw neema y uislaam..mkono kw mkono hadi peponi amiin
Mashallah, Mashallah mwenyezimungu azidi kukupa kher kwa kila unalohitaji Kaka yang kwa kuweza kumtoa dada snura alikotoka,,,, na dada snura mungu azid Kumpa nguvu asirudi alivyokua aipe mgongo dunia na aikumbuke akhera indhallah
Mashaallah ❤❤❤. Mungu Atuongoze nasisi wengine Yarabbi tuwe waja wema mbele Yako, daah moyo unaniuma kwandan nataman sana niwe hivyo mimi nuru , naiman nitakuwa mja mwema mungu ataniongoza najitahid sana sanaaa niwe hivyo tu sihitaji lingine.
Mwenyezi Mungu akujaaliye pepo en shaa Allah na wengine nao warudi kwa mola wao hawajachelewa bdo Mungu atupe mwisho mwema en shaa Allah
Mashallah ❤ALLAH atujalie sote mwisho mwema Aminah🤲
MashaAllah Mwenyezi Mungu azidi kutuongosha Ummatih Muhammad S.A.W pbuh...Wallah snura ameniliza kwa Furaha iliyoje Kweli Allak Kareem akukinge zaidi na maovu In sha Allah Taallah 🤲🤲🤲
Usirudi nyuma sister,Allah awape umri mashekhe wetu,ili mzidi kutipa muongozo
Mansharaa tabarakaa Allah awajalie❤ afya njema insharaah Na mwisho mwema dada
Jazaqarah heri shaikh nurudin kishiki,mme wa dada yetu pia na dada yetu ALLAH (SW)atujarie mwisho mwema inshaallah.
MashaAllah Mwenyezi Mungu azidi kutuongosha Ummatih Muhammad S.A.W pbuh.
Masha Allah, sheikh kishki Mungu akupe kila la kheir katika Dunia na akheir pmja na ndugu zangu Snura na mumewe azidi kutuongoza sote, amiin
Amiin
Jazaqallah khairratt dada sunura mungu atujaalie mwisho mwema na atuongoze leo dunia na kesho akherra inshallah Amin
Allah akuhifadhi wewe na mumeo pia Shehe Nurdin nawapenda kwa ajili ya Allah.
Mashallah allah awafanyie wepes da snura na mumewe katika kila kher na awajalie mwisho mwema 😢 Naomba yaallah watilie uzito wao na sisi katika kila shari
Mashaallah Allah awaongoze ❤
Allah akuzidishie khery shekh kishki.
Umefanya jambo zuuri hakika..
I real 💘 Islam...
Allah awazidishie inshallah❤❤❤
Amyn amyn atujaalie mwisho mwema Mwenyezi Mungu Alotukuka sisi pamoja na familia zetu
Hakuna wakumube sunra kafanya vizur mwenyez mungu atujalie mwisho mwem namie nikirud toka oman kuja TZ NITAKUALIKA UJE KONDOA INSHAALKAH
Alhamdulillah MashaAllah ❤
Kuna kale kafuraha flan hiv nakafiil
MAASHAAALLAH MAASHAAALLAH MAASHAAALLAH TABAARAKALLAH
Mwenyezi Mungu 😢amzidishie snura na sisi tupate neema ya Allah na upendo wa Allah swt in Sha Allah hata hao walopotea wakina mondi😮
Hongera dada Sunura tunakutakia Safari hii njema ya Imani:Basi kaza,mwendo usirudi nyuma kama mzee Yusufu naTaarabu lake
Tumuombee Dua pia ajitaid atoke
Shekhe nakuombea sana namuomba Allah azidi kukupa utajir waafya unaupenda uislaam binafsi nakukubali sana Allah akunusuru na hasad
Mashallah Allah awahifadhi ana awaajalie mwisho mwema na adumishe ndowa yenu hakiki dada nusra hiyo ni kheri ambayo Allah amekupendelea
MashaAllah MashaAllah
Mashaa Allah mola awaongeze katika khairat na awasimamie katika maisha yenu ya imani
ماشاء الله تبارك الله
اللهم بارك لهما وبارك عليهما وجمع بينهما في خير
Allahuakbar mashalah Allah amfanyie wepes inshalah❤
Mabrook Mabrook alf alf Mabrook. Allah Azidi kukuongoza wewe na sisi pia. Akuhifadhi na akukudhibiti na atuhifadhi na sisi na atudhibiti katika Dini yake. Allah atupe ujasiri tuzishinde roho za wapotovu Amin amin amin . Allah atupe taufiq na ikhlas katika Taqwa.
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah akuzidishie zaid ya hapo Amin yaarab kwa sote
MaaShaaAllah Allah atuongoze Aamiin
Masha Allah
Tabaraka Allah
Allah azidi kumuhifazi ampe heri duniyani na kesho Ahera n'a wa islam wote❤❤❤❤❤❤
Amiin
Ameen
Mashaallah tabarakallah Allah atupe mwisho mwema
Ma sha Allah sheikh kishki
Allaah akubariki na akuhifadhi
Snura mungu awadumishe ktk dini na awadumishe ktk ndoa yenu mungu awpe thabati ktk dini
Allaah akufanyie wepec mdogo wangu Snurra
الحمدلله❤❤❤❤
MASHALLAH TabarakAllah. Alhamdulillah
Mimi nakuombea usijekuwa kama Mzee Yusufu.wa taarabu utike moja kwa moja, Amin.
Allah atamuongoza ,af uzuri yeye Mke yupo chini ya mumewe na wote wamekubalu Kuwa kitu kimoja,Lkn Mzee Yusuf yeye aliacha Lkn mkewe Ikawa Bado aimbaa,,ndio maana akaridishwa uko
In Sha Allah Allah Atuongozeee sote mujitamah wa Kiisalm
Tumuombee mzee Yusuf arudi kwa Mola wake na sisi sote jamiyan
Masha Allah Allah azidi kukuongoa in sha Allah kwenye njia ilonyooka wewe na kila mja wa kiislam in sha Allah
Allah azidi kuwanusuru. Awape maelewano, Subra na Masikizano.
Dada yetu Snura Allah ampe kheri na afya njema inshaallah na ampe hatma njema yy na Familia yke.
Allah akubariki Sheikh Kishki kwa juhudi yako katika kuendeleza uislam na mawaidha yako na kumpa nguvu Snura asirudi nyuma.Allah atamfanyia wepesi Snura na atajaalia rizq ya halali.❤
Ameen inshaallah
Inshallah mw nzimngu atujaaliye mwisho mwema kwa kila jamii islam Amin
Allahumma Amen Allah awape Nuru hadi mwisho nasi pia tufwate mtume wetu (s.a.w.) Hadi mwisho inshallah Allah humwongoa anae take yeye tuombeane jameni.😢❤❤❤🎉
Kabisa Mungu ni mwema sanaaa mwenzetu kabaarikiwa kachaguliwa
Namuomba Allah alie juu alietukuka
akubali toba yko dada snura na toba yngu mimi mkosefu
dada snura mola wetu anahuruma sana mola wetu nimkubwa kuliko madhambi yetu
nawapenda san
Ameen ndug yang sote mung akubari toba zetu na aturidhie kwa ridhaa yak kwan atustahiri ilaa kwa huruma yk pekee
Mashallah tabarak aallah kwa dada etu snura
Naomba mshawishii pia na dada eti zuchu, nawengine waijue njia ya Allah nalengo la kuubwa Kwalo
Dada snura tunakupenda sana sana pia tupo pamoja na wew
TENA SANNA SANINAA❤❤
Kabisakabisa.tuko pamoja dada
Mashalhah ninavyompenda sheikh umepata bahati ya kuonana nae live sheikh jazakha Allah kheir
Unafanya kazi nzuri sana Sheikh Kishk,huo ndio wajibu muhimu zaidi kwa kiongozi mlezi
Shekhe kishki Allah akuhifadhi maan unatupa dawa sanaaa shekhe wangu
Maashaallaah Allaah atuongoze sote inshaallaah
Ma sha Allah, Allah akuzudishie Neema pia nasie pia atufanyie wepesi atufishe hali ameturidhia
MASHA ALLAH 🇰🇪💚. YARABi atusamehe thambi zetu na atujaaliye tuwe miongoni mwawaja wema amin 🤲 amin 🤲 YARABI amin 🤲
Amiin
Allah akudumishe dada yetu na ww uwe mfano wa wengine kukuiga kurudi kweny kheri.... Mola wetu ni mwenye huruma kwa waja wake namuomba Allah awaamshe na wengine waliolala na kujisahau
Mashallah Allah azid kuwaongoza nyingi na cc katk njia ilionyooka
Ameen
Ameen
Dada yangu nakuonea wivu mashallah wivu kwa kuwa umechaguwa njia njema.
Niombee duwa na mie niwe kwenye hio njia inshallah.
Mungu akulinde na akukinge na kurudi katika ile mitihani.
Haswa kuna hizi iftar za fujo zinakujaga mwenzi mtukufu wasani wanafanya ufuska muda wa iftar wanawake na wanaume wanachanganyana fujo hadi wanaimba nyimbo zao.
Haswa ile team ya yule anae dai kuwa yeye ni tajiri n 1 mtarajiwa.
In shaa Allah Mola atakuongoa wewe pamoja na sisi wengine tuijue njia ya haki tuifate na njia ya shari Mola atuepushe nayo
Ukisema unamuonea wivu kwamba hicho kitu unakihitaji,sasa uzito au kikwazo kikowapi?
Tuombeane Dua za kheri Waumini aongozae mja ni ALLAAH pekee
Kuwa katika njia iliyonyooka au ktk sheria si kwa ujanja wetu wala nguvu ni rehema za Mungu na kudumu ktk njia ya Allah ni rehma pia sasa sote tumuombe Mungu atuongoze na kutupa mwisho uliomwema