"MNAZULUMU MPAKA MAKABURI,TUAMBIE ILE NI HOSPTAL AU GUEST HOUSE"MAKONDA AGEUKA MBOGO BILA HURUMA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 98

  • @user-eg4hk9pg5o
    @user-eg4hk9pg5o 5 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera kaka yangu Makonda Mwenyezi Mungu azidi kukutunza hakika wewe ndio mtetezi wa wanyonge

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 5 หลายเดือนก่อน +11

    AIBU SANA
    Big up JPM SON❤

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nimeona tz watu wawili tu waziri mkuu na makonda nawapenda sana msaidieni mama samia

  • @nicksonzimbeiya
    @nicksonzimbeiya 5 หลายเดือนก่อน +10

    Kaka makonda Kama kuchkua fom ya urais chkua una mpinzan Kaka unaweza njia magufuli vile vile una baya

  • @williamkazi4116
    @williamkazi4116 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mh rais samia Makonda ni cd inayochezeka

  • @chire4574
    @chire4574 5 หลายเดือนก่อน +17

    Makonda ndo mwanasiasa maarufu kwa sasa

  • @dolomentfrance418
    @dolomentfrance418 5 หลายเดือนก่อน +11

    Baada ya SAMIA NI MAKONDA

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 4 หลายเดือนก่อน

      Makonda woyooooo Mungu akusaidie kakaaah😢😂😂😂❤❤❤

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 5 หลายเดือนก่อน +9

    Uyu Mkuu tumuombee wasije wakamuua kama mzee wetu. Wezi hawapendi mambo haya

  • @user-rh9co7ws2b
    @user-rh9co7ws2b 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda wewe ni????magufuli wapili💪jembe

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mmmm muongo jamni mungu anakuona toka mwaka 2020

  • @apostelgodwin
    @apostelgodwin 14 วันที่ผ่านมา

    Makonda uishi milele nakuombea kaka Yangu piga kaz wala usiofie wanafiki❤

  • @user-bv1wt9ut8t
    @user-bv1wt9ut8t 5 หลายเดือนก่อน +7

    Makonda katibu wetu mwenezi unafanyakazi sanasana MUNGU akubarik

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nchi hii inaumwa sana inahitaji tiba

  • @yeshrunmimo-ph6dx
    @yeshrunmimo-ph6dx 5 หลายเดือนก่อน +5

    Tunakuombea makonda

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph9729 4 หลายเดือนก่อน

    i salute you bro makonda please take care of your life, my next president of republic of Tanzania makondaaaaaa

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 5 หลายเดือนก่อน +6

    😢😢😢😢 muenezi anapaswa kutembea na fimbo,,,,kuna watu wanastahili adhabu mbele ya hadhara.

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @yapelyapell2030
      @yapelyapell2030 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @Abdul-rn5zj
      @Abdul-rn5zj 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂🎉😂kula Nina we

  • @issaabdallah7660
    @issaabdallah7660 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hii nchi inamatatizo makubwa sana kwenye ardhj

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน +2

    POLE SANA MDOGO WANGU MAKONDA, MUNGU AKUPE NGUVU.

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uncle magu kufa mengi yanatokea mhhhhhhhh mungu tusaidie

  • @user-hv7pw6ih5v
    @user-hv7pw6ih5v 4 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki sana tetea walala hoi wapo viongozi wa CCM ni wezi kwa nini usiwabananishe acha kuwonea aibu kuna viongozi wa chama cha CCM ni Chawa nguoni

  • @user-xx8jx6tb7d
    @user-xx8jx6tb7d 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera kaka kwa uongoz mzur yaan mtu anaulzwa maswal had anashindwa kujib, yaan kama viongoz wote wakiwa hiv wazulumaj watanyooka tu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu patie makonda msimamizi bora ww ndiwe HURUMA ya waliyo onewa

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 5 หลายเดือนก่อน

      Ni maigizo na kampeni tu kwani si rahisi kutatua kero siku moja jukwaani mengine ni sugu mengine yako mahakamani. Kama ni utawala bora kwa mini kero zisitatuliwe na wahusika kama serikali za mitaa na mahakama

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 5 หลายเดือนก่อน

      @@hashimchaoga9566 serikali za mitaa tatizo Hawana karama ya kutumikia watu makonda anayo karama ya kutumikia

  • @user-su6yd2lt5f
    @user-su6yd2lt5f 5 หลายเดือนก่อน +1

    Anajitambiua sana kaks uyo. Safi sana. Kula buku

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 5 หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo watendaji aliowaweka sio taisi

  • @SurprisedAtom-vp5qe
    @SurprisedAtom-vp5qe 5 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda njoo kiteto baba

  • @moiseszachariasmoisesmoises
    @moiseszachariasmoisesmoises 3 หลายเดือนก่อน

    mwenyekiti wew kama magumu❤unastair sifa

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hakika hii nchi inahitaji makonda wengi

    • @GraceMhoja-zc7yg
      @GraceMhoja-zc7yg 5 หลายเดือนก่อน

      Mhhhhhhhh akigombea tu tutaambiwa ana matatzo ya moyo mhhhhhhhh RIP JPM

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 4 หลายเดือนก่อน

      We ndo unae just hii nchi ukipata Cha thamani hats hakidum daaaaa😢😢😢😢

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 4 หลายเดือนก่อน

    Awamajambazi mama wanamualibia nnchi sana kuchukia utawala ngaz ya juu kumbe awa viraza wa chini wanamchafulia

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri bro,,ww ndie mrithi wa magufuli

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda Mdogo wangu Kamwambie Rais samia Nchi Hii Inaitaji Katiba Mpya C VINGINEVYO

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha😂makaburi haaa mnashiiiida nyie❤

  • @user-ro2sv3hv6w
    @user-ro2sv3hv6w 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana makonda

  • @msafiripascal2757
    @msafiripascal2757 4 หลายเดือนก่อน

    makonda wewe ni sawasawa na yesu ....umejitosa msalabani kwajili yakuwahokowa wanyonge

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 5 หลายเดือนก่อน +1

    Watuuu weweeee,Hii ndio Tanzania Eee mungu ee mungu nyie muogopeni mungu Haya yoote sababu ni kupita bila kupingwa,Acha onyeshe tuone panapovuja

  • @romanusnjovu6845
    @romanusnjovu6845 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kama namwona magufuli vile

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน +1

    PESA HIYO , HAO NDO VIONGOZI NA WASOMI WA TANZANIA.NI WAZULUMAJI NA WANYANGANYI WAKUBWA.

  • @user-jz6dd8cj8s
    @user-jz6dd8cj8s 4 หลายเดือนก่อน

    Fanya hayo in deply cos kuna baadhi ya wasomi katika nchi hii hawa utu bali ubinadamu, haipendezi, from mwanza ukerewe

  • @MarthaTemba
    @MarthaTemba หลายเดือนก่อน

    Me nilikuwa simuelewagi makonda sasa namuelewa kweli kweli utabarikiwa kwa hawa wanyonge

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna watu hawapendi kbc iki anachofanya Uyu mwenezi walaji ni wengi sana ongera sana makonda mungu Ndio kinga Yako watu wana roho mbaya sana

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hatuna viongozi mikoani wala wilayani hata kata maana yake maana yake serlkali yote ipangwe upya hilo litakarofuata jueni laja

  • @LebahatiSongori
    @LebahatiSongori 4 หลายเดือนก่อน

    Simba na azam

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 5 หลายเดือนก่อน

    Mhh hii dunia tunapita tutacha kila kitu,Makonda pambana kwaajili ya haki za wanyonge

  • @user-zt4ih3bq8u
    @user-zt4ih3bq8u 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @DenisMwanawane-of2bg
    @DenisMwanawane-of2bg 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda mungu akupe afya njema njoo mkoa wa pwani uone sebene la aridhi ndio utakubali matokeo bila kupenda

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z 4 หลายเดือนก่อน

      Hats nakuja nisubirr😊😊

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo huduma mnazotoa wananchi hawazijui ni zipi

  • @SadaKigwangala
    @SadaKigwangala 12 วันที่ผ่านมา

    Makabuli sio yake na wale sio ndugu zake mnashida nyie😂😂😂😂😂😂😂

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakuu was mikoa na wilaya hawfanyi kazi na hawana maa.muzi hawataki au hawajiamini au hawajuianukumu yao shida

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 4 หลายเดือนก่อน

    Aisee noma hawa ndio mabeberu wakibongo

  • @JamesNackor-xx8og
    @JamesNackor-xx8og 4 หลายเดือนก่อน

    Tunajua uongozi ni kazi nzito lakini makonda unajua maumivu ya wananchi ,hiyo ndio maana halisi ya kiongozi .hakika tunajivunia

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo yote mmeyasababisha haya ni ya ccm mnawajingaishs uma

  • @user-py8ol3zd2y
    @user-py8ol3zd2y 3 หลายเดือนก่อน

    Dah kweli lazima wasikupende

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 4 หลายเดือนก่อน

    Tuandamana dunia nzima makonda uchukue fom

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 5 หลายเดือนก่อน +1

    Duuu this is Tanzania,

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenez wetu wa nec na itakadi taifa kaka makonda unaupiga mwingi

  • @jamesjuma1445
    @jamesjuma1445 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda kweli

  • @sadickmasoudi1689
    @sadickmasoudi1689 4 หลายเดือนก่อน +1

    😢

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 4 หลายเดือนก่อน

    Hapa najifunza kuwa ccm itaelewa kuwa watu wanapi leta mining'ono kuwa serikal mbaya ni hapo, kuwa walio pewa mamlaka wana haribu serikali yetu ya ccm.

  • @ustadhtaqwa8868
    @ustadhtaqwa8868 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ulijisoga na malaa

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu kijana tafadhari mpeni nafasi awatumikie wananchi anafaa kabisa kua kiongozi wawananchi ako na uwezo huo mpeni hata uwenyekiti

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 5 หลายเดือนก่อน

    ,mahakama Tanzania NI tatizo ndio inayoongoza kudhulumu wanyongekama hapa tanga mahakama imempoka haki yake mjane mnyonge haki

  • @ngossomahenge3500
    @ngossomahenge3500 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mama yuko kazini, makonda oyeeeee wanao kuujumu janwali makamba.. mzee kinana nape na uyee mzee kikwete. Mzee makamba hao niadui watanzania

  • @user-og9fs6dc8o
    @user-og9fs6dc8o 3 หลายเดือนก่อน

    Mijambazi ya ccm hiyo hiking chama cha kipumbavu sana

  • @AmosJuma-wp2pe
    @AmosJuma-wp2pe 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nilikuwa chadema ila kila nikiona chadema naona kama hawana ujasili kama makoda kwaiyoo makoda kama ni urais chukuwa baba

  • @ImaniMalekela
    @ImaniMalekela 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa viongozi tunao wataka uje hata huko ismani

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 4 หลายเดือนก่อน

    Mahakaman kwenyewe rushwa tupu serikali ya saizi shida tupu

  • @FredyObed
    @FredyObed 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh hii nchi ngumu

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 4 หลายเดือนก่อน

    Tumuombee makonda wasimuue kama magufuri

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda ni mpuuzi,kesi iko mahakamani usiingilieee,jua mipaka yako

  • @user-ig4in5ut9k
    @user-ig4in5ut9k 3 หลายเดือนก่อน

    C makosa yao wanafata useless kila mbuzi ale kwa useful wa kama yake

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 4 หลายเดือนก่อน

    Angaria hata sura yake ukibaka mtupu

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n 4 หลายเดือนก่อน

    Yan wanae shida sio kidogo

  • @sungisungi6589
    @sungisungi6589 4 หลายเดือนก่อน

    Wafanyakaz wa serikal

  • @maulidasaa9407
    @maulidasaa9407 4 หลายเดือนก่อน

    Hii yote ni kampeni ya 2025

  • @user-wo8ej8kg5l
    @user-wo8ej8kg5l 4 หลายเดือนก่อน

    mwana malundi

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 4 หลายเดือนก่อน

    mama kachanga karata zake vyemaaa

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda ugombee mwakani

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 3 หลายเดือนก่อน

    Kamani aibusana kwaserekari

  • @daudimwita-bk6mg
    @daudimwita-bk6mg 5 หลายเดือนก่อน

    Sa jaman mbona watanzania niwanatabu

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 5 หลายเดือนก่อน +2

    Aibu tupu

  • @user-og9fs6dc8o
    @user-og9fs6dc8o 3 หลายเดือนก่อน

    Upumbavu mtupu hiki chama tukitowe madarakani

  • @user-gt2ic6uq6p
    @user-gt2ic6uq6p 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa nimegundua tatizo sio raisi Tatizo ni watendaji wake ambao ni watu wakaida ndio shidaa ise

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakusikilize ujinga huyo ni muwongo mkubwa 😅😅😅😅😅😭😭😭😭😭😭😭

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 5 หลายเดือนก่อน +1

    Usanii mtupu

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 22 วันที่ผ่านมา

    Mama wapige spana wakuu wa mikoa wako wamelala sana

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 5 หลายเดือนก่อน

    Kumbe hadi wa ccm nao wanadeseka😮😮

  • @MarthaTemba
    @MarthaTemba หลายเดือนก่อน

    Heeeee ardhi mnasema wachaga kumbe ni makabila yote muache basi

  • @cosmasmlyuka4727
    @cosmasmlyuka4727 5 หลายเดือนก่อน +1

    😢