Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki sana tetea walala hoi wapo viongozi wa CCM ni wezi kwa nini usiwabananishe acha kuwonea aibu kuna viongozi wa chama cha CCM ni Chawa nguoni
Ni maigizo na kampeni tu kwani si rahisi kutatua kero siku moja jukwaani mengine ni sugu mengine yako mahakamani. Kama ni utawala bora kwa mini kero zisitatuliwe na wahusika kama serikali za mitaa na mahakama
Hapa najifunza kuwa ccm itaelewa kuwa watu wanapi leta mining'ono kuwa serikal mbaya ni hapo, kuwa walio pewa mamlaka wana haribu serikali yetu ya ccm.
Hongera kaka yangu Makonda Mwenyezi Mungu azidi kukutunza hakika wewe ndio mtetezi wa wanyonge
AIBU SANA
Big up JPM SON❤
Mimi nimeona tz watu wawili tu waziri mkuu na makonda nawapenda sana msaidieni mama samia
Kaka makonda Kama kuchkua fom ya urais chkua una mpinzan Kaka unaweza njia magufuli vile vile una baya
Hongera mh rais samia Makonda ni cd inayochezeka
Makonda ndo mwanasiasa maarufu kwa sasa
Baada ya SAMIA NI MAKONDA
Makonda woyooooo Mungu akusaidie kakaaah😢😂😂😂❤❤❤
Uyu Mkuu tumuombee wasije wakamuua kama mzee wetu. Wezi hawapendi mambo haya
Makonda wewe ni????magufuli wapili💪jembe
Mmmm muongo jamni mungu anakuona toka mwaka 2020
Makonda uishi milele nakuombea kaka Yangu piga kaz wala usiofie wanafiki❤
Makonda katibu wetu mwenezi unafanyakazi sanasana MUNGU akubarik
Nchi hii inaumwa sana inahitaji tiba
Tunakuombea makonda
i salute you bro makonda please take care of your life, my next president of republic of Tanzania makondaaaaaa
😢😢😢😢 muenezi anapaswa kutembea na fimbo,,,,kuna watu wanastahili adhabu mbele ya hadhara.
😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂🎉😂kula Nina we
Hii nchi inamatatizo makubwa sana kwenye ardhj
POLE SANA MDOGO WANGU MAKONDA, MUNGU AKUPE NGUVU.
Uncle magu kufa mengi yanatokea mhhhhhhhh mungu tusaidie
Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki sana tetea walala hoi wapo viongozi wa CCM ni wezi kwa nini usiwabananishe acha kuwonea aibu kuna viongozi wa chama cha CCM ni Chawa nguoni
Hongera kaka kwa uongoz mzur yaan mtu anaulzwa maswal had anashindwa kujib, yaan kama viongoz wote wakiwa hiv wazulumaj watanyooka tu
Mungu patie makonda msimamizi bora ww ndiwe HURUMA ya waliyo onewa
Ni maigizo na kampeni tu kwani si rahisi kutatua kero siku moja jukwaani mengine ni sugu mengine yako mahakamani. Kama ni utawala bora kwa mini kero zisitatuliwe na wahusika kama serikali za mitaa na mahakama
@@hashimchaoga9566 serikali za mitaa tatizo Hawana karama ya kutumikia watu makonda anayo karama ya kutumikia
Anajitambiua sana kaks uyo. Safi sana. Kula buku
Tatizo watendaji aliowaweka sio taisi
Makonda njoo kiteto baba
mwenyekiti wew kama magumu❤unastair sifa
Hakika hii nchi inahitaji makonda wengi
Mhhhhhhhh akigombea tu tutaambiwa ana matatzo ya moyo mhhhhhhhh RIP JPM
We ndo unae just hii nchi ukipata Cha thamani hats hakidum daaaaa😢😢😢😢
Awamajambazi mama wanamualibia nnchi sana kuchukia utawala ngaz ya juu kumbe awa viraza wa chini wanamchafulia
Kazi nzuri bro,,ww ndie mrithi wa magufuli
Makonda Mdogo wangu Kamwambie Rais samia Nchi Hii Inaitaji Katiba Mpya C VINGINEVYO
Hahaha😂makaburi haaa mnashiiiida nyie❤
Hongera sana makonda
makonda wewe ni sawasawa na yesu ....umejitosa msalabani kwajili yakuwahokowa wanyonge
Watuuu weweeee,Hii ndio Tanzania Eee mungu ee mungu nyie muogopeni mungu Haya yoote sababu ni kupita bila kupingwa,Acha onyeshe tuone panapovuja
Kama namwona magufuli vile
PESA HIYO , HAO NDO VIONGOZI NA WASOMI WA TANZANIA.NI WAZULUMAJI NA WANYANGANYI WAKUBWA.
Fanya hayo in deply cos kuna baadhi ya wasomi katika nchi hii hawa utu bali ubinadamu, haipendezi, from mwanza ukerewe
Me nilikuwa simuelewagi makonda sasa namuelewa kweli kweli utabarikiwa kwa hawa wanyonge
Kuna watu hawapendi kbc iki anachofanya Uyu mwenezi walaji ni wengi sana ongera sana makonda mungu Ndio kinga Yako watu wana roho mbaya sana
Hatuna viongozi mikoani wala wilayani hata kata maana yake maana yake serlkali yote ipangwe upya hilo litakarofuata jueni laja
Simba na azam
Mhh hii dunia tunapita tutacha kila kitu,Makonda pambana kwaajili ya haki za wanyonge
Safi sana
Makonda mungu akupe afya njema njoo mkoa wa pwani uone sebene la aridhi ndio utakubali matokeo bila kupenda
Hats nakuja nisubirr😊😊
Hizo huduma mnazotoa wananchi hawazijui ni zipi
Makabuli sio yake na wale sio ndugu zake mnashida nyie😂😂😂😂😂😂😂
Wakuu was mikoa na wilaya hawfanyi kazi na hawana maa.muzi hawataki au hawajiamini au hawajuianukumu yao shida
Aisee noma hawa ndio mabeberu wakibongo
Tunajua uongozi ni kazi nzito lakini makonda unajua maumivu ya wananchi ,hiyo ndio maana halisi ya kiongozi .hakika tunajivunia
Hayo yote mmeyasababisha haya ni ya ccm mnawajingaishs uma
Dah kweli lazima wasikupende
Tuandamana dunia nzima makonda uchukue fom
Duuu this is Tanzania,
Mwenez wetu wa nec na itakadi taifa kaka makonda unaupiga mwingi
Napenda kweli
😢
Hapa najifunza kuwa ccm itaelewa kuwa watu wanapi leta mining'ono kuwa serikal mbaya ni hapo, kuwa walio pewa mamlaka wana haribu serikali yetu ya ccm.
Ulijisoga na malaa
Huyu kijana tafadhari mpeni nafasi awatumikie wananchi anafaa kabisa kua kiongozi wawananchi ako na uwezo huo mpeni hata uwenyekiti
,mahakama Tanzania NI tatizo ndio inayoongoza kudhulumu wanyongekama hapa tanga mahakama imempoka haki yake mjane mnyonge haki
Mama yuko kazini, makonda oyeeeee wanao kuujumu janwali makamba.. mzee kinana nape na uyee mzee kikwete. Mzee makamba hao niadui watanzania
Unae mwanasheria?
Mijambazi ya ccm hiyo hiking chama cha kipumbavu sana
Mimi nilikuwa chadema ila kila nikiona chadema naona kama hawana ujasili kama makoda kwaiyoo makoda kama ni urais chukuwa baba
Hawa viongozi tunao wataka uje hata huko ismani
Mahakaman kwenyewe rushwa tupu serikali ya saizi shida tupu
Mmmmh hii nchi ngumu
Tumuombee makonda wasimuue kama magufuri
Makonda ni mpuuzi,kesi iko mahakamani usiingilieee,jua mipaka yako
C makosa yao wanafata useless kila mbuzi ale kwa useful wa kama yake
Angaria hata sura yake ukibaka mtupu
Yan wanae shida sio kidogo
Wafanyakaz wa serikal
Hii yote ni kampeni ya 2025
mwana malundi
mama kachanga karata zake vyemaaa
Makonda ugombee mwakani
Kamani aibusana kwaserekari
Sa jaman mbona watanzania niwanatabu
Aibu tupu
Upumbavu mtupu hiki chama tukitowe madarakani
Sasa nimegundua tatizo sio raisi Tatizo ni watendaji wake ambao ni watu wakaida ndio shidaa ise
Wakusikilize ujinga huyo ni muwongo mkubwa 😅😅😅😅😅😭😭😭😭😭😭😭
Usanii mtupu
😂
Mama wapige spana wakuu wa mikoa wako wamelala sana
Kumbe hadi wa ccm nao wanadeseka😮😮
Heeeee ardhi mnasema wachaga kumbe ni makabila yote muache basi
😢