YATIMA SABA WANUSURIKA KUMEZWA NA CHATU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Naomba btujitahdi watanzania wote kwa ujumla tujitahidi wapate hata two room wapate kustrika wallah na wasio watanzania pia kwa ujumla sisi sote africa moja tuwasadie jamani 😭😭😢😢😢😢😢😢
👍😘
Wanaitaji msaada jamani,,,,, ni huruma sanaa,,,, inshaalah mungu atawajaalia
Utapata mama usikati tama mungu yupo pamoja na wewe 😭😭😭😭
Allah karimu
Ni kuona maisha ya huuu mama yamenikumbusha maisha nilio yapitia kweli😭😭😭😭
Pole ndio mitihani
Hakuna vibarua vya kufua shida ya nzanzibar wanapenda kukaa kibos na tegemezi hawataki vibarua kbsaa nachojua hakuna maskini Mungu anaweza
Mm maisha hayo nimeyapitia mpaka kufikia kufukuzwa kwenye nyumba za watu mitihani jamn
subbahanallAh hivi serekali haioni umuhimu wa Watu km hawa yaarab 😭😭😭
Subhanaaallah
😭In shaa Allah mungu ataleta heri yatapita utapata pakujistiri na wanayo kwa rehma za Allah mmngu.. Ameen
Very imotional
Allah atawafanyia wepes na subra ina malipo inshaallah
Mnakumbuka Zanzibar wanafunzi walikuwa wakipewa vifaa nyote vya Skuli mpaka campass na mabuku ya masomo yote... pamoja na vitabu sasa imefika hali hiyo adhabu kubwa kwa wanafunzi. Dr. HUSSEIN....Maendeleo yanakuja kwa Elimu kwenyeNchi. Ikiwa mambo ndio hayo kwa WANAFUNZI na wako wengi kama hao..Kitu muhimu Serikali kusaidiwa wanafunzi wote bila ya kuchaguwa.
Wapi hii video
SubhnAllah, jmn ajengewe
Mwenyezimngu atawafanyia wepesi na awahifadhi insha'Allahh kheir 🤲
Poleni sn ndugu zangu Mungu yupo alali one day yes
ALLAH AWAFANYIE WEPESI
Pole Sana mm ndo maisha
Lahaula walakuwat ilabilah
Subuhanallah Allahu Akibar 😭😭😭
Assalaamu alaykum warahmatullah wabarakatuh. In shaa allah tutajitahid sheikh rashid, lakini hii mi wapi? (Wanaishi wapi)
😭😭😭😭subuhannaAllah nimeliya hadi basi Alhamdhullah💔
Faswabrun jamiil inshaaAllah kwa uwezo wa Allaah iatastirika familia hii na watasahau yote hayo biidhni llaah kwani Allah anasema innamalu'sri yusra
Ukweli nimeguswa sana na Taarifa hii nimi ni mtu wa kawaida lakini kwa Hao wamenizidi kwa shida ukweli inaumiza sana maana hadi usiku ndio wanaanza kupata chakula cha mmlo mmoja inauma sana. Naahidi in shaa Allah na mimi Allah akinijaaalia nitachangia hapo seti.
Naomba mtoto mmoja nimsaidie kumlea na kumsomesha japo na mimi sio tajiri
Tujichangishe wapate pa kulala 😭😭😭🙏
Mimi nahitaji kumsaidia huyu mama nipeni maelekezo nifike
Wenye uwezo mko wapi waislamu wenzetu wanadhalilika Alhamdulillaah
sheni na samia kazi yao kuita watoto wadogo ikulu
Pole mama Mungu atakuwezesha
Najikuta machozi yananitoka
Allah ni tegemeo letu atasimamiya kila zito akupe na kheri Aameen Yaarb Alaameen 🤲
Subhanallah 😭
Subhana llah. Alhamdulilah nashkuru Allah kwa kila kt 🤲.yaa rabby wape subra waja wako hawa na uwafanyie wepec kwenye kila zito yaa rabby 🤲 inaumuza Sanaa 😭😭😭😭😭😭
Yupo kijiji gani huyu mama
Innalah rajiun
Poleni ndugu zangu..wako wapi huko jamani???
Nimekumbuka niliko toka
Wallah mtihn
Yajayo yametimia mwinyi unaona ww kujachukua.mali ya wazanzibari
Mama achilia watoto waende mjini wafanye vibarua
duuu ebwanaee!! ndo fikra yako hiyo ??????????????????????????????????????????
dah sehemu gani hii
Naomba kuchangia imenigusa Sana familia hii
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭SUBHANALLAH Mola wangu awasaidie Mama ang 💔💔💔💔😩😩😩😩Allah akuhufadhin yarab nakila shari
Amina
subhanaallah 😭😭😭😭
Inahuma kweli emungu nitie nguvu ni safishe hamamu za warabu nipate riziki ya famillia yangu
Amiiin yote maisha hyo muhimu riski yko unapats ya halali bs.
Namba nipatiwe namba ya cm
Jamani serikali na wafadhili wamjengee huyu mama na watoto nyumba.toeni sadaka na Mungu atawaongezea
Subhanallah Allah akbar Allah wahurumiye ya ilahi
Achilia watoto wafanya hata kama ni kazi ya nyumba alawapate pesa acha kukaa hivyo🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😭😭😭😭😭😭😭😭😭then raisi ana staafu anajengewa nyumba anakabidhiwa, raic huyo ananyumbani kwake kuzuri sana 2. Then wanamuongezea. Wenye wiitaji wanaachwa. Hiv majumba wanayo kabidhiwa wa staafu zingepatikaka nyumba ngapi za wenye wiitaji. Maji yanachotwa mferejini na kumwagwa baharini, TZ watu tunaumia sana.😭😭😭😭😭😭
😭😭😭
😭😭😭
Jamani lakini hawa viongozi wetu na matajiri wanajua kama kuna watu wanaishi namna hii! Dah siku ya SIKU kuna kazi kweli jinsi tutakavyoulizwa na kuhukumiwa katika mahakama ambayo hakimu ni Allah na Mashahidi ni viungo vya mwili wake mwenyewe mwanaadam ndivyo vitakavyomkalia ushahidi. Tunakuomba Allah utufanyie wepesi.
Apatiwe ata vyumba viwili jmni sisi tunalala wenzetu wanajificha usiku haifai jmni tunapataje usingizi wakati wenzetu wapo nje jamani atavyumba viwili tu nduguzangu waislam ata mwenye 2000 mbili watanzania 2000 wakifika km kila mtu ataowa watapata pakujisti
Viongozi mnadhima kubwa,zanzibar ni kisiwa kisogo wallah watu serikalini wanaiba pesa,basi ibeni muwasaidie masikini watu wana majumba saba nane wanashindwa kutoa swadaka ntumba moja kwa watu kama hao ni aibu serikali ya zanzibar,nyumba za serikali wapeni watu kama hao
Yaan nimelia mwanzo mwisho huyu mama na hawa watoto wanateseka sana mvua zote zinanyeshea ndani kipindi cha kipupwe baridi kali wanateseka kwakweli
SubhanllAh hadi machozi yamenitoka yaani hii familia inanikumbusha mbali sana tulikuwa dar lakin nyumba tuliyokuwa tukiishi chin neiron juu neiron mvua ikinyesha inatunyeshea wanateseka sana na hivi wao wako shamba pole mama nina Imani kila tupo wengi Mtanzania bara na visiwan kila mmoja akitoa 1000 tutawawezesha kupata nyumba na mahitaji mengine kama chakula na vifaa vya shule Mwenyeez Mungu tunakuomba uisimamie familia hii
Wako wapi Hawa
Pemba
Subhanallah 😭😭😭 Astaghfiru llah ya Rabala'alamiin 🙏🥲😭
Subhannahllah Yarrabi wajaalie rizki wajawako hawa
In shaa Allah 😭 hashindwi mola wetu,basi in shaa Allah☝️🤲🤲🤲
Assalam Alaikum vipi hali jamani niliomba mtoto mmoja nimemtafuta huyu shekh rashid naona hatua zimegonga mwamba hakutoa jibu mpaka leo namtaka mmoja jamniiiiiiiiii😭😭😭😭😭
Walaykum salam.Fatma Wazee wengi hawatoi watoto wao wanapenda wabaki nao Bi miza nae ndio hivyo hivyo.
@@alfatahcharitableassociati18 nikweli muhim tuwasaidie waishi kwa pamoja nao wapate furah na nuru usoni mwao akitoka mmoja itakuwa shida sana washazoena shida raha wanazopitia wapo pamoja mashaallah tujitahdi wawe katika hali ya furaha na aman ya maisha
Tatizo kubwa mukipewa watoto munawanynya paa kisa wawo hali zao ni zachin
@@inginiakipirakipira1380 usiusemee moyo wamtu sio kila mtu nikatili wawato natamani ungejua tu hustoria yangu kwa ufupi ingawa haitokusaidia chochote na laiti ungeujua moyo wangu usingethubutu kutamka hilo neno tumuachie mwenye mungu ndie mwenye kujua nafsi na nia ya kila mtu
@@inginiakipirakipira1380 sio wote wpo hvo baba angu kalea watoto 12 sio wke na alikua anawapenda na kuwajali kuliko sisi maisha yke yote kamalizia kulea wamekua wameolewa hmna hta anaemsalimia baba angu na kumjali ss wanawe ndio ndio tunamsaidia. Sio wote wapo hvo kabisa.
Allah akbar (innamaal ussri yussra,)
SeheM gan hii sheh
Pembahio
🥺😢😥😭😭😭😭 Laa haula walaakuwwata illaa billaahi Allahu Akbar
poleni sn Ila musilie mungu yupo pamoj nayi inatiya hurum
kwenye uchumi wa blueee njaa imezidi
Asalaam aleikum, mm nataka namba ya huyo mama direct ili kila mwezi niweze kumtumia sadaka yangu kwa ajili ya chakula.
Piga namba hizo apo utapatiwa
Mungu ataleta shufaa kwakweli
Jamani serikali ni wajibu kuangalia watu kama hawa
Huu mama kanitia uchungu
Kakutia uchungu kivip?
@@ahmadseif7241 kaumia kahis kma mama ake maisha anayopitia
Subhana Allah
Takbiir,Allahu Akbaar
Unatuma kwenye no gani
Subhanallah
Subhanalha mungu atakusaidia
Anakaa kijiji kipiii
Allah yupamoja nanyi
Pole sana mama
InshaAllah mungu atawasaia
Allah karimu
subhannallah wanapatikana sehemu gani hiyo familia
@@othmanameameir770 chukua namba apo kisha piga alfu utaelekezwa
Kumbe Zanzibar Kuna maskini dah wanaongeaga shit
Haya maisha.wengi.tumeyapitia
Kwa kwel mung awasimamie akuepushen na baraa hilo
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭
Tupen namba yke huyo mama
Chukuwa hapo ktk video uwasiliane utapewa
Wapi hapo
Allah ndie mjuzi wa kìla binadamu hakika yy ndie wa kuombwa na kusujudia Allah atareta heri kwenye hii famiria
Wapo wapi kwani hawa wanakaa mji gani?
Kwa mujibu wa mazingira nahisi wapo kisiwani Pemba. Allah awastiri wao na sisi.
Pemba ya wapi?
@@mwanahawamohammed8540 chukuwa namba ya simu ulize